Mkuu Yanga ni sawa na karunguyeye , ni rahisi sana kumuweka kwenye mfuko wako wa suruali tatizo lipo kwenye kumtoa, nyie simba mmemuweka mfukoni mtapata shida kumtoa mfukoni.Hivi kama Yanga ilifungwa na Simba goals 2 Kwa sifuri, Rivers ingecheza na Simba si ingefungwa 7??