Tetesi: Ripoti za uchunguzi wa uhalali wa shahada ya uzamivu (PhD) ya hayati Magufuli pamoja na wengine zimefichwa

Tetesi: Ripoti za uchunguzi wa uhalali wa shahada ya uzamivu (PhD) ya hayati Magufuli pamoja na wengine zimefichwa

Kwanini andiko la udk wa magufuli limefichwa pale udsm? PhD thesis huwa zinakuwa available kwa watu kujifunza na kufanyia reference, kwanini ya magufuli imefichwa?
Hizi hoja zenu ni nyepesi sana, acheni kukaza shingo.

Magufuli kwa nafasi yake sishangai hiyo PhD yake kufichwa, wengi wangeweza kuitumia kutafuta makosa hata madogo ya kiuandishi, au lugha, waje kumdhihaki kwenye jamii hasa mitandaoni.

Mfano wengi walikuwa wanasema Magufuli hajui kiingereza....

Sababu zipo nyingi kwa nini imefichwa, sio lazima iwe hiyo yenu mnayoilazimisha kila wakati, au basi mtupe mfano wa Rais mwingine wa Tanzania ambaye PhD yake ipo huko watu wanaitumia, ili tuamini hii sababu yenu, ukishindwa hapo, just shut up.!!

Kuitana madogo, au mweupe kichwani ni ujinga tu, mweupe hawezi kukuuliza maswali ushindwe kumjibu, mweupe hawezi kukuonesha udhaifu wako ambao wewe mwenyewe huujui, wewe ni msomi kanjanja tu.
 
Majibu mepesi na ya kihuni kwa hoja nzito watu wengi wangepewa doctor kwa mwaka mmoja badala ya mitatu kwa kisingizio Cha wao ni wachapa kazi sana
Hoja nzito haiwezi kuletwa kama tetesi, halafu muanze ku-speculate majibu, hivi nyie ni wasomi wa sampuli gani?!

Hopeless kabisa.

Tambua, hoja ili iitwe nzito lazima ije na uthibitisho usioacha chembe ya shaka, sio hii yenu ya speculation, tena za jumla jumla, iliyojaa mihemko, hamjielewi.

Nyie ni wakucharaza viboko hayo makalio yenu!.
 
Hizi hoja zenu ni nyepesi sana, acheni kukaza shingo.

Magufuli kwa nafasi yake sishangai hiyo PhD yake kufichwa, wengi wangeweza kuitumia kutafuta makosa hata madogo ya kiuandishi, au lugha, waje kumdhihaki kwenye jamii hasa mitandaoni.

Mfano wengi walikuwa wanasema Magufuli hajui kiingereza....

Sababu zipo nyingi kwa nini imefichwa, sio lazima iwe hiyo yenu mnayoilazimisha kila wakati, au basi mtupe mfano wa Rais mwingine wa Tanzania ambaye PhD yake ipo huko watu wanaitumia, ili tuamini hii sababu yenu, ukishindwa hapo, just shut up.!!

Kuitana madogo, au mweupe kichwani ni ujinga tu, mweupe hawezi kukuuliza maswali ushindwe kumjibu, mweupe hawezi kukuonesha udhaifu wako ambao wewe mwenyewe huujui, wewe ni msomi kanjanja tu.
Wewe nina mashaka utakuwa mwanafamilia wa magufuli, ndugu yake au moja ya mahawara wake maana umejitoa akili na kuongea ujinga mtupu.

Thesis ya Dr Gharib Bilal ipo kwenye references za pale Howard university, PhD thesis ya dr shein inapatikana kwenye references za Newcastle university.. ila ya magufuli imefichwa.

Unaweza kupata bcom kwa miaka miwili? Sasa kwa maelezo yako humu unaonesha inawezekana pale unaposema part time student alipata PhD kwa miaka mitatu.

Acha kutetea upumbavu na wizi wa magufuli.
 
Wewe nina mashaka utakuwa mwanafamilia wa magufuli, ndugu yake au moja ya mahawara wake maana umejitoa akili na kuongea ujinga mtupu.

Thesis ya Dr Gharib Bilal ipo kwenye references za pale Howard university, PhD thesis ya dr shein inapatikana kwenye references za Newcastle university.. ila ya magufuli imefichwa.

Unaweza kupata bcom kwa miaka miwili? Sasa kwa maelezo yako humu unaonesha inawezekana pale unaposema part time student alipata PhD kwa miaka mitatu.

Acha kutetea upumbavu na wizi wa magufuli.
Wajinga ndio wana mawazo kama yako, hasa wakibanwa, nilishakwambia uwe na consistence, usi-divert ili kunibadilisha mind, mimi niko above hapo, sijiingizi kwenye malumbano ya nje ya mada.

Magufuli sikuwa na undugu, jamaa, wala urafiki nae, hapa natumia akili kufanya reasoning, wala sio mihemko kama yako. Hoja yako ya miaka nimeshakujibu mpaka nachoka sasa.

Kama unaona Magufuli ni ndugu yangu ndio maana namtetea, basi kwa hiyo reasoning yako fupi, nami niamini Magufuli kwako ni mtu baki ndio maana unamchukia!.

Unaleta mfano wa Thesis ya Dr. Gharib Bilal iliyopo chuo cha Marekani, na Shein Newcastle UK, wakati juu pale nimekwambia unipe mfano wa kiongozi wa hapa Tanzania, na chuo alichosemea, tufanye comparison, ili tuone kama Magufuli alipendelewa, umeshindwa.

Uko soft minded sana, hata kuelewa vitu vidogo huwezi, utanichosha bure "msomi" naona tuagane tu kwa amani, maana umejaa hisia na matusi sana.
 
Wajinga ndio wana mawazo kama yako, hasa wakibanwa, nilishakwambia uwe na consistence, usi divert ili kunibadilisha mind, mimi niko above hapo, sijiingizi kwenye malumbano ya nje ya mada.

Magufuli sina undugu, jamaa, wala urafiki nae, hapa natumia akili kufanya reasoning, wala sio mihemko kama yako.

Unaleta mfano wa Thesis ya Dr. Gharib Bilal iliyopo chuo cha Marekani, wakati juu pale nimekwambia unipe mfano wa kiongozi wa hapa Tanzania, na chuo alichosemea, uko soft minded sana.

Hata kuelewa vitu vidogo huwezi, utanichosha bure "msomi" naona tuagane tu kwa amani, maana umejaa hisia sana hukawii kutoa matusi.
Grow up. Umepewa viongozi wawili ambao thesis zao zinapatikana unaanza kuleta excuse nyingine.

Viongozi wengine hawana PhD za kusomea.
 
PhD ya Magu haiwezi kuwa na msaada tena kwenu, Sasa tufocus tu tuone hio 2025 kama kutakuwa na watia nia au lah, mana Mko circled na Fisi wengi na hamuoneshi kuona hatari yake, Sisi yetu macho
 
Grow up. Umepewa viongozi wawili ambao thesis zao zinapatikana unaanza kuleta excuse nyingine.

Viongozi wengine hawana PhD za kusomea.
Kama unakiri wengine hawana PhD za kusomea, basi hauna majibu ya maswali yangu, na kutoa mifano ya waliosomea nje ya nchi kwangu ni irrelevant.

Case closed.
 
Hoja nzito haiwezi kuletwa kama tetesi, halafu muanze ku-speculate majibu, hivi nyie ni wasomi wa sampuli gani?!

Hopeless kabisa.

Tambua, hoja ili iitwe nzito lazima ije na uthibitisho usioacha chembe ya shaka, sio hii yenu ya speculation, tena za jumla jumla, iliyojaa mihemko, hamjielewi.

Nyie ni wakucharaza hayo makalio yenu!.
Nenda pale ud waambie wewe ni mchapakazi kisawa sawa alafu watakupa PhD ya darasani chap kama walivyofanya kwa magufuli
 
Kama unakiri wengine hawana PhD za kusomea, basi hauna majibu ya maswali yangu, na kutoa mifano ya waliosomea nje ya nchi kwangu ni irrelevant.

Case closed.
Magufuli ya kwake ni ya kusoma ndo maana watu wana-question na sio ya heshima kama ya kikwete tofautisha na hii inaonyesha hujui wapi unasimamia
 
Magufuli ya kwake ni ya kusoma ndo maana watu wana-question na sio ya heshima kama ya kikwete tofautisha na hii inaonyesha hujui wapi unasimamia
Tazama maswali yangu kwa mwenzio kisha uje na majibu.
 
Nimekubali Magufuli alikuwa sio tishio tu nje ya nchi,hasa ndani ya nchi,hakika mtateseka sana na mzimu wake
Baadhi ya maamuzi ya magufuli hahayakushabihiana na mtu mwenye hata degree moja?
Jamaa alikiwa mpumbavu haswa.
Fuatilia sarakasi za KOROSHO huko kisini.
Una PhD unajua unshida ya moyo huendi kutibiwa?????
Sasa yupo wapi??
 
Leo nilikuwa nafanya rejea fulani.

Nikawa napitia tasnifu ya aliyewahi kuwa makamu wa rais Kenya marehemu Professor George Saitoti iliyochapishwa 1975 ikiwa na title Loop spaces and K -theory



Sasa najiuliza hizi za wenzetu mbona zipo , kama ya Magufuli haipo mtandaoni kuna mtu ameshafika hapo UDSM akaomba hata hard copy kufanya rejea akapewa , kama sio kwanini ifichwe kama ilikuwa halali?
 
Back
Top Bottom