Sifurahi kuona mnalalamika, ni majukumu tu ndio yamenibana. Ila kwa hakika kwisha itakwisha kwa huu msimu wa 1 maana hii riwaya ina misimu 3.Sio hatujali bali tunaikubali Sana maana mwandishi mwenyewe naamini kwa asilimia Mia moja anapenda kuona tunavyolalamika.
Tutashukuru sana.ukimaliza hii usilete nyingine tunga kitabu tu utuuzie mkuu.mpaka hapa inatosha.Sifurahi kuona mnalalamika, ni majukumu tu ndio yamenibana. Ila kwa hakika kwisha itakwisha kwa huu msimu wa 1 maana hii riwaya ina misimu 3.
Mkuu tupia vitu achana na ngonjera za wadau wengineSawa mkuu nimekusoma
Mbabe ngitwa namuona online
Naash nash
Sema naash nashNaash naash
Naash NashSema naash nash