RIWAYA: Am not a Doctor

RIWAYA: Am not a Doctor

ILIPOISHIA
“Hongereni kwa hilo”
“Usitupongeze, hata wewe unatakiwa kujipongeza kwa maana kwa sasa familia yetu inakwenda kuwa na furaha, kama pale awali, ngoja ni mpigie Zari nimuambie aje hapa hospitalini”
“No usimpigie”
“Kwa nini?”
Gafla mlango ukafunguliwa kwa nguvu, akaingia Hussein akiwa ameshika tumbo lake huku anavuja damu tumboni na mdomoni, sote tukajikuta tukistuka sana.
“Wamemchuku…..a mto…..to”
Hussein baada ya kuzungumza maneno hayo, akaanguka chini mzima mzima, jambo lililo zidi kutuchanganya mimi na mama hata simu aliyo ishika mkononi mwake ikaanguka chini kitokanana mwili wake kumtetemeka sana.

ENDELA
Kwa haraka nikachomoa sindano ya dripu niliyo chomwa mkononi mwangu, nikashuka kitandani huku ninapepesuka kwani maumivu ya mshono bado yananiuma japo si sana. Nikamgeuza Hussein na kumuangalia sehemu ya jeraha lake, nikaona jinsi lilivyo kubwa.
“Dokta Dokta”
Nilita kwa nguvu ila sikuapata muitikio wa mtu yoyote, nikatoka kwa haraka kwenye chumba hichi nakumuacha mama akiwa katika hali ya bumbuazi na mshangao.
“Nesi nesi”
Nilimuiota nesi mmoja aliye toka kwenye chumba cha pili.
“Vipi kaka yangu”
“Kuna mgonjwa nakomba msaada wako wa haraka”
Nesi kwa haraka akaanza kunifwata kwa nyuma, tukaingia ndani ya chumba hichi, nikajikuta nikizidi kuchanganyikiwa baada ya kumkuta mama akiwa amenguka chini na kupoteza fahamu. Kwa haraka nikaokota simu yake na kuanza kuingia upande wa majina. Nikaatafuta jina la baba kwa haraka nikalipata na kuipiga namba yake ya simu.
“Sekretari wa bwana Alemida, tafahdali ninaweza kukusaidia”
Nilisikia sauti ya kike, nikatamani kuzungumza jambo ila nikakata simu. Nikamtazama nesi jinsi anavyo zungumza na simu ndogo ya upepo aliyo ishika mkononi mwake akiomba msaada zaidi wa madaktari.
“Nesi waangalie”
Kwa haraka nikatoka katika chumba hichi huku nikikimbia kwa kasi kuelekea nje, nikatazama kwenye maegesho ya magari katika kila eneo sikuona dalili ya kumuona mwanagu Brian.
“Kaka unatakiwa kurudi ndani”
Nesi mmoja aliniambia baada ya kuniona nikiwa ninashangaa shangaa, kitu ambacho limemfanya nesi huyu kuweza kunitambua kwa haraka kwamba mimi ni mgonjwa, ni haya mavazi niliyo yavaa.
“Kuna mtoto mdogo wa kiume hivi mweupe mweupe umemuoana”
“Kaka yangu watoto ni wengi katika hii hospitali kwani kuna kitu kilicho tokea?”
“Nimamuomba mkuu wa hospitali”
“Mkuu kwa sasa yupo kwenye kikao”
“Nimekuambia ninamuomba mkuu wa hospitali”
Nilizungumza kwa kufoka hadi watu wanao pita pembeni yetu wakatushangaa, nesi akanitazama usoni kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kuongoza kuelekea eneo linalo fanyika kikao hicho. Nikiwa njiani simu ya mama ikaita, kwa haraka nikaipokea.
“Haloo”
Nikaisikia sauti ya baba akizungumza, nikaka kimya kwa muda huku nikimtazama nesi usoni mwake, kwa ishara nikamuomba tuendelee kutembea kuelekea kwenye ofisi yenye kikao.
“Kuna tatizo”
Nilizugumza kwa sauti nzito.
“Nani wewe unaye shika simu ya mke wangu”
“Baba Brian ametekwa na mama amezimia yupo katika chumba cha wagonjwa mahututi”
Nilijikuta nikizungumza kwa sauti yangu halisi, nesi akasimama na kunitazama baada ya kuyasikia maneno hayo.
“Erick!!”
“Ndio baba ni mimi”
“I…i..ime…ime kuwaje hadi upo hai?”
“Baba huu sio muda wa kuelezana maswali, ninacho kuambia ni kwamba mwanangu ametekwa na watu wasio julikana, kijana wagu mmoja amepigwa risasi, ninankuomba kwa kutumia cheo chako cha sasa, ripoti hili swala polisi haraka iwezekanavyo”
“Sawa sema upo wapi sasa hivi nije?”
“Nipo hospitali ya Muhimbili”
“Ninakuja”
Baba akakata simu, tukaendelea kuongozana na huyu nesi kwa haraka kuelekea kwenye hiyo ofisi.
“Umesema kwamba kuna mtoto ametekwa?”
“Ndio”
“Imekuwaje kuwaje?”
“Ningejua ningekuuliza?”
Nesi ikambidi kukaa kimya tu kwa maana hata jibu nililo litoa ni jubu lililo jaa hasira kali. Tukafika kwenye jengo ambalo ndio kuna kikao cha madaktari, nikaingia na nesi huyu na kuwafanya watu wote walimo ndani ya hii ofisi kututazama. Nikamfwata daktari mkuu mbele alipo simama kwenye kipaza sauti.
“Erick kuna tatizo gani?”
Mzee aliniuliza kwa sauti ya chini huku akizima kipaza sauti kilichopo mbele yake.
“Kuna utekaji wa mwanangu umetokea hapa hospitalini kwako, mtu wangu mmoja amepigwa risasi, mama yangumzazi amepoteza fahamu, kwahiyo ninakuomba msaada wako tafahali”
Mzee akaonekana kushangaa sana kwa taarifa hizi, akawasha kipaza sauiti chake.
“Jamani madaktari sahamani kwa usumbuku, kuna dharura imejitokea na ni yalazima. Kikao chetu kitaendelea badae, tutawanyikeni”
Daktari mkuu akazima kipaza sauti chake na tukaanza kuongozana na kuelekea mlangoni.
“Erick, Erick”
Nilisikia sauti ya kike nyuma yangu, nikageuka kwa haraka huku jasho likinimwagika, nikakutana na Jackline mwanafunzi mwenzangu niliye kuwa naye katika chuo cha udaktari.
“Ni wewe”
Jackline alizungumza huku akitabasamu akanipatia mkono, nikautazama kwa sekunde pasipo kuzungumza neno lolote.
“Dokta Jackline, ninakuomba utulie utazungumza na Erick badae kama munafahamiana kwa sasa kuna jambo tunatakiwa kulishuhulikia, sawa dokta”
“Nimekuelewa mkuu”
“Erick tuondoke”
Daktari mkuu akanishika mkono wangu wa kulie, nikamtazama Jackline kwa macho makali, kisha nikageuka na kuendelea na safari ya kuondoka na dokta na daktari mkuu ninaye muheshimu kama baba yangu.
“Erick ilitokeaje tokeaje”
“Doka siwezi kuelewa kwa maana kila jambo limetokea kwa muda mfupi sana”
Daktari mkuu akatoa simu yake mfukoni, akaminya minya batani zake na kuiweka sikioni.
“Ninaomba mumeweze kuangalia kamera zaote za ulinzi hapa hospitalini, kuna mtoto ametekwa”
“Nipo njiani nina kuja sasa hivi”
Daktari mkuu akata simu yake na kuirudisha mfukoni, tukaelekea katika chumba kinacho tumiwa kwa uangalizi wa kamera zote za ulinzi.
“Erick tukio lilitokea kwa dakika ngapi kutoka hivi sasa?”
“Kama dakika kumi hivi”
“Hembu angalia dakika kumi na tano nyuma, jengo la ICU si ndio?”
“Ndio dokta”
Injinia anaye ongoza Tv nyingi zilizomo humu ndani ya chumba akisaidia na wezake wanne, akaanza kurudisha matukioya nyuma yaliyo rekodiwa na kamera zilizo zagaa kwenye hii hospitali. Kamera ikamuonyesha mama jinsi alivyo kuja na walinzi wake wawili pamoja na Brian akawaomba walinzi wake kubaki nje ya mlango. Walinzi hao baada ya mama kuingia ndani wakaondoka katika eneo la mlango na Hussein akatoka, hazikupita hada dakika nyingi Hussein akaingia na akatoka na mtoto.
“Ehee sasa fwatilia Hussein alielekea wapi?”
Tukaendelea kumuona Hussein jinsi alivyo mbeba Brian na kutoka naye nje huku akizungumza naye, mlinzi mmoja wa mama akamfwata Hussein, akazungumza naye maneno mawili matatu ambayo hatuyasikii, Hussein akamkabidhi mtoto mlinzi huyu wa mama, mlinzi huyo akatoa bastola yake ya kwa siri na kumpiga Hussein tumboni na kumfanya Hussein aanguke chini.
“Ehee alimpeleka wapi?”
Tukio likahamia kwenye kamera nyingine ambapo mlinzi huyo akaingia kwenye gari aina ya Range rover nyeusi, ambayo nilivyo tazama namba zake kwa haraka niliweza kufahamu kwamba ni gari la Rose.
“Malaya huyuuuu”
Nilizungumza kwa hasira huku niking’ata meno yangu kwa jazba.
“Unamjua aliye mchukua mwanao?”
“Ndio ni Rose”
“Rose?”
“Mwanamke niliye kuambia kwamba ninampenda na nilihitaji kumrudisha kwenye maisha yagu”
“Jesus Christ. Unatakiwa kutoa taarifa polisi”
“Sihitaji polisi waweze kujua hili kwa maana mwanagu atakuwa katika hali mbaya”
“Erick huwezi kulifanya hili jambo peke yako mwangu”
“Baba niamini mimi, ninacho kihitaji kwa sasa. Ninaomba unichome sindano ya kuzuia maumivu kwa muda mrefu”
“Erick hiyo ni hatari kwa afya yako hususani kwa dozi unayo itumia”
“Ninakuomba ufanya hivyo dokta, maisha yangu hayana umuhimu sana kama mwanangu, ambaye kwa sasa ndio kila kitu. Sinto hitaji mtu yoyote aweze kunaynyua mkono wake juu ya mwanangu”
Daktari mkuu akaka kimya huku akinitazama machoni mwangu.
“Please ninakuomba ufanye hivyo”
“Sawa”
Tukatoka na daktari mkuu katika hichi chumba, tukaelekea hadi kwenye ofisi yake, akachukua kichupa kidogo ambacho kwa haraka sikukisoma jina kutokana na mawazo mengi yaliyo nitawala. Akanifunga mpira unao vutika kwenye msuli wa mkono wangu wa kishoto na kuifanya mishipa yangu kuonekana vizuri. Akaifunga sindano kwenye bomba la sindano hiyo kisha akavuta dawa kwenye kichupa hicho kwa kutumia bomba la sindano hadi likafika nusu.
“Erick ila hichi ninacho kifanya sio vizuri”
“Baba ninamini kwamba unanipenda, ila yule pia ni mjukuu wako ambaye alipaswa leo acheze mbele yako ila kuna huyu mjinga kwa sasa anaingia kwenye kumi na nane zangu, sasa muache nimuonyeshe kwamba mimi sio mtu mzuri”
“Sawa”
Daktari mkuu akanichoma sindano kwenye mdiba wangu ulipo kwenye kikonjio cha mkono, akasukuma dawa hii taratibu hadi ikaisha, akachoma sindano na kunipatia pamba. Simu ikaanza kuita mfukoni mwangu, nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Ndio baba”
“Upo wapi?”
“Nipo katika chumba cha daktari mkuu”
“Ninakuja”
Nikakata simu na kuirudisha mfukoni.
“Ni nani huyo?”
“Ni baba yako”
“Ahaa sawa sawa”
Hazikupita hata dakika mbili mlango ukagongwa kwa nje, dokta akamruhusu mtu anaye ingia. Mlano ukafunguliwa na mlimzi aliye valia suti nyesui, baba akaingia ndani na mlinzi huyo akabaki nje.
“Muheshimiwa mgombea uraisi”
“Habari yako dokta Benjamini”
“Salama tu, naona umestukiza kufika hospitalini kwangu”
“Nikuja kumuona kijana wangu huyu hapa”
Baba alizungumza huku akinishika shika begani mwangu.
“Erick kumbe baba yako ni muheshimiwa Almeida?”
“Ndio dokta”
“Ohoo siamini jamani”
Daktari mkuu akaonekana kufuhi sana na kushangaa sana.
“Mama yako yupo wapi?”
“Nilimuacha katika chumba nilicho kuwa nimelazwa”
“Twende”
Tukatoka wote watatu, nje nikakutana na walinzi sita walio valia suti nyeusi, wakatuweka kati na tukaendelea kutembea kuelekea kwenye chumba nilicho kuwa nimelazwa. Kila sehemu tunayo pita watu wengi walibaki wakishangaa huku wengine wakimshangilia baba na kujisahau kabisa kwamba wapo hospitalini. Tukaingia kwenye chumba nilichokuwa nimelazwa, nikawakuta manesi wawili na daktari mmoja wakimshuhulikia mama ambaye hadi sasa hivi hajazinduka. Sikumuona Hussein zaidi ya damu zilizo mwagika chini.
“Hussein yupo wapi?”
Nilimuuliza nesi mmoja huku nikimazia macho
“Amekimbizwa katika chumba cha oparesheni”
“Hali yake inaendeleaje?”
“Sio nzuri sana, ila madaktari watajitahidi kutoa risasi yake”
“Risasi!!?”
Baba aliuliza kwa msangao huku akinitazama usoni mwangu
“Ndio mmoja wa walinzi wa mama amempiga risasi mtu wangu wa karibu, tena akamuiba mtoto na kuondoka naye”
“Nimetoa ripotii polisi tayari wataanza kufanya msako”
“Msako gani huo ikiwa wanacho kitafuta hawakijui”
“Niliwaambia wamtuafute mjukuu wangu amekamatwa”
“Baba ikiwa watu wako tu ndani ya utawala wako upande wa ulinzi ni wasaliti, hao polisi kuna asilimia gani ya kuweza kuwaamini kama wanaweza kufanikisha swala la mawanangu kutekwa”
Niliuliza kwa sauti ya ukali huku nikimtazama baba usoni mwake. Taratibu daktari mkuu, akasimama karibu yetu na kunishika mkuno.
“Erick ninakuomba utulie, mgonjwa anagitaji kutulia la sivyo kelele zinaweza kumpelekea kifo mama”
Baba akang’ata meno yake kwa hasira huku akinitazama kwa macho yaliyo jaa hasira, kisha akafungua mlango na kutoka nje, akaubamiza kwa nguvu hadi mama akastuka na kujikuta akikaa kitako.
“Mamama”
Nilimuita mama huku nikimtazama jinsi anavyo hema kwa nguvu akipigania pumzi yake. Manesi kwa haraka wakamshika na kuarudisha chini.
“Erick ninakuomba unipe nafasi nimshuhulikee mama”
Daktari mkuu alizungumza kwa upole na sauti iliyo jaa hekima ndani yake. Nikafungua mlango na kutoka, nikamkuta baba akiwa amesimama huku akiwa ameegemea ukuta, walinzi wake wote wamezagaa katika hili eneo wakiwa makini sana na hata mtu aliye hitaji kupita katika hii kordo alizuiwa. Baba akanitazama kwa macho yaliyo jaa hasira, taratibu akanisogelea na kunikazia macho. Nikastukia akinipiga kofi zito la shavu lililo nifanya niweweseke, nikajikuta nikipandwa na hasira kali nilipo hakikisha kwamba nimesimama wima, nikamsogelea na kumsukuma kwa nguvu akaanguka chini jambo lililo wafanya walinzi wake kadhaa kunivamia na kunishika kwa nguvu huku wengine wakishuhulika na kunyanyua baba kutoka sehemu alipo angukia.
ITAENDELEA
 
Najua nitalaumiwa na watunzi lakini nao wametufanyia vibaya kuleta adithi kisha kutuacha na alosto. Kama ni biashara wasingekuwa wanaleta kwenye jukwaa Hili bali jukwaa la biashara. Isionekane kama napinga kitendo cha kuwachangia waandishi. Napenda sana tuwapatie motisha Kwa kazi yao ngumu ya utunzi lakini wawe wakweli kwa sisi adhira yao na sio kutupa kiu na kukimbia. Wasiifanye JF kama ni njia ya kijikisanyia wasomaji na kisha kutukimbizia whatsapp na fb. Sasa kama hawakuwa na nia ya kupost adithi humu walifata nini? Pia nimepost kama njia ya kumuenzi IBRA alikuwa ni mwandishi mkweli, akiwa anataka michango anatwambia na alikuwa mara kwa mara anafanyia kazi maoni yetu.
 
ILIPOISHIA
Daktari mkuu alizungumza kwa upole na sauti iliyo jaa hekima ndani yake. Nikafungua mlango na kutoka, nikamkuta baba akiwa amesimama huku akiwa ameegemea ukuta, walinzi wake wote wamezagaa katika hili eneo wakiwa makini sana na hata mtu aliye hitaji kupita katika hii kordo alizuiwa. Baba akanitazama kwa macho yaliyo jaa hasira, taratibu akanisogelea na kunikazia macho. Nikastukia akinipiga kofi zito la shavu lililo nifanya niweweseke, nikajikuta nikipandwa na hasira kali nilipo hakikisha kwamba nimesimama wima, nikamsogelea na kumsukuma kwa nguvu akaanguka chini jambo lililo wafanya walinzi wake kadhaa kunivamia na kunishika kwa nguvu huku wengine wakishuhulika na kunyanyua baba kutoka sehemu alipo angukia.

ENDELEA
Watu karibi wote waliopo katika hili eneo wakabaki wakitushangaa, na mbaya kabisa baba ni mgombea uraisi kwa hiyo hili tukio lililo tokea hapa ni tukio la aibu kubwa sana.
“Muachieni”
Baba alizungumza huku akijipangusa pangusa mavazi yake. Walinzi wa baba wakaniachia na kurudi karibu na baba na kumzunguka na kumuweka kati.
“I wish ungekufa huko huko”
Baba alizungumza maneno yaliyo ni stua sana na kunifanya nibaki nikimtazama, mlinzi wake mmoja akamshauri waondoke katika eneo hili.
“Mlindeni mke wangu na wale washenzi wa wawili hakikisheni munawatafuta”
“Sawa mkuu”
Baba akanitazama kwa jicho jengine linalo ashiria chuki kubwa sana juu yangu, kisha wakaondoka katika eneo hili. Nikafungua mlango na kuingia ndani, mama na daktari mkuu wakanitazama.
“Mama ninaondoka”
“Unakwenda wapi mwanangu?”
“Ninakwenda kumtafuta Brian, ila ningeomba msaada wako”
“Msaada gani?”
“Ninakuomba usimueleze Zari kwamba mimi nipo hai”
“Baba yako si amekuona?”
“Ndio ila kama unavyo fahamu mimi na baba haziivi na hapo nje alisha nipiga kibao pasipo sababu ya msingi”
“Oooohhh sasa kwa nini munakuwa hivyo jamani”
“Usijali mama kila jambo litakwenda vizuri. Kikubwa ni kuweza kumpata Brian kwanza. Dokta ninakuomba tuzungumze”
“Sawa”
Nikapiga hatua hadi mlangoni mama akaniita ikabibini nisimame na kumuangalia.
“Kuwa makini mwanangu”
“Usijali mama”
Nikatoka nje huku daktari mkuu akinifwata kwa nyuma.
“Dokta ninakuomba unisaidie kupata silaha”
“Silaha!!?”
“Ndio, kama nilivyo kueleza kwamba mimi nilisha pitia mafunzo ya upelelezi, kwa hiyo silaha itakuwa ni ulinzi wangu tosha kwa kazi ambayo ninakwenda kuifanya”
Dokta Benjamini akaka kimya huku akifikiria jambo fulani.
“Ila Erick hili jambo unalo taka kwenda kulifanya ni la hatari sana, na linaweza kuhatarisha maisha yako.”
“Nalitambua hili, maisha yangu nipo tayari kuyatoa kwa ajili ya mwanangu, siwezikumuacha adui yangu kumchukua mwanangu na mimi nikaka kimya”
“Sawa kuna rafiki yangu ni mkuu wa jeshi kwenye kitengo cha silaha, ngoja niwasiliane naye ikiwezekana tukutane naye kwa muda huu ataweza kutusaidia katika hili”
“Sawa nipo tayari kumpa kumpa kiasi chochote ambacho atakihitaji ilimradi kuhakikisha kwamba ananipatia bastola japo moja tu”
“Sawa, hali ya mama ipo vizuri kiasi ila manesi wanaweza kumuangalia na akawa sawa”
“Sawa dokta”
“Ngoja kwanza nitoa maelekezo kwa madaktari wengine”
“Sawa ninaweza kwenda kumuona rafiki yangu”
“Yaa, japo bado anafanyiwa oparesheni”
“Hakuna tabu”
Tukaachana na daktari mkuu, mimi nikaelekea katika chumba cha upasuaji na nikasimama mlangoni na kwa kupitia kioo cha hapa mlangoni nikaona jinsi madaktari wanavyo jitahidi kupambana kwa ajili ya kuyaokoa maisha ya Hussein.
“Erick”
Nilisikia sauti ya Jackline pembeni yangu, nikageuka na kumtazama usoni mwake.
“Natambua kwamba una hasira na mimi kw……”
“Hasira na wewe ya nini?”
“Kwa yale yaliyo tokea nyuma, na laiti ingekuwa sio mimi kukupiga na kuzimia wala yasinge tokea yale yaliyo otokea”
“Kwa hiyo?”
Swali langu likamfanya Jackline kuwa mpole sana na kutazama chini.
“Erick ninaomba unisamehe?”
“Nilisha wasamehe siku nyingi, wewe, mkuu wako wa chuo aliye hitaji nife, madam Lily. Na laiti kama ninge hitaji kulipiza kisasi kwa mmoja wenu basi ningewaua wote nyinyi kwa mkono wangu mimi mwenyewe. Pia ninakushukuru kwa maana mulinianzishia safari ambayo kati yenu hakuna hata mmoja ambayo angeweza kuipitia”
“Na kitu kingine, mtumie ujumbe mkuu wako wa chuo muambie, asiye mpenda nimefufuka, kwa hiyo siku yoyote na muda wowote akili yangu ikicharuka basi atafute sehemu ya kukimbilia, kwani nitamgawanyisha kipande kimoja baada ya kingine, nikianzia uume wake”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Jackline usoni mwake, Jackline akayanyanyua macho yake taratibu na kunitazama usoni mwangu.
“Erick nimekuelewa ila sinto weza kufanya hivyo”
“Kwa nini?”
“Utaingia kwenye uadui mkubwa na visasi visivyo na maana, ila ninahitaji kutumia akili yangu pamoja na maarifa niliyo yapata katika kukusaidia katika tatizo lako ili kuhakikisha kwamba ninasafisha mazambi yangu”
“Kwenye kazi yangu sihitaji msaada wa mtu yoyote”
Dokta Benjamini akafika eneo nililo simama mimi na Jackline, akaniomba tusimame pembeni kidogo kwa ajili ya mazungumzo.
“Nimempigia rafiki yangu, ila kwa bahati mbaya amaniambia kwamba kwa sasa yupo mpakani Kagera huko”
“Amekuambia anarudi lini?”
“Kusema kweli hajaniambia ni lini anarudi, kwa maana wapo kwenye oparesheni muhimu sana ya kijeshi”
Nikakaa kimya huku nikitafakari ni kitu gani nifanye, nikamuona Jackline akinitazama kwa macho ya kuiba.
“Asante baba”
“Au nikupatie ya kwangu nyumbani?”
“Hapana ninaweza kukuweka katika mazingira mabaya kwa maana si imesajiliwa kwa jina lako?”
“Ndio”
“Basi hakuna haja ya kutumia yako, kuna mtu anaweza kunisaidia”
“Nani?”
“Huyu Jackline”
“Ila Jackline ni daktari na si mwana usalama kama wewe ulivyo kuwa umepitia”
“Usijali atanisaidia, ningeomba uendelee na kazi na umuangalie mama sana”
“Sawa nitafanya hivyo”
Nikaachana na doktari mkuu, nikapiga hatua hadi alipo simama Jackline, nikamshika mkono wake wa kushota na kuanza kutembea naye kuelekea nje.
“Usinishike hivyo Erick unaweza kusema kwamba mimi ni muhalifu”
“Tulia”
“Kwani unahitaji nini kutoka kwangu?”
“Kwako ni wapi?”
“Eheee?”
“Umenisikia vizuri nilicho kuuliza. Ehee za nini sasa?”
“Kwangu ni Kimara”
“Tunakwenda Kimara”
“Sasa hivi!!?”
“Ndio jibu hilo”
“Erick, nipo kazi na kuna wagonjwa wananisubiria ofisini kwangu”
“Wagonjwa wako sio muhimu sana kama mwanangu aliye tekwa na sasa sijui atakuwa anafanywa nini na hao watekaji”
“Mwanao”
Jackline alizungumza huku akisimama na macho yake yote amenitazama mimi.
“Ndio”
Jackline akashusha pumzi nyingi, nikaukaza kiganja changu nilicho mshia katika mkono wake wa kushoto na kuendelea kutembea naye, tukatoka nje kwenye maegesho ya magari.
“Gari lako ni lipi hapa?”
“Bado sijanunu gari”
“Khaaa, mshamba kweli wewe, miaka yote hiyo kazini ulikuwa unasubiria nini”
“Nimeanza kazi mwaka huu”
“Ok naomba simu yako”
Jackline akanipatia simu yake, nikampagia daktari mkuu. Nikamuomba funguo zake za gari na nikamuelekeza sehemu nilipo. Haukupita muda mrefu sana akafika sehemu tulipo, akanikabidhi funguo ya gari lake na yeye akarudi ndani.
“Mtoto wako ana umri gani gani”
“Chekechea”
“Erick jibu gani jamani hilo”
“Ingia kwenye gari bwana”
Tukaingia kwenye gari na kuondoka eneo hili huku Jackline akiwa na kazi ya kunielekeza njia za kupita hadi tukafika kwake.
“Unaishi na nani hapa?”
“Nipo peke yangu”
“Ndio umeamua kuchukau nyumba nzima peke yako”
“Si unafahamu kazi zetu hizi unatakiwa kufanya ukiwa peke yako, ukiishi na mtu ni lazima atafahamu kazi ya pili unayo ifanya”
“Ni kweli”
“Njoo kwenye hichi chumba”
Jackline alizungumza hukua kifungua chumba kimoja kati ya vyumba vitatu vilivyomo humu ndani. Tukaingia katika chumba hichi. Nikakuta Tv siza aina ya Flat screan inch 32, zikiwa zimebandikwa ukutani.
“Mativ yote haya ni ya nini?”
“Nina tumia katika kupata data zote za usalama kutoka sehemu mbali mbali ndani na nje ya nchi”
Jackline akafungua kabati moja lililo tengenezwa na chuma kigumu sana, nikaona bunduki kadhaa zikiwa zimening’nizwa katika eneo hili.
“Chagua bunduki ambayo unaweza kuitumia katika kazi yako”
“Umejuaje?”
“Nimejua tu, tangu ulipo nifundisha kulenga shabaha kipindi kile nimekuwa mtamu kama mcharo”
“Weee”
“Hata mtu atokeze kidole tu, mimi ninacho”
“Hahaa, sasa ninahitaji nikutajie namba za gari unisaidie kulitafuta”
“Nitajie”
Jackline alizungumza huku akiwasha compyuta yake iliyo tengenezwa na kampuni ya Apple. Ilipo waka nikamtajia namba ya gari ambalo ndilo walilo mchukua mwanangu.
“Satelaiti naona inatafuta namba hii”
“Itachukua muda gani?”
“Dakia moja mbili hivi”
“Sijui ni kwa nini baba yangu mimi na yeye hatupendani”
“Hampendani kivipi?”
“Baba yangu ananichukia kwa kweli, amekuwa ni mtu ambaye tukikutana basi chuki inatawala na leo amezungumza maneno ambayo kusema kweli yamenikatisha tamaa hata ya kumushimu.
“Maneno gani?”
“Ameniambia ni bora hata ningekufia huko nilipo kuwa”
“Weeee”
Trust me, hayo nimaneno yaliyo toka kinywani mwa mwanaume aliye weka mbegu zake kwenye tumbo la mama yangu na wala haonekani kunijali hata uhai wangu na kuja kwangu kwenye chuo cha NSS, nilifanywa kutekwa tu”
“Mmmm huo ni mtihani kwa kweli. Hujawahi kumfanyia kosa lolote baya?”
“Sijawahi kumfanyia kosa la yeye kunihukuku kwa maneno kwa kiasi hicho”
Sote tukaliona gari hilo kwenye computer hii, kwa haraka Jackline akaanza kuminya minya batani za hii computer
“Unatafuta nini?”
“Gari lipo Pwani, kwenye hii nyumba ya kifahari, na limefika hapo kama dakia hamsini zilizo pita”
“Unaweza kuonyesha picha za nyuma tangu gari hilo kufika hapo?”
“Yaa”
Jackline akendelea kiminya batani, haukupita muda mrefu, tukapata picha zilizo onyesha walinzi hao wa mama wakishuka na mwanagu Brian, picha hizi zikaonyesha walinzi hao wakipokelewa na muarabu mmoja.
“Hembu ikuze picha ya huyo muarabu”
Jackline akafanya kama nilivyo muagiza, picha ya muarabu huyu ndio mara yangu ya kwanza kuweza kumuona.
“Unaweza kutafuta habari zake huyu muarabu?”
“Ndio, dakika sifuri”
Ndani ya muda mchache Jackline akafanikiwa kupata taarifa ya huyu murabu.
“Mungu wangu”
Jackline alizungumza huku akistuka sana, macho yangu nikayatazama kwenye hii computer, jina la muharabu huyu anaitwa Jihad John, gaidi anaye tafutwa karibia dunia nzima kutokana na matukio yake ya mashabulizi katika nchi kubwa kama Uingereza, Ufaransa na Marekani.
“Ameingia Tanzania, jana usiku akitumia jina la mchungaji Lukas Martin, amekuja kwa lengo la kuhubiri injili”
“Injili gani hadi kwa mwanangu”
“Inabidi kuhwahi kwenda kumsaidia mwanao”
“Nitakuomba uweze kukaa hapa nitakwenda mwenyewe”
“Ila Erick unaonaje hili swala nikawashirikisha NSS?”
“Sihitaji NSS, waweze kujua hili swala kwa maana hakuna ninaye muamini. Na wewe ni mtu wa pekee tu ninaye weza kumuamini, na ninakuomba usivunje uaminifu wangu kwako. Nitakikata kichwa chako hicho sawa”
“Sawa. Sasa unataka kwenda na hizo nguo za hospitali”
“Nitapata wapi sasa nguo za kuvaa”
“Ngoja kuna nguo za kiume humu ndani”
Jackline alizungumza hukku akinyanyuuka kwneye kiti chake, tukatoka katika chumba hichi, na kuingia katika chumba chake cha kulala, akafungua begi lake la nguo na kutoa suruali yeusi pamoja na tisheti nyeusi. Kwa haraka nikavua nguo zangu mbele yake pasipo kumuonea aibu ya aina yoyote.
Nikazivaa nguo kwa haraka, akanipatia na raba za mazoezi. Nilipo hakikishakwamba nipo vizuri, tukatoka katika chumba chini, nikachukua bastola moja iliyo jaa risasi za kutosha, nikachukua magazine nne na kuziweka mfukoni.
“Utatumia hii simu kuwasiliana na mimi”
“Kuna namba humu?”
“Ndio kuna namba yangu tu, laini hiyo haijaunganishwa na mitandao ya NSS, kwa hiyo mazungumzo yangu mimi na wewe hakuna mtu ambaye anaweza kuyasikia”
“Shukrani”
“Erick kumbuka kwamba unaye kwenda kudili naye ni gaidi wa duniani, na ninahofia kwamba hujafunzu mafunzo na umetoka hospitali kulazwa, hili wewe unalionaje?”
“Ninacho kifanya ni kwa ajili ya mwanangu, ninakuomba unisaidie tu kuakikisha kwamba ninampata mwanangu”
“Sawa”
Jackline akanishika kwa nguvu kichwa changu na kunivutia kwenye mdomo wake na kuninyosha lipsi zangu jambo lililo nifanya nibaki nikimeshikwa na bumbuzi kwani sikutegema kwamba Jackline ana hisia za kimapenzi juu yangu
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
“Utatumia hii simu kuwasiliana na mimi”
“Kuna namba humu?”
“Ndio kuna namba yangu tu, laini hiyo haijaunganishwa na mitandao ya NSS, kwa hiyo mazungumzo yangu mimi na wewe hakuna mtu ambaye anaweza kuyasikia”
“Shukrani”
“Erick kumbuka kwamba unaye kwenda kudili naye ni gaidi wa duniani, na ninahofia kwamba hujafunzu mafunzo na umetoka hospitali kulazwa, hili wewe unalionaje?”
“Ninacho kifanya ni kwa ajili ya mwanangu, ninakuomba unisaidie tu kuakikisha kwamba ninampata mwanangu”
“Sawa”
Jackline akanishika kwa nguvu kichwa changu na kunivutia kwenye mdomo wake na kuninyosha lipsi zangu jambo lililo nifanya nibaki nikimeshikwa na bumbuzi kwani sikutegema kwamba Jackline ana hisia za kimapenzi juu yangu

ENDELEA
Taratibu Nikamuachia Jackline huku nikimshika mashavuni mwake.
“Huu sio muda sahihi wa mimi na wewe kufanya hivi”
“Ila Erick tangu tupo chuoni huwa ninamkuwa mtu wa kukuelezea hisia zangu ili…..”
“Shii muda sahihi ukifika kila jambo litakamilika, ninahitajika kuondoka sasa”
“Sawa nitakupa kila habari unayo ihitaji”
“Sawa”
Nikatoka nje na kuingia kweye gari, safari ya kuelekea mkoa wa Pwani eneo la Bagamoyo ikaanza. Njia nzima nikajitahidi kuhakikisha kwamba ninaendesha kwa kasi na kuweza kufika eneo hilo mapema iwezekanavyo.
“Jack unanipata?”
Nilizungumza huku nikiwa nimeivaa earphone masikioni mwangu niliyo iungananisha na simu aliyo nipatia Jackline.
“Ndio ninakupata”
“Hakuna mabadilko ya watu hao kuondoka katika eneo la tukio?”
“Hakuna, gari bado zipo pale pale”
“Make sure chochote kinacho tokea una nifahamisha”
“Sawa”
Kwa mwendo wa kasi ninao endesha barabarani kwa mara kadhaa nilijikuta nikifunga breki za gafla kuyakwepa matukio baadhi yanayo jitokeza barabarani ikiwemo raia kuvuka pasipo kuwa waangalifu.
“Erick kunja kushoto”
“Sawa”
“Utanyoosha moja kwa moja hadi utakapo kuta kona nyingine napo utakunja kushoto”
“Nimekupata”
Nikafanya kama alivyo niagiza Jackline, nikakunja kwenye kushoto nikaikuta nyumba ambayo ytuliiona kupitia satelaiti. Nikasimamisha gari langu pembeni, nikashuka na kutazama jumba hili lenye ukuta mrefu kwenda juu huku juu ya kuta hizi kukiwa kumezungushiwa nyaya za umeme ambazo sio rahisi kwa mtu kupita.
“Jacky”
“Beee”
“Unanisaidiaje kuingia ndani na geti limefungwa”
“Ni geti la ina gani, linalo tumia umeme au la kusukuma kawaida?”
“Ngoja nilisogele”
“Nikalisogelea taratibu, nikalichunguza na kugundua ni geti la umeme.
“Ni geti la umeme”
“Ok wait kidogo”
Haikuisha hata dakika moja geti likafunguliwa, taratibu nikaingia huku bastola yangu nikiwa nimeishika vizuri. Gari la watu walio mteka mwanangu Brian nikalikuta sehemu hii. Nikalisogelea ndani na wala sikukuta mtu wa aina yoyote. Ukimya ndani ya hili jumba kusema kweli unakaanza kunitisha.
“Jacky nipo ndani”
“Ninakuona, hapa ninajaribu kuangalia kama ndani ninaweza kuona wapo watu wangapi ila inashindikana kabisa”
“Usijali ninakwenda”
Nilizungumza huku nikikimbia hadi kwenye moja ya ukuta, nikajibanza kwa umakini sana huku nikitazama mlango wa kuingilia ndani ya hili jumba. Nikasogea hadi mlangoni, taratibu nikashika kitasa cha huu mlango na kuanza kuufungua. Nikachungulia ndani, cha kushangaza katika hii seble hakuna kitu hata kimoja, si kochi wala tv. Nikatazama ngazi zinzo pandisha gorofani, nikaanza kupanda kwa umakini sana hadi nikafika juu, nikaanza kufungua chumba kimoja baada ya kingine na wala sikuona kitu cha aina yoyote ikimaanisha kwamba nyumba hii ni mpya kabisa na wala haijaanza kutumiwa. Nikshuka chini kwa haraka na kuanza kukagua vyumba vya chini, napo sikukuta mabadiliko ya aina yoyote kwani napo hakuna kitu. Nikatoka nje na kuizunguka hii nyumba na pia sijakuta mtu wa aina yoyote. Nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia Jackline.
“Ndio Erick?”
“Sijakuta mtu wa aina yoyote kwenye hii nyumba”
“Ila mbona hakuna hata mtu mmoja aliye weza kutoka katika hilo eneo?”
“Kweli, kwa maana hata gari lililo tumika kumteka mwanangu lipo hapa”
“Sasa watakuwa wamekwenda wapi?”
“Hembu ngoja”
“Nini”
“Nitakupigia”
Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu, kwa haraka nikakimbilia ndani. Nikasimama katikati ya hii seble huku nikiangalia chini, sikuona alama yoyote ya sehemu iliyo kata ambayo inaweza kuniashiria kwamba kuna mlango wa kuelekea chini. Nikatazama juu ya hii seble nikaona kamera za ulinzi nne kila mmoja ikiwa inamulika upande wake. Kwa haraka nikatoa simu yangu mfukoni hata kabla sijampigia Jackline nikasikia sauti nzito nyuma yangu.
“Weka silaha yako pembeni na simu yako na nyoosha mikono yako juu”
Sikuwa na unja wa ina yoyote zaidi ya kufanya kama alicho niagiza mwanaume huyu.
“Ipige teke bastola yako isogee mbali”
Nikatii nilivyo elezwa huku mapigo ya moyo yakinienda mbio jambo lililo nifanya nizidi kujitahidi kuitoa hofu yangu kwenye moyo wangu.
“Geuka”
Nikageuka, nikakutana na mwanaume wa kiarabu mwenye ndevu yingi usoni mwake. Amevalia koti la jeshi huku chini akiwa amevalia suruali ya kitambaa pamoja na buti za jeshi. Mkononi mwake ameshika bunduki aina ya SMG. Akaanza kuzungumza kiarabu kupitia simu yake ya upepo. Mtu aliye wasiliana naye akamjibu kwa kiarabu jambo lililo nifanya nisielewe chochote kinacho endelea. Jasho jingi likaanza kunitiririka usoni mwangu huku mikono yangu niliyo inyoosha juu ikizidi kunitetemeka kwa woga mwingi sana.
“Pita hivi”
Mwanaume huyu alinimrisha, nikaanza kumfwata akanionyesha chumba kimoja cha kuingia ambacho kwa mara ya kwanza niliingia nikikuta hakina kitu ila kwa sasa nikekuta kikiwa na ngazi zinazo elekea chini. Nikaanza kushuka huku mwanaume huyu akinifwata kwa nyuma yangu.
Kelele za vyuma vinavyo gongwa gongwa, zikaanza kutawala masikioni mwangu. Nikazidi kushuka chini, nikakuta ukumbi mkubwa ulio jaa waarabu karibia ishirini wengine wakiwa wamevalia makoti meupe wakionekana ni madaktari ambao wanashuhulikia kutengeneza kutu fulani ambacho kwa mara ya kwanza sikuweza kukifahamu. Watu wenye asili ya kiafrika humu ndani wapo wawili tu, ambao nao ni walinzi wa mama ambao ndio walio mteka mtoto wangu.
Mwanaume huyu akanipeleka hadi kwa gaidi ambaye ndio nilimuona kupitia sateleit anaye itwa John Jihad.
“Mkuu huyu hapa”
John Jihad akageuka taratibu na kunitazama usoni mwangu. Akatabasamu kidogo huku akinikazia macho yake yanayo onekena hana huruma kabisa, ila vazi alilo livaa ni vazi la kichungaji na kwenye shingo yake lina kola ya nyeupe.
“Wewe ni nani?”
John Jihad alizungumza kwa sauti ndogo na iliyo jaa upole mkubwa sana ambao kusema kweli wala huwezi kumdhania kwamba ni gaidi mkubwa anaye tafutwa na Uingereza kila kukicha.
“Ninaitwa Erick”
“Ohoo bwana Erick, wewe ni mpelelezi?”
Nikatazama hili eneo, sikuona dalili ya kumuona mwanangu Brian, nikastukia kofi zito likatua shuvuni mwangu upande wa kulia lililo nifanya niyumbe kiasi, nikataka kuanguka ila nikajikuta nikidakwa kwa nyuma.
“Huwa ninapenda ninapo zungumza na watoto wa kristo kama wewe munisikilize na usiangalie angalie pembeni sawa kijana”
John Jihad alizungumza kwa sauti ya upole ambayo sikutegemea kama ndio yeye aliye nipiga kofi zito namna hii.
“Mimi sio…sio…sio mpelelezi”
Nilizungumza kwa kigugumizi huku nikijitahidi sana kumeza mate yangu kwenye koo langu yaliyo poteza mawasiliano kutoka mdomoni na kuingia kwenye koo langu.
“Ila umefwata nini kijana mzuri katika bwana”
“Nimemfwata mwanangu”
John Jihad akawatazama walinzi walio mteka mwanangu Brian. Kwa ishara akamuita mmoja wao, kwa haraka jamaa huyu akafika katika eneo hili tulilo simama.
“Hii ni nini?”
“Sijaelewa mkuu?”
“Huyu anadai kwamba amekuja kumchukua mwanaye ilikuwaje?”
“Hata mimi sielewi mkuu”
“Huelewi eheee?”
“Kweli mkuu sijaelewa imekuwaje”
Mlio wa bastola na kishindo cha jamaa huyu kuanguka chini kikatufanya watu wote tuliopo katika hili eneo kustuka, woga ukazidi kunitawala, mapigo ya moyo yakazidi kunienda kasi kwa maana huyu jamaa ana sura ya upole, ila ana roho ya kigaidi ambayo kusema kweli inaniogopesa sana kwani sifahamu ni kitu gani kinaweza kunitokea mbele yangu.
“Safisheni hapa na huyu mfungeni, na kazi iendelee”
“Sawa mkuu”
Nikashikwa na watu wawili wakaniingiza kwenye moja ya chumba na kunifungia. Nikajikuta nikijutia ni kwa nini nimekuja peke yangu kumtafuta mwanangu. Kazi yangu iliyo baki nikaanza kuhakikisha kwamba nina sali sala zote ambazo ninazifahamu mimi mwenyewe ili utokee japo muujiza wa mwenyezi Mungu ili niweze kutoka mikononi mwa hawa magaidi.
Masaa yakazidi kwenda mbele pasipo kusikia kitu chochote kinacho endelea, ubaya katika hichi chumba nilicho fungiwa hakuna dirisha na wake ni chuma. Nikiwa katika dibwi kubwa la mawazo nikasikia kitasa kwa nje kikitingishwa, hazikupita sekunde nyingi mlango ukafunguliwa na akaingia Jihad John akiwa ameongozana na Brian huku nyuma yake kukiwa na walinzi wawili.
“Brian unamjua huyu?”
“Mmmm ni anko Erick”
“Ohoo anko Erick”
“Ndio”
“Basi tuondoke badae tutarudi kumuangalia anko Erick ehee”
“Brian”
Nilimuita mwanangu na kumfanya ageuke na kunitazama, hata Jihad John naye akageuka na kunitazama.
“Ninakupenda”
Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga kwa maana hakuna jinsi yoyote inayo weza kunifanya nikweze kutoka mikononi mwa gaidi huyu. Brian akatabasamu kisha Jihad John akamshika wakatoka katika chumba hichi pamojana watu wake na mlango ukafungwa.
Baada ya nusu saa mlango ukafunguliwa na nikatolewa nje ya chumba hichi na wanajeshi wakiarabu. Moja kwa moja nikapelekwa hadi kwenye ofisi ya Jihad John, mazingira ya hii ofisi unaweza kusema ni mchungaji mwema sana na mwenye mapenzi bora na wana kondoo wake.
“Kaa hapo bwana Erick”
Watu wake wakanikalisha kwenye kiti kilichopo pembezoni mwa meza yake. Akawaruhusu walinzi wake kuondoka katika chumba changu.
“Erick mume fanana sanana mwanao Brian”
“Yupo wapi mwanangu?”
“Mwanao atakuwa salama pale tu utakapo tuhakikishia kwamba unaifanya kazi yetu”
“Kazi gani”
Jihad John akanyanyuka, akanisogelea karibu yangu na kunishika begani mwangu, akanipiga piga begani mwangu kama mara nne kisha akashusha pumzi na kuikunja mkono yake.
“Kwa jina ninaitwa John, ila watu wengi wamezoea kuniita John Jihad. Ninaamini kwamba jina langu sio ngeni sana kwenye masikio yako”
“Ndio ninakufahamu wewe ni gaidi”
Nilizungumza kwa hasira huku nikiyakaza meno yangu kwa nguvu sana.
“Kweli kijana, mimi ni gaidi tena gaidi mkubwa sana. Unaweza kugundua kwamba jambo la kudhuhulu mtu nafsi yake kwangu mimi ni jambo dogo sana ambalo ni sawa nikazima mshumaa kwa kuupuliza. Hivyo basi, kazi yangu iliyo nilete Tanzania ni kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanikiwi”
“Una maana gani?”
“Maana yangu ni kubwa na pia ni ndogo. Moja ninahitaji kuona Tanzania inapata kiongozi ambaye atasikiliza amri yangu, kiongozi ambaye atakuwa pamoja na mimi kwa kila jambo ambalo nitamueleza”
“Sasa mimi katika hilo nitafanya nini?”
“Hapo ndipo ninapo pahitaji. Kesho kutakuwa na mkutano wa kampeni katika viwanja vya jangwani hapa Dar es Salaam, kuna kiongozi anaitwa Almeida, anaonekana anapendwa sana na wananchi, na endapo ataingia madarakani basi kuna mambo mengi atayazuia kwenye mipango yangu ya kuitengeneza Tanzania mpya”
“Ni nini unacho kihitaji kutoka kwangu?”
“Ninahitaji umuue yeye pamoja na maelefu ya wafuasi wake watakao kuja kesho katika viwanja vya jwangwani”
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi huku nikiwa na wasiwasi mwingi sana.
“Najua ni ngumu sana kwako, ila unatakiwa kuchagua. Baba au mtoto aweze kufaa, ninakupa muda wa kulifikiria hilo, na ukishindwa basi nitamuua hadi mama yako aliye lazwa hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya mstuko”
Jihad John alizungumza huku akitabasamu, ila kwa upande wangu, nguvu hata za kunyanyua mdomo kumjibu zote zimeniishia na kujikuta nikibaki nimetulia nikitazama sehemu moja kama zezeta aliyopo katika hospitali ya walemavu wa akili Mirembe.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
“Ni nini unacho kihitaji kutoka kwangu?”
“Ninahitaji umuue yeye pamoja na maelefu ya wafuasi wake watakao kuja kesho katika viwanja vya jwangwani”
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi huku nikiwa na wasiwasi mwingi sana.
“Najua ni ngumu sana kwako, ila unatakiwa kuchagua. Baba au mtoto nani aweze kufaa, ninakupa muda wa kulifikiria hilo, na ukishindwa basi nitamuua hadi mama yako aliye lazwa hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya mstuko”
Jihad John alizungumza huku akitabasamu, ila kwa upande wangu, nguvu hata za kunyanyua mdomo kumjibu zote zimeniishia na kujikuta nikibaki nimetulia nikitazama sehemu moja kama zezeta aliyopo katika hospitali ya walemavu wa akili Mirembe.

ENDELEA
“Hei”
Jihad John aliniita kwa ukali na kunifanya nistuke na kumuangalia usoni mwake huku nikishusha pumzi nyingi sana kwa wasiwasi mwingi.
“Nasubiri jibu lako. La sivyo vijana wangu wataifanya hiyo kazi na kila kitu katika masha yako kitabadilika kama bendera inavyo fwata upepe”
Nikameza fumba jingi la mate kisha nikamtazama Jihad John.
“Mimi nina pesa nyingi tu, tafadhali ninakuomba useme ni kiasi gani cha pesa ninaweza kukupa ili mradi hili swala lisiweze kut…..”
“Pumbavuuu wewe, mimi kilicho niteleta Tanzania sio pesa ni kuifanya kazi yangu na kuondoka”
Jihad John alizungumza kwa hasira huku akiwa amenikazia macho usoni mwangu. Mwili mzima ukaanza kunitetemeka kwa maana kitu kuua tena halaiki ya watu kwenye maisha yangu sijawahi kukifikiria kabisa. Jihad John akatoa simu yake ya mfukoni, akaminya minya namba kadhaa kisha akaiweka sikioni mwake.
“Waleteni”
Jihad John alizungumza kwa msisitizo huku akiendelea kunikazia macho, haukupita muda mrefu mlango ukafunguliwa, sikuamini macho yangu kumuona Zari pamoja na Brian wakiingia ndani ya hii ofisi.
“ERICK!!”
Zari aliniita huku akiwa amejawa na furaha kubwa, japo sote tupo chini ya ulinzi mkali wa hawa waarabu. Sikuweza kabisa kutabasamu wala kumjibu Zari, macho yangu yakendelea kumtazama Brian mwangu, machozi yakaanza kunilenga lenga.
“Erick fanya maamuzi haraka la sivyo ninaanza na mke wako”
Jihad John alizungumza huku akitoa bastola yake, akamnyooshea Zari bastola ya kichwa.
“Nafanya nafanya, ila ninawaomba umuachie Brian na Zari tafadhali”
“Tutawaachia kazi ikisha isha sawa”
“Sawa”
“Watoeni hapa”
Wanaume walio muingiza hapa Zari na Brian wakawatoa kwa nguvu huku Zari akiniita jina langu akionekana haamini kwa ki kile ambacho anakiona kwenye maisha yake kwa maana anatambua kwamba mimi nilsha kufa.
“Nitaifanya hii kazi ila mke wangu ninakuomba mke wangu awe salama”
“Ninakuahidi, mwanao na mke wako watakuwa salama”
“Sawa sawa”
Vijana wawili wa Jihad John wakanichukua na kunipeleka katika chumba nilichokuwa nipo. Mawazo mengi yakazidi kunitawala kichwa changu hadi yakapelekea hatua ya kukifanya kichwa changu kuanza kuuma sana. Nikaletewa chakula, wali maharage, ila sikuweza kabisa kula kwani ninafikiria roho za maelfu ya watu watakao kusanyika katika kiwanja cha Jangwani kwa ajili ya kusikiliza sera za baba. Nikamrudia Mungu wangu na kumuomba kwamba aweze kuniepusha kwa hili jambo ambalo linataka kujitokeza, nikajikuta nikipiga magoti chini na kuendelea kumuomba Mungu huku machozi yakinimwagika usoni mwangu. Kutokana na kuchoka na wingi wa mawazo nikajikuta kijiusingizi kakianza kunipitia na kujikuta nikilala fofofo sakafuni.
Sauti ya komeo la mlango kufunguliwa, likanistua kutoka usingizini, taratibu nikanyanyuka kwenye sakafu hii, wakaingia vijana wawili wa kiarabu wakiwa na buduki mikononi mwao. Mmoja akanisogelea na kunishika, kwa jinsi alivyo nishika ninaweza kumdhibiti na kumpokonya bunduki yake ila tatizo linalo nisumbua ni kwamba sifahamu ni sehemu gani alipo Zari na Brian.
“Habari ya mchana bwana Erick”
Jihad John alizungumza huku akinitazama usoni mwangu
“Ipo wapi familia yangu?”
“Famili yako ipo salama kabisa”
“Ninahitaji kuifanya kabla sijaifanya hii kazi”
“Sawa”
Tukaondoka katika eneo hili, tukafika katika moja ya chumba, tukasimama kwa nje na kuangali ndani, kupitia kioo kikugwa kilicho tengenezwa nusu ya ukuta. Nikamuona Zari na Brian wakiwa wamekaa kwenye sofa huku wakitazama Tv. Brian ana furaha ya kutazama katuni wanao onekana kwenye hii Tv kubwa ila Zari amejawa na mawazo mengi sana hadi macho yake yamekuwa mekundu sana.
“Wao hawawezi kutuona sisi huku nje ila sisi tunawaona kama hivi”
Jihad John alizungumza huku akitabasamu, Zari taratibu akamvuta Brian na kumkumbatia na kuanza kulia. Kitendo hichi kikausisimua mwili wangu wote, nikazidi kuumia sana baada ya kumuona Brian akimfuta machozi mama yake na kumuomba asilie.
“Ninaombeni hayo mabomu”
Nilizungumza kwa hasira, Jihad John akatabasamu kwa dharau, kisha tukaanza kuondoka eneo hili, tukafika katika sehemu ambayo ndipo walipo madaktari hawa ambao kazi yao kubwa ni kutengeneza vitu ambavyo sivielewi kabisa.
“Mvueni nguo zake”
Jihad John aliwaamrisha watu wake ambao taratibu wakaanza kunivua nguo zangu zote na kubaki kama nilivyo zaliwa. Jamaa mmoja akalete nguo za polisi pamoja na viatu vya polisi.
“Vaaa”
Nikazitazama nguo hizi, taratibu nikaanza kuzivaa nikianza na suruali, nikataka kuvaa shati ila wakanizuia.
“Vaa viatu”
Jihad John alizungumza na kunifanya nimtazame kwa macho ya hasira, ila sikuwa na jinsi ya kufanya, taratibu nikainama na kuanza kuvaa kiatu kimoja baada ya kingine. Nikanyanyuka, nikawaona madaktari wawili wakinisogelea huku wakiwa na mkanda menene, mmoja akasimama nyuma yangu na mwingine akasimama nyumba yangu. Mkanda huu wakaupitisha tumboni mwangu na mmoja akaufunga kwa nguvu kwa nyuma.
“Ni mkanda wa nini?”
“Hilo ulilo livaa wewe ni bomu, utakapo jaribu kukimbia basi tutakulipua na utagawanyika vipande vipande. Vaa shati”
Nikachukua shati na kulivaa kwa haraka. Nilipo hakikisha kwamba nipo salama wakanikabizi kofia ya polisi. Wakaniletea begi jeusi na kunikabidhi.
“Kazi yako ni kulipeleka begi eneo la tukio, ukilifikisha hapo sisi tutajua cha kufanya, kumbuka una mke na mtoto, hakikisha kwamba ufanyi ujinga wa aina yoyote”
“Baada ya kumaliza kazi mke wangu na mwanangu, nitawapatia wapi?”
Jihad John akanipatia simu ndogo, nikaipokea na kuitazama vizuri.
“Ukimaliza kazi tu, nitakupigia ili uje sehemu ambayo unaweza kuichukua familia yako”
“Sawa”
“Kumbuka huruhusiwi kuufungua mzigo, endapo utaufungua, basi kati ya mwanao au mke wako mmoja wapo atakufa”
“Nimekuelewa”
“Hakikisha kwamba mzigo unauweka karibu kabisa na jukwaa la mgomea raisi bwana Almeida”
“Sawa”
Nikaongozana na vijana wawili wenye bunduki, tukatoka huku chini ya ardhi yalipo makazi yao. Kijana mmoja akabikabidhi funguo ya gari.
“Toka nje”
Alizungumza huku akisimama na bundiki yake amenielekezea mimi. Sikuwa na ubishi wa kufanya, nikazidi kusonga mbele hadi nikatoka nje. Nikakuta gari ina la Landrover yenye maadhishi meusi kwenye ubavu wa milango yake iliyo andikwa ‘POLISI’. Namba za usajili wa gari ni za jeshi la polisi huku kwa juu likiwa limefungwa kingora. Nikashusha pumzi nyingi na kuingia ndani ya gari hili, begi nikaliweka pembeni ya siti ya pili, nikawasha gari, taratibu nikaanza kuelekea getini. Kitendo cha kufika getini, geti likafunguka na nikatoka nje.
Safari ya kuelekea Jangwani ikaanza huku nikiwa na wasiwasi mwingi, ila kwa mtu wa kawaida akiniona wala hawezi kuelewa kwamba nina tatizo, ila kwa mtu anaye weza kusoma mtu kisaikolojia ni lazima aelewe kwamba nina tatizo kubwa sana.
Saa iliyopo ndani ya hili gari inanionyesha sasa hivi ni saa saba na robo mchana, kwa safari ya kutoka Bagamoyo hadi Dar es Salaam itanichukua masaa kadhaa. Nikazidi kusonga mbele huku kumbukumbu ya kitendo cha Brian kumfuta machozi mama yake kikazidi kunitawala kichwani mwangu jambo lililo nifanya nipoteze woga wa kuwaua maelfu ya watu watakao fika katika uwanja wa Jangwani kusikiliza kampeni za baba yangu.
Nikafanikiwa kufika jijini Dar es Salaam pasipo kuweza kustukiwa na askari wa usalama barabarnai nilio wapiti katika maeneo. Sikuchukua muda sana kufika katika viwanja vya Jangwani, ambapo nikakakuta wamama, watoto, vijana na wazee wengi walio valia tisheti za njano na kijani wakiwa wamajaa kwa wingi kiasi kwamba hata sehemu ya kukaa hakuna.
Watu katika uwanja huu wanatazama burudani za wasanii wa kizazi kipya, kabla ya kushuka kwenye gari langu, simu ikaita, nikaipokea na kuiweka sikioni.
“Hongera kwa kufika eneo la tukio, naamini huto niangusha”
“Ndio, nitafanya kama unavyo hitaji. Ila ninaomba kitu kimoja”
“Kitu gani?”
“Ninaomba nizungumze na Zari sasa hivi”
“Mmmmm……sawa”
Simu ikabaki hewani pasipo kukatwa, baada ya dakika moja nikaisikia sauti ya Zari.
“Haloo”
“Zari”
“Erick, mpenzi wangu”
Zari aliniita kwa sauti iliyo jaa majonzi.
“Muangalie Brian”
“Sawa”
“Ndio Erick endelea na kazi badae nitakupigia”
Baada ya Jihad John kuzungumza maneno hayo simu ikakatwa. Nikagegemea kwenye siti ya gari kwa dakika kama tano huku nikitazama furaha zilivyo tawala kwenywe kundi hili kubwa la watu. Wengi wao wana vibendera vidogo vya chama chao, wanavipeperusha kila pale wanapo ambiwa wanyooshe mikono yao juu na wasanii hawa.
Kioo cha gari langu kikagongwa kidogo na kujikuta nikikaa vizuri, nikamuona Jackline akiwa amevaa nguo nguo za kiaskari wanao tuliza ghasia. Nikashusha kioo cha gari langu kwa haraka huku nikimtazama usoni mwake.
“Hei”
Jackline akaniwekea kidole chake mdomoni akinizuia nizungumze, akaanza kunifungua vifungo vya shati langu, akautazama mkanda huu nilio valishwa tumboni kwangu, akachukua kisu kidogo cha kukunjua. Taratibu akaanza kuuchana mkanda huu, akanionyesha kidude kidogo sana kinacho fanania na betri ya saa.
Akatoa kwenye mfuko wake, kidude kingine kinacho fanania na hichi alicho nionyesha, kwa haraka sana akavibadilisha na kukiweka cha kwake, kisha akashusha pumzi nyingi huku akinitazama usoni mwangu.
“Pole”
Jackline alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Asante umejuaje haya yote”
“Tangu jana nilikuwa nikikutafuta, nimeshinda kwenye mitambo yangu kuhakikisha kwamba ninaweza kukupata, hadi leo saa sita mchana ndio nimefanikiwa kukupata”
“Umenipataje?”
“Niliweza kubadilisha mfumo wa kamera zao za ulinsi kuanzia juu hadi chini ya ardhi walipo, pia nimeweza kunyaka mawasiliano yao yote mulivyo kuwa mukizungumza mukiwa ndani ya lile jengo”
“Sasa kwenye hili begi kuna bomu”
“Bomu halipo ndani ya begi, bomu ulikuwa ni wewe, walikuchezea akili tu. Fungua hilo begi”
Nikalichukua begi hili na kulifungua ndani, sikuamini macho yangu baada ya kukuta vitabu vikubwa vikiwa vimepangwa vizuri, kwa kuzidi kuhakikisha kwamba hivi ni vitabu, nikaanza kutoa kitabu kimoja baada ya kingine huku nikivikung’uta kuangalia kama kuna bomu lolote au laa. Sikuona bomu lolole zaidi ya karatasi tu za vitabu hivi.
“Sasa hapa umebadilisha nini?”
“Hapa kilicho badilisha ni mfumo mzima wa wao kuweza kukulipua, walihitaji ukifika katika eneo la jukwaa basi wanakuangamiza na ungepoteza kila kitu”
“Wamemshikilia mwanangu na mama wa mwanangu”
“Kuna timu ilisha kaa tayari kwa kuvamia kwenye ile nyumba na tangu unatoka kule, timu ya NSS, walikua kule hapa wanasubiria kupata jibu kwamba upo salama.”
“Wajulishe basi waiokoe familia yangu”
“Sawa”
Jackline akatoa simu yake mfukoni na kuwapigia wezake anao fanya nao kazi.
“Hakikisheni munamuweka chini ya ulinzi Jihad John”
“Kazi njema”
Jacklien akakata simu yake na kunigeukia mimi. Akanivua mkanda walio nisha kiunoni mwangu.
“Hili swala ni nani anaye lifahamu?”
“Swala gani?”
“La mimi kuleta bomu hapa?”
Kitengo kizima wanafahamu, pia baba yako tuliweza kumfahamisha ndio maana amechelewa kufika uwanjani hadi sasa hivi”
“Baba yangu amesemaje?”
“Amehitaji kupata ripoti kutoka kwetu sisi, na ninaamini wakimtia mikononi Jihad John basi kila jambo litakwenda sawa sawa”
Nikaka kimya huku nikiifikiria familia yangu jinsi inavyo kwenda kukombolewa.
“Kuna gari la mawasiliano”
“Lipo”
“Tunaweza kwenda”
“Ndio”
Nikatoka kwenye gari hili la polisi na kulifunga kabisa, tukatoka pembezoni kidogo mwa uwanja. Tukaingia kwenye kontena lililo bebwa na gari kubwa ina ya Scania. Ndani yake kuna Tv nyinyi zinazo tumiwa na watu waliopo kitengo cha mawasiliano cha NSS.
“Oparesheni inakwendaje Omary”
Jackline alimuuliza kijana mmoja anaye minya minya batani za moja ya compyuta uliyopo humu ndani.
“Oparesheni bado haijaisha mkuu”
“Wamefikia wapi?”
Jackline alizungumza huku akichukua kidude kidogo cha mawasiliano na kukivaa sikioni mwake.
“Agent Jackline hapa, ninauliza mumefikia wapi?”
Jackline akanitazama usoni mwangu huku akisikiliza maelezo anayo patiwa na mtu anaye wasiliana naye. Taratibu Jackline akaanza kutabasamu jambo lililo nifanya nianze kufarijika kidogo moyoni mwangu.
“Kazi nzuri vijana”
Jackline akavua kifaa cha mawasiliano huku sura yake ikiwa imejawa na furaha kubwa sana na moyoni mwangu nikaanza kupata shauku ya kufahamu ni kitu gani kilicho tokea.
“Imekuwaje?”
“Mwanao na mama wa mwanao wapo salama”
“Ohoo asante Mungu, ninaweza kuwasiliana nao?”
“Yaaa. Omary mpigie simu kamanda Judith”
“Sawa mkuu”
Omary akapiga simu kwa kamanda huyo.
“Omary hapa bwana Erick anahitaji kuzungumza na familia yake”
“Erick simu hii hapa”
Nikachukua mkonga wa simu kwa haraka na kuuweka sikioni mwangu.
“Zari”
“Erick”
“Mupo salama”
“Ndio tupo salama na mtoto, wewe upo wapi?”
“Nipo Dar es Salaam kwa sasa, muwekee simu Brina, nataka kuzungumza naye”
“Anko Erick”
Sauti ya Brian ikanifanya kushusha pumzi nyingi sana huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana.
“Mambo”
“Poa, mama analia”
“Mpe simu mama”
“Erick siamini mume wangu kama upo hai, ninalia kwa furaha sijui hata nizungumze kitu gani”
“Usijali ukifika Dar es Salaam tutazungumza megi sana”
“Kweli mume wangu”
“Ndio, niamini”
“Ok tunakuja muda si mwingi”
Nikakata simu huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana. Jackline akanitazama na kunikonyeza huku huku akitabasamu. Gafla simu iliyopo mfukoni mwangu ikaanza kuita, nikaitoa kwa haraka huku mapigo ya moyo yakinienda mbio. Jackline akanitazama kwa ishara akaniomba niipokee.
“Naamini kuna huyu umesahau kuzungumza naye”
Niliisikia sauti ya Jihad John akizungumza kwenye simu hii, jambo lililo nifanya nizidi kuogopa.
“Haloo”
Nikaisikia sauti ya mama akizungumza kiunonyonge, jambo lililo nifanya nizidi kuchanganyikiwa na kuyafanya machozi yangu kuanza kunitoka machoni mwangu huku mikono yote miwili ikinitetemeka kwa waoga mwingi sana.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Nikakata simu huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana. Jackline akanitazama na kunikonyeza huku huku akitabasamu. Gafla simu iliyopo mfukoni mwangu ikaanza kuita, nikaitoa kwa haraka huku mapigo ya moyo yakinienda mbio. Jackline akanitazama kwa ishara akaniomba niipokee.
“Naamini kuna huyu umesahau kuzungumza naye”
Niliisikia sauti ya Jihad John akizungumza kwenye simu hii, jambo lililo nifanya nizidi kuogopa.
“Haloo”
Nikaisikia sauti ya mama akizungumza kiunonyonge, jambo lililo nifanya nizidi kuchanganyikiwa na kuyafanya machozi yangu kuanza kunitoka machoni mwangu huku mikono yote miwili ikinitetemeka kwa waoga mwingi sana.

ENDELEA
“Mama”
Niliita huku nikizidi kutetemeka, Jackline akanitazama usoni mwangu mwangu huku akiwa na shauku kubwa ya kuhitaji kufahamiu ni kitu gani kinacho endelea.
“Erick najua unatambu kwamba haupo mbali sana na uwanja wa Jangwani, hembu simama hapo ulipo na tazama kitu kinacho kwenda kutokea sasa hivi”
Niliisikia sauti ya Jihad John akizungumza, kwa haraka nikatembea hadi kwenye mlango hili kontena. Mlipuko mkubwa ukatokea katika uwanja waJangwani, kwa haraja Jacklie akatoka akiwa na vijana wengine kila mmoja akatazama moshi mwingu unao zidi kupanda juua kwa kasi. Kelele za watu zikazidi kusikika wakilia.
“Umeonaaa”
Niliisikia sauti ya Jihad John akizizungumza kwa dharau.
“Natambu baba yako hayupo hapo viwanjani ila kama unahitaji kumpata mama yako hakikisha kwamba unaniletea baba yako la sivyo mama yako nitamuua”
Simu ikakatwa na kujikuta taratibu nikikaa chini, Jackline akanitazama usoni mwangu, taratibu akanisogelea na kuichukua simu niliyo ishika mkononi mwangu.
“Fwatilia ni wapi hii namba inatokea wapi”
“Sawa mkuu”
“Erick kaa hapa, ngoja tukaangalie kilicho tokea huko”
Sikuweza hata kumjibu Jackline nikamuacha aondoke zake na nikabaki na vijana wengine huku nikitafakari ni kitu gani ambacho ninaweza kukifanya kwa muda huu. Nikazidi kuona wimbi la watu wakikimbia wakijitahidi kuokoa maisha yao kadri iwezekanavyo, wengi wa watu hawa ni vijana na wanaume wenye nguvu zao. Mamia ya wanawake na watoto nilio kuwa nimewaona katika uwanja siwaoni katika kukimbia huku.
‘Erick jitahidi’
Niliisikia sauti ikizungumza nami katika akili yangu. Taratibu nikajikuta nikinyanyuka, nikarudi sehemu alipo kaa Omary.
“Umefanikiwa kujua gaidi huyu anapiga simu kutoka wapi?”
“Hapana sijafanikiwa kuipata namba yake”
“Ninaomba uangalie uangalizi wa mwanangu na mke wangu watakapo fika hapa”
“Naamini watapelekwa makao makuu moja kwa moja”
“Unaamini ila huna uhakika katika hilo?”
“Ngoja niwasiliane nao”
“Nipatie bastola yako”
“Nini?”
“Nipatie bastola yako”
“Ila wewe sio NSS”
“Nimekuambia nipatie bastola yako sihitaji maelezo ziaidi”
Watu wote ndani ya kontena hili wakabaki wakiwa wananitazama. Omary akachomoa bastola yake kiunoni na kunipatia mimi. Kwa haraka nikaichukua simu ambayo alinipatia Jihad John, nikaiweka mfukoni na kutoka eneo hili kwa haraka na kukimbilia katika kiwanja cha Jangwani kulipo tokea tukio la mlipuko wa bomu.
Enao ambalo nililiacha gari langu, nikalikuta kiliwa limechimbika sana na hata gari langu nililo kuwa nalo limebaki mabati na vyuma. Maiti nyingi sana za wanawake na watoto wadogo nikaziona zikiwa zimelazwa chini huku watuwengine wakiwa wamekatika viungo vyao.
“Erick nifwate”
Jackline alizungumza huku akinishika mkono wangu kwenye bega, tukasogea kwenye moja ya gari la zima moto lililofika katika eneo hili.
“Erick lile gari ulilo kuja nalo ndio lilitegwa bomu lililo lipua watu wote hawa”
“Nini?”
“Huo ndio ukweli na askari wamesha anza kufanya uchunguzi na endapo utajulikana ni wewe basi hii kesi itakuangukilia wewe na hadi uje kujulikana sio wewe, basi ni kasi yetu kuweza kuwatafuta magaidi wote hao”
“Ni lazima niwatafute, kwa maana wamemshikilia mama”
“Wamemshikila mama!!?”
“Ndio na wanahitaji nimpeleke baba ili wanipe mama”
“Ohoo Mungu, sasa hapo umechukua maamuzi gani?”
“Ni bora kumtoa baba kuliko kumpoteza mama”
“Hapana, kumbuka kwamba baba yako ana nafasi nzuri ya kushinda uchaguzi huu, huwezi kumtoa yeye ikiwa mamilioni ya Watanzania wanampenda”
“Nina mpenda mama kuliko baba juu ya hili sinto weza kuacha damu ya mama yangu imwagike wakati haya yote baba yeye ndio ameyahitaji”
Jackline akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu.
“Kwa sasa ninahitaji kuweza kutambua ni wapi baba yangu alipo ninahitaki kuzungumza naye”
“Una uhakika na hicho unacho hitaji kukifanya?”
“Ndio nina uhakika huo, naomba unisaidie kumtafuta”
“Sawa”
Jackline akatoa simu yake mfukoni na kuanza kuminya minya baadhi ya batani kisha akaiweka sikioni.
“Agent Jackline kutoka NSS, nahitaji kuzungumza na muheshimiwa mgombea raisi”
“Muambie ni muhimu”
Jackline akaka kimya kidogo huku akinitazama uosni mwangu.
“Muheshimiwa mgombea uraisi bwana Almeida. Unazungumza na Jackline kutoka NSS”
“Nipo hapa na Erick Almeida mwanao anahitaji kuzungumza nawe”
Jackline akanipatia simu yake nikaichukua kwa haraka na kuiweka sikioni mwangu.
“Upo salama?”
Baba aliniuliza kwa sauti ya upole na ya unyonge sana.
“Ndio baba nipo salama, Brian na Zari wapo salama, ila kuna tatizo jengine ambalo ni kubwa zaidi”
“Lipi tena?”
“Wamemshikilia mama, na wamanipa muda mchache kuyaokoa maisha ya mama”
“Oooohooo Mungu wangu. Upo wapi kwa sasa?”
“Nipo Jangwani kwenye hivi viwanja”
“Fanya uje hapa Serena hoteli sasa hivi nina kusubiri”
“Sawa baba”
Nikakata simu na kumrudishia Jackline simu yake.
“Baba anahitaji twende kumuona Serena hoteli sasa hivi”
“Sawa twende tukachukue gari”
Tukarudi katika gari la mawasiliano. Sote tukaingia ndani na kuwakuta Omary na wezake wakiendelea na kazi ya kuhakikisha kwamba wainamarisha usalama kwa upande mzima wa mawasiliano.
“Umefanikiwa kumpata Jihad John?”
“Bado mkuu, namba yake imefungiwa na wala si ya nchi hii, japo akipiga inaonekanani ya nchi hii kwa mpokeaji?”
“Kwani hicho kitu kinawezekana?”
“Ndio kinawezekana hususani kwa watu wanao jua maswala ya mawasiliano”
“Familia yangu imeweza kufika makao makuu?”
“Ndio wamewasili dakika tano zilizo pita”
“Erick unaonaje tukawachukua na kwenda nao Serena?”
“Yaa itakuwa ni salama zaidi”
“Poa tuondoke, Omary hakikisha kwamba unampata Jihad John”
“Sawa mkuu”
Tukatoka kwenye gari hili, tukaingia kwenye gari jingine aina ya BMW X5, safari ya kuelekea yalipo makao makuu ya NSS ikaanza, hatukuchukua muda mrefu sana tukafanikiwa kufika maeneo ya posta. Tukashuka kwenye gari na kuingia katika lifti iliyo tupeleka hadi gorola namba kumi na tano kwenye ofisi za NSS(Nation Securty Service).
“Mumejitahidi ofisi zenu zipo vizuri”
“Shukrani”
Moja kwa moja tukaelekea hadi katika chumba walipo Zari na Brian. Wote kwa pamoja walipo niona wakanikimbilia na kunikumbatia kwa nguvu huku machozi yakimwagika Zari.
“Erick ninaogopa”
“Shiii usioogope kila kitu kinakwenda kuwa salama. Nimekuja kuwachukua wewe na Brina ninahitaji kuwapeleka sehemu salama”
“Wapi huko Erick wangu”
“Nitawaambi tukiingia kwenye gari”
Jackline akakutazama kwa sekunde kadhaa kisha akatoka nje ya chumba hichi, kwa haraka Zari akanishika mashavua yangu kwa viganja vyangu na kunaza kuninyonya midomo yangu huku akuiendelea kumwagikwa na machozi mengi usoni mwake.
“Ni wakati wa kuondoka sasa Zari”
“Sawa”
“Brina twende ukakae na babu ehee”
“Sawa, ameninunulia popcon?”
“Yaa utazikuta huko”
Tukatoka katika chumba hichi, nikamkuta Zari akizungumza na kundi la vijana kama watano walio valia mavazi ya kazil huku mikononi mwao wakiwa na silaha.
“Tayari?”
“Ndio”
“Tuondokeni”
Vijana hawa wakatuweka kati, mimi na Zari huku Brian nikiwa nimembeba kwa mkono mmoja. Tukaingia kwenye lifti na taratibu tukaanza kushuka chini, kwa mara kadhaa nikamuona Jackline anavyo nitazama kwa macho ya kuiba iba. Tukafika chini na kuingia kwenye gari letu huku vijana hawa wakingii kwenye hari mbili tofati. Moja ikatanglia mbele yetu huku nyingine ikitufwata kwa nyuma na gazi zote zikaanza kupiga ving’ora.
“Wifi habari yako”
Jackline alizungumza huku akiendelea kuendesha gari hili tulilo panda.
“Si salama kusema kweli”
“Yaa natambua hilo, ila matatizo haya yote yataisha”
“Yaani sina amani kabisa Erick, siku imeanza vibaya ila hadi sas hivi inakwenda vibaya jamani”
“Usiwe na wasiwasi, utamtisha na mtoto”
“Zari mimi ni rafiki wa Erick nilikuwa naye kipindi chote hicho alipokuwa haonekani”
“Ahaa sawa sawa mimi ndio mke wake. Unaitwa nani?”
“Ninaitwa Jackline”
“Nashukuru kukufahamu”
Tukafanikiwa kufika Serena hoteli salama salimi. Tukashuka kwenye magari huku vijana wa Jackline wakisimama na kuimarisha ulinzi katika eneo hili. Tukapolekewa na mzee aliye jitambulisha kwamba ni mshauri mkuu wa baba. Moja kwa moja tukaingia kwenye lifti iliyo tupeleka hadi gorofa ya mwisho. Kwenye goroa hii kuna ulinzi mkali sana ambao kidogo ukanipa amani kwamba familia yangu inaweza kuwa salama kwa wakati huu.
“Karibuni”
Baba alizungumza kwa busara huku akinyanyuka kwenye sofa aliko kalia. Akamchukua Brian kutoka mikononi mwangu na kunikumbatia kidogo, kisha akamkumbatia na Zari. Akampatia mkono Jackline na wakasalimiana.
“Nashukuru kwa kuweza kuileta familia yangu salama eneo hili”
“Ndio kazi yangu muheshimiwa Almeida”
“Zari naomba umchukue Brian, mutaingia pale mupumzike”
“Sawa baba”
“Babu popcon zangu zipo wapi?”
“Ohoo dada atakueleta hapo”
“Sawa babu”
Zari na Brian wakaondoka, nikaingia kwenye chumba cha ofisi tukikwa watu wanne, baba na mshauri wake wakaka kwenye viti vilivyo karibiana katika hii meza kubu huku mimi na Jackline tukikaa kwenye viti vya kutazamana na katikati yetu tumetenganishwa na hii meza.
“Nipe maelekezo ni nini kinacho hitajika?”
“Magaidi ambao wanahusika na ulipuajia na utekwaji wa familia yetu nzima anaitwa Jihad John”
“Jihad John, huyu si gaidi wa kimataifa?”
“Ndio ni gaidi wa kimataifa”
“Sasa anafanya nini Tanzania, na imekuwaje anajaribu kunisitisha katika kasi yangu ya kuichukua nchi?”
“Katika maelezo yake alivyo kuwa amenikamata amesema kwamba wanahitaji kukuaa, hilo ni moja mbili wao wametumwa kuifanya hiyo kazi kwa maana wanasema kwamba ukiichukua hii nchi basi huto weza kufwata matakwa yao, sasa ili kukuzuia ni lazima wakuangamize”
Nikamuona baba jinsi anavyo anza kutetemeka, taratibu akaivua miwani aliyo ivaa, akajikuna kichwa chake mara kadhaa, sote tukabaki tunamtazama.
“Muheshimiwa, hili swala lipo serious sana, inabidi tuombe nguvu ya ziana kutoka serikalini, la sivyo maisha yako tanaweza kufupishwa muda wowote”
“Nimekuelewa Hery, ila nitahakikisha kwamba hakuna mtu anaye weza kuishika ichi hii zaidi yangu, watanzania wao ndio wananihitaji, kama wanashindwa kuiba kura na kuyaka kuitoa roho yangu, basi nitahakikisha kwamba hakuna mpango wao unakwenda kufanikiwa”
“Ila baba utambue kwamba mama ameshikiliwa na wanakuhitaji wewe nikupe…..”
Nikajikuta nikikatisha mazungumzo yangu kutokana na mlio wa simu inayo ita mfukoni mwangu, nikaitoa simu na kuishika mkononi mwangu.
“Weka loudspeaker”
Jackline alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikafanya hivyo na kuiweka loudspeaker”
“Haloo Erick, natambua kwamba kwa sasa upo na baba yako, una dakika tano za kuweza kufanya maamuzi kati ya mama au baba ni nani unaye muhitaji aweze kufa katika mikono yangu. Kumbuka hili swala ukiendelea kuwashirikisha watu, ndivyo jinsi nitakavyo zidi kuwaua watu wengi”
“Unataka nimlete baba yangu sehemu gani?”
“Jadilianeni, baada ya hapo nitakupigia baada ya dakika hizo tano na nitakuambia ni wapi umlete, kumbuka jinsi unavyo zidi kuwashikisha watu hili swala basi ndivyo jinsi damu za watu zitakavyo zidi kumwagika kwa uzembe wako”
Simu ikakatwa sote tukajikuta tukishusha pumzi. Jackline akasimama taratibu akaanza kutembea kuelekea kwenye moja ya kioo kilichopo katika hii ofisi. Akafungua pazia taratibu, sote tukajikuta tukistuka baada ya kukuta bomu likiwa limetegwa limebandikwa kwenye hii ofisi huku dakika zake taratibu zikizidi kushuka chini kwa kasi jambo lililo mfanya baba kuzidi kutetemeka huku jasho lizidi kumwagika usoni mwake. Tukiwa katika taharuki hii gafla taa zote katika eneo hili zikazima, na king’ora cha hatari kikaanza kulia kwa nguvu na kujikuta nikizidi kuchangayikiwa nisijue nianze kumuokoa baba au Zari na mwanangu
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Simu ikakatwa sote tukajikuta tukishusha pumzi. Jackline akasimama taratibu akaanza kutembea kuelekea kwenye moja ya kioo kilichopo katika hii ofisi. Akafungua pazia taratibu, sote tukajikuta tukistuka baada ya kukuta bomu likiwa limetegwa limebandikwa kwenye hii ofisi huku dakika zake taratibu zikizidi kushuka chini kwa kasi jambo lililo mfanya baba kuzidi kutetemeka huku jasho lizidi kumwagika usoni mwake. Tukiwa katika taharuki hii gafla taa zote katika eneo hili zikazima, na king’ora cha hatari kikaanza kulia kwa nguvu na kujikuta nikizidi kuchangayikiwa nisijue nianze kumuokoa baba au Zari na mwanangu

ENDELEA
“Muheshimiwa ninakuomba uongozane na mimi”
Jackline alizungumza huku akirudi sehemu alipo kaa baba. Kwa haraka nikatoka katika chumba hichi na kwenda katika chumba alichopo Zari na Brian.
”Erick mume wangu ni kitu gani kinacho endelea”
“Sijafahamu ni kitu gani kinacho endelea, ila tuongozane, Brian njoo”
Nikanyanyua Brian na kutoka nuku mkono mmoja ukishika bastola yangu. Nikamuona baba akiwa amezungukwa na walinzi wake wakielekea nje huku Jackline akiongoza msafara huo wanao mlinda baba.
“Zari mbebebe Brian”
Nilizungumza huku nikimkabidhi Zari mtoto, nikaishika bastola yangu vizuri huku nikiwa nimetoke kwenye kordo hii ndefu, sikutaka kutumia lifti kutokana sijui ni jambo gani linalo endeleka katika swala zima la umeme. Zari hakuondoka nyuma yangu kabisa zaidi ya kujibanza banza mgoni mwangu huku tukiwa na mtoto wetu. Nikafika kwenye mlango wa kushukia kwenye ngazi, nikaufungua taratibu na kuchungulia chini. Sikuona dalili yoyote ya mtu kupanda japo kuna giza, ila ninaweza kuona mita chache mbele yangu.
“Twende”
Tukaanza kushuka kwenye ngazi hizi kwa umakini sana, hapakuwa na mtu ambaye anamsemesha mwenzake, umakini wangu kwa sasa ni kumtoa Zari na mwanangu katika jengo hili la hii hoteli ya kifahari. Tukazidi kushu kwenye ngazi hadi tukafanikiwa kufika chini kabisa. Nikachungulia nje, tayari giza lilisha anza kutawala wingu, nje kuna usalama mkubwa wa jeshi pamoja na askari kutoka NSS, na askari wa jeshi la Polisi.
“Kuna nini nje Erick”
“Askari twendeni”
Nilizungumza huku bastola yangu nikiichomeka kiunoni mwangu. Nikamchukua Brian na kumbeba, tukatoka hadi kwenye moja ya gari la NSS.
“Muheshimiwa yupo wapi?”
Nilimuuliza mmoja wa askari, akanitazama kwa umakini kisha akanijibu.
“Amesha ondolewa eneo hili”
“Mume mpeleka wapi?”
“Siwezi kukuambia kwa maana huna kitambulisho chochote kinacho kuhusisha naye”
“Kama hata kusoma hujui sura huioni kama huyo ninaye muulizia hapa ni baba yangu”
“Hilo sio jambo la muhimu kuweza kulifahamu, asante”
“Kaka samahani, yule aliye ondoka ni baba yangu mke na huyu ni mwanangu. Ninakuomba kama unajua niambie ni wapi alipo kwenda, tazama huyu pia ni mjukuu wake”
Zari alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Askari huyu akatutazama kwenye nyuso zetu kwa mara kadhaa huku akionekana kujishauri kichwani mwake.
“Muheshimiwa amepelekwa kwenye kambi ya jeshi”
“Wapi?”
“Sijafahamu na kuanzia sasa uangalizi wake utakuwa chini ya jeshi”
“Shukrani, unaweza kutusaidia gari”
“Unahitaji kwenda wapi?”
“Hii ni familia ya muheshimiwa ninahitaji kuhakikisha kwamba inakuwa salama”
“Njooni”
Tukaongozana na askari huyu akafungua gari moja na kuingia upande wa dereva na kutuomba tuingie ndani ya gari. Nikasita kidogo huku nikimtazama usoni mwake kwa maana hadi muda huu siwezi kumuamini mtu yoyote.
“Erick tuingie”
“Poa”
Zari na Brian wakaingia siti ya nyuma kisha mimi nikapanda na kukaa siti ya mbele.
“Tunaelekea wapi?”
“Masaki”
“Sawa”
Askari huyu akageuza gari na kuliweka sawa, safari ya kuelekea Masaki ikaanza, ila macho yangu yote yanamchunguza kwa umakini sana. Katika shingo yake upande wa nyuma nikaona mchoro wa tattoo ukiwa umetokelezea, jambo ambalo kwa nchi yetu ya Tanzania, askari hawaruhusiwi kabisa kuchora miili yako. Taratibu nikajikuta nikianza kuichoa bastola yangu.
“Tunaelekea masaki sehemu gani?”
Askari huyu alituuliza huku akipunguza mwendo wa gari ili kukunja kona. Sikuwa na jinsi zaidi ya kunyooshea bastola yangu.
“Simamisha gari taratibu?”
“Unafanya nini?”
Askari huyu aliniuliza huku akitumbulia mimacho.
“Nimekuambia simamisha gari kabla sijakutumbua ubongo wako”
“Ok ok”
Askari huyu taratibu akasimamisha gari, nikaichomoa pingu aliyo ifunga kiunoni mwake.
“Nyoosha mikono yako kwenye mskani”
Askari huyu akatii, nikaifunga mikono yake yote miwili kwa pingu, Zari na Brian wakabaki wakinishangaa tu. Nikamshusha kola ya shato lake askari huyu, sikuamini macho yangu baada ya kuona mchoro wa tattoo ambao unafanania kabisa na michoro ambayo nimeiona kwa wafusi Jihad John., nikamchomoa bastola yake aliyo ichomea kiunoni mwake, kisha nikampatia Zari.
“Akikugeukia mpige risasi sawa”
“Sawa”
Taratibu nikaufungua mlango wa pande wangu na kushuka huku nikiwa nimeielekezea bastola yangu kwa askari huyu ambaye kwa sasa ni adui na moja kwa moja nimesha tambua kwamba anauhusika na Jihad John. Nilipo hakikisha kwamba nimefika kwenye mlango wake nikautoa. Gafla askari huyu akanirukia na kuniangusha chini, na bastola yangu ikaangukia chini ya gari, askari huyu akanipiga kichwa cha usono kilicho nifanya nione mawenge kadhaa, nikamuona akinyanyuka kwa haraka akajaribu kukimbia. Mlio wa risasi ukaendana na askari huyu kuanguka chini hata kabla hajafikia mbali nami. Nikamuona Zari akiwa anatetemeka mwili mzima huku ameishika bastoka niliyo kuwa nimempa.
Nikanyanyuka kwa haraka na kumshika Zari mikono yake, wananchi walipo karibu na eneo lote wote wakaanza kutimua mbio, kitu kinacho nisaidia hata mavazi yangu kwa hawa wananchi ni mavazi ya uaskari niliyo yavaa.
“Rudi ndani ya gari”
Nilizungumza huku nikimrudisha Zari ndani ya gari ambaye hadi sasa hivi amshikwa na bumbuazi. Nikaufunga mlango, kisha nikaanza kumsogelea askri huyu kwa umakini mkubwa. Nikafanikiwa kumfikia, nikamkuta akijaribu kumeza kidogo ambacho mara nyingi huwa ni cha sumu. Kwa haraka nikamuwahi mkono wake, wa kulio ulio shika kidoge hichi cha sumu. Askari huyu akaendelea kukishikilia kidonge chake ili akimeze, nikamvunja vidole vyake na kumfanya akiachie kidoge hichi huku akipiga mayowe mengi ya maumivu. Nikamnyanyua kwa nguvu huku jeraha alilo pigwa risasi kwenye mguu wake likiendelea kivuja damu.
“Hamieni siti ya mbele”
“Sawa”
Zari akahamia siti ya mbele kisha akamchukua Brian ambaye muda wote amekaa kimya pasipo kuzungumza jambo lolote.
“Ukilete ujinga nitakuua”
Nilizungumza huku nikinyooshea askari huyu bastola ya kichwa, nikaufunga mlango wa gari, nikainama chini na kutoa bastola yangu iliyo anguka na safari ikaendelea. Tukafika katika jumba la dokta Benjamini, nikashuka kwenye gari na kusimama sehemu yenye kamera, nikaminya batani.
“Erick”
Niliisikia sauti ya Cesilia kwenye spika ndogo iliyopo hapa getini.
“Ndio”
Geti taratibu likafunguliwa, nikarudi kwenye gari na kuliingiza ndani. Nikalisimamisha gari eneo la maegesho.
“Musishuke hadi niwaambie”
“Sawa”
Nikashuka huku nikiangalia geti linavyo malizika kujifunga. Cesilia akatoka huku akiwa amevalia suruali iliyo mbana sana mapaja yake, akanishangaa nikiwa nimevaa mavazi ya askari.
“Wewe si upo hospitalini vipi na hayo mavazi ya uaskari!!?”
“Cesilia ninaomba msaada wako, hapa nilipo nipo na familia yangu, ninamini kwamba utakuwa unasikia hali ya nchi inavyo endelea huko nje”
“Yaa nimeangali kwenye vyombo vya habari nimesikia kwamba watu zaidi ya mia sita wamekufa Jangwani kwa shambulizi la bomu”
“Nashukuru kwa kulifahamu hilo, sasa ninakuomba mama wa mwanangu na mwanangu wakae hapa kwako kwa muda huu kisha mimi kuna mambo ninahitaji kuyashuhulikia”
“Sawa waambie washuke tu kwenye gari”
Nikapiga hatua hadi kwenye gari, nikaufungua mlango Zari na Brian wakashuka, wakasalimiana na Cesilia aliye jawa na furaha kubwa sana.
“Anaitwa Zari au mama Brian na huyu anaitwa Cesilia ni mke wa baba yanu mlezi”
“Nashukuru kuwafahamu”
“Cesilia ninakuamini sana ninakuomba ukae na familia yangu, ninakuomba uiangalie”
“Usijali hawa wamefika hakuna baya litakalo wapata”
“Zari muangalie mtoto”
“Wewe unakwenda wapi Erick?”
“Hii kazi bado haijaisha, ninahitaji kuimalizia hii kazi”
“Sawa kuwa makini Erick”
“Usijali”
Zari akanisogelea na kunibusu mdomoni mwangu, nikachuchumaa na kumbusu Brian kwenye paji la uso wake.
“Brian”
“Naaam”
“Mlinde mama dady ninakwenda kazini”
“Sawa anko”
Nikanyanyuka, nikamtazama Cesilia usoni mwake.
“Kila jambo litakwenda vizuri wala usijali Erick”
“Sawa baba yupo?”
“Hayupo, anahudumia majeruhi huko”
“Basi hakuna tabu”
Nikarudi kwenye gari, nikamfungua na kuingia ndani, nimatazama askari huyu hiliye mfunga pigu za mikononi huku jeraha lake likidi kumwaga damu. Nikawasha gari na kuligeuza taratibu tukaanza kuelekea getini, kwa kioo cha pembeni nikamuona Cesilia na Zari pamoja na Brian wakiingia ndani. Hazikupita sekunde nyingi tangu nisimame getini hapa, mlango ukafunguka, taratibu nikatoka katika jumba hili la kifahari nilipo iacha familia yangu. Nikaanza kuendesha gari langu hadi maeneo ya baharini, nikashuka kwenye gari huku nikiwa nimeishika bastola yangu, nikamtoa askari huyu ambaye anaoeneka kulegea kutokana na kupoteza damu nyingi. Nikamkalisha nyuma ya gari, nikatazama katika hili eneo sikuona watu kutokana na giza kali linalo tawala katika hili eneo.
“Ukinijibu maswali yangu, basi nitakuacha hai, ila ukikaa kimya basi utaniaelewa kwamba mimi ni mtu wa aina gani”
“Niue ila siwezi kusema chochote”
“Etii ehee”
Nikaikandamiza bastola yake kwenye paja lisilo na jeraha, nikafyatua risasi moja ambayo imetoka kimya kimya pasipo kutooa mlio kutokana nimeigamiza vilivyo kwenye paja lake. Askari huyu akaanza kupiga kelele huku akilia kwa maumivu makali sana.
“Yupo wapi mama yangu pamoja na Jihad John?”
“Si…si…sijui”
Nikaitandamiza tena bastola yangu kwenye eneo lenye jeraha la risasi, na kumfanya askari huyu kuzidi kulia kwa maumivu makali sana.
“Niambie ni wapi alipo mama yangu”
“Si….si…jui”
Nikachukua kiganja cha mkono wake wa kulia, nikakiweka chini. Nikaigandamiza rasasi huku nikimtazama usoni mwake.
“Yupo wapi mama yangu?”
“Nimesema sijuiiii”
Askari huyu alizungumza huku akikaza meno yake, nikampiga risasi nyingine kwenye kiganja chake na kumfanya azidi kulia kwa uchungu.
“Usipo zungumza, utakufa kifo kibaya ambacho hukupangiwa na mwenyezi Mungu kufa”
“Mama yako yupo..yupo…….”
“Yupo wapi?”
“Ni hakikishie usa..alama wangu kwamba utaniacha hai”
“Ndio nitakuacha hai”
“Mama yako yupo kigamboni, kwenye moja ya jengo”
“Jengo gani?”
Nilimuuliza kwa ukali huku nikimtazama kwa hasira usoni mwake.
“Kwenye mtaa wenye nyumba za shirika la taifa”
“Ni nyumba namba ngapi?”
“Mia moja”
“Na ulivyo niambia kwamba baba yangu anapelekwa kwenye kambi ya jeshi ni kweli?”
“Ndio, na niliweza kuwapa taafifa wezangu, ninaamini kwamba wamekwenda kuifanya kazi ya mkuu”
“Shitii”
Sikuona haja ya kuendelea kumuacha askari huyu hai kwa maana hata yeye nia muuaji, nikampiga risasi ya shingo na akapoteza maisha hapa hapa, nikamvua jaketi lake la kuzuia risasi alilo livaa. Nikaanza kumvuta hadi kwenye bahari taratibu mawimbi ya maji ya bahari yakaanza kumvutia ndani ya bahari.
Nikarudi hadi kwenye gari, nikaingia, nikaliwasha na kwa kasi ya ajabu nikaligeuza na kuanza safari ya kuelekea Kigamboni huku nikihakikisha kwamba ninapita katika daraja jipya. Taratibu nikawasha redio iliyopo katika hili gari ili kuweza kusikiliza ni kitu gani ambacho kinaendelea.
“Habari inayo endelea kushika vyombo vya habari kwa sasa mtu wangu wa nguvu katika Amblifaya na Milad Ayo ni kuhusiana na shambulizi la bomu lililo tokea kwenye viwanja vya Jangwani majira ya saa tisa alasiri. Hadi sasa idadi ya watu walio fariki imeongezeka hadi kufika watu mia tisa hamsini na tisa”
Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi sana kwa maana laiti ningefahamu kwamba gari la polisi nililo kwenda nalo katika kiwanja hichi lina bomu la kutegwa wala nisinge thubutu kabisa kufika eneo hilo. Mlio wa simu ukanistua, nikajipapasa mfukoni mwangu na wala sikukuta simu, nikatazama ni sehemu gani simu hii inaita, nikaikuta chini ya siti ya dereva taratibu, nikauuingiza mkono wangu wa kushoto, nikaichomoa na na kuitazama vizuri. Namba inayo piha hapa ni namba ambayo Jihad John alikuwa akinipigia kupitia simua mbayo ninamini nimeisahau juu ya meza baada ya matatizo kutokea tukiwa katika hoteli ya Serena. Taratibu nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Haloo Hamad mbona umetudanganya na tumemkosa Almeda”
Niliisikia sauti ya Jihad John akizungumza katika hali ya hasira, nikatamani kumjibu kitu ila taratbu nikajukuta nikiiweka simu hii pembeni ya siti huku nikizidi kuongeza mwendo wa gari kuelekea Kigamboni kumuokoa mama yangu waliye mkamata.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Mlio wa simu ukanistua, nikajipapasa mfukoni mwangu na wala sikukuta simu, nikatazama ni sehemu gani simu hii inaita, nikaikuta chini ya siti ya dereva taratibu, nikauuingiza mkono wangu wa kushoto, nikaichomoa na na kuitazama vizuri. Namba inayo piha hapa ni namba ambayo Jihad John alikuwa akinipigia kupitia simua mbayo ninamini nimeisahau juu ya meza baada ya matatizo kutokea tukiwa katika hoteli ya Serena. Taratibu nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Haloo Hamad mbona umetudanganya na tumemkosa Almeda”
Niliisikia sauti ya Jihad John akizungumza katika hali ya hasira, nikatamani kumjibu kitu ila taratbu nikajukuta nikiiweka simu hii pembeni ya siti huku nikizidi kuongeza mwendo wa gari kuelekea Kigamboni kumuokoa mama yangu waliye mkamata.

ENDELEA
Cha kumshukuru Mungu usiku huu hakuna foleni kubwa. Baada ya nusu saa nikafanikiwa kufika Kigamboni, moja kwa moja nikaelekea katika nyumba mpya za shirika la nyuma. Nikaanza kukatiza kwenye mtaa wa nyumba hizi nikitazama nyumba hizi kwa umakini mkubwa. Nilipo karibia kufika katika nyumba namba mia moja, nikazima taa gari langu na kuendelea kuliendesha kwa utaratibu kwa maana ninatakiwa kuwa makini sana kwani siwezi kufahamu kwamba ni kweli magaidi wapo katika eneo hili au hawapo. Nikasimamisha gari langu nyumba mbili kutoka ilipo nyumba hiyo namba mia moja, nikashuka kwenye gari huku bastola yangu nikiwa nimeishika mkononi mwangu.
Nikaanza kutembea kwa mwendo wa tahadhari huku nikzidi kusigelea nyumba hii, nikafanikiwa kuingia kwenye fensi fupi iliyo zungushiwa kwenye hii nyumba kwa kuruka. Nikajibanza kwenye moja ya ukuta wenye mlango wa kuingilia ndani. Nikatazama sehemu za juu ili kuona kama kuna kamera yoyote inayo rekodi matukio yanayo tokea nje kwa wakati huu, ila sikuweza kuona kamera yoyote. Sauti ya tv inayo sikika ikitokea sebleni ikanifanya nibadilishe mawazo ya kuingia ndani ya nyumba hii na kujikuta nikitembea kwa kunyata hadi kwenye dirisha hili la sebleni. Nikachungulia ndani kupitia uwazi mdohgo wa pazia nilio usogeza kwa kutumia kijiti nilicho kiokota chini sekunde kadhaa zilizo pita. Nikamuona mwanamke mjaumzito akiwa amekaa kwenye sofa pamoja na mwanaye mdogo wa kiume wakitazama tamthili.
“Shitiii”
Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikiwa nimekasirika sana, nikaanza kutembea kuelekea mbelenya nyumba hiia, ila kabla sijajitokeza eneo la mbele gari ndogo nyeusi ikasimama usawa wa hii nyumnba. Kwa haraka nikarudi karibu na dirisha la seble ambalo lipo upande wa pili wa nyumba. Nikamuona Jihad John akishuka kwenye gari hili akiwa ameongozana na watu wake wawili. Akazungumza nao kidogo kisha watu wake hao wakarudu kwenye gari kisha yeye akapiga hatua hadi kwenye nyumba hii. Nikachungulia dirishani nikamuona Jihad John akikumbatiana na msichana huyo mjamzito huku akimpiga mabusu mdomoni mwake.
“Karibu baby”
“Asante, Rama alilete mzigo”
“Ndio upo ndani”
Jihad John akambeba mtoto huyu mdogo mwenye asili ya kiarabu, wakaondoka sebleni hapa. Nikashusha pumzi nyingi, nikatazama eneo hili, ila ukimya mwingi ndi umetulia. Kwa haraka nikarudi hadi mlangoni, nikajaribu kuusukuma kidogo ila haufunguki, nikarudi nyuma hatua chache huku nikitazama nyuma, nilipo hakikisha kwamba ninaweza kupata kasi inayo weza kunifanya kuusukuma mlango huu kwa nguvu, nikajaribu bahati yangu na kujikuta nikianza kukimbia kwa kasi nikaupiga mlango huu kwa bega langu na kuufanya mlango huu kufunguka. Kitendo cha kuingia tu ndani, nikakutana na Jihad John akiwa ameshika bastola kwa maana kishondo cha mlango wake kubamizwa umeweza kusikika hadi ndani alipo. Kwa ukaribu ambao nipo na Jihad John, ni ngumu sana kwa mtu kuweza kufanya maamuzi ya haraka ya kufyatua risasi. Nikajikuta nikimshika Jihad John miguu yake na kumvuata kwa nguvu. Akaanguka mzima mzima chini huku bastola yake ikiangukia pembeni na yangu pia sikumbuki ni muda gani niliiweka chini. Jihada John akanipiga teke la kifua lililo nifanya ninagukie pembeni.
Sote kwa haraka tukanayanyuka huku tukiwa tumekunja ngumi. Mke wa Jihad John na mwanaye wakatoka sebeleni wakiwa wamejaa woga sana.
“Naima rudi ndani haraka sana na mtoto”
Jihad John alizungumza huku akiwa amekasirika sana, akarusha mateke kadhaa ambayo yote kwa bahati nzuri nikafanikiwa kuyakwepa, kwa kurudi rudi nyuma. Japo ni kwa muda mrefu sana sijawahi kufanya mazoezi ya mapambano ila sikuhitaji kuwa mnyonge sana, na mimi nikaanza kurusha mateke pamoja na makonde ambayo mengi Jihad John naye aliyakwepa.
“Kama unamuhitaji mama yako ni vyema kujisalimisha mikononi mwangu”
Jihad John alizungumza huku akijifuta damu inayo mchuruzika mdomoni mwake, hii ni baada ya kurusha ngumi niliyo bahatisha kumpiga katika hilo eneo.
“Mama yangu yupo wapi?”
Nilimuuliza kwa hasira sana huku nikimtazama usoni mwake. Jihad John akanirukia na kuningusha kwenye sofa lililopo hapa sebleni, kwa haraka nikamgeuza na kumlaa chini yeye, kwa maana nimesha jua udhaifu wa Jihad John, ni mtu ambaye ana jina kubwa sana duniani kutokana na ugaidi wake anao ufanya, ila katika swala zima la kupigana mkono kwa mkono hana tofauti na mimi, na ninaimani kwamba anajiamini sana anapokuwa na vijana wake wa kazi. Nikaanza kumtandika ngumi za uso ambazo zote zinatoka kwa hasira kali.
“Muache mume wangu”
Niliisikia sauti ya mke wa Jihad John nyuma yangu, nikageuka, nikamkuta akiwa ameshika bastola huku mikono yote ikimtetemeka.
“Mpige”
Jihad John alizungumza kwa kukoroma, nikamtandika ngumi nyingine ya uso na kumfanya atulie kimya. Nikasimama wima huku nikimtazama dada huyu ambaye ninaimani kwamba afhamu mtu anaye mpenda na hadi kuzaa naye hamjui kwa undani.
“Tulia Naima”
Nilizungumza kwa utaratibu huku nikimtazama jinsi anavyo tetemeka kwa woga sana. Nikaanza kutembea kwa utaratibu.
“Naima, mimi ni afisa wa polisi, nipo hapa kwa ajili ya kukulinda na wala si kwa ajili ya kumuua mume wako. Natambua kwamba leo umeweza kusikia na kuona jinsi mamia ya wanawake wezako, watoto wadogo kama wa kwako walivyo kufa kwenye mlipuko wa bomu Jangwani, si uliona”
Naima akatigisha kichwa kukubali kwamba ameweza kuona tukio hilo lilivyo tokea. Ilinibidi kumdanganya huku nikimsogelea ili maradi niweze kuichukau bastola aliyo ishika na kwa haraka haraka Naima anaonekana hafahamu kuitumia silaha hii.
“Katika kila tukio basi kuna mtu au watu ambao ni lazima watakuwa wametega bomo hilo. Mmoja wa watu ambao wameshiriki katika tukio hilo ni mumeo John”
“JOHN!!?”
Naima alizungumza huku akionekana kushangaa jina hili nililo litaja.
“Ndio John, kwani mumeo unamjua kwa jina la nani?”
“Ninamfahamu kwa jina la Joseph Martin”
“Ok naomba tafadhali bastola yako, kisha mazungumzo yataendelea”
Nikamsogeleka Naima tatartibu nikaichukau bastola aliyo ishika. Nilipo hakikisha kwamba nimechukua, nikaokota na bastola yangu, nikasogea kwenye sofa kwa umakini na kumgusa Jihad John shingoni mwake, nikatambua kwamba yupo hai na amepoteza fahamu tu.
“Naomba simu yako”
“Sawa, ila ninaomba unieleze ni kitu gani kinacho endelea”
“Wewe ninaomba kwanza simu”
Naima akarudi ndani baada ya dakika moja akarudi akiwa ameshika simu ina ya Iphone six, akanikabidhi nikapiga namba za dharura polisi ambazo ni 111.
“Kituo kikuu cha polisi Dar es Salaam, unazungumza na Afande Anna, nikusaidie nini tafadhali?”
“Unazungumza na Erick Almeida, mtoto wa mgombea uraisi, nipo eneo la Kigamboni katika nyumba za shirika namba mia moja, nimeweza kufanikiwa kumkamata Jihad John muhusika wa mlipoko wa leo katika viwanja vya Jangwani”
“Askari wa doria watafika eneo hilo ndani ya dakika tano ninakuomba uweze kuendelea kumshikilia”
“Sawa waambie wawahi, kwa maana nipo peke yangu”
“Sawa bwana Erick”
Nikakata simu na kumtazama Najima jinsi anavyo tetemeka kwa woga.
“U….umepiga simu pol..isi”
“Ndio polisi ndio sehemu sahihi ya huyu mtu kupelewa, kwa maana yeye amehusika katika kumshikilia mama yangu”
“Mama yako?”
“Ndio”
“Yupoje?”
“Mrefu, mweupe kiasi”
“Mbona huyo mama amelala ndani kwetu”
“Kweli?”
“Njoo umuoene”
Nikamtazama Jihad John, kwa kipigo nilicho mpatia nina imani kwamba hawezi kunyanyuka, nikaongozana na Naima na kuingia ndani ya moja ya chumba kilichopo katika hili eneo. Sikuamini macho yangu nilipo muona mama akiwa amelala kitandani, huku ametundikiwa dripu la maji.
“Ndio huyu?”
“Ndio, ni mama yangu mzazi. Hili dripu ni la nini?”
Hata kabla Najima hajanijubu kitu chochote nikasikia kishindo kikubwa kikitokea sebleni, kwa haraka nikatoka huku nikiwa nimeishika bastola yangu, sikumuona Jihad John kwneye sofa nililo muacha. Nikatoka nje kwa haraka huku nikiwa nimeishika bastola yangu, nikaona gari nyeusi ambayo niliona ikimshusha Jihad John ikiondoka eneo hili kwa haraka sana. Nikaanza kufyatua risasi huku nikihakikisha kwamba ninapiga tairi la nyuma. Katika maisha yangu nimebahatika kupewa kipaji cha shababa na risasi mbili nilizo piga zote zilipiga katika tairi la nyuma la upande wa kushoto na kulifanya gari hilo kuyumba na kuanguka chini na kuserereka kwa umbali kidogo.
Kwa haraka nikaanza kukimbilia eneo la tukia, hadi ninafika katika eneo hili gari mbili za polisi nazo zikawa zimewasili na kufunga breki kwa kali sana. Askari wengi wenye silaha mikono yao wakaanza kuruka kwene magari hayo.
“Mikono juu na silaha yako itupe mbeni”
Askari mmoja aliniambia kwa sauti ya ukali sana, sikuwa na jinsi zaidi ya kuitupa bastola yangu pembeni na kunyoosha mikono yangu juu. Askari wengine wakaanza kuwatoa majeruhi wanne ndani ya gari hili huku mmoja wao akiwa ni Jihad John ambaye amejeruhiwa vibaya sana eneo la kichwani mwake. Asakri aliye niamrisha akaanza kunifunga pingu.
“Ninaitwa Erick Ameida, mimi ndio nimefanikiwa kuhakikisha kwamb Jihad John anakamatwa.”
“Maelezo yako utayatoa kituoni”
“Hapana afande ninaomba nizungumza na mkuu wako”
Askari huyu akanitazama usoni mwangu kwa macho makali, kisha akamfwata mmoja wa askari akazungumza naye kwa sauti ya chini, askari huyo akanitazama kisha akanifwata nilipo simama.
“Wewe ndio Erick Almeida?”
“Ndio mimi”
“Mufungue pingu”
Askari huyu akanifungua pingu alizo nifunga.
“Ilikuwaje?”
“Ni habari ndefu muheshimiwa, ila mama yangu yupo huku niniaomba mukamsaidie”
Tukaanza kukimbia na askari huyu hadi kwenye nyumba ya Jihad John, tukamkuta Naima akiwa amesimama sebleni na mwanaye huku akiwa na wasiwasi.
“Mama yupo chumba hichi”
Nilizungumza huku nikiingia katika chumba alipo lala mama, tukamkuta kitandani, taratibu nikamsogelea mama kitandani, nikamtazama kifuani mwake, ila nikaona kifua chake jinsi kinavyo nyanyuka taratibu nikamgusa shingoni mwake, nikajukuta nikistuka sana.
“Nini?”
“Mbona mama ana joto kali sana”
Askari huyu ikambidi kumgusa mama, naye pia akastuka sana baada ya kukuta joto la mama ni kali kiasi kwamba hata mimi mwenyewe kwenye maisha yangu sikuwahi kuwa na joto kali kama hili.
“Ninahitaji gari la hospitali haraka, tumefanikiwa kumpata mke wa mgombea uraisi, ila hali yake ni mbaya sana”
Askari huyu alizungumza kwa kutumia simu yake ya upepo. Nikatoka ndani humu na kumfwata Naima sebleni ambapo nikamkuta akiwa amekaa kwenye sofa.
“Mama yangu walimfanyaje mbona anaumwa?”
“Sifahamu hata mimi?”
“Na lile dripu alilo wekewa ni la kazi gani?”
“Joseph alisema nimuwekee?”
“Mumewako sio Joseph, mume wako anaitwa Jihad John ni gaidi anaye tafutwa duniani nzima na hapa ninavyo zungumza alikuwa na mipango mingi ya kumuua baba yangu ambaye ni mgombea uraisi bwana Almeida”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Naima usoni mwake.
“Mungu kwangu, sasa na hawa watoto inakuwaje?”
Nikaona kitanda cha wagonjwa kikiingizwa hapa ndani na madaktari walio weza kuja na gari la wagonjwa. Nikanyanyika pasipo kumjibu Naima swali lake, nikaingia ndani ya chumba hichi, hata madaktari hawa walivyo mshika mama mwili wake, kila mmoja akaonekana kushangaa, wakamuweka kwenye kitanda, wakamuwekea kifaa maalumu cha kuhemea, kisha wakaanza kukisukuma kitanda hichi kuelekea nje.
“Samahani ninaomba huyu binti aweze kuepelekwa makao makuu ya NSS, akahojiwe huko nina ikani ana mambo mengi ya kuzungumza”
“Sawa tutampeleka, ila na wewe unaweza kufwatana nasi?”
“Kwa sasa afande siwezi kuongozana nanyi, nahitaji kufahamu hali ya mama yangu itaendelea vipi, tafadhali sana kwa hilo. Kama munahitaji kuchukau maelezo yangu basi ninawaomba muje kuyachukua hospital tafadhali”
Mkuu huyu wa hichi kikosi akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaniruhusu niweze kuingia katika gari la wagonjwa.
Nikaingia ndani ya gari la wagonjwa na safari ya kuelekea hospitalini ikaanza, nikamtazama mama yangu usoni kitu kingine nilicho kigundua mama ni jasho linalo mtoka taratibu.
“Dokta inakuwaje mbona anamwagikwa na jasho”
“Kusema kweli kwa sasa siwezi kuzungumza chochote, tumuombe Mungu tufike hospitalini salama salimini”
Sikuwa na jambo la kuzungumza zaidi ya kukaa kimya huku nikisali kimoyo moyo. Tukafika katika hospitali ya Muhimbili, sote tukashuka kwenye gari na mama akakimbizwa moja kwa moja katika chumba cha matibubu.
“Tunakuomba upumzike mama yako atakuwa salama sawa kaka”
“Sawa nesi ninakuomba mufanye lolote liwezekanano mama yangu apone, nitahakikisha kwamba ninawapatia zawadi ambayo hakuna kati yeni anayeweza kuifahamu kwenye maisha yake”
“Sawa kaka ni jukumu letu, ninakuomba ukae pale”
Nesi huyu baada ya kumaliza kuzungumza hayo, akaufunga mlango wa chumba hichi cha matibabu. Nikatizama kwenye kordo hii jinsi watu walivyo jaa tofauti kabisa na siku ya kawaida.
“Habari yako dada”
Nilimsialimia dada mmoja aliye simama huku ameegemea ukuta.
“Salama”
Alinijibu kwa sauti kavu iliyo kauka, na anavyo onekana ni mtu ambaye Amelia kwa muda mrefu sana.
“Kuna kitu gani kinacho endelea?”
“Ahaa kaka yangu, wewe ni askari unashindwa kujua ni kitu gani kimetokea Jangwani?”
“Ahaa hilo ninalitambua.”
“Kaka afande”
Mtoto wa kike wa miaka kama saba aliniita huku akiwa ameisimama pembeni yangu, nikamtazama taratibu nikainama kumsikiliza kwa maana ni mfupi sana na hata kiunoni mwangu anifikii.
“Kuna hii simu nimepewa na dada pale”
“Yupi?”
Binti huyu akageuka sehemu aliyo tokea, akaonekana kushangaa.
“Vipi?”
“Simuoni dada huyo sijui yupo wapi?”
“Ehee emesema uniletee hii simu?”
“Ndio amesema nikueletee hii simu uangalie video”
Nikaichukua simu hii, kwa haraka nikingia upande wa video. Video hii inaonyesha jumba la kifahari la daktari mkuu bwana Benjamini.
“Ndio tunaingi’
Sauti ya kike ikasikika kwenye video hii na ikaishia hapo jambo lililo nifanye nitazame tena sehemu alipo nionyesha mtoto huyo, ila sikumuona mwanadada yoyote ambaye ninaweza kumtilia mashaka, kwani hadi sasa hivi familia yangu pamoja na Cesilia wapo kwenye hatari ya kuvamiwa na watu hawa ambao sasa sifahamu kama ni wa Jihad John, au ni watu wengine kabisa wenye nia mbaya na familia yangu.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Nikaichukua simu hii, kwa haraka nikingia upande wa video. Video hii inaonyesha jumba la kifahari la daktari mkuu bwana Benjamini.
“Ndio tunaingi’
Sauti ya kike ikasikika kwenye video hii na ikaishia hapo jambo lililo nifanye nitazame tena sehemu alipo nionyesha mtoto huyo, ila sikumuona mwanadada yoyote ambaye ninaweza kumtilia mashaka, kwani hadi sasa hivi familia yangu pamoja na Cesilia wapo kwenye hatari ya kuvamiwa na watu hawa ambao sasa sifahamu kama ni wa Jihad John, au ni watu wengine kabisa wenye nia mbaya na familia yangu.

ENDELEA
Kwa haraka nikaanza kutembea kuelekea katika ofisi ya daktari mkuu, kwa bahati nzuri ninakutana naye katika moja ya kordo.
“Erick vipi?”
“Dokta kuna matatizo nyumbani kwako”
“Matatizo?”
“Ndio, niliipelekea familia yangu pale kwa ajili ya kujificha kwa muda kwa maana ndio sehemu salama niliyo iona ila kuna watu wamenipatia simu hii yenye hii video”
Nikamkabidhi dokta Benjamini simu niliyo pewa, akaitazama video hii yenye sekunde chache sana. Kwa haraka akatoa simu yake mfukoni na kumpigia Cesilia.
“Mke wangu upo nyumbani”
“Memeingia katika chumba cha kujificha?”
“Ninakuja sasa hivi”
Dokta Benjamini akakata simu yake kwa haraka tukatoka tunakimbia hadi baadhi ya watu wakawa wanatushangaa, tukafika kwenye gari lake, dokta akanirushia funguo, kwa haraka nikazunguka upende wa dereva an kuingia ndani. Safari ya kuelekea nyumbani kwa daktari ikaanza huku nikizidi kujitahidi kuendesha gari kwa kasi na umakini wa hali ya juu.
“Wamesemaje?”
“Wapo katika chumba kimoja cha kujificha ambacho sio rahisi kwa mtu kuweza kuingia pele wanapokuwa wameingia ndani.”
“Inabidi kuwapigia polisi”
Dokta Benjamini akaweka simu yake sikioni na kusikilizai.
“Ndio mkuu, nyumbani kwangu kuna majambazi wameingia wanahitaji kumavamia mke wangu kwa sasa mimi hapa nipo njiani ninaelekea huko”
“Shukrani mkuu ninawaomba uwatume vijana wako waweze kufika hapo haraka iwezekanavyo”
Hatukuchukua muda mwingi sana tukafanikiwa kufika katuka jumba la dokta Benjamini, ambapo tukakuta gari mbili za polisi zikiwa zimesimama katika eneo la getini.
Tukashuka kwa haraka katika gari lete na moja kwa moja tukawafwata askri waliipo nje, huku wote wakiwa na bunduki mikononi mwao.
“Vipi mumeweza kuona dalili yoyote ya majambazi?”
“Ndio, kuna majambazi wanne wenye silaha nzito, hapa tunasubiri kuweza kufahamu kama wameshikilia mateka au la ila tume pambana nao kwa dakika kama tano na tuna subiria msaada mwingine uongezeke”
“Ngoja nimpigie mke wangu”
Dokta Benjamini akatoa simu yake na kumpigia Cesilia tena.
“Baby bado mupo ndani ya chumba?”
“Ndio mume wangu, ninagopa”
Niliweza kuyasikia mazungumzo hayo kutokana na dokta kuweka loudspeaker simu yake.
“Mke wa Erick yupo ndani?”
“Ndio wapo hapa na mwanaye”
“Sawa tupo nje pamoja na polisi”
“Sawa mume wangu, wanajitahidi kupiga risasi kwenye mlango wa hichi chumba”
“Hawawezi kuingia mlango ni wa chuma huo”
“Sawa honey”
Nikamfwata askari mmoja ambaye ndio kiongozi wa hichi kikosi.
“Samahani kama huto jali ninaomba unipatie silaha”
“Silaha?”
Jamaa huyu alizungumza huku akinitazama kuanzia juu hadi chini. Mavazi yangu ya uaskari kidogo yakaanza kumpa atumaini ya kuniamini.
“Unataka kufanya nini?”
“Nahitaji kuingia ndani, hakuna mateka aliye weza kukamatwa ndani ya nyumba hata mmoja, hii ndio nafasi ya pekee kwa sisi kuweza kufanya ambushi kwenye kwa hawa majambazi”
“Hao waliomo humo ndani wapo wapi?”
“Wapo kwenye moja ya chumba ambacho sio rahisi kwa mtu kuweza kuingia”
Askari huyu akachomoa bastola yake kiunoni na kunipatia, nikarudi sehemu alipo simama dokta.
“Baba kun njia yoyote ya kuingilia humu ndani?”
“Ukiwa kwa nje?”
“Ndio”
“Njoo”
Tukazunguka upande wa pili wa nyumba kwenye nyasi nyingi baba akakanyaga moja ya sehemu na kuanza kugonga gongwa kwa kisigino cha kiatu alicho vaa mguu wa kulia.
“Hapa kuna njia ya dharura ya kuingilia ndani ambayo hakuna mtu anaye ifahamu zaidi yangu mimi”
“Unapo ingia unatokea wapi?”
“Unatokea hapo nyuma”
“Ina giza kubwa?”
“Ndio ila unanyoosha tu unafika hapo”
“Sawa”
Tukasaidiana kuufungua mfuniko mzito wa chuma, taratibu nikaingia ndani, kwa kutumia simu ya majambazi hawa walio nipatia kupita mtoto aliye nilete, nikaanza kutembea kuelekea ndani, nikafanikiwa kufika mwisho wa ukuta ambapo kwa juu kuna mfuniko kama tulio utoa nje, nikausukua kwa nguvu zangu, cha kumshukuru Mungu ukafunguka. Taratibu nikachungulia ndani, katia sehemu nilipo tokea sikuweza kuona mtu yoyote. Kwa haraka nikatoka na kuurudishia mfuniko huu wa chuma. Nikaanza kutembea kwa tahadhari huku bastola yangu nikiwa nimeishika vizuri mkononi mwangu. Nikafika kwenye kona ya hii nyumba nikachungulia kwenye maegesho ya magari nikawaona majambazi hawa wakitazama tazama moja ya gari la kifahari wakihitaji kutoka nalo kwa kustukiza.
Nitatoa magazine ya hii bastola na kuikuta ikiwa imejaa risasi za kutosha, nikairudishi kwa kuichomeka kwa nguvu, nikaikoki ili kuziruhusu risasi kutoka kwa urahisi. Kwa haraka nikaanza kufyatua risasi kuelekea kwa majambazi hawa. Majambazi wawili niliweza kualenga vizuri kwenye vichwa vyao na kuwafanya kuanguka chini. Majambazi wengine wakajibanza kwenye magari na kuanza kufyatua risasi kwa uapande wangu.
Nikajibanza kwenye kona niliyopo huku nikisikilizia jinsi milio ya risasi inavyo zidi kurindima. Majambazi hawa wanaonekana kuchanganyikiwa kutokana na wezao wawili kuanguka, kwa hata ufyatuaji wao wa risasi ni wa kumaliza tu risasi. Milio ya risasi ilivyo zidi kurindima, ikawabidi polisi waliopo nje yao kujibu mashambulizi hayo yaliyo wafanya majambazi hawa kuielekezea mashambulizi yao getini. Ikawa ni kazi rahisi na nyepesi kwa upande wangu kuwashumbulia na wote nikafanikiwa kuwaua. Kwa mwendo wa taratibu na tahadhari kubwa nikafanikiwa kufika kwenye maiti za majambazi hawa, nikaanza kumkagua mmoja baada ya mwengine. Nilipo hakikisha kwamba hakuna aliye hai nikaanza kuingia ndani, nikasogea sehemua mbayo ina batani ya kuruhusu geti kufunguka, nikaiminya na geti likafungua, askari wakaingia huku wakiwa wameongozana na dokta Benjamini, mkuu wa askari akabaki kunishangaa sana baada ya kuona miili ya majambazi wakiwa tayari ni wafu.
“Kazi nzuri kijana”
“Shukrani”
Moja kwa moja tukaongozana na daktari mkuu hadi kwenye chumba walicho jificha Cesilia, Zari pamoja na Brian. Dokta akatoa simu yake mfukoni na kumpigia Cesilia.
“Fungueni”
Baada ya muda mchache mlango ukafungiliwa, Zari kwa haraka akanikimbilia na kunikumbatia kwa nguvu huku machozi yakimwagika sana. Cesilia naye na mume wake wakakaumbatia, nikamchukua Brian na kumnyanyua juu.
“Erick naogopa, mbona inakuwa hivi jamani?”
“Imekwisha baby sawa”
Zari taratibu akausogeza mdomo wake karibu kabisa na mdomo wangu na kuanza kuunyonya taartibu huku machoziyakimbubujika. Tukarudi sebeleni ambapo Zari na Cesilia wakaanza kuhojiwa maswali kadhaa na polisi.
“Anko Erick babu yupo wapi?”
Swali la Brian likanifanya nikae kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama usoni mwake.
“Ahaa babu yupo kazini?”
“Ataniletea popconea?”
“Ndio atakuletea sawa ehee?”
“Sawa”
Nikamkabidhi Brian kwa mama yake kishi nikatoka nje kwenda kuzitazama maiti hizi vizuri.
“Mumefanikiwa kufahamu hawa ni kina nani?”
“Hapana, tutawapeleka hospitali cha uchunguzi zaidi”
Ujumbe wa meseji ulio ingia kwenye simu niliyo nayo mfukoni, nikaitoa simu yangu na kumtazama askari huyu ninaye zungumza naye.
“Samahani kidogo”
Nikasogea pembeni na kuisoma meseji iliyo ingia..
‘TUONANE SASA HIVI DARAJA LA SARENDA KUNAJAMBO LA MUHIMU. NJOO PEKE YAKO’
Nikaitazama meseji hii kwa sekunde kadhaa huku nikishusha pumzi nyingi sana. Nikahitaji kumuambia mmoja wa askri hawa ila nikasita, nikairudisha simu yangu mfukoni. Nikasimama sehemu ambayo ninamuona Zari akihojiwa, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikatoka nje, nikaingia katika gari tuliko kuja nalo na safari ya kuelekea daraja la Sarenda ikaanza huku bastola yangu nimeiweka katika siti iliyopo pembeni yangu. Sikuchukua muda mwingi sana nikawa nimefanikiwa kufika katika daraja la Sarenda.
Ukimya mwingi umetawala katika daraja hili, simu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni mwangu na kuipokea.
“Simama hapo”
Nikaisikia sauti ya mama Rose, iliyo nifanya nianza kujawa na wasiwasi mkubwa sana. Nikasimamisha gari langu pembeni ya barabara.
“Shuka kwenye gari”
“Mama Rose siwezi kushuka hadi niweze kufahamu ni kitu gani kinacho endelea?”
“Una niamini?”
“Kwa leo siwezi kuamini mtu yoyote kwa maana kuna mengi sana yametokea na mengi yanaikumba familia yangu”
“Erick shuka tafadhali”
Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikiyafikiria maamuzi yangu ambayo nitakwenda kuyafanya kwa dakika chache, nikaichukua bastola yanguna kushuka kwenye gari huku simu yangu ikiwa ipo sikioni mwangu.
“Upo wapi?”
“Wewe nyoosha tu utaniona”
“Upo na nani?”
“Nipo peke yangu”
“Sawa”
Nikazidi kunyoosha kwa mbele kidogo kwenye moja ya mti nikamuona mama Rose akiwa amesimama huku amevalia koti kubwa jeusi linalokaribia kufika chini. Nikakata simu na kuirudisha mfukoni, macho yangu yakawa na kazi ya kuliangalia eneo hili kwa umakini sana. Nikamfikia mama Rose akanikumbatia kwa nguvi huku akiwa amejawa na furaha.
“Nashukuru kwa kuweza kuja Erick za masiku?”
“Salama”
Nilizungumza huku nikimuachia mama Rose.
“Naomba uniambie ni kitu gani cha muhimu ambacho umeniomba nije kukisikiliza?”
“Ninakuomba tukazungumzie kwenye gari”
“Hapa haiwezekani?”
“Haiwezekani, hapa ni barabarani”
Nitakazama pande zote za hili eneo, wala sikuona dalili ya mtu yoyote kuonekana.
“Tangulia”
“Sawa”
Mama Rose akaanza kutangulia mbele huku mimi nikimfwata kwa nyumba huku nikiwa nimeishika bastola yangu mkononi mwangu vizuri. Tukafika kwenye gari aina ya Toyota VX V8. Mama Rose akafungua mlango wa nyuma akaingia, nikachunguza ndani ya hili gari hakuna mtu wa aina yoyote, nikaingia huku nikiwa makini sana kwa lolote ambalo litajitokeza kwa muda huu. Nikaufunga mlango kwa ndani, mama Rose akataka kunikumbatia tena ila nikamzuia.
“Nimbie ni kitu gani ulicho niitia?”
“Kwanza pole sana kwa kila jambo lililo jitokeza leo”
“Nashukuru. Hii simu ninaimani ni ya kwako?”
“Ndio ni simu yangu”
“Ilikuwaje ukampatia mtu aniletee mimi?”
“Nilimpa msichana akuletee wewe, naye akampatia mtoto ila kikubwa ilikuwa ni simu hii ikufikie”
“Ehee ulijuaje kwamba nipo Muhimbili?”
“Kuwa muwazi ni kwamba kuna watu wangu nimewapandikiza ndani ya jeshi la polisi na kila kutu kinacho endelea huwa wananiambia. Sasa swala la wewe kufanikiwa kumuokoa mama yako niliweza kulifahamu ndio maana nikawahi kufika hospitali ya muhimbili ili mradi kuhakikisha kwamba ninakueleza mpango mzima ambao Rose na mume wake waliamua kuufanya juu ya mwanao na mke wako”
“Unataka kuniambia kwamba Rose na mume wake ndio wanahusika na haya matukio yote ya leo?”
“Hujakosea, Rose na mume wake wao ndio wamemlipoa Jihad John, pesa nyingi sana ili kuifanya hii kazi”
“Kwa nini wameamua kufanya hivi?”
“Hapa kuna sababu nyingi ila nitakuambia kwa ufupi. Moja kwa upande wa mume wa Rose, alipo gundua kwamba wewe ni mtoto wa muheshimiwa Almeida, akaamua kuhakikisha kwamba anamuangamiza baba yako ili kukosa madaraka anayo yagombania, sababu nyingine pia lihitaji kuhakikisha kwamba mgombea uraisi mwengine wa upinzani anaweza kuichukua nchi hii kutokana ni marafiki sana na itakuwa ni njia raisi kwa yeye kuingiza biashara zake haramu ndani ya Tanzania, na hatokuwa halipi kodi kwa maisha yake yote hadi raisi huyo atoke madarakani”
Mama Rose alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu pasipo kuyakwepesha macho yake kabisa. Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi, hapa ndipo nikakumbuka kwamba jana gari lililo tumika kumteka mwanangu ni gari ambalo nilisha wahi kumuona nalo Rose na mume wake.
“Sababu nyingine, Rose anahitaji kumuoa Zari na Brian kutokana na wivu wake wa mapenzi na kwa ajili ya kulipiza kisasi cha mapenzi, sasa Erick ninaogopa kwani mwanangu siku hadi siku anazidi kuwa mtu muovu, mume wake anamshirikisha katika biashara haramu hadi ninaogopa siku akikamatwa na askari itakuwaje jamani”
Mama Rose alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.
“Rose na mume wake wao ndio walio watuma hawa majambazi wa leo?”
“Ndio, na hiyo video nilijirushia kutoka katika simu ya Rose muda mchache kabla ya kufika Muhimbili pasipo yeye mwenyewe kuweza kufahamu”
“Rose kwa hiyo yupo nyumbani?”
“Hapana Rose ametoka na mume wake na wanadai kwamba wanasafiri”
“Wamekuambia kwamba wanakwenda wapi?”
“Hawajaniambia kwamba wanakwenda wapi”
Nikamtazama mama Rose nikajikuta nikishusha pumzi nyingi sana kwa maana siamini mwanamke ninaye mpenda na niliye nijitahidi kwamba ninayapigania maisha yake leo hii amekuwa aduia yangu mkubwa ambaye laiti nitampa nafasi hata ndogo basi atanipa kidonda ambacho hakito pona kwenye maisha yangu.
“Kwa nini uliamua kuniambia mambo haya kuhusiana na mwanao Rose?”
“Erick wewe ni kijana ambaye nilikuja kwa muda mrefu sana, umeweza kunifanyia mambo mengi sana mazuri na mwanangu, japo hapo katikati tuliteleza ila yote ni mapungufu ya kibinadamu. Natambua moyo wako Erick, natambua ni jinsi gani unavyo mpenda mwamangu Rose, na hata mulivyo kutana majuzi juzi hapa alinielezea ukutanaji wenu.”
“Erick ninakuomba sana umsaidie mwangu, ninakuomba sana umtoe Rose mikononi mwa huyu mwanaume, nipo tayari kuishi maisha yangu yale ya uswahilini, kuliko kuishi maisha ya utajiri Masaki ila hayana amani kabisa”
Mama Rose machozi yakaanza kumtoka machoni mwake, simu yake ikaita na kutufanya wote kutaizama.
“Rose”
Mama Rose alizungumza huku akinitazama kwa ishara nikamuomba aweze kuipokea. Mama Rose akaipokea simu yake na kuiweka sikioni mwake.
“Vipi?”
“Munakwenda Dubai usiku wote huu?”
“Sasa mbona hukuniambia ulivyokuwa unatoka nyumbani?”
“Sawa munarudi lini?”
“Sasa kusema haujui maana yake ni nini?”
“Sawa mwaya kuweni makini”
Mama Rose akakata simu na kusha pumzi nyingi.
“Jamani mwanangu anaharibika vibaya sana, eti hapa ananiambie yupo kwenye ndege anakwenda Dubai na mume wake”
“Hajakuambia anarudi lini?”
“Hajaniambia”
“Unaweza kunisaidia kitu?”
“Kitu gani?”
“Nahitaji kufika katika nyumba ambayo munaishi?”
“Mmmmmm huoni inaweza kuwa ni hatari?”
“Kwani kuna walinzi wangapi?”
“Kuna walinzi kama kumi hivi kwa wakati huu wa usiku. Na kuna mageti manne kabla ya kufika katika jumba tunalo kaa”
“Sasa ninaomba unisaidie kuchambua chambua katika chumba wanacho ishi Rose na mume wake na kama utapata nyaraka yoyote utakayo itilia mashaka basi ninakuomba unijulishe”
“Sawa Erick”
“Ngoja mimi niondoke kwa maana nimejichoke sana”
“Pole sana, ila Erick nikuombe kitu?”
“Niombe”
“Naweza kupata hata busu lako?”
“Ni muda mchache tu umesema kwamba tuliteleza”
“Ndio Erick ila ni kwa leo, na ukinipa japo busu basi nitahakikisha kwamba unamkamata mume wa Rose na unamfikisha mbele ya sheria haraka iwezekanavyo”
Nikamtazama mama Rose jinsi anavyo zungumza, taratibu nikaupitisha mkono wangu wa kushoto nyuma ya kicha chake, kisha nikamvuta karibu na uso wangu. Tukaanza kunyonyana midomo yetu huku kila mmoja akiwa katika hisia kali. Jogoo wangu taratibu akaanza kunyanyuka, nikauchukua mkono wa kulia wa mama Rose na kuuweka juu ya jogoo wangu, akaanza kuminya minya taratibu na kumfanya azidi kusimama. Mama Rose akanifungua zipu ya suruali yangu, na kuingiza kiganja chake ndani ya suruali na kumshika jogoo wangu vizuri.
Gafla mwanga mkali wa gari ukamulika kwenye kioo cha mbele na kutufanya tukurupuke kwa haraka huku tukiachiana, cha ajabu mwanga huo wa gari ukaendelea kumulika gari letu jambo lililo nifanya nianze kupatwa na mashaka na kujikuta nikiishika bastola yangu vizuri kujiandaa kwa lolote litakalo jitokeza kwa muda huu.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Nikamtazama mama Rose jinsi anavyo zungumza, taratibu nikaupitisha mkono wangu wa kushoto nyuma ya kicha chake, kisha nikamvuta karibu na uso wangu. Tukaanza kunyonyana midomo yetu huku kila mmoja akiwa katika hisia kali. Jogoo wangu taratibu akaanza kunyanyuka, nikauchukua mkono wa kulia wa mama Rose na kuuweka juu ya jogoo wangu, akaanza kuminya minya taratibu na kumfanya azidi kusimama. Mama Rose akanifungua zipu ya suruali yangu, na kuingiza kiganja chake ndani ya suruali na kumshika jogoo wangu vizuri.
Gafla mwanga mkali wa gari ukamulika kwenye kioo cha mbele na kutufanya tukurupuke kwa haraka huku tukiachiana, cha ajabu mwanga huo wa gari ukaendelea kumulika gari letu jambo lililo nifanya nianze kupatwa na mashaka na kujikuta nikiishika bastola yangu vizuri kujiandaa kwa lolote litakalo jitokeza kwa muda huu.

ENDELEA
“Erick watakuwa ni kina nani jamani?”
Mama Rose alizungumza huku akitetemeaka mwili mzima, kwa haraka nikajifuna zipu yangu huku nikitazama taa hizi. Kioo cha upande nilio kaa mimi kikagongwa, jambo lililo zidi kututia woga. Mtu anaye gonga kioo nikamona ni askari. Nikataka kufungua mlango ila mama Rose akanishika mkono akinizuia kushuka kwenye gari.
“Erick usishuke wanaweza kuwa ni majambazi?”
“Usijali”
Nikauachanisha mkono wangu na mkono wa mama Rose kisha nikashuka kwenye gari hili, nikutana na askari ambao baada ya kuniona wakashusha silaha zao chini.
“Vipi mwenzetu mbona hapa muda huu?”
Askari mmoja alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Ahaa kuna jambo fulani nimekuha kulijadili?”
“Ahaa sawa sisi tupo kwenye patroo”
“Poa waskaji”
Askari hawa wakaondoka na kuniacha nikiwa ninashusha pumzi nyingi, kusema kweli mavazi haya ya uaskari niliyo yavaa yananisaidia sana. Nikafungua mlango wa gari na kuingia ndani, nikawashuhudia askari hawa wakigeuza gari lao na kuondoka eneo hili.
“Erick naomba nirudi nyumbani”
Mama Rose alizungumza huku mwili mzima ukiendelea kumtetemeka kwa woga.
“Utaweza kuendesha gari kweli?”
“Yaani hata sielewi kama nitaweza”
“Ngoja nikuepeleke”
“Na gari lako?”
“Nitakuja kulichukua alfajiri na mapema”
“Sawa”
Mama Rose akanikabidhi funguo ya gari nikahamia siti ya mbele, nikawasha gari na kuondoka eneo hili la kujificha, mama Rose akawa na kazi ya kunielekeza hadi tukafika katika jumba la kifahari maeneo ya Masaki. Nikasimamisha karibu na getini, nikageuka nyuma na kumtazama mama Rose.
“Hapa ndipo unapo ishi?”
“Ndio Erick”
“Basi kama tulivyo zungumza ninakuomba uifanye kazi hiyo kwa umakini mkubwa sana sawa”
“Sawa Erick”
Nikashuka kwenye gari na kuanza kutemeba kuelekea katika katika daraja la Sarenda, japo ni mbali sana ila sikuwa na jinsi ni lazima nikachuke gari la dokta Benjamini na kurudi nalo nyumbani kwake. Nikafanikiwa kufika katika daraja la Sarenda nikiwa nimechoka sana kwani kuna muda ilinibidi kukimbia ili kuhakikisha ninafika eneo hili mapema iwezekanavyo.
Nikaingia ndani ya gari na kuondoka eneo hili na kurudi nyumbani kwa dokta Benjamini. Nikakuta askari wakiwa wanazidi kuimarisha ulinzi.
“Baby”
Zari alipo niona kwa haraka alinyanyuka na kunikumbatia kwa nguvu huku akiwa amejawa na furaha.
“Niambie”
“Safi, ulikuwa wapi muda wote ninakutafuta?”
“Kuna kazi ilinibidi kuimalizia, Brian yupo wapi?”
“Amelala chumbani”
“Dokta na mkewe wapo wapi?”
“Nao wapo chumbani, nilikaa hapa nikikusubiria, nilikuwa na wasiwasi mkubwa sana juu yako”
“Nimerudi salama”
Tukaongozana moja kwa moja na Zari hadi katika chumba alicho pewa kilichopo gorofani. Nikamkuta Brian akiwa amelala kitandani.
“Erick kusema kweli umemuahiribu mtoto”
“Kwa nini?”
“Mtoto amechukua kila kitu kwako”
Zari alizungumza huku akikaa kitandani, karibu na Brian.
“Damu yetu ni nzito sana”
“Kweli, eehee niambie ulikuwa wapi kipindi chote hichi?”
“Tutazungumza mpenzi ila kwa sasa ninaomba tupumzike, hii siku kwetu imekuwa ni ndefu sana”
“Sawa mume wangu, mimi sina ubishi katika hilo”
Nikajilaza litandani, taratibu Zari akanisogelea na kunivua viatu vyangu. Mawazo juu ya vita aliyo ianzisha Rose, yakaanza kunitawala kichwani mwangu hadi ikafika kipindi nikajikuta nikipitiwa na usingizi na kulala fofofo.
***
Wiki moja ukapita tangu kutokee matukio ya mauaji katika viwanja vya Jangwani. Fura katika familia yangu ikarudi kama kawaida, mama akafanikiwa kurudi katika hali yake ya kawaida, huku baba akiendelea na kampeni zake katika mikoa tofauti tofauti ndani ya nchi ya Tanzania.
“Erick”
Mama aliniita huku nikiwa kwenye moja ya bustani iliyopo hapa nyumbani kwake.
“Kuna jambo ambalo ninatahiji kulijadili na wewe kama una muda ninaomba nilizungumze”
“Zungumza tu mama wewe kuwa huru na mwanao”
Mama akachukua glasi ya juisi taratibu akanywa mafumba kadhaa ya juisi kisha akairudisha glasi hiyo kwenye meza iliyopo pembeni yake.
“Una mpango gani na mama Brian”
“Kivipi mama?”
“Ndoa, kwa maana mtoto wa watu tangu aje nyumbani kama mfanyakazi hadi leo wameniletea mjukuu, ameweza kujitunza na kukuombea siku zote za maisha yake, japo aliamini kwamba umefariki”
“Mama kwa sasa sijapanga kuoa?”
“Kwa nini hujajipanga kuoa wakati kila kitu maishani mwako kipo, wangapi hawana kitu chochote ia wanaoana?”
“Mama kuwa na kitu au kuto kuwa na kitu hayo ni maisha yao, ila kwa sasa akili yangu haijafikiria kabisa swala la kuona”
“Erick mwangu hembu muogope Mungu, hivi hapa duniani utampata mwanamke gani ambaye atakaa kwa kipindi chote akimuombea mtu ambaye sote tulifahamu kwamba umekufa. Sikuwahi kumsikia Zari siku hata moja kwamba ana mwanaume japo ni wengi ambao wanamsumbua, ila yeye aliweka ahadi yake kwamba ataka miaka kumi na tano akiomboleza kifo chako ila baada ya hapo ndio atakuwa huru katika kumpenda mwanaume mwengine ila kwa nini wewe unakuwa na moyo wa ajambu kiasi hicho”
Mama alizungumza kwa msisitizo huku akinikazia macho yake, nikajikuta nikitazama chini.
“Hivi ingekuwa ni wewe ungeweza kukaa hata mwaka mmoja kwa ukiwa na msimamo huo?”
“Mama?”
“Hakua cha mama, yaani hii wiki moja tangu matatizo yaishe ninakuona ni mtu wa kujitenge tenga, hutaki kukaa karibu na mwenzako nini tatizo lako wewe Erick au huko ulipo kuwa walikuroga”
“Mama ninahitaji muda mwingi wa kuyasahamu mambo yaliyo tokea nyuma ya maisha yangu, mama kuna mwanamke anaishi moyoni mwangu”
“Mwanamke gani ambaye anakuthamini zaidi ya Zari?”
Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama mama usoni mwake. Nikamuona Zari akija akiwa ameshika glasi ya maji pamoja na pakti ndogo nyeupe
“Mama muda wa dawa umefika”
“Asante sana mwanagu”
Mama alizungumza huku akipokea pakti hii ya dawa, akatoa vidonge viwili na kuviweka mdomoni mwake, kisha akachukua glasi ya maji na kunywa maji yote na kumrudishia Zari.
“Asante mwanangu”
“Sawa mama”
“Baba Brian nikuletee juisi na wewe?”
“Hapana nipo vizuri”
“Sawa”
“Brian bado hajarudi shule?”
“Bado ila nimeongea na dereva wao anasema wapo njiani, leo foleni kidogo ime
kuwa ni kubwa kiasi”
“Ahaa sawa”
Zari akaondoka na kutuacha mimi na mama tukibaki tukimtazama kwa nyuma.
“Haya niambie ni mwanamke gani ambaye yupo moyoni mwako?”
“Anaitwa Rose”
“Rose yule aliyekuwa akija nyumbani?”
“Ndio huyo mama, unajua kwenye maisha kuna makosa makosa yanatoke, ambayo badae yanaleta madhara mbele ya safari”
“Ulimfanya nini Rose”
“Hilo mama tutalizungumza siku nyingine”
Nilizungumza huku nikinyanyuka, nikaelekea chumbani na kumkuta Zari akitoka kuoga akiwa na kanga moja mwilini mwake iliyo lowa kwa maji mengi. Nikabaki nikiwa nimesimama kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama Zari jinsi anavyo nitazama.
“Erick”
“Naam”
Zari taratibu akanisogelea huku macho yake akiwa ameyalegeza sana.
“Tangu tuonane hatujawahi kufanya chochote mume wangu, naomba uniambie kuna tatizo lolote linalo kusumbua kwenye mwili wako, kwa maana Erick wewe sio yule ninaye mfahamu kwa kipindi chote cha nyuma”
Zari alizungumza huku akinishika jogoo wangu ambaye amesitisha maneno yangu niliyo yataka kuyazungumza kwamba ninaumwa. Kadri jinsi anavyo zidi kumshika jogoo wangu ndivyo jinsi alivyozidi kukakamaa na kusimama kikamilifu. Zari akauchukau mkono wangu wa kulia na kuishikisha katika kalio lake ambalo kuseme kweli bado lipo katika ubora wake wa asilimia mia moja.
Tukaanza kunyonyana midomo yetu huku tukiwa katika hali nzito ya mapenzi, taratibu tukajikuta tukiangukia kitandani. Zari akaanza kunivua nguo zangu, hakuhitaji kunipa hata nafasi ya kuzungumza na anacho kufahanya ni kuhakikisha kwamba ananipa haki yangu ambayo ambayo hakunipatia kw akipindi cha miaka mitatu sasa.
Zari akanilaza chali, akanikali kifuani mwangu huku akiniachia kitumbua chake kikininitamnisha, akaanza kumnyonya jogoo wangu kwa utaalamu wa hali ya juu, nikajikuta na mimi taratibu nikianza kumnyonya kitumbua chake na kuzidi kupandisha shetani la ngono kati yetu ambalo kwa siku zite nilijaribu kulizuia huku nikiamini kwamba ipo ninaweza kumrudisha Rose mikononi mwangu.
Zari alipo jikuta amenongewa, kwa haraka kanigeukia na kumshika jogoo wangu kwa vidole vyake viwili kisha taratibu akamkalia.
Shuhuli ikaanza huku kila mmoja akiwa na hamasa kubwa ya kufanya anacho kifanya, migeuzano kitandani ikazidi kuwa mikubwa. Moyo wangu ukazidi kufarijika kujikuta kwamba nimerudi katika hali yangu ya kawaida, ya kumsimamsiha jogoo wangu.
Tukamaliza mzunguko wa kwanza huko sote tukiwa na amani kubwa mioyoni mwetu.
“Nilikukumbuka sana Erick”
“Hata mimi pia Zari, umenitoa aibu”
“Nimekutoa aibu, kivipi?”
“Umenifanya sasa ninaitwa baba”
“Yaani wee acha tu nashukuru Mungu sana kwa mama kuweza kunielewa siku nilipo mueleza kwamba nina mimba yako”
“Ehee ilikuwaje?”
“Ahaa nilitamani sana kutoa mimba, nilitamani sana nitoroke hata nyumbani, ninashukuru Mungu mama aliweza kuielewa hiyo hali jambo lililo mfanya akae chini na mimi, akanidadisi sana hadi nikamueleza ukweli kwamba mimba ni yako”
“Hivi Cholo yupo wapi?”
“Cholo aliondoka, mama alimpa mtaji mkubwa akaenda kufungua biashara huko kwao”
“Ahaa”
“Yaa mama alimpa milioni thelethini”
“Duuu aliuchinja”
“Yaani wee acha, mama yeye aliamua kunipa mimi ile nyumba ya kule”
“Kuna jambo moja ambalo nilitoka kuzungumza na mama”
“Jamabo gani?”
“Ahaa tutalizungumza siku nyingine, ila kwa sasa tuachane nalo tutazame baba anafanikiwa vipi katika swala la uchaguzi wake”
“Sawa mume wangu”
Siku zikazidi kusonga mbele, hadi tarehe ya kupiga kuraa ikafika. Siku hii tukaongozana familia mzima kueleka katika kituo cha kupiga kura kilichopo karibu yetu. Mimi sikuweza kupiga kura kutokana sikuwa na kadi ya kupigia kura na wala sikujiandikisha katika daftari la wapiga kura. Waandishi wa habari kazi yao ikawa ni kumpiga picha baba na mama, huku walinzi wa baba wakiendelea kuimarisha ulinzi kuanzia kwa baba hadi eneo hili wakisaidiana na askari wa jeshi la polisi. Zoezi la kupiga kura likamalizika salama salami na safari ya kurudi nyumbani ikaanza.
“Baba Erick mbona una maswalo mengi sana?”
“Ahaa ninafikiria hili zoezi la kupiga kura, ninasikia kuna watu wanajiandaa kuiba kura zangu”
“Kina nani hao baba?”
“Ni watu ambao vijana wangu wanaendelea kufanya uchunguzi wa chini chini”
Tukafika nyumbani, baba akaniomba nibaki ndani ya gari hili, watu wote wakashuka kwenye gari tukabaki wawili huku milango na vioo tukiwa tumevifunga na si rahisi kwa mtu yoyote kuweza kuona kwa nje.
“Erick”
“Naa baba”
“Unajua wewe nddio mwanangu wa pekee na siwezi kufanya jambo pasipo kikushirikisha kwa wakati huu”
“Jambo hani unahiyako kunishirikisha?”
“Kuna watu wawili wananiumiza kichwa sana, ninahitaji uwashuhulikie”
“Niwashuhulike kivipi”
“Nahitaji uwaue, ukifanikiwa kuwaua watu hao nina imani kwamba uongozi wangu utakuwa ni wa amani na salama kabisa”
Maneno ya baba yakanifanya nikae kimya kwa muda huku nikiwa ninamtazama usoni mwake kwa mshangao kwani sijaelewa ni kwa nini hili swala anahitaji kunishirikisha mimi ikiwa ana vijana wengi ambao wanamzunguka na wanafanya kazi chini ya amri yake.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
“Kuna watu wawili wananiumiza kichwa sana, ninahitaji uwashuhulikie” “Niwashuhulike kivipi” “Nahitaji uwaue, ukifanikiwa kuwaua watu hao nina imani kwamba uongozi wangu utakuwa ni wa amani na salama kabisa” Maneno ya baba yakanifanya nikae kimya kwa muda huku nikiwa ninamtazama usoni mwake kwa mshangao kwani sijaelewa ni kwa nini hili swala anahitaji kunishirikisha mimi ikiwa ana vijana wengi ambao wanamzunguka na wanafanya kazi chini ya amri yake.

ENDELEA
“Labda baba nikuulize swali kabla hujanieleza hao watu” “Uliza tu mwanangu?” “Kwa nini unanipa mimi hiyo kazi ikiwa wewe una watu wambao wapo chini yako na wanaweza kufanya kazi kama vile unavyo hitaji wewe wafanye?” “Hakuna mtu ambaye ninamuamini kwenye maisha yangu kwa sasa zaidi yako wewe mwangu, japo kwa mara ya kwanza ilikuwa ni ngumu kwa mimi kuweza kukuamini wewe ila ninakuamini sana tena sana” Nikaka kimya huku nikiyafikiria maneno ya baba, nikakumbuka alivyo niambia kwamba ni bora ningefika huko nilipo kuwa, pia nikafikiria matatizo yote yaliyo ikumba familia yetu katika siku chache zilizo pita.
‘Atakuwa amejifunza’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama baba usoni mwake.
“Nina swal jengine baba” “Uliza tu” “Kwa nini unahitaji midomo yangu kuwa na damu ya watu hao” “Erick hadi kufika hapa nilipo fika, ni damu nyingi ya watu imemwagika, na siwezi kuwa na amani hadi zaidi ya damu za watu hao nao pia zimwagike” Baba alizungumza huku akinikazia macho usoni mwangu, nikaka kimya kwa muda, taratibu nikashusha pumzi yangu ili kuiweka akili yangu sawa kwa muda.
“Ni nani hao ambao unahitaji niwaue?” Baba akaitoa simu yake kwenye koti la suti aliyo ivaa, akagusa gusa juu ya kioo cha simu yake kisha akanigeuzia na kunionyesha. Picha ya kwanza ni ya Rose ambayo kidogo ikanistua ila nikakaa kimya ili kujua mtu wa pili atakuwa ni nani, picha ya pili baba akanionyesha mume wa Rose.
“Huyu ni mtu na mume wake, na hawa ndio watu alio husika na mipango ya kuniua mimi” Nikabaki kimy huku nikiichukua simu ya baba na kuitazama picha ya Rose kwa umakini sana.
‘Rose kwa nini unahitaji kufanya hivi mpenzi wangu?’
Nilijiuliza kimoyo moyo huku nikiendelea kuitazama picha ya Rose.
“Unaweza kufahamu ni sababu gani zimewafanya hawa kuhitaji kukuua wewe?” “Hapana” “Baba ninaomba uniambie ukweli la sivyo sinto weza kuifanya kazi yako. Na swali jengine kama umefahamu hawa ndio wahusika wa kila tukio baya lililo tokea kwenye serikali yako kwa nini usiwapeleke kwenye vyombo vya sheria?” Maswali yangu mawili yaliyo jitosheleza, yakamfanya baba kukaa kimya kwa sekunde kadhaa akionekana ana jambo ambalo analifikiria.
“Baba?” Nilimuita baba huku nikimtazama usoni mwake.
“Yaaa” “Mbona kimya?” “Nitakueleza sababu ila si kwa sasa” Baka akaniomba simu yake kwa kuninyooshea mkono nikamkabidhi, akafungua mlango na kushuka kwenye gari kabla hajafunga mlango wa gari akanigeukia.
“Hili swala sihitaji mama yako afahamu, nikiwa vizuri nitakuambia” “Sawa baba” Baba akafunga mlango na kuondoka. Simu yangu ikaita nikaitoa mfukoni na kukuta ni namba ya Cesilia, taratibu nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Mambo Erick” “Safi vipi mama?” “Poa upo wapi?” “Nipo nyumbani nimetoka kupiga kura?” “Ahaa tunaweza kukutana kwa leo?” “Wapi?” “Ahaa San Breez Hotel?” “Yaa tunaweza kuonana” “Basi saa nane mchana naomba tuonane hapo” “Poa utanijulisha ukiwa unatoka kwako, si unajua kichwa chenyewe hichi mambo ni mengi ninaweza kujikuta ninasahau” “Usijali katika hilo” “Poa” Nikakata simu na kushuka kwenye gari, nikkaingia ndani, tukapata kifungua kinywa kwa maana tangu tulipo toka asubuhi hatukupata kifungua kinywa.
“Jamani ninawaomba mumiombee sana nishinde kwenye huu uchaguzi, nina imani familia yetu itapanda juu juu zaidi” Baba alizunguzma huku akitutazama, sote tulio kaa kwenye hii meza ya chakula.
“Usijali baba Erick, kwa jinsi wananchi walivyo kuwa wanakupenda, nina uhakika nilazima utashinda tuu huu uchaguzi” “Babu tutahamia ikulu eheee?” “Ndio mjukuu wangu, babu yako atakuwa ni raisi” Sote tukajikuta tukitabasamu, tukamaliza kula mimi na Zari tukaelekea chumbani kwetu.
“Baby niandalie nguo ninatoka?” “Unakwenda wapi tena mume wangu, ikiwa leo ni siku ya kupiga kura?” “Kuna mambo nahitaji kwenda kuyashuhulikia” “Mambo gani Erick?” “Mambo ya kampuni, na kwa sasa nitahitaji uanze kujifunza kuhisiana na maswala ya ongozi wa kampuni kwa maana peke yangu sinto weza na huku ninapo endea nitashindwa kabisa kuiongoza kampuni ambayo niliipigania miaka kwa miaka.” “Sawa mume wangu, ila kwa nini usifungue ofisi za kampuni hapa Dar es Salaam, na umeziacha huko Lushoto?” “Hilo nalo lipo kwenye harakati za kushuhulikiwa, pia nitapitia kumuona Hussein hapo Muhimbili” “Sawa honey” Nikavua nguo zangu na kuingia bafuni, nikaoga haraka haraka na kutoka bafuni humu. Nikakuta Zari tayari amesha niandalia nguo za kuvaa. Zaria kanisaidia kuvalisha shati la mikono mirefu, akaanza kunifunga vifungo taratibu taratibu.
“Nakumbuka mbali sana mume wangu” “Unakumbuka wapi?” “Unakumbuka ile siku sokoni ulivyo pigana na yule jamaa kisa cha yeye kunishika tako?” “Hahahaaaaa, daa” “Yaani wewe ulikuwa unajifanya mbabe kumbe huna chochote, umepigwa yaani ile siku nilihitaji kucheka kwa jinsi ulivyo vimba ila nilishindwa kufanya hivyo nikaogopa kwamba unaweza kunipiga bure” “Na ungenicheka ningekupiga” “Hahaaa usinge weza, kwa maana tayari nilisha jua kwamba umedata kwangu” Kabla sijazungumza kitu chochote simu yangu ikaita, nikaisogelea meza na kuichukua, nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Ndio” “Ndio ninatoka” “Nitafika hapo ndani ya muda mchache” “Sawa” Nikakata simu na kuiweka mfukoni, nikamaliza kuvaa na kutoka chumbani hapa, nikamuaga mama, nikachukua funguo ya gari langu.
“Muangalia mtoto vizuri baby” “Sawa mume wangu” Zari akanibusu shavuni na kumfanya mama atabasamu kidogo, nikamkonyeza mama kisha nikatoka huku ninatabasamu. Nikaingia ndani ya gari langu na kuondoka nyumbani. Siku ya leo kwa jiji la Dar es Salaam foleni imepungua kwa asilimia kubwa sana kutokana na watu wengi kujikusanya kwenye vituo vya kupigia kura. Sikuchukua muda mrefu nikafanikiwa kufika katika hotel ya See Breaz ambayo ipo pembezoni kabisa na bahari, nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia Cesilia.
“Nimefikia” “Pandisha gorofa ya tano, njoo chumba namba elfu moja tisini na moja utanikuta” “Sawa” Nikakata simu huku mawazo yakianza kunitawala kichwani mwangu, nikataka kumpigia Cesilia simu tena ili nimuulize kwamba ni kwa nini ananiita chumbani kwa muda huu, ila nikagairi, nikapitiliza mapokezi moja kwa moja hadi kwenye lifti. Nikaingia na moja kwa moja ikanipeleka namba tano, nikaanza kutembea kwenye kordo ndefu huku macho yangu nikiyatupia kwenye milango kuangalia namba za hii milango. Nikafanikiwa kuipata namba ya chumba aliyo nieleza Cesilia. Nikautazama mlango huu kwa sekunde kadhaa kisha nikagonga mara mbili, mlango ukafunguliwa na Cesilia, tukatazamana kwa sekunde kadhaa kisha nikaingia ndani. Cesilia akaufunga mlango kwa ndani na kunigeukia.
“Nashukuru kwa kuja Erick” “Hakuna tatizo mama yangu” “No Erick nilisha kuambia kwamba ukiwa na mimi huwa sipendi unite mama” “Sawa samahani kwa hilo Cesilia” Nilizungumza huku nikimtazama Cesilia kwa nyuma jinsi makalio yake yalivyo banwa vizuri na suruali yeke yeupe aliyo ivaa.
“Karibu ukae mbona umesimama” Taratibu nikaka kwenye sofa, kisha na yeye akaka kwenye sofa inayo tazamana na sofa hii.
“Unatumia kinywaji gani?” “Ahaa nipo vizuri tu” “Zungumza bwana au unanionea iabu mimi mama yako?”
“Hapana sikuonei aibu, ila kwa leo sijisikii kunywa kilevi si unajua watu wanapiga kura” “Yaa nalifahamu hilo ndio maana nikakuita hapa” Cesilia alizungumza kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu
“Nimeishi na mume wangu kwa kipindi cha miaka sita sasa, ila naamini sijawahi kumtendea jambo ambalo ni jema na litakalo mfurahisha kwenye maisha yake” “Kivipi?” “Natambua ya kwamba baba yako anakwenda kuwa raisi wa hii nchi, mume wangu amkuwa ni mtumishi mkubwa sana ten asana kwenye hii nchi, hususani akiwatumikia wananchi. Ninacho kiomba kutoka kwako, ninaomba umshawishi baba yako ajaribu kumpa mume wangu hata nafasi ya uongozi serikalini, itakayo mfanya apate hata muda wa kulala usiku chumba kimoja na mimi” Niakak kimya huku nikimsikiliza Cesilia, anaye zungumza kwa unyenyekevu mkubwa sana.
“Mume wangu amekuwa ni mtu wa kazi na yeye, nakosa hata muda wa kumueleza mume wangu kwamba nina hamu na yeye, nimejichua sana na maji ya moto hadi sasa hatafanyi kazi kabisa na hata akinipa basi anakuwa amechoka, anashindwa kunifikisha hata kileleni, ninaumia Erick, ninaamini utajisikia vibaya kuona kwamba mimi ninakueleza mambo ya ndani ya baba yako mlezi, ila sina budi, sina mtu mwengine ambaye ninaweza kumuambia akanisaidia zaidi yako” Cesilia machozi yakaanza kumlenga lenga. Nikashusha pumzi nyingi huku ninamtazama Cesilia aliye jawa na majonzo makubwa.
“Cesi nitakusaidia, je hili swala la wewe kuniomba mimi kumshawishi baba yangu, dokta ana lifahamu?” “Hapana, halifahamu, hata kukutana na mimi hapa hafahamu, nimeamua kulichukua jukkumu hilo mimi mwenyewe” “Usijali nitakusaidia kwa kila kitu ambacho unaniomba” “Kwa kila kitu?” Cesilia alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, nikajikuta nikipatwa na kigugumizi, nikabaki ninatingisha kichwa nikimaanisha kwamba nitamsaidia kwa kila kitu.
“Naomba unisaidie katika hili Erick nitakushukuru sana” Cesilia alizungumza huku akiikunja kunja miguu yake, taratibu akaushusha mkono wake wa kushoto na kuingiza kwenye suruali yake sehemu ya mbele. Akaanza kuhema hema mihemo inayo ashiria kwamba ameshikika na ana hamu kubwa ya kukutana na mwanaume. Mapigo ya moyo yakaanza kuongeza mwendo wa kudunda katika kifua changu, nikatamani kutazama pembeni ila sauti laini iliyo jaa mihemo ya kimapenzi ikanifanya nishindwe kabisa hata kukwepesha jicho, mbaya zaidi Cesilia amekaa mbele yangu na tumetenganishwa na kimeza kidogo cha kioo.
Ceselia akaendelea kuuchezesha mkono wake uliopo kwenye ikulu yake, alipo ona haitoshi, akaanza kuyatomasa maziwa yake na kufinya miguno hiyo kuzidi kuongezeka.
“Erick” “M……mmm..” Niliitika huku midomo yote ikinitetemeka, ujasiri wote ukaniisha, jasho liaanza kulowanisha hadi shati nililo livaa.
“Njoo unisaa….aa..aaa…iiiid…..ieee na hi…..ili” Sauti ya Cesilia ikawa ni ya kukata kata, macho yake ameyalegeza na kumfanya azidi kuonekana mzuri. Maamuzi niliyo yachukua ni kufumba macho pamoja na masikio nisione kitu chochote anacho kifanya Cesilia kwa maana siwezi kumsaliti daktari aliye fanikisha kuniponya tatizo langu la kuishiwa na nguvu za kiume na ukiachilia hilo, pia dokta Benjamini ninamuheshimu kama baba mlenzi hii ni kutokana na upendo wa dhati alio nionyesha katika maisha yangu.
Nikastuka baada ya kuguswa na kitu cha baridi shavuni mwangu, nikafumbua macho yangu na kumkuta Cesilia akiwa amesimama mbele yangu na muda huu hana nguo hata moja mwilini mwake, jambo lililo nifanya nizidi kunyong’onyea kabisa na kujuta ni kwa nini nimekuja hii sehemu.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Sauti ya Cesilia ikawa ni ya kukata kata, macho yake ameyalegeza na kumfanya azidi kuonekana mzuri. Maamuzi niliyo yachukua ni kufumba macho pamoja na masikio nisione kitu chochote anacho kifanya Cesilia kwa maana siwezi kumsaliti daktari aliye fanikisha kuniponya tatizo langu la kuishiwa na nguvu za kiume na ukiachilia hilo, pia dokta Benjamini ninamuheshimu kama baba mlenzi hii ni kutokana na upendo wa dhati alio nionyesha katika maisha yangu.
Nikastuka baada ya kuguswa na kitu cha baridi shavuni mwangu, nikafumbua macho yangu na kumkuta Cesilia akiwa amesimama mbele yangu na muda huu hana nguo hata moja mwilini mwake, jambo lililo nifanya nizidi kunyong’onyea kabisa na kujuta ni kwa nini nimekuja hii sehemu.

ENDELA
“Erick wewe ni mwanaume rijali, tafadhali naomba unishuhulikie na shida yangu hii” Cesilia alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Taratibu Cesilia akanikalia mapajani mwangu huku akiendelea kulia, taratibu akanisogezea mdomo wake, ila nikajikuta nikiukwepa, mapigo ya moyo bado yakazidi kunienda mbio huku woga ukizidi kuniandama.
“Erick please” Cesilia alizidi kunishawishi kwa sauti laini iliyo jaa mahaba, na jinsi kilio chake kilaini ndio kabisa vikanifanya nizidi kuishiwa na nguvu.
‘Ohoo Mungu naomba unisaidie katika hili’
Nilizungumza kimoyo moyo huku taratibu nikiukutanisha mdomo wangu na mdomo wake, tukaanza kunyonyana midomo huku ndimi zetu zikiwa na kazi ya kuzungushana. Hisia za mapenzi zikaanza kunipanda, woga ukaanza kuniondoka japo moyoni mwangu ninajutia kwa hichi ninacho kifanya ila sina jinsi.
‘Nisamehe dokta Benjamini’
Nijisimea kimoyo moyo huku Cesilia akinifungua vifungo vya shati langu. Cesilia akanivua shati langu na kulitupia pembeni, viganja vyake vilaini vikaendelea kukatika katika mwili wangu huku tukizidi kunyonyana midomo yetu. Nikanyanyuka huku nikiwa nimembeba Cesilia mikononi mwangu na miguu yake ameipitisha kiunoni mwangu, nikamlaza kitanda huku nikimrusha na kumfanya acheke kicheko cha uchokozi.
Nikavua suruali yangu kwa haraka nikabakiwa na boksa, nikapanda kitandani huku nikitazama mapaja ya Cesilia jinsi yalivyo nona, kusema kweli Cesilia ameumbika na amebarikiwa sana kuwa na maungo mazuri ya ndani ya mwili wake, weupe wa mwili wake ndio umezidisha kumfanya azidi kuwa mzuri.
Nikapiga magoti kitandani, taratibu Cesilia akaingia mkono wake kwenye boksa yake na kumtoa jogoo wangu aliye simama vizuri. Cesilia akanza kumchua kwa kiganja cha mkono wake wa kulia. Alipo ridhika na zoezi hili, taratibu akamuingiza mdomoni mwake na kuanza kumnyonya taratibu jambo lililo nifanya nijikute ninafumba macho kwa raha ninayo ipata.
“Mmmmmm……..ohooo” Nilijikuta nikitoa miguno mizito ya kiume ndio kama nimemchokoza Cesilia kwani akazidi kuongeza ujuzi wa kumnyonya jogoo wangu. Nilipo ona sasa ninaweza kujifunga goli, nikamtoa Cesilia jogoo wangu, kisha nikamlaza chali, nikaipanua miguu yake na taratibu nikainama kwenye kitumbua chake, nikakitazama kwa sekunde kadhaa huku nikijilamba lipsi zangu. Nikatema mate kidogo juu ya kitumbua kisha nikaanza kukinyonya kwa ujuzi ninao ujua mimi.
Chumba kizima kikatawaliwa na kelele za Cesilia huku akijizungusha zungusha kiono chake kitandani na mikono yake ikiwa na kazi ya kucheza na maziwa yake. Nikajiweka sawa, nikamshika jogoo wangu vizuri huku nikimpaka mate kiasi na taratibu nikaanza kumzamisha katika ikulu yake.
Kikiri kakara za kitandani zikaanza huku kila mmoja akijitahidi kuhakikisha kwamba anamridhisha mwenzake kwa kiwango anacho weza. Ubora nilio ugundua kwa Cesilia ambao kwa wanawake wengine sikuweza kuupata ni jinsi Cesilia anavyo weza kumuhimili mwanaume, kila jinsi ambavyo unamuweka yeye akanaa, na kama ni kasi basi haipungui na inazidi kuongezeka.
Nikaanza kuwasikia waarabu weupe wakijiandaa, kutoka, jambo ambalo Cesilia aliweza kulielewa, nikataka kujichomoa ila akanibana vizuri kuhakikisha kwamba ninawatoa waarabu wote ndani ya kitumbua chake.
“Haupo katika siku za hatari?” Niliuliza huku nikihema sana nikijitahidi kuwabana waarabu wangu weupe.
“No baby mwaga tu” Cesilia alizungumza na kunifanya nizidi kuongeza kasi yenye rah asana, waarabu wote wakazama kwenye kitumbua cha Cesilia na kujikuta taratibu kasi ikipungua na hata Cesilia mwenyewe akayafumba macho yake huku akiwa na furaha kubwa. Taratibu nikajilaza pembeni yake huku sote tukisikilizia jinsi pumzi zetu zinavyo toka kwenye pua zetu.
“Mmmmm sijapata ona Erick” “Kivipi?” “Ahaa umenitoa ashiki za mwaka mzima aisee, yaani goli moja unaweza kusema kumi” “Acha kunitania” “Mama vile, yaani nimekojoa wala sikumbuki ni ngapi, ila ni mara zaidi ya sita” “Mmmmm” “Yaa, imaonekana Zari anafaidi eheee” “Mambo ya Zari tusiyazungumzie hapa” “Ok nisamehe kama nimekuudhi” Nguvu zilivyo nirejea kidogo, nikakaa kitandani huku nikitazama jinsi shuka ambalo lilikuwa limetandikwa vizuri ila limejikunja kunja kiasi kwamba hadi godoro linaonekana.
“Unaona shuhuli hii” “Nini?”
Cesilia aliuza huku akikaa kitako kitandani, alipo ona jinsi shuka lilivyo akajikuta akiangua kicheko.
“Kweli Erick umejua kunitomb*** ahaaaa” “Kwani dokta hakupi hivi?” “Mzee na kijana wapi na wapi. Yaani pale kwake mimi nipo kwa ajili ya pesa, na kama ingekuwa si pesa basi wala nisinge kuwa naye” “Weee acha utani?” “Hivi Erick kwa uzuri huu nilio nao, ni wanaume wangapi ambao wananipenda, sasa baba yako yule anapesa, chochote ninacho kitaka ninapata, sasa ninajihangaisha ya nini” “Hongera kwa sisi choka mbaya ndio kukupata ni kama bahati kama hivi?” “Yaani Erick mimi nilikupenda tangu muda mrefu aisee, yaani nilishindwa kufunguka kwako, isitoshe kipindi kile ulikuja nyumbani haraka na kuondoka kwako ikwa ni hivyo hivyo, basi sikuwa na jinsi zaidi ya kufa na mahisia yangu” “Ila nisinge penda hii siri iweze kutoka kwa mtu yoyote” “Nakuhakikishia Erick heshima yetu itabaki pale pale na sinto hitaji utamu huu uondoke kwa ajili ya kushindwa kujiheshimu nitakuwa ni mtu wa ajabu” “Sawa, ila hakikisha kwamba mzee hafahamu, itatuweka matatizoni sawa” “Sawa mpenzi wangu” “Nahitaji kwenda kuoga niondoke sasa” “Hakuna tabu” Nikashuka kitandani na kuelekea bafuni, nikaanza kuoga huku nafsi yangu kwa upande mmoja nikijutia kwa kile nilicho kifanya na Cesilia huku upande wa pili nikijipongeza kwa kuweka heshima kwa kiunoni mwa Cesilia. Nikiwa katikati ya kuoga Cesilia akaingia, tukajumuika kwa pamoja katika kuogo kisha tukatoka bafuni humu. Kila mmoja akaanza kuchukua nguo zake na kuvaa taratibu.
“Erick” “Naam” “Asante” “Asante ya nini?” “Kwa kile ulicho nipatia, kusema kweli kimenifanya niwe mwepesi” “Kawaida. Vipi unaanza kutoka wewe au nitoke mimi?” “Ngoja nitoke mimi” “Poa” Cesilia akamaliza kujiandaa, akatoka chumba humu na kuniacha nikiwa nimekaa kwenye sofa. Nikaka dakika kumi na tano kisha na mimi nikatoka kwenye chumba hichi. Moja kwa moja nikaelekea kwenye maegesho ya magari, nikaingia na kuanza kurudi nyumbani.
***
Siku ya kutangazwa matokeo ikawadia. Kama jinsi wananchi wengi walivyo tarajia kwamba baba atashinda nivyo jinsi ilivyo kuwa. Mitaa karibi yote ya Dar es Salaam ikafurika kwa shangwa na nderemo. Wananchi wengi walishindwa kuzui hisia zao, wamama na watoto walibeba mabango wakishangilia sana. Nikajikuta machozi ya furaha yakinimwagika usoni mwangu, kwani ni jambo linalo tengeneza historia kubwa sana kwenye maisha yangu.
“Hongera sana mume wangu” “Nashukuru mke wangu” Baba alizungumza huku akikumbatiana na mama. Nikampa mkono baba na sote tukakumbatiana huku machozi ya furaha yakizidi kutumwagika.
“Muheshimiwa raisi” Mlizi mmoja wa serikali alizungumza huku akimtazama baba usoni.
“Ndio” “Ni wakati wa kukuchukua kukupeleka katika nyumba salama, iliyopo chini ya uangalizi wa kiserikali” “Sawa ninaweza kwenda na familia yangu” “Ndio, familia yako nayo kwa sasa ipo kwenye ulinzi wa kiserikali” “Sawa, jamani jiandaeni” “Baba mimi kwa leo sinto kwenda na wewe?” “Kwa nini?” “Tutajumuika kesho” “Hapana Erick, leo ni siku ya furaha kwa familia nzima, tunaondoka na kwenda nyumba salama ambayo serikali imepanga sisi kuishi sawa baba angu” Mama alizungumza kwa furaha iliyo pita maelezo.
“Sawa mama” “Zari mwanagu, muangalie huyo asije akakutoroka” “Sawa mama ni jukumu langu” Tukaondoka sebleni, tukaandaa nguo zetu chache na kuziweka kwenye mabegi yetu. Tukatoka nje na kuingia kwenye gari ya kifahari yenye milango sita ambazo hususani hutumiwa na maraisi wa nchi kubwa kama Marekani. Msafara wenye ulinzi mkali sana ukaanza kuondoka hapa nyumbani kwetu.
“Ndoto yangu imekuwa kweli, sema mjukuu wangu amelala” Baba alizungumza sote tukajikuta tukimtazama Brian aliye lala mapajani mwa mama yake, kwani sasa hivi ni usiku wa saa sita.
“Zari muamshe ashangilie ushindi wa babu yake” “Hapana Erick, mwaya muache mtoto alale hata kesho asubuhi atashangilia ushindi wa babu yake alio upata.
“Jamani ninawaomba munipe ushirikiano mkubwa sana kwenye hii nafasi, sasa hivi nyinyi ndio watu wa muhimu sana kwangu, sinto tarajia kuona siku inatokea kwamba mmoja kati yenu anakwenda kinyume na mmi” “Hilo halina shaka mume wangu, uzuri familia yetu ni ndogo” “Erick nihahitaji uwe karibu sana na mimi” “Usijali baba” “Nitahitaji uwe mshauri wangu wa mwisho kwa kila maamuzi ya kiserikali” Mlio wa meseji ukasikka kwenye simu yangu, kwa haraka nikaitoa mfukoni huku nikiwa nimejawa na furaha. Nikaufungua ujumbe huu unao someka.
‘HONGERA ERICK NA BAAB YAKO INGIA WHATSAPP SASA HIVI’
Namba hii ni ngeni kwenye simu yangu, nikatoka upande wa meseji na kuiingia whatasapp, nikakuta namba hiyo ikiwa imenitumia video, nikaifungua na kuiruhusu kuonyesha. Macho yakanitoka huku mwili ukinitetemeka, kwani kiwanda changu nilicho kihangaikia miaka yote kinateketea kwa moto mwingi. Ukaingia ujumbe mwingine Whatsapp unao someka
‘ERICK VITA NDIO IMEANZA SASA NI LAZIMA WEWE NA BABA YAKO MUWE MASIKINI WA KUTUPWA HAPA DUNIANI’
Nikayanyanyua macho yangu na kumtazama baba usoni mwake, kisha taratibu nikatabasamu ila ila moyoni mwangu nina woga mwingi mkubwa sana.
ITAENDELEA
 
ILIPOISHIA
Mlio wa meseji ukasikka kwenye simu yangu, kwa haraka nikaitoa mfukoni huku nikiwa nimejawa na furaha. Nikaufungua ujumbe huu unao someka.
‘HONGERA ERICK NA BAAB YAKO INGIA WHATSAPP SASA HIVI’
Namba hii ni ngeni kwenye simu yangu, nikatoka upande wa meseji na kuiingia whatasapp, nikakuta namba hiyo ikiwa imenitumia video, nikaifungua na kuiruhusu kuonyesha. Macho yakanitoka huku mwili ukinitetemeka, kwani kiwanda changu nilicho kihangaikia miaka yote kinateketea kwa moto mwingi. Ukaingia ujumbe mwingine Whatsapp unao someka
‘ERICK VITA NDIO IMEANZA SASA NI LAZIMA WEWE NA BABA YAKO MUWE MASIKINI WA KUTUPWA HAPA DUNIANI’
Nikayanyanyua macho yangu na kumtazama baba usoni mwake, kisha taratibu nikatabasamu ila ila moyoni mwangu nina woga mkubwa sana ulio nitawala.

ENDELEA
“Vipi?” Baba aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.
“Hamna kitu” “Sawa” Safari ikaendelea huku moyoni mwangu nikiwa na wasiwasi. Tukafika katika nyumba ambayo imeanfaliwa maalimu kwa baba kuweza kukaa kabla hajaapishwa na kukabiziwa ikulu. Nikamfwata baba na kumuomba nizungumze naye kidogo, tukaseogea pembeani na kumuacha mama na Zari wakiendela kuishangaa shangaa hii nyumba.
“Baba kuna tatizo?” “Tatizo gani?” Nikamkabidhi baba simu yangu na kumueweka vidoe niliyo tumia na mtu nisiye mfahamu.
“Hichi si kiwanda kinaungua moto” “Ndio baba na hichi ni kiwanda changu” “U..unataka kuaniambia ni itilafu au?” “Hapana” Nikamuonyesha baba meseji ambayo nimetuwa na mtu huyo ambaye hadi sasa hivi simfahamu. Nikamuona baba akivua miwani yake huku akinitazama usoni mwangu.
“Hiyo namba inabidi tuitume polisi waweze kuifwatilia na tufahamu ni wapi huyo my yupo kwa maana inavyo onekana kwamba ana mipango mizito dhihi ya hii familia” “Ndio hivyo baba na tazama kiwanda changu kwa sasa iknawaka moto” “Hembu niandikie hiyo namba kwenye simu yangu” Baba akanikabidhi simu yake, nikaanza kumuandikia namba iliyo nitumia.
“Ngoja nimpigie?” “Hapana usimpigie mimi nitajua ni jinsi gani nitadilia naye, nitahakikisha kwamba analipa garama zote za kiwanda chako” “Asante baba” “Ila usimuambie mama yako isije sukari uake ikaanza kumpanda bure” “Sawa baba” Usiku kucha sikuweza kulala huku nikifikiria kiwanda changu. Simu yangu ikaita kwa haraka nikaichukua na kuipokea.
“Halooo” “Bosi nijmejaribu kukupigia ila simu yako haipatikani?” “Mbona nipo hewani Hussein” “Nimejaribu sana ila bosi kuna tatizo limetokea?” “Tatizo la kuungua kwa kiwanda?” “Ukiachialia hilo kuna…….”
Husseina kaaka kimuya kwa sekunde kadhaa, ikanibidi nimuite ili musikiliza ili nifahamu kuna kitu gani kimetokea.
“Hussein?” “Bibi ameuwawa?” “NINI?” “Ndio” Nikashuka kitandani kwa haraka na kumfanya Zari naye astuke kutoka usingizini.
“Baba Brian kuna nini?” Zari aliniuliza huku akinitazama, nikabaki kimya kwani hata kuzungumza ninashindwa kabisa kwani jukumu la kumlinda bibi ambaye alijuwa ni mama mlezi wa mzee Omary lipo mikononi mwangu, na tangu matatizo ya familia yangu yatokee nikajikuta nikiwa bize kiasi cha kuweza kumsahau bibi huyu ambaye alikuwa ni mshauri mkubwa kwangu kwa mambo mengi.
“Bosi” “Ninakuja sasa hivi” “Ila kwa sasa ni usiku bosi?” “Hussein hunishauri katika hilo ninakuja sasa hivi” Nikakata simu, nikaanza kuvaa nguo nilizio kuwa nimezivaa kabla ya kulala huku nikimtazama Zari usoni mwake.
“Baba Brian jamani si ninakuongolesha?” “Ninakwenda Soni” “Usiku wote huu?” “Ndio” “Kuna kitu gani kimetokea?” “Kiwanda changu kimeungua na moto” “Moto, kisa nini?” “Sifahamu ila ninahiji kwenda kulishuhulikia hili tatizo” “Lakini baba Brian usubiri kupambazuke ndio uende?” “Siwezi kufanya hiyo, pale nimewekeza pesa na sinto kubali kufanya hivyo. Wewe lala asubuhi utamuambia mama kwamba nimetoka” Zari hakuwa na jambo la kuzungumza zaidi ya kukubaliana na mimi kwa kile ninacho kizungumza, nikatoka nje na kuwakuta walinzi wa baba pamoja na askari maalumu kutuko serikalini wakiendeleza kuimarisha ulinzi eneo zima la nyumba hii.
“Muheshimiwa unakwenda wapi?” Mlimzi mmoja aliniambia huku akinitazama usoni mwangu.
“Ninaweza kupata gai kwa sasa?” “Hapana muheshimiwa hatuweze kukuruhusu muda huu ni usiku na mtu wa pekee ambaye tunaweza kupata amri yake ni muheshimiwa raisi” “Tafadhali jamani nina matatizo ninihitaji kwenda kuyashuhulikia kwa sasa. Ninawaomba munipatie gari” “Hapana hatuwezi kufanya hivyo muheshimiwa, ninakuomba urudi ndani”
Mlinzi huyu alizungumza kwa msisitizo mkubwa sana, sikuwa na uwezo wa kufanya chochote zaidi ya kurudi ndani kwani kwa sasa familia yetu ipo katika ulinzi mkali sana.
“Vipi?” Zari aliniuliza huku akiwa amesimama sebleni.
“Wamekataa mimi kutoka” “Kwa nini?” “Ni mambo ya usalama na anaye weza kuruhudu hilo jambo ni baba” Tukarudi chumbani na Zari huku kichwa changu kikiwa kimejawa na mawazo mengi sana. Sura ya bibi kwa mara kadhaa inanijia kichwani mwangu.
“Nimeua” Nilizungumza huku mikono yangu ikinitetema.
“Umeua!!?” Zari aliniuliza huku akikaa karibu yangu, mkono wake mmoja akaniwekea mgongoni mwake huku akionekana akihita kujua ni kitu gani kinacho endelea kwenye mawazo.
“Bibi yangu amefariki” “Bibi?” “Ndio ni bibi yangu mlenzi amefariki dunia” “Sasa kwa nini unasema umeua wakati amefariki kutokana na mapenzi ya Mungu?” “Ameuwawa?” “Umeuwawa na nani!!?” “Sifahamu. Jukumu la kumlinda lipo juu yangu na nimeshindwa kuwa naye kwa kipindi hichi ya huu mwezi mzima nilio kuwa Dar es Salaam” “Ercik” Nikamtazama Zari pasipo kuitikia. “Kila jambo linatokea kwa makusudi. Kikubwa ni kumshukuru Mungu, na kama kuna wauaji basi waachie polisi waifanye kazi yao”
“Siwezi kufanya hivyo, kuna watu wanahitaji kuturudisha mimi na baba chini, sasa siwezi kuliruhusu hilo katika familia yangu, ni bora mimi nife ila hii familia iwe na amani” “Erick usizungumze hivyo?” “Nikizungumza Zari huwa nina maanisha kwa hiyo huwezi kubadilisha kile kilichopo moyoni mwangu sawa” Nilizungumza kwa ukali hadi Zari akaka kimya huku akitingisha kichwa kukubalina nami kwa kile nilicho kizungumza.
“Baba Brian?” “Nini?” “Basi usiku mwema” Zari aliniachia kwa haraka akajisogeza kitandani na kulala huku akionekana kutawaliwa na woga mwingi kwani tangu niwe naye kwenye mahusiano hakuwahi kuniona nikiwa katika hasira kali. Sikuhitaji kupanda kitandani zaidi ya kunyuka, nikawasha tv na kuangalia taarifa mbali mbali zinazo endelea kwenye vyombo vya habari.
Majira ya saa kumi na mbili asubuhi, nikatoka chumbani kwetu, nikamkuta baba akiwa amekaa sebleni akifanya mazoezi madogo madogo ya viungo. Nikamsalimia na kukaa kwenye moja ya sofa huku sura yangu ikiwa bado ina hasira na machungu makali kwa wale wote ambao wamesababisha mauaji ya bibi yangu.
“Vipi mbona umekasirika hivyo?” “Baba ninahitaji kuelekea Soni” “Kiwanda chako niliwasiliana na mkuu wa mkoa wa kule amesema walifanikiwa kukizima na ni sehemu ndogo tu ambayo ndio iliteketea” “Bora ni kiwanda ningeweza kusamehe na kampuni yangu ingeweza kusimamia kila kitu kinacho endelea. Ila kuna tatizo kubwa limejitokeza eneo hilo” “Tatizo kubwa, ni nini hilo” “Kuna bibi yule niliye wahi kuwaadisia na mama” “Ndio ninamkumbuka” “Ameuwawa, nina imani kwamba watu walio husika na kuchoma kiwanda ndio hao walio husika na kumuua bibi yangu” “Weeeee!!” Baba alishangaa huku akikaa taratibu kwenye sofa
“Ndio hivyo baba, ninaona hawa watu vita hii sasa wameikomalia, ni wakati wetu kuhakikisha kwamba na sisi tunajilinda kwa maana tukiawaachia katika hili basi ipo siku watakuja kwenye hii familia kama walivyo fanya awali” “Ila hili jambo nimewakabizi NSS, naamini kwamba watalishuhulikia kujua ni nani ambaye yupo nyuma ya mzunguko mzima wa haya matukio ya ajabu” “Hilo tu halitoshi, ninahitaji kwenda kulifanyia kazi mimi mwenyewe kwa maana mimi ndio muhusika mkuu ambaye wananilenga japo wewe wanatambua kwamba ni ngumu kukupata kwa sasa” “Peka yako Erick huwezi kuifanya hii kazi” “Ninaweza baba kikuvwa ninacho kihitaji ni msaada wako katika kunilinda katika hili. Kwa sasa unakwenda kuishikilia serikali, kwa sasa wewe ndio utakuwa baba wa hili taifa, yoyote atakaye hitaji kufanya kitu basi anakuja kwako na kuomba. Tafadhali baba ninakuomba uniruhusu kwenye hii kazi” Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama baba usoni mwake. Baba akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akiwa ameyafumba macho yake akifikiria ni kitu gani cha kuzungumza.
“Tafadhali baba” Nilizidi kuendelea kuzungumza kwa msisitizo huku nikimkazia macho baba yangu.
“Erick mwanangu wewe ni jasiri, nilikupeleka NSS, ukajifunze na uwe jasiri kama mimi ila sinto kubaliana na wewe katika hili kwani unakwenda kuhatarisha maisha yako na pia hujafuzu mafunzo ya usalama wa nchi” “Baba hapa hakuhitajiki mafunzo, hapa kunahitajika ni nini cha kufanya. Tazama Brian aliingia mikononi mwa magaidi kutokana na walinzi walio jifunza na wote walihitimu mafunzo yao ndio maana uliamua kuwaweka wawe walinzi.
Niliendelea kuzungumza kwa msisitizo huku macho yakinilenga lenga usoni mwake.
“Erick nimekuchagua uwe mshauri wangu, ila sinto kubali kukuona unakwenda kupambana na magaidi ambao watashuhulikiwa na kikosi vyetu vya ulinzi’
“Baba nimemuahidi Zari kwamba nitakufa kwa hii familia, kwa hiyo nahitaji kufanya kazi ambayo ulinipa juzi kwenye gari” “Ina maana ulimueleza Zari hilo jambo?” “Sio hilo, ila nilimuambia kwa wale watu walio choma kiwanda changu tu” “Vizuri” “Yaa ninaomba unipatie amri yako baba yangu” Baba akaka kimya huku akishusha pumzi. Taratibu baba akanyanyuka na mimi nikanyanyuka taratibu akanikumbatia huku akinipiga piga mgongoni mwangu.
“Hakikisha una ua mtu mmoja baada ya mwingine, nitakulinda kwa kila jambo baya au zuri utakalo lifanya mwanangu” Baba alizungumza kwa sauti ya chini iliyo jaa uzito mwingi huku akiendelea kunikumbatia kwa nguvu.
“Nimekuahidi baba ninatakwenda kuwa vunja mikund** yao mmoja baada ya mwengine aliye ingia kwenye kumi na nane zangu” Nilizungumza kwa hasira huku nikiyang’ata meno yangu nikionyesha ni jinsi gani nimedhamiria kuwashuhulikia maadui wote walio ingia kwenye maisha yangu, sinto jali ni nani hata kama ni Rose ni lazima nitamuua tu.
ITAENDELEA
 
Hii hadithi bandika bandua .Niko likizo huku Meru toka usiku mkali mpaka saa ndio namaliza kusoma.Hongera mkuu The Banker!
 
Back
Top Bottom