skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,383
Ipii hiyo mkwee?Mnalia lia na arosto nimeweka story mbili moja imeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipii hiyo mkwee?Mnalia lia na arosto nimeweka story mbili moja imeisha
Nyie tafuteni hapa hapa mana moja nimewatag kabisaIpii hiyo mkwee?
Mkwe nitajie jina bhanaNyie tafuteni hapa hapa mana moja nimewatag kabisa
Nilivyomliza mke wangu kwa siku 366Mkwe nitajie jina bhana
Oke, na nimekuona kwenye penzi bila maumivu [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Hii kwishney na ile nyingine nimeanza arosto!
Hiyo nyingine ni ipi mkuuHii kwishney na ile nyingine nimeanza arosto!
Nilivyomliza mke wangu kwa siku 366Hiyo nyingine ni ipi mkuu
Nashangaa ulinitag lakini sikuona notification
Nilishawahi kuisoma nakumbuka Mosenya aliniuzia mwenyewe soft copy bonge la riwaya
Haaaha au kabali ya mbao yenye misumari,akijitikiza maumivu yanazidi!!!Baada ya kuona simulizi hii inasuasua nikaamua kuiweka kipolo kwanza ili isogee mbele kidogo, Leo narudi nakuta badoooo aisee mtunzi una utani na watu kabisa. Ungekuwa unaishi huku mtaani kwetu ningekukaba kabali ya shingoni kabisa.
Hiyo hiyo mkuu[emoji13] [emoji13]Haaaha au kabali ya mbao yenye misumari,akijitikiza maumivu yanazidi!!!