the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,611
- 7,063
- Thread starter
- #341
HahahahahaaaMine eyes [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
the Legend☆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaaaMine eyes [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante dearNimejitahidi kuweka nyingi kidogo ili tuimalize chap.
Tutaendelea kesho asubuhi, kimsingi ndio tutakua tunamalizana na 'kijijini kwa bibi'
the Legend☆
Mm mwenyewe mwanzoni nilijuaga ke nikamkuta chit chat analumbana na mwanaume mwenzie alimwita ke nilicheka
Hahahahaa, vipi na huyo wa huko alimstiri kama Prisoner of hope au alimvua nguo akabaki kama samaki?[emoji23][emoji23][emoji23]Mm mwenyewe mwanzoni nilijuaga ke nikamkuta chit chat analumbana na mwanaume mwenzie alimwita ke nilicheja
Wewe mbona mchokozi hivi?Jiite 'mbishi'[emoji23][emoji23][emoji23]
the Legend☆
Hakika![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf raha sana
the Legend☆
Mbona kaiona bila tag?Hahaha, usiwaze mkuu. Ntakutag
the Legend☆
We umecheka kwa lako jengine...lione vile![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kweli. Nimecheka sana nilivyoona ile mrembo
the Legend☆
Hahahahahaa, Mine eyes kwenye ubora wako
Aah wapi, hakumaanisha HB wala nini.We umecheka kwa lako jengine...lione vile!
Id ina nini..tafsiri za kushoto tu!
Alimaanisha HB.SEMA kavurugwa na Shuu.. mirjozi imekata!
Sent using Jamii Forums mobile app
Avatar sijui hata kuiweka...Imekaa kike ndio halafu unakumbuka kuna kipindi uliwekaga avatar ya mwanamke
Basi nimekufananisha mineAvatar sijui hata kuiweka...
Sijaona kike chake lakini...
Hii Id nilitohowa kwenye Id yangu nyingine ambayo ilifeli kwa mimi kusahau p.word yangu!
Sijawekapo avater kwa Id hii Shuu ..hem nikumbushe zaidi my..
Sent using Jamii Forums mobile app
Si neno tu hilo ulitaka niandike Marcopolo au bangi moto?
Humu jina haliwakilishi jinsia....mengi tu huwezi changanua!Mm mwenyewe mwanzoni nilijuaga ke nikamkuta chit chat analumbana na mwanaume mwenzie alimwita ke nilicheka
Niulize mwenyewe si nipo?Hahahahaa, vipi na huyo wa huko alimstiri kama Prisoner of hope au alimvua nguo akabaki kama samaki?[emoji23][emoji23][emoji23]
the Legend☆
Lugha ya code iyo ..kaa hivo hivo nyuma kama koti vile!Aah wapi, hakumaanisha HB wala nini.
HB mpaka mrembo wapi na wapi?[emoji23]
the Legend☆
Hahahahaha, hukosagi cha kujiteteaSi neno tu hilo ulitaka niandike Marcopolo au bangi moto?
Macho ya mimi hayo...yanaona zaidi na zaidi...
Wewe nawe Id yako inatumika kote..usijikoki hapa kama bunduki ya udongo!
Sent using Jamii Forums mobile app