Riwaya: I died to save my President

Riwaya: I died to save my President

Pole sana hizi bahati hazitukuti sisi sijui kwanini
Hadi nmejikuta nacheka, huku kwangu! Nahisi, upo kwenye ndoa tayari. Hvyo usahau tu kupata bahati km hyo, labda itokee vinginevyo.
 
Write your reply...RIWAYA: I DIEDTO SAVEPRESIDENT SEHEMU YA 9 MTUNZI: PATRICK.CK ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Kwanini sikuhizi zote asiniambie kama ana mtuwake anayempenda? Lakinisiwezikumlaumu kwani ni kosa langu.Ningemwambia mapemakwamba ninampendanisingeumia namna hii.Pamoja na hayo,bado sijapoteza matumaini.Nitaendelea kupambana hadi dakikayamwisho.Nitapambana kuhakikisha kwamba Patriciaanakuwa wangu.Yeye ndiye mwanamke pekee ninayempenda katika maisha yangu.” AkawazaElvis halafu akaenda katika sinkiakafunguamaji akanawauso kisha akatoka na kuelekea tenabustanini mahala alikokuwa amekaana Patricia lakiniPatriciahakuwepo.Akaketi kitini na kuinua kichwa akatazamajuu angani. “Iswearin heaven andearth,Patricia willbe mine.She willfall in my hands andloveme andno one elsewillmake us apart.To win Patricia’s heartis my major goal for now.” Akasema Elvis kwa sauti ndogo.Akatoasimuyake akafunguamahala anakohifadhia picha akaitazama picha yaPatricia “You’ll be mine Patricia.You’ll be mine.You’ll love onlyme? Akasema Elvishalafu akainukana kuelekea bwenini ENDELEA……………………………. Kitendocha Elviskutoonekana darasani kilimchanganya sana Patriciana kumfanyaawe na mawazo mengi.Haikuwa kawaida yaElviskukosa darasani.Saa nnena nusukengele ikagonga kuashiriakwamba ni wakati wamapumziko yaasubuhi.Patricia akatoka kwa haraka na kumfuata Martinambaye ndiyeanalala chumba kimoja na Elvis “Martinsamahani,kuna jambo naomba kukuuliza”akasemaPatricia kisha wakasogeapembeni “Jambo gani Patricia? “Ni kuhusu Elvis.Mbona leo hajaingia darasani? Ana matatizo? “Hajaingiadarasani? Martinakauliza. “Ndiyo na si kawaida yake kukosa darasani.Ana matatizo yoyote? “Sinahakika kama ana matatizo kwa sababumimi niliwahi kuamkaasubuhi nikamuamshaili nayeajiandaelakini akaniambia kwamba nitangulie yeye atafuatabaadae” “Okahsante ngojanikamuangalie” akasema Patriciahuku akitembea kwa kasikuelekea katika bwenilaakina Elvis “Patriciahuruhusiwikuingiakatika bwenilawavulana.Ukionekana kule unawezakupewa adhabu” akasema Martin “Idon’t care.Natakakujua ni kwa nini Elvishajaingiadarasani leo.He’s my friendandI need toknowif he’s havinga problem.” Akasema Patriciana kuchomokahadi katika bwenila wavulana.Anafahamu namba ya chumbacha akina Elvis akanyoosha moja kwa moja na kukinyongakitasa cha chumbanamba sita akaingiandani lakiniElvishakuwemo “Ouhgosh ! Elvisamekwenda wapi? Mbona humu hayumo? Akajiuliza Patriciahalafu akatoka mbio mle chumbani “Nimekumbukakitu.Kuna sehmu moja ambayo huwa anapendasana kwenda kupumzika.Ngoja nikamuangalie kule” akawazaPatriciahuku akikimbia kuelekeakata msituwa shule.Pembeni yamsituulekulikuwana maporomoko madogoyamaji na hiindiyosehemu ambayo Elvishupenda sana kuja kupumzika. KamaPatriciaalivyokuwa amehisi ni kweli Elvisaalikuwaamekaajuu yajiwe. “Elvis…!!!!”akaita Patriciana kumstua Elvisaliyekuwa amezama katika mawazo mengi. “Patricia” akasema Elvis kwa mstuko wakumuona Patricia maeneo yale..Kwa haraka akainukana kumfuata “Patriciawhatareyou doing here? AkaulizaElvis “Elvisnimekutafuta kilamahala nikakukosanikajualazima utakuwa huku.” “Patriciatafadhaliusithubutusiku nyinginekupita humu msituni peke yako.Kunahatari nyingi humu.Hakuna usalamaukiwa mwenyewe” “UsijaliElvis,sintafanya hivyo tena.Nimelazimika kufanyahivyo kutokana na wasi wasiniliokuwa nao kwa kutokuona darasanileo.Sikawaida yako kukosadarasani.Una matatizo gani? Tell me ElvisI’m your friendandI do careabout you.Una matatizo gani? Kwanini hujaingia darasanileo? Unaumwa? Akauliza Patricia “Hapana siumwiPatriciaila sikujisikia tukuingiadarasani leo na ndiyomaana nimekuja huku ili kutuliza kichwa changu.” Patriciaakmshika Elvis mkono wakatazamana “Elvisniambie unamatatizo gani leo? Nini kinakusumbua? Tafadhalinaomba unieleze” Elvisakavuta pumzindefuakamtazama Patriciana kusema “Ni kweli nina matatizo PatriciaKuna jambo linaniumiza sana kichwa changu lakininasiktikakwamba sintaweza kukwambia.Thankyouforyour concern” akasema Elvis “Elvisyou do trustme right?Akauliza Patricia “OfcourseI do.Whatabout you do you trustme ? “Ido trustyou Elvis.Kwa nini umeniuliza hivyo? “Nina wasiwasi na jibu lako Patricia.Sina hakika kama unaniamini na ndiyomaanaumekuwamsiri sana” “Siri?! Patriciaakashangaa “Ndiyo? “Elvismbona nimekuwa nikikueleza kilajambo linalonihusu? Hakunajambo ambalo nimewahikukuficha.Wewe ndiye mtupekeeunayefahamu kuhusu undani wamaishayangu”akasema Patricia “Youdidn’t tell me that you havea boyfriend” “boyfriend? Patriciaakashangaa “Ndiyo.Kwa nini kila sikutulipokuwa tunaongeleakuhusu mambo hayaya mahusianoulisema kwamba huna mpenzi? Kwa niniulinidanganya? AkaulizaElvis.Patricia akashikwana kigugumiziakashindwa ajibu nini.Akakumbuka kwamba wakati akiongeana Godsonjanausiku Elvis alikuwepokaribu. “Mimi nilidhani ni rafikiyako ambaye unawezaukanielezakitu chochotelakini kumbesi mtumuhimukwako hata kidogo.” Akasema Elvis “Elvis,I’m sorry.Jana ulisikiamaongezi yangu na Godson palebustanini.Samah anikama nilikukera na samahani kwa kutokukuelezakuhusu jambo hili .Niliona halikuwana umuhimuwowote wa kukuelezakwani ni lakibinafsi zaidi.” Akasema Patricia “Patriciahalikuwana umuhimukwako lakinikwangumimi lina umuhimu mkubwa “akasemaElvis “Elviskunamambo ambayo ni ya ndani sana na ambayo silazima kuyawekahadharanikwa kila mtu.” “Ni kweli ni suala binafsi lakini kulikuwa na ulazima wakunieleza ukweli ilinifahamu.Hukupaswa kunificha” “Samahanikwa hilo Elvis.Naomba basi nitumie nafasihii kukuelezaukweli” akasema Patriciahalafu akamshika mkonoElvis na kwenda kuketijuu ya jiwe “Mtu niliyekuwa nikiongea nayejana usikuanaitwaGodson.Nimdogo wake Juliana.Nilikutana nayesikuJuliana aliponifanyia sherehe ndogo ya kunipongezanyumbani kwao.Toka siku ile tukatokeakuwa marafiki .Ukaribu wetuulizidipalealipoanza kunifundisha kompyuta.Siku moja kabla sijaondoka kujashuleni Godsonalinipeleka ufukweni na ndipo aliponieleza kwamba ananipendana anataka tuwe wapenzi.Nilimkatalia kwamba hatuwezi kuwawapenzi kwa sababu bado ninasoma.Nimekuwa nikiwasiliana naye karibukilasikukwa njia yamtandao na janawakati nikiongeanaye alinikumbushakuhusu ombilake la mimi na yeye kuwa wapenzi”Akasema Patricia.Elvis akavutapumzi ndefu.Maelezo yale yalionekana kumchoma sana . “So you said Yes? Swalilile likambabaisha kidogo Patricia akajikazana kusema “Yes.I said yes .Nilimkubalia tuwe wapenzi.” Akasema Patriciahalafu ukimya mzitoukatanda. “Isaidi yes because I cant handle these feelings anymore” akasema Patricia.Elvis akageukana kumtazama halafu akasema “Thisguy,do you love him? Patriciaakatabasamu na kusema “YesI do love him somuch.Toka nilipoonananayenimetokeakumpenda sana.Huyuni mwanaume wakwanza kumpendakatika maisha yangu” akasema Patriciamanenoambayo yalizidikumnyong’onyeza Elvis “Patricia nakushurukwa kunieleza ukweli.Pamoja na hayokuna mambo nataka nikuase.Kwanzanaomba ufahamu kwamba mapenzi yapona kila binadamu hupendana hakuna anayekuzuia kupendakwa hiyokama huyo Godsonndiyemtuambaye una imani moyo wako umemchagua basi nakupongezaila kuwa makinisana kwani sikuhizi walaghaiwengi.Wengi wamekuwawakitamanibadala ya kupenda.Kitu kingineninachotaka kukushaurini kwamba umeufungua ukurasampyawa mapenzi katika maishayako.Umeingiakatika mapenzi na sikuzote mapenzi huwa ni upofuna hivyo unapaswa kuwamwangalifu sana iliyasijeyakakuchanganyana kukupotezea mwelekeo mzimawa maishayako.Mwishonaomba unifikishie salamuzangu kwa huyo kijana.Mwambie kwamba umempa moyo wako autunze na kamwe asithubutukukutoa chozi.Siku akifanya jambo lolote la kukuumizahe’ll answer tome”akasemaElvis halafu akamshika Patriciamkono “Twendetuondoke” akasema Elvis.Patricia akamuangalaiakwa mshangaona kumuuliza “Elvisbadi hujanielezani jambo gani linalokusumbuakiasi cha kukufanya usiingiedarasanisiku yaleo?Naomba naweuwemuwazi kwangu kama nilivyokuwauwazi kwako” akasema Patricia “Patriciaumesemamwenyewe kwamba kunamamboambayo si lazima kuyawezkawazi kwa hiyonasikitika kwamba sintawezakukwambiani kitu gani kinachonisumbua.Ni siri yangu.Twende tuondoke” akasema Elvis wakaondoka. “Bado sijakata tamaa kwamba siwezi kumpata Patricia.Nilifanya makosa kutokumwelezaukweli mapema kwamba ninampendalakinipamoja na hayobado nitaendelea kuwa karibu naye.Patricia atakuwa wangu tumuda utakapofika” akawaza Elviswakiwa njiani wakirejea shuleni “Kitu gani kinamshumbua Elvis? He looks sostrange.Sijawahi kumuona akiwakatika hali hii toka nimemfahamu.Lazima kunakitu kinamsumbua kichwa chake.Halafu kuna kitunimekigunduainaonekana hakufurahishwana kitendo cha mimi kumwambakwamba nimemkubali Godsontuwewapenzi.Ninahisi hii inaweza ikawasababuya mabadiliko yake yaghafla.Kamani kweli kwa nini basi akwazikena jambo hili?Whats going on withhim?Is he nlovewith me? Patriciaakajiuliza “OuhNo! That cant happen.Elvis ni rafikiyangu mkubwa na hatasiku moja sijawahihatakuota kwamba mimi naye tunawezakuwa wapenzi.Siku zote nitaendelea kumuheshimu na kumthaminikama rafiki na mtuwa karibusana.Kamani kweli ana hisiahizo zakunipendaanatakiwaazifutekwa sababutayarinimeufungua moyo wangu kwa Godson” akawazapatricia TUKUTANESEHEMU IJAYO…………………….
 
Write your reply...RIWAYA: I DIED TO SAVE PRESIDENT
SEHEMU YA 10
MTUNZI : PATRICK .CK
ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA
“ Kitu gani kinamshumbua Elvis? He looks so strange.Sijawahi kumuona akiwa katika hali hii toka nimemfahamu.Lazima kuna kitu kinamsumbua kichwa chake.Halafu kuna kitu nimekigundua inaonekana hakufurahishwa na kitendo cha mimi kumwamba kwamba nimemkubali Godson tuwe wapenzi.Ninahisi hii inaweza ikawa sababu ya mabadilio yake ya ghafla.Kama ni kweli kwa nini basi akwazike na jambo hili? Whats going on with him? Is he in love with me? Patricia akajiuliza
“ Ouh No ! That cant happen.Elvis ni rafiki yangu mkubwa na hata siku moja sjawahi hata kuota kwamba mimi naye tunaweza kuwa wapenzi.Siku zote nitaendelea kumuheshimu na kumthamini kama rafiki na mtu wa karibu sana.Kama ni kweli ana hisia hizo za kunipenda anatakiwa azifute kwa sababu tayari nimeufungua moyo wangu kwa Godson” akawaza Patricia
ENDELEA………………………………………….
Siku zilikwenda kwa kasi na hatimaye muhula wa kwanza wa masomo ukamalizika na shule zikafungwa.Katika mthani wa kumaliza muhula kama kawaida yake Patricia alishika nafasi ya kwanza.Elvis alishika nafasi ya kumi na tatu.Yalikuwa ni matokeo ya kustusha sana kwa mtu kama Elvis ambaye katika majaribo ya kila mwezi hakuwahi kutoka nje ya nafasi tano za juu
Usiku uliotangulia siku yakufunga shule Patricia na Elvis walikuwa bustanini wakibadilishana mawazo.Pamoja na maongezi lakini kuna jambo lililokuwa linamuumiza kichwa Patricia .Ni kuhusu kuporomoka ghafla kwa kiwango cha Elvis toka kushika nafasi tano za juu hadi nafasi ya kumi na tatu
“ Patricia mbona unanitazama namna hiyo? Akauliza Elvis baada ya kugundua kwamba Patricia amekuwa akimuangalia usoni kwa muda mrefu
“ Elvis kuna jambo ambalo nataka kukuuliza”
“ Uliza tu usihofu”
“ Elvis nimestushwa sana na matokeo yako katika mtihani wa kumaliza muhula.Sikuwahi kuota kama ungeweza kushika namba ya kumi na tatu.Nini kimetokea? Elvis ninakufahamu vizuri na ninaufahamu uwezo wako na kila mtu anashangaa ni jambo gani limetokea hadi uporomoke namna hii?
Elvis akatabasamu na kusema
“ Patricia nakushukuru sana kwa ku0nyesha kuguswa na tatizo hili.Ni kweli nimeporomoka sana darasani kiasi cha kushangaza lakini hakuna hata mtu moja aliyeonekana kuguswa na matokeo hayo na kutaka kujua kulikoni zaidi yako.Ni wewe pekee ambaye umeonyesha kunijali.Wewe ni rafiki wa kweli na ndiyo namna marafiki wanapaswa kuwa” akasema Elvis halafu akameza mate na kuendelea
“ Patricia siwezi kukuficha kwamba ni kweli nina matatizo na ndiyo yaliyonipelekea kushuka kwa kiwango changu namna hii.”
“ Matatizo gani hayo Elvis?
“ Utanisamehe Patricia lakini sintaweza kukwambia kwa sababu ni matatizo binafsi.Nitajitahidi niendapo likizo niyamalize matatizo yangu na nitakaporudi muhula ujao nitakuwa katika kiwango changu cha kawaida” akasema Elvis
“ Nafurahi kusikia hvyo Elvis.Nitakuwa nikiwasiliana nawe kila siku ili nijue maendeleo yako na tafadhali kama kuna jambo lolote ambalo ninaweza kulifaya linaloweza kukusadia katika matatizo yako naomba uniambie na niko tayari kukusaidia” akasema Patricia
“ Nitafurahi sana kuwasiliana nawe mara kwa mara Patricia lakini kuna kitu kimoja ambacho nataka kukukumbusha.Ni kwamba unarudi nyumbani na nina hakika huko utaonana na mpenzi wako Godson.Tafadhali kuwa muangalifu sana .Dunia ya sasa imejaa ulaghai mwingi.Sitaki upatwe na tatizo lolote Patricia.Sitaki kukuona ukiumia,sitaki ujutie maamuzi yako”
“ Ahsante sana Elvis kwa kunikumbusha wajibu wangu.Nakuahidi nitakuwa makini” akasema Patricia wakaagana na kila moja akaelekea bwenini kwake kujiandaa na safari ya kesho
***************************
Ni jumamosi tulivu siku ambayo mwanamitindo Juliana alikuwa akisherehea siku yake ya kuzaliwa.Ni wiki ya pili toka Patricia arejee nyumbani kwa likizo.Patricia alikuwa ni mwenye furaha sana kwanza ni kwa kuonana tena na mama yake kipenzi pamoja na watu wake wa karibu kama Juliana na wengineo,pili alikuwa na furaha kwa kuendelea kushika nafasi ya juu kabisa katika mitihani yake, na tatu alikuwa mapenzini na Godson ambaye wa sasa anafanya kazi katika mtandao wa simu wa MasaiTell.
Wageni waalikwa waliendelea kuwasili nyumbani kwa akina Juliana ambako sherehe ya kumbu kumbu ya kuzaliwa kwa mrembo huyu inafanyika.Patricia na mama yake walikuwpo hapa kuanzia asubuhi wakisaidia katika shughuli mbali mbali za uandaaji wa sherehe hii
Saa moja za joni sherehe ikaanza.Juliana akajitokeza bustanini akiwa amependeza vilivyo kwa gauni zuri alilolibuni yeye mwenyewe.Alikuwa anatembea taratibu katika zuria jekundu huku akisindikizwa na muziki laini.Watu wote walikuwa wamesimama wakimshangilia
Godson aliyekuwa amependeza ndani ya suti nzuri nyeusi,ndiye aliyempokea jukwaani wakakumbatiana
“ Happy birthday Juliana” akasema Godson na kumuongoza dada yake hadi katika meza iliyokuwa na keki iliyotengenezwa kwa ustadi mkubwa.Godson akawasha mishumaa iliyokuwa juu ya keki ile halafu Juliana akaisogelea ,akafumba macho na kuizima ile mishumaa,makofi mengi na vgere gere vikasikika
Zoezi lililofuata ni kuwalisha keki wageni waalikwa na baada ya hapo kikafuata kipindi cha zawadi na pongezi.Baada ya zoezi hilo kukamilika,ukawadia muda wa chakula na baadae ukafika wakati wa vinywaji na muziki.Vinwaji vya kila aina vilikuwepo.Juliana akafungua muziki na Godson mdogo wake halafu watu wengine nao wakajumuika kulisakata rhumba.Patricia alikuwa amesimama katika moja ya nguzo akitabasamu na kufurahi namna watu walivyokuwa wakijimwaga na muziki.Mara akafunikwa macho na viganja vya mikono,akaipapasa halafu akacheka kidogo baada ya kugundua alikuwa ni Godson
“ Pole sana Patricia “ akasema Godson akiwa na glasi yake ya kinywaji mkononi
“ Pole ya nini Godson?
“ Umefanya kazi kubwa sana leo kuandaa sherehe hii.Sherehe imefana sana hongera” akasema Godson na Patricia akatabasamu
“ Its nothing Godson compared to what Juliana has done to me” akasema Patricia na kumfanya Godson atabasamu
“ Unapenda kucheza muziki? Akauliza Godosn
“ Hapana sijui hata huo muziki wenyewe unachezwaje.Ninafurahi tu kuwaona watu wakicheza”
“ Mimi mwenyewe sijisikii kucheza .Twende tutafute mahala tukae tuongee wakati watu wakiendelea kuserebuka” akasema Godson na kumshika Patricia mkono wakazunguka nyuma ya nyumba wakaenda kukaa katika majani mazuri .Mwanga haukuwa mkali eneo hili walilokaa hivyo kwa mtu kuwaona mahala walipokaa itakulazimu usogee karibu zaidi.Patricia alionekana kuogopa kuwepo kule peke yao
“Godson,itakuaje tukikutwa huku peke yetu wakati wengine wote wako katika sherehe? I’m scared people might get suspicious.Sitaki watu wafahamu kuhusu mahusinao yetu” akasema Patricia kwa wasi wasi.Godson akamuwekea kidole mdomoni
“ Shhhhhh!!!!,,Usiogope my angel.Mimi ndiye mfalme wa mahala hapa na isitoshe hakuna mtu yeyote atakayekuja huku.Patricia nafahamu toka umerudi mama yako amekuwa anakuchunga sana. Na hivyo kufanya makutano yetu kuwa magumu.Nina mambo mengi ya kuongea nawe kuhusu mustakabali mzima wa mapenzi yetu.I want to show you how much I love you” akasema Godson
“ Ni kweli Godson .Hata mimi nina hamu sana ya kupata wasaa mzuri wa kukaa nawe tukaongea na kufurahi pamoja.Nitajitahidi katika wiki hii nipate siku moja ambayo itakuwa maalum kwa ajili yetu”
Godson akasogea karibu zaidi ya Patricia halafu akauzungusha mkono wake wa kushoto shingoni mwa Patrcia na kumfanya astuke .Wote wawili wakabaki wanatazamana halafu Godson akasema
“ Patricia kuna zawadi ambayo nimekuandalia,twende ndani nikakupatie” akasema Godson akamshika Patricia mkono na kwa kupitia mlango wa nyuma wakaingia ndani.Nyumba ilikuwa kimya kabisa,watu wote walikuwa bustanini wakilisakata rhumba.Godson akamuongoza Patricia hadi chumbani kwake na kumkaribisha.Patricia akasita kuingia
“ Usiogope Patricia.Hakuna mtu yeyote aliyekuona wala atakayejua kwamba uko humu chumbani.Ingia tafadhali kabla hajatokea mtu na kukukuta hapa mlangoni” akasema Godson na kwa wasi wasi mwingi Patricia akaingia .Kilikuwa ni chumba kikubwa na kizuri.Patricia akatabasamu
Chumba chako kizuri sana.Nimezipenda picha zako za ukutani” akasema Patricia.Godson akacheka kidogo halafu akamkaribisha Patricia sofani.Akaenda katika kabati lake kubwa akalifungua na kutoa kiboksi kidogo chenye rangi nyekundu ,akamshika mkono Patricia na kumuoongoza hadi katika kioo kikubwa.
“ Patricia you are blessed with natural beauty..Do you know how beautiful you are? Akauliza Godson aliyekuwa amesimama nyuma ya Patricia ambaye uso wake ulionyesha woga mwingi .Alihisi msisimko wa aina yake pale mikono ya Godson ilipoigusa shingo yake.Alihisi mapigo ya moyo wake yakibadilika na kuanza kwenda kwa kasi kubwa
Toka ndani ya boksi Godson akatoa mkebe mdogo halafu akaufungua na ndani yake kulikuwa na mkufu wa thamani kubwa.Akamvisha Patricia shingoni.Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Patricia kuvaa shingoni mkufu wa gharama kubwa namna ile.Kwa furaha akageuka na kusema
“ Ahsante sana Godson kwa mkufu huu mzuri.Nimeupenda sana” akasema Patricia huku uso wake ukionyesha furaha isiyoeleza.Godson akamvuta karibu yake zaidi halafu akampiga busu moja zito linalomfanya Patricia aweweseke.Ilikuwa ni mara yake ya kwanza kupigwa busu na mwanaume.Mwili wote ukamsisimka.Mid
omo yake ikabaki inacheza akashindwa kuongea akabaki anamtazama Godson.Taratibu Godson akaushusha mkono wake wa kulia akivipitisha vidole vyake kati katiya utiwa mgongo hadi sehemu za kiunoni.Patricia akastuka na kutoa mguno Alihisi kama macho yake yanaanza kuona giza.Alisikia raha ya ajabu
“G..go…gods…on” akaita kwa taabu Patricia huku akihema kwa kasi na mara akashikwa sehemu Fulani ambayo inamfanya asikie raha isiyoelezeka.Ak
alegea kabisa Ilikuwa ni mara yake ya kwanza kusikia raha ya namna ile.Godson akamuinua na kumuweka kitandani
“ God..gods..on…N ..Dont…..” akasema Patricia kwa sauti dhaifu lakini Godson tayari alikwishapandwa na midadi akaendeleza autundu katika mwili wa Patricia ambaye aliendelea kutoa miguno ya kusikia raha.Godson alimfanyia Patricia kila aina ya utundu na kumpagawisha vilivyo.Baada ya kuona Patricia hajiwezi tena,Godson taratibu akaanza kufungua vifungo vya blausi ya Patricia na akahisi kuchanganyikiwa baada ya kukishuhudia kifua cha Patricia kilichobeba matiti madogo yaliyosimama.Mwili ulizidi kuchemka kwa ashki,akainama na kuyabusu matiti yale ambayo hayakuwahi kuguswa na mwanaume yeyote hapo kabla.Akayabusu na kuanza kuyachezea.Patricia aliendelea kutoa miguno kila pale alipoguswa.Tara
tibu Godson akafungua zipu ya sketi aliyokuwa ameivaa Patricia na kuivua.Patricia akabakiwa na nguo ya ndani pekee.Godson akazidi kuchanganyikiwa alipoushuhudia mwili ule mwororo .Akausogeza mkono na kuishika ile nguo ya ndani na alipotaka kuivua Patrcia akamshika mkono .
“God..Godson..No….” akasema Patricia huku akiibana miguu yale.Godson akamsogelea halafu akatoa ulimi na kuuingiza sikini mwa Patricia kwa ufundi sana.Patricia akatoa ukelele.Godson akaendelea kuuzungusha ulimi wake ndani ya sikio la Patricia na taratibu akamwambia
“ Usiogope mpenzi wangu.Ninakupenda na hautaumia”
“ Godson akaendelea kuuchezesha ulimi sikioni mwa Patricia na wakati huo huo kwa kutumia mkono wake wa kulia akaishika ile ngupo ya ndani ya Patricia akaivua.Baada ya kuhakikisha kwamba Patricia ameandaliwa vya kutosha Godson akavua nguo zake na kubaki mtupu.Uume wake ulikuwa umesimama wima tayari kwa shughuli.Akachukua chupa ya mafuta laini na kuupaka ili asimuumize Patricia .Akapanda kitandani na kumuweka Patricia katika mkao mzuri na kisha akamuingiza rasmi katika ulimwengu wa mapenzi.Patricia alitoa ukelele na miguno.Alikuwa ameondolewa bikira yake .
“ Ouh gosh ! I cant believe this.Patricia..!! Ouh my angel,I love you…I love you so much” akasema Godson akiwa juu ya mwili wa Patricia akiendelea na utundu .
Baada ya kufika mshindo,Godson akajitupa pembeni ya Patricia
“ Ouh gosh,Ive never met a sweet girl like you Patricia” akasema Godson huku akimbusu Patricia ambaye machozi yalikuwa yanamtoka.Godson akamfuta kwa mikono yake.
“ Nyamaza kulia Patricia.Usilie mpenzi wangu” Godson akambembeleza Patricia ambaye bado aliendelea kulia.Godson akainuka na kwenda kuchukua kitambaa akamfuta machozi
“ Usilie Patricia.Usilie mpenzi wangu” akasema Godson huku akimbusu Patricia shavuni
“Godson kwa nini umenifanyia hivi? Akauliza Patrcia huku akilia
“ Shhhhh..!!!!!...Patricia tafadhali usikasirike.Huu ni mwanzo mzuri wa mapenzi yetu.”
“ Godson tulikubaliana kwamba hatutafanya mapenzi hadi nitakapomaliza masomo yangu.Kwa nini umevunja ahadi yako na kunilaghai hadi tukafanya ?
“ Nisamehe Patricia.Nisamehe mpenzi wangu.Ni kweli hatukukubaliana hivi na hata mimi sielewi imetokeaje tukajikuta tukifanya”
Akasema Godson na Patricia akazidi kutoa machozi
“ Umenitoa bikira yangu ambayo ilikuwa ni zawadi kwa manaume wangu wa kwanza nitakayempenda ambaye ningemtunzia hadi tutakapofunga ndoa.Kwa sasa sintakuwa na thamani tena kwako” akasemaPatricia na kuendelea kuangusha machozi
“Tafadhali usiseme hivyo Patricia.Hujui ni kwa kiasi gani ninakupenda malaika wangu.Wewe ndiye kila kitu kwangu ,nakupeda zaidi ya ninavyoweza kukueleza.Usiwe na hofu yoyote kuhusu mimi” akasema Godson
“ Godson nimekuwa na mashaka kama kweli unanipenda kwa dhati au lengo lako lilikuwa kunitumia kimwili kwa tamaa zako.Kama unanipenda kwa namna ambayo umekuwa ukiniambia kila siku basi usingenishawishi tukafanya mapenzi.” Akasema Patricia na kukaa kitandani na mara akastuka baada ya kukumbuka kitu Fulani
“ Gosh..!!! haukutumia hata kinga.” Akasema Patricia kwa ukali huku akimpiga Godson makofi mgongoni.
“ Patricia i’m sorry lakini hakuna tatizo.Ninajiamini na sina matatizo yoyote” akasema Godson .Patricia akainama na kulia
“ I’m so stupid..How could I be so stupid .Kwa nini nimemuacha Godson akanifanyia hivi? akalia kwa uchungu Patrcia.Godson akamtazama na kusema
“ Patricia inuka ukaoge ujiweke vizuri.Wanaweza wakaanza kututafuta akina Juliana” akasema Godson
Patricia alishikwa na hasira kiasi cha kushindwa kuongea tena.Akainuka kitandani akajitazama na kuitazama damu kidogo iliyokuwa katika shuka jeupe lililotundikwa kitandani .Akazidi kuumia
“ Gosh ! Ameniondolea usichana wangu.Nimejitunza kwa miaka hii yote lakini leo hii nimenaswa kama ndege aliyeloa.I’m so stupid” akawaza Patricia huku akivaa nguo zake
“ Bafu lile pale Patricia,hutaki kuoga? Akauliza Godson.Patricia akamuangalia kwa jicho kali sana halafu akaufungua mlango na kutoka.Moja kwa moja akaelekea chumbani kwa Juliana akajitazama katika kioo na kulia sana
“I’m so stupid” hili ndilo neno alilobaki akilisema.Akaufungua mlango wa bafuni na kuingia kuoga.Bado picha ya tukio zima lililotokea ikaendelea kumjia kichwani.
“ Patricia msichana ambaye ninaheshimika sana kwa uwezo wangu mkubwa darasani lakini leo hi nimenasa mtegoni.I’m so fool.I’m so stupid.How could I let that bastard do that to me? Tena hakutumia hata kinga.Vipi kama akiniambukiza magonjwa hatari ya zinaa? Ouh gosh how could I be so stupid? Kibaya zaidi ninaweza hata kupata mimba” Mwili wote ukamsisimka pale wazo la kupewa mimba lilipomjia kichwani.
“ Help me God mambo haya yasinitokee.Juhudi zangu zote za miaka hii yote za kujitunza,na kujituma kusoma vyote vitakuwa kazi bure.Ndoto zangu zote za maisha zitapotea.” Patricia akasema taratibu halafu akamaliza kuoga akavaa nguo zake.Wakati akiwa katika meza ya vipodozi mara mlango ukafunguliwa akaingia Juliana.Akastuka baada ya kumkuta Patricia mle chumbani
“ Patricia uko huku?
“ Ndiyo dada Juliana.Nilisikia joto kali nikaona nije huku kuoga.Mbona umeloana hivyo?
‘Kuna rafiki zangu wamechelewa wamefika muda si mrefu ndio walioniogesha shampeni.” Akasema Juliana huku akilivua ganuni lake zuri na kuvaa lingine halafu akaongozana na Patricia kuelekea bustanini kuendelea na sherehe.
Sherehe ziliendelea hadi ilipotimu saa saba za usiku.Wageni wakaondoka zao.Baadhi ya wageni ambao hawakujisikia kuondoka usiku ule wakapewa nafasi ya kulala katika vyumba vya wageni kwani jumba lile lilikuwa kubwa na vyumba vingi vya kulala.Mama yake Patricia yeye alipewa chumba chake maalum cha kulala halafu Patricia yeye akaenda kulala chumbani kwa Juliana
“Ouh thank God sherehe imekwisha.Patri
cia nashukuru sana kwa msaada wako mkubwa katika kuifanikisha sherehe hii ambayo imependeza sana” akasema Juliana wakati wakijiandaa kulala
“ Ouh Dada Juliana please don’t mention.Sijafanya chochote kulinganisha na wema wako kwangu.” Akasema Patricia
“ Ninafurahi sana kufahamiana nanyi.Japokuwa wazazi wangu wako mbali lakini kuwa karibu na mama yako ninajiona ni kama vile niko na wazazi wangu” akasema Juliana .Patricia hakujibu kitu akatabasamu.Juliana akamsogelea akamtazama Patricia usoni halafu akasema
“ Patricia I’ve noticed you’ve changed suddenly.Umekuwa mkimya na hata uso wako umebadilika kitu ambacho si kawaida yako.What happened? Kuna kitu kimakukwaza mdogo wangu? Are you not happy here? Akauliza Juliana .Patricia akashindwa kujizuia kutoa machozi .Juliana akazidi kuwa na wasi wasi
“ Patricia are you ok? Akauliza
“ I’m ok”
“ Mbona unalia? What happened? Kitu gani kinakuliza?
“Sina atizo lolote dada Juliana.I’m just too emotional today.Kila nikikumbuka mambo yote ambayo umenifanyia toka tumefahamiana nashindwa kujizuia kutokwa na machozi.You are very kind” akasema Patricia.Juliana akamkumbatia halafu akamuomba Patricia alale apumzike
“ Patricia ananidanganya.Something is worng with her.Kitu gani kinachomsumbua na kumtoa machozi? Anyway nitatafuta nafasi niongee naye vizuri ili anieleze kitu gani kinachomkwaza.Kwa sasa ngoja apumzike amefanya kazi kubwa sana siku ya leo” akawaza Juliana
TUKUTANE SEHEMU IJAYO…………
 
Write your reply...RIWAYA : I DIED TO SAVE PRESIDENT
SEHEMU YA 11
MTUNZI : PATRICK.CK
ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA
“ Patricia are you ok? Akauliza
“ I’m ok”
“ Mbona unalia? What happened? Kitu gani kinakuliza?
“Sina atizo lolote dada Juliana.I’m just too emotional today.Kila nikikumbuka mambo yote ambayo umenifanyia toka tumefahamiana nashindwa kujizuia kutokwa na machozi.You are very kind” akasema Patricia.Juliana akamkumbatia halafu akamuomba Patricia alale apumzike
“ Patricia ananidanganya.Something is worng with her.Kitu gani kinachomsumbua na kumtoa machozi? Anyway nitatafuta nafasi niongee naye vizuri ili anieleze kitu gani kinachomkwaza.Kwa sasa ngoja apumzike amefanya kazi kubwa sana siku ya leo” akawaza Patricia
ENDELEA…………………………………………….
Ulikuwani usku mrefu mno kwa Patricia.Ilimchukua muda mrefu upata usingizi kutokana na mawazo mengi aliyokuwa nayo.
Hatimaye kulipambazuika na baada ya shughuli za usafi kumalizika Patricia na mama yake wakaanza kujiandaa ili warejee nyumbani kwao.Kabla hawajaondoka Patricia akamuita Juliana chumbani kwake halafu akatoa mkufu wa dhahabu mfukoni na kumpatia
“Dada Juliana naomba umpatie Godson mkufu huu.Alinipatia kama zawadi lakini siwezi kuuvaa” akasema Patricia.Juliana akamuangalia na kusema
“ Patricia tell me what happened? Godson amefanya kitu chochote cha kukukwaza?Tell me please” akasema Juliana
“ Hapana dada Juliana.Hajanifanyia jambo lolote baya isipokuwa alinipatia mkufu huu ambao una thamni kubwa tofauti na mimi.Sina thamani ya mkufu huu wa gharama kubwa” akasema Patricia na kuzidi kumshangaza Juliana
“ Patricia wewe ni mdogo wangu.Please be honest with me.Did you and Godson had a fight? Godson aliniambia kwamba umemkubalia muwe wapenzi sasa nashangaa nini kimteokea?
Patricia akavuta machozi na kusema
“ Ni kweli tulikuwa wapenzi but not anymore.” Akasema Patricia
“ Patricia mbona hutaki kunieleza nini kimetokea? Godson amekufanya nini?
Patricia akainama akakosa neno la kusema .Akainua kichwa na kusema
“ Dada Juliana thank you for everything.I have to go” akasema Patricia ,akageuka akafungua mlango na kutoka.Juliana alibaki anashangaa .Akachukua funguo ya gari na kuwarudisha Patricia na mama yake nyumbani.Garini Patricia alikuwa mkimya sana.Kichwa chake kilikuwa na mawazo mengi sana
“ I’m so stupid.Ilikuaje nimruhusu Godson anivue nguo na kunifanyia vile.? I’m so weak and stupid.Nilimepnda sana Godson lakini kwa sasa simtaki tena kwa kushindwa kuyaheshimu mapatano yetu ambayo tulikubaliana kwamba hatutafanya mapenzi hadi pale nitakapokuwa nimemaliza masomo yangu.Lakini amenishawishi hadi tukafanya mapenzi.It was my first ime and I didnt know what to do.Sitaki tena kusikia suala la mahusiano.Sitaki tena kusikia suala la mapenzi.From today,I erase Godson from my heart and evey fibre of my body” akawaza Patricia akiwa garini
Kwa siku zote zilizofuata Patricia hakuwa akitoka numbani.Alikuwa mkimya sana na muda mwingi aliutumia kujisomea.Hakuw
asiliana tena na Godson na hakutaka tena kuonana naye licha ya Godson kujitahidi kumtafuta kwa juhudi zote ili waongee kuweka sawa mambo
**************************************
Hatimaye likizo ikamalizika shule zikafuguliwa .Safari hii Patricia alikwenda shule kwa basi.Hakutaka kupelekwa tena na Juliana kwani alitaka kujizoesha kusafiri mwenyewe.Vile alitaka kuanza kupunguza mahusiano na akina Godson taratibu.
Ilikuwa ni furaha kubwa kwa Elvis kuonana tena na Patricia.Urafiki wao ukaendelea kama kawaida.
Ilikuwa ni siku ya Jumatano ya wiki ya pili toka walipofungua shule Patricia alisikia kizungu zungu akiwa darasani hivyo ikamlazimu kuondoka na kurejea bwenini ambako alikunywa dawa za kutuliza maumivu na kulala.Siku hiyo yote alishinda kitandani na hakuwa na hamu ya kula kitu chochote
Jioni ya siku hiyo alienda kuonana na Elvis bustanini ili kumtoa wasiwasi kuhusiana na hali yake.Elvis akamchukua na kumpeleka hadi katika mgahawa wa shule ambako huuzwa vyakula mbali mbali akamnunulia sahani moja ya chipsi pamoja na kuku wa kukaanga
“ Patricia siku nyingine usirudie tena kushinda bila kula chakula.Masomo ni magumu sana kwa hiyo unaposhinda bila kula chochote lazima utasikia hiyo hali ya kizungu zungu.Kwa sasa punguza muda wa kusoma hadi hapo hali yako itakapokuwa nzuri tena” akasema Elvis.
“ Elvis sikufanya makusudi kushinda bila kula chochote siku ya leo lakini sikuwa nikijisikia kula kitu chochote kile.Mchana wote nilikuwa najisikia vibaya sana lakini usijali kwa sasa najisikia vizuri .Nadhani hali hii ni kutokana na kusoma sana” akasema Patricia
“ Patricia pamoja na hayo lakini nakushauri pia kwamba kuna ulazima wa kupima na kujua kama unasumbuliwa na maralia.Toka tulipofungua shule nakuona kama umebadilika sana.Umekuwa mtu wa kulala s……” kabla hajamalizia sentensi yake Paticia akainama chni na kutapika.Elvis akaogopa
“ Patricia unaumwa twende nikupeleke katika zahanati ya shule usiku huu huu” akasema Elvis
“ Hapana Elvis.Ngoja kwanza nikalale kwa sababu kuna dawa tayari nimekwisha tumia.Kesho asubuhi kama bado hali yangu haitakuwa nzuri basi nitakwenda zahanati kupima.”
“ Hapana Patricia.Hali yako si nzuri na siko tayari kukuacha ukalale ukiwa katika hali hiyo. Ninakufahamu kwa muda mrefu na sijawahi kukuona ukitapika toka tumefika hapa shuleni” akasema Elvis
“ Nadhani ni kwa sababu ya hii harufu ya kuku” akasema Patricia na kumfanya Elvis ashangae
“ Harufu ya kuku? Mbona tumekuwa tukila kuku hapa shuleni mara kwa mara na hata mara moja haujawahi kuniambia kwamba unadhurika na harufu ya kuku? Akauliza Elvis
“ Hili tatizo nimenza kuliona baada ya kufungua shule.Kuna baadhi ya vyakula ambavyo hapo awali nilikuwa nakula bila matatizo lakini kwa sasa vimeanza kunishinda kabisa na kimojawapo ni kuku wa kukaanga.”
Elvis akamtazama Patricia kwa makini kama kwamba kuna kitu anakisoma usoni kwa Patricia
“ Ouh my gosh ! This cant be..” akanong’ona
“ Nini Elvis? Mbona unaongea mwenyewe? Akauliza Patricia.Elvis akamsogelea akamshika mkono akamuangalia usoni
“ Patricia ! akaita
“ Nini Elvis? Mbona unaniangalia namna hiyo hadi ninaogopa?
“ Usiogope Patricia.Mimi na wewe ni marafiki na tumekuwa tukishirikiana katika kila jambo.Tunalia na kucheka pamoja.Ugonjwa wako ni ugonjwa wangu pia.Binafsi ninakuamini kuliko hata mama yangu mzazi na ninaweza kukueleza kila kitu .Kuna kitu nataka kukuuliza Patricia na ninakuomba uwe muwazi kwangu.Just this once be honest with me Patricia” akasema Elvis
“ Elvis kuna nini? Patricia akauliza
“Ulikutana n a Godson wakati ukiwa likizo?
“ Ndiyo nilikutana naye japo si mara nyingi kwa sababu kwa sasa anafanya kazi katika kampuni ya simu kwa hiyo muda wake ni mchache sana na mimi mwenyewe nilikuwa nimebanwa na kazi nyingi”
“ Katika siku hizo chache mlizokutana mliwahi kufanya mapenzi?
“ What ?! Patricia akastuka
“ Nauliza mliwahi kufanya mapenzi ?
Patricia akainama akajawa na mawazo.Machozi yakaanza kumtoka
“ Ouh my gosh ! you did it” akasema Elvis kwa sauti ndogo.Patricia akaendelea kulia
“ Elvis yes we did it”akasema Patricia huku akifuta machozi.Elvis akashika kichwa kwa mikono yake alihisi miguu yake inaisha nguvu.
“ Patricia mlitumia kinga wakati wa kufanya mapenzi?
Swali lile likamfanya Patricia azidi kutoa machozi na kushindwa kujibu
“ Answer me Patricia….” Akasema Elvis huku naye machozi yakianza kumlenga
“ I’m so stupid Elvis.Hatukutumia kinga.Sielewi ni kwa nini nilijikuta nikikubali kufanya mapenzi na Godson na kusahau kabisa habari ya kinga”
“ Ouh gosh Patricia how could you do that?
“ I’m so fool Elvis” akasema Patricia na kuzidi kulia
“ Nyamaza kulia Patricia lakini naomba niwe muwazi kwako kwamba ulifany a kosa kubwa sana.”
“ What are you trying to say Elvis” akauliza Patricia
“ Patricia wewe ni rafiki yangu mkubwa na siwezi kukufica kitu.Inawezekana ukawa mjamzito”
“ What?!..That cant happen..” Patricia akahamaki
“ Inawezekana Patricia kama mlifanya mapenzi bila kutumia kinga.
“ Ouh Mungu wangu..nitafanya nini mimi kama ni kweli nina mimba? Please help me God” akasema Patricia na kuhisi miguu yake inaisha nguvu akakilaza kichwa chake mezani.Alilia machozi mengi sana.Elvis ambaye alihisi kuchanganyikiwa akamshika begani na kumuinua kichwa.
“ Patricia usilie tafadhali.Bado hatuna uhakika kama ni kweli.Hizi ni hisia tu lakini kuna ulazima wa kufanya vipimo na kubaini kama ni kweli au si kweli na kama ni kweli tujue namna ya kufanya” akashauri Elvis
“ I’m finished Elvis.I’m finished if it’s true.” Akasema Patricia
“Usihofu PatriciaKesho nitaongea na Thadei Yule dereva wa shule na atakwenda kutuletea kipimo cha kupimia ujauzito na baada ya kupima tutapata jibu.Kwa sasa naomba uende ukapumzike” akasema Elvis na kumshika mkono Patricia akamuongoza kuelekea bwenini .
NI KWELI PATRICIA NI MJAMZITO ?
 
Write your reply...RIWAYA : I DIED TO SAVE PRESIDENT
SEHEMU YA 11
MTUNZI : PATRICK.CK
ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA
“ Patricia are you ok? Akauliza
“ I’m ok”
“ Mbona unalia? What happened? Kitu gani kinakuliza?
“Sina atizo lolote dada Juliana.I’m just too emotional today.Kila nikikumbuka mambo yote ambayo umenifanyia toka tumefahamiana nashindwa kujizuia kutokwa na machozi.You are very kind” akasema Patricia.Juliana akamkumbatia halafu akamuomba Patricia alale apumzike
“ Patricia ananidanganya.Something is worng with her.Kitu gani kinachomsumbua na kumtoa machozi? Anyway nitatafuta nafasi niongee naye vizuri ili anieleze kitu gani kinachomkwaza.Kwa sasa ngoja apumzike amefanya kazi kubwa sana siku ya leo” akawaza Patricia
ENDELEA…………………………………………….
Ulikuwani usku mrefu mno kwa Patricia.Ilimchukua muda mrefu upata usingizi kutokana na mawazo mengi aliyokuwa nayo.
Hatimaye kulipambazuika na baada ya shughuli za usafi kumalizika Patricia na mama yake wakaanza kujiandaa ili warejee nyumbani kwao.Kabla hawajaondoka Patricia akamuita Juliana chumbani kwake halafu akatoa mkufu wa dhahabu mfukoni na kumpatia
“Dada Juliana naomba umpatie Godson mkufu huu.Alinipatia kama zawadi lakini siwezi kuuvaa” akasema Patricia.Juliana akamuangalia na kusema
“ Patricia tell me what happened? Godson amefanya kitu chochote cha kukukwaza?Tell me please” akasema Juliana
“ Hapana dada Juliana.Hajanifanyia jambo lolote baya isipokuwa alinipatia mkufu huu ambao una thamni kubwa tofauti na mimi.Sina thamani ya mkufu huu wa gharama kubwa” akasema Patricia na kuzidi kumshangaza Juliana
“ Patricia wewe ni mdogo wangu.Please be honest with me.Did you and Godson had a fight? Godson aliniambia kwamba umemkubalia muwe wapenzi sasa nashangaa nini kimteokea?
Patricia akavuta machozi na kusema
“ Ni kweli tulikuwa wapenzi but not anymore.” Akasema Patricia
“ Patricia mbona hutaki kunieleza nini kimetokea? Godson amekufanya nini?
Patricia akainama akakosa neno la kusema .Akainua kichwa na kusema
“ Dada Juliana thank you for everything.I have to go” akasema Patricia ,akageuka akafungua mlango na kutoka.Juliana alibaki anashangaa .Akachukua funguo ya gari na kuwarudisha Patricia na mama yake nyumbani.Garini Patricia alikuwa mkimya sana.Kichwa chake kilikuwa na mawazo mengi sana
“ I’m so stupid.Ilikuaje nimruhusu Godson anivue nguo na kunifanyia vile.? I’m so weak and stupid.Nilimepnda sana Godson lakini kwa sasa simtaki tena kwa kushindwa kuyaheshimu mapatano yetu ambayo tulikubaliana kwamba hatutafanya mapenzi hadi pale nitakapokuwa nimemaliza masomo yangu.Lakini amenishawishi hadi tukafanya mapenzi.It was my first ime and I didnt know what to do.Sitaki tena kusikia suala la mahusiano.Sitaki tena kusikia suala la mapenzi.From today,I erase Godson from my heart and evey fibre of my body” akawaza Patricia akiwa garini
Kwa siku zote zilizofuata Patricia hakuwa akitoka numbani.Alikuwa mkimya sana na muda mwingi aliutumia kujisomea.Hakuw
asiliana tena na Godson na hakutaka tena kuonana naye licha ya Godson kujitahidi kumtafuta kwa juhudi zote ili waongee kuweka sawa mambo
**************************************
Hatimaye likizo ikamalizika shule zikafuguliwa .Safari hii Patricia alikwenda shule kwa basi.Hakutaka kupelekwa tena na Juliana kwani alitaka kujizoesha kusafiri mwenyewe.Vile alitaka kuanza kupunguza mahusiano na akina Godson taratibu.
Ilikuwa ni furaha kubwa kwa Elvis kuonana tena na Patricia.Urafiki wao ukaendelea kama kawaida.
Ilikuwa ni siku ya Jumatano ya wiki ya pili toka walipofungua shule Patricia alisikia kizungu zungu akiwa darasani hivyo ikamlazimu kuondoka na kurejea bwenini ambako alikunywa dawa za kutuliza maumivu na kulala.Siku hiyo yote alishinda kitandani na hakuwa na hamu ya kula kitu chochote
Jioni ya siku hiyo alienda kuonana na Elvis bustanini ili kumtoa wasiwasi kuhusiana na hali yake.Elvis akamchukua na kumpeleka hadi katika mgahawa wa shule ambako huuzwa vyakula mbali mbali akamnunulia sahani moja ya chipsi pamoja na kuku wa kukaanga
“ Patricia siku nyingine usirudie tena kushinda bila kula chakula.Masomo ni magumu sana kwa hiyo unaposhinda bila kula chochote lazima utasikia hiyo hali ya kizungu zungu.Kwa sasa punguza muda wa kusoma hadi hapo hali yako itakapokuwa nzuri tena” akasema Elvis.
“ Elvis sikufanya makusudi kushinda bila kula chochote siku ya leo lakini sikuwa nikijisikia kula kitu chochote kile.Mchana wote nilikuwa najisikia vibaya sana lakini usijali kwa sasa najisikia vizuri .Nadhani hali hii ni kutokana na kusoma sana” akasema Patricia
“ Patricia pamoja na hayo lakini nakushauri pia kwamba kuna ulazima wa kupima na kujua kama unasumbuliwa na maralia.Toka tulipofungua shule nakuona kama umebadilika sana.Umekuwa mtu wa kulala s……” kabla hajamalizia sentensi yake Paticia akainama chni na kutapika.Elvis akaogopa
“ Patricia unaumwa twende nikupeleke katika zahanati ya shule usiku huu huu” akasema Elvis
“ Hapana Elvis.Ngoja kwanza nikalale kwa sababu kuna dawa tayari nimekwisha tumia.Kesho asubuhi kama bado hali yangu haitakuwa nzuri basi nitakwenda zahanati kupima.”
“ Hapana Patricia.Hali yako si nzuri na siko tayari kukuacha ukalale ukiwa katika hali hiyo. Ninakufahamu kwa muda mrefu na sijawahi kukuona ukitapika toka tumefika hapa shuleni” akasema Elvis
“ Nadhani ni kwa sababu ya hii harufu ya kuku” akasema Patricia na kumfanya Elvis ashangae
“ Harufu ya kuku? Mbona tumekuwa tukila kuku hapa shuleni mara kwa mara na hata mara moja haujawahi kuniambia kwamba unadhurika na harufu ya kuku? Akauliza Elvis
“ Hili tatizo nimenza kuliona baada ya kufungua shule.Kuna baadhi ya vyakula ambavyo hapo awali nilikuwa nakula bila matatizo lakini kwa sasa vimeanza kunishinda kabisa na kimojawapo ni kuku wa kukaanga.”
Elvis akamtazama Patricia kwa makini kama kwamba kuna kitu anakisoma usoni kwa Patricia
“ Ouh my gosh ! This cant be..” akanong’ona
“ Nini Elvis? Mbona unaongea mwenyewe? Akauliza Patricia.Elvis akamsogelea akamshika mkono akamuangalia usoni
“ Patricia ! akaita
“ Nini Elvis? Mbona unaniangalia namna hiyo hadi ninaogopa?
“ Usiogope Patricia.Mimi na wewe ni marafiki na tumekuwa tukishirikiana katika kila jambo.Tunalia na kucheka pamoja.Ugonjwa wako ni ugonjwa wangu pia.Binafsi ninakuamini kuliko hata mama yangu mzazi na ninaweza kukueleza kila kitu .Kuna kitu nataka kukuuliza Patricia na ninakuomba uwe muwazi kwangu.Just this once be honest with me Patricia” akasema Elvis
“ Elvis kuna nini? Patricia akauliza
“Ulikutana n a Godson wakati ukiwa likizo?
“ Ndiyo nilikutana naye japo si mara nyingi kwa sababu kwa sasa anafanya kazi katika kampuni ya simu kwa hiyo muda wake ni mchache sana na mimi mwenyewe nilikuwa nimebanwa na kazi nyingi”
“ Katika siku hizo chache mlizokutana mliwahi kufanya mapenzi?
“ What ?! Patricia akastuka
“ Nauliza mliwahi kufanya mapenzi ?
Patricia akainama akajawa na mawazo.Machozi yakaanza kumtoka
“ Ouh my gosh ! you did it” akasema Elvis kwa sauti ndogo.Patricia akaendelea kulia
“ Elvis yes we did it”akasema Patricia huku akifuta machozi.Elvis akashika kichwa kwa mikono yake alihisi miguu yake inaisha nguvu.
“ Patricia mlitumia kinga wakati wa kufanya mapenzi?
Swali lile likamfanya Patricia azidi kutoa machozi na kushindwa kujibu
“ Answer me Patricia….” Akasema Elvis huku naye machozi yakianza kumlenga
“ I’m so stupid Elvis.Hatukutumia kinga.Sielewi ni kwa nini nilijikuta nikikubali kufanya mapenzi na Godson na kusahau kabisa habari ya kinga”
“ Ouh gosh Patricia how could you do that?
“ I’m so fool Elvis” akasema Patricia na kuzidi kulia
“ Nyamaza kulia Patricia lakini naomba niwe muwazi kwako kwamba ulifany a kosa kubwa sana.”
“ What are you trying to say Elvis” akauliza Patricia
“ Patricia wewe ni rafiki yangu mkubwa na siwezi kukufica kitu.Inawezekana ukawa mjamzito”
“ What?!..That cant happen..” Patricia akahamaki
“ Inawezekana Patricia kama mlifanya mapenzi bila kutumia kinga.
“ Ouh Mungu wangu..nitafanya nini mimi kama ni kweli nina mimba? Please help me God” akasema Patricia na kuhisi miguu yake inaisha nguvu akakilaza kichwa chake mezani.Alilia machozi mengi sana.Elvis ambaye alihisi kuchanganyikiwa akamshika begani na kumuinua kichwa.
“ Patricia usilie tafadhali.Bado hatuna uhakika kama ni kweli.Hizi ni hisia tu lakini kuna ulazima wa kufanya vipimo na kubaini kama ni kweli au si kweli na kama ni kweli tujue namna ya kufanya” akashauri Elvis
“ I’m finished Elvis.I’m finished if it’s true.” Akasema Patricia
“Usihofu PatriciaKesho nitaongea na Thadei Yule dereva wa shule na atakwenda kutuletea kipimo cha kupimia ujauzito na baada ya kupima tutapata jibu.Kwa sasa naomba uende ukapumzike” akasema Elvis na kumshika mkono Patricia akamuongoza kuelekea bwenini .
NI KWELI PATRICIA NI MJAMZITO ?
Shukran lott3 nimekuwa bussy jana nikakosa mda
 
Huyu mtunzi Patrick CK kumbe bado yupo anatunga? Story zake huwa ni nzuri sana
 
Write your reply...RIWAYA : I DIED TO SAVE PRESIDENT
SEHEMU YA 12
MTUNZI : PATRICK.CK
ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA
“ Patricia wewe ni rafiki yangu mkubwa na siwezi kukuficha kitu.Inawezekana ukawa mjamzito”
“ What?!..That cant happen..” Patricia akahamaki
“ Inawezekana Patricia kama mlifanya mapenzi bila kutumia kinga.
“ Ouh Mungu wangu..nitafanya nini mimi kama ni kweli nina mimba? Please help me God” akasema Patricia na kuhisi miguu yake inaisha nguvu akakilaza kichwa chake mezani.Alilia machozi mengi sana.Elvis ambaye alihisi kuchanganyikiwa akamshika begani na kumuinua kichwa.
“ Patricia usilie tafadhali.Bado hatuna uhakika kama ni kweli unza ujauzito.Hizi ni hisia tu lakini kuna ulazima wa kufanya vipimo na kubaini kama ni kweli au si kweli na kama ni kweli tujue namna ya kufanya” akashauri Elvis
“ I’m finished Elvis.I’m finished if it’s true.” Akasema Patricia
“Usihofu PatriciaKesho nitaongea na Thadei Yule dereva wa shule na atakwenda kutuletea kipimo cha kupimia ujauzito na baada ya kupima tutapata jibu.Kwa sasa naomba uende ukapumzike” akasema Elvis na kumshika mkono Patricia akamuongoza kuelekea bwenini .
ENDELEA…………………………………………….
Elvis nimechanganyikiwa.Sielewi nitafanya nini kama ni kweli nina mimba.” Akasema Patricia huku akilia
“ Patricia tafadhali nyamaza.Hizi ni hisia tu na bado hatuna uhakika kama ni jambo la kweli.Kesho baada ya kufanya kipimo tutabaini ukweli wa jambo hili lakini kwa sasa nakuomba usiwaze sana..” akaema Elvis
“ Sina hakika kama nitaweza hata kuupata usingizi Elvis.Nimestushwa sana na jambo hili.Kama ni kweli ina maana juhudi zangu zote nilizozifanya kwa miaka hii yote zitakuwa zimeishia hapa? Ndoto zangu zote zitapotea kwa starehe ya dakika kumi tu? Ouh gosh !.” akasema Patricia kwa uchungu
“ Patricia naomba futa hayo mawazo.Hata kama ikiwa ni kweli lakini hautakuwa ndio mwisho wa ndoto zako.Naomba nenda kapumzike na tafadhali usiwaze sana kuhusu suala hili” akasema Elvis
Bila kuongea kitu ,Patricia akainuka na kuanza kuelekea bwenini.Elvis akamsindikiza hadi karibu na bweni
“ Patricia mimi naishia hapa,lakini naomba usiwaze chochote kuhusiana na suala hili.Tutapata majibu yote kesho” akasema Elvis na bila kuongea kitu Patricia akatembea kwa unyonge kuingia bwenini kwao.Elvis akabaki amesimama akimtazama
“ Ouh Patricia kwa nini ulikubali kudanganyika na ukafanya mapenzi yasiyo salama?Kwa nini unataka kupoteza ndoto zako zote ?Kwa nini unataka kuyaharibu maisha yako? Akasema Elvis kwa sauti ndogo huku akielekea bwenini kwao.
Baada ya kuingia chumbani kwake Patricia akajitupa kitandani na kuendelea kulia.
“ Nina hakika lazima nitakuwa mjamzito.Nimeanza kuona mabadiliko makubwa katika mwili wangu toka nilipofanya mapenzi na Godson.Masikini mimi ,nimekwisha sasa.Sijui nitauficha wapi uso wangu kwa aibu hii kubwa” akawaza Patricia
“ Nitamwambia nini mama ? Najua akisikia kama mimi ni mjamzito anaweza akaanguka na kufariki hapo hapo kwa mstuko atakaoupata.Ana matumaini makubwa na mimi na endapo akisikia kuhusu suala hili sielewi nini kitatokea.” Akaendelea kuwaza
Machozi mengi yakaendelea kumtoka alichanganyikiwa hakujua afanye nini.Kwa upande wake Elvis baada ya kuachana na Patricia akaelekea moja kwa moja chumbani kwake huku naye akiwa na mawazo mengi.Suala la Patricia kuwa mjamzito lilimstua sana
“ Patricia how could you do that?Kwa nini umeyachezea maisha yako namna hii? Kwa nini unataka juhudi zako zote zipotee bure?Nimeumia sana.Umeniumiza mno kwa sababu ninakupenda na siku zote ndoto yangu ni kukuona unafika mbali na kufanikiwa katika maisha yako na kuiondoa familia yako katika lindi la umasikini lakini kama ni kweli utakuwa mjamzito kuna wasi wasi ndoto hizi zisitimie.Kweli nimeamini ule msemo usemao when it comes to love,smart people are idiots.” Akawaza Elvis
“ Pamoja na chochote kitakachotokea lakini siwezi kumuacha Patricia peke yake.Yuko katika wakati mgumu sana na anahitaji mno msaada wangu.She’ll never walk alone.Nitasimama pamoja naye katika hili” akasema Elvis huku akijtupa kitandani.
*******************************
“ Saa saba za mchana siku iliyofuata dereva wa shule akarejea na kumpatia Elvis kipimo cha kupimia ujauzito alichokuwa amemuomba amnunulie.Baada ya kukipokea kipimo kile akakiangalia na kuvuta pumzi ndefu .Muda wa mapumziko ya mchana ulipomalizika na wanafunzi wakarejea madarasani Elvis alibaki chumbani kwake amekaa akitafakari halafu akainuka na kuchungulia nje.Eneo lote lilikuwa kimya kabisa wanafunzi wote walikuwa madarasani.Elvis akatoka mle bwenini kwao na kuelekea katika bweni la akina Patricia ambaye hakuingia darasani siku hiyo
Elvis alikwenda kwa tahadhari kubwa ili asijeonwa kwani ni kosa kwa mwanafunzi wa kume kuonekana katika maeneo ya bweni la wasichana bila sababu ya msingi.Baada ya kufanikiwa kuingia mle bwenini moja kwa moja akaelekea katika chumba cha akina Patricia akagonga mlango mara tatu lakini hakujibiwa akaamua kinyonga kitasa na kuufungua mlango taratibu.Patricia alikuwa amelala kitandani ,aliposikia mlango ukifunguliwa akainua kichwa ili aangalie ni nani aliyekuwa ameingia mle chumbani akastuka baada ya kukutana na Elvis.
“Elvis !..akasema Patricia na kuinuka akakaa kitandani
“What are you doing here? Akauliza Patricia
“ Patricia nimekuja kukutazama.Unae
ndeleaje?
“ Elvis huruhusiwi kuonekana maeneo haya na endapo ukikutwa humu chumbani sote wawili tunaweza kupewa adhabu” Akasema Patricia kwa woga halafu akainuka na kwenda kuufunga mlango kwa funguo
“ Usijali kuhusu hilo Patricia .Vipi maendeleo yako?
“ Ah ! hivyo hivyo tu.Bado najisiki a vibaya sana.Nafikiria niende zahanati nikapime niangalie kama nina maralia.” Akasema Patricia ambaye macho yake yalikuwa yamemvimba
“ Pole sana Patricia.Nim…..” kabla hajamalizia alichotaka kukisema zikasikika hatua za mtu
“ Kuna mtu anakuja huku” akasema Elvis na mara mlango wa chumba cha akina Patricia ukagongwa
“ Patricia !!..Ikaita sauti toka nje
“ Ouh my gosh .Ni Matron!! Akanong’ona Patricia.
“ Tutafanya nini? Akauliza Elvis
“ Jifiche chini ya kitanda” akasema Patricia na kwa haraka Elvis akaingia chini ya kitanda.Patricia akaenda kuufungua mlango na kukutana na mwalimu mlezi wao.
“ Patricia kwa nini unafunga mlango na funguo?Milango hii haitakiwi kufungwa na funguo” akasema mwalimu Anastela Kipisa
“ Samahani mwalimu sintafanya hivyo tena”
“ Unaendeleaje? Akauliza mwalimu Anna
“ Bado sijisikii vizuri na ninataka niende zahanati nikapime maralia.”
“ Ok vizuri.Ukisha pima tumia dawa utakazopewa na kama hali itaendelea kuwa mbaya zaidi tutaelekea hospitali ya wilaya kesho kwa vipimo zaidi” akasema malimu Anna
“ Sawa mwalimu” akasema Patrica
“ Ok endelea kupumzika na endapo hali itabadilika nitumie taarifa mara moja.Baadae nitamtuma mpishi akuletee chakula.Unapenda kula chakula gani leo wakuandalie?
“ Chakula chochote tu mwalimu nitakula” akasema Patricia na mwalimu Anna akaondoka.Baada ya kuhakikisha kwamba amaeondoka kabisa maeneo yale ya bwenini Patricia akamwambia Elvis atoke uvunguni
“ Elvis hii ni hatari sana.Ungekutwa humu chumbani tungekuwa katika matatizo makubwa.Tafadhali naomba usije tena huku chumbani.Kama ni kuonana tutakuwa tukionana bustanini kama tulivyozoea” akasema Patricia
“ Usihofu kuhusu hilo Patricia.Nimeku
letea kile kipimo.” Akasema Elvis na kutoa kile kipimo akampatia Patricia ambaye alikitazama na kushusha pumzi
“ Help me God ! ,akasema Patricia.Elvis akamuangalia na kusema
“ Weka mkojo katika chombo kikavu halafu ingiza hicho kipimo na kama una ujauzito basi kitaonyesha.
“ I’m so scared Elvis” akasema Patricia
“ Usiogope Patricia.Be strong” akasema Elvis.Patricia akainuka na kuelekea chooni.Akachukua kopo kavu na kukojolea ndani yake halafu akakifungua kile kipimo .Mikono ilikuwa inamtetemeka.Mapigo ya moyo yalikuwa yanamuenda kwa kasi kubwa.
“ Please help me God” akasema Patricia na taratibu akaanza kukiingiza kile kipimo katika kopo lenye mkojo halafu akakitoa.Mwili ukamuisha nguvu alipokitazama ,akajikuta akikaa chini
“ Nimekwisha sasa.I’m totally finished.I’m pregnant.” Akasema Patricia.Alishindwa kulia.Akakiangalia tena kile kipimo halafu akaushika ukuta na kurejea tena chumbani.
“Majibu yanasemaje Patricia? Akauliza Elvis lakini Patricia midomo ilikuwa mizito kufunguka.Akamtupia Elvis kile kipimo ambaye alistuka sana
“ My gosh ! .” akasema Elvis na kukaa kitandani
“ what are we going to do Patricia?
Patricia akainua kichwa akataka kusema neno lakini sauti haikutoka.Elvis akainuka na kuegemea kabati.
“ Elvis ndoto zangu zote za maisha zimekomea hapa” akasema Patricia
“ Usiseme hivyo Patricia.Bado ni mapema sana kukata tamaa.There must be a way”
“ Elvis hakuna namna nyingine nitakayoweza kukwepa jambo hili lisijulikane.Likifika kwa uongozi wa shule lazima nifukuzwe shule.Sina hakika nini kitatokea endapo mama akisikia kwamba nimepata mimba.Ana matumaini makubwa sana na mimi na siku zote amekuwa akinionya kuhusu kujitumbukiza katika mahusiano akiogopa suala hili hili la kupata mimba.” Akasema Patricia.
“ Kusema ukweli Patricia hata mimi suala hili limenichanganya sana.Bado najiuliza ni kwa nini ulifanya vile?
“ Elvis I’m so stupid.Ididnt think what will happen.I wasn’t thinking clearly.I’m so fool”
“ Usijilaumu sana Patricia.Kinachotakiwa kwa sasa ni kutafuta namna ya kufanya kulishughulikia suala hili”
“ Elvis nimekwisha fikiri hadi akili yangu imefika mwisho wa uwezo wake wa kufikiri lakini bado sijapata jibu namna ninavyoweza kulitatua tatizo hili”
Elvis akavuta pumzi ndefu na kusema
“Huyo boyfriend wako umewasiliana naye na umempa taarifa hizi?
“ Sina mawasilianao naye kwa sasa.Nilipogundua kwamba lengo lake lilikuwa ni kunichezea tu na hakuwa na mapenzi ya kweli nami nimekata mawasiliano naye.”
Elvis akamtazama Patricia na kumwambia
“ Inabidi afahamishwe kuhusu jambo hili kwani yeye ndiye muhusika mkuu”
“ Elvis I’m so scared kwa sababu sijui nitaanzaje kumueleza” akasema Patricia.Elvis akamsogelea karibu na kumwambia
“ Patricia huu si wakati wa kuogopa au kumuonea mtu aibu.Kama hukumuogopa wala kumuonea aibu na ukakubali kumvulia nguo kwa nini basi uogope kumweleza matokeo ya kile mlichokifanya?Usiogope.Leo jioni tukutane bustanini nitakupa simu yangu utawasiliana naye”
Kimya kikatanda wakatazamana
“ Patricia kwa sasa pumzika tutaonana jioni.Tafadhali usimweleze mtu yeyote suala hili kwa sasa” akasema Elvis halafu akainuka na kutoka.Alipofika mlangoni Patricia akamuita
“ Elvis !
Elvis akageuka
“ Naomba samahani kwa kukuingiza katika matatizo haya”
“ Usijali Patricia.Rafiki wa kweli siku zote huyabeba matatizo ya mwenzake kama ya kwake na husimama na rafikiye hata katika nyakati zile ngumu kabisa.Endelea kupumzika ila usisahau jioni tukutane bustanini.” Akasema Elvis na kutoka.Baada ya Elvis kutoka Patricia akajitupa kitandani
“ Siamini kama maisha yangu yanakwena kuharibika namna hii.Kitendo cha dakika chache kimeharibu kabisa muelekeo mzima wa maisha yangu.Juhudi zangu zote nilizozifanya kwa miaka hii yote za kuyatengeneza maisha yangu zimenifikisha hapa.Mama yangu amejitolea sana katika kunifikisha hapa nilipofika itakuaje akizipata taarifa hizi? Yote haya yamesababishwa na Godson kwani ndiye aliyenishawishi tukafanya mapenzi.I hate that Bastard.Yeye ndiye aliyeyaharibu maisha yangu” akawaza Patricia
TUKUTANE TENA KATIKA SEHEMU IJAYO…….
 
I DIED TO SAVE MY PRESDENT


SEHEMU YA 13
MTUNZI : PATRICK.CK
ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA

Godson kwani ndiye
aliyenishawishi tukafanya
mapenzi.I hate that Bastard.Yeye
ndiye aliyeyaharibu maisha yangu”
akawaza Patricia
Kichwa cha Patricia kilijaa
mawazo mengi hali ilIyosababisha
kianze kuuma na kumlazimu
kumeza dawa za kutuliza
maumivu.Akaitupia macho meza
ya kusomea iliyopo mle chumbani
iliyosheheni vitabu vingi
“ Hapana siwezi kukubali
maisha yangu yaharibike kirahisi
namna hii.Kitu pekee cha kufanya
kwa sasa ni kuitoa hii mimba
angali bado mapema ili niweze
kuendelea na masomo yangu bila
matatizo.I’ve worked so hard and I
cant end up here.Godson
anatakiwa anisaidie katika zoezi
hili la kuitoa mimba hii” akawaza
Patricia
“ Najua ni njia hatari na ni
dhambi kubwa kufanya hivi lakini sina namna nyingine lazima niitoe
hii mimba” akawaza Patricia
**************************

Saa moja za jioni wakati
wanafunzi wakiwa katika bwalo la
chakula wakipata mlo wa
jioni,Patricia na Elvis walikutana
bustanini mahala ambako
wamekuwa wakikutana mara
nyingi
“ Umeshindaje Patricia?
“ Hivyo hivyo Elvis.”
“ Ulijitahidi kula chakula walau
kidogo?
“ Ndiyo nilijitahidi” Ok Good.Usiwe na mawazo
mengi sana tutapata muafaka wa
suala hili”
“ Elvis nimefikiria sana na
muafaka pekee niuonao mimi ni
kuitoa hii mimba” akasema
Patricia na kumstua Elvis
“ Patricia ..!!!
“ Ndiyo Elvis.Hiyo ni njia peke
iliyopo kwa sasa.Vinginevyo
itanilazimu nikatishe masomo na
kurejea nyumbani kuilea mimba
hii,kitu ambacho siwezi kukubali
kitokee.” Akasema Patricia
“ Patricia naomba unisikilize
vizuri.Usifanye maamuzi ya
haraka haraka namna hii.Hili si
suala la kufanyia maamuzi ya
haraka.Tuliza akili na tulitafutie
suluhisho lenye kufaa na si
kufikiria kwenda kuitoa hii
mimba” akasema Elvis
“ Elvis,naomba ufahamu
kwamba tunaongelea kuhusu
maisha yangu na siko tayari kuona maisha yangu yakiharibika
kwa sababu ya hii mimba.Potelea
mbali lazima nikaitoe tu” akasema
Patricia
“ Patricia mimi sikubaliani na
wazo hilo hata kidogo.Ni jambo la
hatari na linaloweza
kukusababishia matatizo
makubwa”
“ I don’t care
Elvis.Kitakachotokea na kitokee tu
lakini siko tayari kuona maisha
yangu yakiharibika.Niko tayari
kukabiliana na lolote lile” akasema
Patricia
Elvis akamuangalia Patricia
akakosa neno la
kusema.Msimamo wake
haukuonekana
kutetereka.Alikwisha dhamiria
kuitoa ile mimba
“ Naomba simu niwasiliane na
Godson” akasema Patricia.Elvis
akampatia simu,akaandika namba za Godson na kupiga.Simu
Ikaanza kuita
“ Hallow “ ikasema sauti ya
upande wa pili ambayo Patricia
aliitambua ilikuwa ya Godson
“Hallow Godson,Patricia hapa
ninaongea”
“ Ouh Patricia my angel,how
are you? How’ve u been?I’ve been
dying t o hear from you again .Why
are you doing this to me my love?
Why are you avoding me?
Nakupenda sana Patricia
Nakupenda sana.Patr…….”
“ Godon !!...” Patricia akasema
na kumkatisha Godson ambaye
alikuwa akiongea mfululizo
“ Godson nimekupigia simu si
kwa ajili ya ya kuongelea mambo
yaliyopita.Kuna matatizo
yametokea”
“ Matatizo gani Patricia.Niambie
una matatizo gani nikusaidie?
Sitaki kukuona mtoto mzuri kama
wewe ukiwa katik matatizo” Patricia akavuta pumzi ndefu na
kusema
“Godson I’m pregnant”
“ What ?! Pregnant?!... Godson
akastuka
“Ndiyo.Nina ujauzito” akasema
Patricia halafu kikapita kimya
kifupi.Godson akasikika akivuta
pumzi ndefu
“Godson umenisikia
nilichokwambia? Akauliza Patrcia
“ Patricia nimekusikia lakini
ninachotaka kufahamu ni nani
muhusika wa hiyo mimba?
“ Godson hakuna haja ya
kuanzisha mjadala wakati ukweli
unaufahamu wewe
mwenyewe.Mimba hii ni ya kwako”
akasema Patricia
“ Patricia unanichanganya
sana.Inawezekanaje? Nitaaminije
kama hiyo mimba ni ya kwangu?
“ Godson mambo gani haya
unayonieleza? Unataka kusema
nini? Patricia umenichanganya
sana.Ni vigumu kuamini kama
mimba hiyo unayoisema ni yangu
kweli .Nitaaminije kama hukuwa
na wanaume wengine huko
shuleni?
Huku akifuta machozi Patricia
akasema
“ Godson sitaki
malumbanonawe.Nimekueleza
ukweli kwa sababu wewe ndiye
mwanaume wangu wa kwanza na
sijawahi kuwa na mwanaume
mwingine zaidi yako.Sasa naomba
unisikilize vizuri.Nina kila
ushahidi wa kuthibitisha kwamba
wewe ndiye mwenye hii mimba na
endapo utajaribu kuleta ujeuri
wako nitakuwa tayari kuharibu
masomo yangu lakini wakati huo
na wewe utakuwa unatumikia
kifungo gerezani.Viongozi wengi
wa serikali wananifahamu kwa
hiyo suala hili litakapofika kwao
litashughulikiwa kwa uzito mkubwa sana.I will destroy you
Godson” akasema Patricia kwa
ukali huku machozi yakimtoka
“ Patricia calm down .Naomba
tusifike huko unakotaka
tufike.Samahani kama nimeongea
neno baya lakini ni kutokaana
mstuko nilioupata.Sikuwa
nimezitegemea taarifa hizi
.Naomba tuongee suala hili kwa
utulivu na tufikie muafaka”
“ Sihitaji muafaka nawe wowote
Godson.Ninachotaka kukwambia
ni kwamba ninaitoa hii mimba
kwani siko tayari kukatisha
masomoyangu .Siwezi kukubali
juhudi zangu zote zipotee kwa ajili
ya mtu kama wewe.Ninachotaka
nitumie pesa za kwenda kuitoa hii
mimba haraka sana kabla
haijajulikana kwa uongozi wa
shule” akasema Patricia na kimya
kikatanda
“ Godson umenisikia? Nimekuelewa Patricia .Hilo ni
wazo zuri sana kwani hata mimi
siko tayari kwa majukumu yoyote
ya kulea mtoto kwa sasa na vile
vile siko tayari kuanza kuvutana
na vyombo vya sheria kwa kosa la
kumpa mimba mwanafunzi.Kwa
maana hiyo basi kesho asubuhi
nitaanza safari ya kuja
Tanga.Nitafanya mipango ya kutoa
mimba hiyo na baada ya
kufanikisha nitakuja Bumbuli
kukuchukua na tulimalize suala
hili.Umenielewa Patricia?
“ Nimekuelewa.Tafadhali fanya
haraka kwani nina wasi wasi suala
hili linaweza likagunduliwa na
walimu halafu yakawa mambo
mengine”
“ Usihofu Patricia.Kesho kutwa
nitashughulikia mambo yote na
kisha nitakufuata shuleni.Kwa
sasa kuwa kimya na usimueleze
mtu yeyote kuhusu suala hili.It’s
just me and you” Ok Godson ukifanikisha
utawasiliana nami kwa kutumia
namba hii ya simu ili nami nifanye
mpango wa ruhusa”
“ Nitafanya hivyo
Patricia.Narudia tena
kukukumbusha katika siku mbili
hizi jitahidi kila kitu kiwe
kimekamilika” akasema Godson
.Patrcia akakata simu
“ I hate you Godson.I hate you
so much.Kwa sababu yako
ninafanya mambo ambayo
sikuwahi kufikiria
kuyafanya.Godson you are a
monster” akasema Patricia baada
ya kukata simu
“ It’s ok Patricia.Usiumie sana”
akasema Elvis
“ Elvis I’m so tupid.I’m so
fool.Akasema Patricia.Elvis
akamtazama na kusema
“ Patricia are you sure you want
to do this? Patricia akafuta machozi na
kusema
“ Do you have another
alternative Elvis?
Elvis akakaa kimya
“ Elvis ninafanya hivi kwa
sababu sina namna nyingine ya
kufanya Siwezi kukubali maisha
yangu yaharibike kirahisi namna
hii.Naona huafikiani nami katika
suala hili .Kama kuna njia
mbadala naomba unieleze lakini
kama huna niache nifanye
ninavyoona ni muhimu
kwangu.Hata nikisema nilee
mimba na nizae mtoto how wili I
feed the baby? Elvis thank you for
your concern but for this matter
let me stand alone.” Akasema
Patricia na kuinuka akaelekea
bwenini.Elvis naye akakosa neno
la kusema na kumuacha aende
zake
********************* Ni saa sita za mchana ,Patricia
na Godson wamo katika chumba
cha kupumzika wagonjwa wa
dharura ambamo Patricia
aliwekwa apumzike baada ya zoezi
la kumtoa mimba kukamilika.
“ Pole sana Patricia” akasema
Godson.Patriciaaliyekuwa amelala
kitandani akamtazama na kusema
“ Ahsante Godson kwa
kunisaidia suala hili limekwisha”
“ Usijali Patricia” akasema
Godson
“ One more thing..” akasema
Patricia
“ Tutakapoachana hapa me and
you we’re finished.Naomba
tusijuane tena.Nimenusurika
kuyaharibu maisha yangu na
sitaki tena kufanya mchezo
.Nakushukuru kwa kunionyesha
upendo kwa kipindi kifupi
tulichokuwa pamoja” akasema Patricia huku akikunja uso kwa
maumivu aliyokuwa akisikia
“ Patricia nakushukuru kwa
kuwa muwazi .Nimeyapokea
maamuzi yako na
ninayaheshimu.Utanisamehe
sana Patricia kwa jambo hili
lililotokea ambalo nusura liharibu
kabisa masomo yako.Baada ya
mambo haya kutokea hata mimi
kuna jambo ninataka
kukwambia.Nimeamua kwenda
nchini Afrika ya kusini.Ninaenda
kufanya kazi katika ile kampuni
niliyokwambia wakati
ule.Itanichuka muda mrefu
kuonana nawe tena lakini dunia
hii ni ndogo kama kijiji kwa hiyo
tunaweza kuonana tena muda
wowote.Pamoja na yote yaliyotokea
kuna jambo moja nataka
kukuomba”
“ Jambo gani ?
“ Ninaomba tuendelee kuwa
marafiki badala ya kuwamaadui.Nitakapofika afrika kusini
nitamuomba Juliana akupatie
mawasiliano yangu na tuendelee
kuwasiliana .Muda wowote
utakaokuwa na hamu ya kuongea
nami au ukiwa na tatizo lolote
usisite kuwasiliana
nami.Nitakusaidia “ akasema
Godson .Patricia hakujibu kitu
Saa nane za mchana,Patricia
akaruhusiwa kutoka .Akapewa
dawa za kutumia kwa muda wa
siku saba.Wakaingia katika gari
alilokuja nalo Godson na safari ya
kurejea shuleni ikaanza.Ilikuwa ni
safari ya kimya kimya.Maongezi
yalikuwa machache sana
Baada ya kuwasili
shuleni,Patricia na Godson
wakaagana.Godson akamuachia
kiasi cha shilingi laki tano kwa
ajili ya matumizi na kisha
akaondoka zake.Patricia akaelekea
moja kwa moja bwenini
kulala.Alikuwa amechoka sana Siku iliyofuata Patricia aliingia
darasani alikuwa akijisikia
vizuri.Elvis alifurahi kumuona
tena msichana ampendaye.Baada
ya chakula cha mchana tumbo
likaanza tena kumsumbua Patricia
hivyo ikamlazimu kwenda bwenini
kulala.
Kwa muda wa siku nane
mfululizo Patricia aliendelea kuwa
kitandani akisumbuliwa na
tumbo.Alipata matibabu katika
zahanati ya shule lakini hakuweza
kupata nafuu hali iliyowalazimu
uongozi wa shule kuamua
kumpelea Tanga mjini katika
hospitali kubwa kwa ajli ya
uchunguzi zaidi wa kubaini ni kitu
gani kilihokuwa
kikimsumbua.Mchana wa siku
iliyotangulia siku ailiyopangwa
Patricia apelekwe Tanga mjini
kwa uchunguzi,Elvis na Patricia
wakakutana wakati wa chakula “ Elvis nina wasi wasi sana na
Yule daktari aliyenitoa mimba
nawezekana kuna kitu alikosea
kwa sababu maumivu
ninayoyasika ni makubwa
sana.Kuna nyakati ninahsi kama
ninataka kufa” akasema Patricia
“ Patricia pole sana.Hii ndiyo
sababu iliyonifanya nisikubaliane
na kitendo cha kwenda kuitoa
mimba ile.Kuna binamu yangu
aliwahi kupoteza maisha akiwa
katika harakati za kutoa
mimba.KItendo kile bado
kinanuma mpaka leo na ndiyo
maana niko kinyume kabisa na
suala hilo” akasema Elvis
“Lakini Elvis sikuwa na namna
nyingine ya kufanya zaidi ya
kuitoa.Nina wasi wasi endapo
nitapelekwa hospitali kwa
uchunguzi nitabainika kwamba
nilitoa mimba na hii inaweza
ikaniletea matatizo pia” akasema
Patricia What are we going to do then ?
akauliza Elvis
“ Sijui nitafana
nini.NImechanaganyikiw ana
sielewi la kufanya” akasema
Patrica .Elvs akainama akafikiri na
kusema
“ Patricia kuna kitu nakifikiria”
“ Kitu gani hicho?
“ Ni kweli endapo utapalekwa
hospitali ya mkoa kwa uchunguzi
itabainika kwamba umetoa
mimba.Ninafikiria kwamba kabla
ya jambo hili halijafika hatua hiyo
basi tumueleze mwalimu Anna”
“ Elvis !!! Patricia akastuka
“ Najua ni jambo gumu kueleza
ukweli lakini itakuwa vyema
endapo ataufahamu ukweli kabla
ya uchunguzi kufanyika”
“ No Elvis..I cant do that”
akasema Patricia halafu akainama
na kugugumia kwa maumivu
makali ya tumbo Patricia naomba uelewe
kwamba mwalimu Anna ni
mwelewa sana na endapo
atalifahamu suala hili kabla ya
kwenda hospitali anaweza
akatafuta njia nzuri ya kukusaidia
ili jambo hili lisijulikane” akasema
Elvis na kuzidi kumchanganya
Patricia
“ Elvis unayoyasema ni ya kweli
.Toka nimeanza kuumwa mwalimu
Anna amekuwa akinitembelea kila
siku na kunijulia hali.Anawapenda
wanafunzi na nina hakika
anaweza akanielewa lakin tatizo ni
namna ya kuanza kumueleza
kuhusu usala hli hadi anielewe”
“ Sikliza Patricia.mwalimu Anna
ni mama.Naye pia ana watoto na
mambo ama haya
anayafahamu.Niachie mimi ndiye
nitakayeongea naye.Nitamfuata
nyumbani kwake leo jioni na
kuongea naye.Nina hakika
atanielewa” akasema Elvis na baada ya mongezi kidogo Patricia
akakubali kwamba Elvis aende
akaonane na mwalimu Anna
Saa moja za jioni wakati wa
chakula cha jioni Elvis
akachepuka na kuelekea
nyumbani kwa mwalimu Anna
ambaye anaishi katika moja ya
nyumba za shule.Aligonga mlango
wa mbele ukafunguliwa na mtoto
mdogo wa kike wa mwalimu Anna
ambaye alimkaribisha ndani na
kwenda kumuita mama yake
aliyekuwa jikoni akiandaa chakula
cha usiku
“ Ouh Elvis ! Karibu” akasema
mwalimu Anna baada ya kuingia
sebuleni na kumkuta
Elvis.Mwalimu Anna alikuwa
mkarimu sana na alipendwa na
wanafunzi wote
“ Pole na masomo Elvis”
akaanzisha maongezi mwalimu
Anna Ahsante sana mwalimu”
akajibu Elvis halafu kikapita
kimya kifupi
“ Elvis ulisema una tatizo
unataka kunieleza?
“ Ndiyo mwalimu Anna.Kuna
jambo nataka kukueleza lakini si
kuhusu mimi bali Patricia”
“ Patricia ?!
“ Ndiyo mwalimu”
“ Patricia ana tatizo gani?
Kwanini asinieleze yeye mwenyewe
wakati mimi ndiye mlezi wao?
“ Ni kweli mwalimu Anna.Yeye
mwenyewe ndiye aliyepaswa
kukueleza kuhusu matatizo yake
lakini kwa hali aliyonayo imekuwa
vigumu kufanya hivyo na ndiyo
maana nimekuja mimi badala
yake.Mimi na Patricia ni marafiki
wakubwa .Tunaishi kama ndugu
kwa hiyo nitakachokueleza mimi
ni sawa na ambacho angekueleza
Patricia” akasema Elvis Haya nieleze ni tatizo gani alilo
nalo Patricia”
Elvis akashusha pumzi na
kusema
“ Mwalimu Anna naomba
tuongee kama mtoto na mzazi
wake na si kama mwanafunzi na
mwalimu”
“ Elvis mbona unanipa wasi
wasi? Mna matatizo gani nyie
vijana?
“ Mwalimu Anna unamfahamu
vizuri Patricia.Ni mwanafunzi
mwenye akili ya kiwango cha juu
sana na ni mtu mwenye kujituma
na mwenye msimamo
usiotetereka.Patricia anatoka
katika familia duni .Baba yake
alifariki muda mrefu hivyo kwa
miaka mingi Patricia amekuwa
akilelewa na mama yake .Hilo ni
jambo ambalo limemfanya awe ni
mtu mwenye ndoto nyingi sana na
anyejituma ili kuzitimiza na moja
ya ndoto yake kubwa ni kuiondoa familia yake katika hali duni
iliyonayo” akasema Elvis halafu
akanyamaza akanywa funda moja
la soda aliyowekewa mezani na
kuendelea
“ mwalimu Anna kama walivyo
wasichana wengine wa rika la
Patricia na wenye uzuri kama wa
kwake,Patricia naye amekuwa
akisumbuliwa na wanaume wenye
kumtaka kimapenzi.Amekuwa
akikumbana na vishawishi vingi
na amekuwa na msimamo imara
lakini kwa bahati mbaya alijikuta
akitetereka kidogo baada ya
kujikuta akimpenda kijana mmoja
aitwaye Godson.Ilikuwa ni mara
yake ya kwanza kuingia
mapenzini.Wakati wa likizo huyo
rafiki yake wa kiume akamualika
katika sherehe ya kuzaliwa dada
yake na hapo ndipo akamshawishi
Patricia wakafanya
mapenzi.Ilikuwa ni mara ya
kwanza kwa Patricia kufanya mapenzi.Kwa bahati mbaya
Patricia na huyo rafikiye walifanya
mapenzi yasiyo salama na kwa
bahati mbaya Patricia akashika
mimba”
“ Jesus Christ ..Mwalimu Anna
akastuka.Alimtazama Elvis kana
kwamba ameona kitu cha
kutisha.Elvis hakujali mstuko ule
wa mwalimu Anna akaendelea
“ Baada ya kugundua kwamba
ni mjamzito hakuwa na njia
nyingine ya kufanya zaidi ya
kuitoa hiyo mimba ili aweze
kuendelea na masomo.Mara tu
alipofanya zoezi hilo ndipo tumbo
lilipoanza kumsumbua hadi hivi
leo”
“ Ouh Mungu wangu !! akasema
mwalimu Anna na kuendelea
kumkazia macho Elvis
“ Elvis nimekosa neno la
kusema.Haya yote unayonieleza ni
ya kweli? ...
 
I DIED TO SAVE MY PRESDENT

SEHEMU YA 14
MTUNZI : PATRICK.CK
ILIPOISHIA

ukweli mtu mwalimu.Hauna
mtu mwingine anayefahamu suala
hili hapa shuleni zaidi yangu”
“ Jesus Christ !!..Patricia
!!!..bado siamini kama anaweza
kweli akafanya jambo kama hili”
“ Naomba uniamini mwalimu
Anna”
“ Kwa nini alikimbilia kwenda
kuitoa hiyo mimba bila hata kuja
kuniuona na kuniomba ushauri?
Siku zote nimekuwa mlezi
wao.Nimejishusha na kuwa kama
rafiki yao ili wakiwa na tatizo
lolote wasisite kunieleza kwa nini
hakunifuata akanieleza tatizo lake
nimsaidie ?
“ Mwalimu Anna suala hili ni
gumu na alikuwa
amechanganyikiwa kwa hiyo
akaona njia pekee ya kufanya ni
kwenda kuitoa”
“ Ulifahamu kila kitu kwa nini
basi na wewe hukuja kunieleza hadi umesubiri hali imekuwa
mbaya?
“ Mwalimu ,hili ni suala
linalomuhusu mtu na siwezi
kufanya lolote bila ruhusa yake”
“C’mon Elvis,she’s your friend
and you need to be there for
her.What’s the meaning of
friendship if you cant help each
other in times like this? Akauliza
mwalimu Anna.Elvis akashindwa
kujibu
“Hiyo mimba aliitolea wapi?
“Alikwenda kutolea Tanga
mjini.Mimi sikuambatana
naye.Huyo rafikiye aliyempa
ujauzito ndiye aliyekuja
kumchukua na kumpeleka
kwenda kuitoa hiyo mimba”
“Nyie watoto mnafanya mambo
ya hatari sana.Hili si suala la
kufanyia mchezo hata kidogo.Ni
suala zito sana.Inaonekana mimba
hiyo alitolewa vichochoroni na mtu
ambaye si mtaalamu .Kama ni hivyo inabidi aende akasafishwe
upya vinginevyo anaweza
akapoteza maisha.Ouh jamani
mambo gani haya yanamtokea
mwanafunzi ninayempenda?
Akasema mwalimu Anna
“ Mwalimu Anna ndiyo maana
nimekuja hapa kukuomba utafute
namna yakumsaidia Patricia ili
aweze kusafishwa na pili suala hili
lisifike kwa uongozi wa shule
.Wewe ndiye mama unayetulea
hapa shuleni tukiwa na matatizo
kama haya wewe ndiye kimbilio
letu.Naomba ulichukue suala hili
kama mama na umsaidie Patricia
aweze kupona na aendelee na
masomo yake .Bila msaada wako
hali yake itakuwa mbaya na
tunaweza tukampoteza” akasema
Elvis
“ Elvis umeichanganya sana na
sijui nifanye nini.Patricia ni
mwanafunzi ninayempenda mno
na siku zote ndoto yangu ni kuona akitimiza ndoto zake.Ouh
jamani Patricia” akasema
mwalimu Anna na kuvuta pumzi
ndefu.Akainama akafikiri na
kusema
“ Elvis suala hili ni gumu na
siwezi kutoa jibu la moja kwa moja
ni namna gani nitaweza kumsaidia
Patricia.Kesho nitampeleka
hospitali na kule atafanyiwa
uchunguzi ili kubaini ni jambo
gani linalomsumbua.Baada ya
uchunguzi wa madaktari ndipo
tutajua ni namna gani ya
kumsaidia”
“ Hapondipo penye tatizo
mwalimu Anna.Endapo atapimwa
na ikagundulika kwamba ametoa
mimba taarifa hii inaweza
kumletea matatizo kwa uongozi wa
shule na familia yake pia.Mwalimu
Ana suala hili halitakiwi kufika
kwa uongozi wa shule au mtu
mwingine .Nimekuja hapa
kukuomba kama mama tafadhali msaidie Patricia ili aweze kupona
na aendelee na masomo yake”
“ Elvis kama nilivyosema siwezi
kutoa jibu la moja kwa moja
kuhusu namna gani nitaweza
kumsaidia Patricia.Naomba
uniache kwa usiku huu nitafakari
nini nitafanya.Kesho asubuhi
tayari nitakuwa na jibu.Hata mimi
ninampenda Patricia na nitafanya
kila niwezalo kumsaidia . Mama
yake amekuwa akinipigia simu
mara kwa mara na kuniuliza
maendeleo ya mwanae,ana
matumaini makubwa sana na
mwanae huyu wa pekee.Kama
mama nitamsaidia wmanamke
mwenzangu ili mwanae aweze
kupona” akasema mwalimu Anna
“Mwalim Anna kuna ambo
lingine nataka kukuomba”
“ Jambo gani Elvis?
“ Ninaomba kesho
utakapompeleka Patricia hospitali
,niambatane nawe” Usijali kuhusu hilo.kama uko
tayari tutakwenda sote”
“ Ahsante sana mwalimu Anna
na samahani kwa taarifa hizi
nilizokuletea ambazo najua
zimekustua sana lakini wewe
ndiye mama yetu mlezi hapa
shuleni kwa hiyo tunapokuwa na
matatzio wewe ndiye mtu pekee
tunayeweza kukukimbilia”
“ Ahsante kwa Elvis kwa taarifa
hizi.Umefanya jambo la maana
sana kuja kunieleza lakini
ulipaswa kunieleza mapema ili
nione namna gani ya
kumsaidia.Ningejua mapema
yasingefika hapa yalipofika”
akasema mwalimu Ana na Elvis
akaondoka
“ Watoto hawa kwa nini
wanafanya mambo ya hatari
namna hii kuhatarisha maisha
yao?Bado siamini kama Patricia
mtoto mwenye bidii kubwa na akili
ya ajabu anataka kuyaharibu maisha yake.Itanilazimu nifanye
kila niwezalo ili kumsaidia.Kama
asiposaidiwa kila alichokifanyia
kazi kwa miaka hiyo yote
kitapotea” akawaza mwalimu Anna
halafu akaifungua bahasha
aliyopewa na Steve na kukuta
bunda la noti nyekundu akastuka
“ Hizi za nini tena?akajiuliza
huku akizihesabu fedha zile.
“ Elvis hakupaswa kunipa
fedha hizi ili nimsaidie
Patricia.Hata bila ya fedha
nilazima nimsaidie Patricia lakini
kwa vile amenipa mwenyewe
siwezi kuzikataa” akawaza walimu
Anna halafu akatoka na kuelekea
katika bweni la wasichana
kuangalia maendeleo ya Patricia..
********************
Uso wa mwalimu Anna
ulionyesha mstuko mkubwa
wakati akitoa katika chumba cha daktari mkuu wa hospitali ya
mkoa ambako Patricia alipelekwa
kwa ajiliya kufanyiwa
uchunguzi.Alionekna
kuchanganyikiwa.Elvis ambaye
alikuwa nje akimsubiri
akashangazwa na hali ile ya
mwalimu Anna akamsogelea
“ Mwalimu Anna daktari
anasemaje? Vipimo vinasemaje?
Akauliza Elvis.Mwalimu Anna
hakusema kitu akamshika Elvis
mkono na kuelekea katika benchi
la kupumzikia wakakaa
“ Elvis nimechangnyikiwa na
sijui nifanye nini”
“ Kwa nini mwalimu Anna?
Daktari anasemaje?
“ Elvis tatizo ni kubwa sana
tofauti na tulivyokuwa tukifikiria”
“ Daktari anasemaje? Vipimo
vinaonyeshaje?
“ Elvis nimetetemeka sana kwa
taarifa ya daktari” Niambie mwalimu
Anna.Daktari anasemaje? Patricia
na tatizo gani?
“ Tatizo la Patricia ni
kubwa.Imegundulika kwamba
daktari aliyemtoa mimba
hakumsafisha vizuri hivyo
kupelekea kizazi chake kuoza”
“ Ouh Mungu wangu..!!....Elvis
akastuka na kuweka mikono yake
kichwani
“ Kwa hiyo daktari
anasemaje?Watamsafisha upya?
“ Suluhisho pekee hapa la
kuyanusuru maisha ya Patricia ni
kumfanyia upasuaji na kuondoa
kizazi”
“ What ?! …Patricia atolewe
kizazi? Ina maana hatakuwa na
uwezo wa kupata mtoto katika
maisha yake yote?
“ Ndiyo Elvis.Kama akiondolewa
kizazi basi hatakuwa na uwezo wa
kupata mtoto katika maisha yake
yote yaliyobaki” Ouh Masikini Patricia.kwa nini
yanamtokea haya? Ndoto yake
nyingine kubwa ni siku moja kuwa
na familia.Kama akitolewa kizazi
ndoto hii haitatimia.Jamani
Patricia ataishi vipi? Akawaza
Elvis na kumgeukia mwalimu
Anna aliyekuwa ameinama
akitafakari
“ Mwalimu Anna hakuna njia
nyingine ya kuweza kumsaidia
Patricia zaidi ya kuondoa kizazi?
Akauliza Elvis
“ Hakuna Elvis.Hakuna njia
nyingine ya kumsaidia
Patricia.Kwa mujibu wa daktari ni
kwamba hali yake si nzuri na
inatakiwa afanyiwe upasuaji huo
haraka iwezekanavyo.”
“ Tutafanya nini basi mwalimu
Anna? Wewe umaeamua nini?
“ Patricia atalazwa hapa
hospitali.Taratibu zinafanyika ili
aweze kupelekwa wodini .Suala la
upasuaji itabidi lisubiri kwanza hadi mzazi wake na uongozi wa
shule ufahamishwe.Hili ni suala
kubwa na kwa ngazi iliyofikia sasa
inabidi wazazi na uongozi wa
shule wafahamu” akasema
mwalimu Anna
“Mwalimu Anna hatuwezi
kuendelea kulifanya jambo hili
kuwa siri? Nina wasi wasi mkubwa
endapo taarifa hizi zitamfikia
mama yake na uongozi wa shule”
akasema Elvis
“ Elvis hili ni suala zito na
linalohusisha uhai wa wanafunzi
ambaye mimi ndiye mlezi wake
kwa hiyo jukumu langu ni kutoa
taarifa sahihi kwa wazazi na
walimu.Endapo nitaficha juu ya
ugonjwa wa Patricia na baadae
ikagundulika kwamba nilisema
uongo nitajiweka katika matatizo
makubwa.Wewe unataka tufanye
nini Elvis? Akauliza mwalimu
Anna ninachotaka ni kuendelea
kulifanya suala hli liendelee kuwa
siri.Ongea na daktari na aandike
tatizo lingine kabisa ili
kumuepusha Patricia na matatizo
mengine.Mama yake hatakiwi
kujua chochote”
“ Elvis hilo ni suala gumu kwa
sasa.Kwanza sina hakika kama
daktari atakubali ,pili hata kama
akikubali nani ambaye
atamuuguza Patricia hapa
hospitali? Patricia atafanyiwa
upasuaji mkubwa kwa hiyo
anahitajika mtu wa karibu wa
kumuuguza hadi hapo
atakapopona.Kazi hii anatakiwa
kufanya mtu wake wa karibu
“ Usiogope kuhusu hilo
mwalimu Anna.Hapa Tanga mjini
ninaye binamu yangu moja
anafanya kazi katika benki ya
NMB.Ni mtu ambaye ninaelewana
naye sana kwani amekulia
nyumbani kwetu.Endapo nitaongea naye nina hakika lazima
atakubali kumsaidia Patricia kwa
sababu kwa hivi sasa yuko likizo
kwa hiyo atakuwa na nafasi nzuri
ya kumuhudumia .Kuhusu
daktari usiwe na shaka wale
tutaongea nao kwa pesa tu”
“ Hapana Elvis usifanye
hivyo,.Naomba usitumie pesa
yoyote tafadhali.Pesa uliyompa
jana inatosha kabisa”
“ Usijali mwalimu Anna,pesa ile
ya kwako .Nisubiri dakika mbili
niende hapo nyuma” akasema
Elvis na kutoka mbio kueleka
katika ATM ilikuwa pale hospitali
akachukua fedha kiasi cha shilingi
laki tatu na kurejea akamkabidhi
mwalimu Anna
“ Elvis kwa nini unafanya haya
yote?
“kwa sababu Patricia ni rafiki
yangu na nilimuahidi kwamba
nitakuwa naye katika nyakati
zote,lazima nitimize ahadi yangu.Muda unakwenda mwalimu
Anna nenda kaonane na daktari ili
tujue atatusaidiaje.Mimi
nawasiliana na binamu yangu
nimfahamishe kuhusu sula hili”
akasema Elvis mwalimu Anna
akainuka na kuelekea ofisini kwa
daktari.Elvis akachukua simu na
kumpigia binamu yake Scola
“ hallow Elvis habari ya
shule?Nimepanga nije wiki hii
kukusalimia hapo shguleni
nikuletee na zawazi zako” akasema
Scola baada ya kupokea simu
“ Habari nzuri Scola.Nimekuja
mjini leo.Niko hapa hospitali ya
mkoa”
“ Uko hospitali? Kuna nini?
Unaumwa? Akauliza Scola
“ Hapana siumwi Scola,ni rafiki
yangu ndiye anayeumwa.Uko wapi
hivi sasa?
“ Niko Saluni natengeneza
kucha”
“ Unaweza kuja hapa hospitali? Kuna tatizo gani?
“ Siwezi kukueleza katika
simu.Naomba uje sasa hivi hapa
hospitali” akasema Elvis
“ Ok nakuja sasa
hivi.Umeniogopesha sana Elvis”
akasema Scola na kukata simu
“ Elvis akaenda kukaa katika
bench lililokuwa nje ya ofisi ya
daktari.Baada ya kama dakika
ishirini muuguzi akaja na kitanda
cha magurudumu na kuingia
nacho ofisini kwa daktari na
baada ya muda akatoka
akikisukuma kitanda kile
ambacho juu yake alikuwa
amelala Patricia.Daktari pamoja
na mwalimu Anna nao wakatoka
,mwalimu Anna akamuomba Elvis
waongozane kuelekea wodini
ambako Patricia akapewa
kitanda.Wakati akiwa nje ya
wodi,simu yake ikaita ,alikuwa ni
Scola,akamuelekeza amfuate
katika wodi Elvis kuna nini? Mbona uko
huku? Unaumwa? Akauliza Scola
ambaye alikuwa na sura iliyojaa
wasiwasi.Elvis akamvuta pembeni
na kumueleza kila kitu kuhusiana
na matatizo ya Patricia
“ Ouh my gosh ! anaendeleaje?
Akauliza Scola kwa wasi wasi
“ hali yake si nzuri” akasema
Elvis na mara mwalmu Anna
akatoka mle wodini.Elvis
akamtambulisha kwa Scola
wakasalimiana
“ mwalimu Anna daktari
amesemaje? Akauliza Elvis
“ Amepokea ule mzigo na
amekubali kutusaidia.Kutokana
na hali ya Patricia kuendelea kuwa
mbaya usiku wa leo itabidi
afanyiwe upasuaji. Kwa maana
hiyo itanilazimu nisirejee shuleni
leo ili niendele kufuatilia sula hili”
akasema mwalimu Anna na wote
wakabaki kimya Napatwa na wasi wasi sana
mtoto wa watu kufanyiwa upasuaji
mkubwa namna hii bila ya mzazi
wake kufahamishwa.”akasema
mwalimu Anna
“ Usihofu wmalimu
Anna.Patricia mwenyewe hataki
mama yake afahamu kuhusu
suala hili.”
“Kwa hivi sasa Patricia yuko
katika maumivu makali na hana
uwezo wa kufanya maamuzi
yoyote kuhsu suala hili” akasema
mwalimu Anna
“ Kama ni hivyo basi sisi ndio
tunapaswa kubeba jukumu
lote.Tunatakiwa tuwe majasiri na
tukubaliane na chochote
kitakachotokea” akasema Scola
MIEZI MITATU BAADAE

Miezi mitatu imekwisha pita
toka Patricia afanyiwe upasuaji na
tayari amekwisha pona na kurejea masomoni.Hali yae ilikuwa nzuri
na hakuna aliyefahamu chochote
kuhusiana na kilichokuwa
kinamsumbua na kusababisha
afanyiwe upasuaji.Ilibaki ni siri
yao pekee yeye Patricia,Elvis ,
mwalimu Anna na Scola binamu
yake Elvis ambaye alifanya kazi
kubwa sana ya kumuuguza
Patricia wakati alipofanyiwa
upasuaji.
Japokuwa alikuwa anaendelea
vizuri na masomo yake lakini kuna
jambo moja kubwa ambalo
lilikuwa linamtesa sana.Ni suala la
kutoweza kupata mtoto tena
katika maisha yake
yaliyobakia.Elvis ambye
aliifahamu siri hii alijitahidi sana
kumpa moyo na kumfariji
Siku zilikatika na hatimaye
ukafika wakati wa kumaliza
shule.Bado ukaribu wao ulikuwa
mkubwa sana.Pale shuleni kila
mtu alifahamu kwamba lazimaPatricia na Elvis wana mahusiano
ya kimapenzi lakini ukweli ni
kwamba walikuwa marafiki wa
kawaida na hawakuwa wapenzi
kama watu
walivyodhani.Japokuwa Elvis
aliendelea kumpenda Patricia kila
uchao lakini alivuta subira ili
kuacha kwanza kidonda cha
Patricia kipone.Hakutaka
kumuingiza tena kwa haraka
katika mahusiano kwani siku zote
katika maongezi yao Patricia
aliweka wazi ni jinsi gani
anavyoyachukia mapenzi.Aliweka
wazi kwamba hatapenda tena
kwani haoni umuhimu wa kuingia
mapenzini na kuumizwa tena
“ Yalikuwa ni makosa yangu
hadi nikawa katia hali hii.Nastahili
niubebe mzigo huu mimi
mwenyewe” Hiyo ndiyo ilikuwa
kauli ya kila mara ya Patricia
wakiwa katika maongezi yenye
kuhusisha mambo ya mahusiano. Elvis aliyaona mateso na
machungu ya moyo aliyokuwa
nayo Patricia kila alipofikiria
kwamba hataweza kupata mtoto
katika maisha yake
yote,akaumuoea huruma
sana.Patricia alizidi kumuingia
moyoni na ndiye mwanamke pekee
ambaye aliupeleka mbio moyo
wake.Hakuwahi kutokea
mwanamke aliyempenda kama
alivyompenda Patricia na aliweka
nadhiri ya kuhakikisha
anafanikiwa kuwa naye maishani
Jioni moja wakiwa wamekaa
bustanini sehemu waliyopenda
sana kukutana ,Patricia
akamuuliza swali Elvis
“ Elvis,kuna jambo limekuwa
linanikwaza sana na
kunishangaza”
“ jambo gani Patricia?
“ Toka nimekufahamu siku zote
nimekuwa nikitegemea kwamba
lengo lako kubwa ni kuwa mwana sayansi,daktari au mhandisi na
sikutegemea hata simu moja
kwamba unataka kusoma mambo
hayo ya upelelezi unayotaka
kwenda kuyasomea.Kwa nini
usiwe daktari au hata rubani? Au
kwa nini usiwe mhandisi?Mimi
binafsi hainiingii akilini kwa mtu
kama wewe kwenda kusomea
mambo kama hayo sijui ya ujasusi
sijui mnayaitaje..” akasema
Patricia na kumfanya Elvis acheke
kicheko kikubwa
“ Patrcia si wewe peke yako
unayeniuliza swali hili.Hivi sasa
nina ugomvi na mama yangu
kuhusiana na maamuzi yangu ya
kutaka kujiunga na mafunzo ya
usalama wa taifa.Ukweli ni
kwamba nilipenda sana kufanya
kazi hii toka nikiwa mtoto
mdogo.Baba yangu alikuwa kanali
wa jeshi kwa hiyo nilipenda sana
mambo haya ya usalama na ndiyo
maana ndoto yangu kubwa ni kuingia katika kazi hii ya
ujasusi.Ninaipenda kazi hii toka
moyoni na kuna baba yangu
mdogo anayefanya kazi katika
idara ya usalama wa taifa
amekuwa ananipa moyo sana
kwamba kama ninaipenda kazi hii
basi atakuwa tayari kunisaidia”
akasema Elvis
“ Sikuzuii kuifanya kazi hiyo
Elvis lakini sina hakika kama
umefanya chaguo
sahihi.Muonekano wako si mtu wa
kufanya kazi kama hizo ambazo ni
za hatari kubwa.”
“ Usihofu Patricia.Ninaipenda
kazi hii na ndiyo pekee ambayo
ninataka kuifanya katika maisha
yangu” akasema Elvis na
kumfanya Patricia aendele
kumtazama kwa macho makali.

***********************
Hatimaye baada ya kumaliza
masomo yao ya kidato cha sita
Elvis na Patricia walifanikiwa
kupata kazi ya muda katika hoteli
ya kitalii wakati wakisubiri
matokeo yao .Kwa sasa Elvis
alikuwa akiishi jijini Dar es
salaam katika nyumba yao iliyoko
Mbezi.Urafiki baina yao uliendelea
kuwa mkubwa na wakaribu zaidi
hata baada ya kumaliza masomo.
Ilikuwa ni siku ya ijumaa wote
wawili wakiwa katika zamu ya
usiku siku ambayo wageni
walikuwa wachache sana hapo
hotelini hivyo Patricia na Elvis
wakapata wasaa wa kukaa pamoja
na kuzungumza mambno yao ya
maisha.Walienda kukaa katika viti
vya kupumzikia pembeni ya
bwawa la kuogelea.Siku hii
Patricia alionekana kuwa na
mawazo mengi
“ Patricia unawaza nini?
Akauliza Elvis bada ya kumuona Patricia yuko kimya na
ameyaelekeza macho yake juu
angani.
“ Ninawaza mambo mengi
sana.Nawaza kuhusu safari yangu
ya maisha.Nafikiria ndoto zangu
nyingi ambazo natakiwa nizitimize
,nyingine hazitawezekana tena
lakini nitajitahidi niweze kutimiza
asilimi 98 ya malengo yangu.”
Akasema Patricia
“ Patricia wewe ni mwanamke
wa aina yake na usiyekubali
kushindwa na jambo.Toka
nimekufahamu nimejifunza
mambo mengi kupitia
kwako.Umenifundisha namna ya
kupambana kufikia malengo ya
maisha.Nimejifunza kupambana
na changamoto zozote
zinazojitokeza katika
kuyakamilisha malengo
binafsi.Nashukuru sana kwa
elimu hii ya bila darasa”akasema Elvis .Patricia akatabasamu na
kumshika mkono Elvis
“ Elvis haya yote yamewezekana
kwa sababu yako ya watu wenye
mapenzi na mimi ukiwamo
wewe.Huwezi kujua una nafasi
gani kwangu.Wewe ndiye
umekuwa kama malaika wangu
mlinzi.Umekuwa nami hata katika
nyakati zile ngumu ambazo
hakuna mtu ambaye angeweza
kuwa nami lakini wewe ulisimama
pamoja nami,ulihuzunika
nami,ukacheka na kufurahi
nami.Kuna nyakati huwa
ninajiuliza kwa nini unanifanyia
haya yote? Ninajiuliza bila kupata
jibu nitakulipa kitu gani kwa
mambo haya makubwa
uliyonifanyia.Nimekuwa nikitafuta
siku nyingi nafasi ya kukuuliza ni
kwa nini unanifanya haya? Why
me? akauliza Patricia.Elvis
akatabasamu halafu akakohoa
kidogo na kusema Patricia may be its right time
now to know the truth”
“ Truth ?! What truth? Akauliza
Patricia huku sura yake
ikionyesha wasi wasi
“ Itis the truth about me and my
heart” akasema Elvis huku
Patricia akimuangalia kwa
wasiwasi.Elvis akameza mate na
kusema
“Patricia kwa muda mrefu
nimekuwa nikitafuta nafasi kama
hii ambayo nitakueleza kile
kilichomo moyoni mwangu na kwa
nini nimeyafanya haya yote
niliyoyafanya.Sikuweza kukueleza
mapema kutokana na na
kukabiliwa na mambo mengi ya
masomo na kimaisha” Elvis
akatulia kidogo akamtazama
Patricia halafu akaendelea
“ Patricia ni ukweli huu
nitakaokwambia ndio
utakaoniweka huru toka
kifungoni” Ni ukweli gani huo Elvis?
Please tell me” akasema Patricia
“ Patricia Mungu ametuumba na
kutuweka duniani tufurahi na
kuutukuza uumbaji wake na
katika maisha haya ametupa kila
mmoja na mtu wake ambaye
ataambatana naye na kuwa mwili
mmoja.Patricia moyo wangu
umekuona wewe na kutua kwako
kiasi ambacho hauwezi
kubanduka tena.Ninakupenda
Patricia kwa moyo wangu wote
Nina hakika kwamba wewe ndiye
mwanamke pekee katika dunia hii
ambaye umeumbwa kwa ajili
yangu.Nguvu ya pendo langu
kwako ndiyo inayonifaya niweze
kusimama nawe hata katika
nyakati zile ngumu.Tafadhali
Patricia naomba uufungue moyo
wako na unikubalie niwe mpenzi
wako” akasema Elvis.Patricia
akabaki ameduwaa alikosa neno la
kuongea.Walitazamana kwa dakika kadhaa kisha Patricia
akasema
“ Elvis nmekosa neno la
kusema.Sijui nikujibu nini .”
akasema Patricia na mara macho
yake yakajaa machozi.
“ Tafadhali usitoe machozi
Patricia.Futa machozi halikuwa
lengo langu kukukwaza.” akasema
Elvis
“ Hujanikwaza Elvis lakini
nimepatwa na mstuko mkubwa
sana kwa mtu kama wewe
kunipenda mtu kama
mimi.Siamini na haikuwahi
kuniingia akilini hata siku moja
kwamba utatokea kunipenda.
Ahsante kwa kunipenda Elvis
lakini nasikitika kwamba
umeniambia ukweli wako kwa
kuchelewa”
“ Kwa nini unasema hivyo
Patricia?
“ Kwa sababu moyo wangu
hauna hata chembe ya mapenzitena kwa mwanaume yeyote.Zaidi
ya yote Elvis unahitaji kuwa na
mwanamke mwenye mapenzi ya
kweli nawe,ambaye anatoka katika
familia bora kama yako
,mwanamke amb……..” akasema
Patricia lakini Elvis akamkatisha
“ Sikiliza Patricia,sihitaji
mwanamke mwingine ,nakuhitaji
wewe pekee.Siko tayari kuwa na
mpenzi ambaye si wewe” akasema
Elvis.Patricia akafuta machozi na
kusema
“ Elvis you were there beside me
all the time and you know exactly
what I went through.I don’t think
I’m the right woman for you”
Akasema Patricia.Elvis
akatabasamu na kusema
“ Patricia ni kwa sababu ya
upendo wangu usiopimika kwako
ndiyo maana niko nawe toka
tulipofahamiana na ni kwa sababu
ya upendo huo huo ndio maana
niko nawe hapa sasa hivi
 
Kulubule una id mbili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom