je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Hawa River sijui wamefikaje robo fainal. Hii timu hata Ruvu shooting Wana afadhali
INAONEKANA ligi ya wapopo ni dhaifu kama ligi ya visiwani Zanzibar.
No hard feeling, Yanga anatakiwa kuvuka japo wataongea sana ila tukubali huu mwaka jamaa wamepata kismart sana
Timu wanazokutana nazo ni Zalan fc tupu.
INAONEKANA ligi ya wapopo ni dhaifu kama ligi ya visiwani Zanzibar.
No hard feeling, Yanga anatakiwa kuvuka japo wataongea sana ila tukubali huu mwaka jamaa wamepata kismart sana
Timu wanazokutana nazo ni Zalan fc tupu.