ILIPOISHIA
Nikajaribu kuipiga tena na tena ila jibu ni kwamba namba hiyo haipo. Kwa haraka nikatoka ofisi humu huku nikimuacha Mariana akivaa shati lake kwa haraka, hata anavyo niita wala sikuweza kuelewa. Wafanyakazi wangu wote wakanitazama kwani walisha anza kusikia sauti ya Mariana anavyo niita tangu nilipokuwa ninatoka chumbani. Macho yangu yote mawili nimeyaelekezea kwenye Tv kubwa iliyopo hapa sebleni kwangu.
“Bosi kuna nini kinacho endelea” Mlipuko wa bomu katika kiwanja hichi ukawafanya wafanyakazi wote ndani ya hii seble kushangaa, nikajikuta nikikaa chini na kuanza kuanguua kilio kikali kwani Rose amekwenda kujitoa muhanga wa kujilipuka katika siku ya kuapishwa kwa baba yangu.
ENDELEA
Mariana akawa na kazi ya kunibembeleza. Kwa haraka nikanyanyuka, nikaelekea chumbani kwangu na kumfanya Mariana kunifwata kwa nyuma.
“Erick Erick” Mariana aliniita huku akiendelea kunifwata kwa nyuma. Nikafungua kabati langu la nguo, nikachukua funguoa ya gari langu moja aina ya Aud A7.
“Unatakwa kwenda wapi na funguo ya gari?” “Naelekea Dar es Salaam” “Ukiwa katika hali hiyo ya majonzi utaweza kuendesha gari kweli” “Ninaweza” “Hapana Erick unanitania, haupo sawa na siwezi kukuacha uondoke ukapate matatizo” “Unanizuia wewe kama nani?” Nilizungumza kwa hasira huku nikimtazam Mariana usoni mwake, cha kushangaza Mariana hakuogopa kabisa hasira yangu zaidi alicho kifanya ni kunisogelea kwa na kusimama mbele yangu.
“Ninazungumza kama mwanamke ninaye kupenda na kuyajali maisha yako kuliko kitu cha aina yoyote” “Mariana hunijui mimi, tafadhali ninakuomba unipishe” “Siwezi kukupisha” Nikamsukuma Mariana kwa nguvu kitandani, nikaanza kutembea kuelekea nje, watu wote sebleni wakanitazama, nikasimama kwa sekunde kadhaa huku nikiwatazama,
“Mariana atachukua nafasi ya Hussein hadi pale nitakapo rudi sawa” “Bosi unakwenda wapi?” “Hilo haliwahusu, nilicho zungumza ninaomba mukifwatake sawa” “Sawa bosi” “Jamani naombeni mumkamate Erick hayupo sawa jamani” Mariana alizungumza na kuwafanya wafanyakazi wangu wote wabaki wakimshangaa kwani hapakuwa na mtu aliye weza kufwata amri yake. Nikatoka nje na kuzuguka uwani kwenye banda kubwa la kuhifadhia magari, nikaingia kwenye gari langu na kuliwasha.
“Erick ninaomba twende wota kama huto jali siwezi kukaa hapa peke yangu na kukuona unaondoka ukiwa katika hali kama hiyo” Mariana alizungumza huku akiwa amesimama mbele ya gari hili, nikamtazama kwa nguvu huku nikiwa nimekanyaga breki, nikazima gari na kushuka.
“Niambie unataka nini kwangu?” “Nicho kihitaji kwako ni usalama wako tu, amani ya moyo wangu ninaweza kuitafuta hata kwa mtu mwengine” “Natambua kwamba unanijali, ila bado hujanijua” “Kwani wewe ni nani hadi useme sijakujua” Nikamshika Mariana mkono hadi kwenye chumba cha gareji kilichopo humu ndani, nikaufunga mlango kwa ndani na kuwasha taa, nikamsukuma Mariana hadi ukutani huku mkono wangu mmoja ukiwa umemkaba koo lake. “Nione nikiwa nimecheka, tabasamu na kufurahi, sijui ni watu wangapi wamefariki pale, unajua ni nani aliye weza kusababisha lile tukio kutoke eheee” Nilizungumza kwa hasira na kumfanya Mariana kutingisha kichwa huku sura yake akiwa amikunja kwa maumivu ya koo lake ninalo libana. “Aliye kufa pale ni mwanamke ninaye mpanda kwenye maisha yangu, mwanake niliye msababishia aweze kuonja harufu ya kifo kwa ajili yangu, mwanamke niliye aliye jiunga kwenye ugaidi kwa ajili yangu so wewe ni nani ambaye unajaribu kuzuia maamuzi yangu?” Nikamuachia Mariana koo lake na kumfanya aanze kukohoa kwani ni kwadakika kadhaa aliweza kukosa pumzi.
“Nimekuachia kampuni yangu iongoze katika njia inayo eleweka ukishindwa atachukua mtu mwengine umenielewa” “Sawa mkuu” Mariana alinijubu kwa sauti ya woga huku mwili mzima ukimtemeka. Nikatembea kwa haraka hadi mlangoni, nikataka kuufungua mlango, ila nikageuka na kumtazama Mariana aliye inama huku mikono yake akiwa ameshika magotini mwake. Nikarudi katika sehemua aliyopo, kwa haraka akanyanyuka na kunitazama huku akizidi kutetemeka.
“Ninakuomba unisamehe kwa hili lililo jitokeza” Mariana alishindwa kunijibu kwa woga, nikaupitisha mkono wangu wa kushoto kiuononi mwake, taratibu nikausogeza mdomo wangu karibu na lipsi zake jambo lililo mfanya Mariana kufumba macho yake. Nikaanza kumnyonya midomo yake, huku ulimi wangu ukiwa na kazi ya kupita kila sehemu katika kinywa chake. Nikafungua kifungo cha suruali yake aliyo ivaaa, nikaishusha chini kidogo, mkono wa kulia ukaanza kuchezea ikulu yake, jambo lililo mfanya Mariana kuanza kutoa miguno ya mahaba, nikaishusha chupi yake. Mariana naye akanza kufungua jinsi niliyo ivaa, akamalizia na boksa kabisa.
Hatukuwa na muda wa kuandaa, kazi ikawa ni moja tu, kuhakikisha kwamba jogoo wangu anakula kitumbua chake kisawa sawa. Mariana akazidi kutoa vilio vya mapenzi ambavyo nilianza kuhisia vinaweza kusikia nje, ikanibidi kumzima mdomo wake, ndani ya dakika kumi na tano tukawa tumemaliza mtanange huu wa kaukata kwa shoka.
“Asante mpenzi wangu Erick” “Asante nawe pia” Nikapandisha boksa yangu pamoja na suruali yangu. Mariana akanifuta jasho linalo nitiririka usoni mwangu kwa viganja vyake.
“Nakuahidi nitaongoza kampuni yako, na hakuna atakaye weza fanya ujinga kama alio ufanya Hussein” “Shukrani” Mariana alipo maliza kuvaa nguo na kujiweka sawa tukatoka kwenye chumba hichi.
“Kuwa makini huko barabarani” “Usijali” “Ila si ungeoga kwanza” “Muda ni mdogo” “Haya” Nikaingia ndani ya gari langu na kuondoka zangu katika eneo hili la nyumba, nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia mama, simu yake ikaita na haikupokelewa, jambo lililo anza kunipa mashaka makubwa, nikampigia tena, na ikapokelewa.
“Mama upo salama?” “Ndio mwanangu, familia nzima ipo salama. Tuliweza kuondolewa uwanjani na wana usalama wa taifa” “Asante Mungu” “Upo wapi kwa maana baba yako aliniambia kwamba upo kwenye kazi sasa umeimaliza?” “Sijaimaliza ila kwa sasa nipo njiani ninarudi Dar es Salaam” “Sawa ukifika utatupigia na nitakuambia kwamba ni wapi tulipo” “Sawa mama”
Nikakata simu na kuiweka siti ya pembeni. Safari ikazidi kusonga mbele na ikanichukua masaa matano kufika Dar es Salaam. Nikampigia simu mama na akanieleza ni sehemu gani walipo. Moja kwa moja nikaelekea hadi katika eneo hilo ambalo nikakuta ulinzi mkali wa askari pamoja na wanajeshi.
“Mimi ni mtoto wa muheshimiwa raisi”
“Onyesha kitambulisho chako” Mwanajeshi aliyopo getini aliniambia, nikatoa simu yangu na kumpigia baba.
“Baba nipo getini nimezuiliwa kuingia” “Mpatie simu huyo askari” Nikampatia simu mwanajeshi huyu, akaiweka sikioni mwake.
“Ndio” “Sawa mkuu” Akakata simu na kunirudishia simu yangu, wakanifungulia geti la kwanza, taratibu nikaingiza gari langu ndani, niaruhusiwa kupita katika geti la pili na la tatu la mwisho ambalo linalindwa na walinzi wa raisi mwenyewe. Nikasimamsiha gari kwenye magesho, nikashuka, mlinzi mmoja akanipeleka moja kwa moja hadi ndani.
Mama alipo niona kwa haraka akanyanyuka kwenye sofa alilo kaa na kunikumbatia kwa nguvu, huku machozi yakimwagika, Zari na Brian nao pia wakanifwata na kunikumbatia.
“Mupo salama” “Tupo salama mwanangu” “Mungu ni mwema” Nilizungumza huku nikiwaachia, nikamfwata baba sehemu alipo simama, nikampa mkono huku nikimtazama usoni mwake.
“Kazi imeanza” Baba alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Ndio baba wamevuka mpaka sasa, sio wakati wa kuweza kuwaangalia” “Ni kina nani hao?” Mama alituuliza huku akituzama, baba akaka kimya kwa dakika kadhaa na kunifanya nishindwe kulijibu swali la mama.
“Ninawauliza ni kina nani hao?” “Rose na kundi lake” “Rose! Rose yupi?” Nikamtazama Zari usoni mwake kisha nikamtazama na mama.
“Yule aliye kuwa mpenzi wangu.” “Weeee unataka kuniambia kwamba Rose yeye ndio anahusika na mpango mzima wa kulipuka kwa hili bomu?”
“Si bomu tu hili la kwanza yeye na mume wake ndio wamehusika katika matukio yote tangu kupindi kile chauchaguzi” Taratibu mama akaka kwenye sofa alilo kuwa amekalia huku akiwa ameshikwa na bumbuazi kubwa sana.
“Niliongea na mkuu wa polisi wa Lushoto akaniambia kwamba wameweza kuwaa majambazi wanao fanya kazi chini ya Rose” “Ndio, mimi ndio niliye fanikisha kuweza kuwaua. Baba nchi kwa sasa ipo kwenye hatari kubwa sana, Hakikisha kwamba unachagua watu walio sahihi, hakikisha kwamba jeshi la polisi linaongezewa mafunzo ya kupambana na hawa magaidi, pia vifaa na mishahara inakuwa ni pendekezo la kwanza.” Nilizungumza kwa kujiamini huku nikimtazama baba yangu usoni mwake.
“Sawa hilo nimekuelewa, ninaimani kwa sasa utakuwa mshauri wangu mkuu na wa mwisho katika kuiongoza hii nchi” “Baba, sidhani kama nitaweza kufanya hivyo, ila kuna mtu ambaye ninaimani anaweza kufanya hivyo” “Mtu, mtu gani?” “Dokta Benjamini, ningependa kwamba uweze kumuweka awe ni sekretari wako mkuu, yeye anaijua hii nchi na matatizo yanayo wakumba wananchi hususani kwenye swala la afya” “Unaweza kumpigia simu?” “Ndio”
“Fanya hivyo” Nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia dota Benjamini, simu yake ikata kwa muda kidogo kisha ikapokelewa.
“Shikamoo dokta” “Marahaba Erick, habari yako” “Salama tu, dokta ninaomba moja kwa moja niende kwenye pointi yangu” “Ndio” “Kuanzi hivi sasa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Bwana Almeida amekuteua kuwa sekretari mkuu wa ofisi yake, na kama una upo kazini hakikisha kwamba unaachana na hicho unacho kifanya na uniambie kwamba upo wapi mimi mwenyewe nitakuja kukuchukua hapo”
Ukimya wa sekunde kama ishirini ukatawala kwenye simu, nina imani kwamba daktari atakuwa yupo katika hali kubwa ya mshangao, kwani hii ni bahari njema kwake.
“Erick hembu acha utani wa usiku huu” “Wewe ni baba yangu mlenzi na wala sikuwahi kufanya utani na wewe, ninakuomba uweze kuniambia kwamba upo wapi nije kukufwata sasa hivi nyumbani?” “Nipo hospitali kwa sasa tunashuhulika na majeruhi walio lipuka katika mlupuko” “Basi sawa nipe nusu saa” Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu.
“Ila kwa nini umeamua kuniletea dokta Benjamini?” “Kama nilivyo kuwambia baba, mzee huyo anaweza kukusaidia sana katika kuiongoza hii nchi, wewe utakuw andio raisi umeingia madarakani kwa matatizo makubwa kama hili la leo. Na wamekufa watu wangapi?” “Hadi ripoti ya mwisho ninaletewa, wamefariki watu elfu moja na mbili” “Hiyo ni nje ya majeruhi?” “Ndio” “Umeona sasa baba, ila kuna kitu ninaomba nikuombe” “Zungumza tu” “Nahitaji kurudi NSS, nahitaji kukusaidia wewe nikiwa ndani ya hicho kitengo kwa maana kwa sasa hakuna mtu wa kumuamini, mtu wa pekee ni hii familia yako labda na daktari ninaye mleta. Watu hawa wanaiandamisha familia yetu na kuangamiza hii familia kwao ndio itakuwa ni ushindi sawa baba yangu” “Yote ni makosa yangu” Sauti ya mama ikatufanya sisi sote kumgeukia na kumtazama, mama akakaa kimya huku akiinamisha kichea chake chini.
“Kwa nini unazungumza hivyo mama?” “Laiti nisinge mkataa Rose na kumuambia maneno mabaya ya kejeli, nina imani haya yote yasinge tokea na wala asinge yafaya” “Hapana mke wangu, umefanya kile ulicho kifanya hakuna muda wa kujilaumu, ni wakati wa kupambana kuhakikisha kwamba tunalitatua hili tatizo” “Samahani kwa kuingilia mazungumzo yenu” Zari alizungumza kwa sauti ya upole sana.
“Zungumza” “Haya matatizo yanatokea kwa ajili ya mapenzi?” Sote tukaka kimya tukimtazama Zari kwani swali lake ni gumu kulijibu.
“Eti Erick, ni kwaajili ya mwanamke aliye kupenda?” Zari aliuliza huku machozi yakimlenga langa, mama taratibu akahamia kwenye sofa alilo kaa Rose, akamshika mikoni yake yote miwili.
“Hapana mwanangu, si kwa ajili yako wala kwa ajili ya mapenzi” “Baby ninawaomba mukazungumzie chumbani”
Nilimuambia Zari, taratibu wakanyanyuka na mama na kuelekea chumbani.
“Baba nitahitaji bastola ngoja niende kumchukua huyu dokta kwanza, mambo mengine tutayajadili. Ila hakikisha hutoi ujumbe wowote kwenye vyombo vya habari hadi nitakapo rudi” “Sawa” “Naomba nipatiwe bastola moja” “Umepata” Baba alizungumza, tukatoka nje pamoja, akamuita mlinzi wake ambaye anamuamini, akanipatia bastola iliyo jaa risasi.
“Kuwa makini huko uendapo” “Sawa baba” Nikaingia kwenye gari, nikageuza kwa haraka na kuondoka eneo la nyumba hii ya kifahari, safari ya kuelekea hospitali ya Muhimbili ikanichukua lisaa zima hii ni kutokana na foleni niliyo kutana nayo barabarni, moja kwa moja nikaelekea ofisini kwa dokta Benjamini. Nikamkuta akiwa anakusanya kusanya vitu vyake muhimu na kuviweka kwenye boksi.
“Erick ni surprise ya aina gani ambayo umenifanyia?” “Ndio hivyo naamini baba zangu wawili mukikaa sehemu moja basi munaweza kuhakikisha kwamba nchi inakwenda katika hali ambayo itakuwa ni sahihi” “Nashukuru sana kwa kuweza kunikumbuka katika ufalme wa baba yako” “Usinishukuru sana mimi, kikubwa ni kumshukuru Mungu kwani yeye ndio aliye nifanya mimi kuweza kukukumbuka” “Amen, ila ningeomba tuelekee nyumbani kwangu nikabadilishe nguo” “Sawa hilo halina shaka” Nikamsaidia kubeba boksi lake moja na kutoka nje, akaingia kwenye gari lake na mimi nikakingia kwenye gari langu. Tukafika nyumbani kwake majira ya saa tao kasoro usiku, tukapokelewa na Cesilia ambaye akaonekana kushangaa ugeni wangu usiku wote huu.
“Erick mbona hapa saizi” “Hapa ni kwetu mama yangu” “Mke wangu tumshukuru sana Erick, yaani hapa udaktari ndio kwa heri”
“Kwa heri kivipi?” “Yaani kuanzia hivi sasa mimi ndio nitakuwa mshauri mkuu wa raisi” “Waooooo” Cesilia kwa haraka akamkumbatia ume wake na kuanza kumpiga mabusu mengi mashavuni mwake.
“Baby niandalie suti kali niondoke na mwanangu” “Sawa baby” Cesilia akakibilia gorofani huku akishangilia kwa furaha sana. Doka Benjamini kwa mara nyingine akanipatia mkono wa shukrani.
“Utauyafanya maisha yangu kubadilika sasa” “Mungu ni mwema, kajiandae haraka baba yangu, muda hautusubiri, hapa raisi anakusubiria wewe” “Sawa mwanangu” Dokta Benjamini akaondoka, nikabaki nikiwa hapa sebeni nikitembea huku na kuele nikiwasubiria watoke, hawakuchukua muda mwingi wakashuka huku dokta Benjamini akiwa amevalia suti nyeusi na shati jeupe.
“Hapo baba yangu umependeza” “Etiee eheee” “Ndio”
“Yaaaa” Cesilia akanikonyeza na kuioyeshea ishara ya kunipigia simu pasipo dokta Benjamini kuona mwenyewe. Tukamuaga Cesilia na kutoka nje, tukaingia kwenye gari na kuondoka nyumbani kwake hapa.
“Naamini kwamba kuanzia kesho nyumba yako italindwa” “Nitashukuru sana” Tukiwa njiani kwa kioo cha pembeni nikaoga gari mbili aina ya Range Rover sport zikitugwata kwa kasi huku zikiwasha taa.
“Vipi?” “Kuna gari mbili zinatufwata kwa nyuma” Dokta Benjamini akageuka na kutazama nyuma.
“Ulimuambia mtu yoyote kwamba umeteuliwa kuwa mshauri wa raisi?”
“Ndio, ni madaktari wangu wawili ambao ni wasiaidizi ndio niliwaambia” “Sawa”
“Vipi kwani kuna ubaya?” “Nchi kwa sasa, hakuna mtu ambaye tunatakiwa kumuamini kwa maana kuna watu wanahitaji kuiteketeza familia yam zee kama unavyo jua” “Kweli sasa tunafanyaje kwa maana hizi gari zitatufwata kwa kasi” “Subiri uone” Nikafunga breki za gafla na kufanya gari moja kunipita na nyingine kusimama kwa nyuma ya gari letu, vioo vya gari la mbele vikafunguliwa watu waliomo kwenye gari hii wakatoa mitutu ya bunduki na kuanza kutushambulia gari letu kwa risasi.
ITAENDELEA