GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nichukue nafasi hii kuipongeza River United kwa Kupangiwa na Mpinzani yoyote yule aliyepatikana na kuna Uwezekano aliyepangiwa nae akapigwa nyingi Nigeria na za kutosha pia Kwao na kutupwa kabisa nje na River United FC kwenda Nusu Fainali na hata kuwa Mabingwa.
Tutaelewana tu kuanzia hatua hii. Tumejitapa mno na wakati wa Kulia, Kulaumiana, Kumfukuza na Kumkataa Kocha huku tukichapana Bakora umewadia.
Kudadadeki....!!!!!!
Tutaelewana tu kuanzia hatua hii. Tumejitapa mno na wakati wa Kulia, Kulaumiana, Kumfukuza na Kumkataa Kocha huku tukichapana Bakora umewadia.
Kudadadeki....!!!!!!