Rishi Sunak anaweza kutangazwa kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza leo Oktoba 24, 2022

Rishi Sunak anaweza kutangazwa kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza leo Oktoba 24, 2022

Wewe mwenyewe hazimo kichwani

Wanawake wa Tanzania chukueni hatua kaoleweni na wakenya wana Mbegu inazaa mitoto kichwani iko.vizuri
Wewe ndio kichwa na jembe letu hapa JF. Ndio ujue tatizo kubwa tulilo nalo watanzania
 
Tutafuteni hela jamani. Ukiangalia wasifu wa huyu jamaa mitandaoni wazazi wake hawaongelewi sana isipokuwa wakwe zake ambao ni wamiliki wa Infosys limited
 
Baba yake Rishi Sunak ni Mkenya na mama yake ni Mtanzania

Tukienda kwa uzao wa mama Rishi Sunak nl mtanzania. Baba huwa hazai wodini

Akipata tu uwaziri mkuu Mama Samia amwalike kutembelea Tanzania kwa mama yake
Hatari sana Mkuu YEHODAYA! "Baba
huwa hazai wodini......". [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata kama ni demokrasia; this is too much. Kila siku uchaguzi demokrasia ya nini.
Wewe unataka warudi kwenye u-Mangungo na u-Mkwawa. Wenzako huko wakishatoka wamewaachia nyie na akina dikteta Putin, Xi, Kiduku, Museveni, Kagame, Ayatollah na akina Obiang Nguema.
 
Baba yake Rishi Sunak ni Mkenya na mama yake ni Mtanzania

Tukienda kwa uzao wa mama Rishi Sunak nl mtanzania. Baba huwa hazai wodini

Akipata tu uwaziri mkuu Mama Samia amwalike kutembelea Tanzania kwa mama yake
Hata wewe ndio ue huko upewe hicho cheo wala haitasaidia Tanzania na chochote tutaendelea tu kuchoma mahindi 🌽 na kukimbiza mwenge bila akili huku uchumi ukizidi kusambaratika.
 
Baba mkenya, mama mtanzania.... Wote wenye asili ya India.

Basi sawa
Mkuu hiyo dhana ya asili ina nafasi gani? Siyo tumejifunza shuleni makabila mengi ya Tanzania ni Wabantu, je si weyeji tena kwa sababu mababu walitoka Kamerun?
 
Back
Top Bottom