Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Ukisikia sauti juwa kuwa hujafa, hivyo sauti haziui.Sauti za Bunduki haziui?
Wanaamwita Hamisi ua ua!Kuna jamaa anaitwa Hamis askari wa kituo cha polisi kigamboni huyu jamaa anatumia bastola yake vibaya akishalewa tu kazi ni kupiga risasi hovyo hovyo tu.Jinga sana hili jamaa
walitaka kuiba daraja??
Ainue kichwa afanye kama anajikuna aone kinachoendeleaš¤ø
Au samaki za wavuvi pale chini ya darajaš¶Dah [emoji23][emoji23][emoji1787]
''Vilisasi'' ni nini na wewe unakuwa kama mtoto wa chekechea?Wanaume wa Dar vilisasi viwili vitatu mmeshakimbilia JF, badala ya kutoa msaada huko. Hovyo kabisa
Dar Es Salaam sio mkoa? Basi ni nini?watu wa mkoani huwa wanasimuliwa tu kuhusu dar..anafikiri kuna hata sehemu ya kujificha ukitoka kwenye gar anadhan kuna nyumba nyumba kama tandika sudan, hahaha
Hapana hao ni mgaso gang na staili yao ya uwekezaji.Watakuwa Sukuma gang hao!.
...Na hawajamchukulia Hatua??...Kuna jamaa anaitwa Hamis askari wa kituo cha polisi kigamboni huyu jamaa anatumia bastola yake vibaya akishalewa tu kazi ni kupiga risasi hovyo hovyo tu.Jinga sana hili jamaa
Polisi wanafanya kazi ngumu sana, Natamani nawao wangepewa bikra 72 wanapostaafu.
Vaa sufuria halafu chunguliaSijui nini kimetokea
Tumeinama muda huu
Ni leoKesho Tanzanite si kuna fainali. Usalama muhimu
"Wamekimbilia kujificha chini ya gari. Pamoja na ukubwa wa difu wapo wanaume zaidi ya kumi..." Alisikika Mura mmoja aliyeko huko Majita akitoa taarifa kuhusu Panya Road.Wanaume wa Dar vilisasi viwili vitatu mmeshakimbilia JF, badala ya kutoa msaada huko. Hovyo kabisa
Hao wazee wale wa Suma jkt?Hapana, hawakufuata tozo
walikuwa wanavuka na moto wakashindwa kupitiliza, manake darajani huwa kuna wazee wako cocked, locked and ready to roll muda wote
Ili atumbuliwe ubongoš¶Vaa sufuria halafu chungulia