THE SPIRIT THINKER
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 419
- 652
- Thread starter
- #161
Black Star 2: Astra 27
Hali ya joto lilichanganyika na ubaridi kwa mbali ukamfanya Fahad asisimke japo alikuwa usingizini. Miale ya jua iliyopenya dirishani ikampiga machoni na kumafanya aweweseke kabla ya kufunguwa macho. Mkononi kwake alihisi ameshika kiti laini chenye kubonyea bonyea.
Mapigo ya moyo yakaanza kumuenda mbio, kichwani akajaribu kujiambia kuwa kitu hicho kilaini sicho anachofikiria. Lakini hata kabla hajamaliza shuka yake ikacheza.
"Sijagusa kitu" Akajisemea huku akijaribu kuutoa mkono wake sehemu uliokuwa umegusa. "Anh!" Sauti laini ya kike ikasikika kutoka ndani ya shuka.
Shuka hilo likasukumwa nyuma, kichwa kilichojaa nywele za kijani zenye kutoa aroma nzuri na kusuuza nafsi ndicho kilichomkaribisha. Mschana huyo akainuwa kichwa na kumuangalia Fahad machoni.
"Umeamka bwana wangu" Akaongea. Fahad hakujibu kitu badala yake akameza funda kubwa la mate.
Akainuwa shuka ili kuthibitisha alichokuwa anahisi, hakuwa na nguo hata moja!.
"Umelalaje bwana wangu" alirudia mschana huyo na kujikandamiza zaidi mkononi mwa Fahad.
"Unafanya nini, Nephira" aliongea akijaribu kumtoa mikononi mwake.
"Ah bwana wee, mi bado nina usingizi" alijibu na kujigeuza upande jambo ambalo lilisababisha shuka lote kutoka mwilini mwake. Fahad akashuhudia umbile maridadi la kike, kwa sekunde chache mwili wake uligoma kabisa kutii akili yake. Umbile la mschana lilithibitisha uwanawake wa Nephira. Pasi na matarajio yake, akajisogeza karibu na kukagua kiuno cha binti huyo kwa mkono wake wa kushoto.
"Bwana, niache nipumzike. Siku tatu zotw hukunipa hata nafasi ya kupumuwa" aliongea Nephira kwa sauti ya nataka sitaki. Kama ilivyo kwa rijali yeyote kuushinda mtihani wa matanio na kwa Fahad haikuwa vinginevyo. Hakuna kiungo hata kimoja kilichotii akili yake, vilifuata hisia za asili za kiume na kumfakamia bibie huyo.
Fahad anakuja kuzinduka baada ya kuguswa kifuani na mkono wenye joto. "Umepumzika vizuri bwana wangu" aliuliza Nephira akiwa anajilaza kifuani kwa Fahad.
"Nini kimetokea" akauliza.
"Umenichukuwa na kunifanya wako" aliongea Nephira na kukaa kitako, kisha akatoa shuka mwilini mwake. Chini ya kitovu alikuwa na mchoro wa ajabu ambao Fajad hakuwahii kuuona katika maisha yake.
"Jifunike na uwe na heshima" alitaka kuongea kwa kufoka lakini akili ikamsaliti.
"Hii unayoiyona chini ya kitovu changu inaitwa Sigil" aliongea Nephira.
"Sigil ndio nini?".
" Sigil ni alama ya muuganiko wa mwanaume na mwanamke, muunganiko wa akili, mwili na kiwiliwili".
"Mbona mi sijawahi kuona kitu kama hicho"
"Ni kwasababu hukuwa na muda kuukagua mwili wako, mi najua kama una mke na unampenda sana. Hiyo inathibitishwa na sigil kubwa kifuani kwako" aliongea Nephira na Fahad akajiangalia kifuani. Akakutana mchoro mkubwa ambao hakuuelewa kabisa.
"Hiyo ni sigil ya malikia wa kwanza wa moyo wako, na ni ushahidi kiasi gani unampenda. Unaweza ukahisi kama umemsaliti lakini nina uhakika hata yeye alifahamu kuwa itafika siku ambayo hutakuwa wake peke yake. Katika mkono wako wa kulia kuna alama ya jani lenye kung'ara, hiyo ni sigili yangu. Kwa maneno mengine mwili wako umenichagua mimi kuwa malkia wa pili wa moyo wako" alifafanua Nephira.
Akaendelea, "Fahad wewe huna haki ya kuchagua nani umpende na nani usimpende. Na najua unalijua hilo vyema kwasababu kuna dalili za sigili nyingine ambayo haikufanikiwa kujichora. Mwili na akili yako vinachagua ni mwanamke gani awe mwandani wako, na vinafanya hivyo kuchagua warithi wenye uwezo wa kupokea uwezo wako".
Kwa Fahad maelezo yote yalikuwa yakimchanganya akili tu, alihisi kama hadithi ya abunuasi tu.
"Huko mbeleni unaweza kuwa na wake wengi zaidi, una maisha marefu sana mbele" alimalizia Nephira kusimama, akamuinamia Fahad na kumzawadia busu jepesi la mdomoni.
********
"Fahad tulikuwa tunakusubiri" aliongea Fang Shi punde tu baada Fahad ndani. Hakuwa peke yake, walikuwepo wengine wengi ambao hata Fahad mwenyewe hakuwa akiwafahamu.
"Kuna nini, mbona mumekusanyika hivi" ilibidi aulize maana kwa yeye hakuona haja ya wote kuwa hapo.
"Ulikuwa umelala kwa siku tatu mfululizo, watu wengi walikuwa na wasiwasi sana" alijibu Fang Shi.
"Vipi? mumeshafanya harakati za msiba"
"Ndio tumemaliza jana ila tulikuwa tunakusubiri wewe ukaage kabla ya kutangaza rasmi".
"Sawa, nipelekeni" aliongea.
Fang Shu akaongoza njia mpaka lilipo jiwe kubwa, lilikuwa na majina ya watu wengi sana ambao walipoteza maisha katika vita iliyoisha. Kwa tamaduni za kule, heshima ni kuwasha kijiti maalum chenye kutoa moshi kisha unakichomeka chini. Unakiacha kinawaka mpaka kinaisha.
Fang Shi akamkabidhi kijiti na kukiwasha, Fahad akakipokea na kukichomeka chini kisha akapiga magoti.
"Mumefanya vyema, haikuwa kazi rahisi sana kuacha familia zenu na kwenda katika uwanja ambao mulijuwa wazi kuna uwezakano wa kutorudi nyumbani. Lakini mlikaza meno na kupiga moyo konde, kwa hilo mna heshimza yangu".
"Nina uhakika katika dakika zenu za mwisho, mulikiangulio kifo usoni maana hivyo ndivyo shujaa wa kweli anavyotakiwa kuondoka. Pumzikeni kwa amani, sisi tuliobaki tutailinda amani mlioipigania" alimaliza kuongea na kusimama kisha akainamisha kichwa kama ishara ya heshima.
Hali ya hewa ikabadilika ghafla na mawingu yakajikusanya, mvua nyepesi ikaanza kunyesha. Hakuna alieondoka, mvua hiyo iliwapa nafasi wale walozuia machozi wayaachie. "Pumzikeni, sitamwaga chozi" aliongea Fahad na kugeuka akaanza kuondoka.
Pasi na matarajio yao yake, ilishuka radi kali sana na kumtandika. Radi hiyo haikuwa ya kawaida, kwasababu ilipiga bila kuacha kwa karibu dakika nzima.
Ilipokata, Fahad alibakia amesimama huku mwili wake ukifoka moshi. Nywele zake ziliongezeka urefu na mwili wake ulizidi kutanuka na kuwa mkubwa.
"Hongera Fahad, umevuka daraja" aliongea Fang Shi na kutoa heshima. Akaendelea "umeingia daraja gani".
"Nimeingia daraja la Qin" alijibu Fahad, mwili wake ulikuwa ukizungukwa na Qi ya ajabu. Fang Shi alibaki akiangalia tu. Alijaribu kutafsiri hali hiyo lakini ubongo wake ukakataa kutoa uwezo kabisa.
"Fang Shi unaweza kunikusanyia mtu mmoja kutoka katika kila familia kwa wale ambao wameshoriki" aliongea na sauti haikumaanisha kama ni ombi. Fang Shi akajikuta akiitika na kukubali hilo bila akili yake kutoa.
"Nitafanya hivyo, nipe muda mchache tu" aliongea na kuondoka, Fahad akabakia eneo hilo na kutafakari sana wakati wengine wakiondoka. Pasi na umakini wake, saa mbili zilikatika kama mchezo.
"Fahad wamefika tayari" alifika Famg Shi na kuongea, Fahad akampa ishara aongoze njia. Wakaelekea katika uwanja mkubwa, walikuwepo watu wengi sana. Vijana kwa wazee, wanawake kwa wanaume.
"Ahsanteni kwa kuja japo nimewaita kwa kuwashtukiza" alianza kuongea, kisha akaendelea. "Kilichotokea wakati huu kiwe fundisho kwenu kwamba katika ulimwengu wetu kila mtu anajali kilicho chake. Hata wakati huku wapendwa wetu wanapambana, walioahidi kutoa msaada hawakuja. Sina cha kuwapa ili kutoa majonzi yenu lakini nina njia ya kuwafanya muwe itakayoogopeka sana" alinyamaza na kuangalia.
Hali ya joto lilichanganyika na ubaridi kwa mbali ukamfanya Fahad asisimke japo alikuwa usingizini. Miale ya jua iliyopenya dirishani ikampiga machoni na kumafanya aweweseke kabla ya kufunguwa macho. Mkononi kwake alihisi ameshika kiti laini chenye kubonyea bonyea.
Mapigo ya moyo yakaanza kumuenda mbio, kichwani akajaribu kujiambia kuwa kitu hicho kilaini sicho anachofikiria. Lakini hata kabla hajamaliza shuka yake ikacheza.
"Sijagusa kitu" Akajisemea huku akijaribu kuutoa mkono wake sehemu uliokuwa umegusa. "Anh!" Sauti laini ya kike ikasikika kutoka ndani ya shuka.
Shuka hilo likasukumwa nyuma, kichwa kilichojaa nywele za kijani zenye kutoa aroma nzuri na kusuuza nafsi ndicho kilichomkaribisha. Mschana huyo akainuwa kichwa na kumuangalia Fahad machoni.
"Umeamka bwana wangu" Akaongea. Fahad hakujibu kitu badala yake akameza funda kubwa la mate.
Akainuwa shuka ili kuthibitisha alichokuwa anahisi, hakuwa na nguo hata moja!.
"Umelalaje bwana wangu" alirudia mschana huyo na kujikandamiza zaidi mkononi mwa Fahad.
"Unafanya nini, Nephira" aliongea akijaribu kumtoa mikononi mwake.
"Ah bwana wee, mi bado nina usingizi" alijibu na kujigeuza upande jambo ambalo lilisababisha shuka lote kutoka mwilini mwake. Fahad akashuhudia umbile maridadi la kike, kwa sekunde chache mwili wake uligoma kabisa kutii akili yake. Umbile la mschana lilithibitisha uwanawake wa Nephira. Pasi na matarajio yake, akajisogeza karibu na kukagua kiuno cha binti huyo kwa mkono wake wa kushoto.
"Bwana, niache nipumzike. Siku tatu zotw hukunipa hata nafasi ya kupumuwa" aliongea Nephira kwa sauti ya nataka sitaki. Kama ilivyo kwa rijali yeyote kuushinda mtihani wa matanio na kwa Fahad haikuwa vinginevyo. Hakuna kiungo hata kimoja kilichotii akili yake, vilifuata hisia za asili za kiume na kumfakamia bibie huyo.
Fahad anakuja kuzinduka baada ya kuguswa kifuani na mkono wenye joto. "Umepumzika vizuri bwana wangu" aliuliza Nephira akiwa anajilaza kifuani kwa Fahad.
"Nini kimetokea" akauliza.
"Umenichukuwa na kunifanya wako" aliongea Nephira na kukaa kitako, kisha akatoa shuka mwilini mwake. Chini ya kitovu alikuwa na mchoro wa ajabu ambao Fajad hakuwahii kuuona katika maisha yake.
"Jifunike na uwe na heshima" alitaka kuongea kwa kufoka lakini akili ikamsaliti.
"Hii unayoiyona chini ya kitovu changu inaitwa Sigil" aliongea Nephira.
"Sigil ndio nini?".
" Sigil ni alama ya muuganiko wa mwanaume na mwanamke, muunganiko wa akili, mwili na kiwiliwili".
"Mbona mi sijawahi kuona kitu kama hicho"
"Ni kwasababu hukuwa na muda kuukagua mwili wako, mi najua kama una mke na unampenda sana. Hiyo inathibitishwa na sigil kubwa kifuani kwako" aliongea Nephira na Fahad akajiangalia kifuani. Akakutana mchoro mkubwa ambao hakuuelewa kabisa.
"Hiyo ni sigil ya malikia wa kwanza wa moyo wako, na ni ushahidi kiasi gani unampenda. Unaweza ukahisi kama umemsaliti lakini nina uhakika hata yeye alifahamu kuwa itafika siku ambayo hutakuwa wake peke yake. Katika mkono wako wa kulia kuna alama ya jani lenye kung'ara, hiyo ni sigili yangu. Kwa maneno mengine mwili wako umenichagua mimi kuwa malkia wa pili wa moyo wako" alifafanua Nephira.
Akaendelea, "Fahad wewe huna haki ya kuchagua nani umpende na nani usimpende. Na najua unalijua hilo vyema kwasababu kuna dalili za sigili nyingine ambayo haikufanikiwa kujichora. Mwili na akili yako vinachagua ni mwanamke gani awe mwandani wako, na vinafanya hivyo kuchagua warithi wenye uwezo wa kupokea uwezo wako".
Kwa Fahad maelezo yote yalikuwa yakimchanganya akili tu, alihisi kama hadithi ya abunuasi tu.
"Huko mbeleni unaweza kuwa na wake wengi zaidi, una maisha marefu sana mbele" alimalizia Nephira kusimama, akamuinamia Fahad na kumzawadia busu jepesi la mdomoni.
********
"Fahad tulikuwa tunakusubiri" aliongea Fang Shi punde tu baada Fahad ndani. Hakuwa peke yake, walikuwepo wengine wengi ambao hata Fahad mwenyewe hakuwa akiwafahamu.
"Kuna nini, mbona mumekusanyika hivi" ilibidi aulize maana kwa yeye hakuona haja ya wote kuwa hapo.
"Ulikuwa umelala kwa siku tatu mfululizo, watu wengi walikuwa na wasiwasi sana" alijibu Fang Shi.
"Vipi? mumeshafanya harakati za msiba"
"Ndio tumemaliza jana ila tulikuwa tunakusubiri wewe ukaage kabla ya kutangaza rasmi".
"Sawa, nipelekeni" aliongea.
Fang Shu akaongoza njia mpaka lilipo jiwe kubwa, lilikuwa na majina ya watu wengi sana ambao walipoteza maisha katika vita iliyoisha. Kwa tamaduni za kule, heshima ni kuwasha kijiti maalum chenye kutoa moshi kisha unakichomeka chini. Unakiacha kinawaka mpaka kinaisha.
Fang Shi akamkabidhi kijiti na kukiwasha, Fahad akakipokea na kukichomeka chini kisha akapiga magoti.
"Mumefanya vyema, haikuwa kazi rahisi sana kuacha familia zenu na kwenda katika uwanja ambao mulijuwa wazi kuna uwezakano wa kutorudi nyumbani. Lakini mlikaza meno na kupiga moyo konde, kwa hilo mna heshimza yangu".
"Nina uhakika katika dakika zenu za mwisho, mulikiangulio kifo usoni maana hivyo ndivyo shujaa wa kweli anavyotakiwa kuondoka. Pumzikeni kwa amani, sisi tuliobaki tutailinda amani mlioipigania" alimaliza kuongea na kusimama kisha akainamisha kichwa kama ishara ya heshima.
Hali ya hewa ikabadilika ghafla na mawingu yakajikusanya, mvua nyepesi ikaanza kunyesha. Hakuna alieondoka, mvua hiyo iliwapa nafasi wale walozuia machozi wayaachie. "Pumzikeni, sitamwaga chozi" aliongea Fahad na kugeuka akaanza kuondoka.
Pasi na matarajio yao yake, ilishuka radi kali sana na kumtandika. Radi hiyo haikuwa ya kawaida, kwasababu ilipiga bila kuacha kwa karibu dakika nzima.
Ilipokata, Fahad alibakia amesimama huku mwili wake ukifoka moshi. Nywele zake ziliongezeka urefu na mwili wake ulizidi kutanuka na kuwa mkubwa.
"Hongera Fahad, umevuka daraja" aliongea Fang Shi na kutoa heshima. Akaendelea "umeingia daraja gani".
"Nimeingia daraja la Qin" alijibu Fahad, mwili wake ulikuwa ukizungukwa na Qi ya ajabu. Fang Shi alibaki akiangalia tu. Alijaribu kutafsiri hali hiyo lakini ubongo wake ukakataa kutoa uwezo kabisa.
"Fang Shi unaweza kunikusanyia mtu mmoja kutoka katika kila familia kwa wale ambao wameshoriki" aliongea na sauti haikumaanisha kama ni ombi. Fang Shi akajikuta akiitika na kukubali hilo bila akili yake kutoa.
"Nitafanya hivyo, nipe muda mchache tu" aliongea na kuondoka, Fahad akabakia eneo hilo na kutafakari sana wakati wengine wakiondoka. Pasi na umakini wake, saa mbili zilikatika kama mchezo.
"Fahad wamefika tayari" alifika Famg Shi na kuongea, Fahad akampa ishara aongoze njia. Wakaelekea katika uwanja mkubwa, walikuwepo watu wengi sana. Vijana kwa wazee, wanawake kwa wanaume.
"Ahsanteni kwa kuja japo nimewaita kwa kuwashtukiza" alianza kuongea, kisha akaendelea. "Kilichotokea wakati huu kiwe fundisho kwenu kwamba katika ulimwengu wetu kila mtu anajali kilicho chake. Hata wakati huku wapendwa wetu wanapambana, walioahidi kutoa msaada hawakuja. Sina cha kuwapa ili kutoa majonzi yenu lakini nina njia ya kuwafanya muwe itakayoogopeka sana" alinyamaza na kuangalia.