Riwaya: Kiapo cha jasusi

Riwaya: Kiapo cha jasusi

Sikupeleki mahali, nataka tuu unigawie na mimi hivo vizuri.. Tangu Peniela nimemkubali sana jamaa..
Nadhani ukiwasiliana nae mwenyew itakuwa vizuri zaidi ili nae afaidike na jasho lake
Kuliko kutoa sifa tu huku mnagawiana bure
 
basi kwa hizo story kwa Patrick ck ndio kwao "".... Yupo huyu na Hussein Tuwa ....Mama yangu ni balaaa""......
Tuwa ni mzuri but kwa huyu anasubiri sana tena sana
Huyu mtu kichwa yake anaijua mwenyewe
 
Tuwa ni mzuri but kwa huyu anasubiri sana tena sana
Huyu mtu kichwa yake anaijua mwenyewe
Ha hahhaa " mkuu umeona eeeh "" huyu Jamaa " ana balaa kubwa ...yaani mwanzo wa story tu jinsi inavyo anza " unaona kuwa hii story ni balaa"" Mimi nikisomaga story za huyu mtu "" nikija kusomaga story nyingine hzi "" stimu zote zinakata"".........
 
Sikupeleki mahali, nataka tuu unigawie na mimi hivo vizuri.. Tangu Peniela nimemkubali sana jamaa..
huyu Jamaa ni genius simulizi mkuu""..... yaani nikionaga jina Patrick ck tu ....na vuta Kiti vyema na kaa Kitako haswaaa
 
Mkuu Patrick ck " ni moto wa kuotea mbali "" na kumbuka story ya peniela iliyokuwa inaletwa na lege "" ilikuwa inawafanya watu wachanganyikiwe ""....huyu Jamaa ni genius simulizi "" wee msikie hivyo hivyo tu"",....
Niwe mkweli toka nisome riwaya Sijapata riwaya zinazo nibamba kama riwaya za Kevin Mponda. Yaani hua hazinichoshi kuzisoms
 
Niwe mkweli toka nisome riwaya Sijapata riwaya zinazo nibamba kama riwaya za Kevin Mponda. Yaani hua hazinichoshi kuzisoms
Kudo900 .....umeyaona maoni ya mkuu haya"""!?..Any way ngoja nitapitia vyema na riwaya za kelvin...ila kwa sasa "" Patrick ndiye anaye nikonga moyo na akili zaidi ""
 
Back
Top Bottom