njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Habari njema kwetu mashabiki wa Rivers United tumesajili majembe mawili ya kazi, karibuni sana kutoa comments zenu msisahau pia tuko katika michuano maalumu inayofanyika huko Benin ikishirikisha top clubs za west africa kujiandaa na klabu bingwa, matayarisho ni muhimu sana
Tumemsajili Branabas Daniel kutoka Gombe utd kwa mkataba wa mwaka mmoja na Auwal Malim jamaa hatari kutoka Kano pillars aliyegongesha magoals 45 katika misimu 4
TUNARUSHUSIWA PIA KUINGIA DM,INBOX ZAO KUWAPA MBINU MBALIMBALI ZITAKAZOTUMIAKA HAPA DSM SIKU HIYO YA TAEREHE 12 KAMA AMBAVYO MIMI NAFANYA KWA WEEK YOTE HII NA WAMEKUWA WAKINISHUKURU SANA KWA INFORMATION ZANGU
Tumemsajili Branabas Daniel kutoka Gombe utd kwa mkataba wa mwaka mmoja na Auwal Malim jamaa hatari kutoka Kano pillars aliyegongesha magoals 45 katika misimu 4
TUNARUSHUSIWA PIA KUINGIA DM,INBOX ZAO KUWAPA MBINU MBALIMBALI ZITAKAZOTUMIAKA HAPA DSM SIKU HIYO YA TAEREHE 12 KAMA AMBAVYO MIMI NAFANYA KWA WEEK YOTE HII NA WAMEKUWA WAKINISHUKURU SANA KWA INFORMATION ZANGU