RIWAYA: Am not a Doctor

RIWAYA: Am not a Doctor

Kama mambo yenyewe ndo haya bora cjaianza na wala siianzi kabisa
 
ILIPOISHIA
Mama Rose alizungumza kwa sauti fulani hivi ya kibabe. Mimacho yakanitoka huku mwili ukinitetemeka, mama Rose alipo niona ninachelewa kujibu swali lake akanisogelea, akaingia mkono wake wa kulia katika mfuko wangu wa pensi upande wa kushoto. Akatoa simu yake, akaingiza mfuko wa upande wa kulia na kutoa pesa ambayo nilikusudia kumpa. Ninacho mshukuru Mungu simu yangu nimeiacha kwenye gari.
“Ndio maana ninakupenda Erick ahadi zako ni za kizungu sana”
“Sawa mama, ninakuomba niondoke”
“Heee!! Uondoke? Huwezi kuondoka bila ya kunitomb**
Mama Rose alizungumza neno hilo pasipo aibu ya aina yoyote. Kwa kunidhihirishia kwa kile anacho kizungumza akalivua tenge lake na kulitupia kitandani. Nikataka kukimbilia kitandani ila akaniwahi kunidaka,
“Ukilete ubishi tu. Nitapiga kelele na kuwaambia watu kwamba unataka kunibaka, utaona utakacho fanywa mjinga wewe”

ENDELEA
Maneno ya mama Ros yakazidi kuniogopesha, kwa hichi anacho kifanya kwangu sio haki kabisa. Mama Rose akanikumbatia huku akitoa mihemo mizito sana inayo ashiria kabisa kwamba ana hamu ya kufanya mapenzi. Akajaribu kukutanisha midomo yetu ila nikamkwepa. Akanishika kwa mikono yake yote miwili na kuning’ang’aniza kunyonya midomo yangu hadi akafanikiwa kwa maana mwili wangu mzima umepoteza nguvu ya asili, hii ni kutokana na woga ulio nitawala sana
Mama Rose akanza kunyonya midomo yangu huku hukuy akiendelea kunipapasa kwenye mwili wangu. Mama Rose akanilaza kitandani huku akiendelea kuinyonya midomo yangu, hisia za mapenzi zikaanza kuutawala moyo wangu, wasiwasi na woga ukaanza kuniondoka taratibu. Mama Rose akaendelea kucheza na mwili wangu, akanivua tisheti pamoja na pensi yangu. Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi wasiwsi na woga ulivyo anza kuniisha, nikajikuta na mimi nikianza kumpapasa mama Rose mwili wake, huku mikono yangu kwa mara kadhaa nikiwa ninaipeleka kwenye makalio yake makubwa ambayo yapo sawa na nwanaye Rose.
“Ila mama hamtumtendei Rose”
Nilizungumza huku nikimtazama mama Rose usoni, ambaye taratibu akanitazama kwa macho yake malegevu.
“Rose ni mwanangu, kwa nini kizuri nisile naye”
Maneno ya mama Rose yakaendana na kiganja chake chamkono wa kulia jinacho mchua jogoo wangu taratibu taratibu akanifanya nijikute nikiyafumba macho yangu.
“Ila…….”
“Shiiiiii Erick nipe utamu baba, acha maneno mengi”
Mama Rose alizungumza huku akinikalia kiunoni mwangu, akaendelea kumchua jogoo wangu kwa utaratibu, akatema mate kidogo kwenye kiganja cha mkono wake wa kulia kutoka mdomoni, kisha akampaka jogoo wangu na taratibu akaanza kumkalia huku akiwa ameyafumba macho yake.
“Aiissssiiiiiiiiiiii, mmmmmmmm”
Mama Rose alizungumza huku akijsikilizia jinsi jogoo wangu anavyo zama kwenye kitumbua chake. Kwa mwendo wa taratibu akaanza kukizungusha kiuno chake huku mikono yake yote miwili akiwa ameiweka kifuani mwangu.
“Fuc** Fuc** Fuc** meeeeeee”
Mama Rose alizungumza huku akiongeza kasi ya kukata kiuno chake. Alipo ona sauti imezidi kupanda juu, akachukua rimoti ya Tv kubwa iliyopo humu ndani na kuiwasha.
“Erick nyoosha viongo vyangu mwanangu”
Maneno yakaendelea kumtoka mama Rose, utamu kwa upande wangu name ukazidi kunikolea, nikakishika kiono chake na kumsaidia katika kuzungusha kiuno chake, japo ni mwana mama wa miaka arobaini na kitu ila anajituima kisawa sawa kitandani.
“Ohoo Erick tubadilishe mkao”
“Poa mama”
Mama Rose akashuka kwa haraka juu yangu akajilaza kitandani chali huku miguu akiipanua na kuiweka kifuani mwake. Nikataka kumuingiza jogoo wangu, ila nikasita kidogo. Kuna kijimchezo huwa ninamfanyia Rose, ngoja nimafanyie na mama yake.
“Ingiza baby”
“Ngoja mama”
Nikamshika jogoo wangu vizuri na kuanza kumsugulisha kwenye kisim** chake. Mama Rose akaanza kuweweseka kwa raha, maji maji mengi yakaanza kumtoka huku akipiga kelele hapa ndipo nikatambua kwamba Rose na mama yake hawajatofautiana kwa kitu cha aina yoyote.
“Erick unaiua baba yangu ohooo”
“Tulia mama”
Nilipo ona amesha totesha shuka vya kutosha, nikaanza sasa kukila kitumbua chake safari hii, mimi ndio nikiwa nahoza wa hili jahazi.
‘Nakut***a siku nyingine usinitamani’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikianza kufanya fujo kwenye kitumbua cha mama Rose. Fujo zangu kwa mara kadhaa zikaanza kumfanya mama Rose kulalamika ninakiumiza kizazi chake. Sikulijali hilo kwa maana ni yenye mwenyewe ndio ameyahitaji haya kumtokea.
“Erick unaniua mwanangu”
“Tulia”
Nilizungumza huku nikimzaba kofi zito la kalio ili atulie na kusikilizia kile ambacho mimi ninakihitaji kumfanyia. Nikamlaza kifudifudi fudi, nikambana miguu yake na shuhuli ikaendelea. Kwa varangati hili la hapa kitandani mama Rose akaanza kukung’ata godoro huku kelele zake zote akizimalizia kwenye godoro hili.
“Nakuja”
“Njooooo”
Nilizungumza huku jasho jingi likinimwagika mwilini mwangu. Waarabu weupe wakazidi kujiandaa kutoka nilipo hakikisha kwamba wamefika mlangoni nikamchomoa jogoo wangu na wote wakamwagikia kwenye makalio ya mama Rose.
Nikaanza kuhisi kizungu zungu kikali sana kwenye mwili wangu. Pumzi niliyo itumia ni nyingi sana. Nikalikimbilia feni na kusimama mbele yake upepo wote ukawa unanipuliza mimi. Ukimya ukatawala kwa dakika zaidi ya sita hapakuwa na mtu aliye msemesha mwenzake. Nilipo anza kujihisi nguvu zinanirudi kwa haraka nikaokota pensi yangu na kuivaa, nikaangaza angaza chini ni wapi ilipo tisheti yangu nayo nikavaa huku jasho likinimwagika.
“Naondoka”
Nilizungumza huku nikihema, mama Rose taratibu akajigeuza na kulala chali huku akishika paji la uso wake, akionyesha dhairi kwamba kichwa chake kinamuuma sana. Nikashangaa nilipo muona mama Rose akitema vipande vya magodoro ambayo amevitafuna.
“U…uu…ogi?”
“Nipo sawa”
Nilizungumza huku nikitazama chini kuangalia kama kuna kitu chochote ambacho nichangu, niondoke nacho kisije kikalete matatizo, nikakumbuka kipindi nilipo toka bafuni sikuvaa boxer.
“Naomba funguo”
Mama Rose akanionyesha kwa mkono tu sehemu funguo zilipo, nikazichukua funguo kutoka juu ya meza na nikatembea hadi mlangoni, nikamtazama mama Rose jinsi alivyo jilaza kwa kuchoka kitandani, kisha nikafungua mlango na kutoka chumbani huku. Kwenye kodro sikukuta mtu yoyote, nikaanza kutembea kwa mwendo wa haraka hadi nje ambapo napo sikukuta mtu. Nikiangia ndani ya gari langu, nikatoa fungua ya gari mfukoni. Taratibu nikaondoka mtaa huu wa kina Rose huku nikiwa nimechoka sana. Nikaitazama simu yangu, sikukuta meseji wala missed call yoyote.
“Shit saa sita”
Nilizungumza huku nikiitazama simu yangu. Cha kumshukuru Mungu barabarani hakuna foleni. Nikawahi kufika nyumbani, majira ya saa saba kasoro. Cholo akainifungulia geti baada ya kumpigia honi. Nikasimamisha gari sehemu ninapo lisimamisha, nikashuka na kurudi getini alipo Cholo.
“Cholo maji kwenye chumba chako yanatoka?”
“Ndio bosi”
“Umefunga?”
“Hapana papo wazi”
“Poa”
Nikaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu kuelekea katika chumba cha Cholo ambacho kipo nnje ya nyumba kubwa ambayo tunaishi. Nikaingia chumbani kwake, moja kwa moja nikapitiliza hadi bafuni mwake kwa haraka nikavua nguo zangu na kuanza kuoga. Sikuchukua muda mwingi sana, nikamaliza, nivaa pensi na kutoka katika chumba hichi.
Nikampigia simu Zari, ikaita kwa mara ya kwanza hadi ikakatata, nikapiga kwa mara ya pili ikapokelewa.
“Haloo”
“Nifungulie mlango”
“Haya”
Hazikupita hata sekunde nyingi mlango ukafunguliwa, taratibu nikaingia ndani, nikampita Zari mlangoni pasipo kumsemesha kitu chochote, nikaingia chumbani kwangu na kuvua pensi niliyo ivaa na kujifunga taulo. Nikarudi sebleni nilipo muacha Zari.
“Vipi mbona umechelewa kurudi?”
“Foleni imenizingua sana, kuna sehemu kulitokea ajali ikanifanya nichelewe”
“Ohoo pole, vipi nikuandalie chakula?”
“Yaa niandalie”
Zari akanyanyuka, akaondoka hapa sebleni. Mawazo ya kuwaza kilicho tokea kati yangu na mama mkwe, kianza kuchukua nafasi kwenye akili yangu.
‘Hivi kwa mfano Rose akijua nimetoka na mama yake, itakuwaje?’
Nilijiuliza kichwani mwangu, huku nikihisi majuto makubwa kwenye moyo wangu.
‘Ni shetani gani basi huyu uliye pelekea mimi kuuona uchi wa mama Rose?’
Nilizidi kujiuliza kimya kimya huku machozi yakinimwagika usoni mwangu
“Kaka Erick mbona unalia”
Sauti ya Zari ikanistua sana na kujikuta nikijipangusa machozi usoni mwangu. Zari taratibu akaweka chakula mezani kisha akaka pembeni yangu huku akinitazama usoni mwangu.
“Erick una tatizo gani mpenzi wangu?”
“Ahaa sina kitu”
“Hapana Erick, kwa muda mchache huu tulio kaa nimeweza kukusoma. Siku ya leo kwako haijawa nzuri au kwa sababu umefanya mapenzi na mimi?”
“Hapana ni kichwa tu kinanisumbua sumbua”
“Niambie ni wapi kwenye dawa humu ndani ninakuchukulie”
“Hapana kitaachia muda si mrefu”
“Erick”
Zari aliniita huku akinishika mashavu yangu, na kunigeuza uso wangu sehemu alipo kaa. Tukatazamana kwa muda pasipo kuzungumza chochote.
“Hisia zangu nimezikabidhi kwako, sijali kama leo ndio mara yetu ya kwanza kuonana, ila nimekupenda, ninakupenda na nitakupenda maisha yangu yote. Kwa nini unakuwa mnyonge kiasi hicho, nishirikishe basi matatizo yako hata kama ni ushauri nitakupa”
Zari alizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa unyinge ndani yake,
“Naomba kwanza nile”
Nilizungumza huku nikichukua sahani ya chakula mezani, nikaanza kula kwa kasi huku nikiwa nimejawa na uchungu mwingi kwenye mayo wangu. Nikakumbuka mambo maengi ambayo nimefanya na Rose ahadi nyingi ambazo nilipanga na Rose ila leo hii nimesababishia mwenzangu kulala kitandani nusu mfu kwa tama zangu za mwili.
“Taratibu baby”
“Naomba juisi kwenye friji”
Nilizungumza huku kinywani mwangu nikiwa nimejaza vijiko vya chakula. Zari akanyanyuka na kufwata ambacho nimemuagiza. Nikaendelea kula kwa fujo hadi nikamaliza chakula, nikanywa glasi nzima ya juisi mfululizo hadi Zari akabaki akiwa amenikodolea macho.
“Umeshiba au nikuongeze chakula?”
“Nimeshiba”
Nilimjibu Zari kwa mkato huku nikinyanyuka nikaelekea chumbani kwangu, nikajibwaga kitandani huku mawao mengi yakiendelea kukiumiza kichwa change.
‘Ehhee Mungu wangu ninakuomba unisamehe, Rose usife mpenzi wangu’
Nilizungumza kimoyo moyo huku machozi yakizidi kunimwagika, kila nilipo kumbuka tendo nililo lifanya na mama Rose, machozi yakazidi kunimwagika usoni mwangu. Majuto ambayo ninayasikia moyoni mwangu kusema kweli yananiumiza sana.
Zari akaingia chumbani kwangu, akiwa amejifunga kanga nyepesi inayo onyesha nguo yake ya ndani.
“Erick nimeshindwa kulala mwenyewe chumbani kwangu, ninaogopa”
Rose alizungumza huku akiufunga mlango wa chumbani kwangu kwa ndani. Sikumjibu chochote zaidi ya kumtazama jinsi anavyo tembea kukisogelea kitanda changu. Akaka pembeni yangu huku akinitazama usoni mwangu.
“Erick ninakuomba unieleze ni kitu gani kinacho kusumbua, kwa maana unamwagikwa na machozi au nimekuudhi?”
“Hapana Rose”
“Rose?”
“Ahaha hapana, mpenzi wangu”
“Rose ni nani?”
“Eheee?”
“Rose ni nani?”
Zari aliuliza kwa sauti ya msisitizo huku akinikazia macho yake, nikajivuta vizuri na kukaa kitako kitandani huku nikiegemea uzio wa kitanda. Nikamtazama Zari usoni mwake, huku nikijishauri kwa mara kadhaa kwamba nimueleze ukweli.
‘Kwa mfano Rose akishindwa kunisamehe, nitaishije mimi?’
Niliuliza swali hili akilini mwangu, Zari muda wote amakeaa akilisubiria jibu la swali ambalo ameniuliza.
“Rose ni mdogo wangu ambaye kwa sasa ni marehemu”
Nikamuona jinsi Zari anavyo shusha pumzi nzito kifuani mwake huku akinitazama kwa macho malegevu.
“Alikufa na nini?”
“Alipata ajali ya pikipiki akitokea shule, siku kama ya leo ndio ilikuwa ni siku ya msiba wake. Ndio maana baba na mama wamekwenda Iringa kutazama kaburi”
Uongo wangu unaendana na ukweli, ulio mfanya Zari kukubali taratibu kwa kile ambacho nimemueleza
“Ohooo poleni sana, alikufa akiwa na mri gani?”
“Binti wa umri wa miaka kumi na sita”
“Daaa masikini wee, sikujua kama siku ya leo ni kumbukumbu ya msiba wa mdogo wako”
“Ndio hivyo mpenzi wangu”
Taratibu Zari akanikumbatia kwa hisia kali, kwa uchokozi Zari akavua kanga yake taratibu huku akiwa amenikumbatia. Chuchu zake zilizo nona zikawa zinaniminya minya kifuani mwangu na kujaribu kuziinua hisia zangu taratibu.
“Zari”
“Mmmmm”
“Nakuomba tulale, sijisikii vizuri”
“Jamani Erik naomba unipe japo cha kulalia”
“No sipo poa ninakuomba tulale tu”
“Nina hamu na wewe Erick”
“Ahaa jamani mutaniua mimi nimechokaa”
Nilizungumza kwa hasira huku nikimuachia Zari na kujilaza pembeni na kumuacha Zari akiwa ameduwaa.

ILIPOISHIA
“Daaa masikini wee, sikujua kama siku ya leo ni kumbukumbu ya msiba wa mdogo wako”
“Ndio hivyo mpenzi wangu”
Taratibu Zari akanikumbatia kwa hisia kali, kwa uchokozi Zari akavua kanga yake taratibu huku akiwa amenikumbatia. Chuchu zake zilizo nona zikawa zinaniminya minya kifuani mwangu na kujaribu kuziinua hisia zangu taratibu.
“Zari”
“Mmmmm”
“Nakuomba tulale, sijisikii vizuri”
“Jamani Erik naomba unipe japo cha kulalia”
“No sipo poa ninakuomba tulale tu”
“Nina hamu na wewe Erick”
“Ahaa jamani mutaniua mimi nimechokaa”
Nilizungumza kwa hasira huku nikimuachia Zari na kujilaza pembeni na kumuacha Zari akiwa ameduwaa.

ENDELEA
“Samahani Erick kama nitakuwa nimekuudhi”
Zari alizungumza kwa sauti ya unyonge, huku akinishika mgongoni.
“Lala”
“Sawa”
Zari akanyanyuka na kuzima taa kisha akarudi kitandani. Usiku mzima sikupata hata lepe la usingizi hadi kunapambazuka. Nikshuka kitandani na kumuacha Zari akiwa amelala, moja kwa moja nikaelekea chumba cha mazoezi. Nikafanya mazoezi ya viungo kwa nusu saa kisha nikarudi chumbani.
“Hei amka”
“Kumekucha?”
“Yaa ni saa kumi na mbili sasa”
Zari taratibu akanyanyuka huku akiwa na wenge la usingizi. Sikumsemesha kitu cha aina yoyote zaidi ya kuingia bafuni. Nikiwa katikati ya kuoga Zari akaingia akiwa kama alivyo zaliwa.
“Naomba nikuogeshe”
“Ninamalizia”
“Erick?”
“Naam”
“Kuna jambo lolote baya ambalo nimekufanyia?”
“Kwa nini?”
“Kila ninacho kuongelesha kwako ni hasira, kwa nini lakini?”
“Hujaniudhi wewe, na mara nyingi huwa nikiwa katika hali ya asira sipendi kuzungumza na mtu. Ninapenda kuwa peke yangu”
“Ok ngoja niondoke nikuache”
Zari alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Akapiga hatua hadi mlangoni ikanibidi kumuwahi, kwa maana mimi ndio mwenye makosa na wala si Zari na laiti nisinge mshawishi kuuteka moyo wake kwa muda machache ambao tumekaa sidhani kama angekuwa anaishi kwa huzuni na maswali mengi kiasi hichi.
“Unakwenda wapi?”
“Erick mimi ni mnyonge, sina thamani yoyote kwako. Japo ni kwa muda mchache tu nimekukabidhi moyo wangu nikitarajia furaha, ila ninacho kutana nacho si kile ambacho nina kitegemea”
Zari alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kusema kweli maneo yake yamepenye moja kwa moja hadi moyoni mwangu, taratibu nikamvuta hadi karibu na mwili wangu na kumkumbati.
“Sihitaji kuumiza moyo wako, nitajitahidi kuhakikisha kwamba kila kitu kwenye maisha yetu kinakwenda kama vile tunavyo panga. Ila nina kitu ambacho ninahitaji kukueleza”
“Niambie tu Erick”
“Baba na mama watarudi leo, muda wowote. Ninacho kuomba ili penzi letu liweze kudumu kwa muda mrefu ninakuomba waziri wakiwepo, tusionyeshe dalili yoyote ya mapenzi kati yetu. Kwa njia hii itatusaidia sisi kufika mbali sana”
“Hilo kwangu halina shida kabisa. Nitakuheshimu kama vile sifahamu chochote kuhusiana na wewe”
“Vizuri. Jambo jengine, nimebakisha muda mchache sana wa kuendelea kukaa hapa nyumbani.”
“Unamanisha nini?”
“Baba na mama wanahitaji mimi kwenda kusomea udaktari mkoani Kilimanjaro. Nimeona nikutaarifu mapema ili uweze kulitambua hilo nalo”
“Ni lini unaondoka?”
“Wiki moja mbeleni ndio nitaondoka”
Taratibu Zari akashusha pumzi, akanitazama usoni mwangu kwa macho ya unyonge. Pasipo kuzungumza kitu chochote, akanisogezea lipsi zake na taratibu tukaanza kunyonyana midomo yetu huku kila mmoja akiwa katika hisia kali sana za mapenzi. Ikawa ni kazi ya kutomasana kila kona ya miili yetu.
“Erick ninakupenda sana”
Zari alilalamika huku akijinyonga nyonga mwili wake hii nikutokana na utamu ninao mpatia katika kuyanyonya maziwa yake kwa mbinu ambayo ninaifahamu mimi mwenyewe.
Sikuwa na jinsi zaidi ya kuhakikisha kwamba ninampa burudani Zari kwa maana nafasi ya kuwa peke yetu katika nyumba mimi na yeye hatuta ipata tena. Burudani yetu ikaisha ndani ya lisaa moja, kila mmoja yupo katika hali ya kuchoka, hususani mimi ambaye ndio nipo hoi sana.
“Andaa kifungua kinywa kuna sehemu ninataka kwenda asubuhi hii”
“Sawa baby, ila niwapikie chakula gani mama na baba?”
“Nitampigia simu mama nitamuuliza ni kitu gani ambacho anakihitaji”
“Sawa”
Zari akajifunga tenge lake na kueleka chumbani kwake. Nikaichukua simu yangu na kukaa kwenye sofa. Nikaitazama namba ya simu ya mama Rose, nikataka kumpigia simu ila nikasita, nikabadilisha maamuzi yangu na kumpigia mama yangu.
“Mama shikamoo”
“Marahaba mume amkaje?”
“Salama, vipi mume anza safari ya kurudi Dar?”
“Hapana baba yako ameseme tutarudi kesho”
“Kuna nini?”
“Kuna vikao vyake hajavimaliza, kwa hiyo hadi kesho ndio tutarudi. Ila vipi huyo binti wa watu hapo nyumbani amesha yazoea mazingira?”
“Yaa amezoea japo si sana”
“Hayo majiko anaweza kuiyatumia vizuri?”
“Sijamuona akiyatumia zaidi ya kula chakula, ila nina imani atakuwa anaweza kuyatumia”
“Ahaa hakikisha hutoki toki nyumbani bwana, asije akaondoka na vitu ikawa balaa kwa upande wetu”
“Hawezi kufanya hivyo, kwani aliye kuletea mfanyakazi humuamini?”
“Ninamuamini”
“Sasa mbona unazungumza hivyo?”
“Poiti yangu usichelewe kurudi nyumbani, haya umeridhika?”
“Ndioooooo”
“Chumbani kwangu hakikisha una pafunga aingii ingii”
“Sawa, haya badae”
“Baba yupo wapi?”
“Amekwenda kwenye kikao mimi nipo hotelini”
“Sawa mama”
Nikakata simu, nikachagua nguo za kuvaa kwenye kabati langu. Nikazivaa vizuri kisha nikatoka chumbani kwangu. Nikamkuta Zari jikoni akimalizia kuandaa kifungua kinywa.
“Namalizia sasa hivi”
“Sawa, mimi nipo nje ninapunga punga upepo”
“Okay”
Nikiwa ninatoka nje, simu yangu mfukoni ikaita, nikaitoa kwa haraka na kukuta ni namba ya Rose, ikanibidi kuongeza hatua za kutembea hadi nje. Nikaipokea huku nikichungulia chungulia ndani kuhakikisha kwamba Zari asikii mazungumzo yangu.
“Haloo baby”
Niliisikia sauti ya mama Rose, nikajikuta nikishusha pumzi nyingi sana
“Nani baby wako?”
“Ahaaa Erick kwa utamu ambao umenipatia jana unahisi kwamba sinto kuita Baby?”
“Samahani mama Rose ninakuomba tuheshimiane, jana ilitokea kama bahati mbaya. Ninakuomba kuanzia sasa hivi heshima ibaki kufwata mkondo wake. Nitabaki kuwa mkwe kwako basi”
“Hahahahaaaa…..!!! Erick unanishangaza sana, hivi kama ningekuwa mkweo, ungemsaliti mwanangu?”
“Sema tumemsaliti, kwani hilo ulilo nifanyia jana unahisi kwamba ni haki?”
“Erick usijidai kunipandishia kibesi ikiwa unajua mimi ni nani, kama unampenda mwanangu na unataka awe wako maishani mwako, utafanya kile ambacho mimi ninakihitaji”
“Nisikilie mama Rose, hata huyo mwanau ninaweza kumuacha vile vile, sihitaji kuwa mtumwa wa ngono kwenye maisha yangu na wala usihisi nitakuja kuwa mtumwa wa ngono kwenye maisha yangu. Kwa maana hulihisi mimi ni mwanaume wa kuchezewa chezewa imekula kwako”
Nilizungumza kwa sauti ya ukali kisha nikakata simu baada ya kumuona Zari akitoka mlangoni.
“E chai tayari”
“Ninakuja”
Zari akanitazama kwa sekunde kadhaa akiwa amesimama mlangoni kisha akaingia ndani. Nikapiga hatua moja mbele simu ikaita, nikajikuta nikisimama na kuiangali kwa sekunde kadhaa. Nikakata simu hii nayo piga mama Rose. Nikaingia ndani na moja kwa moja nikaelekea kwenye meza ya chakula.
“Mbona umenuna?”
Zari aliniuliza huku akininawisha mikono yangu.
“Hakuna kitu”
Mlio wa meseji ukanifanya kuingalia simu yangu, Zari akaitazama naye cha kushukuru Mungu limetokea jina la mama Rose, kwa haraka nikaupangusa maji mkono wangu wa kulia kwa kutuma kitambaa kilichopo juu ya meza kisha nikaichukua simu na kuifungua meseji.
(INGIA WHATSAPP)
Meseji hii yenye ujumbe umfupi, ikanifanya kuingia kwenye mtandao huu wa kijamii. Nikakuta ujumbe wa video ukiwa umetumwa kutoka kwa Rose kuja kwangu. Nikaifungua video hii haraka na kukuta ni video ambayo inatuonyesha mimi na Zari tukiwa katika hatua ya kuanza kufanya mapenzi huku Zari akiwa amempa mgongo mchukuaji wa video hiyo ambaye alikuwa ni Rose. Nikamtazama Zari aliye kaa kwenye kiti chake akikoroga sukari kwenye kikombe chake taratibu. Nikataka kuifuta video hii ila kukaingia ujumbe mwengine hapa hapa WhatsApp kutoka kwa mama Rose ambaye anaitumia simu ya mwanaye Rose.
(NINA MAGROUP YA WATU ZAIDI YA KUMI, UNA DAKIKA KUMI ZA KUFIKIRIA JUU YA PENZI LANGU KWAKO, LA SIVYO NITAISAMBAZA HIYO VIDEO NA TANZANIA NZIMA WATAIONA. FIKIRIA HILO ERICK)
Nikakitazama kikombe cha chai ambacho Zari aliniandalia, hata hamu ya kunywa kikombe hicho imenitoweka kabisa.
“Mbona hunywi chai?”
“Nitakunywa baby”
“Sawa”
Nikaifuta meseji hii pamoja na video ambayo amenitumia mama Rose. Nikairudisha simu yangu mfukoni, nikaanza kunywa chai huku kichwa changu kikiwa kimetawaliwa na mawazo mengi sana. Hakuna kitu kibaya kwenye maisha yangu kama video ya ngono ambayo inanihusisha mimi, kusambaa kwenye mitandao. Ukiachilia mbali aibu nitakayo ipata mimi. Ila familia yangu sijui itaniweka kundi gani, hususani baba yangu ambaye siku zote ana msimamo mkali sana kwenye maisha yake. Mama yangu ambaye ni mzee wa kanisa katika kanisa la KKKT, naye sijui atachukuliwaje na waamuni pamoja na watumishi wezake baada ya video hiyo kusambaa. Jasho jingi likaanza kunimwagika pasipo kupenda, utamu wa chai nikauona ni shubiri kwangui.
“Mbona jasho linakumwagika?”
“Ahaa chai ya moto”
“Ukinywa chai ya moti ndio jasho linakumwagika sana?”
“Ndio ndio”
Hata majibu yangu yamejaa ubabaishaji kusema kweli, woga umenikabili, baada ya kufikiria madhara ya video yangu ya ngono ikisambaa. Na mbaya zaidi baba yangu ana mipango mikubwa miaka miwili mbeleni, ambayo kwa kupitia video hii ya ngono inaweza kuwa ni moja ya silaha ambayo wapinzani wake wanaweza kuitumia katika kumuangusha chini.
“Nimeshiba asante”
Nilizungumza huku nikinyanyuka kwenye kiti. Nikanawa mikono yangu haraka haraka na kuelekea chumbani kwangu, nikachukua kadi zangu mbili za benki, nikaziweka kwenye waleti kisha nikachukua funguo ya gari na kutoka na kumkuta Zari akiwa anakaribia kuingia kwenye chumba changu.
“Unakwenda wapi honey?”
“Kuna biashara ambayo ninataku kuifanyia kazi sasa hivi”
Kabla Zari hajazungumza kitu chochote, mlio wa meseji uliyo ingia kwenye simu yangu ukamfanya kusitisha alicho hitaji kukizungumza. Nikaitoa simu yangu mfukoni, na kuufungua ujumbe huu wa simu ulio toka kwa mama Rose.
(UNA DAKIKA MBILI ZA KUAMUA)
Nikautazama ujumbe huu kwa macho makali kisha nikaufuta na kuiingiza simu yangu mfukoni.
“Ninahitaji kuondoka”
Nilizungumza huku nikimbusu Zari mdomoni mwake.
“Mama na baba niwapikie chakula gani?”
“Hawarudi leo, utamuambie Cholo akuagizie chipsi sawa”
“Cholo!!?”
“Ndio mfungua geti”
“Ahaaa”
“Pesa nitamtumia kwenye pesa yake ya kukuchukulia chipsi za mchana, na kama nitachelewa pia usiku akuchukulie chipsi”
“Sawa dear ila kuwa makini”
“Usijali”
Zari akanibusu mdomoni mwangu, nikatoka nje, kitendo cha kufungua mlango wa gari simu yangu ikaita, nikaitoa mfukoni haraka iwezekanavyo kutokana ni mama Rose ndio anaye piga sumu hii.
“Ndio”
“Dakika nilizo kupa zimekwisha sasa subiri majibu”
“Ngoja, nimekubali, nimekubali mpenzi wangu”
Nilijikuta nikizungumza huku nikifunga mlango wa gari.
“Waooo upo tayari kufanya kile ninacho kuambia?”
“Ndio nipo tayari”
“Njoo unichukue twende hospitali sasa hivi”
“Sawa ninakuja”
Mama Rose akakata simu, taratibu nikageuza gari na kuendesha kwa mwendo wa taratibu hadi getini.
“Cholo za asubihi?”
“Safi bosi za kuamka”
“Poa. Ninakwenda benki nitakuingizia elfu hamsini, mutanunua chipsi mchana na jioni sawa”
“Sawa bosi, chipsi nini?”
“Utamuulize Zari ndani”
“Ahaa kumbe anaitwa Zari”
“Ehehee sihitaji maswali, wewe utamnunulia chipsi na kuwa makini. Mazoea ya kijinga kwa huyu bibie mimi siyahitaji ukifanya hivyo tutagombana kwa kweli”
“Ahaa bosi Erick mbona mimi unajua sinaga hiyo tabia. Ni wangapi wanakuja hapa na wanaondoka salama”
“Wewe jisafishe tu, ukiona nimechelewa kukutumia, tumia pesa yako”
“Sawa bosi”
Nikatoka getini na kueleka kwa mama Rose, sikuchukua muda mrefu nikafika nyumbani kwake na kumpigi simu.
“Nipo nje, ingia ndani”
Sikuwa na ubishi zaidi ya kushuka kwenye gari huku nikidhamiria moyoni mwangu nina hakikisha kwamba ninakwenda kuifuta video ambayo mama Rose ananitesa nayo na kuhitaji mimi kuwa mtumwa wa ngono kwenye maisha yake.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
“Ehehee sihitaji maswali, wewe utamnunulia chipsi na kuwa makini. Mazoea ya kijinga kwa huyu bibie mimi siyahitaji ukifanya hivyo tutagombana kwa kweli”
“Ahaa bosi Erick mbona mimi unajua sinaga hiyo tabia. Ni wangapi wanakuja hapa na wanaondoka salama”
“Wewe jisafishe tu, ukiona nimechelewa kukutumia, tumia pesa yako”
“Sawa bosi”
Nikatoka getini na kueleka kwa mama Rose, sikuchukua muda mrefu nikafika nyumbani kwake na kumpigi simu.
“Nipo nje”
“Ingia ndani”
Sikuwa na ubishi zaidi ya kushuka kwenye gari huku nikidhamiria moyoni mwangu nina hakikisha kwamba ninakwenda kuifuta video ambayo mama Rose ananitesa nayo na kuhitaji mimi kuwa mtumwa wa ngono kwenye maisha yake.

ENDELEA
“Habari za asubuhi”
Niliwasalimia wana mama walio kaa kwenye kordo ya nyumba hii wakipika chakula.
“Salama”
Mmoja wao aliitikia na mwengine hakuitikia salamu yangu zaidi ya kubaki akiwa amenikodolea macho tu. Nikabisha hodi kwenye mlango wa mama Rose na akaniruhudu kuingia ndani. Nikaingia na kumkuta mama Rose akiwa kama alivyo zaliwa, amesimama mbele ya kioo cha dreasing table akijipaka mafuta.
“Funga mlango na karibu ukae hapo”
“Asante”
Nikaka kwenye group huku nikimtazama mama yangu mkwe huyu ambaye hana hata aibu mbele yangu na anatumia ugomvi wangu mimi na Rose kujivutia upande wake.
“Ninajiandaa hapa twende tukamuone Rose”
“Sawa mama”
“Ukiwa na mimi usipende kuniita mimi mama”
“Okay nimekuelewa”
Mama Rose akavaa nguo ya ndani, akafwata na gauni lililo bana mwili wake vizuri. Alipo hakikisha kwamba amejiandaa, akanipa mfuko mweusi wenye mahot pot mawili pamoja na chupa.
“Twende kwenye gari”
Nikaanza kutoka mimi na kumuacha mama Rose akiufunga mlango wake na kuwaaga wapangaji wezake. Nikauweka mfuko siti ya nyuma kwenye gari, na kukaa siti ya mbele na kumsubiria mama Rose kuingia kwenye gari.
“Pafyumu yako inanukia vizuri”
Mama Rose alizungumza huku akijifunga mkanda wa siti ya gani.
“Asante baby”
“Waoo leo hii unaniita baby”
“Yaa tumefungua ukurasa mpya wa mapenzi kati yako wewe na mimi. Sasa nikwa ni kwa nini nisikuite baby au hupendi?”
Nilizunguza maneno ya kumridhisha tu mama Rose kwa maana ukihitaji kula na kipofu si lazima umshike mkono.
“I real like it”
Mama Rose alizungumza kingereza chake mchwara huku meno yote thelathini na mbili yakionekana. Safari ya hadi kufika hospitalini ikachukua masaa kadhaa hii ni kutokana na foleni ndefu ya jiji letu hili la Dar es Salaam. Tukafika hospitalini tukiwa na furaha sana, nilijaribu kuendelea kumpumbaza mama Rose ili mradi nimteke akili na kuniamini, ili nikipata nafasi basi niifute video hii ya ngono inayo nihusisha mimi na Zari.
Moja kwa moja tukaeleka katika chumba cha wagonjwa mahututi, mama Rose akaniomba aanze kuingia yeye, kwa maana kama daktari alivyo shauri jana usiku. Mtu wa kwanza ambaye Rose atatakiwa kumuona ni mtu ambaye hajamsababishia matatizo na laiti akiniona mimi basi inaweza kumletea matatizo.
Mama Rose akaka ndani ya chumba hicho kwa dakika kumi na tano kisha akatoka, akanitazama usoni mwa uso ulio poteza furaha kabisa.
“Vipi?”
“Rose muda wote yeye analia, hataki hata kukuona”
“Kwani ulimuambia kwamba nipo hapa nje?”
“Yaa nilimuambia kwamba tumekuja wote, ila amekataa kabisa kuzungumza na wewe. Pia nesi anaye muhudumia ameshauri kwamba usiingie kwa maana hali yake bado haijawa sawa”
Maneno ya mama Rose yakaninyong’onyeza kabisa, kwa maana nafasi hii nilitamani kuitumia sana ili niweze kwenda kumuomba msamaha Rose kwa yale yote yaliyo weza kutokea kwa siku ya jana.
“Erick ninakuomba tuweze kuondoka, kama itawezekana turejee baadae kumuangalia. Labda akili yake inaweza kuwa sawa”
“Sawa mama”
Sikuwa na kipingamizi zaidi ya kukubaliana na kila ambacho mama Rose amekizungumza. Tukaanza kutembea kuelekea nje huku nikiwa na mawazo mengi sana.
“Erck ninakuona kichwa chako hakipo sawa, ninakuomba tutafute sehemu tukapumzike hadi mida ya jioni tutakuja kumuona tena-Rose”
“Sawa mama, ila ningekuomba tupitie bank kwanza kisha ndio tutafute hiyo sehemu ya kumpumzikia”
“Sawa, mpenzi wangu mimi ninakusikiliza wewe tu”
“Ila ninakuomba uzungumza na Rose, ninampenda sana. Nilicho mfanyia hakustahili adhabu hiyo ya maumivu ya moyo”
“Ninalitambua hilo swala, nitazungumza naye. Rose ni mwanangu hawezi kubishana na mimi kwa kile ambacho huwa nina mwambia”
“Sawa mama”
“Samahani jamani”
Sauti ya nesi ikatufanya tusitishe mazungumzo yetu na kumtazama.
“Naamini wewe ndio Erick?”
“Ndio nesi”
“Nifwate”
“Nesi kuna nini?”
“Mama ninakuomba utusubiri, anakuja”
Nikaongozana na nesi huyu anaye tembea kwa haraka sana.
“Nesi tunaelekea wapi?”
“Mgonjwa wako anakuhitaji kukuona”
“Rose amekubali kuniona?”
“Kwani mama yake hakukuambia?”
Sikuhitaji kulijibu swali la nesi huyu kwa maana mama yake alicho kuja kunileza ni kitu cha tofauti sana na kile ambacho nesi huyu anakizungumza.
“Una dakika chache za kuzungumza naye. Unaweza kuingia”
Nesi alizungumza huku akinifungulia mlango wa chumba cha wagonjwa mahututi. Nikaingia ndani ya chumba hichi kilicho tulia. Rose akanitazama, kwa macho yaliyo jaa machozi, taratibu nikatembea huku nikimuangalia Rose usoni mwake.
“Rose”
Niliita kwa sauti ndogo na iliyo jaa unyenyekevu. Rose akanitazmaa huku machozi yakizidi kumwagika usoni mwake, taratibu nikaka pembeni ya kitanda na kumtazama Rose usoni mwake. Taratibu Rose akanyanyua mkono wake wa kushoto, kwa ishara akanionyesha nimvue pete ya uchumba ambavyo nilimvisha miezi michache nyuma. Mwili mzima ukanisisimka na kujikuta machozi yakinilenga lenga. Rose hakuhitaji kuzungumza chochote zaidi ya kunisisitizia kwa ishara kwamba nimvue pete ambayo nimemvisha.
“Rose ninakuomba unisamehe mpenzi wangu”
“Nivue pete yako”
“No siwezi kukuvua mpenzi wangu”
“Mimi sio mpenzi wako na kama unahitaji nife na kinyongo moyoni mwangu basi iache hii pete kidoleni mwangu”
Rose alizungumza kwa kujikaza sana, huku machozi yakiendele kumwagika usoni mwake.
“Rose huwezi kufa mpenzi wangu, ninakuomba unisamehe tafadhali”
“Erick nivue pete yakoooo”
Rose alizungumza kwa sauti ya juu hadi nesi akaingia kwa haraka ndani ya chumba hichi. Mashine ya mapigo ya moyo iliyopo pembeni ikaanza kutoe kilio kilicho nifanya nichanganyikiwe.
“Kaka ninakuomba utoke ndani ya chumba”
“Erick pete yako nitoe”
Rose aliendelea kuzungumza kwa sauti.
“Dada tafahdali ninakuomba usizungumze kitu, tulia. Kaka chukua pete yako na kutoka ndani ya chumba.”
Sikuwa na jinsi zaidi ya kutii amri ya Rose pamoja na nesi huyu kwa maana hali ya Rose imeanza kubadilika. Nikamvua pete Rose na kutoka katika chumba hichi huku machozi yakinimwagika na kushindwa kabisa kuyazuia machoni mwangu. Nikaona manesi wengine wawili wakikimbilia katika chumba ambacho nimetoka, mapigo ya moyo yakapoteza kabisa amani. Nikatamani kuondoka ila miguu ikashindwa kabisa, nikabaki nikiwa nimesimama nje ya mlango wa chmba hichi cha Rose. Haukupita muda kidogo nikamuona daktari aliye muhudumia Rose jana akija kwa kasi, wala hakunisalimia zaidi ya kuingia ndani ya chumba hicho kwa haraka sana.
Mama Rose nikamuona akija kwa kasi kwenye kordo, huku jasho likimwagika sana.
“Erick ni nini kinacho endelea?”
“Maaa……dd…..a mada….kta…..ri wapo humo ndani”
Nilizungumza huku nikipatwa na kigugumizi kikali sana kinacho sababishwa na kulia kwa uchungu sana. Mama Rose machozi naye yakaanza kumwagika usoni mwake.
“Erick mwanagu amefanya nini ohooo Mungu wangu”
Sikuweza kumjibu mama Rose kitu chochote zaidi ya kujikuta nikikaa chini huku huku machozi yakiendelea kunimwagika sana. Hatukuwa na sehemu ya kwenda zaidi ya kusibiria majibu ya madaktari, baada ya nusu saa, nesi akatoka huku akiwa amemwagikwa na jasho.
“Nesi”
Nilizungumza kwa shauku huku nikinyanyuka kwa kasi kutoka chini nilipo kaa.
“Ninawaomba mutulie, hali ya mgonjwa tumejitahidi kadri ya uwezo wetu na………”
Macho yakatutoka mimi na mama Rose na kubaki tukiwa tumemtazama nesi huyu.
“Tumefanikiwa kuyaokoa maisha yake, kwa maana alipata tatizo la mstuko wa moyo ambalo ni hatari sana kwa binadamu na laiti kama tungechelewa kidogo basi maisha yake yangepotea”
“Ohoo asante sana Yesu”
Mama Rose alizungumza huku akitabasamu.
“Kaka tafahali, ninakuomba usiweze kuonana na mgonjwa, kwa maana kwa ajili yako tunaweza kumpoteza yule binti”
“Sawa nesi”
“Kwa sasa mgonjwa amepumzika. Mama unaweza kurudi majira ya saa kuni na moja jioni”
“Sawa nesi”
Nikaondoka hospitalini hapa huku nikiwa nimejawa na furaha upande mmoja ila upande mwengine nimejawa na huzuni kubwa ambayo kusema kweli inaniumiza sana.
“Erick”
“Mmmmm”
“Ninakuomba umpe nafasi Rose ya kupona, tafadhali usionane naye muache atoke hospitali ndio mukutane”
“Sawa mama”
Tukaingia kwenye gari, moja kwa moja tukaelekea kwenye benki ya CRDB, nikatoa kiasi cha laki tano, kisha nikarudi kwenye gari.
“Tuelekee wapi kwa sasa?”
“Ahaa tueleke hoteli yoyote kama huto jail”
“Sawa mama”
Sikutaka kumuambia mama Rose tunaelekea sehemu gani. Moja kwa moja nikaelekea katika hoteli ya Royal Internation iliyopo pembezoni mwa bahari. Nikalipia chumba cha elfu stini na kununua mzinga wa wayne na kuelea nao chumbani kwetu.
“Kama una njaa uagizie chakul”
Nilimuambia mama Rose huku nikikaa kwenye sofa lililopo humu ndani ya hichi chumba.
“Hapana nipo vizuri”
Nikatoa pete ambayo nimemvua Rose kwa mikono yangu mimi mwenyewe. Nikaitazama huku machozi yakinilenga lenga. Mama Rose akabaki akinitazama huku akiwa amekaa kwenye sofa la mbele yangu. Nikafungua mzinga wa wyne na kuanza kuunywa kwa fujo sana hadi mama Rose akanizuia.
“Erick tulia baby, kunywa hivyo unaweza kupaliwa ikawa ni tatizo”
“Niache ninywe bwana, mwanao hanitaki sasa kuna haja gani ya kuniacha nisinywe”
“Hapana Erick, mimi nipo. Ninaweza kukupa chochote ambacho mwangu alikuwa anakupatia, kwani tumetofautiana kitu gani mimi na Rose?”
Mama Rose alizungumza huku akiwa amesimama, akaanza kujigeuza geuza mbele yangu. Kisha akavua gauni lake alilo livaa na kubakiwa na guo ya ndani. Simu yangu ikaita mfukoni mwangu na kuitoa na kukuta ni rafiki yangu mmoja anaiye itwa jumaa, ananipigia.
“Popoo”
“Niambie popo”
“Siku mbili hizi sikuoni, wapi hiyo”
“Ahaa mwana nina majanga, ila nitakucheki badae”
“Ahaa majanga ya nini tena?”
“Nitakucheki mida tutabonga sana”
“Poa mwana”
“Pamoja”
Nikakata simu, nikamtazama mama Rose anaye kwenda bafuni huku akiwa na nguo za ndani, wazo la kumpiga picha za uchi likanijia akili mwangu. Nikaiweka picha ya wyne mezani, nikaingia upande wa kamera kwenye simu yangu kwa haraka sana na kuanza kumpiga picha mama Rose akiwa anaingia bafuni. Na uzuri nikatoa mwanga wa kamera kwa hiyo hata nikimpiga picha hawezi kustuka kabisa. Alipo ingia bafuni nikanyanyuka, kwa haraka nikavua nguo zangu na kubakiwa na boksa, nikaeleka bafuni nikiwa na simu yangu mkononi huku nikiwa nimeweka upande wa video. Nikafungua mlango na kumkuta mama Rose akitoa haja ndogo.
“Jamani baby umenifwata hadi huku”
“Yaa nina hamu na wewe”
Nilizungumza huku simu yangu nikiwa nimeibana vizuri kwenye kiganja cha upande wa kushoto pasipo mama Rose kuiona. Alipo maliza kutoa haja yake ndogo, akanawa vizuri kwenye kitumbua chake, kisha akanisogelea huku akiwa amachuchuma. Akaniporomosha boksa yangu, taratibu akaanza kumshika jogoo wangu na kuanza kumchezea taratibu. Alipo hakikisha amesimama vizuri, akaanza kumlamba pasipo kujua kwamba ninamrekodi kila kitu. Mama Rose akaendelea kunyonya jogoo wangu huku macho akiwa ameyafumba, hapo ndipo nikapata nafasi nzuri ya kuichukua sura yake kwenye video yangu. Nilipo ridhika nikaihifadhi video hii kwenye simu yangu, kisha nikamuomba tueleke chumbani pasipo kugundua kwamba nimemrekodi kila alicho kifanya.
“Mbona unavaa nguo unakwenda wapi?”
Mama Rose aliniuliza kwa mshangao huku akinitazama jinsi ninavyo vaa suruali yangu.
“Ninakwenda kwetu”
“Kufanyaje, wakati mwenzako ndio kwanza nimezidiwa”
“Kuna wahudumu wa kiume wengi sana kwenye hii hoteli unaweza ukawaambia wakaufanya kile unacho hitaji mimi nikufanye”
“Erick umefikia kunidharau hivyo?”
“Wewe ni mtu mzima usiye jielewa hembu tazama mwanao amelala kule nusu kufa, wewe bila haya wala woga unakuja kunipanulia kum** yako huku una akili kweli”
Nilizungumza kwa kujiamini sana kwa maana nimesha tambua kwamba dawa ya moto ni moto.
“Eheehehee Erick hunijuie heeee?”
“Nakujua, una lipi jipya mzee wewe, nimelipia chumba kama unataka unaweza kulala hapa, kama uhitaji unaweza kwenda uswahilini kwako. Kukiwa na haya ya pesa kuhusiana na Rose niambie ila koma kunifwatilia na koma kunitambua kwamba ulisha wahi kutombw** na mwanaume kama mimi”
Maneno yangu dhari yakazidi kumchefua mama Rose, hadi sura yake ikaanza kutawaliwa na mistari mingi usoni mwake. Kwa haraka akachukua simu ya Rose kwenye pochi yake na kuanza kuiminya minya.
“Ngoja nikuchafue nguruwe wewe”
“Ahaa kabla ya wewe kunichafua, huko huko whatsapp subiri nikuonyeshe kitu”
Nikatoa simu yangu mfukoni ambayo nilisha iingiza mfukoni. Nikamtumia mama Rose video niliyo mrekodi pamoja na picha zake zote nilizo mpiga, na zote zinamuonyesha sura yake.
“Wazungu wenyewe wanasema what do you feel? Nahisi hapo umenielewa”
Nikamuona mama mama Rose akiwatumbua macho yake, jasho likaanza kumwagika uso mzima, mwili mzima nikauona ukimtetemeka, nikajikuta nikitabasamu kwa furaha, taratibu nikaachukua chupa yangu ya wyne na kuanza kuelekea mlangoni.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Nikatoa simu yangu mfukoni ambayo nilisha iingiza mfukoni. Nikamtumia mama Rose video niliyo mrekodi pamoja na picha zake zote nilizo mpiga, na zote zinamuonyesha sura yake.
“Wazungu wenyewe wanasema what do you feel? Nahisi hapo umenielewa”
Nikamuona mama mama Rose akiwatumbua macho yake, jasho likaanza kumwagika uso mzima, mwili mzima nikauona ukimtetemeka, nikajikuta nikitabasamu kwa furaha, taratibu nikaachukua chupa yangu ya wyne na kuanza kuelekea mlangoni.

ENDELEA
“Erick, Erick, Erick”
Mama Rose aliniita kwa sauti ya upole ila ya juu kidogo, nikashika kitasa cha mkango nikataka kufungua ila nikasita na kugeuka nyuma na kumtazama. Akaanza kutembea kwa hatua za kinyonge huku akinifwata sehemu nilipo simama.
“Erick wewe ni mwanangu, na kila kitu ulicho kizungumza ni kweli, hakuna lililo jificha hata moja. Ninajutia kuweka hisia zangumbele pasipo kuangalia hiheshima yangu kwako. Ninakuomba sana mwanagu Erick unisamehe kwa haya yote ambayo yamejitokeza”
Mama Rose alizungumza huku machozi yakimwagika, nikampandisha kwa macho na kumshusha huku nikiwa nimejawa na dharau kubwa sana kwa maana nimesha mpata kwenye kumi na nane zangu.
“Usiniletee unafki ambao ni wakijinga. Wewe si hodari wa kutishia kusambaza video zangu ili mradi kuniumbua. Basi na mimi, nitahakikisha dunia, nzima inaona maungo yako ya ndani”
Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo nikageuka na kushika kitasa, kwa haraka mama Rose akaniwahi kunishika mguu wa kushoto na kunizuia nisitoke chumbani humu.
“Ohoo Erick, Mungu wangu nisamehe kijana wangu, ni shetani ambaye alinipitia tu ndio maana niliamua kufanya hivyo”
Mama Rose aliongeza kilio ambacho taratibu kikaanza kuniingia moyoni mwangu kwa maana muda wote simuanini kwa msamaha wake ambao anauomba kwangu.
“Erick nipo tayari kufanya chochote ambacho utaniagiza mimi kukifanya kwako”
“Una uhakika?”
“Ndio Erick mwangu”
“Simama”
Taratibu mama Rose akasimama wima huku akijifuta machozi yake usoni mwake.
“Kaa pale kwenye kochi”
Mama Rose akakubaliana na mimi kufwata kile ninacho muagiza, akatembea kwa mwendo wa taratibu huku nami nikimfwata kwa nyuma. Tukakaa kwenye sofa, nikaiweka chupa yangu ya mvinyo mezani kisha nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama Mama Rose machoni mwake.
“Ninaiomba simu ya Rose”
Kwa haraka mama Rose akasimama na kukimbilia kitandania kaichukua simu ya Rose kisha akarudi nayo sehemu nilipo kaa kisha akanikabidhi.
Kutokana ni simu ambayo nilimnunulia Rose kwa pesa yangu mimi mwenyewe, haikuwa ngumu kwangu kuanza kukagua faili moja baada ya jengine. Nikaiona video ambayo mama Rose alini turekodi mimi na Zari, nikaifuta, nikagua simu nzima, kwenye kila faili kama kuna vidoeo hiyo sikuiona. Nilipo jiridhisha nikafuta video ambayo nilimtumia mama Rose pamoja na meseji zake zota alizo kuwa akizituma kuja kwangu kupitia meseji za kawaida na whatsapp.
“Simu yako ipo wapi?”
“Kwenye pochi baba yangu”
Mama Rose alizungumza kwa heshima sana kama alivyo kuwa nayo mara ya kwanza nilipo juana naye mimi na yeye.
“Kailete”
Mama Rose akanyanyua kwa haraka na kuichukua pochi yake juu ya meza, akaifungua na kutoa karatasi kadhaa kisha akatoa simu yake. Akarudi sehemu nilipo kaa na kunikabidhi, nikaiangalia na kukuta namba ya siri.
“Namba ya siri ni nini?”
“Moja, tisa, kisha Rose kwa herufi ndogo”
Nikaingiaza namba na maneno aliyo niambia mama Rose, simu yake ikafunguka. Nikaanza kuikagua faili moja baada la jengine. Nikaikuta video yangu akiawa amejitumia kutoka katika simu ya Rose na kuingia katika simu yake. Nikaifuta, nikaendelea kukagua kila faili katika simu yake nilipo hakikisha kwamba hakuna kitu nikamrudishia simu yake.
“Zoezi la kwanza limekwisha, sasa tunakuja kwenye zoezi la pili”
Nilizungumza huku nikisimama, nikaelekea kwenye meza ilipo pochi yake. Nikatazama karatasi alizo zitoa, baadhi ni karatasi nyeupe ambazo hazijandikiwa kitu chochote. Nikatafua kalamu kwenye pochi yake kwa bahati nzuri nikaipata na kurudi nayo kwenye sofa.
“Kila jambo zuri katika maisha ni lazima liendane na maandishi au nimekosea?”
Mama Rose akajibu kwa kutingisha kichwa huku akikubaliana na kile ambacho ninakizungumza.
“Ninahitaji uandike majina yako matatu pamoja na jina la mwanao, ukiri kwamba huto fanya kosa lolote kuhusiana na video ambayo mwanao aliirekodi”
“Sawa baba yangu”
“Muda na tarehe ya leo pia nihahitaji kuviona katika karatasi hiyo. Nitarekodi kila kitu ambacho unakiandika kwenye hiyo karatasi sawa”
“Sawa mwanangu. Je hizo viedo na picha zangu vipi?”
“Ukimaliza kufanya hivyo nitazifuta mbele yako.”
Mama Rose akachukua kalamu na kuanza kuandika maelezo yake kama nilivyo muelekeza, baada ya kuhakikisha kwamba amemaliza akasaini kabisa na kunikabidhi karatasi hiyo. Nikaanza kusoma maelezo yake taratibu hadi nikayamaliza, kila nilicho mueleza amekiandika.
“Naomba uzifute basi Erick mwanangu”
“Nina ombi la tatu”
“Jamani Erick ni ombi gani hilo wakati tulisha malizana mimi na wewe?”
“Akili ya mwanamke na mwanaume huwa hufikiria mambo mawili tofauti kwa wakati mmoja so tulia”
“Unamaanisha nini Erick”
“Maana yangu ni kwamba, upeo wako ni mdogo sana. Sijaweza kujua kama nyumbani kwako hii video haito kuwepo, na kama ikiwepo unaweza kuitumia tena ukiona kwamba nimefuta video zako”
“Haki ya Mungu Erick, nimefuita kila kitu kwenye simu yangu, simu ya mwanagu na wala sina sehemu nyingine ambayo ninaweza kuficha video hiyo”
“Hayo ni maneno yako siwezi kuyaamini mama yangu”
“Niamini kweli Erick”
“Tuachane na hilo, kitu ninacho kihitaji kingine kutoka kwako kuanzia hivi sasa. Mwanao Rose atakapo amka hakikisha kwamba unaiombea msamaha hata kama kwa machozi ili niweze kurudiana naye na hii pete iweze kuwa kidoleni mwake kwa mara nyingine. Ninakuhakikishia kwamba, endapo mwanao atakubali kurudiana na mimi kwa mara nyingine tena basi nitafuta vidoeo hizi zote na wala huto kuja kuziona kwenye maisha yako mpaka kufa, ila ukishindwa, basi nitazisambaza ili mwanao aweze kuona ujinga na uchafu wako ambao unaufanya kwa vijana wadogo kama mimi. Ninaami hapo nimeeleweka na nikutakie mchana mwema”
Nilipo maliza kuzungumza, nikanyanyuka na kuanza kutembea kuelekea mlangoni na kumuacha mama Rose akinnywa whyne niliyo iacha huku machozi yakimwagika usoni mwake.
Moja kwa moja nikaelekea kwenye gari langu, huku nikiwa nimejawa na amani sana moyoni mwangu, kwa maana kwa sasa sinto pata vipingamizi vya aina yoyote kwenye maisha yangu. Nikaingia kwenye gari, nikautazama mkataba ambao mama Rose ameuandika kwa mikono yake yeye mwenywe, nikaurudia kwa kuusoma kisha nikaurudisha mfukoni mwangu. Sikuwa na sehemu nyingine ya kwenda kwa muda huu zaidi ya nyumbani kwetu. Nikasimamisha gari langu nje ya geti kisha nikashuka, nikasukuma geti dogo na kukuta lipo wazi limerudishiwa kidogo.
Katika kibanda ambacho Cholo huwa anakaa kwa muda wa mchana sikumuona. Sikuwa na wasiwasi wowote kwa maana muda mwingine anakuwa katika nyumba yake. Nikatembea kwa hatua za kawaida hadi katika mlango wa kuingilia nyumba kubwa. Ila nikasita kidogo na kurudi nyuma hatua kadhaa na kuangalia mlangoni mwa Cholo. Nikaona ndala za Zari zikiwa mlangoni hapo, kwa hatua ya taratibu nikanza kutembea kwa kunyata hadi nikafika katika mlango huu. Kelele za vicheko vimetawala ndani ya chumba hichi na kujikuta nikianza kupandwa na hasira ya wivu moyoni mwangu.
Nikanyata hadi dirishani kwa upenyo mdogo wa pazia nikaanza kuchungulia ndani. Sikuona chochote kwa maana zaidi ya kuendelea kusikia kelele za vicheko vyao.
“Unataka kuaniambia bossi Erick amesha uteka moyo wako?”
“Yaa, yaani ninampenda Erick kuliko mwanaume wa aina yoyote. Erick anajua kujali, anajua kupenda, anajua kubembeleza, yaani sijui nizungumze lugha gani Cholo ujue kwamba ninampenda Erick”
“Kwa Erick mimi nnakushauri hapo ng’ang’ania, usimuachie jamaa akakuponyoka kwenye moyo wako. Erick ninamjua vizuri, hapa kwao nina miaka saba sasa”
“Miaka saba!!”
“Yaaa, sijawahi kugombana naye, wala sijawahi kugombezwa hata na mzazi wake hata mmoja yaani hapa naishi kama nipo kwetu Zanzibar”
Mazungumzo ya Zari na Cholo, taratibu yakaanza kushusha hasira yangu pamoja na wivu ambao umetawala kwenye moyo wangu. Ila sikutaka kuamini kwamba hakuna kitu chochote kilicho tokea , ikanibidi kuendelea kutega sikio langu na kuendelea kusikiliza kile ambacho Cholo na Zari wanakizungumza.
“Miaka yote saba hiyo umeishi nao bila ya kugombana nao, hembu nipe siri ya mafanikio katika hilo”
“Uaminifu na umakini. Mama Erick ni mama mwenye Roho nzuri, kunipa laki, moja mbili tatu hizi, kwake ni jambo la kawaida, ukimridhisha kwa uchapakazi wako, basi nakuhakikishia kwamba kwenu unajenga”
“Weeee!!!”
“OOhoo mimi kwetu nimejenga mbona, nyumba nzuri tu. Hembu fikiria kula kulala, silipi kodi, kazi yangu ni kufungua geti, kufunga. Kukatia majani, kutengeneza maua ya mama vizuri hapo unahisi kweli pesa yangu mimi nitaipeleka wapi”
“Kama ni hivyo nitajitahidi ninafanya kazi kwa bidii, hadi ninafanikiwa”
“Kweli na kitu kingine kuwa makini sana na bosi Erick, naye ni mtu asiye penda uswahili uswahili”
“Kivipi?”
“Ahaa sio muongeaji, kama amekupenda kama unavyo dai, basi usilete mawenge mawenge”
“Mimi hilo wala sihitaji linitokee kwenye maisha yangu”
“Sawa”
Sikuhitaji kuendelea kukaa hapa dirishani na kuyasikiliza mazungumzo yao. Moja kwa moja nikaeleka chumbani kwangu. Kutokana na uchovu mwingi, nikajikuta nikipitiwa na usingizi kwenye sofa nililo kaa.
***
Mlio wa simu mfukoni mwangu, ukanistua na kujikuta nikikaa vizuri kwenye sofa, nikaitoa na kuitazama vizuri, nikakuta ni namba ya Cholo. Kabla ya kuipokea nikatazama saa na kukuta ni saa tatu usiku.
“Cholo”
“Kaka mbona hurudi, Zari anakuulizia”
“Mimi mbona nipo ndani”
“Upo ndani. Ndani wapi?”
“Chumbani kwangu, gari lipo nje ya geti”
“Ehee”
Cholo akakata simu, haukupita muda mrefu mlango ukafunguliwa. Akaingia Zari akiwa amejawa na furaha kubwa sana ya kuniona.
“Baby, umerudi saa ngapi jamani?”
“Muda mwingi”
“Hata kunistua?”
“Nilikuwa nimechoka sana”
“Mwenzio hadi muda huu wala sijakula”
“Cholo ajakununulia chakula?”
“Alinunua cha mchana tu”
“Jiandaeni tukale sehemu yoyote”
“Kweli?”
“Ndio, kajiandae sasa hivi”
Zari akatoka chumbani kwangu huku akiwa anashangilia sana. Nikavua nguo zangu na kuingia bafuni, nikamaliza kuoga, na nikaanza kujiandaa kwa haraka sana. Nilipo hakikisha kwamba nipo vizuri nikachuka waleti yangu yenye kiasi kikubwa cha pesa. Nikatoka sebleni na kumkuta Cholo akiwa amependeza sana.
“Bosi nasikia leo unataka kututoa out”
“Yaa, huyu bibie yupo wapi?”
“Yupo chumbani kwake bado anajiandaa”
Ikanibidi kuelekea chumbani kwa Zari, nikamkuta akiwa amevalia gauni refu la rangi nyekundu, huku likiwa limubana vizuri mwili wake ulio chongwa vizuri. Uzuri wa Zari umezidi kuongezeka mara dufu.
“Umependeza mpenzi wangu”
“Asante mume wangu”
“Naamini watu watakukodolea mimacho kama jana sokoni”
“Hahaha najua sehemu tunazo kwenda sio sehemu mbaya kama zile za sokoni”
“Ni kweli, nawapeleka kwenye hoteli moja hivi mukale hadi mufurahi”
“Mmmmm”
“Ndio hivyo”
Zari taratibu akanisogelea na kunikumbatia kwa nguvu huku akiwa amejawa na furaha. Tukatoka chumbani na kumkabidhi Cholo fungo ya gari na mimi nikafunga mlango kuhakikisha kwamba usalama unapatikana napa nyumbani.
“Chukua funguo tu”
“Hapana, endesha wewe, na tupeleke hoteli yoyote ambayo utaipenda”
“Laiti Da slam kungekuwa na Forozani ningewapeleka tukale ulojo”
“Hahaa, yaani leo Erick nimekaa na Cholo, nimecheka hapa hadi mbavu zangu ninahisi zitavyunjika”
“Usipo mzoea Cholo unaweza kuuugua ugonjwa wa kucheka”
“Ahaa jamani bosi kwani kuna ugonjwa wa kucheka?”
“Si kama huu ulio muambukiza shemeji yako hapa”
“Hahaaa haya mwaya”
Safari yetu ikaishia kwenye hoteli ya MK, tukashuka kwenye gari, taratibu nikamshika mkono Zari na kuongozana naye huku Cholo akiwa nyuma yetu akiigiza kama mlinzi wetu, jambo linalo tufanya tutabasamu kila muda tunapo muona nyuma yetu akifanya mahoka yake.
“Niwahudumie nini muheshimiwa”
“Wasikilize hawa kwanza”
Kila mmoja akaanza kuagizia chakula chake pamoja na kinywaji alicho hisi atakitumia kwa wakati huu. Tuliwa katika stori za hapa na pale, wanaume wawili walio valia suti nyeusi wakatufwata sehemu tulipo na kusimama pembeni yangu.
“Wewe ndio Erick Almeida?”
Mmoja wao aliniuliza kwa msisitizo mzito
“Nyinyi ni wakina nani?”
Cholo aliuliza huku akisimama, mwanaume mmoja akafunga koti lake upande wa kushoto na sote tukaiona bastola yake na taratibu nikamuona cholo akikaa kwenye kiti chake huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Safari yetu ikaishia kwenye hoteli ya MK, tukashuka kwenye gari, taratibu nikamshika mkono Zari na kuongozana naye huku Cholo akiwa nyuma yetu akiigiza kama mlinzi wetu, jambo linalo tufanya tutabasamu kila muda tunapo muona nyuma yetu akifanya mahoka yake.
“Niwahudumie nini muheshimiwa”
“Wasikilize hawa kwanza”
Kila mmoja akaanza kuagizia chakula chake pamoja na kinywaji alicho hisi atakitumia kwa wakati huu. Tuliwa katika stori za hapa na pale, wanaume wawili walio valia suti nyeusi wakatufwata sehemu tulipo na kusimama pembeni yangu.
“Wewe ndio Erick Almeida?”
Mmoja wao aliniuliza kwa msisitizo mzito
“Nyinyi ni wakina nani?”
Cholo aliuliza huku akisimama, mwanaume mmoja akafunga koti lake upande wa kushoto na sote tukaiona bastola yake na taratibu nikamuona cholo akikaa kwenye kiti chake huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga.

ENDELEA
Sikuwa na jambo la kuzungumza zaidi ya kunyanyuka kwenye kiti changu huku nami wasiwasi mwingi ukiwa umenijaa sana.
“Cholo mpigie mama”
Nilizungumza kwa sauti ya upole huku jamaa hawa wakiniweka katikatai. Tukaanza kutembea kueleke hadi kwenye gari lao jeusi iana ya Toyota GX V8.
“Ingia”
Jamaa alizungumza huku akinifungulia mlango wa gari hili, taratibu nikaingia ndani ya gari hili. Nikastukia situ cha ncha kali kikinichoma mkononi mwangu katika kutazama ni nani aliye nichoma, wala sikuweza kumuona vizuri kwani ukungu mwingi ukanitawala na kujikuta nikilala fofofo.
***
Taratibu nikayafumbua macho yangu, nikatazama kila sehemu ya chumba hichi nikawaona watu wawili walio valia suti nyeusi wakiwa wamesimama kwenye mlango wa kutoka ndani ya chumba hichi. Taratibu nikanyanyuka kwa maana nimelala kitandani.
“Nipo wapi?”
Hakuna hata mmoja aliye nijibu. Nikajaribu kunyanyuka ila miguu yangu nikaiona imekosa nguvu kabisa, sikuwa na ujanja mwengine zaidi ya kuendelea kukaa chini huku nikiwa nimewakadolea macho wanaume hawa.
“Nipo wapi?”
Niliuliza kwa sauti ya juu, ila kabla hata swali halijajibiwa mlango ukafunguliwa, akaingia mwanadada mrefu, mwembaba kiasi na mweusi. Amevalia sketi nyeusi, shati jeupe pamoja na kijikoti cheusi. Mkononi mwake ameshika daftari kubwa kiasi alilo anza kulifungua taratibu karatasi mmoja baada ya nyingine huu akinitazama.
“Mnyanyueni”
Dada huyu alizungumza neno hilo na kuanza kutembea kutoka nje. Wanaume hawa wawili wakanifwata kwa haraka, wakanishika kila mmoja bega lake na kuninyanyua kwa nguvu. Wakaanza kuniburuta kuelekea anapo kwenda dada huyu.
“Munanipeleka wapi jamani”
Niliendelea kuzungumza nikijitahidi kujitoa kwenye mikono ya jamaa hawa, ila sikuweza kufanikiwa kutokana wana nguvu sana kwenye mikono yao na kwa jinsi walivyo yakamata makwapa yangu ndio sina ujanja kabisa.
“Niachieni mimi, baba yangu ana pesa nyingi semeni munataka shilingi ngapi atawapatia”
Jamaa hawa unaweza kusema kwamba ni maroboti kwa maana hakuna hata mmoja ambaye anajali maneno yangu wala kutingishika kabisa. Katika kordo hii ndefu ninayo pitishwa, kuta zake zimetengenezwa kwa vioo na nirahisi sana kuweza kuona watu waliomo ndani ya vyumba vyao. Watu hawa kila mmoja anaendelea na shuhuli yake katika chumba alichopo sijaona hata mmoja ambaye anageuka kunitazama. Tukaingia kwenye moja ya chumba ambacho kina viti viwili pamoja na meza moja tu. Watu hawa wakanikalisha kwenye kiti kimoja huku msichana ambaye amewapa amri hii ya kuniingiza ndani ya chumba hichi amekaa katika kiti kingine akinitazama usoni mwangu.
“Erick Alemeida”
“Umelijuaje jina langu”
“Ninahitaji ushirikiano wako kwa hili ambalo ninakwenda kulifanya kwa wakati huu, ukileta ujinga ama ubishi nitahakikisha kwamba ninakuua”
Msichana huyu alizungumza pasipo masihara ya aina yoyote huku akiwa amenikazia macho yake ambayo yana mboni ya kijani kwa mbali na nitofauti na macho ya watu wengi ambayo yana mboni ya rangi nyeusi.
“Baba yako bwana Almeida pamoja na mama yako Bi. Almeida, wameweza kutupa oda ya sisi kukulata hapa katika chuo hichi cha udaktari, ila ni chuo tofauti sana na vyuo ambavyo umeweza kuviona”
“Weeweeee hembu ngoja kwanza. Umesema baba yangu na mama yangu wamesema mimi munilete hapa?”
“Ndio maana upo hapa. Hichi ni chuo cha udaktari ila kipo chini ya uangalizi wa kikosi cha National Securty Services”
“Sielewi unazungumzia ujinga wa aina gani wewe dada. Mama yangu ananipenda, wala hawezi kuwaruhusu wajinga kama nyinyi kunileta katika chuo cha udaktari kinguvu wakati mimi sihitaji hilo swala”
“Erick chunga kinywa chako, ukirudia tena kuzungumza haya maneno yako, basi utakwenda kuumia”
“Go to hell”
Kwa haraka msichana huyu akanyanyuka, nikajistukia nikianguka chini na kiti changu, hata kabla sijajinyanyua, nikastukia mkono wangu wa kulia akiushika na kuuzungusha kwa nyuma ya mgongo wangu jambo lililo nifanya nipate maumivu makali na kutoa ukelele mkali. Msichana huyu hakunionea huruma akanigeuza na kunilaza chali akakiweka kichwa changu katikati ya miguu yake na kujikuta nikiona nguo aliyo ivaa ndani. Nikiwa nimekodoa macho nikitazama nguo yake ya ndani, nikajikuta akinishindilia kigoti cha kifua na kunifanya nitokwe na mguno mkali ulio jaa maumivu mengi sana.
“Mnyanyueni”
Msichana huyu alizungumza huku akijiweka sawa kikoti chake. Wanaume hawa wawili wakaninyanyua na kunikalisha kwenye kiti nilicho kuwa nimekikalia. Machozi yakaendelea kunitiririka usoni mwangu kwa maana kwa hichi kipigo cha dakika kadhaa kimenifanya mwili wangu kuingia katika hali ya maumivu mkali sana.
“Tunaendelea. Kunzia sasa hivi utaanza kusoma masomo ya udaktari pamoja na kupata mafunzo ya usalama wa taifa. Am I clear?”
Nilitingisha kichwa huku mkono wangu wa kushoto ukiwa umeshika kifua changu kwa maana kigodi alicho nipiga kusema kweli kama ningekuwa nimeshiba basi ningetapika kila kitu.
“Mpelekeni katika chumba chake”
“Sawa mkuu”
Jamaa hawa wakaninyanyua kwenye kiti changu nilicho kalia, tukatoka katika chumba chini na kuelekea katika vyumba. Kitu kinacho nishangaza ni huu mfumo wa hivi vyumba yaani kila chumba kuta zake ni vioo, milango yake ni vioo, kwa hiyo chochote unacho kifanya ndani basi kila mtu anakiona. Kitu kingine kinachozi kunishangaza ni huu mchanganyiko wa jinsia. Wasichana wazuri ila wenye miili mikakamavu nao wapo kwenye hichi kinacho itwa chuo ambacho hadi muda huu sijayaona mandhari ya nje.
“Chumba chako hichi hapa. Kabati lako lina nguo, madaftari, taulo, kalamu”
Jamaa mmoja alizungumza huku akinifungulia kabati lililomo humu ndani. Nikaona suti nyeusi, shati jeupe pamoja na viatu.
“Ngoja kwanza waskaji”
“Hakuna mskaji wako katika hili, wewe tazama vitu tulivyo kutajia kama vipo utupe jibu”
Jamaa alizungumza kwa msisitizo huku akiwa amenikunjia sura kana kwamba nimemuibia mkewe. Nikatazama vitu walivyo niambia nikawajibu kwa kutingisha kichwa. Jamaa mmoja akanisogelea hadi karibu na sura yangu na kunifanya nianze kurudi nyuma taratibu ila akanifwata hadi nikagota kwenye kabati.
“Siku nyingine ujifunze kujibu kwa mdomo, utakwenda kufa sawa?”
“Sawa”
Jamaa hawa wakatoka na kuniacha nikiwa ninahema kwa woga sana. Chumba cha pembeni yangu yupo msichana aliye valia suti nyeusi, hakuhitaji kunitazama kabisa, japo mara kwa mara ninamtupia macho kumtazama. Taratibu nikaka kwenye kitanda hichi chenye ukubwa wa futi tatu kwa sita, nikatazama vitanda vya pembeni kila mtu yupo bize na mambo yake.
“Fu**k huku ni wapi Mungu wangu?”
Nilijiuliza kwa sauti ya chini sana. Nikiwa ninaendelea kutazama tazama wigi wa vyumba hivi vidogo vidogo pamoja na wingi wa watu, mlio wa kengele ukalia na kunifanya nitazama juu ya ukuta wangu, hapo ndipo nikagundua kwamba ndani ya vyumba hivi kwanza kuna kamera za ulinzi, pili kuna kengele maalumu, tatu kuna saa. Watu wote ndani ya vyumba hivi wakaanza kutoka huku wakikimbia, nikajishauri niendelee kukaa kitandani au niwafwate, akili yangu ikanipatia jibu la kuwafwata sehemu wanapo elekea, inaweza kuwa ni hatari na mimi nikaendelea kukaa humu ndani na kujikuta nikifia humu.
Nikajichanganya nao katika kukimbia ila kimbia yangu sio kama ya kwao kwa maana wanakwenda mbio sana na mimi ninakimbia taratibu sana kutoana na maumivu ya kifua kuwa makali sana.
Tukatoka eneo la nje, hapo ndipo nilio jikuta nikizidi kushangaa kwa maana kuna wingi mkubwa wa wanafunzi walio valia suti nyeusi tupu. Wanafunzi wote wamejipanga kwenye kwenye mstari, ikanibidi na mimi kujipanga kwenye mstari mmoja wapo japo ndio wa mwisho kabisa katika kupanga mstari.
Ukimya ukatawala katika eneo hili la kiwanja ambalo lipo katikati ya majengo yalio zunguka eneo hili. Magorofa marefu kwenda juu yaliyo jengwa vizuri kwa vioo yananifanya nizidi kushangaa. Gafla nikastukia mguu wangu wa kushoto ukipigwa kwa nguvu maeneo ya nyuma, na kunifanya niyumbe na kujikuta nikipiga magoti chini pasipo kupenda. Nikageuka nyuma na kumtazama mtu aliye nipiga. Nikakutana na mwanaume mrefu futi kama saba hivi kwenda juu, unaweza kusema ni mchezaji wa kikapu Marekani. Mwili wake umejazia misuli, mkono wake wa kushoto ameshika kirungu ambacho ndichoa licho nipiga nacho.
Nikiwa katika kumshangaa akanitandika teke la mgongo lililo nifanya nianguke chini mzima mzima. Akaanza kunitandika virungu kwa nguvu pasipo hata huruma, nikaanza kulia kwa nguvu huku nikikinga mikono yangu virungu hivi visinipate kwenye uso wangu. Hapakuwa na mwanafunzi hata mmoja aliye nitazama kila mmoja aliyopo karibu yangu amejikausha kama haoni kitu kinacho endelea kwangu mimi. Jitu hili likanishika kwa mikono yake yote miwili, akaninyanyua juu huku akiwa amenishika mabegani mwangu na kunifanya nizidi kuogopa huku nikilia, akanivuta karibu kabisa na sura yake kisha akaniachia na kustukia nikianguka chini kama nazi.
“Kabadilishe nguo”
Binti mmoja niliye angukia karibu kabisa na miguu yake alizunguma kwa sauti ya chini sana, huku macho yake yakiwa mbele pasipo kunitazama mimi. Hapa ndipo nilipo gundua kosa langu, kwa maana wezangu wote wamevalia suti ila ni mimi tu peke yangu ndio nimevalia nguo za kawaida. Taratibu nikajinyanyua na kuanza kuelekea ndani huku jitu hili likinitazama kwa macho makali sana usoni mwangu.
Kitu kilicho nichanganya ni sehemu kilipo chumba changu, kwa maana vyumba vyote vinafanana, na kila kitu kilichopo kwenye chumba kimoja basi chumba cha pili kipo hivyo hivyo.
“Ohoo Mungu wangu”
Nilizungumza huku nikikata tama kabisa, kwa maana katika jengo hili kuna vyumba zaidi ya elfu moja na hakuna kiti hata kimoja ambacho kina namba mlangoni. Nikaanza kutembea kuelekea katika kordo ambavyo nimetoka huku macho yangu yakitazama tazama kila chumba.
‘Upande wangu ulikuwa huu’
Nilizungumza huku nikitazama kila chumba, nikiwa katikati ya kordo hii, nikawaona Mbwa wawili wakubwa wakiwa wamesimama mbele yangu umbali mrefu kidogo kutoka sehemu nilipo huku wakinguruma taratibu na macho yao yote yakiwa kwangu. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio huku mwili mzima ukinitetemeka, mbwa hawa wakaanza kutembea taratibu huku wakinifwata huku wakiendelea kukoroma kwa nguvu.
Sikuwa na jinsi zaidi ya kuanza kurudi nyuma nyuma, mbwa hawa wakaanza kuongeza kasi, mwendo wao wa pole pole ambao walikuwa wakitembea ukazidi kuchanganya. Nikaanza kukimbia kwa kasi sana kwenye hii kordo, ila kila nilivyo zidi kugeuka kutazama nyuma ndivyo jisni nilivyo jikuta nikichanganyikiwa kwa maana kasi wanayo kuja nayo hawa mbwa ni mara mbili na kasi yangu. Nikajikuta nikisukuma mlango wa chumba kimoja, ila haukufunguka, kitendo cha kugeuka tena ili niwatazame hawa mbwa nikajikuta wakinidandia na kuniangusha chini.
“Nisaidienii eheee. Nakufaaaaaaaaaaaaa jamaniiiiii”
Nilipiga kelele za kuomba msaada, mbwa hawa wenye nguvu sana ya kumshinda hata binadamu, wakaanza kunivuta huku kila mmoja akiwa amenibana kwenye mguu wangu kwa kutumia midomo yao.
Wakanitoa hadi nje ya jengo hili na kuendelea kuniburuza huku wakinipitisha katikati ya mistari ya wanafunzi walio panga.
“Nisaidieeni jamaniii”
Niliendelea kuomba msaada ila hakuna hata mmoja aliye weza kunisikiliza, wala kuwafukuza mbwa hawa. Walipo nifikisha mbele kabisa ya mistari na sehemu walipo simama waalimu wa hichi chuo wakaniachia kisha wakaondoka.
“Munaweza kutawanyika”
Mtu aliye kuwa akizungumza na wanafunzi alizungumza na kuwafanya wanafunzi kutawanyika na waalimu nao wakatawanyika nikabaki na mtu niliye mkuta akizungumza.
“Simama unifwate”
Taratibu nikajinyanyua japo nimejaa maumivu mengi pamoja na michubuko mingi mgongoni mwangu, ila nikajikuta nikinyanyuka hivyo hivyo. Nikaongozana na mzee huyu hadi kwenye moja ya ofisi katika gorofa jengine linalo tumika kama ofisi za waalimu. Akaka kwenye kiti chake, nikataka kukaa kwenye kiti kilicho wazi, ila jicho lake kali kikanifanya taratibu nighahiri kukaa kwangu na kusimama, akafungua faili moja nikaona karatasi yenye picha yangu, akanitazama usoni mwangu kisha akaitazama picha yangu kisha akafungua karatasi nyingine.
“Erick Almeida si ndio?”
“Ndio”
Niliitiia kwa kujikaza tu, ila mwili wangu wote umejaa maumivu makali sana, kusimama kwenyenye ni ngumu sana ukijumlisha virungu nilivyo pigwa, mbwa kuniburuta japo hawajaning’ata kabisa na kupigwa na msichana ambaye nimemuona kwenye jopo la waalimu ni lazima miguu yangu ichoke kusimama.
“Baba yako ameniambia kichwa chako kwamba kipo vizuri, ndio maana nikakubali kukupokea katika chuo changu kama hichi. Umekuja leo ila umekutana na matatizo mengi sasa sijajua jinsi baba yako anavyo niambia kwamba kichwa chako kipo vizuri nina mashaka na hilo swala”
“Kweli kweli muheshimiwa mimi kichwa changu hakipo vizuri kabisa, yaani sina hata tofauti na Zombi, yaani ni bora tu nirudi nyumbani”
Nilizungumza kwa sauti ya unyonge huku mikono yangu yote miwili nikiwa nimeikusanya mbele ya kifua changu nikimuomba mzee huyu akubaliane na maneno yangu. Mzee huyu akatabasamu kisha akanikazia macho na kujikuta nikiishusha mikono yangu chini taratibu.
“Kama ni Zombi ngona jione”
Mzee huyu akachomoa bastola na kuninyooshe, kwa haraka nikajikuta nikianguka chini huku nikipiga magoti, uso mwima ukaanza kulowana kwa machozi.
“Mimi sio Zombi, mimi sio Zombi ni mtu wa kawaida kabisaaa”
Nilizungumza huku nikilia sana, usharobaro nilio kuwa nao nyumbani kwa baba yangu na mama yangu wote umeyoweka. Mzee huyu akaendelea kuninyooshea bastola yake huku macho yake makali na ya kutisha yakiendelea kunitazama kwa msisitizo mkubwa sana.
“Ahaahhha…….haki ya Mungu mimi sio Zombi kabisa mzee wangu, eheee Tazama ngozi yangu ilvyo”
Nilizungumza kwa vitendo huku nikimuonyesha mzee huyu ngozi yangu. Hakuishusha bastola yake wala kuikwepesha kwa usawa wa kichwa changu.
“Chuo changu hakifundishi mazombi, kinafundisha watu hai, ili usiambukize wazeko uzombi, basi ni vyema nikakuua kwanza, kisha baba yako akapelekewa maiti yako”
Maneno ya mkuu wa shule yakanifanya nizidi kuangua kilio kikali huku nikimsujudia kanisa, asiweze kunipiga risasi kwa maana kuishi bado ninatamani na wala sitamani kabisa kuicha hii dunia kwa muda huu.
“Akili yangu ipo vizuri kama baba alivyo semaa, akili yangu ni mzima kabisaaaaaaa”
Nilizungumza huku nikiinyanyua sura yangu kutoka chini, taratibu mkuu wa chuo akashusha mkono ulio shika bastola yake na kunifanya nishushe pumzi nyingi kwa kumshukuru Mungu kwa kuniepusha na kifo.
ITAENDELEA

ILIPOISHIA
Nilizungumza kwa vitendo huku nikimuonyesha mzee huyu ngozi yangu. Hakuishusha bastola yake wala kuikwepesha kwanye usawa wa kichwa changu.
“Chuo changu hakifundishi mazombi, kinafundisha watu hai, ili usiambukize wazeko uzombi, basi ni vyema nikakuua kwanza, kisha baba yako akapelekewa maiti yako” Maneno ya mkuu wa chuo yakanifanya nizidi kuangua kilio kikali huku nikimsujudia kabisa, asiweze kunipiga risasi kwa maana kuishi bado ninatamani na wala sitamani kabisa kuicha hii dunia kwa muda huu.
“Akili yangu ipo vizuri kama baba alivyo semaa, akili yangu ni mzima kabisaaaaaaa” Nilizungumza huku nikiinyanyua sura yangu kutoka chini, taratibu mkuu wa chuo akashusha mkono ulio shika bastola yake na kunifanya nishushe pumzi nyingi kwa kumshukuru Mungu kwa kuniepusha na kifo.

ENDELEA
“Ufwataji wa sheria katika chuo changu ndio nguzo ya kwanza kwa mwanafunzi. Sheria ya kwanza, huruhusiwi kukosa kipindi hata kimoja darasani, mbili huruhusiwi kuwa na mahusiano na msichana yoyote ndani ya chuo. Tatu hakuna kuvaa nguo tofauti na nguo ambazo umezikuta kwenye droo yako. Umenielewa?” “Ndio nimekuelewa mkuu” “Kila siku kuna kazi ambazo zinafanyika alfajiri na mapema, hakikisha kwamba unashiriki kwa kila kazi na kila kengele inapo gonga hakikisha kwamba unaelekea eneo hilo unalo paswa kufika” “Sawa mkuu” “Kwa leo nitakukabidhi kwa mwalimu wako wa darasa atakufwatilia nyendo zako moja baada ya nyingine” Mkuu wa chuo akatoa simu yake mfukoni na kumpigia huyo anaye dai kwamba ni mwalimu wa darasa.
“Njoo ofisini kwangu” Baada ya kuzungumza hivyo mkuu wa shule akakata simu na kuniangalia chini nilipo kaa.
“Jambo jengine, endapo itatokea ukagundulika umepatia msichana yoyote mimba basi wewe na huyo msichana munakwenda kupoteka katika uso wa dunia” Sikutaka kuzungumza kitu chochote kwa maana ninaelewa kupotea katika uso wa dunia ni kupoteza maisha, haukupita muda mwingi akaingia mwanadada aliye valia ya rangi ya kaki. Uzuri wake wa sura ukanifanya niwe ninamtazama kwa macho ya kuiba iba ili mradi niweze kumtazama usoni mwake.
“Nyanyuka” Nikanyanyuka kwa kujikaza huku nikimtazama mkuu wa chuo.
“Madam Lily, mwanafunzi wako mpya huyu, hakikisha kwamba unamtupia jicho kwa kila hatua ambayo anapiga hakikisha kwamba hawi msumbufu” “Sawa mkuu” “Munaweza kwenda” Tukatoka katika chumba ofisi ya mkuu wa chuo, kazi yangu ni kumfwata huyu madam Lily. Hanisemeshi kitu chochote, moja kwa moja tukaelekea katika vyumba vya kulala. Nikashangaa kumuona akiingia kwenye chumba ambacho baada ya mimi kuingia ndani ndio nikakumbuka kwmaba hichi ni chumba changu.
“Vuo nguo zako” “Ehee!!” “Huwa sirudii nikizungumza” Madam Lily alizungumza kwa msisitizo, taratibu nikaanza kuvua nguo kwa aibu, ila madam Lily hakukwepesha macho yake hata kidogo.
“Malizia kuvua hiyo boksa yako” Nikafwata amri na hapa nimeanza kuelewa kwamba katika chuo hichi kila kitu kinakwenda kwa amri. Madam Lily akanitolea taulo kabatini na kunikabidhi mkononi mwangu.
“Nifwate” Tukaongozana na madam Lily hadi kwenye madafu.
“Una dakika tano za kuoga” “Sawa asante” Madam Lily hakutaka hata kutoka katika bafu hili, sikuwa na jinsi zaidi ya kuanza kuoga haraka haraka kwa maana nikizubaa tu ninaweza kukutana na kipigo kingine ambacho kinaweza kunitia aibu kubwa sana.
“Una dakika mbili” Madam Lily alizungumza huku akitazama saa yake ya mkoni, ikabibidi kujisugua haraka haraka kila kona ya mwili wangu, kisha nikasimama kwenye bomba la maji ya mvua.
“Dakika zimekwisha” Madam Lily alizungumza, nikachukua taulo langu na kujifunga kwa haraka, nikataka kotoka ila nikastukia akinitandika kofi zito la shavuni lililo nifanya nilitambue kosa langu hata kabla sijaambiwa. Nikafunga bomba lamaji ambalo nililisahau kutokana na kuchanganyikiwa kwa kuhesabiwa dakika. Tukarudi chumbani, nikachukua suti iliyopo kabatini na kuanza kuvaa haraka.
“Vaa tai yako, kisha beba nguo zako unifwate” “Sawa madam” Nikafanya nilicho agizwa, tukaondoka chumbani kwangu, ikanibidi kukremisha mazingira ya chumba changu kwa maana vyumba vyote vinafanana. Tukaingia kwenye jengo ambalo, lina sehemu kubwa inayo tumika katika kupikia chakula.
“Kazichome kwenye jiko lile pale” Nikalisogelea jiko moja la kisasa, na kuzitumbukiza nguo zangu. Tukatoka jikoni hapa na nikaanza kutembezwa maeneo ya hichi huo ambacho hadi sasa sifahamu kipo mkoa gani, ila meeneo ambayo yametuzunguka ni milima yenye miti mirefu sana.
“Ninaweza kuuliza swali?” “Uliza” “Tupo mkoa gani?” “Hupaswi kufahamu kwamba upo mka gani” “Mmmmm” “Nisikilize Erick, hapa ni ziaidi ya jeshini, hivi viwanja vyote unavyo viona hapa ni viwanja vya mazoezi. Ukiwa mzembe utakufa, na wapo wezako wengi wanakufa kutokana na uzembe wao. Na anye kufa hapa wala hakuna ambaye atamuonea huruma marehemu” “Madam uzembe huo ni wa aina gani?” “Unapokuwa kwenye mazoezi unatakiwa kuiweka akili yako kwenye mazozi, mbili unatakiwa kuwa makini kumsikiliza mwalimu kwa kila kitu ambacho unatakiwa kukifanya. Wewe na wezako wa mwaka wa kwanza mazozie yenu ni tofauti na wale waliopo mwaka wa pili” “Na huwa tunasoma kwa miaka mingapi?” “Hapa munasoma kwa mwaka miaka miwili, ila kila mwaka ni lazima muende filde, sasa inaweza kutegemea kwamba mutakwenda nchi gani” “Tunakwenda nje ya nchi?” “Ndio nchi ambazo huwa munakwenda mara nyingi ni Pakistani, Iraque, Vietinam, Russia” Kwa haraka haraka nchi hizi zote tulizo tajiwa ni nchi zenye matukio makubwa makubwa na ya kutisha dunia.
“Na huko tunakwenda kama watu gani?” “Kama madaktari, ila munakuwa ni madaktari maalumu hususani kwenye maswala ya usalama, kama ni sehemu yenye vita basi munakwenda kama undercover wa serikali japo ni madaktari” “Kwa hiyo nikifanikiwa kumaliza mafunzo haya ninakuwa mpelelezi?” “Ndio, ila ni mpelezi kwenye kitengo cha madaktari. Nimekueleza haya yote kutokana nimegundua kwamba wewe ni mdadisi, ila wezako wote walio sinaona mdadisi” “Shukrani madam, na wezangu wana muda gani hapa chuoni?” “Wao wana wiki ya pili sasa” “Sasa mbona nilikuja kwa njia ya kutekwa?” “Hakuna hata mmoja aliye kuja kwa njia ya basi au kwa kuona ni sehemu gani ameletwa. Itafika kipindi na nyinyi mutakwenda kuwachukua vijana ambao wamechaguliwa kuja katika chuo hichi” “Watu wanaomba maombi au wanafwatwa tu?” “Hakuna anaye omba maombi kuingia katika chuo hichi, sisi ndio tunafwatilia ni nani ajiunge katika chuo hichi na wengi wao tunawachukua kwenye mavyuo au wale vijana wanao subiria kujiunga na vyuo” Madam Lily akaendelea kunionyesha mazingira ya chuo hichi ambacho kusema kweli ni chuo ambacho kimejengwa kwa ustadi mkubwa sana. Kila jengo lake limejegwa kwa vioo japo ni sehemu chache zimejengwa kwa saruji.
“Haya majengo yamejengwa kwa vioo si rahisi kuvunjika kwa maana hata risasi haipiti kwenye hivyo vioo” “Weee” Yaa ni vioo vigumu sana vilivyo yengenezwa kwa madini ya vyuma” Madam Lily akaendelea kuoninyesha vitu vingi vilivyomo katika hichi cha chuo na kitu cha mwisho kabisa kunionyesha ni darasa ambalo ninatakiwa kusoma. Tukaingia ndani ya hili darasa ambali lipo kimya sana na ukiwa nje ya darasa unaweza kusema kwamba hakuna watu ndani ya darasa. Wanafunzi wote wakasimama na kupiga saluti, jambo lililo zidi kunishangaza sana. Madam Lily akawajibu kwa kupiga saluti kisha wanafunzi wote wakaka.
“Kiti chako kile pale nyuma” Nikatembea taratibu hadi kilipo kiti changu pamoja na meza. Sehemu nilipo kaa nimezungukwa na wasichana wazuri sana, ila maneno ya mkuu wa chuo, taratibu yanajirudia kwenye kichwa changu.
“Huyo ni mwenzenu anaitwa Erick Almeida, hakikisheni munampa ishirikiano” Wanafunzi wote wakanigeukia na kunitazama, nikabaki nikitabasamu kwa kila ambaye macho yetu yaligongana. Hata kabla madam Lily hajaendelea na mazungumzo kengele ikagonga, madam Lily akaturuhusu kuelekea sehemu sehemu husika ambapo kengele hiyo inatuhitaji.
“Tunaelekea wapi?” Nilimuuliza dada mmoja ambaye amesimama pembeni yangu.
“Ni wakati wa kwenda kupata kifungua kinywa” “Ahaa sawa sawa” “Tuongozane” Tukatoka katika darasa hili huku nikiwa nimeongozana na dada huyu.
“Una jina kama la mdogo wangu?” “Shukrani, na wewe unaitwa nani?” “Jackline” Tukaingia katika holi ambalo linatumika kwa watu kupata chakula, nikaongozana na Jackline kuchukua chakula, kisha tukaka meza moja na kupata chakula.
***
Siku na miezi ikazidi kusonga mbele. Kila siku kwangu ni mpaya kwa maana taratibu nikajikuta nikiyapenda masomo ya upambaniji kuliko masomo ya udaktari ambayo siku zote kwenye akili yangu sikuwazia kabisa kwamba ipo siku nitakuja kuwa daktari.
Umahiri wangu katika kulenga shabaha kwa kutumia bunduki, ulizidi kuwavutia watu wengi, hata waalimu wa mazozi kwa mara kadhaa waliweza kunitolea mimi kuwa mfano wa kuigwa kwa wanafunzi wezangu ambao hawawezi kulenga shabaha. Akili ya kufikiria nyumbani kwetu wala sikuwa naya, na wala hatujua ni kitu gani kinacho endelea kwa maana hatukuruhusiwa kumiliki simu wala kutazama luninga.
“Erick” “Naaa” “Naomba unifundishe kulenga shabaha, kila siku ninakuwa wa mwisho katika kulenga shabaha” Jackline alizungumza huku akiwa wamesimama pembeni yangu na bunduki yake.
“Kwenye kulenga shabaha ni wapi huwa unashindwa” “Sifahamu haya ni wapi?” “Hembu lena ile targeti” Nilimuonyesha Jackline, picha ya kichwa cha mtu ambacho kipo mita miamija kutoka katika sehemua ambayo tumesimama.
“Sawa” Taratibu Jackline akasimama mguu wa kulia mbele mwengine wa kushoto nyuma. Bunduki yake akaiweka usawa wa kifua chake huku jicho moja akiwa amelifumba. Akapiga risasi moja, nikachukua darubini yangu ndogo na kuangalia shabaha ambayo nimemuambia kulenga ila sikuona sehemua mbayo amepiga.
“Nimekosa” Jackline alizungumza kwa nyonge huku akiwa katika hali ya huzuni. Nikatabasamu na kumsogelea Jackline.
“Shika bunduki yako kama ulivyo kuwa umeishika awali” Jackline akatii nilicho mueleza.
“Unajua kitu ambacho unakosea wewe ni katika swala la kubana pumzi. Unapo kuwa unalenga sehemu huku pumzi yako ikiwa umeiachia ni lazima mkono wako kuyumba na kukosa target ambayo ulihitaki kupiga. Bana pumzi kisha piga risasi” Jackline akabana pumzi yake na kupiga risasi. Kila mtu akachukua darubini yake ndogo na kutazama targeti hiyo.
“Nimelenga nimelenga” Jackline alizungumza huku akifurahi sana.
“Unaona sasa, kila jambo ni simple” “Hivi Erick unajua kwamba tangu nianze kulenga leo ndio nimepata” “Haya sasa rudia kw mara mbili zaidi” Jackline akarudi mara mbili zaidi na zote akabahatika kulenge picha ya kichwa cha mtu.
“Asante sana Erick” Jackline alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu, tangu kuingia kwneye chuo hichi leo ndio nimepata bahati ya kukumbatikwa na msichana, japo siku zote nimekuwa karibu na wasichana wote ila sikudhutu hata kukumbatiana na hata mmoja.
“Erick unaitwa na madam Lily”
Mwanafunzi mmoja alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, nikaachiana na Jackline na kuanza kuongozana na msichana huyo.
“Hakikisha unalenga kadri uwezavyo” “Sawa” “Madam yupo wapi?” “Yupo kwenye ofisi yake” “Poa” Jamaa akelekea sehemu nyingine na mimi nikaendelea na safari ya kuelekea ofisini kwa madama Lily kwa maana ni mbali kutoka katika viwanja tunavyo fanyia mazoezi. Nikafika katika ofisi ya madam Lily, nikagonga mlango na akaniruhusu kuingia.
“Kaa hapo” Madam Lily alizungumza kwa ukali huku akinitazama machoni mwangu jambo lililo niogopesha kidogo. Madam Lilya kanyanyuka kwenye kiti chake na kusimama mbele yangu huku akiwa ameshika karatasi ambayo nilipo itazama vizuri nikagundua ni karatasi ya mtihani ambao tumeufanya siku mbili nyuma.
“Kwa nini unakuwa mzembe hiki” Madam Lily alizungumza huku akinirushia karatasi ya mtihani wangu, moyo ukanipasuka sana baada ya kusoma maksi nilizo zipata.
“Ni mezi saba sasa tangu uje hapa chuoni, ila somo langu ninalo fundisha kwa juhudi zote lakini umepata kumi ya mia moja kweli wewe ni daktari” Madam Lily alizidi kufoka, uzuri wa sura yake wote umepotea na sura yake imetawaliwa na mikonjo ambayo kusema kweli inazidi kuniogopesa.
“Je unataka kufaa” “Hapana madam” “Sheria ya mwanafunzi anaye feli, ananyongwa hadi, sasa unahitaji kufaaa?” Mwili mzima ikanitetemeka kwa maana sherihi hii hapa chuoni ipo na wale wote wanao feli si kwama wanarudishwa majumbani au kufukuzwa, ila wanapigwa risasi kufa kwa maana kuna siri nyingi za taifa la Tanzania tumesha fundishwa na kuuliwa kwao kunalinda siri ya taifa isitoke na siri ya chuo pia isitoke, na laiti wanafunzi hawa wanao feli, wakirudi uraiani kwa kufukuzwa chuo basi kuna uwezekano mkubwa wa wao kuwa majambazi ambao kusema kweli watakuwa na mbinu nyingi kuliko hata askari wanao linda raia na mali zao.
“Erick kwa nini unataka kufa wakati wewe ni mwanafunzi ambaye nimekutegemea sana kutokana na juhudi yako katika kuuliza maswali kwa kuhitaji kujua, hivi ni nini kilicho kukuta akilini kwako hadi upate kumi, kweli unapata kumi kwa mia moja” Madam Lily alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake jambo lililo nifanye nitoe bastola yangu sehemu niliyo ichomeka, nikajiwekea kichwani kwangu kwa ajili ya kujiua ili mradi aibu ya kuuliwa adharani isinipate.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Mwili mzima ukanitetemeka kwa maana sherihi hii hapa chuoni ipo na wale wote wanao feli si kwama wanarudishwa majumbani au kufukuzwa, ila wanapigwa risasi kufa kwa maana kuna siri nyingi za taifa la Tanzania tumesha fundishwa na kuuliwa kwao kunalinda siri ya taifa isitoke na siri ya chuo pia isitoke, na laiti wanafunzi hawa wanao feli, wakirudi uraiani kwa kufukuzwa chuo basi kuna uwezekano mkubwa wa wao kuwa majambazi ambao kusema kweli watakuwa na mbinu nyingi kuliko hata askari wanao linda raia na mali zao.
“Erick kwa nini unataka kufa wakati wewe ni mwanafunzi ambaye nimekutegemea sana kutokana na juhudi yako katika kuuliza maswali kwa kuhitaji kujua, hivi ni nini kilicho kukuta akilini kwako hadi upate kumi, kweli unapata kumi kwa mia moja” Madam Lily alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake jambo lililo nifanye nitoe bastola yangu sehemu niliyo ichomeka, nikajiwekea kichwani kwangu kwa ajili ya kujiua ili mradi aibu ya kuuliwa adharani isinipate.

ENDELEA
“Erick” Madam Lily akaniita kwa haraka huku akipiga magoti mbele yangu, akanishika mkono wangu ambao nimeshika bastola niliyo iweka kichwani mwangu.
“Erick sihitaji ufe tafadhali, natambua sheria za chuo zinabana sana, ila ninakuomba usife tafahali” Madam Lily aliendelea kuzungumza huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake.
“Sina thamani yoyote kwenye maisha ya kuendelea kuishia hapa chuoni, kichwa changu hakina uwezo wa kuhifadhi masomo ya udaktari. Tangu nilipo kuwa nyumbani kwetu wazazi wangu niliwaeleza kabisa kwamba mimi siwezi kusoma udkatari” Nilizungumza huku machozi na mimi yakianza kunimwagika usoni mwangu. Madam Lily taratibu akaushusha mkono wangu ulio shika bastola, kisha kwa haraka akanivamia mdomo wangu na kuanza kunyonya lipsi zangu kwa midomo yake milaini. Msisimko mkali wa mapenzi ukaanza kutawala mwilini mwangu na ukitegemea nina kipindi kirefu sijawahi kukutana na mwanamke kimwili. Madam Lily akazidi kunikumbatia nakunifanya na mimi nizidi kumkumbatia kwa nguvu huku mikino yangu nikiikatisha kila kona ya mwili wake. Gafla madam Lily akanichia na kusimama, akajifuta mdomo wake kwa kutumia kiganja cha mkono wa kulia huku akikatitazama chini.
“Samahani Erick” Madam Lily alizungumza kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu, taratibu akaelekea katika kiti chake kilichopo nyuma ya meza yake. Akaka huku akishusha pumzi nyingi usoni mwake. “Inabidi kurudi mtihani kisiri” “Sawa” Akatazama saa yake ya mkononi, kisha akanitazama usoni mwangu.
“Kwa sasa muda wa paredi umekaribia, hakikisha kwamba huli hata chakula cha jioni, unakuja kuufanya mtihani huu, majibu yote nimekuandalia” “Sawa madam shukrani kwa msaada wako” “Poa, unaweza kwenda” Nikanyanyuka kwenye kiti na kuanza kutembea kuelekea mlangoni, ila kabla sijaufikia mlango madam Lily akaniita.
“Naam” “Haya yaliyo jitokeza humu ofisini ninakuomba iwe siri yetu” “Sawa madam”
Nikafungua mlango na kutoka katika hii ofisi, uzuri wa ofisi za waalimu, zimetengenezwa kwa aina ya vioo ambavyo mtu wan je hawezi kuona ndani, ila aliyopo ndani anaweza kuona nje. Sikuona haja ya kurudi katika uwanja wa mazoezi walipo wezangu, nikaeleka darasani, nikachukua daftari langu la somo la maswala ya afya, nikalifungua na kuanza kulipitia taratibu, mawazo ya kupunyuka punyuka kuuwawa kutokana na kufeli yakaanza kunitawala kichwani mwangu. Furaha yangu niliyo kuwa nayo siku nzima kusema kweli imepotea kabisa, hata tendo nililo lifanya na madam Lily, sijalionea raha ya aina yoyote.
Kengele ya hatari ikaanza kulia, kwa haraka nikafunga daktari langu na kukimbilia katika viwanja vya makutano ambapo ndipo wanafunzi tunapaswa kukusanyika kukitokea kengele za namna hii. Ndani ya dakika tano wanafunzi wa chuo kizima tukawa tumekusanyika. Mkuu wa chou akasimama katika sehemu ambayo wanafunzi wote tunaweza kumuona.
“Nchi ya Tanzania imepata tatizo, wanatakiwa madaktari mia moja kwenda kuhakikisha kwamba wanauzuia ugonjwa mpya ulio ibuka.” “Ugonjwa huo unahusiana na watu kutokwa na mapunye mwili mzima, hadi sasa hivi chanzo hakijajulikana ila watu wanaendelea kuaambikizwa. Nitahitaji wanafunzi sabini kutoka mwaka wa pili na wanafunzi thelathini kutoka mwaka wa kwanza, na mutakwenda kusambazwa mikoa yote ya nchi ya Tanzania. Hakikisha unafanya kazi kwa kujitoa, pia hakikisheni kwamba hakuna mtu ambaye atafikiria kutoroka katika hii field kwa maana tutakutafuta na tukikupata tutakuua” Mkuu wa shule alizungumza kwa kujiamini sana, hapakuwa na mtu ambaye anaweza kupinga kile ambacho kinazungumza na mkuu wa shule.
“Walimu wa madarasa ningeomba niletewe majina ya wanachuo watakao kwenda huko ndani ya dakika kumi. Munaweza kutawanyika” Nikabaki nikiwa nimesimama nikiduwaa huku nikiufikiria ugonjwa huu ambao umetokea hapa nchini Tanzania.
“Erick” Nilisika sauti ya madam Lily ikiniita kwa nyuma yangu, nikageuka kwa ishara akaniomba nimfwate, moja kwa moja tuakelekea hadi ofisinik wake.
“Kaaa hapo, fanya huo mtihadi haraka iwezekanavyo na jina lako litakuwepo kwenye orodha ya watakao kwenda kuwashuhulikia wagonjwa huko mikoani” “Ila madam sijafudhu katika udaktari na kama unavyo ona kichw changu, siwezi hata mitiani” “Mitihani ni tofauti na vitendo. Majibu yapo pembeni, ngoja niandae majina” “Sawa” Nikachukua karatasi pamoja na kalamu, kazi yangu ikawa ni kuhamisha majibu kutoka kwenye karatasi ya madam Lilya na kuingia katika karatasi yangu mpya ya majibu ya mtihadi. Kutokana nimebarikiwa kasi ya kuandika, sikuchukua hata dakika kumi nikawa nimemaliza kuandika mtihadi wangu na kumkabidhi karatasi madama Liliy.
“Toka nje watu wasije wakaanza kuhisi vibaya” “Asante madam na shukrani sana” “Sawa” Nikafungua mlango na kutoka nje, nikiwa katika kordo ya kueleka katika vyumba vyetu nikakutana na Jackline.
“Erick nilikutafuta sana” “Nilikuwa around vipi ulimaliza zoezi nililo kupa?”
“Yaa nimelifanya na limenisaidia sana kwa maana nimehakikisha kwamba ninalenge katikati ya karatasi na nimefanikiwa” “Safi sana huko ndio kufahamu” “Kweli, vipi mtihani wa juzi ulionaje?” “Mmm ni mgumu kiasi ila Mungu asaidie” “Kweli, yaani nina muomba Mungu sana niweze kupangiwa na mimi kwenda nje ya chuo” “Mimi wala sitamani kabisa kutoka nje ya chuo” “Kwa nini?” “Ahaa yaani sitamani najisikia tu kubaki ndani ya chuo” “Tena nakuombeka kwa Mungu uweze kuchaguliwa” “Hahaaa” “Sasa ngoja nielekea bafuni kuoga kwa maana hapa ukichaguliwa mtu unaweza kujikuta unaondoka ukiwa na harufu ya kikwapa” “Na kweli” Tukaachana na Jackline na yeye akaelekea katika chumba chake cha kwa ajili ya kubadili nguo za mazoezi. Nikaingia kwenye chumba changu na kujitupa kitandani huku nikiwa na mawazo mengi. Kengela ya kutuita tena kwenye viwanja vya makutano ikapigwa tene. Kwa haraka nikanyanyuka nakuanza kukimbilia katika eneo hilo. Uboya wa kujiona sharobaro kama nilio kuwa nao awali umekwisha kabisa kwa maana mazoezi ya kufwata maadili ya chuo hichi yamenibadisha sana maisha yangu. Tukajipanga kwenye kwenye mistari iliyo nyooka.
“Atakaye sikia jina lake, atasimama upande ule” Mkuu wa chuo alizungumza hukua kituonyesha eneo ambalo walio somwa wanapaswa kwenda kusimama. Majina yakaanza kusomswa na msemaji wa chuo. Kila aliye sikia jina lake akaelekea katika eneo tulilo onyeshwa na mkuu wa chuo. Hadi linafika jina la tisini na nene sikusikia jina langu na kujikuta nikijawa na furaha sana nikiamini madam Lily amelifanyia kazi ombi langu.
“Erick Almeida” Jina langu likawa la mia moja, mkuu wa chuo akanitazama kwa macho makali, nikajikuta taratibu nikijitoa katika mstari wa wana chuo wezangu na kuungana na walio chaguliwa kuingia katika safari hii.
“Erick” Nilisikia sauti nyuma yangu, nikaegeka na kumuona Jackline, akaninyooshea kidole gumba huku akitabasamu. Mkuu wa chuo akatufwata katika sehemu tulipo simama, akatutazama kwa sekunde kadhaa pasipo kuzungumza kitu chochote.
“Munakwenda uraiani, ukiachilia tu kwamba nyinyi ni madaktari, mukumbuke kwamba nyinyi ni walinzi wa hili taifa, munalinda taifa na watu wake. Hakikisheni hamuendi kunitia aibu huko munapo kwenda. Nimeeleweka?” “Ndio mkuu” “Almeida unione baada ya mkusanyiko huu. Muna robo saa ya kwenda kujiandaa kila mtu kwenye chumba chake. Mutaondoka na helicopter za chuo, kila moja mutapanda watu kumi. Hakuna atakaye ondoka na bastola, silaha zote zirudishwe kwa mwalimu wa mafunzo sawa” “Ndio mkuu” “Tawanyikeni”
Watu wakatawanyika, nikamfwata mkuu wa shule huku nikiwa na wasiwasi mwingi moyoni mwangu, kwa maana huyu mzee anasifika kuwa na roho mbaya hapa chuo, anaogopewa na wanachuo pamoja na waalimu wote, na akisema kwamba mtu anatakiwa kuuwawa basi hakuna ambaye atabisha.
“Unakwenda huko nje ya chuo, nitahakikisha kwamba nyendo zako zote zinafwatiliwa kwa ukaribu. Unanielewa”
“Ndio mkuu, nimekuelewa” “Nikiletewa ripoti tofauti na wewe, naamini unanijua” “Ndio mkuu” “Haya potea” Nikaondoka kwa haraka na kuelekea chumbani kwangu, nikaandaa suti yangu pamoja na koti langu la udaktari, nikavua nguo zangu kisha nikajifunga taulo na kuelea bafuni. Nikaoga kwa haraka na kurudi chumbani kwangu, nikajiandaa kwa haraka iwezekanavyo, nilipo hakikisha kwamba nimemaliza kuvaa nikatoka chumbani kwangu na kuelekea katika viwanja vya helicopter. Nikiwa katika viwanja hivi nikamuona madam Lily akiwa amesimama kwa mbali akitutazama, muda wa kuondoka ukawadia na ikalazimika wanafunzi wote kuingia kwenye helicopter na safari ikaanza.
“Helicopter yetu inaelekea jijini Dar es Salaam” Rubani wetu alitutaarifu kidogo moyo wangu ukaanza kupatwa na furaha kwa maana ninaweza hata kuonana na ndugu zangu. Ubaya wa helicopter hizi vioo vyake wala huwezi kuona nje, zaidi ya rubani na msadizi wake ndio wanaweza kuona tunapo elekekea. Baada ya masaa mawii tukafika jijini Dar es laam na tukashuka kwenye kiwanje cha kambi ya jeshi. Tukapokelewa na mkuu wa kambi, na kuanza kuelekea sehemu ambayo tunahitaji kupelekwa, nikiwa katika kutembea nikastukia nikifinywa nyuma ya mkono wangu wa kulia na kujikuta nikigeuka kwa haraka.
“Kumbe na wewe una stuka?” Jackline alizungumza huku akinitazama.
“Hivi tumesafiri wote?” “Ndio tumesafiri wote, nilikuwa nimekaa siti ya nyuma kabisa, nahisi kuhuniona” “Ahaa mimi nikajua labda umepelekwa madongo kuinama huko” “Hahaaa wapi” Tukaingia kwenye holi kubwa, na kukuta baadhi ya madaktari wa jeshi. Tv kubwa zilizopo humu ndani ya huu ukumbi zinaonyesha taarifa za wagonjwa ambao wamathiriwa na ugonjwa huu. Kila aliye muona mgonjwa kupitia hii Tv kubwa, sura yake aikaonekana kubadilika sana. Ni ugonjwa wa kutisha sana, ni ugonjwa ambao unambadilisha mtu hata muonekano wake.
“Kwa uchunguzi ambao umepatikana kwa hivi sanana, ugonjwa huu unatokana na maji, virusi vya ugonjwa huu vipo kwenye maji. Cha kuwashauri wageni, hakikisheni kwamba hamunywi maji hovyo hovyo” Mkuu wa jeshi alizungumza huku akitutazama wanafunzi wapya tulio fika katika hili eneo la jeshi.
“Ugonjwa huu hadi sasa hivi haujapatikana dawa, ugonjwa huu uneendelea kusambaa kwa kasi kubwa sana. Kunzia hivi sasa mutapelekewa kwenye hospitali zote wa hapa Dar es Salaam nina amini kwamba muna ujuzi mkubwa sana na mutakwenda kusaidia wanachi” “Kila mmoja atapatiwa kitambulisho cha kumuonyesha kwamba yeye ni daktari, hakikisha kwamba huondoke eneo la hospitali hadi pale ugonjwa huu unaondoka” “Samahani mkuu nina swali” “Uliza” “Ugonjwa huu unaweza kusambaa kwa mtu ambaye hajaambukizwa kwa kumgusa?” “Hapana, rudie kusema kwamba ugonjwa huu unasababishwa na maji. Swali jengine?” Watu wote tukaa kimya, kila mtu akaanza kupangiwa hospitali ya kwenda huku mimi nikiwa nimepangiwa kwenda hospitali ya taifa Muhimbili. Nikaingia kwenye gari la jeshi ambalo moja kwa moja likanipeleka hadi hospitali ya Muhumbili, nikakabidhiwa kwa daktari mkuu wa hospitali.
“Karibu, twende wodini ukaone wagonjwa” Daktari mkuu alizungumza huku akianza kutembea.
“Hadi sasa kuna mgonjwa ambaye emefariki?” “Hapana huu ugonjwa ni watofauti kidogo kusema kweli, kwa maana hadi sasa hivi sijapokea ripoto yoyote kwamba kuna mgonjwa ambaye amefariki” “Na dawa je?” “Dawa ndio hivyo hadi sasa hazijapatikana” Tukaingia kwenye wodi ambayo ina wagonjwa, kusema kweli nikajikuta nikiogopa hata kuwaangalia wangonjwa hawa ambao waanatisha sana kwa kuwaangali. Machozi yakaanza kunilenga lenga kwa kuwaoneka huruma watoto wadogo ambao nao wameathiriwa na ugonjwa huu.
“Ohoo Mungu wangu!!” “Huu ugonjwa tangu nizaliwe kwangu sijawahi kuuona” Tukaendelea kupita kwenye wodi hii kubwa iliyo jaa wagonjwa. Tukaingia kwenye wodi nyinine ambayo nayo tukakuta wagonjwa wengine wengi wakiwa katika hali ya umahututi. Tukiwa kwenye moja ya kordo yenye Tv kubwa tukamuona raisi akihutubia taifa akiomba madaktari hata wa kienyeji nao wajaribu katika kutafuta uvumbuzi wa dawa ya hili gonjwa kwa maana madaktari bingwa wameshindwa.
“Nchi kuongozwa na mwanamke ni kazi sana” “Kwa nini unazungumza hivyo dokta?” “Huyu mwana mama tangu aichukue nchi haijatulia kabisa” “Ila uongozi wake ni mzuri” “Ndio ni mzuri ila kwa mtazamo wangu, huyu mwana mama ana maadui wengi. Unaweza kukuta huu ugonjwa umepandikizwa na wajanja wa chache” Maneno ya daktari mkuu yakanifanya nianze kuhisi kitu katika huu ugonjwa japo sina uhakika sana.
“Ahaa kikubwa tumuombe Mungu aweze kutusaidia wagonjwa waweze kupona” Tukaendelea kuzunguka kwenye wodi za wagonjwa, wenye ugonjwa wa mapunye. Nikaachana na daktari mkuu na yeye akaelekea kwenye kikao cha dharura cha madaktari wakuu. Nikatafuta sehemu yenye benchi nikaka taratibu huku nikiwa na mawazo ya kujiuliza ni nini ninapaswa kukifanya kama daktari niliye letwa katika hospitali hii.
Nikiwa katika kuanga angaza kwenye hii kordo inayo pita watu wengi kiasi, nikamuona mpenzi wangu Rose akiwa ameongozana na mwanaume mmoja ambaye ndio mara yangu ya kwanza kumuona. Kwa haraka nikanyanyuka na kumkimbilia, nikawafikia hadi sehemu walipo. Macho ya Rose yalipo nitazama, dhairi yakaonyesha kwamba bado Rose ana chuki na mimi.
“Rose” “Twende zetu mume wangu mama yupo wodi hii huku” Rose alizungumza maneno hayo huku akimshika jamaa mkono na taratibu wakaondoka na kuniacha nikiwa nimesimama nikiwasindikiza kwa macho tu
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Nikiwa katika kuanga angaza kwenye hii kordo inayo pita watu wengi kiasi, nikamuona mpenzi wangu Rose akiwa ameongozana na mwanaume mmoja ambaye ndio mara yangu ya kwanza kumuona. Kwa haraka nikanyanyuka na kumkimbilia, nikawafikia hadi sehemu walipo. Macho ya Rose yalipo nitazama, dhairi yakaonyesha kwamba bado Rose ana chuki na mimi.
“Rose”
“Twende zetu mume wangu mama yupo wodi hii huku”
Rose alizungumza maneno hayo huku akimshika jamaa mkono na taratibu wakaondoka na kuniacha nikiwa nimesimama nikiwasindikiza kwa macho tu

ENDELEA
Sikutaka kuamini kwamba Rose ana mwanaume mwengine, taratibu nikaanza kuwafwatilia kwa nyuma huku nikiwa nimejawa na wivu mwingi moyoni mwangu. Nikawashuhudia wakiingia kwenye wodi ya wagonjwa walio athirika kwa mapunye. Moja kwa moja nikawaona wakisimama kwenye moja ya kitanda, nikamuona mama Rose naye akiwa ameathirika na ugonjwa huu. Machozi yakaanza kunilenga lenga, pale nilipo muona Rose akimwagikwa na machozi usonimwake. Nikataka kwenda ila nikasita kidogo, nikaanza kuelekea katoka ofisi za daktari mkuu kuhakikisha kwamba ninafahamu ni kitu gani kinacho endelea.
“Dokta”
Nilimuita daktari mkuu baada ya kumuona akitoka kwenye ofisi yake.
“Ndio Erick”
“Vipi hadi sasa hivi kuna jambo lolote linalo endelea kuhusiana na upatikanaji wa dawa ya huu ugonjwa?”
“Ndio cha kumshukuru Mungu kuna daktari mmoja anaitwa Lameck David, ameweza kugundua dawa ya kuponya ugonjwa huo na hata sasa hivi mtoto wa raisi ameweza kupona”
“Mungu ni mwema”
“Kweli hapa tunasubiri kuletewa dawa, ambayo anavyo dai huyo daktari, itawekwa kwenye maji tu na wagonjwa nao watakunywa”
“Itafika hapa saa ngapi?”
“Dakika tano kuanzia hivi sasa, kwa maana inasambwazwa kwa helicopter ya ikulu”
“Sawa dokta”
“Twende huku”
Tukaongozana na daktari hadi kwenye kiwanja cha helicopter kilichopo kwenye moja ya gorofa hapa hospitali. Hazikupita dakika nyingi helicopter kutoka ikulu ikatua katika kiwanja hichi. Waakatukabidhi dungu la maji.
“Hii ni dawa, wekeni kwenye vyanzo vya maji ya hapa hospitalini kwenu sawa”
“Sawa”
Daktari mkuu akapokea dungu hili na taratibu helicopter hii ikaondoka, mimi na daktari mkuu ambaye ametokea kunipenda na kuwa karibu naye.
“Dokta ninaomba nikuombe kitu kabla ya kuweka haya maji kwenye vyanzo vya maji”
“Kitu gani?”
“Unaonaje tukampa maji haya mgojwa mmoja akipona basi tunaweza kuweka kwenye vyanzo vya maji na wagonjwa wakawa wanapelekewa tu maji haya tukiwa na uhakika”
“Wazo zuri, twende maabara”
Moja kwa moja tukaongozana na daktari mkuu hadi kwenye maabara ya hospitali na kuwakuta madaktari wengine wakiwa tayari wamesha jiandaa kwa ajili ya kuipokea dawa hii. Nikachukua chupa moja na kumimina maji kidogo na kumuomba daktari mkuu nielekee naye kwenye kitanda cha mgonjwa ambaye ninahitaji kumfanyia majaribio. Tukafika katika wodi aliyo lazwa mama Rose, nikamkuta Rose na mama yake huku jamaa yake akiwa hayupo.
“Samahani binti ninaomba nimshuhulikie mgonjwa”
Daktari mkuu alizungumza huku akimsogeza Rose pembeni kidogo. Rose akanitazama kwa jicho kali sana lililo jaa hasira kali, sikulijali hilo, nikamnyanyua mama Rose kidogo, nikafungua mfuniko wa chupa na kumuwekea mdomoni mwake.
“Unampa nini mama yangu wewe mwana haramu”
Rose alizungumza kwa ukali na sauti ya juu hadi wagonjwa pamoja na manesi waliomo humu ndani wakamtazama.
“Unajuana naye huyu binti”
Nikatingisha kichwa tu kumjibu doktari mkuu. Mama Rose akaanza kunywa maji haya ya kwenye chupa taartibu hadi yakaisha.
“Nimekuambia muache mama yangu”
“Rose nipo kazini ninakuomba uniheshimu”
“Nikuheshimu kwa umalaya wako unao ufanya”
Taratibu nikajikuta hasira ikinipanda, ila daktari mkuu akanishika begani na kuninong’oneza sikioni mwangu.
“Erick achana naye”
“Sawa dokta”
Dakika zikaanza kukatika huku tukimtazama mama Rose aliye anza kupata mabadiliko ya ngozi yake. Mapunye yakaanza kutoweka taratibu kwenye mwili wake, hadi inatimu nusu saa, mapunye yote yakawa yamemwondoka mwilini mwake.
“Erick”
Mama Rose aliniita kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu. Rose akamsogela mama yake na kuanza kupitisha viganja vyake kwenye mikono ya mama yake akiwa haamini kwa kile alicho kiona, hata wagonjwa walio lala katika vitanda vya pembeni nao wakaonekana kushangaa.
“Dokta nipo nje”
Nikatoka na kumuacha daktari mku akipiga simu ili kuwaruhusu watu wa maabara kuweka maji hayo kwenye vyanzo vya hospitali kuhakikisha kwamba uginjwa huu hadi inafika asubuhi kusiwe na mgonjwa yoyote wa mapunye. Nikasimama kwenye moja ya bustani huku nikiwa na mawazo mengi sana, nikawatazama jinsi manesi wanavyo zunguka huku na kule kuhakikisha kwamba wanawahudumia maelfu ya wagonjwa walio letwa kwenye hospitali hii. Nikiwa katika kupitisha pitisha macho huku na kule, nikamuona jamaa ambaye nilimuona na Rose akipita kwenye moja ya kordo akiwa kasi sana akielekea katika wodi ambayo mama Rose alilazwa.
Nikaanza kutembea kwa kujiamini na kwa haraka sana hadi nikamfikia, nikashika bega na kumfanya ageuke kwa haraka.
“Vipi wewe?”
Jamaa alizungumza kwa hasira huku akinitazama usoni mwangu, nikatazawa wingi wa watu kwenye hii kordo na kujikuta nikitabasamu, ili mradi kuificha hasira yangu kwake.
“Aah sahamani tunaweza kuzungumza kidogo”
“Sikia bro sina muda wa kuzungumza na punguani kama wewe”
“Sawa rafiki yangu ila ninahitaji kuzungunza na wewe japo kwa dakika moja”
“Achana na mimi mseng** wewe”
Sikujibu chochote zaidi ya kumtazama jamaa akiondoka na kuingia kwenye wodi aliyo lazwa mama Rose, taratibu nijajikuta nikikunja ngumi mkononi mwangu huku kwa mbali machozi yakinilenga lenga.
“Dokta Ercik unahitajika huku”
Nesi mmoja alizungumza, nikaanza kumfwata kwa nyuma. Tukaingia kwenye moja ya wodi, kazi yetu ikawa ni kusambaza chupa za maji kwa wagonjwa. Kazi hii ikatuchukua zaidi ya lisaa, nikiwa katikati ya wodi nikamuona daktari mkuu akija kwa kasi huku akinitazama mimi usoni mwangu, ikanibidi na mimi kumfwata ili kumrahisisishia kunifikia.
“Erick kuna simu yako haku”
“Imetoka wapi mkuu”
“Chuoni kwenu”
Daktari mkuu alizungumza kwa sauti ya chini ili hata mtu wa pembeni yetu asisikie kile tunacho kizungumza. Tukaongozana na daktari hadi ofisini kwake na kunikabidhi mkonga wa simu. Nikauweka sikioni na kusikiliza ni kitu gani kinacho endelea.
“Haloo”
“Erick kuna tukio la uvamizi wa ikulu limetokea, wewe na wezako mujumuike sasa kwenda kuhakikisha kwmaba munazuia hilo tukio”
Sauti ya mkuu wa chuo ilizungumza na kunifanya nianze kuogopa.
“Ila mkuu hatuna vitengea…..”
“Pumbavu hii ni amri nenda kafanye kile nilicho kuagiza”
Mkuu wa chuoa alizungumza kwa hasira na nikastukia simu ikikatwa, daktari mkuu akanitazama usoni mwangu huku akiwa na shauku ya kuhitaji kufahamu nilicho agizwa.
“Dokta ninatakiwa kuondoka”
“Kuelekea wapi usiku huu?”
“Ikulu, ninasikia imevamiwa?”
“Imevamiwa, kivipi?”
“Kusema kweli sifahamu”
“Sasa wewe si daktari unakwenda kufanya nini huko ikulu?”
Nikaka kimya huku nikijiuliza kichwani mwangu, nimueleze ukweli wa kazi yanguya pili daktari mkuu ila nikajikuta nikishindwa kabisa kuzungumza chochote.
“Erick!!”
“Ahaa unajua sisi tumekuja kwa muda naamini kwamba msaada wangu huko napo unahitajika”
“Basi ngoja nikukabidhi funguo ya gari langu, unaweza kwenda nalo kisha asubuhi ukaja nalo”
“Unaniamini ehee”
“Yaa nimetokea kukupenda kama kijana wangu, unajua nilikuwa na mwanangu wa kiume wa makamo yako, alifariki mwaka jana kwa ajali. Sasa nilipo kuona wewe nikajikuta nikivutiwa kabisa na wewe”
“Shukrani dokta”
“Funguo hizi hapa, kama una simu basi tuwe tunawasiliana?”
“Kusema kweli sina simu”
Daktari akafungua droo ya meza yake, akanikabidhi simu ndogo aina ya nokia.
“Hiyo namba huwa siitumia sana unaweza kuitumia kwa muda huu hadi asubuhi kisha ukanirudishia”
“Kuna namba yako humu?”
“Hapana”
Daktari mkuu akachukua simu hii na kuanza kuingiza namba yake kisha akanirudishia.
“Inaishia na kumi na moja”
“Sawa na gari lipo wapi?”
“Kwenye maegesho ya magari ya madaktari njoo nikuonyeshe”
Tukasimama gorofani, daktari akanionyesha magesho hayo ya magari, kutoka tupo gorofani ikawa ni rahisi kwa sisi kuyaona.
“Gari langu ni lile jeusi, BMW”
“Sawa dokta”
“Kazi njema Erick”
“Asante mzee”
Nikatoka katika ofisi ya daktari, nikashuka kwenye ngazi na kuelekea yalipo maegesho, nikafungua gari la dokta na kuingia. Taratibu nikaanza kutoka katika eneo la hospitali, kutokana ni mwenyeji wa hapa Dar es Salaam haikuniwia ugumu sana kuweza kufika katika eneo la ikulu. Gari langu nikalisimamisha mita chache kutoka lilipo geti la kuingilia ikulu.
Nikaanza kutembea kwa kujiamini hadi kwenye geti la ikuluambalo lipo wazi, nikakuta baadhi ya walinzi wakiwa wameuwawa kwa kupigwa risasi. Woga ukanitawala sana kwa maana hii ndio mara yangu ya kwanza kuifanya kazi ya usalama tena nikiwa bado ni mwanafunzi ambaye sijakamilika kabisa. Nikaokota moja ya bastola kwa mlinzi aliye lala chini huku akiwa tayari amesha poteza maisha, nikatoa magazine na kukuta risasi zimetumika kadhaa. Nikaanza kuingia ndani ya eneo la ikulu huku nikiwa makini sana kuhakikisha kwamba sijeruhiwi.
“Mungu wangu”
Nilijikuta nikizungumza hivi baada ya kukuta wafanyakazi wengi wakiwa wameuwawa.
“Weka mikono yako juu”
Nilisikia sauti ya ukali ikitokea nyuma yangu. Kwa haraka nikanyoosha mikono yangu juu huku mwili mzima ukiwa uananitetemeka.
“Tupa mbali silaha yako na ugeuke haraka”
Sauti hiyo ikaendelea kuniamrisha, nikatii huku nikitamani kulia kwa maana kama ni mara ya kwanza mimi kuingia katika hii kazi, hali inakuwa hivi si mkosi. Nikageuka taratibu, macho yangu yakakutana na mwanajeshi aliye shika bunduki yake huku akinitazama.
“Mimi si si…si”
“Onyesha kitambulisho chako”
Nikachomoa kitambulisho changu cha chuo na kumrushia mwanajeshi huyu, akakiokota na kukisoma taratibu huku akinitazam usoni mwangu. Akashusha bunduki yake chini na kunirudishia kitambulisho changu.
“Umekuja kufanya nini ukiwa bado ni mwanafunzi?”
“Mkuu wa chuo alinieleza nije hapa ikulu imevamiwa”
“Okota bastola yako, magaidi wamesha ondoka muda mrefu”
Nikashusha pumzi huku nikimtazama mwanajeshi huyu. Nikaokota bastola yangu na kuishika vizuri.
“Eneo lote lipo safi”
Mwanajeshi huyu alizungumza kwa kutumia simu yake ya upepo.
“Dokta Lameck yupo hai”
Nilisikia mazungumzo hayo yakitikea kwenye simu ya upepo ya huyu mwanajeshi, nikajikuta nikijawa na shauku ya kuhitaji kumuona dokta huyo ambaye inasadikika kwamba yeye ndio mgunduzi wa dawa ya ugonjwa ulio tokea leo.
“Eti kaka ninaweza kumuona huyo dokta?”
“Yupo geti namba mbili”
“Sifahamu lilipo”
Jamaa huyu akanitazama kwa umakini kisha akanielekeza lilipo geti hilo. Nikaondoka kwa haraka huku nikiwa nimejawa na shauku ya kuhitaji kumuona dokta Lameck. Nikafika katika geti namba mbili, nikamuona dokta Lameck akiingia kwenye gari la jeshi akiwa na msichana wa kiarabu. Magari hayo yakageuza na kuondoka katika eneo la hapa ikulu na sikufahamu ni wapi yanapo elekea.
“Dogo kuna majeruhi huku njoo uwashuhulikie”
Mwajeshi mmoja alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikaongozana nao na kuingia ndani ya ikulu na kuanza kutazama wagonjwa ambao wamejeruhiwa kwa shambulizi hili ambalo linaonekana kuwa ni zito sana. Japo udaktari siupendi ila sikuwa na budi zaidi ya kujitahidi kuwasaidia wale ambao wamejeruhiwa kwa risasi sehemu mbali mbali.
“Dokta Erick kuna mgonjwa huku”
Mwanajeshi mmoja alizungumza huku akiniwa anahema sana. Nikaanza kuongozana naye kueleka sehemu hiyo yenye mgonjwa. Nikamkuta dada mmoja aliye valia suti akiwa apepigwa risasi ya mguu, na yupo katika chumba ambacho ninaamini alijificha kwa ajili ya kuyaokoa maisha yake. Kwa haraka nikachukua mkanda nilio vaa kwenye suruali yangu, nikamfunga kwenye paja lale katika mguu wenye jeraha la risasi ili kuzuia damua inayo toka isiendelee kumtoka, kisha nikaanza kuminya jeraha lake ili kuitoa risasi. Dada huyu akaendelea kulia kwa uchungu sana ila hakuna njia nyingine ya kumuhudumia zaidi ua kutoa risasi hiyo kwa haraka.
“Inakuja inakuja”
Nilizungumza huku nikiendelea kuiminya, nikaangaza aganza macho yangu ndani ya chumba hichi, nikaona chupa ya pombe kali, nikaichukua na kurudi alipo lala dada huyu. Nikamyazama usoni jinsi anayo mwagikwa na jasho pamoja na machozi. Nikamwagika pombe hii aina ya wisk kwenye jeraha lake na kuipa urahisi risasi kupanda juu. Taratibu nikaitoa risasi hii, kwa maumivu makali dada huyu aliyo yapaya akajikuta akipoteza fahamu.
“Ataamka baada ya masaa machache, uzuri risasi haijapasuka mwilini mwake”
“Poa”
Mwanajeshi huyu alizungumza kwa ufupi huku akimnyanyua dada huyu. Sikupata muda wa kupumzika hadi inatimu saa moja asubuhi, ndipo nikapata muda wa kuwa huru, koti langu lote limejaa damu za wagonjwa nilio kuwa ninawahudumia.
“Naamini wewe ni Erick Almeida?”
“Ndio”
“Naitwa Babyanka ni mkuu wa NSS, ninaamini mtihani wako umekwenda vizuri”
Kwanza ikanibidi kumpigia saluti dada huyu baada ya kutambua ni mkuu wangu wa kazi.
“Mtihani?”
“Ndio kuhudumia hawa wagonjwa kwa moyo mmoja ulikuwa ni mtihadi, basi unaweza kupumzika na kurudi katika kituo cha kazi ulicho pangiwa na hii ni namba yangu ya simu”
Babyanka akanipatia kadi ndogo iliyo andikwa namba ya simu pamoja na cheo chake. Nikaagana naye na kuondoka katika eneo la ikulu huku nikiwa nimefarijika moyoni mwangu kwa maana kama ni mtihani basi umekwenda vizuri kwa upande wangu. Nikaingia kwenye gari na kuondoka eneo hili, nikiwa njiani nikapata wazo la kwenda nyumbani kwa kina Rose, ikanibidi kubadikisha safari na kueleka moja kwa moja katika mtaa anao ishi Rose na mama yake. Nikasimamisha gari nje ya nyumba wanayo ishi Rose na mama yake, nikavua koti langu na kuliweka siti ya nyuma kisha nikashuka na kuelekea ndani.
“Habari yako dada?”
“Salama za kwako?”
“Salama tu, Rose na mama yake wapo hapa?”
“Ahaa mbona walisha hama siku nyingi ulifahamu hilo?”
“Silifahamu dada yangu”
“Ahaa Rose sasa hivi matawi ya juu, anaishi Masaki huko kanunuliwa nyumba na bwana yake mmoja hivi ni mmiliki wa sheli hapa mjini”
Maneno ya dada huyu yakanifanya nibaki nikiwa nimeduwaa, huku nikianza kuyasikia maumivu ya moyo wangu jinsi yanavyo niuma.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Nikaingia kwenye gari na kuondoka eneo hili, nikiwa njiani nikapata wazo la kwenda nyumbani kwa kina Rose, ikanibidi kubadikisha safari na kueleka moja kwa moja katika mtaa anao ishi Rose na mama yake. Nikasimamisha gari nje ya nyumba wanayo ishi Rose na mama yake, nikavua koti langu na kuliweka siti ya nyuma kisha nikashuka na kuelekea ndani.
“Habari yako dada?”
“Salama za kwako?”
“Salama tu, Rose na mama yake wapo hapa?”
“Ahaa mbona walisha hama siku nyingi ulifahamu hilo?”
“Silifahamu dada yangu”
“Ahaa Rose sasa hivi matawi ya juu, anaishi Masaki huko kanunuliwa nyumba na bwana yake mmoja hivi ni mmiliki wa sheli hapa mjini”
Maneno ya dada huyu yakanifanya nibaki nikiwa nimeduwaa, huku nikianza kuyasikia maumivu ya moyo wangu jinsi yanavyo niuma.

ENDELEA
“Ahaa unaweza kufahami wapi anapo ishi?”
“Nimekuambia ni Masaki huko kwa watoto wa kishua ila kwa nyumba ambayo wanaishia kusema kweli siwezi kufahamu”
“Namba yake ya simu unayo?”
“Ahaa sina kusema kweli, labda nimuulize mama Linda ana yeye ndio alikuwa rafiki sana wa mama Rose”
Dada huyu akaelekea uwani na kuniacha nikiwa nimesimama kwenye kordo hii nikifikiria mamabo mengi sana niliyo yafanya mimi na Rose, baada ya dakika kama mbili akarudi akiwa ameongozana na mama Linda.
“Habari yako kaka”
“Salama tu mama shikamoo”
“Marahaba”
“Mama Linda huyu kaka si unamfahamu, ndio anaye taka namba ya Rose au mama yake”
“Nina mfahamu vizuri sana, sasa kaka namba mimi ninayo ila nitaitoa kwa masharti”
“Masharti gani mama yangu?”
“Ukiwasiliana na wahusika hado hado ninakuomba usije ukanitaja, kwa maana mama Rose wala Rose wenyewe hawahitaji namba zao zitolewe kwa watu”
“Sawa sinto wataja”
“Andika hapo”
Mama huyo akaanza kunitajia namba ya mama Rose, kisha akanitajia namba ya Rose, nikaihifadhi kwenye simu hii aliyo nipatia daktari mkuu, nikawaaga na kuondoka nyumbani hapa huku nikiitazama tazama hii nyumba kwa maana ina kumbukumbu kubwa sana kwenye maisha yangu. Kitendo cha kwanza baada ya kuingia ndani ya gari, nikaitazama namba ya Rose kisha kwa wasiwasi nikaipiga na kuweka simu yangu sikioni. Simu ikaanza kuita baada ya muda ikapolekewa na suti laini ya Rose ambayo kwa mara nyingi nilisha izoea kuisikia masikioni mwangu.
“Haloo”
Rose aliendelea kuita na kunifanya nizidi kukaa kimya huku nikikosa kitu cha kuzungumza kabisa. Taratibu nikajikuta nikikata simu huku jasho jingi likinimwagika mwilini mwangu, kwa haraka nikawasha A/C(Air Condition) iluyomo ndani ya hili gari ili kukata jasho langu. Simu ikaanza kuita, nikaitazama na kukuta ni Rose ndio anaye ipiga, nitakitazama kwa muda kisha nikakata.
‘Comoon Erick, mbona ninapoteza ujasiri?’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiitazama simu hii. Nikaondoka eneo hili na kurudi moja kwa moja hospitali ya Muhimbili. Nikasimamisha gari sehemu nilipo litoa na kuelekea ofisini kwa daktari mkuu.
“Shikamoo dokta”
“Marahaba, vipi kazi imekwenda vizuri?”
“Ndio dokta na asante sana kwa msaada wako”
“Hakuna tabu ni mambo ya kawaida tu hayo”
“Sawa simu yako hii ha…..”
Kabla sijamkabidhi dokta simu ikaita, nikaitazama na kukuta ni Rose ndio anaye nipigia, nikamtazama daktari mkuu.
“Vipi ni namba yangu?”
“Hapana dokta ni ya kwangu”
Nikaipokea huku nikitoka ofisini hapa.
“Haloo”
“Rose ni mimi”
“Umeipata wapi namba yangu wewe mseng**”
“Please Rose ninaomba unipe japo nafasi ya kujieleza”
“Sihitaji kusikia chochote kutoka kwako, mimi na wewe tayari mapenzi yamesha isha so nikusaidie nini”
“Mama anaendeleaje?”
“Hilo halikuuhusu”
“Rose kwa nini umekuwa na kinywa kichafu namna hiyo mpenzi wangu”
“Koma mwana hizaya wewe, kinywa changu sasa hivi ndio unakiona kichafu, ila hiyo mb** yako uliiona ni safi ukawa unagawa kwa kila mwanamke si ndio. Tena ninakuambia hivi, nina mume wangu tena una bahati umepiga amesha ondoka, la sivyo angekutafuta na kukuonyesha”
“Rose na…”
Simu ikakatwa nikabaki nikiwa ninaitazama, Rose ambaye nilisha mzoea kumuona ni mpole msikivu mnyenyekevu mbele yangu, leo hii amekuwa ni mwiba mkali sana kwenye moyo wangu. Nikajaribu kuipiga simu ya mama Rose nikakuta haipatikani, nikajaribu kupiga kwa mara tatu zaidi, ila majibu yakawa ni yale yale simu kuto kupatikana.
“Vipi”
Sauti ya dokta mkuu ikanistua na kunifanya nigeuke na kumtazama.
“Ahaa nimemaliza kuzungumza na simu”
“Sawa, tuelekee nyumbani kwangu, ndio maelezo niliyo weza kupewa na mkuu wako wa shule”
“Vipi wagonjwa lakini walipona?”
“Sana tuu, dawa imeweza kuleta maendeleo, kutoka katika wagonjwa elfu kumi hadi sasa hivi wapo wagonjwa mia mbili na kitu nao wakipaa maji watapona”
“Mungu ni mwema”
“Kweli, kuna kitu chochote cha kuchukua?”
“Hapana”
“Basi tuondoke kwa maana mimi mwenyewe nilisha maliza kujiandaa”
Tukaongozana na daktari hadi kwenye maegesho ya magari, nikamkabidhi fungua ya gari, akafungua mlango wa nyuma na kuingiza begi lake la mkononi.
“Hili koti Erick unatakiwa kulichoma moto”
“Tena nilijisahau kwa maana limejaa damu nyingi sana”
“Watu waliheruhiwa eheee?”
“Sana na wengi wamepoteza maisha?”
“Duu hadi unaondoka, ulimuona raisi?”
“Hapana”
“Na ni watu gani wamevamia ikulu kwa maana hili ni tukio la kwanza kulisikia kwamba ikulu imevamiwa?”
“Hadi naondoka sikuweza kufahamu kwa maana ulinzi kwa sasa unaimarishwa na wanajeshi”
“Kweli hapo wanajeshi ni lazima wachukue nafasi yao”
Tukaondoka eneo la hapa hospitalini na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwa daktari.
“Mama yako atakuwa amenimiss sana kwa maana tangu jana asubihi nilipo toka nyumbani sijarudi”
“Ahaa hajakusumbua?”
“Hajanisumbua, ninacho mshukuru Mungu mke wangu huyu wa sasa hivi ni mpole, muelewa na anajua ni kitu gani kinacho endelea kwenye nchi”
“Sawa sawa, ina maana ulikuwawa na mke mwengine?”
“Yaa mke wangu wa kwanza naye alifariki na kijana wangu kwenye hiyo ahali, ulikuwa ni wakati mgumu sana kwenye maisha yangu. Ila tuachane na hizo mada”
Nikamtazama dkatari mkuu, nikamuona jinsi alivyo jawa na huzuni kubwa sana usoni mwake.
“Dokta hivi kwako ni wapi?”
“Naishi masaki, nimehamia mwaka huu, nyumba niliyo kuwa ninauza mbezi beach nimeipangisha kwa maana kuishi peke yangu mule ndani ilikuwa ni shida kwa upande wangu”
“Kwani una watoto wangapi?”
“Ninao wawili, mmoja ndio hiyo wa kiume na mwengine ni wa kike yupo chuo cha Mlimani hapo”
‘Hii ndio nafasi’
Nilizungumza kimoyo moyo kwa maana ninaamini kukaa kwangu masaki kwa hii siku moja nitaweza kuwatafuta Rose na mama yake na nitafhamu tu sehemu ambayo wanaishi. Tukafika nyumbani kwa daktari, geti kubwa likafunguliwa na taratibu akaingiza gari lake.
“Tumefika mzee”
“Asante sana”
Tukashuka kwenye gari, jumba la huyu daktari ni kubwa saa, limezungukwa bustani za maua huku kwenye maegesho yake ya magari, kuna gari sita za kifahari.
“Erick”
Nilijikuta nikitoka kwenye bumbuazi zito na kumtazama dokta usoni mwake.
“Twende ndani”
Daktari mkuu alizungumza huku akitabasamu.
“Baba yangu umejipanga aisee”
“Yaa, haya ni maisha ambayo siku zote nilikuwa nikiyawazia kwenye maisha yagu”
“Natamani siku moja na mimi nije kuwa na maisha kama haya”
“Ina wezekana kuwa na maisha kama haya, Kikubwa ni kujituma, ipende kazi yako kuwa muaminifu, muombe Mungu wako, hakika utafanikiwa”
“Kweli kweli”
“Halooo baby”
Daktari mkuu alizungumza, dada mzuri akanyanyuka kwenye sofa huku akiwa amevaa kibukta kifupi kilicho yaacha mapaja yake wazi kwa asilimia themanini. Akakumbatiana na daktari huyu na kuanza kumpiga mabusu mengi usoni mwake. Wakanyonyana denda kwa dakika kama mbili kisha wakaachiana.
“Nimekumisi mume wangu”
“Hata mimi mke wangu”
“Pole na kazi”
“Nashukuru baby. Leo nimekuja na mgeni anaitwa Erick Almeida ni daktari ametoka chuoni na amekuja kutusaidia hospitalini kwetu juu ya huu ugonjwa ulio ibuka”
“Karibu dokta Almeida”
“Asante”
“Erick huyu ndio mama yako anaitwa Cesilia”
“Nashukuru kwa kukufahamu mama”
Nilizungumza huku tukipeana mikono na Cesilia, kusema kweli ni msichana mdogo ambaye hastahili kabisa kuishi na huyu mzee, ambaye ana umri kama wa baba yangu tena ninahisi atakuwa amempita baba yangu miaka michache.
“Hata mimi, karibu nyumbani kwetu, jisikie kama upo nyumbani”
“Nashukuru”
Wakanikaribisha kwenye sofa, kisha wao wakaelekea ndani huku wakiwa wameshikana viuono. Cesilia amebarikiwa kupewa kila kitu ambacho mwanamke mzuri duniani amepewa, ukiachilia sura yake tu, ila hata umbo lake limekaa vizuri sana ana figa ya kueleweka, iliyo fungashia makalio makubwa kiasi.
“Ohooo”
Nilizungumza huku nikiishika bastola yangu niliyo ichomeka nyuma kiunoni mwangu. Nikaiweka vizuri na kuendelea kukaa sebleni huku nikitazama makatuni kwenye Tv. Nikaitoa simu mfukoni na kuiangalia kwa mara nyingine, nikampigia simu mama Rose ila nikakuta bado hapatikani hewani.
“Nitawatafuta”
Nilizungumza huku nikiirudisha simu mfukoni. Dakika zikazidi kuyoyoma, hadi zinatimu dakika hamsini daktari mkuu akatoka huku akiwa na tabasamu pana usoni mwake, macho yake kwa jinsi yanavyo onekana tu, ametoka kungonoka na mkewe.
“Ahaa pole kwa kukuacha peke yako Erick”
“Hakuna tabu muheshimiwa”
“Kidogo mama yako alikuwa ananipeti peti bwana si unajua uzee huu”
Daktari alizungumza kwa sauti ya chini na kunifanya nicheke sana.
“Njoo nikuonyeshe chumba cha kulala”
“Sawa dokta”
Nikanyanyuka kwenye sofa na kuongozana na daktari, tukapanda gorofani alipo kuwa ameelekea na mkewe, akafungua mlango mmoja wa chumba na sote tukaingia ndani.
“Hichi ni chumba chako, utalala humu, bafu na choo vyote vimo hapa”
“Asante sana dokta”
“Kuhusiana na mavazi badae nitakupatia kiasi kidogo na utakwenda kununua mjini, wewe si mwenyeji wa Dar?”
“Yaa ni mwenyeji”
“Basi utakwenda kununua mwenyewe”
“Asante dokta”
“Unaweza kujimwagia mwagia maji, ukaja tukapata breakfast ya nguvu”
“Sawa dokta”
Daktari akatoka chumbani humu, nikaanza kukikagua chumba kwa umakini, nikafungua mlango wa bafuni, nikakuta kuna usalama wa kutosha, nikafungua kabati kubwa lililo jengewa ukutani, nalo nikakuta likiwa na mashuka pamoja na taulo tu.
“Watu wana maisha mazuri sana”
Nilizungumza huku nikiwa nimesimama dirishani nikiyaangalia mazingira ya hili jumba jinsi yalivyo pambwa na kupendaza. Nikaichomoa bastola yangu, nikaiweka chini yam to, nikavua nguo zangu na kuvaa taulo. Nikaingia bafuni na kuanza kuoga taratibu. Kutokana nimesha zoea maisha ya kufwata kengele na kwenda na muda, hata kuoga kwangu ni kwa haraka haraka. Nikatoka bafuni na kuvaa nguo zangu, kisha bastola yangu nayo nikaichomeka sehemu nilipo zoea kuichomeka, nikashuka gorofani na kumkuta daktari mkuu akiwa amekaa na mke wake sebleni.
“Jamani mbona mgeni amerudia kuvaa nguo hizo hizo”
Cesilia alizungumza huku alinitazama usoni mwangu.
“Ahaa nitampatia pesa badae atakwenda kununua”
“Ahaa sawa”
Nilibaki nikitabasamu tu, Cesilia akanyanyuka na kuandaa meza ya chukula.
“Jamani njooni tule sasa”
“Mzee nyanyuka tukale bwana, kwa maana sote hapa tuna njaa”
“Yaa”
Tukaka kwenye viti vilivyo izunguka hii meza ya chakula. Hivyo vifungua vinywa vilivyo andaliwa hapa mezani ni kuharibiana tu mfumo wa kula, kwa maana ni mivyakula vyenye mafuta mengi wakati chuoni nimesha zoea kula mikate tu asubuhi.
“Erick kula mwanya”
“Sawa mama ninakula”
“Anaona aibu”
“Ahahaa hapana dokta mbona ninapachukulia hapa ni kama nyumbani”
“Yaa hapa ni nyumbani kuwa free kabis…..”
Simu ya dokta mkuu ikaita, kwa haraka akaichomoa mfukoni mwake, huku akitutazama.
“Samahani”
Alizungumza huku akinyanyuka na kusogea pembeni kidogo.
“Haloo muheshimiwa raisi”
Sote ikatubidi kumtazama
“Sawa muheshimiwa”
“Nitachukua kama nusu saa nitakuwa nimesha fika hapo”
“Sawa sawa”
Daktari mkuu akakata simu na kutugeukia akarudi hadi mezani, akachukua glasi yake ya juisi, akainywa yote na kuirudisha mezani.
“Jamani raisi amenipigia simu ananihitaji sina budi, inabidi niwaache”
“Ahaa mume wangu, hiyo kazi yako inanichosha sasa, yaani sina hata muda wa kuka na wewe na kufurahia penzi letu”
“No baby usizungumze hivyo, kwa sasa nchi ipo katika hali tata, kwa hiyo muda unakuwa mdogo, nakuomba usikasirike ehee”
“Nibusu kwanza ndio uondoke”
Taratibu dokta akambusu Cesilia mdomoni pasipo hofo ya kuhihofia mimi.
“Erick mimi ninakukimbia, bibie hapa atakupatia pesa na utakwenda kununua nguo”
“Sawa dokta”
Daktari mkuu akakimbilia gorofani, baada ya dakika tano akashuka akiwa amevalia suti nyeusi. Cesilia akanyanyuka na kumfwata dokta hadi sehemu alipo simama, akamrekebisha tai na kumpiga mabusu mengi mdomoni mwake, kisha daktari akatoka nje.
“Asante kwa chakula”
Nilizungumza huku nikisimama.
“Umeshiba dokta?”
“Yaa nimeshiba sana”
“Sawa ngoja nitoe vyombo”
Nikarudi kwenye sofa na kukaa, baada ya muda kidogo Cesilia akapita sebleni na kupandisha gorofani pasipo kuzungumza kitu chochote kwangu. Nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia tena mama Rose ninaamini kupitia yeye ninaweza kupafahamu sehemu anayo ishi. Kwa bahari nzuri simu ikaanza kuita, gafla nikasikia kelele kali ya Cesilia ikitokea gorofani jambo lililo nifanya kwa haraka nikate simu na kuirudisha mfukoni, nikasimama huku nikichomo bastola yangu, nikakimbilia gorofani hadi katika chumba ambacho ndio ninasikia sauti ya Cesilia akilia akiomba msaada, nikajishauri kugonga mlango, ila nikashindwa na kujikuta nikiusukumakwa nguvu na ukafunguka, nikamkuta Cesilia akiwa amepiga magoti kitandani huku amejifunga kanga moja tu mwilini mwake, kidole cha mkono wake wa kushoto amekinyooshea kwenye kabati lake.
“Ni nini mama”
Niliuliza huku nikilisogelea kabati lake taratibu huku bastola yangu nikiwa nimeishika kwa umakini mkubwa kuhakikisha kwamba ninakabiliana na jambo hili linalo mtisha Cesilia.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Kwa bahari nzuri simu ikaanza kuita, gafla nikasikia kelele kali ya Cesilia ikitokea gorofani jambo lililo nifanya kwa haraka nikate simu na kuirudisha mfukoni, nikasimama huku nikichomo bastola yangu, nikakimbilia gorofani hadi katika chumba ambacho ndio ninasikia sauti ya Cesilia akilia akiomba msaada, nikajishauri kugonga mlango, ila nikashindwa na kujikuta nikiusukumakwa nguvu na ukafunguka, nikamkuta Cesilia akiwa amepiga magoti kitandani huku amejifunga kanga moja tu mwilini mwake, kidole cha mkono wake wa kushoto amekinyooshea kwenye kabati lake.
“Ni nini mama”
Niliuliza huku nikilisogelea kabati lake taratibu huku bastola yangu nikiwa nimeishika kwa umakini mkubwa kuhakikisha kwamba ninakabiliana na jambo hili linalo mtisha Cesilia.

ENDELEA
Cesilia hakunijibu kitu chochote zaidi ya kuendelea kunionyeshe kidodole chake kwenye kabati hilo, nilipo hakikisha nimelisogelea na kulishika kitasa chake, nikalifungua kwa haraka, sikuona kitu cha aina yoyote kinacho tisha zaidi ya nguo zilizo pangwa vizuru. Nikaendelea kuchunguza katati hili kuhakikisha kwamba kuna usalama, kisha nikamgeukia Cesilia aliye kaa kimya huku akimwagikwa na jasho jingi shingoni mwake.
“Kuna kitu gani mama kilicho kutisha”
“Nimemuona mende humo ndani ya kabati”
“Mendeee!!?”
“Eheee”
Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi huku bastola yangu nikiichomeka kwenye ikuno changu, nikamtazama Cesilia pasipo kumpatia neno la kumsemesha kwa maana sijaona sababu yoyote ya yeye kupiga kelele nyingi kama mtu aliye vamiwa kumbe ni mdudu mdogo mende ndio anaye mtisha kwa kiasi hichi.
“Mama unaogopa mende”
“Ndio, naogopa”
“Mende hawezi kukudhuru kwa lolote, tafadhali njoo utoe ngoo mimi ninarudi sebleni”
“Ahaa nitolee ngou bwana mi naogopa”
“Sasa mimi nitajua ni nguo gani ambayo unahitaji kuvaa?”
“Yoyote nitolee bwana huko kuna mende”
Ikawa ni mtihani mwengine, nikageukia kabatini, nikatazama nguo zake, nikavuta suruali moja ya jinzi ya rangi nyeusi pamoja na shati yeupe, nikaviweka kitandani.
“Naamini ukivaa hizi utapendeza”
“Ujanitolea sidiria na chupi”
“Eheee!!”
Nilijikuta nikiguna huku nimeishiwa pozi kabisa
“Zipo wapi?”
“Kwenye huo mlango wa pembeni”
Taratibu nikageuka na kufungua mlango wa pembeni katika kabati hili, nikakuta sidiria pamoja na chupi aina za bikini zikiwa zimepangwa vizuri na kila siridia ina chupi yake. Nikabaki nikiwa nimesimama kwa kuduwa kama dakika mbili hivi kisha nikachukua chupi pamoja na siridia vyote vikiwa vya rangi nyekundu, nikafunga milango ya kabati kisha nikamuwekea Cesilia vitu vyake kitandani, nikaaga na kutoa chumbani kwake.
Sikuwa na hata na hamu ya kukaa hapa sebebleni, nikatoa na kuanza kutembea tembea kwenye bustani hizi za maua huku nikitazama tazama mandhari mazuri ya haya hili jumba.
“Ameida, Almeida”
Niliisikia sauti ya Cesilia ikiniita, ikanibidi kurudi kwenye mlango wa kutokea nje. Nikamkuta akiwa amesimama huku amevalia miwani, na mkononi mwake ana pochi kubwa.
“Twende tukafanye manunuzi ya nguo, pia kuna sehemu ninahitaji kupitia kununu vitu vya ndani”
“Sawa mama”
“Si unajua ku drive?”
“Yaa”
“Niendeshe basi, kwa maana kichwa changu bado kina pombe za asubuhi nilizo kunywa”
Akanikabidhi fungua ya gari.
“Funguo ya gari gani hapa?”
“Hiyo V8”
Tukaingia kwenye gari hili kubwa ambalo kwa hapa mjini mtu ukilimiliki ni lazima uwe na pesa kubwa ya kulihudumia kwa maana bei ya mafuta yake tu, unalisha famili ya kawaida mwezi mzima. Taratibu nikageuza gari hili na kuanza kuelekea getini. Taratibu geti likaanza kufunguka.
“Tena inabidi niongee na mzee aniletee mlinzi kwa maana hivi nyumba kuwa peke yake tukitoa sio vizuri”
“Yaa ulinzi ni muhimu tena kwa jumba kubwa kama hili”
“Yaa, yaani nikiwa peke yangu humo ndani yaani kazi yangu ni kunywa tu mipombe ili kutoa woga”
“Hahaaaa”
“Usicheke Erick, yaani lile jumba linatisha, na mzee hataki hata mfanyakazi wa ndani”
“Ahaa ibabidi ujifunze kareti ili hata likitokea tatizo la uvamizi unaweza kujilinda wewe mwenyewe”
“Tobaaa hahaaa, yaani mimi nijifunze kareti kweli kwa mwili gani nilio kuwa nao”
“Haha unaweza mbona kujifunza, kila kitu kinahitaji mafunzo na utaweza”
“Hahaa bado ujanishauri katika hilo”
“Tunaelekea wapi?”
“Tupitie hapo Sinza kuna maduka ya nguo za kiume kisha tunakwenda Mlimani City”
“Sawa”
“Ila Erick samahani kwa kile kilicho tokea leo”
“Hakuna tabu ni jukumu langu kumlinda yoyote pale linapo tokea tatizo”
“Kweli na nimekuona una bastola wewe ni dokta kweli?”
“Hahaa yaa mimi ni dokta, bastola ni kwa ajili ya ulinzi binafsi”
“Kweli hata mzee anayo, sema huwa hatembei nayo, labda tukiwa tumetoka usiku ndio anatembea nayo”
“Sawa sawa”
Tukafika kwenye duka moja maeneo ya Sinza, nikasimamisha gari pembezoni mwa barabara, kisha tukashuka kwenye gari na kuvuka upande wa pili ambao ndio una maduka ya nguo za kiume. Tukaingia kwenye duka moja na taratibu tukaanza kuchagua nguo.
“Usinichagulie nguo nyingi kwa maana sidhani kama ninaweza kunivaa zote”
“Kwa nini unazungumza hivyo”
“Nitarudi chuoni na kule haturuhusiwi kuvaa nguo za nyumbani, kuna sare maalumu kwa wana chuo”
“Ni chuo gani hicho hawaruhusu watu kuvaa nguo za nyumbani?”
“Ni chuo cha udaktari”
“Ahaa hao wamezidi, wewe chukua nguo zozote utakazo, kama utashindwa kuzivaa, siku ukiondoka kueleka chuo, utaniambia nitakutunzia hadi ukimaliza”
“Sawa mama”
Tukachahua nguo na na viatu, tulipo hakikisha tumetosheka, Cesilia akafanya malipo kisha tukatoka dukani hapa na kurudi kwenye gari.
“Sasa hapa twende Nakumati ya Mlimani City nataka kununua vitu baadhi”
“Sawa mama”
“Erick nikuombe kitu”
“Niombe tu”
“Ukiwa na mimi ninakuomba usiniite mama”
“Sawa, nitakuita sister”
“Bora hivyo kwa maana mimi na wewe sidhani kama tumepishana sana umri”
“Hakuna tabu”
Safari ya kuelekea Mlimani City ikaanza huku kwenye gari tukiwa kimya, Cesilia akiwa na kazi ya kuchati na marafiki zake na kujipiga picha kwa mara kadhaa.
“Hivi Erick una mchumba”
“Kwa nini umeuliza hivyo?”
“Ahaa nakuuliza ili nimjue wifi yangu, tusije tukakutana naye huko alafa ukiwa ni tabu akanivamia kumbe mimi ni dada yako”
“Hahaa mimi nipo chuo na wala sina mchumba wa aina yoyote”
“Mmmmm vijana wa sasa hivi hata mukiwa na wachumba mutasema”
“Hakuna huo ndio ukweli”
“Yaani mimi hata mtu akiniuliza nina mtu, huwa ninamumbia nina mume wangu na ninamtajia hadi kazi yake”
“Kwa nini unataja hadi kazi yake?”
“Ili mtu aweze kuona kwamba hana chake hapa, unajua kuna watu wanakuja kwa gia ya pesa, ataanza kusema ohoo dada nimekupenda, sijui nina jumba, sijui nina kampuni sasa, nikumuambia kwamba Mr wangu mimi ni daktari mkuu tena wa Muhimbili, basi utamuona mtu anaufyata kimya”
“Hahaha ila unampenda muheshimiwa?”
Cesilia akanitazama kwa mshangao na kukaa kimya kwa sekunde kadhaa huku akifikiria cha kunijubu.
“Ahaa tuachane na hilo”
“Ahaa hapana, ninampenda mume wangu sana”
“Samani kwa kuwa nimekuuliza swali binafsi”
“Hakuna tatizo labda unaweza kuhisi kwamba umri mimi na mzee amenipita sana?”
“Hapana sijazungumzia umri kwa maana mapenzi ya sasa hivi umri sio dili kubwa”
Tukafika Mlimani City, nikasimamisha gari kwenye maegesho maalumu kisha tukashuka wote kwa pamoja na kuelekea ndani. Tukafika katika mlango wa kuingia katika super market ya nakumati, mlizi akanizuia.
“Una silaha muheshimiwa?”
Alizungumza na kumfanya Cesilia kusimama na kututazama.
“Umejuaje?”
Akanionyesha kwenye mashine yake, nikajiona mwili mzima ukiwa katika mfumo wa fuvu tu na bastola niliyo ichomeka nyuma yangu inaonekana.
“Sister wewe ingia ndani mimi nitakusubiria kwenye gari”
“Kwani huwezi kumuachia huyo mlinzi ukaingia ukiwa hauna silaha?”
“Hapana, wewe ingia tu utanikuta kwenye gari”
Nikaondoka na kumuacha Cesilia akinitazama, nikatoka na kuanza kutembea taratibu kuelekea kwenye gari nilipo liacha. Nikiwa ninalikaribia gari langu, gari jeusi aina ya Lexux likasimama pembeni ya gari langu. Akashuka Rose akiwa amevalia miwani ya macho, mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio baada ya kumuona, huku yeye akiwa bado hajaniona. Nikaanza kutembea kwa haraka ili kumuwahi asipige hatua ya kuondoka katika gari lake.
“Rose”
Nilimuita huku nikimshika bega kwa nyuma, akageuka kwa haraka huku akiwa amestuka. Alipo iona ni sura yangu akatoa msonyo mkali na kuufunga mlango wa gari lake vizuri.
“Ninaomba tuzungumze”
“Erick unataka nini kwani, hujui kwamba nimeolewa eheee?”
Rose alizungumza huku akinionyesha mkono wake wa kushoto na kwenye kidole chake cha shahada amevishwa pete ya thamani sana.
“Erick nina mume na ninafikiria kuhusiana na maisha yangu sasa, hii iwe ni mara yetu ya mwisho kuonana. Na ukiendelea kunisumbua nitamuambia mume wangu akufanyizie kitu kibaya, ndio utatambua kwamba sikupendi na sikuitaji kwenye maisha yangu”
“Rose kwa nini unanichukia sana kama vile nimefanya jambo ambalo kwenye maisha yangu haliwezi kusameheka?”
“Ndio ninakuchukia, mwanaume gani ambaye hukujua thamani yangu, mwanamu gani ambaye ulidiriki utaka uhahi wangu unitoke, kisha baada ya hapo ukanikimbia na kuniacha hospitalini nikiwa ninateseka”
Rose alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Nikataka kumshika japo mkono akawahi kuusogeza mkono wake nyuma.
“Don’t ever try to touch me”(Usijaribu tena kunishika)
Rose alizungumza kwa msisitizo huku akiwa ameyang’ata meno yake kwa hasira kali sana.
“Rose wewe ndio mwanamke wa maisha yangu, wewe………….”
Kwa ishara ya kiganja Rose akanikatisha mazungumzo yangu, akanipandisha na kunishusha kwa haraka, kisha akanipiga kipushi na kunipita na kuanza kutembea kueleka ndani, nikataka kumfwata ila mzilinzi mmoja akanitazama kwa jicho kali nikajukuta nikikosa hata nguvu ya kumfwata. Machozi yakaana kunilenga lenga, kwani uzuri wa Rose umezidi kuongezeka mara dufu. Nikafungua mlango wa gari na kuingia, machozi yakazidi kunimwagika huku nikijilaumu ni kwa nini nilimsaliti Rose wagu. Mlango wa gari ulipo funguliwa ukanistua kwa haraka nikajifuta machozi yangu na kutazama nyuma, nikamuona Cesilia akiigiza mifuko mnne myeupe iliyo jaa vitu. Akaufunga mlango huo kisha akafungua mlango wa mbele.
“Nimenunu mivitu mingi, leo nahitaji kukupikia chakula kitamu”
“Ahaa”
“Mbona kama ulikuwa unalia”
“Hakuna kitu”
“Erick nimekaa na wewe kwa muda mfupi sana ila nimeweza kukusoma sana, niambie unatatizo gani, ua ni kwasababu ya mlinzi kukurudisha pale mlangoni?”
“Hapana Cesilia, nipo sawa tu, kichwa ninahisi kama kina niuma kwa mbali”
“Kama ni vipi nikakuchukulie dawa humo ndani?”
“Hapana kitaacha chenyewe”
“Erick”
Cesilia aliniita huku akinitazama kwa macho yake makubwa kiasi yaliyo legea kwa mbali.
“Panda ndani ya gari tuondoke”
Kabla ya Cesilia hajaingia ndani ya gari, nikaona gari moja aina ya Vitz likisimama kwenye maegesho yaliyopo pembeni yetu, akashuka mwanaume mmoja aliye valia suti nyeusi, nikamtazama machoni mwake, nikamuona ni mtu mwenye wasiwasi mwingi sana, nikataka kumpotezea ila moyo wangu ukasita kabisa.
“Cesi ingia kwenye gari na unisubiri hapa”
“Unakwenda wapi Erick”
“Subiri ndani ya gari na sihitaji ushuke ndani ya gari sawa”
Nilizungumza kwa ukali kidogo na kumfanya Cesilia kutingisha kichwa chake tu, nikaanza kumfwatilia mwanaume huyu kwa umakini, jinsi anavyo tembea tu, kwa mafunzo niliyo jifunza chuoni juu ya kumgundua mtu mwenye tatizo, basi imekuwa rahisi sana kwangu kuweza kumgundua jamaa huyu.
Tukaingia ndani wote wapmoja pasipo jamaa huyu kugundua kwamba ninamfwatilia, akasimama pembezoni mwa duka la Samsung, akajifanya kama anatazama tazama bidhaa zilizomo ndani ya duka hilo, jasho linalo mwagika usoni mwake likanifanya kabisa niweze kugundua kwamba huyu jaamaa ana jambo anataka kulifanya. Nikaanza kumsogelea kwa ukaribu huku nikimtazama mikononi mwake, taratibu mkono wangu wa kushoto nikaanza kuurudisha nyuma kuelekea ilipo bastola yangu. Nikamkaribia jamaa huyu kwa ukaribu kabisa, na mkono wangu akawa tayari umesha ichomoa bastola yangu.
“Anabundukiiiiii”
Sauti ya dada mmoja iliyo tokea nyuma yangu akipiga mayowe, ikamfanya mtu huyu kunigeukia kwa haraka, akachomoa mikono yake nikamuona akiwa ameshika patani maalumu ya kulipua bomo, kwa haraka nikaudaka mkono wake na kuanza kuminyana naya nikihitaji kuchukua batani hiyo.
Jamaa akajaribu kushikilia batani hiyo, ila nikawanikiwa kumzidi na kumuagusha chini, kwa haraka nikalichana shati lake eneo la tumbuni, kitu nilicho kifikiri ndicho nilicho kiona kwa maana jamaa huyu amevaa mabomu mawili na hapa ndipo nikagundua mpango wake ulikuwa ni kujitoa muhanga kwenye jengo hili la kibiashara.
“Upo chini ya ulinzi”
Nilizungumza huku nikiwa nimemuweka bastola ya uso na batani ambayo nimempokonya nikiwa nimeishika mkononi mwangu.
“Niue tuu”
Mtu huyu alizungumza huku akitabasamu, nikatazama bomu lake nikaona limebakisha sekunde kumi kabla ya kulipuka, nikanyanyua uso wangu mbele nikamuona Rose akiwa amesimama mita chache kutoka sehemu tulipo huku akiwa ameduwaa akinitazama akishindwa hata kukimbia na watu wengine tayari kila mmoja amesha kimbia na kutoka katika jengo hili kwa ajili ya kuyaokoa maisha yake.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Jamaa akajaribu kushikilia batani hiyo, ila nikawanikiwa kumzidi na kumuagusha chini, kwa haraka nikalichana shati lake eneo la tumbuni, kitu nilicho kifikiri ndicho nilicho kiona kwa maana jamaa huyu amevaa mabomu mawili na hapa ndipo nikagundua mpango wake ulikuwa ni kujitoa muhanga kwenye jengo hili la kibiashara.
“Upo chini ya ulinzi” Nilizungumza huku nikiwa nimemuweka bastola ya uso na batani ambayo nimempokonya nikiwa nimeishika mkononi mwangu.
“Niue tuu” Mtu huyu alizungumza huku akitabasamu, nikatazama bomu lake nikaona limebakisha sekunde kumi kabla ya kulipuka, nikanyanyua uso wangu mbele nikamuona Rose akiwa amesimama mita chache kutoka sehemu tulipo huku akiwa ameduwaa akinitazama akishindwa hata kukimbia na watu wengine tayari kila mmoja amesha kimbia na kutoka katika jengo hili kwa ajili ya kuyaokoa maisha yake.
ENDELEA
Sikuwa na ujanja mwengine wa kufanya zaidi ya kunyanyuka kwa kasi kubwa, nimamshika mkono Rose na kuanza kukimbia naye kuelekea nje, hata kabla hatujamalizia kuufuka mlango ili kutoka nje, mlipuko mkubwa ukatusukumia nje, sikumuachia Rose zaidi nilicho kifanya ni kumkumbatia kwa nyuma na sote tukaanguka chini.
Mlio mkali ukatawala masikioni mwangu huku kichwa changu kikiniuma sana, taratibu nikamtazama Rose usoni mwake, nikaona hana jeraha la aina yoyote, nikajilaza pembeni na kumuacha Rose ili apate nafasi. Nikamuona Rose akikaa kitako jambo lililo nifanya nitabasamu kidogo, taratibu ukungu mwingi ukatawala machoni mwangu na kujikuta nikitulia kimya.
***
Mlio wa mashine ya kuhesabia mapigo ya moyo, ukanifanya niyafumbe macho yangu. Nikatazama kila kona ya chumba hichi, nikamuona madam Lily akiwa amesimama pembeni yangu huku anasinzia.
“Hei madam” Sauti yangu ikamfanya madam Lily kustuka kutoka usingizini, alipo niona nimefumbau macho kwa haraka akanisogelea na kunishika mkono wangu wa kushoto huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.
“Erick umeamka?” “Yaaa” “Ohoo Mungu ni mwema” Madam Lily alizungumza kwa furaha huku kiganja cha mkono wake wa kulia kikipapasa uso wangu.
“Nipo wapi?” “Upo kwenye hospitali ya chuo, ililazimika kurudishwa hapa chuo na usitibiwe huko ulipo kuwa” “Nimeletwa lini hapa?” “Jana, hali yako kidogo haikuwa nzuri. Ila unajisikiaje?” “Kichwa kwa mbali kina niuma sana” “Utapona” Mlango ukafunguliwa na kumfanya madam Lily kuniachia mkono wangu, akaingia mkuu wa chuo, akiongozana na daktari mkuu wa chuo chetu.
“Anaendeleaje mgonjwa?” “Ameamka muda huu” “Erick” “Naam” “Pole kwa kilicho kukuta, madaktari watakushuhulikia afya yako itarudi katika hali ya kawaida” “Sawa mkuu” “Dokta hakikisha kwamba maendeleo yake yote unaweza kunifikishia mezani kwangu” “Sawa mkuu” Mkuu wa chuo akatoka na kutuacha watatu ndani ya hichi chumba.
“Kuna jambo madam Lily ningeomba niweze kuzungumza na wewe” “Sawa dokta” Madam Lily na dokta wakatoka nje ya chumba hichi na kusimama pembeni ya mlango huu wa kioo. Nikawatazama jinsi wanavyo zungumza, nikamuona madam Lily akinitazama kwa macho yaliyo jaa mstuko sana kisha akamgeukia daktari. Wakazungumza kwa dakika mbili, kisha daktari akaondoka na kumuacha madam Lily akiingia ndani ya hichi chumba.
“Kuna nini madam?” “Hakuna tatizo” Madam Lily alinijibu huku machozi yakimlenga lenga.
“Madam niambie kuna nini?” “No Erick, hakuna kitu” Madam Lily akaondoka katika chumba hichi huku machozi yakimwagika. Nikabaki nikiwa nimejawa na na maswali mengi kichwani mwangu. Sikuta kujifikiria sana kuhusiana na mimi kwa maana nipo sawa japo ni kichwa kwa mbali ndio kinacho nisumbua kwa mamumivu.
Siku zikazidi kusonga mbele na hali yangu ikazidi kuimarika, nikaanza kufanya mazoezi pesi mepesi na baadhi ya wanafunzi wezangu ambao nao wana umwa magonjwa yao. Ila kila siku ambayo ninaonana na madam Lily anaonekana kuto kuwa na furaha kabisa dhidi yangu, tofauti kabisa na mara ya kwanza.
“Madam” Nilimuita madama Lily kwenye kordo hii ya hospitali baada ya kumuona ametoka katika ofisi ya daktari.
“Nini?” Madam Lily alinijibu kwa ufupi huku akiwa amejawa na hasira usoni mwake.
“Samahani ninaomba nizungumze na wewe” “Zungumza Erick nina kazi yingi za kufanya” “Sawa, ila madam tangu siku ile ya kwanza ulivyo zungumza na daktari umekuwa ni mtu ambaye umepoteza furaha kabisa. Kuna nini, au kuna sehemu nimekukosea?” “Umemaliza?” “Ndio” “Nenda kaendelee na mazoezi” “Ila madam hujanijibu swali langu” “Nikujibu wewe kama nani, nenda ukaendelee na mazoezi yako, hii ni amri” “Sawa madam” Nikabaki nikimsindikiza madam Lily kwa macho huku nikizidi kujawa na maswali mengi kichwani mwangu. Hamu ya kufanya mapenzi sikuwa nayo kabisa, ikanilazimu kurudi katika chumba changu nilicho lazwa, moja kwa moja nikaelekea bafuni nikavua nguo zangu zote na kusimama mbele ya kioo hichi.
“Kwa nini madam Lily ananichukia mimi?” “Mbona nina sifa zote ambazo mwanaume ninazo, misuli, kifua kizuri. Sasa ni kwa nini anichukie?” Niliendelea kuzungumza huku nikijitazama mwili wangu, nikamshika jogoo wangu aliye lala, nikamtingisha kidogo ila hakuweza kuitika. Nikauangalia mshono mdogo chini ya kitovu changu, nikauminya minya ila sikuona maumivu yoyote.
‘Sihitaji kufanya hivi’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikifungua bomba la maji, taratibu nikaanza kuoga. Nikamaliza na kurudi chumbani kwangu.
“Erick malizia kuvaa na uje ofisini kwangu sawa” Daktari alizungumza huku akiwa amesimama mlangoni.
“Sawa dokta” Nikavaa nguo zangu na kueleka ofisini kwa daktari mkuu.
“Karibu Erick” “Asante dokta” “Kaa tu hapo” Nikaka kwenye kiti kilichopo mbele ya meza yake, akafungua faili moja lililopo mezani mwake akalisoma kwa sekunde kadhaa kisha akanitazama.
“Kwanza nikupongeze kwa juhudi uliyo ionyesha kipindi ukiwa jijini Dar es Salaam” “Salama” “Uliweza kuyaokoa maisha ya mamia ya watu walikuwa kwenye jengo lile, japo ni wachache sana waliweza kuudhurika” “Shukrani dokta” “Uliletwa hapa, baada ya hali yako kuwa mbaya kidogo, na madaktari wa hapa chuoni tukajitahidi kwa uwezo wetu tukahakikisha kwamba hali yako inarudi kuwa sawa na tunashukuru Mungu kwamba afya yako inaendelea vizuri” “Ni kweli dokta” “Ila kuna tatizo moja ambalo kusema kweli hatukuweza kupambana nalo kwenye mwili wako” “Tatizo gani dokta, kwa maana sina maumivu sehemu yoyote ya mwili wangu” “Yaa kwa upande wa maumivu hakuna, tuliweza kukabiliana nalo na kwa sasa huto sikia maumivu tena.” “Ok, niambie tu hilo tatizo” Nilizungumza huku nikijiweka vizuri kwenye kiti hichi nilicho kalia. Daktari akanitazama kwa macho yaliyo jaa maswali mengi sana, kwa ishara nikamuomba aniambie. “Hili jambo linahusiana na swala la uzazi?” “Uzazi!!?” “Yaa, tulijaribu kutengeneza mirija yako ya kupeleka nguvu kwenye uume wako, ila ikashindikana hivyo basi hutokuwa na ngu…..” “Dokta stop” Nilimkatisha daktari kwa maana anacho hitaji kukizungumza ni kitu ambacho siwezi kukiamini wala kukikubali kukiamini kabisa kwenye maisha yangu.
“Dokta Erick hivyo ndivyo jinsi tatizo tulilo ligundua kwenye oparesheni yetu” “Dokta Mathew huo ni uongo, haiwezekani mtoto mdogo kama mimi leo hii uje uniambie kwamba sina nguvu za kiume wakati nina nguvu za kiume za kutosha” Nilizungumza kwa hasira huku nikisimama
“Dokta Erick tunakuomba ukae chini” “Siwezi kukubaliana na hili jambo, ninakwenda chooni kujiangalia hili jambo kama kuna uhuni wowote mulio nifanyia ninahapia, ahaaa haki ya MUNGU mutanitambua kwamba mimi ni nani” Baada ya kuapia nikatembea kwa haraka hadi mlangoni, nikafungua mlango na kutoka, nikaanza kutembea kwa mwendo wa haraka nikielekea katika chumba nilicho kuwa nimelazwa. Moja kwa moja nikaingia bafuni, nikavua suruali yangu pamoja na boksa, nikachukua sabuni, nikajipakaza katika kiganja changu cha mkono wa kulia, kisha nikamshika jogoo wangu na kuanza kumpakaza huku asira na wasiwasi mwingi vikinitawala mwilini mwangu.
Zaidi ya dakika tano nikawa ninarudia kuchua jogoo wangu, ila hata dalili ya kusimama hakuonekana, wasiwasi ukazidi kunitawala na hasira ikaanza kunishuka, machozi yakaanza ninitiririka machoni mwangu.
‘Oohoo Mungu wangu weeee’
Nilizungumza huku nikikitemea kiganja changu mate na kuendelea kujipakaza kwenye jogoo wangu, sikuona matokeo yoyote na zaidi jogoo wangu alizidi kusinyaa kwa ajili ya baridi itokanayo na maji.
“Ohoo Mungu, ndio nini jamani hivi ahaaaaa” Nililia huku nikiwa nimemshika jogoo wangu, katika maisha ya mwanume rijali hakuna ajali mbaya ambayo italeta fedheha kwake kama atakapo jigundua hana nguvu za kiume.
Taratibu nikajikuta nikikaa chini kabisa, kilio ninnacho lia, unaweza kusema kwamba nimefiwa na mama au baba yangu mzazi.
“Hapana ninaota” Nilizungumza huku nikinyanyuka chini, nikavua tisheti niliyo ivaa, nikasimama kwenye kioo, nikashusha pumzi nyingi taratibu, kisha nikachukua sabuni, nikapakaza kwenye kiganja cha mkono wa kulia. Nikayafumba macho yangu na kuvuta hisia kama nipo na Zari, nikaanza kukumbuka jinsi Zari alivyokuwa akimshika jogoo wangu na kumnyonya kwa madoido mengi sana. Nikanza kumchua jogoo wangu huku nikiwa na hisia hiyo kali, jogoo wangu hakusisimka kama ilivyo kuwa awali. Hapa sasa ndipo nikaanza kuchanganyikiwa, nikafungua maji ya bomba la mvua na yakaanza kunimwagikia mwili mzima. Nikaendelea kumchua jogoo wangu kwa kutumia maji ila sikuweza kabisa kumpa hisia. Nikatoka bafuni na kujitupa kitandani, nikilia kwa nguvu sana huku nikiwa nimejikunyata. Madaktari wawili wakaingia na kuanza kunibembeleza, maneno yao hayakuwa dawa kwangu zaidi nilijikuta nikiwachukia sana madaktari hawa na kuanza kupambana nao. Ikawalazimu madaktari kuomba msaada kwa madaktari wezao, wakaingia madaktari wengine sita wakanishika na kunilaza kitandani na mmoja wao akanichoma sindano mkono wangu wa kushoto na taratibu nikajikuta nikianza kulegea na usingizi mzito ukanipitia na kulala fofofo.
***
Siku na miezi ikazidi kwenda mbele huku nikiwa nipo katika uangalizi wa madaktari hususani washauri, furaha yangu maishani mwangu ikatoweka kabisa, uwezo wa kusoma na kufanya mazoezi pamoja na wezangu nao pia uapote kwa mara kadhaa nilijaribu kujiua ila madaktari na wezangu wana chuo waliweza kuniwahi na kuyaokoa maisha yangu.
“Erick” Jackline aliniita baada ya kunikuta nikiwa nimekaa peke yangu kwenye chumba ambacho hakina kitu chochote, kwa maana madaktari wanahofia juu ya usalama wangu. Nikamtazama jinsi Jackline anavyo tembea kunisogelea chini nilipo kaa.
“Erick rafiki yangu nimekuja kuzungumza na wewe” “Jack niniakuomba utoke nje ninahitaji kukaa peke yangu”
“Hapana Erick sisi ni marafiki, usinifukuze, nina mambo mengi ninahitaji kuzungumza na wewe”
Taratibu Jackline akaka pembeni yangu, akashusha pumzi nyingi huku akinitazama kwa macho ya kuiba iba.
“Zungumza, kama huna cha kuzungumza toka ndani ya chumba changu” “Ok okay, kuwa mpole Erick, unajua wewe ni mzuri” “Kwa hiyo?” “Nahitaji tuwe pamoja” “Jackline umekuja kejeli ehee, hivi ni nani hapa chuoni ambaye hafahamu kwamba jogoo wangu mimi apandi mtungi, tazama kazi hii ya kijinga niliyokuwa ninaichukia maishani mwangu, leo hii imenifanya niwe kilema tena kilema wa nguvu za kiume kweli” Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu.
“Erick sijakuja kuku kejeli, natambu hilo. Ila kukaa peke yako namna hii, kukataa kula, hakuwezi kukufanya ukawa na afya njema, tazama jinsi ulivyo kondeana kwa sasa” “Jackline kama umezungumza toka, la sivyo nitaita walinzi waje kukutoa ndani ya chumba changu, ninahitaji kukaa peke yangu sawa” “Sawa nimekuelewa Erick, ila uliweza kufahamu chanzo cha wewe kukumbwa na tatizo hili?” Swali la Jackline, likanifanya nimtazame usoni mwake, kisha nikatabasamu na kuanza kucheka, kusema kweli akili yangu haipo vizuri kabisa.
“Unacheka nini Erick?” “Hivi unahisi mimi ni mjinga, wewe kabisa umesikia nimepata ajali ya bomu so unahisi kuna jambo jengine hapo?” “Mmmmmm” “Guna na huo ndio ukweli, una kingine cha kuniuliza mwanamke mnafki kama wewe?” Jackline akatabasamu huku akinitazama usoni mwangu.
“Sina cha kukuliza, ila nitahakikisha kwamba ninafahamu tatizo lako limetokana na nini. Badae”
Jackline alizungumza huku akisimama, akapiga hatua hadi mlangoni, nikampungia mkono na kumfanya atabasamu, akafungua mlango na kutoka nje. Kazi yangu kubwa kwenye hichi chumba ni kuangalia saa iliyopo ukutani, nikichoka kuhesabu mishale ya hii saa basi huwa nina lala.
Majira ya saa moja usiku mlango ukafunguliwa, akaingia Jackline kwa haraka akanisogelea na kuchuchumaa sehemu nilipo lala
“Erick kuna kitu niahitaji kukuonyesha” “Kitu gani?” “Twende huku”
Nikamtazama Jackline kwa macho ya mshangao kidogo, kisha taratibu na kukaa kitako.
“Unataka kunipeleka wapi?” “Njoo tu, si una niamini?” “Yaa” Nikanyanyu, tukatoka ndani ya chumba hichi. Nikaongozana na Jackline hadi kwenye moja ya nguzo iliyopo nje. Jackline akatoa kiredio kidogo, na kunikabidhi.
“Sikiliza” “Ni nini?” Nikaminya batani ya kuifanya sauti ya hichi kiredio ianze kusikika. Nikaisikia sauti ya mkuu wa chuo akizungumza na daktari mkuu wa chuo.
“Hakikisha munakata mirija inayo mpa nguvu kwenye uume wake kwa maana ninaona anamnyemelea mpenzi wangu Lily” “Ila mkuu ni hatari hii siku ikijulikana?” “Fanya kama nilivyo kuambia na ufunge mdomo wako kimya sawa” “Sawa mkuu” Hadi mazungumzo haya yanaisha, mwili mzima ukaanza kunitetemeka kwa hasira, roho ya mauji ikaanza kunitawala, nikamtazama Jackline, kiunoni mwake nikaona bastola aliyo ichomeka, kwa haraka nikaichomoa na kuanza kutembea kwa haraka kuelekea ofisini mwa mkuu wa chuo na kumfanya Jackline anze kunikimbilia huku akiniita jina langu na jinsi alivyo zidi kunikaribia ndivyo jinsi nilivyo zidi kuongeza mwendo kasi wa miguu yangu kuweza kufika ofisini kwa mkuu wa chuo ili kuhakikisha kwamba ninakwenda kuitoa roho yake haraka iwezekanavyo.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Hadi mazungumzo haya yanaisha, mwili mzima ukaanza kunitetemeka kwa hasira, roho ya mauji ikaanza kunitawala, nikamtazama Jackline, kiunoni mwake nikaona bastola aliyo ichomeka, kwa haraka nikaichomoa na kuanza kutembea kwa haraka kuelekea ofisini mwa mkuu wa chuo na kumfanya Jackline anze kunikimbilia huku akiniita jina langu na jinsi alivyo zidi kunikaribia ndivyo jinsi nilivyo zidi kuongeza mwendo kasi wa miguu yangu kuweza kufika ofisini kwa mkuu wa chuo ili kuhakikisha kwamba ninakwenda kuitoa roho yake haraka iwezekanavyo.

ENDELEA
“Erick” Jackline aliwahi kunishika mkono na kunisimamisha, nikageuka kwa haraka na kumtazama kwa macho makali yaliyo jaa asira kali huku machozi yakinilenga lenga.
“Kaa mbali na mimi” “Erick kukupa ushahidi huu isiwe sababu ya kuhitaji kuchukua maamuzi magumu kiasi hichi. Tafahali Erick naomna unipatie bastola yangu” Nikatazama kila sehemu katika eneo hili tulilo simama, sikuona mtu ambaye ana tufwatilia mazungumzo yetu, taratibu nikaisogeza bastola hadi kwenye tumbo la Jackline.
“Fanya kile nitakacho kuambia ukileta ujinga nintakuua, sina masihara katika hili” Jackline akaanza kutetemeka baada ya kuona sura yangu ikiwa imebadilika mara zote huwa nikikasirika ninaamini kwamba sura yangu huwa inabadilika sana. Tukaanza kutembea kwa mwendo wa kawaida pasipo mtu yoyote kuweza kutushutukia. Tukafika katika mlango wa mkuu wa chuo.
“Bisha hodi” Nilimuambia Jackline akatii pasipo kuuliza swali la aina yoyote. Jackilen akagonga mlango ziaidi ya mara tatu ila haukufunguliwa jambo lililo nifanya niusukume kwa nguvu hadi ukafunguka. Hatukukuta mtu yoyote katika ofisi ya mkuu wa chuo.
“Amekwenda wapi huyu mwana haramu” “Erick nakuomba utulize jazba yako mpenzi” “Nitulize jazba kwa kufanyiwa ukatili kisa mwanamke wa mkuu wa shule kunitamani mimi eheeee?” Nilizungumzz kwa hasira huku nikimtazama Jackline.
“Natambua ila kua sio kwamba itakuwa ni usalama kwako wewe, kwa sasa ni kufwatilia na kujua kwamba ni jinsi gani kwamba nguvu zako zinaweza kurudishwa hata kwa kufanyiwa oparesheni” “Jackline wewe ni mshauri mzuri na watu wanakujua katika hilo, ila ninahitaji kumua mkuu wa chuo sawa” Niliendelea kuzungumza kwa ukali, Jackline akanitazama jinsi ninavyo zunguka zunguka kwenye ofisi hihi, nikastulia akinipiga teke moja zito la mkono ulio shika bastola na kuifanya iangukie pembeni, kabla sijaiwahi kuiokota akanitandika teke zito la kichwa na kunifanya nilale chini na macho yangu yakatawaliwa na giza kali.
***
Mtingishiko wa kurushwa huku na kule na kujigongeza gongeza kwenye kuta hizi, ukanifanya nifumbue macho yangu, giza kali lililopo kwenye hichi kijisehemu nilicho lazwa ka kujikunja, nikajaribu kuinyoosha miguu yangu ila nikashindwa kabisa kuinyoosha. Mitingishiko ndivyo ilivyo zidi kuongezeka ikiambatana na vumbi jingi. Nikataka kukutanisha mikono yangu ili niione japo kwenye sura yangu, nikagundua kwamba imefungwa kwa nyuma na hata miguu yangu imefungwa kwa nyuma.
“Nisaidieniii” Sauti yangu haikuweza kutoka kabisa kwa maana mdomo wangu nao umezibwa kwa kitu kilicho gandishwa kutoka shavu moja hadi shavu jengine. Nikaendelea kuivumilia mitingishoko hii ambayo kwa sasa nimegundua kwamba nimefungiwa katika nyuma ya buti ya gari, taratibu mitingishiko ikanza kupungua na kuisha kabisa, nikashush pumzi nyingi huku nikijaribu kuvuta hewa safi kwa maana hewa hii iliyo ingia ndani ya hii buti ni nzito sana. Buti likafunguliwa, na nikaanza kuona mwanga wa mbalamwezi kwa mbali, buti likafunguliwa kabisa na mtu aliye valia nguo nyeusi huku usoni mwake akiwa amejifunga kitambaa cheusi pia na kuvalia kofia nyeusi. Akanitazama jinsi ninavyo tetemeka kwa woga, kisha akatoa simu yake ya mfukoni, akapiga hatua kadhaa kutoka sehemu lilipo gari na kuiweka simu yake sikioni.
“Ndio mkuu” “Ndio nimefika sehemu ya tukio” “Nitahakikisha nitamuua mkuu” “Ushahidi wote nitaufuta mkuu” “Sawa” Mtu huyo akakata simu na kurudi sehemu nilipo, akanitoa kwenye buti na kuanza kunipiga mateke mvululizo ya tumbo, sikuwa na jinsi ya kufanya zaidi ya kujikunja kisawa sawa kwa maana hiyo ndio njia ya kunisaidia mimi kuzuia tumbo langu lisizidi kupokea mateke mazito ya mtu huyu ambaye anaonekana hana huruma kabisa na mimi. Machozi yakaanza kunitiririka usoni mwangu kwa maana kufa kwangu ndio kunaanza kukaribi, nikaiona sura ya mama na baba na kuyasikia maneno yao waliyokuwa wakinishawishi na kunifokea niwe daktari.
‘Nakufa mimi’
Nilizungumza kimoyo moyo, huku nikimtazama jinsi jamaa huyu anavyo endelea kunipiga mateke yake, alipo niona nimeorojeka akaanza kuniburuta kwa nguvu huku akiwa ameishika miguu yangu yote miwili, tukafika ukingoni mwa poromoko kubwa kwenda chini.
“Nikikuua kwa risasi yangu, watu watakao kuona na mwili wako ukifwanyiwa uchunguzi inaweza kuwa ni shida kwangu” Mwanaume huyu alizungumza, kwa muonekano wake, anaonekana ni mwana chuo mwenzangu tena wa mkwa ulio pita.
“Mmmmmmmmm” Nilijitahidi kuzungumza ila maneno yangu hayakutoka kabisa zaidi ya kujikuta nikiwa nina gugumia ndani kwa ndani.
“Nini” “Mmmmmmmm” Jamaa akanifungua gundu kubwa aliyo nifunga nayo mdomoni mwangu.
“Unaniua kwa ajili ya mkuu wa chuo eheee?” Nilizungumza huku machozi yakinimwaika usomi mwangu
“Hilo mimi haliniusu, nimepewa oda, kazi yangu ni kutekeleza sawa” “Sikia mshikaji wangu wewe ni mwanaume kama mimi, sote tulikwenda ku…kutafua maisha pale chuo, hembu fikiria mara mbili mbili mwangu, mimi pia nina nd…..” Kabla sijamaliza kuzungumza, jamaa akaniziba mdomo wangu kwa gundi, akatazama tazama katika eneo hili, akachukua jiwe kubwa sana ambalo hata katika kulinyanyua kwake lilimpa shida, akanisogelea karibu yangu. Akanitazama kwa macho makali yaliyo jaa moshi wa bangi, akili yangu kwa haraka ikafanya kazi, ni bora kujirusha kwenye korongo hili kuliko kusubiria kupondwa kichwa na jiwe hili zito.
Nikajibiringisha kwa haraka na kuanza bingiria kwa kasi kuelekea chini, nikajigonga sana kwenye miti pamja na mawe hadi nikapoteza fahamu.
***
“Mcheku huyu mbwanga umemtoa wapi?” “Huko kwe Zindo, nilikuwa naokota kuni” “Harikaaa bwanyeni, mbona huyu mbwanga ni mdori, amepatwa na nini?” “Simanya, mimi nime mngenja du”(Mimi nimemsaidia tu)
Nilisikia mazungumzo ya watu hawa wawili ambao ni mwanaume na mwanamke, sikuweza kuwaona vizuri kutokana na ukungu mwingi sana ulio tawala machoni mwangu.
“Tonga umuite dokta Shaban aje kumngeja huyu mbwanga, anaweza kufa” “Sawa” Niliweza kuielewa lafuzi hii ya kipare kwa maana mama yangu ni mpare kwa hiyo tangu nilipo kuwa utotoni aliweza kunifundisha lugha ya kabila lake la kipare ambayo hadi ninakuwa ninaweza kuielewa vizuri sana. Baada ya muda kidogo nikasikia sauti za watu wawili na moja ni ya mtu wa kwanza aliye toka akiahidi kwamba anakwenda kumuita daktari.
“Dokta Shabani huyu ndio mgonjwa wetu” “Mbona ana majeraha mengi sana mwilini wake?” “Nimemuokota huko Kwezindo, nilimkuta akiwa amelala chini ya jabali moja hivi” “Tusaidiane tumpeleke pale Zahanati kwa maana anaweza kupoteza maisha huyu” “Sawa, mcheku ngoja twende hapo Zahanati” Nikahisi mwili wangu ukinyanyuliwa taratibu. Nikajikuta nikitoa ukelele mkali wa maumivu ya mbavu yangu ya upande wa kushoto.
“Jikaze mbwanga” “Na..na kufa” “Hufi kijana jikaze” Wakaendelea kunikokota, hata ninapo kwenda kusema kweli sipafahamu kwa maana hata mbele sipaoni kabisa.
“Nesi lete kitanda” Niliisikia sauti ya daktari anaye itwa Shabani, baada ya dakika kama moja nikalazwa kwenye kitanda hapa ndipo nikapata unafuu wa maumivu ya mbavu yangu.
“Andaa chumba cha matibabu haraka sana” “Sawa dokta” “Lete sindano ya dripu” Niliweza kusikia kila kitu, ila kuona kinacho fanyika ndio ninasindwa kabisa. Nikachomwa sindano nyingine ambayo taratibu nikajikuta mwili ukitulia na usingizi mzito ukanipitia.
***
Nikastuka kutoka usingizini na kujikuta pembeni yangu akiwa amekaa mzee mwenye ndevu zilizo jaa mvi, kichwani mwake amavaa barakashia iliyo chakaa kwa kujaa vumbi la rangi nyekundu. Mavazi yake ni makubwa kuliko hata mwili wake, kiufupi ni mzee wa maisha ya chini sana kwa muonekano wake tu.
“Mbwanga umeamka” Sauti yake ikaweza kunifahamisha kwamba huyu ndio yule mzee ambaye alinisaidia kuniokota huko nilipo kuwa nimeangukia.
“Eheee” “Ohoo Allah ni mkuu, vipi mwanga unaitwa nani?” Mzee huyu alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake. Inaonyesha ni dhairi anafuraha kwa kile ambacho anakiona kwangu mimi.
“Mmmmm” “Unaitwa nani, mimi naitwa Shehe Omary Shemdoe” “Erick” “Ohoo Erick, Erick nani?” Maswali ya shehe Omary nikaona yananishosha kuyajibu. Akaingia daktari alipo niona nimezinduka naye akaachia tabasamu pana usoni mwake.
“Aisee wewe dokta Shabani ni mtaalamu sana aisee” “Kwa nini shehe?” “Ahaa sikutegemea kama kijana atazindukua, kwa maana nilihisi labda anaweza kufa” “Mungu ndio muweza wa yote pasipo yeye kuseme kweli nisinge weza kufanikisha oparesheni ya kijana huyu” “Kweli aisee Mungu ni mkubwa, sasa hapa dokta inakuwaje?” “Ahaa itabidi asubiri kwa siku kadhaa akiendelea kuuguza kidonda chake” “Ahaa sawa, alafu nilitaka kusahau, mgonjwa anaitwa Erick” “Habari yako bwana Erick?” “Salama” “Mimi ninaitwa dokta Shabani” “Nashukuru kukufahamu dokta”
“Sawa tumekufanyia kijioparesheni kidogo kwenye mbavu za upande wa kushoto, kidogo kuna mvavu ilivunjika” “Oparesheni imekwendaje?” “Imekwenda vizuri sana, kwa maana mimi kidogo ni mtaalamu sana kwenye mambo hayo.” “Asante dokta” ***
Siku na wiki zikazidi kuyoyoma kwenda mbele, afya yangu ikazidi kutengemaa, hata kidonda katika mbavu za upande wa kushoto kikaanza kupona, huku nikiwa ninapatiwa huduma za karibu na dokta Shabani akishirikiana na Sheh Omary.
Baada ya mwenzi nikaruhusiwa kutoka hospitalini na moja kwa moja nikaelekea nyumbani kwa mzee Omary anapo ishi na mama yake mzazi.
“Hapa ndio nyumbani, utaishi nasisi hapa, tutakachokula sisi mwanangu, ndio utakacho kula wewe sawa baba” “Sawa baba” Siku hii mzee Omary akaanza kunitembeza kwenye mashamba yake makubwa ya matunda, japo huyu mzee kwa mara ya kwanza nilimuona ni masikini sana, ila kwa hii miti ya matunda ambayo ipo kwenye mashamba yake haya ambayo ni maheka kwa maheka, akiamua kuyasimamia anaweza kuwa tajiri mkubwa sana.
“Baba kwa nini usiuze haya matunda ukapata pesa nyingi?” “Umri mwanangu na sijui hata ninaanzia wapi, hata kama nikisema niuze watanizulumu sana” “Kwani hapa baba tu wapi hapa?” “Haa Lupo sehemu moja inaitwa Soni, mkoa wa Tanga” “Ahaaa” “Dokta Shabani aliniambia nisikuulize maswali haya hadi hali yako itakapo kuwa nzuri” “Maswali gani baba?” “Ilikuwaje hadi nikakukuta kule kwenye korongo na inaonekana kwamba ulianguka kutokea kwenye mlima?” “Baba ni stori ndefu sana, sitaki kuikumbuka kwa sasa kwa maana itaniumiza sana” “Sawa sawa na nyumbani kwenu ni wapi?” “Dar es Salaam, ila sihitaji kurudi Dar kwa sasa mazingira ya huku nimeyapenda, nahitaji uwe baba yangu kama huto jali katika hilo” Mzee Omary akaka kimya huku akinitazama jinsi ninavyo zungumza kwa msisitizo.
“Sasa Erick kwani wewe huna wazazi?” “Sina wazazi, ndio maana nikakuomba uwe baba yangu” “Sawa mimi sina tatizo, kwa kuwa watoto wangu nao walisha fariki miaka mingi iliyo pita pamoja na mke wangu, basi nitaka nawe hadi pale utakapo amua kusema basi” Nikajikuta nikilengwa lengwa na machozi, taratibu nikampa mkono wa kulia mzee Omary naye akanipa wa kwake, tukashikana na kukumbatiana kwa nguvu.
“Naamini kwa sasa utakuwa ni msaada mkubwa sana kwenye mashamba yangu” “Ni kweli mzee, nataka tukipata pesa, ile nyumba yako pale niifumue, ijengwe nyumba ya kisasa zaidi” “Unamawazo mazuri sana Erick, sijui kwa nini sikukupata tangia mwanzoni” Siku hii ikawa ni siku moja ya furaha tena kwenye maisha yangu, sikutaka kukumbuka kuhusiana na maisha yangu ya nyuma. Baba na mama yangu nao sikuhitaji kuwakumbua, kwa maana wao nao wamechangia kwa mimi kuingia kwenye matatizo ambayo kusema kweli yameniweka katika hatua mbaya sana kwenye maisha yangu.
Mzee Omary akanitambulisha kwa wazee wezake pamoja na mwenyekiti wa kijiji. Baada ya siku mbili mbeleni akaandaa sherehe ya kunikaribisha nyumbani kwake ambayo ikaudhuriwa na wanakijiji wengi sana wanao mfahamu. Jina langu likakua kwa galfa masikioni mwa wanakijiji wengi sana, japo wapo ambao walipendekeza nibadili jina, ila sikuhitaji kufanya hivyo.
“Baba kesho nahitaji sasa kushuhulika na yake matunda kule shambani unanishaurije?” “Fany lolote mwangu kila kitu kwa sasa ni chako” “Bibi je unanishauri nini?” “Ahaa wewe fanya kama baba yako alivyo seme” Japo ni maisha ya kawaida ninayo ishi na hii familia, ila nikajikuta nikiwa nina furaha kubwa sana ambayo hata kwenye yale maisha yangu ya kitajiri nilio kuwa ninaishi na familia yangu jijini Dar es Salaam hayafikii haya. Nikatoka nyumbani na kwenda kwenye club moja ya pombe za kienyeji ambayo vijana na wazee wamechanganyikana, nikawaomba vijana kumi waweze kukutana na mimi asubuhi na mapema nyumbani kwa mzee Omary. Kwa sababu wananipenda na kunikubali, wakakubaliana na mimi wakiwa katika akili zao hizo za pombe.
Asubuhi na mapema kama nilivyo kuwa nimepanga ndivyo jinsi ilivyo kuwa, vijana ambao niliwaomba wakanisaidie kuvuna matunda, wakafika wakiwa wamejiandaa kabisa kwa kazi ambayo tunakwenda kuifanya. Nikamuga mzee pamoja na bibi na tukaelekea shambani huku njia nzima nikiwa na kazi ya kuwadadisi vijana hawa maswali mawili matatu.
“Unajua kaka Erick jinsi tunavyokunywa pombe, huwa inatuasaidia kupoteza mawazo” “Ila pombe munazo kunywa sio nzuri kwa afya zenu” “Kweli kaka Erick, ila maisha nayo ni magumu, kilimo bila ya pombe hakiendi kabisa” “Hakiendi kivipi?” “Unaweza kukuta mtu umelima heka mbili za mahindi, alafu yasikue kwa wakati ule unao hitaji, mtu ndio hapo unapo weza kujikuta ukichanganyikiwa kaka”
“Na pombe hizo zinauzwa kiasi gani?” “Zinazwa mia tano, alfu moja” “Na kwa siku kama wewe huwa unakunywa za shilingi ngapi?” “Aahaa yani mimi hadi nilewe kwa siku ninakunywa hadi chupa tano za shilingi elfu moja moja” “Rafiki zangu, nitahitaji kuwafundisha ujasiriamali kidogo, nyinyi wenyewe mutajikuta munatoboa maisha” “Kweli kaka” “Yaa mafanikio si uchawi, kikubwa ni kupunguza matumizi yasiyo ya muhimu” Vijana hawa wakajiku wakizidi kunifuhia na kupenda kuhitaji kufahamu mambo mengi sana kutoka kwangu. Tukafika shambani kwa mzee pasipo kupoteza muda tukaanza kuvuna matunda aina ya mapeasi pamoja na matunda damu. Kila mmoja akajaza ndoo yake aliyo kuja nayo, tukarudi nyumbani.
“Tuyaosheni haya matunda na sasa hivi tunaelekea sokoni kuyauza” “Ila kaka sokoni haya matunda kwa sasa yapo mengi sana kwa kifupi hayana soko” “Wao wanauzaje?” “Ndoo kama hii kubwa wanauza kwa shilingi elfu tano, na inashuka hadi kwa shilingi elfu nne” “Sasa sisi hiyo ndoo moja itatuzalishia zaidi ya shilingi elfu ishirini” “Aha kaka acha kututania?” “Nyinyi tuyaosheni, na kila mmoja achukua vifuko vyeupe na kila kifuko mtu aweke matunda kumi kumi sawa jamani?” “Sawa kaka” Zozi la kuyaosha matunda na kuyaweka kwenye vifuko halikuchukau muda mrefu, kila mmoja akachukua vifuko vyake vya matunda, tukaelekea katika soko lililopo katika barabara ya lami inayo toka mikoni na kueleka Lushoto, kila mmooja nikamuomba akae eneo lake ili tuweze kuwavutia wateja. Sikuona aibu ya kukimbia kwenye basi linalo simama katika eneo hili, ili mradi kuuza vifuko vya matunda yangu. Jinsi ninavyo fanya ndivyo jinsi vijana wezangu nao ndivyo walivyo fanya.
Gari aina ya Range Rover nyeusi ikasimama pembezoni mwa barabara, kwa haraka nikakimbilia katika barabara hiyo huku nikiwa nimeshika ndoo yangu mkononi, nikasimama kwenye kioo cha dereva huku nikiwa nina tabasamu. Kioo cha gari hili kikafunguliwa, macho yangu moja kwa moja yakatua hadi kwa abiria aliye kaa pembezoni mwa dereva, katika maisha yangu sikuamini kama ninaweza kumuona Rose wangu, aliye mpakata mtoto mchanga kwenye mapaja yake jambo lililo anza kuufanya moyo wangu kuanza kuniuma taratibu.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Gari aina ya Range Rover nyeusi ikasimama pembezoni mwa barabara, kwa haraka nikakimbilia katika barabara hiyo huku nikiwa nimeshika ndoo yangu mkononi, nikasimama kwenye kioo cha dereva huku nikiwa nina tabasamu. Kioo cha gari hili kikafunguliwa, macho yangu moja kwa moja yakatua hadi kwa abiria aliye kaa pembezoni mwa dereva, katika maisha yangu sikuamini kama ninaweza kumuona Rose wangu, aliye mpakata mtoto mchanga kwenye mapaja yake jambo lililo anza kuufanya moyo wangu kuanza kuniuma taratibu.

ENDELEA
“Ahaa matunda ni bei gani?”
Mwanaume huyu aliniuliza, sikumjibu kitu chochote zaidi ya kuanza kuondoka eneo hili huku machozi yakinilenga lenga.
“Kaka Erick vipi mbona umepoteza furaha?”
Kijana mmoja aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu, nikamkabidhi ndoo yangu yenye vifuko vichache vya matunda kisha nikaanza kuelekea nyumbani.
“Kaka Erick vipi?”
“Uzeni mutaniletea mahesabu nyumbani, kichwa kidogo kinaniuma”
“Nikuchukulie dawa kaka?”
“Hapana, nitakuwa poa tu”
“Sawa ugua pole kaka”
“Shukrani”
Nikaanza kuongeza mwendo wa kutembea kuelekea nyumbani huku kichwani mwangu nikimfikiria Rose, kitu kinacho niuma sana ni mtoto ambaye nimemuona mikononi mwa Rose.
“Erick Erick”
Niliisikia sauti ya Shehe Omary ikiniita ila sikumuitika kabisa, nikaingia chumbani kwangu na kufunga mlango kwa ndani. Nikajibwaga kitandani huku nikifikiria mambo mengi sana ya nyuma ambayo tuliyafanya na Rose.
“Kwa nini maisha yangu yameshuka kiasi hichi?”
Nilizungumza huku machozi yakiendela kunimwagika usoni mwangu.
‘Inanibidi kufanya kitu kwenye maisha yangu. Ila ni kitu gani ambacho nitakifanya?’
Nilizidi kufikiri kichwani mwangu, mlango ukagongwa na kunifanya ninyanyuke kitandani.
“Erick mwanagu”
“Ndio baba”
“Upo salama lakini?”
“Ndio baba”
“Fungua tuzungumze”
Nikanyanyuka na kuufungua mlango, shehe Omary akaingia ndani huku akiwa ameshika kikombe cha maji, akakiweka mezani na kukaa kwenye stuli iliyomo humu ndani kwangu.
“Ulipokuwa unaingia pale mlangoni, kama sikosei haukuwa na furaha, kuna jambo gani limejitokeza huko sokoni?”
“Hakuna kitu baba, kichwa kidogo kilinisubumbua nikaamua kurudi kujipumzisha kidogo”
“Pole, ila ninavyo kuangalia ninaona kuna jambo jengine ambalo linakusumbua, hembu niambie mwanangu, nipo hapa kwa ajili yako”
Nikakaa kimya huku nikijishauri mara kadhaa kama ninaweza kumueleza shehe Omary tatizo langu la mapenzi lililopo kati yangu na Rose. Taratibu nikaanza kumsimulia shehe Omary mahusiano yangu yalivyo vunjika kwa usaliti ambao nimemfanyia, na hadi leo nilipo muona akiwa na mtoto mchanga.
“Una muda gani hamukuonana?”
“Mwaka sasa na miezi yake”
“Unampenda huyo msichana?”
“Sana baba, nimejaribu kumuomba msamaha ila imeshindikana”
Shehe Omary akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu.
“Unatakiwa kupigania upendo wako”
“Una maana gani?”
“Ngoja nikusimulie historia ambayo ilinitokea kwenye maisha yangu. Mimi na marehemu mke wangu, tulitokea kupendana tangu tukiwa watoto wadogo sana wale wakucheza michezo ya michangani. Wazazi wa marehemu mke wangu, walikuwa ni watu wenye fedha na kuogopewa na pia waliweza kupata elimu ya mkoloni, enzi hizo madarasa yanaishia la nne.”
Shehe Omary akapiga fumba moja la maji, kisha akarudisha kikombe chake mezani na kuendelea kuzungumza huku akinitazama usoni.
“Basi wazazi wake walipogundua kwamba nina mhusiano na mtoto wao, waliweza kufanya hila nyingi sana kuweza kunitenganisha na mtoto wao. Ilifikia hatua hadi wakaanza kusambaza chuki juu ya familia yangu na kuwaambia kwamba wazazi wangu ni wachawi, wanakijiji walituchukia sana. Kutokana yule mzee alikuwa na pesa ya kutosha, aliweza kupanga hadi mpango wa kuiangamiza familia yangu.”
“Basi baba na mama yangu waliweza kuteketea kwenye nyumba yetu, kisa waliitwa wachawi na wanakijiji enzi hizo mtu mchawi basi alikuwa anapingwa na kijiji kizima. Sikukata tamaa ya kupigania penzi langu kwa marehemu mke wangu. Watu kijijini walijua na mimi kwamba nimekufa siku ambayo wazazi wangu waliungua kwenye nyumba, kumbe sikufia ndani ya nyumba”
“Ulikuwa wapi?”
“Hiyo siku mama na baba waliniagiza kwenda kijiji cha jirani alipo ishi baba mdogo, nilimpelekea barua, unajua kipindi hichi hakuna simu wala hakuna mawasiliano ya kuwasiliana kwa haraka zaidi ya mtu kuipeleka barua kwa muhusika hata kama kuna umbali gani, ili mradi ujumbe ulio kabidhiwa na wakubwa wako uweze kufika.”
“Kumbe ile barua niliyo mpeleka baba mdogo haikuwa kwa ajili ya baba mdogo, kumbe ilikuwa ni kwa ajili ya yangu mimi. Baba alitambua ni kitu gani kinacho kuja kutokea, kwa hiyo walimsisitizia baba mdogo anisomee barua hiyo ili nifwata maelekezo ambayo wao wamenipatia”
“Maelekezo yapi hayo”
Niliuliza huku nikiwa nina shauku kubwa ya kufahamu ni kitu gani ambacho kiliendelea.
“Baba mdogo alinisomea maelezo hayo, ila kiu kikubwa alicho nisisitizia baba ni kuhakikisha kwamba ninaishi namwanamke ambaye ninampenda. Nilifanya hivyo kwa moyo mmoja na nilihakikisha kwamba ninamtorosha marehemu mke wangu na tukaja kuanza maisha eneo hili kukiwa pori tupu”
“Mama alikubali kuishi porini?”
“Alikubali tena kwa moyo mmoja na wala hakuwa na woga, alikubali kupoteza masomo na kuishia na mimi. Kwa hiyo hapo unaweza kuwa umejifunza jambo. Pigania upendo wako wa kweli, hakikisha kwamba unamrudisha Rose mikononi mwako na kama kuishia munaweza kuja hata mukaishi hapa”
Maneno ya shehe Omary yakanipa nguvu kubwa moyoni, onyonge wa kushindwa nikajikuta ukianza kunitoweka taratibu. Tatizo la kukosa nguvu za kiume likaanza kunitawala kichwani mwangu, nikataka kumueleza shehe Omary ila nikaona sio muhimu sana kwa sababu tatizo limesababishwa kisayansi.
Jioni vijana wakarudi wakiwa na tabasamu pana, kila mmoja akaanza kunipa ushuhuda wa mbinu ya biashara niliyo wafundisha na kwa siku moja wamejikuta wakiingiza pesa nzuri sana kuliko walivyo kuwa akitegemea kilimo cha mkono.
“Kaka tukiendelea hivi hadi huu mwaka unaishi ninaamini tutakuwa tumenunua hata fuso na matunda tutayapeleka kuyauza mbali na hapa”
“Kweli itakuwa ni wazo zuri sana, kikubwa ni kufanya kazi kwa pamoja kama timu, mimi ninawategemea nyinyi na nyinyi munanitegemea mimi, umoja ni nguvu kazi kubwa ya mafanikio”
“Kweli kaka”
Mwenzi mzima tukawa na kazi ya kuvuna matunda na kuyauza, umaarufu wa uuzaji wetu wa matunda yaliyo bora na matamu ukazidi kukua siku hadi siku, tukaanza kupata tenda kubwa kubwa za kupeleka matunda katika masoko mengine pamoja na maduka ya kisasa super makert. Maisha yangu na vijana hawa ambao kwa sasa wamekuwa ni kama ndugu zangu yakaanza kubadilika, kila mmoja akajikuta akiishi maisha mazuri.
Sikuhitaji kwenda Dar es Salaam mapema sana, ninacho kihitaji ni kuwa na pesa nzuri ambayo itaniwezesha kufanya jambo lolote kwa muda wowote nitako hitaji mimi.
Ndani ya miezi miwili mbeleni nikafanikiwa kufungua kampuni ya usambaziji wa matunda kwa mikoa mikubwa kama Dar es Salaa, Mwanza na Arusha. Kampuni yangu nikaipa jina la ‘E.F.I’(Erick Fruits Interprises) huku vijana wangu nikiwapa usimamizi wa idara kuanzia ya ulimwaji wa matunda hadi kufika sokoni. Kama nilivyo muahidi shehe Omary kubadilisha maisha nyumba yake ndivyo nilivyo fanya. Nikamjengea nyumba ya kisasa, jambo lililo zidi kumfanya shehe Omary kunipenda.
“Erick”
“Naa baba”
“Umenifanyia mambo mengi mazuri mwanangu Mungu akubariki”
“Asante sana”
“Umri wangu ninaona unakwenda ukingoni, hata mama yangu naye umri wake unakwenda ukingoni, endapo litatolea lolote juu yetu basi utakuwa ni mmiliki halali wa kila kitu, umenionyesha moyo ambao hakuna kijana ambaye aliweza kunionyesha. Kuja kwako kwenye maisha yangu, leo hii kutanifanya nikifa, ninakufa kitajiri”
Shehe Omary alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Baba usizungumze hivyo, Mungu ndio ametuwezesha kuwa hivi”
“Ni kweli Mungu ametuwezesha ila juhudi zako na mipango yako imetufanya kufika hivi, laiti ingekuwa sio wewe leo hii mimi nikifa ningekufa masikinitu na mashamba yangu ningeyaacha bila msimamizi”
“Mungu ashukuriwe”
“Kweli”
Juhudi ya utendani wangu wa kazi ikazidi kuongezeka kadri ya siku zinavyo zidi kwenda, nikazidi kuajiri vijana wapya kila siku, sura yangu sikuhitaji kuiweka hata siku moja kwenye mitandao ya kijamii kuogopa kutafutwa na mkuu wa shule ambaye hadi sasa hivi afahamu kwamba nipo hai. Utajiri wangu ukazidi kusonga mbele na hapakuwa na mtu ambaye aliweza kunizuia kwa maana zote ni baraka za Mungu, pamoja na watu ninao ishi nao vizuri.
Nikapata pigo kubwa la kufiwa na shehe Omary niliye mchukulia ni baba yangu, maumivu ambayo ninayapata kwenye moyo wangu hayana mfano wa kusimuliwa, nilimpenda sana shehe Omary kwangu alikuwa ni zaidi ya baba. Mazishi yakafanyika huku nikiungana na wanakijiji kumzika shehe Omary. Sikutaka kuwa mnyonge na kuomboleza kifo cha shehe Omary nilicho kifanya ni kuzidi kupambana na maisha huku nikimlelea bibi yangu tu ambaye kwa sasa ana miaka mia moja na mbili.
“Bosi nina wazo moja”
“Wazo gani Hussein?”
“Unaonaje tukafungua kiwanda cha kutengeneza juisi hapa hapa Soni”
“Wazo zuri, ila inabidi kuweza kufanya uchunguzi na kufahamu kwamba kiwanda kitagarimu kiasi gani?”
“Sawa bosi”
Hussein ni mshauri wangu mkubwa sana kwa mambo mengi ambayo tunayafanya kwenye hii biashara hata maisha binafsi. Siri yangu ya kwamba sina uwezo wa kumsimamisha jogoo wangu, sikumuambia mtu wa aina yoyote kwa maana sihitaji aibu. Wasichana wengi, wengine wakiwa ni wafanyakazi wangu ndani ya ofisi yangu walijitahidi kila mmoja kwa wakati wake kunitamanisha ili mradi niwe naye kimapenzi ila sikuhitaji kulifanya hilo na kigezo changu kikubwa ni kwamba sijaona mwanamke wa kuteka hisia zangu.
“Kaka Erick”
“Naam”
“Tangu nikujue wewe sasa huu ni mwaka unakwenda wa pili, ila kuna jambo ambalo sijawahi hata siku moja kulisikia kutoka kwako”
“Jambo gani tena Hussein?”
“Hujawahi kunitambulisha shemeji yangu, wala hujawahi kuzungumzia kuhusiana na swala la mapenzi hapo inakuwaje?”
“Unajua Hessein wewe ni kama mdogo wangu kwa sasa, ukiachilia mbali na swala la kuwa ni bosi wako. Katika maisha yangu kuna mwanamke mmoja ambaye hadi leo bado anaishi kwenye maisha yangu”
“Mwanamke gani kaka?”
“Unakumbuka siku ya kwanza tunaanza kufanya biashara ya kuuza matunda kwenye ndoo pale barabarani”
“Yaa nakumbuka”
“Unakumbuka nilikuachia ndoo yangu uuze na mimi niliondoka nikiwa na huzuni”
“Ndio, nakumbuka tena uliniambia kwamba unaumwa na kichwa”
“Yaaa nilikudanganya, hakikuwa kichwa kama nilivyo kuambia.”
“Bali?”
“Nilimuona Rose, msichana ambaye ninampenda sana kwenye maisha yangu, msichana ambaye aliziteka hisia zangu hadi leo bado ninampenda. Marehemu baba aliniomba nipiganie penzi langu ila ninashindwa hata nianzie wapi”
“Ngoja kwanza kaka, unataka kusema kwamba Rose hadi leo unampenda?”
“Hadi kesho naingia kaburini nitampenda, ndio maan anaweza kuona sijusumbui kuwa na msichana mwengine na hata upambanaji wangu wa kutafuta maisha mazuri ni ili nikihitaji kumrudisha Rose mikononi mwangu basi ninamrudisha kwa namna ambayo sinto kuwa mnyonge”
“Kwani shem ana mwanaume mwengine?”
“Ndio, anaumwanume tajiri kuliko hata mimi”
“Mwanaume tajiri, mbona na wewe kwa sasa kaka wewe ni tajiri?”
“Bado sijafikia kiwango ambacho yeye yupo, ila nitafika kwa kadri ninavyo weza. Ninacho kuhitaji sasa hivi hakikisha kwamba unamfwatilia Rose na unaniletea taarifa yoyote inayo muhusu yeye”
“Ainaitwa Rose nani?”
“Rose Richard”
“Kazi yako imepata mtendaji”
Baada ya siku mbili mbeleni nikaingia mkataba na Wachina nilio wapa kazi ya kunitengenezea kiwanda changu cha kuzalisha juisi. Kiwanda changu kimenigaru zaidi ya milioni mia mbili za kimarekani. Ujenzi wa kiwanda changu ukazidi kwenda kasi hadi inatimia miezi sita kikawa kimemalizika kutengenezwa, tukaanza kufanya majaribio ya kutengeneza juisi zisizo na kemikali yoyote, jaribio hili likafanikiwa na serikali wakanikabidhi hati ya kuzalisha juisi nilizo zipa jina la Rose Juisi
“Hivi katika uzinduzi wa juisi hizi umefanikiwa kumpelekea Rose kadi ya mueliko”
“Ndio kaka japo alishangaa sana kupokea mualiko huo”
“Nikuombe kitu kimoja Hussein?”
“Kitu gani kaka?”
“Ninaomba katika uzinduzi huu usimame wewe kama mmiliki wa hii kampuni”
“Erick!!”
“Yaa nina maana yangu kubwa sana, ukihitaji kupigana vita vya kimapenzi, hutakiwi kujionyesha dhairi kwamba mpiganaji ni nani?”
“Sijakuelewa kaka Erick, itakuwaje kwa wafanyakazi wengine ambao wananijua kwamba mimi ni mshauri kwako?”
“Maana yangu, vita yangu ya kupambana na mwanaume aliye mchukua Rose imeanza rasmi, kwa kutumia nguvu yangu ya pesa niliyo nayo nitahakikisha kwamba Rose anakuwa wangu peke yangu”
“Kwa hiyo wewe hiyo wewe kesho huto kuwepo ukumbini?”
“Nitakuwepo, ila nitajua ni kipi cha kufanya”
Hussein akaka kimya akionekana nimekabidhi mtihani mkubwa sana kwake, nikamsogelea na kumshika begani kwake.
“Nisaidie mdogo wangu, wewe ni mtu pekee ambaye ninakuamini katika hili. Ninajua unaweza kufanya hivi ila hakikisha kwamba unajiamini sana katika hili sawa?”
“Nitafanya kaka”
“Shukrani”
Maandalizi yakazidi kupamba moto, katika ukumbi wa hoteli ya Lione Resort iliyopo Luhoto mjini, ndipo nilipo amua kuifanya sherehe ya uzinduzi wa kampuni yangu, nimealika watu wengi sana majajiri kuja kuona uzinduzi wa juisi yangu ambayo hadi sasa hivi ni mimi na wafanyakazi wa kampuni yangu ndio tunatambua kwamba juisi yetu itaitwa jina la Rose. Ni miaka miwili na nusu sasa sijawahi kuonana na Rose na nina shauku kubwa sana ya kuonana naye.
Siku ya uzinduzi ikafika. Hussein akavalia suti kali sana ambayo nilimnunulia kutoka inchini Italia kwani nina hitaji muonekano wake uonekane kweli ni mmiliki sahihi wa kampuni, japo tunawadanganya wageni waalikwa kwani wengi wao hawanijui kwa sura ila wanalitambua jina langu. Majira ya saa mbili usiku nikaingia ukumbini nikiwa nimevalia mavazi ya wasambaza vijwaji. Wafanya kazi wangu baadhi ambao sikuwaeleza mpango wangu wakaonekana kunishangaa sana. Kila aliye nifwata niliweza kumpa maelezo mafupi ya kuendelea na sherehe. Nikachukua sahani ya kubebea vinjwa na kuweka vijwaji kadhaa, nikaanza kuvipitisha katika meza mbali mbali, huku macho yangu na akili yangu vinamtafuta Rose. Nikafanikiwa kumuona Rose meza aliyo kaa, ila pembeni yake yupo mume wake ambaye ninamfahamu vizuri alisha wahi kunikoromea kipindi nilipo kutana naye Muhimbili. Sherehe ikaanza huku kwa mara kadhaa nikiwa na kazi ya kumtazama Rose jinsi alivyo mzuri, hakuweza kuniona kutokana na wingi wa watu waliomo humu ndani, pia burudani zinazo endelea zinamfanya umakini wake wote uwepo jukwaani. Muda wa kuzindua juisi zetu ukafika, mkuu wa mkoa pamoja na Hussein wakasimama kwenye chupa kubwa la bandia lililo funikwa na kitambaa kizito. Taratibu nikaanza kutembea kwa umakini hadi nikaifikia meza aliyo kaa Rose na mumewe pamoja na wageni wengine waalikwa. Mshereheshaji akawaomba watu wasimame, kushuhudia chupa hiyo inavyo funuliwa kitambaa chake. Rose akawa mmoja wapo kati ya watu walio simama, taa zote zikazimwa na ikabaki taa moja tu iliyo mulika chupa hiyo. Watu wakaanza kuheshabu moja hadi tatu kisha kitambaa hicho kikafuniliwa na ukumbi mzima ukatawala makofi ya shangwe ila ni Rose pekee ndio alibaki akiwa amebudwaa.
“Ni kwa ajili yako mke wangu Rose”
Nilimnong’oneza kwenye sikio kwa sauti ndogo sana, kisha nikageuka na kuondoka na kuacha huku nyuma taa zikianza kuwashwa moja baada ya nyingine.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Taratibu nikaanza kutembea kwa umakini hadi nikaifikia meza aliyo kaa Rose na mumewe pamoja na wageni wengine waalikwa. Mshereheshaji akawaomba watu wasimame, kushuhudia chupa hiyo inavyo funuliwa kitambaa chake. Rose akawa mmoja wapo kati ya watu walio simama, taa zote zikazimwa na ikabaki taa moja tu iliyo mulika chupa hiyo. Watu wakaanza kuheshabu moja hadi tatu kisha kitambaa hicho kikafuniliwa na ukumbi mzima ukatawala makofi ya shangwe ila ni Rose pekee ndio alibaki akiwa amebudwaa.
“Ni kwa ajili yako mke wangu Rose” Nilimnong’oneza kwenye sikio kwa sauti ndogo sana, kisha nikageuka na kuondoka na kuacha huku nyuma taa zikianza kuwashwa moja baada ya nyingine.

ENDELEA
Moja kwa moja nikaeleka jikoni, nikaweka sahani ya vinywaji pembeni kisha nikatafuta sehemu na kukaa huku nikiwa na mawazo mengi kichwani mwangu, kusema kweli kumuona kwangu Rose na mume wake kumenifanya nijihisi kuwa mnyoge sana.
“Bosi una tatizo gani?” Mfanyakazi mmoja awa kike aliniuliza huku akikaa pembeni yangu, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikainamisha kichwa changu chini.
“Bosi” “Sina tatizo Anna” “Bosi Erick ninakufahamu vizuri sana, nimefanya kazi kwenye makampuni mengi sana, ila sikuwahi kumuona bosi mchangamfu na mjali wafanyakazi wake kama wewe.” “Asante” Nilimjibu Anna kwa ufupi, machozi yakaanza kunitiririka usoni mwangu, Anna akanishika begani, akajaribu kunichungulia sura yangu kwa kuinama chini, ila nikaangalia pembeni ili asione sura yangu.
“Bosi niambie kuna tatizo gani, kwa nini unalia pele yako?” “Nina furaha ya kuona ndoto zangu zimefanikiwa” “Hapana bosi, mimi ninatambua mtu mnywe machozi ya futaha na ninamtambua mtu mwenye machozi ya huzuni. Machozi yako bosi ni machozi ya huzuni” Anna alizungumza huku akiendelea kuniminya minya bega langu. Nikajipangusa machozi yangu na kusimama.
“Twende tukahudumie wageni waalikwa” Anna akasimama kwa ujasiri, akanitazama huku akinitazama usoni mwangu. Akajaribu kunipiga busu la mdomo ila nikamkwepa, kwani Anna ni moja ya wasichana ambao wanaonyesha kila jitihada kwenye maisha yao kunipata kimapenzi. Nikaondoka eneo hili na kurudi ukumbini, nikasima kwenye mlango wa kutokea waalikwa, nikatazama kwenye meza ambayo nilimuacha Rose, sikumuona yeye zaidi ya mumewe na wateja wageni wengine waalikwa. Nikamuita mfanyakazi mmoja ambaye naye ni muhudumu.
“Ndio bosi” “Kweli ile meza pale alikuwa amekaa msichana flani hivi mrefu amekwenda wapi?” “Ahaa nilimuona anaelekea nje” “Njee?” “Ndio” Nikatoka nikiwa na sinia langu na kuanza kutembea kwenye maegesho ya magari huku nikitafuta Rose, kwa bahati nzuri nikamuona akiwa amesimama kwenye gari jeusi akizungumza na simu. Taratibu nikaanza kumsogela huku nikiwa nina wasiwasi mwingi moyoni mwangu.
“Nimesema musi saidi chochote, nitakuja kusaini mimi mwenyewe kesho asubihi sawa” “Na hakikisha kwamba ripoti yote una niletea ofisini kwangu” Rose alizungumza kwa ukali na inaonyesha mazungumzo hayo yote anazungumza na mfanyakazi wake ambaye amemuajiri. Akageuka kwa haraka, macho yetu yakakutana, kwa Rose akaonekana kunishangaa ila kwangu sijaweza kustuka kutokana nilisha muona.
“Umefwata nini hapa wewe mwana haramu” Rose alizungumza kwa hasira huku akinitazama usoni mwangu, akataka kunipita ila nikamzuia.
“Rose hivi hasira yako itaisha lini, ni kitu gani ambacho kinakufanya wewe ushindwe kunisamehe kwa muda wote huo” “Erick, huwa sikuzote maneno yangu sipendi kiyayumbisha hata kidogo. Upendo wako kwangu ulisha kufa siku nyingi na sihitaji kukuona tena kwenye maisha yangu. Kwanza jiangalie, mtu mwenyewe sasa hivi umekuwa muhudumu wa vijwaji na mara ya mwisho nilikuona una uza matunda, kweli unahisi ninaweza kurudi kwako” Rose alizungumza kwa dharau huku akinitazama chini juu jambo lililo nifanya moyo wangu kuniuma sana. Nikatamani kumueleza ukweli kuhusiana na mimi ila nikajikuta mdomo wangu ukikosa nguvu kabisa ya kuzungumza.
“Baby kuna kitu gani?” Nilisikia sauti nzito nyuma yangu, jambo lililomfanya Rose kunitazama kwa sekunde kadhaa usoni mwangu, kisha akatengeneza tabasamu pana na kunipita.
“Nilikuwa ninamuoji maswali huyu muhudumu” “Maswali gani tena?” “Anaa tuachane na hayo mume wangu” “Poa twenda ndani” Nikawaacha wameondoka, taratibu nikageuka nyuma na kuwatazama, nikawaona jinsi wanavyo ondoka, huku mumewe akiwa amemshika kiuno. Ni kwa mara nyingine ninakutana na Rose na ninakosa jambo la kuzungumza.
“Nitahakikisha ninakupata” Nilizungumza huku nikiuelekea kwentye gari langu, sikuona haja tena ya kuendelea kukaa eneo hili. Nikaingia kwenye gari langu na moja kwa moja nikaelekea nyumbani kwangu, nikamkuta bibi na wafanyakazi wa ndani wakiwa sebleni wakitazama tv.
“Vipi Erick mbona mapema sherehe imeisha mjukuu wangu?” “Nimeamua kurudi mapema bibi yangu” “Umekula?” “Hapana, dada kaniletee chakula” Nikaka kwenye sofa huku nikifwatilia habari inayo onyeshwa kwenye tv. Sikuamini kuona taarifa ya baba kwamba baba ameteuliwa na chama chake kugombania raisi.
“Huyu mzee ataichukua nchi” Bibi alizungumza nikajikuta nikimtazama usoni mwake kwa maana hafahamu ukweli wowote kwamba mzee huyo anaye mzungumzia hapo ni baba yangu mzazi.
“Kwa nini?” “Nimesikiliza sera zake kwenye chama chake anaonekana ana mipango mizuri na hii nchi.” “Ila bibi hawa ni wana siasa tu” “Ninaelewa mjukuu wangu, ila nimeona huyu mzee ana malengo mazuri sana na nchi” Bibi aliendelea kusisitizia, dada wa kazi akaniletea chakula taratibu nikaanza kula. Baada ya kumaliza kula chakula sikuhitaji kukaa sana sebleni, nikaondoka na moja kwa moja nikaelekea chumbani kwangu na kulala.
Asubuhi na mapema nikaelekea ofisini kwangu. Kichwa changu kimetawaliwa na mawazo mengi sana baada ya kuyakumbuka maneno ya Rose aliyo niambia tukiwa kwenye maegesho ya magari. Nikaingia kwenye kikao cha wafanyakazi ambacho kila asubihi ni lazima kiwepo ili kuweza kufahamu mauzo ya siku iliyo pita yalikwendaje. Kichwani mwangu sina kitu kingine ninacho kiwaza zaidi ya kupanga mipango ya kuhakikisha kwamba ninampata Rose.
“Lazima nifanye kitu” Nilizungumza pasipo kujua kwamba nipo kwenye kikao na wafanyakazi, ambao wote walibaki wakinitazama.
“Bosi lazima ufanye kitu gani?”
Hussein aliniuliza kwa sauti ta chini huku akinitazama usoni mwangu.
“Kitu?” “Ndio umesema lazima ufanye kitu” “Ohoo hakuna kitu. Endelea na mauzo ya kwanza ya juisi yetu yamekwendaje?” “Bosi kila kitu kilisha somwa tunakusikilizia wewe” Nikawatazama wafanyakazi wote walio kaa kwenye ukumbi huu wa mkutano, nikajikuta nikishusha pumzi kwani kusema kweli mwili wangu tu ndio upo kwenye hichi kikao ila mawazo yangu yote hayapo.
“Hussein hakikisha unaendesha kikao na unaniletea ripoti ofisini kwangu sawa” “Sawa mkuu” Nikanyanyuka kwenye kiti na kueleka ofisini kwangu. Haukupita muda mrefu Hussein akanifwata akiwa na faili, akaniwekea mezani mwangu na kubaki akinitazama.
“Erick ni kitu gani ambacho kinaendelea kwenye akili yako?” “Naamini unafahamu ni kitu gani kinacho endelea” “Sawa Erick, hapa tunazungumza kama mtu namdogo wake, ubosi ukae pembeni. Kaka kama ukihitaji hii kampuni iyumbe ni wewe kukosa msimamamo. Kwa maana tumekaa pale kwenye kikao ripoti zote zimeorodheshwa nikiamini kwamba unasikia, kumbe mwenzetu haupo hapa kwa nini Erick” Hussein alizungumza kwa msisitizo huku machozi yakimlenga lenga, nikamtazama kwa muda kisha nikasimama. Nikamsogelea hadi sehemu alipo kaa, taratibu nikainama na kumtazama kwenye sura yake.
“Hussein nimetafuta pesa nyingi sana ila kwa sasa ninahitaji kumchukua mwanamke ambaye ni mali yangu” “Kaka kama msichana hakupendi ni vyema ukaachana naye, hembu tazama wanawake walivyo wazuri humu ndani ya ofisi, wapo wanao jilengesha kwako, ni kwa nini usimchukue hata mmoja ili akili yako ikae sawa. Kumbuka tumeingia kwenye biashara mpya na tunahitaji muongozo wako” “Hussein ukisema nimchukue msichana yoyote kwenye ofisi hii unanivunjia heshima na hiyo kauli sitaki ijirudie mdomoni mwako, hiyo ni moja. Mbili hakikisha kwamba kila unasimamia ofisi hii hadi pale nitakapo rudi” “So unataka kwenda wapi?” “Ni muda wa mimi kufanya kazi za nje, ninahitaji kwenda kumtafuta mpenzi wangu” “Nooo Erick, uache kazi, uache kampuni kwa ajili ya kwenda kumtafuta Rose, emekupa nini huyo Rose. Tazama pesaa Erick” Hussein alizungumza kwa hasira huku akisimama. Nikamtazama Hussein sura yake jinsi ilivyo jawa na hasira
“Hussein wewe ndio mtu pekee ambaye unatambua matatizo yangu, na wewe ndio mtu wa pekee ambaye unaweza kunisaidia mimi katika hili, ninakuomba sana uninisaidie kumleta Rose mikononi mwangu” “Kama unahitaji nikusaidie kumpata Rose, ninakuomba ukae kwenye kiti chako, uongoze ofisi hii na uhakikishe kwamba tunafikia malengo yale ambayo tulipanga kuyafikia kwa mwaka huu” Nikamtazama Hussein taratibu nikarudi kwenye kiti changu na kukaa.
“Hivi unajua jana Rose alinidharau sana” “Ulionana naye?” “Ndio, aliniita muuza matunda, akaniita mimi ni muhudumu wa vijwaji sina cha kumpa” “Japo zote ni kazi ila amekosea kufanya hivyo?” “Yaa natambua kwa sababu mume wake ana pesa” “Sisi pia tunapesa, cha msingi ni kufanya mashindano ya kibiashara” Kabla sijamuuliza Hussein wazo lake, mlango ukagongwa, nikamruhu mtu huyo kuingi, akaingia sekretari akiwa na bahasha mkononi mwake.
“Bosi kuna bahasha yako hapa” “Imetoka wapi?” “Imetoka kwa mgombea raisi” “Hembu” Nilizungumza huku nikisimama na kuipokea bahasha hiyo kwa shauku kubwa sana, nikamruhusu sekretari kutoka ofisni kwangu, nikaifungua kwa haraka na kutoa karatasi na kuanza kuisoma. Barua hii ambayo lengo kubwa sana ni kuomba udhamini katika kampuni yangu.
“Vipi?” “Mgombea raisi anaomba udhamini kwenye kampuni yangu” “Udhamini?” “Ndio” “Erick kwa sasa kuna nambo mengi sana yanaikabili kapuni yetu, kwa hiyo ninakuomba hilo swala la kudhamini siasa tuachane na hayo mambo kabisa.”
“Ushauri wako ni muhimu sana, ila katika hili hakuna wa kunizuia mimi kuweza kudhamini?” “Kwa nini?” “Sihitaji kwa nini. Ehee niambie ni kitu gani ambacho una mpango juu ya kumpata Rose?” “Rose na mumewe wanadili pia na utengenezaji wa juisi, sikutaka kukuambia hili mapema niliona linaweza kukukatisha tamaa, kikubw ani kuhakikisha kwamba tuna waangusha katika maswala ya utengenezaji wa bidhaa zilizo bora kabisa” “Una uhakika mpango wako unaweza kwenda kufanya kazi?” “Ndio” “Fanya hivyo” “Sawa bosi” “Niandalie gari nahitaji kuelekea Dar es Salaam” “Sasa hivi?” “Ndio” “Poa mkuu” Hussein akatoka na kuniacha peke yangu mezani. Baada ya dakika kumi akarudi akiwa ameshika funguo ya gari, akanikabidhi.
“Huitaji dereva?” “Sihitaji, hakikisha kwamba kila jambo unaliweka vizuri” “Sawa bosi” Nikatoka nje, nikaingia kwenye gari moja kwa moja nikelekea nyumbani kwangu, nikamuga bibi yangu, nikachukua nguo kadhaa na kuianza safari ya kueleka jijini Dar es Salaam. Ndani ya msaa sita nikafanikiwa kufika jijini Dar es Salaam hii ni baada ya miaka mitatu kupita pasipo kufika. Nikatafuta hoteli moja, nikakodisha chumba. Nikaoga, nikabadilisha nguo zangu na moja kwa moja nikaeleka hadi kwenye mtaa ilipo nyumba ya baba.
Nikasimamisha gari langu pembeni kidogo kutoka sehemu lilipo geti, nikiwa katika kuchumguza chunguza mtaa huu, gari aina ya costa ambalo limejaza wanafunzi wengi, likasimama nje ya geti, akashuka mtoto mdogo wa kiume ambaye katika kumtazama kwangu nilijikuta nikistuka sana, kwa maana anafanana sana mimi. Geti likafunguliwa nikamuona Zari akitoka na kumkutambia mtoto huyo hapo ndipo maswali mengi yalipo anza kutawala kichwa changu na kujikuta nikiwa na shauku kubwa sana ya kuhitaji kufahamu ukweli kuhusiana na mtoto huyo.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Nikaoga, nikabadilisha nguo zangu na moja kwa moja nikaeleka hadi kwenye mtaa ilipo nyumba ya baba.
Nikasimamisha gari langu pembeni kidogo kutoka sehemu lilipo geti, nikiwa katika kuchumguza chunguza mtaa huu, gari aina ya costa ambalo limejaza wanafunzi wengi, likasimama nje ya geti, akashuka mtoto mdogo wa kiume ambaye katika kumtazama kwangu nilijikuta nikistuka sana, kwa maana anafanana sana mimi. Geti likafunguliwa nikamuona Zari akitoka na kumkutambia mtoto huyo hapo ndipo maswali mengi yalipo anza kutawala kichwa changu na kujikuta nikiwa na shauku kubwa sana ya kuhitaji kufahamu ukweli kuhusiana na mtoto huyo.

ENDELEA
Nikataka kushuka kwenye gari ila nijikuta nikisita kidogo na kumuona jinsi Zari anavyo mvua begi mtoto huyo. Mtoto huyo akaagana na wezake waliomo kwenye gari hiyo kisha akingia ndani na gari hilo kuondoka. Nilicho weza kukibahatisha kujijua kwa haraka ni juu ya jina la shule lililo andikwa kwenye gari hilo.
Nikafungua mlango wa gari langu na kushuka, nikaanza kutembea kwa hatua za taratibu hadi nikafanikiwa kufika getini. Nikataka kugonga ila nikajikuta nikishindwa kabisa, nikarudi kwenye gari langu na kuingia.
Nikarudi hotelini huku nikipania kabisa siku inayo fwata nitakwenda katika shule ambayo mtoto huyo anasoma na nitahakikisha ninafahamu ukweli wote. Sikutoka siku nzima ndani ya chumba changu, hata chakula pia nikaagizia kiweze kuletwa katika chumba changu. Usiku sikupata usingizi wowote kwa kumfikiria Rose pamoja na mtoto niliye muona, moyoni mwangu nina hisi kabisa kwamba huyu mtoto anaweza kuwa wangu, ila sina kumbukumbu vizuri kama Zari nilimuacha na mimba. Usiku mzima nikautumia katika kucheza game kwenye simu yangu, hadi kunapambazuka. Simu yangu ikaanza kuita, nikaipokea na kumsikilia Hussein ni kitu gani ambacho anahitaji kuzungumza na mimi.
“Ndio” “Bosi nimeweza kugundua jambo fulani hivi?” “Jambo lipi?” “Katika kumpuni ya mume wa Rose, ina mwaka wa nne sasa hailipi kodi” “Weee” “Ndio bosi, hii inaweza kuwa ni moja ya mbinu kubwa kuanza kumdhohofisha mume wake, na tukimaliza kwake tunahamia kwa mke wake” “Unahisi huo mpango utafanya kazi” “Ndio utafanya kazi hapa ninasubiria ruhusa yako nianze kufanya mambo” Nikaka kimya huku nikifirika cha kumjibu Hussein.
“Nipe muda wa kulifikiria hilo” “Sawa bosi ila kumbuka hiyo ndio nafasi yetu ya pekea ya sisi kuhakikisha kwamba tunalifanya hilo kikamilifu” “Nimekuelewa” Nikakata simu, nikirusha kitandani na kuingia bafuni, nikauweka mwili sawa na kurudi chumbani, nikavaa nguo nilizo panga kuvaa kwa siku ya leo. Nikaingiaza jina la shule nililo liona katika gari kwenye mtandao wa google, ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kupata maelezo ya shule hiyo sehemu ilipo. Nikatazama ramani yake, ikanipa maelekezo vizuri na sehemu ambayo shule ipo ninaifahamu vizuri sana.
Nikatoka chumbani kwangu na kupafunga vizuri, nikaelekea sehemu nilipo lisimamisha gari langu, nikaanza kuelekea Mbezi Beach ambapo ndipi ilipo shule hiyo ya watoto. Kutokana na foleni ya jiji la Dar es Salaam, ikanichukkua muda wa masaa mawili na nikafanikiwa kuwekza kufika katika shule hiyo. Nikasimamisha gari langu sehemu ya maegesho, nikashuka na kuelekea moja kwa moja hadi mapokezi.
“Hapabari yako dada” “Salama tu, nikusaidie nini?” “Ninaweza kuonana na mkuu wa shule” “Ndio, una ahadi naye?” “Hapana, ila ningeomba umuambie kwamba ni muhimu” “Sawa kaka” Dada huyo akanyanyua simu yake na kumpigia mkuu wa shule.
“Unaitwa nani?” “Erick” “Mkuu anaitwa Erick” “Sawa mkuu” Dada huyo akakata simu hiyo ya mezani na kuurudisha mkonga wa simu sehemu husika.
“Twende nikuepeleke”
Dada huyu akanyanyuka na kuanza kuongozana na mimi huku yeye akiwa ametangulia mbele na mimi nikiwa nyuma. Tukiwa kwenye kordo ya hii ambayo ina madarasa kadhaa, ndani ya moja ya darasa la chekechea nikamuona mtoto ambaye kusema kweli bado nina mawazo mengi sana juu yake.
“Kaka hapa ndio ofisini kwa mkuu, utasubiri kidogo ana mgeni anazungumza naye” “Shukrani, ila samahani dada kama huto jali” “Zungumza tu” “Kuna….au basi asante” “Sawa kaka karibu sana” “Hakuna tabu” Dada huyu akaondoka na kuniacha nikiwa nimekaa kwenye viti vya kuingilia katika ofisi hii. Haukupita muda mrefu sana mama mmoja akatoka ndani ya ofisi hii. Taratibu nikanyanyuka na kugonga mlango wa ofisi hii, ikiwa ni utaratibu ambao unajulikana kwa watu wengi.
“Ingia” Nikasikia sauti nzito ya kiume ikitokea ndani ya hii ofisi, taratibu nikausukuma mlango huo na kuingia ndani ya hii ofisi, nikamkuta mzee mmoja wa kamamo akiwa amekaa kwenye kiti kikubwa cha kuzunguka zunguka.
“Habari yako mkuu” “Salama, ninaamini wewe ndio bwa Erick” “Ndio mkuu” “Zungumza shida yako, nikusaidie nini?” “Kwanza hongereni kwa elimu nzuri ambayo munawapatia watoto wetu” “Tunashukuru sana ni jukumu letu kwa watoto wanao kuja kwenye shule yetu tunahakikisha kwamba wanakuwa ni vichwa sawa sawa” “Kweli hata sisi wazazi tunaliona hilo” “Ndio” “Sasa lengo la mimi kunileta hapa, kuna…..” Nikaka kimya kidogo huku nikijaribu kutafakari kitu cha kuzungumza kwa maana sijajua hata mtoto ambaye ninajifananisha naye anaitwa nani.
“Ningependa kuiona orodha pamoja na picha za watoto wote wa chekechea” “Kwa nini unahitaji kuona orodha hiyo” “Ahaa kuna jambo ninalifanyia upelelezi kwa msaada wako mwalimu ninaimani utanisaidia” “Kusema kweli sinto weza kufanya hivyo, kwanza ni jambo ambalo lipo kinyume na sheria ya kazi yangu. Pili sijakufahamu wewe ni nani hadi ufanye upelelezi katika orodha ya watoto tena na picha zao” Nikaka kimya huku nikimtazama mkuu wa shule, akili yangu kwa haraka haraka ikafanya kazi, nikatoa kitabu kidogo cha cheki ninacho tembea nacho, nikaandika cheki ya milioni moja, nikatazama jina la mkuu wa shule lililopo kwenye kiji kibado kidogo kisha nikaliandika na kumkabidhi cheki hiyo.
“Ya nini?” “Ninaomba unisaidie kwenye hii kazi, ni ndogo sana ila ina faida kubwa sana kwangu” “Nitaamini vipi kwamba hii cheki ni halali?” Mkuu wa shule aliniuliza huku akiwa anatabamu, taratibu nikaanza kutambua kwamba mzee huyu amesha anza kulainika na hana ujanja wa kukataa kunisaidia.
“Basi unaweza kunirudishia cheki yangu, kama unaona ni feki” “Ahaa hapana, unajua mjini hapa” Mkuu wa shule alizungumza hukua akiiweka cheki ndani ya fiali lililipo hapa mezani mwake.
“Mkuu kuna sura za utapeli na kuna suru ambazo mtu akizungumza kweli unatambua kwamba anacho kizungumza kina ukweli” “Basi bwana Erick nimekuelewa” Mkuu wa shule akaifungua laptop yake iliyopo pembeni yake, akaiwasha na kuanza kuminya minya batani za laptop hiyo.
“Umesema chekechea?” “Ndio” “Ok dakika moja” Mkuu wa shule akaminya minya batani hizo, kabla ya hata dakika moja kuisha akanigeuzia laptop yake.
“Hao ndio wanafunzi wa chekechea tulio wasajili kwa mwaka huu. Picha zao, majina yao pamoja na wazazi wao zipo hapo” Nikaanza kusoma taratibu orodha ya watoto hawa na kuwatazama picha zao. Nilipo fika kwenye majina yanayo anzia na herufi ‘B’, nikajikuta nikisimama na kuitazama picha ya mtoto niliye muona. Jina lake anaitwa Brian Erick Almeida, ana miaka mitatu na miezi kadhaa. Mama yake anaitwa Zari Almeida, nikajikuta mwili mzima ukizizima kwa furaha, nikatamani kunyanyuka na kushangilia, ila nikajikuta miguu ikishindwa kabisa kunyanyuka kutokana kiwewe ninacho kipata, siamini kama kweli nina mtoto.
“Vipi bwana Erick?” “Nina mtoto” “Mtoto!!?” “Ndio, Brian Erick” Nilizungumza huku nikijifuta machozi yangu kwa furaha niliyo nayo. Mkuu wa shule kwa haraka akageuza laptop yake na kutazama picha ya Brian, kisha akanitazama na mimi.
“Ohoo Mungu wangu, ni kweli huyu mtoto ni wako yaani hakuna cha kupinga kabisa” “Mkuu ninaweza kumuona kwa kweli?” “Ndio unaweza kumuona ila inabidi unielezee kwa nini hadi leo hujafahamu kama una mtoto?” “Historia ya maisha yangu mkuu ni kubwa sana, sipendi kuisimulia kila muda, ila kama kweli inawezekana ninaomba hata nimshike mwanagu japo mkono wake tu” Nilizungumza huku machozi yakiendelea kunimwagika usoni mwangu, mkuu wa shule akanyanyua mkonga wa simu na kupiga.
“Madam Loveness” “Naomba uniletee ofisini kwangu, mwanafunzi wako mmoja anaitwa Brian Erick Almeida” “Fanya hivyo” Mkuu wa shule akakata simu na kunitazama usoni mwangu.
“Anakuja” “Nashukuru sana mkuu” Nikajifuta machozi yangu kwa kitambaa changu, nikatengeneza tabasamu zuri usoni mwangu huku nikiwa nina furaha ya kuhitaji kumuona mwanangu. Hazikupita hata dakika tano mlango ukafunguliwa, akaingia mwalimu wa kike akiwa na Brian, mwalimu huyu akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama mkuu wake wa kazi.
“Huyu hapa mzee” “Sawa unaweza kusubiri hapa nje madam Loveness” Macho yangu yote yakatua kwa Bria, niakatamani kumuita ila kigugumizi kikali kikanitawala mdomoni mwangu. Brian mwanagu akabaki kutuatazama mimi na mkuu wa shule, taratibu nikamshika mkono yake na kumvuta kwangu.
“Brian” “Mmmm” “Amkia” “Good morn sir” Alinisalimia huku akinishika kichwa, mwili wangu ukazidi kusisimka zaidi na zaidi. Furaha ikazidi kunipanda hadi nikajikuta nikianza kumwagikwa na machozi. Mkuu wa shule akananyuka kwenye kiti chake na kutoka ndani ya ofisi na kuniacha na Brian.
“Brian” “Naam” “Umesomama nini?” Nilizungumza huku nikimkalisha kwenye paja langu la mguu wa kulia.
“Engilish” “Mama yupo wapi?” “Nyumbani” “Waoo unajua mimi ni nani?” “Mmmm” Brian alijibu huku akitingisha kichwa chake akimaanisha kwamba anifahamu. Nikatamani kumueleza ukweli kwamba mimi ni baba yake ila nikajikuta nikishindwa kuzungumza hivyo kwa maana Brian bado ufahamu wake ni mdogo na hawezi kukabiliana na ukweli ambao tayari mimi nimesha ugundua.
“Ninaitwa anko Erick” “Anko Erick?” “Ndio, ila usimuambie mama kwamba umepata rafiki anaitwa anko Erick” “Kwa nini nisimuembie wakati mama ameniambia, nikiwa narafiki yoyote lazima nimuembie amuangalie kama ni mzuri au mmbaya” “Mimi ni rafiki mzuri ndio maana nimekuja hadi kwa mwalimu wako. Unapenda kula nini?” “Choclate pamoja na pipi” “Mmmm meno yataoza” “Mmmm hata bibi anapenda nile pipi” “Bibi yupo wapi?” “Yupo nyumbani kwake huko” “Wapi?” “Huko”
Brian alizungumza kwa vitendo huku akinyoosha kidole ukutani, nikatambua kabisa hafahamu ni wapi ambapo bibi yake anai ishi. Nikamshika shika nywele zake, kisha nikachomoa nywele yake moja kichwani na kuibana kwenye vidole vya mkono wa kushoto.
“Basi nenda Darasani kesho nitakuja kukuona sawa ehee” “Sawa utaniletea zawadi?” “Ehee nitakueletea pipi” Nikamshusha na Brian na kutoka naye nje, Brian akanichomoka mikononi mwangu kwa haraka akaanza kukimbia kuelekea kwenye bustani ambayo mbele yake kuna maegesho ya magari. Nikamshuhudia akikumbatiana na mama jambo lililo nifanya nirudi kasi ndani ya ofisi ya mku wa shule hadi mkuu wa shule na madam Loveness wakabaki wakiwa wanashangaa.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
“Basi nenda Darasani kesho nitakuja kukuona sawa ehee” “Sawa utaniletea zawadi?” “Ehee nitakueletea pipi” Nikamshusha na Brian na kutoka naye nje, Brian akanichomoka mikononi mwangu kwa haraka akaanza kukimbia kuelekea kwenye bustani ambayo mbele yake kuna maegesho ya magari. Nikamshuhudia akikumbatiana na mama jambo lililo nifanya nirudi kasi ndani ya ofisi ya mku wa shule hadi mkuu wa shule na madam Loveness wakabaki wakiwa wanashangaa.

ENDELEA
Japo ni mama yangu ila sihitaji aweze kuniona kwa maana sielewi wana taarifa gani juu ya uwepo wangu, na kwa jinsi ninavyo fahamu sheria za chuo ni lazima watakuwa wamerudisha baadhi ya vitu ambavyo vilikuwa ni mali yangu katika familia yangu kudhibitisha kwamba nimesha kufa kwenye mazoezi kwa maana hicho ndio kisingizio chao kikubwa. Nikaaza kuisikia sauti ya mama akisalimiana na waalimu hawa, mapigo ya moyo yakazidi kwenda kasi sana, jasho jingi likaanza kunimwagika kwa woga, nikatazama kila sehemu ya hili jengo cha kumshukuru Mungu ndani ya ofisi hii kuna chumba kilicho fungwa kwa mlango, nikajaribu kusogea taratibu, nikakishika kitasa na kukisukuma ndani, cha kumshukuru Mungu kitasa kikafunguka, sikujali humu ndani nitakutana na kitu gani ila nilijikuta nikiingia. Kilicho nishangaza zaidi ni kumkuta mwanafunzi wa kike akiwa amekaa juu ya choo cha kukalia, huku vifungo vya shati lake vikiwa wazi. Nikatamani kuzungumza ila mwanafunzi huyu akaniwahi kwa kujiweka kidole chake mdomoni akimaanisha kwamba nisizungumze kitu cha aina yoyote.
Nikawasikia mkuu wa shule pamoja na mama wakizungumza ndani ya hii ofisi huku mama akiwa anaulizia maenendeleo ya Brian pamoja na maendeleo ya biashara nzima ya shule.
“Mkurugenzi kama unavyo ona mwenyewe shule inakwenda vizuri, pesa zote za malipo ya ada za wanafunzi zipo kwenye akaunti ya benki” “Ok nitahitaji milioni mia sita za kuingiza kwenye kampeni ya mume wangu” “Sawa mkurugenzi ila inabidi bodi ikae?” “Ikae nini wakati pesa ni zangu, fanya kama nilivyo kuagiza, niingizieni milioni mia sita, mzee akishinda katika uchuguzi basi pesa nitairudisha” “Sawa mkurugenzi”
“Hakikisha hili swala halisikiki kwa waalimu wengine, libaki kichwani mwako” “Sawa mkurugenzi” “Ninakwenda” Nikasikia vishindo vya miguu vya mama akitoka ofisini hapa, nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama msichana huyu mwanafunzi niliye mkuta humu ndani. Msichana huyu akasimama na kuusogelea mlango akafungua kwa kujiamini.
“Baby mamabo gani tena haya” Sauti ya msichana huyu na matamshi yake niliyo yasikia nikajihisi kuchoka kabisa, kwa maana ni binti mdogo sana kwa kumkadiria anaweza kuwa miaka kumi na tano kuja chini ila moja kwamo moja anaonekana kuwa na mahusiano na mkuu wa shule.
“Nini tena” “Unaachia achia watu wanaingia chooni wakati mimi nimejificha nataka unipe raha kutwa nzima” Nikatoka mkuu wa shule akaonekana kutahayari, binti huyu akanitazama kuanzia juu hadi chini, nikaiweka mikono yangu juu ya meza ya mwalimu mkuu nikainama kidogo huku sura yangu kwa wakati huu ikiwa imekasirika.
“Ninaomba cheki yangu” Nilizungumza kwa sauti nzito iliyo mfanya mkuu wa shule kunikodolea macho, hata binti huyu akabaki akiduwaa. Nikaipiga meza kwa nguvu kwa kutumia kiganja cha mkono wa kulia na kumfanya mkuu wa shule kutetemeka, hata kabla sijaanza kuzungumza akafungua faili aliko weka cheki yangu na kunikabidhi.
“Umuangalie mwanangu, na huu ujinga unao ufanya, nikiripoti kwa mama kazi yako itaota nyasi sawa” “Ndio mkuu” “Na usimueleze mtu yoyote kwamba nilikuja hapa sawa” “Sa…sa sawa” “Na wewe potea nenda darasani kabla sijakuvuja kiuno” “Unaniambia hivyo wewe kama nani?” Binti alizungumza kwa dharau huku akiwa ameshika kiuno chake, na kuuchezesha mguu wake wa kulia. Nikamsogelea hukun nikiwa na macho ya ukali, hikamzaba kofi la shavu la kushota hado akatoa ukelele wa maumivu makali.
“Potea kabla sijawaita wazazi wako hapa” Binti akatoka huku akiwa ameshikilia shavu lake na machozi yakimwagika, nikamgeukia mkuu wa shule, taratibu nikaichana cheki ya pesa niliyo mpokonya kisha vipande nikamuwekea juu ya meza na nikatoka ofisini hapa. Moja kwa moja nikaelekea hadi katika darasa la Brian, nikamtazama na yeye akanitazama kwa sekunde kadhaa huku akiwa ameachia tabasamu pana usoni mwake, nikamkonyeza na yeye akarudia kunikonyesha, kitendo hichi kikamfanya madam Loveness kutabasamu sana.
Nikaondoka na kueleka kwenye gari, nikafungua mlango na kukaa kwenye siti ya dereva, nikaangalia kipande kidogo sana cha nywele niliyo ichomoa kichwani mwa Brian. Nikatingisha kichwa na kuianza safari ya kuelekea nyumbani kwa daktari mkuu wa muhimbili. Sikuchukua muda mwingi nikawa nimefanikiwa kufika nyumbani kwake, nikashuka kwenye gari baada ya geti kugoma kufunguka, nikasimama kwenye sehemu maalumu yenye kamera pamoja na batani inayo tumika kama kengele. Nikaiminya huku nikiiangalia kamera hii ya ulinzi.
“Nani” Nilisikia sauti ya Cesilia.
“Mimi” “Erick ingia” Taratibu geti likafunguka, nikarudi kwenye gari, taratibu nikaingiza gari langu na kulisimamisha kwenye maegesho ya magari yaliyomo hapa ndani. Mlango wa kuingilia ndani ukafungiliwa, Cesilia akatoka akiwa amejawa na furaha kubwa sana ya kuniona. Akashindwa kujizuia furaha yake hadi machozi yakaanza kumlenga lenga, akatanua mikono yake na taratibu tukakumbatiana.
“Erick siamini kama upo hai” “Nipo hai dada yangu” “Ohoo Mungu ni mwema kwa kweli” Cesilia alizungumza huku akijipangusa machozi yake usoni, Cesilia akanishika mkono na tukaanza kutembea kuelekea ndani, akanikaribisha sebleni ambapo pamebadilika sana na kila kitu kwangu ninakiona kipya.
“Karibu sana” “Asante sana, vipi mzee nimemkuta?” “Amekwenda kazini, yaani hapa nikimpigia simu kwamba upo nyumbani basi atafurahi sana, kwa maana ile siku ambayo kulijitokeza matatizo, mzee alilia sana kama mtoto mdogo” “Weee!!” “Haki ya Mungu, alilia sana, alijiona ni mtu mwenye mikosi, kwa maana katika maisha yake yote anapenda sana watoto wa kiume. Sasa ulivyo potea ikasadikika kwamba umekufa, basi hapo ndio kabisa, alikaa wiki mzima akiwa na huzuni, nilipata kazi kubwa ya kumbembeleza” “Daa poleni sana jamani” “Tunashukuru sana, sasa Erick najua kuna mengi tutazungumza, ila kuna mboga nimezibandika jikoni, ila kwa mbali nina sikia kijiharufu kwa mbali cha kuungulia” “Sawa” Cesilia akanyanyuka huku akiwa amevaa buka yake iliyo yaacha mapaja yake wazi. Nikabaki kumsindikiza kwa macho na kupotelea kwenye kona ya kueleka jikoni. Nikaka hapa sebleni huku nikitazama kipande cha nywele ya Brian. Simu yangu ikaita nikaitoa mfukoni kwa haraka na kukuta ni Hussein ndio anaye piga.
“Ndio Hussein” “Bosi kuna tatizo” “Tatizo?” “Ndio” “Tatizo gani?” “Kuna askari wamakuja hapa wanadai wanamtafuta muhudumu mmoja ambaye ni wewe” “Wananitafuta kisa nini?” “Wanasema kwamba eti juzi kwenye sherehe ulimuibia Rose cheni ya dhahabu kwenye maegesho ya magari” “Nimeiba cheni ya dhahabu!!” Nikamuona Cesilia akirudi huku akiwa na tabasamu pana.
“Hussein nitakupigia, ila hakikisha unawatoa kisiasa hapo na waambie muhudumu huyo hamumfahamu na kampuni haina haina jambo lolote la kufanya juu ya hilo” “Bosi ila hili swala lipo serious sana fanya uje aisee” Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu. Cesilia akaka kwenye sofa alilo kuwa amekaa
“Ehee Erick niambie ilikuwaje kiwaje hadi kuwa hai?” “Ni historia ndefu sana ambayo kukusimulia inahitaji muda kidogo hata kama una kazi basi inabidi uache kabisa” “Mmmmm, samahani mwaya yaani kwa kile kiweru weru nimejikuta hata ninajisahau kukuuliza kwamba una tumia kinywaji gani?” “Chochote, zaidi ninaomba juisi” “Sawa, ila Erick kwa sasa unaonekana mambo yako ni mazuri?” “Ahaa mazuri wapi dada yangu. Umempigia mzee?” “Yaa yupo njiani anakuja” “Sawa” Cesilia akaniletea juisi nakuniwekea juu ya meza. Taratibu nikaanza kuinywa huku Cesilia akinieleza stori za maisha yake na mume wake, haukupita muda mrefu sana daktari mkuu akafika, alipo niona akajikuta na yeye akishindwa kuzui hisia zake za furaha kwani machozi taratibu yalianza kumwagika. Nikakumbatiana naye huku akinipiga piga mgongoni mwangu.
“Karibu sana mwanangu” “Asante baba shikamoo” “Marahaba” Daktari mkuu akaniachia sote tukaa kwenye sofa, ukimya wa dakika kadhaa ukakatiza kati yetu huku kila mmoja akionekana kukosa hata jambo la kuzungumza.
“Jamani ngoja niwaache kwa maana ninaona ukimya umetawala” Cesilia alizungumza huku akisimama, akatuacha tukiwa tumebaki na mzee na yeye akaelekea jikoni.
“Ehee vipi Erick, siamini kama upo hai?” “Nipo hai mzee wangu” “Ilikuwaje kuwaje kwanza, kwa maana mwili wako ulitoweka kwenye hospitali ya muhimbili na baadhi ya wauguzi ile siku walisema kwamba umeibiwa, sasa nikashindwa kuelewa watu walio kuiba walikuwa ni wema kwako au wabaya?” “Nilimuahidia mama kwamba nitaelezea kila jambo mukiwa nyote wawili kwa maana nyinyi ni wazazi wangu” “Kweli ngoja nikamuite” Daktari mkuu akanyanyuka na kuelekea jikoni, hazikupita dakika hata tano wakarudi wote wawili wakiwa wameongozana. Wakaka kwenye sofa moja huku wote wakiwa na shahuku ya kuhitaji kuifahamu historia yangu. Taratibu nikaanza kuwaadisia kuanzia siku ya mwisho nilivyo weza kumtilia shaka mtu mmoja ambaye alitaka kujitoa muhanga wa bomu katika kundi la watu maeneo ya Mlimani City.
Nikazidi kuwaadisia jinsi nilivyo kaa chuo cha udaktari ambacho kipo chini ya uangalizi wa NSS, ambayo inawafundisha madaktari dhama za upelelezi na ulinzi wa taifa kw aujumla, nikawaelezea pia jinsi mkuu wa chuo alivyo panga nifanyiwe oparesheni na kujikuta nikipoteza nguvu za kiume. Katika eneo hili nikamuona baba jinsi anavyo tingisha kichwa huku akiwa amejawa na masikitiko makubwa sana.
Nikazidi kuwaeleza maisha ya mateso niliyo pitia chuoni ya kudhalilika hadi nilitamani kujia, ila nilipo gundua ukweli kitu nilicho kutana nacho nilinusurika kufa. Sikuhitaji kuwaficha kitu cha iana yoyote nikawaeleza hadi jinsi nilivyo utafuta utajiri kwa ajili ya kumpata msichana niniaye mpenda, ila yeye hanihitaji kabisa. Nikamalizia na kumuonyesha daktari mkuu nywele ya Brian.
“Kwa nini unataka sasa tumfanyie vipimo vya DNA, ikiwa kwa namna moja ama nyingine unajua kabisa kwamba ni mwanaao kutokana na kufanana?” “Baba maisha haya yana mambo mengi, mtoto anaweza akafanana pia na baba mdogo watu wakasema kwamba, mtoto amechukua kila kitu kwa baba mdogo kumbe kuna mambo yamefanyika hapo” “Ni kweli lakini mume wangu” “Sawa ninalielewa hili, mimi kwanza nipo tayari kushuhulika kwanza na hilo tatizo lako kubwa la kukaa kipindi chote pasipo kumjua mwanake, na laiti hata kama leo Rose anaamua kurudi kwako utakosa kumpatia haki ile ambayo hapo awali ulikuwa unampatia. Ni lazima ufanyiwe matibabu” “Sawa baba nitashukuru” “Hilo jambo wala sihitaji lichukue muda kusema lisubiri kesho. Ahaaa, nataka sasa hivi ujiandae twende hospitali vipimo vikafwaywe mara moja na hayo mengine ya kuchukua DNA kwa mtoto ttayafanya siku nyingine” “Ila mume wangu bado mgeni hata ajakula chakula” “Baby inaniuma sana, Erick huyu mimi ni kijana wangu, leo hii ninavyo sikia kwamba jogoo wake apandi mtungi unahisi ninajisikiaje moyoni mwangu. Ni fedheha mke wangu” Daktari mkuu alizungumza kwa uchungu sana, sikua na kipingamizi chochote. Mzee akaniimiza kwenda hospitali, tukajikuta tukinyanyuka na kuianza safari ya kuelekea hospitali ya taifa ya Muhimbili.
Tukafika hospitalini, madaktari bingwa wakanipokea, nikaanza kufanyiwa vipomo vya haraka sana, majibu yakatoka na mzee akaniletea.
“Uwezo wa nguvu zako kurudi kama awali unawezekana kabisa, utakufanyia upasuaji mdogo tu kuahikisha kwamba tunaweka sawa kila sehemua mbayo uliweza kuchezewa” “Sawa baba” Hapakuwa na njia nyingine zaidi ya kuchomwa sindano ya usingizi na kujikuta nikilala usingizi mzito sana.
***
Oparesheni niliyo fanyiwa ikaanza kuza matunda ndani ya siku chache, jogoo wangu akaanza kusisimka na kuanza kusimama vizuri kama iliyo kuwa walai. Mzee akazidi kunipa matibabu huku akihakikisha kwamba kidonda changu cha oparesheni kinapona kabisa. Katika siku nilizo lazwa hapa hospitalini, Hussein na baadhi ya wafanyakazi walikuwa wakija kunitembelea. Kila mmoja niliweza kumueleza kwamba nina matatizo ya figo sikuhitaji kuweka bayana ugonjwa wangu hata kwa Stive.
“Bosi” Hussein aliniita huku akiingia katika chumba hichi cha hospitalini nilicho lazwa.
“Vipi” “Kuna mgeni wako” “Mgeni wangu?” “Ndio” “Ni nani?” Mlango ukafunguliwa, akaingia mama huku akiwa ameongozana na Brian, sikuamini macho yangu kwa manaa kulazwa kwangu hapa hospitalini sikuieleza familia yangu na wala sikuhitaji hili lifanyike. Mama akanitazama hukku machozi yakimwagika kwenye mashavu yake. Hussein baada ya kuona hali ya mama imebadilika taratibu akatoka na kutuacha ndani ya chumba hichi.
“Shikamoo anko Erick” “Marahaba” Brian akasimama pembeni ya kitanda nilicho lala, mama taratibu akanisogelea na kukaa kwenye kiti cha pembeni yangu.
“Shikamoo mama”
“Marahaba mwanangu” Mama alizungumza huku akinishika uso wangu, nina imani kwamba hakutegemea kuniona kwenye maisha yake kwa maana kwa tetesi nilizo zipata baada ya watu wangu kufanya upelezi wa chini kwa chini, waligundua kwamba wale watu wanao wanao nifahamu wanajua kwamba mimi nimekufa.
“Erick” “Naam” “Samahani sana mwanagu” Mama alizungumza huku machozi yakimwagika, ikabidi kuguna kidogo, Hussein akaingia, kwa ishara nikamuomba atoke nje na Brian na kutuacha mimi na mama.
“Huyo kijana ni nani?” Mama aliniuliza huku akijifuta machozi usoni mwake.
“Ni mfanyakazi wangu” “Una mfanyakazi?” “Ndio mama” Nikaanza kumuadisia mama kwa ufupi ufupi masha niliyo yapitia kwa miaka ambayo kwa sasa inakaribia minne sasa. Hadi ninamaliza historia yangu niliyo pita mama uso mzima ukawa umejawa na machozi. Mama akanishika kichwa changu na kuanza kuniombea taratibu.
“Amen” Mama alizungumza baada ya kumaliza sala yake, akaitoa mikono yake kichwani mwangu.
“Mama imekuwaje ukagundua kwamba nipo hapa?” “Brian mwanao alinisumbua sana, kila siku alikuwa anakutaja anko Erick rafiki yangu mkubwa, rafiki yangu mkubwa. Kwa hapo awali maneno yake niliyachukulia kawaida, ila nilipo muhoji aliniambia kwamba alikuona shule ofisini kwa mkuu wa shule yao” “Ina maana Brian amekuwa na akili hadi ya kueleza ni sehemu gani ambayo nimekutana nayo?” “Wee huyu mtoto wako ni genius, ana akili sana, tofauti hata na watoto wengine wenye umri kama wake” “Ehee ikawaje?” “Basi ilinibidi kwenda kumbana mkuu wa shule, akanieleza kila kitu juu yako, akanionyesha hadi karatasi ya cheki uliyo ichana, nilipo uangalia muandiko, hapo ndipo nikatambua kwamba hii ishu ipo serious sana na hapakuwa na jinsi nyingine zaidi ya kuanza kufanya upelelezi wangu wa siri siri hadi leo nikakukuta hapa” “Hili swala baba na Zari wanalifahamu?” “Hapana nilifanya jambo hili kwa siri kubwa sana, kwa maana laiti ningemshirikisha baba yako basi lingeenda vibaya” “Kwa nini?” “Baba yako kwa sasa anakimbilia mbio za kuwa raisi, maadui wa vyama vya upinzani ni wengi yaani hadi sasa hivi huwa nina tembea na walinzi ili kuimarisha usalama wangu” “Hongereni kwa hilo” “Usitupongeze, hata wewe unatakiwa kujipongeza kwa maana kwa sasa familia yetu inakwenda kuwa na furaha, kama pale awali, ngoja ni mpigie Zari nimuambie aje hapa hospitalini” “No usimpigie” “Kwa nini?” Gafla mlango ukafunguliwa kwa nguvu, akaingia Hussein akiwa ameshika tumbo lake huku anavuja damu tumboni na mdomoni, sote tukajikuta tukistuka sana.
“Wamemchuku…..a mto…..to” Hussein baada ya kuzungumza maneno hayo, akaanguka chini mzima mzima, jambo lililo zidi kutuchanganya mimi na mama hata simu aliyo ishika mkononi mwake ikaanguka chini kitokanana mwili wake kumtetemeka sana.
ITAENDELEA
 
Back
Top Bottom