Riwaya Mpya: Mpelelezi Ray Shaba katika

Riwaya Mpya: Mpelelezi Ray Shaba katika

Pole yake Afande maana Askofu Ndondo anammega Sofia kisela.
 
(Inaendelea)...

SURA YA NANE

ASKOFU DAMIEN NDONDO alikuwa anajiandaa kwa safari ya kwenda Uingereza kwa ajili ya semina ya kiroho kwa viongozi wa makanisa mbalimbali ya Kiafrika katika Jiji la London iliyokuwa inaanza siku ya Jumatano. Ni mwaka mmoja tu nyuma alifanikiwa kufungua tawi la kanisa lake huko na lilikuwa bado linaongezeka taratibu likivutia wahamiaji wengi wa kutoka Afrika ya Mashariki na Kati ambapo lugha ya Kiswahili inazungumzwa.

Kanisa lake lilikuwa bado halijapata jengo lake la kudumu japo tayari alikuwa anatarajia katika safari yake hiyo kuangalia baadhi ya maeneo kwa ajili ya kupata jengo la kudumu. Safari yake ilikuwa siku ya Jumanne usiku. Alibakia ofisini kwa muda wa ziada kidogo ambapo alikuwa anapitia pitia maandalizi yake ya semina hiyo. Kama ilivyokuwa kawaida yake alitaka pia kuhakikisha kuwa anaacha mambo yake ya kanisa pale katika mazingira mazuri. Wasaidizi wake ambao huwa hufuatana nao anapoenda safari za mbali pamoja na mpambe wake walikuwa wametoka tu pale ofisini baada ya kukabidhiana majukumu mbalimbali kwa muda wote ambao hatokuwepo. Baada ya wote wale kuondoka Ndondo alikusanya nyaraka mbalimbali zilizokuwa mezani na kuziweka kwenye mkoba wake mweusi. Alichukua simu yake na kupekua namba fulani hadi alipoipata na kutuma ujumbe mfupi wa maandishi. Ndani ya dakika moja simu yake iliita.

“Vipi huko” Askofu aliuliza akiwa ana uhakika wa aliyekuwa anazungumza naye. Hakukuwa na haja ya kusabahiana au kuuliza habari za familia. Mazungumzo yao kwenye namba hiyo wakati wote yalikuwa ni mafupi na ya moja kwa moja.

“Tuko sawa mzee, hatutarajii tatizo lolote” sauti ya upande wa pili ilijibu.

Mazao yangu yameshafika ghalani?” Askofu aliuliza tena kwa sauti iliyotulia kama kawaida yake.

“Yatakuwa ghalani jioni hii” sauti ile ilijibu. Wakakata simu.

Sauti ile ya upande wa pili haikuwa ya mtu mwingine yeyote isipokuwa mmoja wa wazee wa kanisa ambaye Askofu Ndondo alikuwa anamwamini na zaidi ya kumwamini. Alipewa cheo cha “mzee” si kwa sababu wa mwendo wa umri wake tu bali pia kutokana na nafasi yake katika jamii. Mzee Maurice Suku alikuwa amestaafu mwaka mmoja kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali. Alikuwa ni miongoni mwa waumini wa awali wa kanisa la mavuno na alimfahamu Ndondo kwa undani zaidi labda kuliko wengi pale kanisani. Alimfahamu siyo tu kwa kumsikia akihubiri au kutokana na ukwasi alioukusanya miaka yote hiyo bali alimfahamu kama mtu anavyomfahamu rafiki yake wa karibu. Wakati Ndondo anaanzisha kanisa lake kule Kipawa Suku alikuwa ni mmoja wa waumini wake wa mwanzo; wakati huo alikuwa akihangaika na tatizo la ulevi lililomfanya apate shida sana kushika kazi. Aliamua kwenda kanisa lile kuomba msaada wa kiroho na toka wakati huo akawa mwanachama.

Ndondo ndiye alikuwa mshauri wake hadi alipoweza kupata kazi ofisi ya CAG. Suku alikuwa ni mtu ambaye watu walikuwa wanamuita kichwa sana; ni ulevi tu ndio nusura umpotezee nafasi katika maisha. Familia yake ililalamika miaka mingi kuwa kama isingekuwa ulevi, Suku angeweza kushika nafasi kubwa tu serikalini. Kanisa la Ndondo lilianzishwa na watu wapatao thelathini tu wengi wao walikuwa wameshatangulia mbele ya haki lakini Askofu hakuweza kuwasahau katika maisha yake. Na wale waliokuwa hai waliotoka naye mbali Askofu Ndondo hakuwasahau katika ufalme wake.

Katika urafiki wao Suku alijikuta ameingia kwenye kona za Askofu na kujikuta amegundua siri za Askofu baada ya baadhi ya mabinti kuja kumlalamikia kuwa Askofu alikuwa anataka wamfanyie vitu ambavyo vilihoji kama kweli alikuwa ni mcha Mungu. Suku siku moja aliamua kumkabili Askofu Ndondo wakati huo akiwa mchungaji tu wa kawaida. Askofu alimpiga maneno mengi na akampa kiasi kikubwa cha fedha na toka siku hiyo Suku akawa ni msiri wa Askofu na kwa pamoja wakajenga ufalme wa Ndondo.

Miaka ilivyopita Ndondo alikuja kumuamini Suku kwenye mambo mengi na Suku alikuwa amepata mfadhili wa kudumu. Kwa kadiri Ndondo alivyoweza kufanikiwa ndivyo na Suku naye alijikuta anafanikiwa katika maisha yake. Hilo lilimfanya Ndondo kumtumia Suku kusimamia miradi yake ya pembeni ambayo hakutaka kuhusishwa nayo moja kwa moja au ambayo alihitaji ifanyike kwa siri kwa sababu fulani fulani.

Suku alikuwa anajua pia vitu vingine ambavyo Askofu Ndondo alikuwa anavipenda na anavipenda vipi, na alikuwa anajua namna ya kumpatia kwa wakati vitu hivyo. Malipo ambayo Askofu alikuwa anampatia kwa kumpatia vitu vile avipendavyo na kuhakikisha usiri wake kulimfanya Suku na yeye kuwa miongoni mwa watu matajiri kabisa jijini Dar. Suku kwa upande wake alijiingiza katika biashara ya mabasi yanayoenda mikoani baada ya kufanikiwa katika biashara ya daladala. Alianza kula kwa kuokoteza kutoka meza ya mfalme, mwisho wa siku alijikuta anakula na mfalme wengine wakiokoteza kwenya meza yake. Kulikuwa kutamu kukaa karibu na mfalme.

Suku aliangalia saa kwenye simu yake ikamuonesha kuwa muda ulikuwa umekaribia kuanza safari ya kuelekea stendi ya basi. Alijua kuwa mzigo aliokuwa anausubiria ulikuwa unakaribia kuingia jijini Dar kwenye stendi ya mabasi Ubungo. Mabinti wanne wa kati ya miaka kumi na nne na kumi na tano wakitokea katika Kanisa la Mavuno tawi la Iringa walikuwa wanasubiriwa. Mabinti hao walikuwa wanaingia jijini kwa mabasi ya Suku Trans Lines wakiwa wameahidiwa kupatiwa kazi za kusaidia nyumbani pamoja na nafasi ya kuendelea elimu ya sekondari kwa muda wote watakokuwa Dar. Wazazi wao walilipwa kiasi cha kuwafanya waone kama walioshinda bahati nasibu kwani maisha yao yalibadilishwa. Walimshukuru Mungu na kusifia wema wa Askofu Mkuu.

Tawi lolote la kanisa la mavuno lilitamani mabinti wake wapate kuchaguliwa kwenda Makao Makuu. Hilo lilikuwa ni kundi la saba tangu kuanza kwa utaratibu huo wa kuleta watoto wa kike kutoka katika matawi mbalimbali ya kanisa yaliyokuwa yameenea sehemu mbalimbali nchini. Ukubwa wa makundi ulikuwa unatofautiana, wakati mwingine walifika hata sita na wakati mwingine mmoja tu. Mara nyingi mapendekezo ya mabinti hayo yaliletwa na Suku mwenyewe akipata ishara kutoka kwa Askofu hasa akiwa kwenye mikutano na semina zake mbalimbali mikoani. Askofu akishatangaza nia tu, lilikuwa ni jukumu la Suku kumfanya awe mgombea pekee.

Ilikuwa ni kawaida kwa mabinti wanaotoka mikoani kupokelewa na Suku mwenyewe au na msaidizi mwingine wa Askofu ambaye naye aliaminiwa sana na Askofu. Siku ile Suku alikuwa amekubaliana kwenda na yule msaidizi mwingine ambaye alikuwa amemtangulia stendi. Mama Felistina Jericho alikuwa ndio mkuu wa huduma ya kina mama kwenye kanisa pamoja na majukumu mengine aliyopangiwa na Askofu. Yeye kama ilivyo kwa Suku alikuwa ametoka mbali na Askofu na mahusiano yao ya karibu na Askofu yalimuwezesha na yeye kukaa Dar kwa raha zote. Mama Jericho alikuwa ni mke wa mtu alipokutana na Ndondo akiwa mchungaji tu miaka hiyo kule kipawa. Baada ya kukutana naye ndoa yake haikudumu kwani alianza uhusiano wa kimapenzi na Askofu.

Mahusiano yale yalikuwa pia ya kimkakati na Mama Jericho alikuwa ni miongoni mwa wanawake wenye mawazo ya mrengo wa kiliberali mno; hakujali sana mambo ya mapenzi na alianza kumuunganisha Askofu na wadada wengine wa kanisa. Mwisho wa siku aliacha mahusiano na Askofu baada ya kupata kijana ambaye alikuwa na yeye amempangia nyumba Boko. Hata hivyo, uhusiano wake wa kisiri na kibiashara na Askofu ulikuwa unaendelea na Askofu alikuwa anamlipa ipasavyo. Cheo chake pale kanisani alikuwa ni Mkurugenzi wa Huduma ya Kina Mama. Yeye ndiye aliyewasimamia mabinti na kuwafundisha mambo mbalimbali na alikuwa kama mama na polisi wao. Mabinti pale kanisani walimuita matroni.

Saa moja hivi jioni Suku na Mama Jericho kama alivyojulikana kwa wengi waliwapokea mabinti wale wanne na kuondoka nao katika magari mawili; Suku akiendesha Toyota Prado na Mama Jericho akiendesha Nissan VX. Mabinti walikuwa katika hali ya furaha kupita kiasi, hawakuwahi kuona watu wenye ukwasi kama wale na wala kufikiria wangeweza kuyaacha maisha ya kijijini namna ile na kuingia kwenye maisha ya walio nacho. Ilikuwa ni mara yao ya kwanza kufika Dar, jiji ambalo walisikia visa na mikasa yake mingi sana wakiwa kule Iringa.

Walikuwa ni marafiki toka wakiwa shuleni na wote walikuwa na ndoto za muda mrefu za siku moja waje wafike Dar na kuanza maisha huko. Wakiwa wametulia ndani ya gari la Mama Jericho wakishangaa watu na magari kwenye barabara mbalimbali walizopita. Ndoto zao za utotoni ziliianza kutumia mapema zaidi kuliko walivyotarajia. Mambo ambayo walikuwa wanayasikia tu kwenye radio na kuyaona kwenye luninga yalikuwa yanatimia mbele ya macho yao. Katika mawazo na njozi za mioyo yao waliona maisha yao yakibadilika kwa kiasi kikubwa na kwa haraka.

Suku na Mama Jericho walielekea moja kwa moja hadi Mloganzila, Kibamba. Baada ya mwendo wa kama dakika kumi hivi gari lilikata kona kulia kuingia kwenye barabara ya lami iliyopandwa miti kila upande. Kwa mbali upande wa kushoto mabinti wale waliweza kuona eneo lililokuwa na majengo marefu na yakiwa kama kisiwa cha taa katika bahari ya giza; ilikuwa ni hospitali ya Mloganzila. Baada ya kama kilomita moja tu toka barabarani, barabara ya vumbi waliyotumia iliishia mbele ya geti lililozungukwa ukuta mrefu ambao ulikuwa unakafanana kama wa gereza la Butimba Mwanza.

Kutokea nje walikoiongilia hawakuweza kuona hata paa la nyumba au majumba yaliyokuwa upande wa pili wa geti. Walipofika mbele ya geti lile Suku alichomoa simu yake na kubonyeza namba alizozijua na mara geti likaanza kufunguka likirudi lenyewe upande mmoja na kuacha mlango wazi. Juu ya geti kwenye ukuta kulikuwa na kamera nne zilizoelekezwa mbili kwenye barabara waliyojia kina Suku na mbili upande na upande wa ukuta. Kwenye kila kona ya ukuta kulikuwa na kamera nyingine ambazo zilihakikisha eneo zima linaangaliwa na vyombo hivyo vya ulinzi. Kulikuwa na walinzi ambao walikuwa na jukumu la kuangalia video hizo za usalama katika chumba maalum kwenye mojawapo ya majengo yale masaa ishirini na nne.

Kabla hata ya geti halijafunguka kabisa vijana wawili wakiwa na silaha walisimama tayari kwa jambo lolote. Walikuwa wamevaa kama askari kwani pamoja na bunduki zilizokuwa kifuani, kila mmoja alikuwa na bastola kiunoni na radio za walkie-talkie zikining’inia karibu na shingo upande wa kushoto. Walikuwa wamevalia magwanda ya rangi nyeusi na kofia za kijana zenye nembo nyekundu zikiwa na maandishi Harvest Security Agency. Ilikuwa ni kampuni tanzu ya ulinzi ya Askofu Damien. Walipoingia tu ndani geti likafungwa nyuma yao.

Mabinti walikuwa bado katika hali ya kushangaa ukubwa wa eneo lenyewe na taa zilizokuwa karibu kila mahali. Maisha yao yote hawajawahi kuona majengo yaliyokuwa na taa karibu kila mahali; nyingine zikining’inia kama maua kwenye bustani. Hawakuwa na uhakika kulikuwa na majengo mangapi kwani walipokuwa wanazidi kushangaa huku mioyo yao ikiwa imechangamka Mama Jericho aliwaelekeza kwenye jengo kubwa kulia ambalo kati ya yote yaliyokuwepo pale lilionekana kama nyumba. Suku hakwenda ndani ya nyumba; alikuwa amesimama huku ameshikilia simu yake mkononi.

Suku aliwaaga wale mabinti na kuwatakia usiku mwema na kuwasihi wamsikilize Mama Jericho. Mama Jericho yeye ndiye aliyewachukua mabinti wale huku akisaidiwa na wale vijana walinzi ambao walionekana kama wana Usomali fulani au Uhabeshi hadi kwenye lango la jumba lile la kwanza kubwa. Mama Jericho alibonyeza kitufye cha kengele kilichokuwa upande wa kulia ya mlango mkubwa ambao na wenyewe ulikuwa na geti lake la usalama pale mlangoni. Hazikupita sekunde mlango wa kwanza ukafunguka na kisha geti nalo likafunguliwa kutoka ndani vile vile.
 
SURA YA TISA

KWA MARA NYINGINE tena Fela alijikuta ameingia kwenye lile dimbwi la mawazo yaliyomfanya ajisikie duni na mwenye huzuni. Hakupenda kuwa na hisia hiyo na wala hakujiuliza funguo ile aliyoitupa ilirudi vipi tena mkononi kwake. Ilikuwa siku nyingine ya Jumamosi ambayo alikuwa amepanga kutoka kwenda kuvinjari na marafiki zake. Jioni ilipofika alikuwa anajisikia kichwa kinauma na wenzie walipompigia simu kumuuliza kama alikuwa tayari kwenda klabu aliwachomolea kiujanja. Aliwaambia wakitoka huko wanaweza kupitia pale kwake waangalie filamu na kunywa kidogo pale pale nyumbani kama hawakupata watu wa kuwachuna.

Licha ya wenzie kumshawishi sana Fela hakutaka kutoka jioni ile. Alijisikia ahueni kidogo baada ya kusikia sauti za marafiki zake. Hakutaka kwenda na wenzake kwa sababu pia alikuwa amechoka. Wiki ile yote ilikuwa ni wiki nyingine ya kutafuta fedha kwa njia zile haramu alizozipenda na ambazo inaonekana nazo zilimpenda.

Wiki ile alikuwa amekutana na mabwana zake watatu na kila mmoja alitaka amridhishe katika mapenzi; na wote hawakuwa wabahiri. Ilipofika ile Jumamosi alikuwa na shilingi milioni moja mkononi za kuhongwa hongwa. Ukiondoa vizawadi vya hapa na pale kutoka kwa wateja wake kama wenyewe walivyowaita Fela alikuwa hakosi kula, kuvaa wala mahali pazuri kabisa pa kulala. Yeye mwenyewe alijiona ni kama wale makahaba maarufu wa Kimarekani wanaoitwa maeskoti; yaani wasindikizaji. Makahaba wa aina hiyo hawajiuzi mitaani, au kwenye mabaa wao wanajiuza kwa watu wakubwa na wenye maana na wanakuwa kama na uhusiano fulani wa mapenzi. Jukumu lao kubwa la mahusiano hayo ni kutoka na watu mashuhuri kwenye maeneo mbalimbali wakiwa wamejipamba vizuri kama wanawake wenye staha.

Na hata kama hawatokei pembeni yao wanakuwa kwenye misafara yao na jukumu lao ni kuwapa faraja baada ya siku ndefu ya kuijenga nchi. Au kuibomoa kutegemeana na mtazamo wa mtu. Hivyo, kina Fela walikuwa hawakosekeni kwenye mahoteli makubwa au kwenye mikutano na makongamano ya kimataifa. Na mara nyingi hawakukosa visafari vya kwenda Afrika ya Kusini, Dubai, na nchi nyingine hasa viongozi wakubwa wanaposafiri. Familia zinapowasindikiza wazee wao hadi uwanja wa ndege, kina Fela walikuwa wanawasindikiza hadi kwenye vyumba vya kifahari huko majuu kurudi nao. Walikuwepo wabunge, mawaziri, viongozi wengine wa ngazi za juu serikalini na sekta binafsi ambao walikuwa na mipangilio ya namna hiyo. Kuna watu walidhani mabinti wale wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.

Na wanaume wote alikuwa nao wiki ile hawakuwa vijana wadogo au watu wa umri mdogo au wale ambao watu wanawaita mafataki. Kama ilivyokuwa ada yake wote watatu walikuwa ni wazee na ndoa zao na watoto wakubwa wengine walikuwa wanampita kiumri. Wazee wale wote walikuwa ni wazee vijana kwani waliweka mgomo usioisha dhidi ya uzee. Walikuwa bado wanautamani ujana katika utamu na ladha zake zote.

Katika sanaa ya mapenzi, Fela hakutoa kwa kibaba. Wazee walipewa wakatosheka na kukubali ilikuwa inaendana na malipo waliyoyatoa. Kwa mbwembwe zake na madoido yake, kwa sauti yake na miguso yake, aliwafanya waimbe kama alivyoandika Shaaban Robert, ujana kweli kitu kitamu. Fela aliwachezesha na kuwachekecha; aliwachekesha na kuwachemsha huku akiwachangamsha damu wazee na mvi zao. Tena wengine na vitambi vyao walivyovisindikiza kama wasukuma toroli. Kama kungekuwa na darasa la mapenzi, basi Fela angekuwa Mkufunzi Mwandamizi Daraja la Kwanza. Alipomalizana na hao wazee wa watu walikuwa tayari kummwagia fedha na zawadi na miadi mingine juu. Wazee walirudi majumbani kwao mawazo na hisia zao zikihama kutoka kwa wake zao na kuhamia kwa Fela, Fela wa hela. Fela na marafiki zake hawakutaka mapenzi na vijana kabisa. Walidai eti vijana drama nyingi. Na wabahiri.

Kama ilivyokuwa wiki kadhaa nyuma kwa mara nyingine tena lile wimbi lenye giza la huzuni lilianza tena kutanda taratibu katika moyo wake. Fela alianza kujihisi mnyonge na roho ya kunyong’onyea ilianza kumnyemelea. Donge kubwa lilianza kumkaba shingoni na kumfanya ajisikie kutaka kupiga kelele hadi dunia nzima isikie yaliyomo moyoni mwake. Kwa mara nyingine tena alitaka kukaa chini ajikunyate.

Jiue

Kama malaika wa shetani sauti ovu ilinong’ona kwenye kona mojawapo ya akili zake. Haikuwa mara ya kwanza kwa Fela kupata wazo kama hilo. Mara kwa mara tangu siku ile ya tukio la sekondari wazo la kutaka kujiua lilikuwa linamrudia rudia. Usiku ule hata hivyo wazo lile ovu lilikuja tena kwa nguvu nyingine kabisa. Alijiangalia pale alipokuwa ameketi na hisia ile ya kujiona duni na kujikataa ilimuingia tena. Alikataa kila kitu chake, aliukataa mwili wake na alilaani yeye kuwa mwanamke. Alitamani apate mahali ajifiche kutoka kwenye hisia zile.

Katika maisha yake mara kwa mara alikuwa anajikuta anasononeka moyoni alipoona wasichana wenzie na hata wanawake wakisifia mahusiano yao ya mapenzi. Hakuwaelewa walipojionesha wana furaha na waume au mabwana zao. Mabinti wengine wakisumulia furaha yao ya tendo la ndoa kwake tendo lile halikuwa sababu ya furaha. Ilikuwa ni kama siyo yeye. Kwake ilikuwa ni kama kuwapa wanaume kitu ambacho si chake; kitu ambacho aliona kama ni mali yao. Hakujali kabisa anajitoa kwa nani kwani hakuwahi kusikia kitu kinachoitwa mapenzi moyoni. Hakujali kuutoa mwili wake kwa mwanamme kwani kwake wanaume walishamnyang’anya mwili huo miaka mingi nyuma. Alishiriki tendo hilo kama mwigizaji wa filamu chafu. Fela alijikuta akitamani tena kujiua, lakini safari hii mnong’ono wa mauti ulikuwa kama ngurumo nzito ya radi ukipasua moyo wake.

Jiue Fela, Jiue, unafanya nini hapa duniani. Umejiona jinsi ulivyo? Nani anaweza kukutaka wewe na uchafu wote ulioufanya? Nani anaweza kumpenda mwanamke kama wewe? Ndoa ngapi umeingilia kati na kuharibu mahusiano yaliyobarikiwa na Mungu? Hustahili kuwepo duniani. Kufa!!

Sauti ilikuwa kama ya mwendesha mashtaka wa kuzimu, ilimshtaki na kuumulika ushahidi katika dhamira ya yake. Hakuwa na mtu wa kumtetea na yeye mwenyewe hakuweza kujitetea kwani uzito wa ushahidi ulikuwa wazi mbele yake. Kama angeulizwa anajibu gani dhidi ya mashtaka yaliyoletwa mbele yake angepiga kelele kuwa alikuwa na hatia kabisa. Alijijua na alijua yote aliyoyafanya. Usiku huo aliamua kufanya kweli. Hakutaka kuiona kesho kwani kesho itakuwa ni siku nyingine ya giza.

Fela aliamka kutoka kwenye kochi alilokuwa amekaa huku amejifunga kanga ya shingoni tu chini akiwa na nguo za ndani tu. Kama aliyekuwa anaongozwa na nguvu nyingine kabisa aliinuka na kwenda kuchukua karatasi na kalamu. Alichukua chupa ndogo iliyokuwa na vidonge vya rangi nyeupe karibu 30 vya Xanax. Ukiviangalia vimefanana na vidonge vya maumivu ya kichwa vya Hedex na kuelekea chumbani. Alikuwa na chupa ya maji kwenye meza ndogo karibu na kitanda chake. Alikaa kwenye ukingo wa kitanda chake kwa dakika kadhaa akiwa hafanyi lolote.

Alipopata nguvu alianza kuandika alichotaka kuandika kwenye ile karatasi. Hakutaka kumfikiria Mungu wala hakumfikiria shetani. Moyo wake ulikuwa umejaa giza na alitaka tu kutoka kwenye giza hilo lililomkaa maisha yake yote sasa. Aliandika maneno mengi, na aliandika kama alikuwa anazungumza. Ilikuwa ni kama hotuba ambayo alitamani aitoe ulimwengu umsikie. Alijieleza na kuelezea yote ambayo yalikuwa yanausonga moyo wake kuanzia tukio lile la Iringa Girls na matukio mengine yaliyofuatia. Alipomaliza kuandika alichukua vidonge vile na kuvigawa mara mbili; alichukua fungu la kwanza la vidonge na kuvibugia na kunywa maji. Akachukua fungu la pili na kubugia huku akipiga mafundo kadhaa ya maji. Alichukua ile karatasi na kuikunja mara nne kwanza halafu akiivingirisha kama msokoto halafu akaifumba mkononi.

Kabla ya kujilaza kitandani, Fela alijifungua kanga aliyokuwa amejifunga shingoni, akavua nguo za ndani na akabakia katika mwili mtupu aliokuja nao duniani. Alijilaza chali kitandani, kisha akavuta shuka yake ya mauaua hadi usoni; mikono yake yake akaileta kifuani juu ya matiti. Mkono wa kushoto ukiwa juu ya mkono wa kulia ambao ulikuwa umekumbatia waraka wake wa kwaheri. Hazikupita dakika alianza kujihisi kizunguzungu kikimjia; hazikupita sekunde usingizi mzito ambao hakuweza kuuzuia. Alijihisi hisia ya utulivu na amani ikimshukia; wingu lile lililokuwa limetanda katika maisha yake lilianza kuinuka kama ukungu wa asubuhi. Alijiapiza kuwa hatimaye hakuna mwanamme mwingine atakayeutumia mwili wake tena.

Fela aliamua kutoiona kesho na roho yake ilikuwa imekubali kukibusu kifo. Alianza kushindwa kufumbua macho kwani usingizi ulimzidia.

Akalala usingizi aliokuwa ameutamani kwa miaka mingi.


HATA MBINGUNI hawakumtaka.

Kilichomshtua Fela ilikuwa ni sauti ya watu waliokuwa wamesimama karibu yake wakizungumza kwa kunong’ona.

“Anahema?”

“Sijui, Mungu wangu!”

“Mguse”

“Mguse wewe!”

Waliangaliana mara mbili; hakuna aliyekuwa tayari kumgusa lakini walijitahidi kukodolea eneo la tumbo kuona kama Fela alikuwa bado anahema maana alivyojifunika shuka jeupe alikuwa kama maiti inayosubiri kufanyiwa uchunguzi wa chanzo cha kifo.

Fela alizitambua sauti hizo kuwa ilikuwa ni mashosti wake Tina na Farida. Alipominya mkono wake wa kulia alikuta bado umeshikilia ile karatasi. Alivuta pumzi ndefu na kuishusha kitu kilichowafanya rafiki zake wale kushtuka kidogo na kusema kwa sauti “mzima bana!” Tina alimfunua shuka usoni ambayo ilikuwa kama alivyoiacha kabla ya kujisalimisha mbele ya giza.

“Eh kisa cha kulala uchi!” Tina aling’aka, maana alilivuta shuka hadi kwenye magoti.

“Eh mwenzetu nusura tuanze kupiga mayowe sisi, ndio nini kulala kama umekufa” Farida alidakia kabla Fela hajapata nafasi ya kusema lolote. Sauti zao zilimfanya atake kuziba masikio kwani kichwa kilikuwa kinamgonga kama nyundo. Fela alifumbua macho taratibu akijaribu kuyazoesha kwenye mwanga wa taa uliokuwa unammulika. Alivuta shuka tena hadi kifuani mkono wa kulia akisukumiza karatasi chini ya mto.

“Saa ngapi saa hizi?” Fela aliuliza kwa sauti ya unyonge iliyokatika na kumfanya akohoe kidogo na kujaribu tena kuuliza.

“Eh saa tano ya usiku” Farida alijibu akiwa amejishika kiuno.

Fela hakuamini kuwa ilikuwa ni saa tano ya usiku japo nje kulikuwa na giza kweli. Kumbukumbu yake ilimuambia aliingia kulala kwenye saa tatu hivi za usiku sasa iweje awe amechoka vile kwa kulala masaa mawili tu.

“Saa tano?” Aliuliza tena akionesha hali ya kuchanganyikiwa kidogo.

“Jumapili saa tano usiku” Farida alisema tena. Alikuwa amelala kwa zaidi ya masaa ishirini na nne. Ndipo mara moja moja akagundua amebanwa na mkojo wa kufa mtu. Alijaribu kujinyanyua taratibu Tina na Farida wakimsaidia.

“We unaumwa?” Tina alimuuliza.

Fela akamwambia hapana alikuwa amechoka tu akaomba aende chooni akirudi atawaambia zaidi. Aliwaambia pia kuwa alikuwa na njaa kali waangalie chochote kilichoko jikoni wampashie moto. Alijikongoja taratibu hadi chooni kwake na alikaa kule kwa karibu dakika kumi na tano hivi. Kwanza machozi yalimbubujika pale tu alipoingia bafuni na kwa wakati mmoja machozi na mkojo vilionekana kushindana. Alilia kama vile hajawahi kulia katika maisha yake yote.

Alifuta machozi na makamasi na karatasi yake ile ambayo hakutaka hata kuingalia tena aliichanachana. Alijimwagia maji usoni na kujikausha kwa taulo. Aliingia chumbani na kidogo alichangamka, lakini ile njaa ilikuwa imembana kwelikweli. Alivaa gauni ya kulalia na kuchukua kanga nyingine akaifunga kiunoni. Alipoingia sebuleni alikuta marafiki zake wamempashia moto wali na nyama ya mchuzi ambavyo alikuwa amevipika ile Jumamosi lakini hakuvigusa.

“Ehe nini mwenzetu?” Tina aliuliza tena kwani hawajawahi kumuuona Fela katika hali kama ile. Walimweleza kuwa tangu Jumamosi walikuwa wanapiga simu lakini alikuwa hajibu walidhani amechoka tu. Kufika Jumapili asubuhi hawakusikia chochote na kwenye kundi lao la Whatsap alionekana yupo lakini alikuwa hajibu ujumbe wowote.

“Hamna bana, nilikuwa nimechoka tu”

“Si useme kweli kama ulikuwa na buzi, maana umelala umejisaula utadhani nini bana!” Farida alidakia.

“Tulipiga simu wee hadi leo jioni hakuna majibu ndio tukapata wasiwasi” Tina aliongezea. Haikuwa kawaida kabisa kwa Fela kutokujibu chochote kwenye mitandao. Alikuwa anaangalia Whatsapp mara kwa mara kiasi kwamba kutoonekana kuwa yuko online kuliwapa wenzake hofu. Tina alikuwa na ufunguo wa ziada wa nyumba ya Fela basi hakukuwa na tatizo wao kuingia walipoamua kwenda huko. Wasiwasi zaidi uliwapata kwani walikuta gari lake likiwa limeegeshwa pale nje kwenye eneo la kuegeshea magari. Walipoingia ndani ndani walikuta TV bado inajizungumsisha yenyewe na ndipo walipoamua kuingia chumbani.

“Hamna bana nilikuwa nimechoka na Jumapili nikanywa kidogo hapa na jamaa mmoja akanipotezea muda wangu ndio nikaamua kuingia zangu kulala toka saa nane” aliwaambia uongo ambao ulipendeza kama ukweli. Kwa vile walimkuta mzima basi wakatuma ujumbe kwenye kundi lao na kupiga picha na Fela kuwaonesha wenzao kuwa alikuwa mzima wa afya. Kama ilivyokuwa kawaida ya kundi lao mashosti wake wakamporomoshea matusi yote yaliyowajia kwenye vichwa vyao fyatu. Na wakamrushia matani mengine ambavyo vyote vilikuwa vinasema tu kuwa walikuwa wanampenda. Na yeye akatuma ujumbe mwingine akawatukana kidogo marafiki zake mwishowe wakatumiana emoji za mabusu na mioyo inayodunda dunda kuonesha kuwa bado wako pamoja. Tina na Farida waliondoka pale karibu saa sita na nusu ya usiku baada ya kupiga soga kidogo.

Fela alikuwa bado amechoka na kausingizi bado kalikuwepo; alitaka arudi kitandani akakamalizie. Lile giza la mauti lililokuwa limetanda juu ya roho yake lilikuwa limemtoka. Hata hivyo lilikuwa limeachia hisia nyingine kabisa, hisia ambayo ilikuwa ni kama kurejea kwa ule mnong’ono wa miaka mingi uliokuwa unamkumbusha kurudia maisha mazuri, ile sauti ambayo ilikuwa inafifia ilijaribu tena kuzungumza ndani ya moyo wake na kumuita tena. Safari hii Fela alikuwa tayari kuisikia, alijaribu kuamini kuwa jaribio lake la kujiua halikujibiwa kwa sababu labda Mungu alikuwa na mpango mwingine kabisa na maisha yake, mpango ambao ulisababisha malango ya kuzimu kutokufunguliwa kwa ajili yake.

Aliamua kwenda kuoga na kurudi tena kitandani kumalizia usingizi wake. Safari hii akiwa na moyo fulani wa shukrani. Lakini pia alijikuta anatokwa tena na machozi kwani hakujua jinsi gani kama angekufa marafiki zake wangeathirika, hakujua kuwa kuna watu walikuwa wanampenda na kumjali hata kama ni fyatu wenzake. Alijua pamoja na mambo yote machafu anayoyafanya, pamoja na ndoa zote alizovuruga, pamoja na mimba zote alizotoa bado kuna watu walikuwa wanampenda na kumjali. Hata kama Mungu hakumtaka huko kwenye mbingu yake, aliamini bado alikuwa ana sababu ya kuwepo hapa duniani hata kama ni kwa ajili ya kuendelea kuwachuna watu wengine.

Na mbinguni sikutaki! Alijiambia moyoni.

Nitampa nafasi moja tu Mungu nione.

Aliingia kitandani kulala akiwa na nguvu mpya na mawazo mapya.
 
Mkuu Mwanakijiji, nikinunua Amazon kinakuwa kwenye lugha ya kiswahili au kiingereza?
 
SURA YA KUMI
MAMIA YA WAUMINI waliohudhuria ibada walijisikia kubarikiwa na walisifia kuwa Jumapili ile ilikuwa na upako wa kipekee kabisa. Shuhuda mbalimbali zilizotolewa wakati wa ibada ziliwafanya wenyeji washangilie na wageni wapigwe na butwaa. Watu walimsifu Mungu na kushangilia jinsi anavyomtumia mtumishi wake kwa matendo yake makuu ya ishara, uweza na miujiza. Askofu Damien Ndondo alisimama kwenye lango kuu la kuingilia kanisani akisalimiana na watu na kupokea mikono ya pongezi kutoka kwa waumini wake na wageni mbalimbali waliohudhuria ibada ya tatu katika Kanisa la Mavuno. Ibada iliyoanza saa nne na nusu iliisha karibu majira ya saa saba na nusu hivi huku wengine wakitamani ingeedelea japo kidogo. Utani mkubwa wa waumini ulikuwa ni wengi hawakutaka kutoka pale kanisani wakidai ni bora wajenge vibanda kama Petro alivyopendekeza kwenye ule Mlima wa Mageuzo alipowaona Eliya na Musa wakizungumza na Yesu.

Mabasi ya rangi ya bluu na nyeupe yaliyoleta watu pale kanisani kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji yalikuwa yamejipanga kuanza kuchukua abiria wake upande mwingine wa kanisa ambapo kulikuwa na eneo la kuegeshea mabasi. Kanisa la Mavuno lilikuwa na mabasi makubwa ishirini ambayo yalikuwa yanachukua watu kila Jumapili na kuwaleta kanisani na kuwarudisha hadi maeneo ambayo yana vituo vikubwa vya mabasi. Hii ilikuwa rahisi kwa watu wasio na usafiri wowote kuweza kufika pale kanisani.

Wale waliokuwa na usafiri wao mbalimbali walikuwa wameegesha magari na pikipiki zao katika eneo kubwa la simenti la kuegeshea magari lililozunguka kanisa. Kanisa Kuu la Askofu Mkuu Ndondo kwa ndani lilikuwa linafanana kabisa na lile kanisa kubwa la Second Baptist la Houston, jimbo la Texas nchini Marekani. Kanisa la Mavuno lilikuwa kubwa zaidi zaidi kwa upana wake na paa lake lilikuwa limeinuliwa juu kabisa ambapo msalaba mkubwa ulikuwa umesimama ukionekana kutoka sehemu mbalimbali za karibu.

Kanisa lilikuwa na sehemu kuu tatu za watu kukaa wakati wa ibada. Sehemu ya kwanza ya chini iliyozunguka madhabahu katika mtindo wa duara iligawanywa katika sehemu saba zilizokuwa zimekaa kwenye maumbo kama mstatiri hivi yakiwa na viti vilivyopangwa vizuri katika safu kumi zenye vita kumi kumi. Nyuma ya sehemu ya kwanza zilifuata safu nyingine nazo zikiwa katika makundi makundi; na sehemu hizo zote zilifanya kanisa liwe kama na miduara mitano ya vita ikizunguka madhabahu. Safu zile saba zilichukua watu elfu tano na kufanya kwa kukaa tu eneo la chini, kanisa lilichukua watu elfu thelathini na tano.

Sehemu saba za juu ambazo zilikuwa ni majukwaa zilizunguka kanisa kutoka kona moja hadi kona nyingine zikitengeneza nusu mviringo na zenyewe. Kila sehemu ilikuwa na uwezo wa kuchukua watu mia nne. Sehemu zile za juu zilijengwa kwa mtindo kama wa ngazi za majukwaa ya viwanja vya mpira ambapo watu walikaa wanaangalia chini kama vile wako uwanjani.

Baada ya kusalimiana na waumini mbalimbali baada ya ile baada Askofu Ndondo na wasaidizi wake walikuwa walikutana kwenye ofisi yake ya pale kanisani na kupeana taarifa chache na kufanya maombi mafupi ya kumshukuru Mungu kwa ibada. Baada ya watu wengine wote kuondoka alibakia Mzee Suku na Mama Jericho. Kama kawaida mambo yao hawakutaka kuyazungumzia pale. Waliamua kutoka na kutembea kuelekea kwenye jengo la ofisi za huduma nzima kwenye jengo la pembeni. Wakati wakiwa wanatembea kutoka kanisani Suku na Mama Jericho walimpa taarifa chache za ugeni uliokuwa unamsubiri.

Suku na Mama Jericho hawakutaka kwenda ofisini kwa Askofu kwani walikuwa na shughuli zao nyingine Jumapili ile. Walimuaga na kama ilivyokuwa kawaida yake unapokuja ugeni wake aupendao basi walijua usiku ule angeenda pale kwenye makazi yake yale mengine, maskani ambayo yalikuwa yanajulikana kwa watu wachache sana kwani wengi walifikiria ni majengo ya taasisi ya serikali.

Askofu Damien alijisikia moyo ukimuenda mbio na kijasho kikianza kumtoka akiwazia kukutana na wageni wake wale. Zilikuwa zimepita siku kadhaa tangu wawasili na alikuwa hajapata nafasi ya kwenda kule lakini Jumapili ile ilikuwa ni siku muafaka. Grace mke wake alikuwa amesafiri kwenda China kufanya manunuzi mbalimbali ya vitu vya nyumbani. Askofu Ndondo alisubiri kwa hamu jionie iingie aende kule kwingine; kule ambako wengi walikuwa hawajui kwamba kupo.


SAA NNE za usiku Askofu Damien alifika Mloganzila kwenye makazi yake mengine ya siri. Eneo lile liliandikishwa kama sekondari ya Seminari ya Mabinti wa Sifa - Daughters of Praise Girls Seminary. Makazi yake ya siri na ile shule yalikuwa kwenye eneo la kiwanja kikubwa cha karibu hekta mia tatu za mraba. Eneo lenyewe liligawanywa sehemu mbili kubwa. Hakuna aliyejua kwa uhakika alipataje eneo kubwa namna ile sehemu ile. Upande mmoja ambao ulikuwa unatazamana na upande kilipo Chuo Kikuu a Kitabibu cha Mloganzila ulikuwa ni shule mpya ambayo ujenzi wake ulikuwa unaelekea kukamilika ukiwa na majengo ya kisasa yakianza kuinuka taratibu. Shule ile ilikuwa inatarajiwa kuchukua wanafunzi wa kidato cha tano na cha sita tu.

Ujenzi wa shule ulichukua muda mrefu sana kuliko ilivyodhaniwa hasa kwa mtu mwenye ukwasi kama Askofu Ndondo. Hilo halikuwa kwa bahati mbaya kwani wakati ujenzi wa shule unaendelea Askofu alikuwa anatumia kujenga nyuma ya shule ile makazi yake maalum, mahali alipopaita yeye mwenyewe kuwa ni Paradiso yake duniani. Kulikuwa na ukuta mkubwa uliotenganisha eneo la shule na eneo la makazi. Barabara moja inayotokea barabara kuu iligawanyika ilipofika tu eneo la shule; moja iliingia kwenye geti la shule, na nyingine ilizunguka nyuma ya jengo lile. Kulikuwa na ubao mkubwa uliokataza watu au magari kwenda kuzunguka upande huo na kulikuwa na geti lenye walinzi masaa ishirini na nne.

Ili kuingia upande wa makazi mtu ilimpasa azunguke ukuta mkubwa uliozunguka eneo zima lile ambalo kwenye ramani za google lilionekana kama ngome fulani hivi kwa ukubwa wake. Ilikuwa ni vigumu kujua kama sehemu zile mbili zinahusiana kiutawala kwani nyuma ilionekana ni majengo ya majumba na ule ukuta haukukwa na lango kati yake kati ya sehemu zile mbili.

Askofu alipofika pale Mloganzila alipokelewa na Mama Jericho. Mzee Suku hakuwepo na kwa kawaida hakuwa pale wakati wowote Askofu alipokuwa pale isipokuwa tu kama Askofu amemuagiza ili wapate kuzungumza mambo fulani. Muda wote ambao Askofu alikuwa pale alikuwa akihudumiwa na wanawake peke yao. Kulikuwa na bustani kubwa ukiingia kutoka lile geti la nyuma. Upande wa kushoto nyuma ya jengo la makazi kulikuwa na bwawa kubwa la kuogelea lililozungukwa na miti midogo ya maua iliyopandwa kimkakati kulificha kutoka jengo ya walinzi. Kulikuwa na majengo makubwa matatu ya kuishi watu; lile la walinzi na majengo mawili yaliyoungana. Kulikuwepo pia na jengo jingine kubwa zaidi ambalo lilikuwa la kuegeshea magari upande wa kushoto wa jengo la walinzi. Katikati ya kiwanja kulikuwa na bustani nzuri ya maua iliyokuwa imezunguka chemchemi inayorusha maji angani, na wakati usiku kama wakati Askofu alipofika siku ile taa za rangi rangi rangi zilipamba kuzunguka chemchemi hiyo.

Kwenye jumba aliloingia Askofu Mkuu ilikuwa ni kama kuingia kwenye konventi ya watawa wa Kikatoliki. Watu pekee waliokuwa kwenye jengo lile walikuwa ni wanawake na mabinti; hakuna mwanaume aliyeruhusiwa kuingia zaidi zaidi ya sebuleni na kwa sababu maalum. Viongozi pale walijulikana kwa majina ya kitawa kama Mama Mkuu, Mama Kiongozi, Mama Mkuu Msaidizi na vitu kama hivyo. Mama Jericho ndiye alikuwa Mama Mkuu wa nyumba ya Mabinti wa Sifa.

Mama Jericho alikuwa amebadilisha mavazi yake kutoka aliyokuwa nayo kanisani na kuvaa yale ya pale nyumbani yenye kuonesha hadhi na cheo chake kama Mama Mkuu. Alikuwa amevaa vazi refu la gauni la rangi ya bluu iliyoiva huku akiwa amejifunga aproni nyekundu kiunoni kama ya wapishi. Haikuwa aproni ya kipishi bali alama ya hadhi yake. Aproni yake ilikuwa na picha ya samba ya kudarizi ya rangi ya dhahabu. Shingoni mwake alikuwa amevaa skafu ya mraba ya rangi nyeupe iliyoangukia pembe za mabega yake ikifanana na zile zinazovaliwa na watumishi wa misa.

Mama Jericho alikuwa amesimama na mabinti sita warefu waliosimama pande mbili karibu na mlango. Mabinti wote sita walikuwa wamechaguliwa kwa makusudi kabisa kwa siku zile ambazo Askofu atakuwa pale. Mabinti wale wao walikuwa wamevaa pia sare ya mavazi kama ya Mama Jericho lakini ya kwao yakiwa bila aproni bali mikanda ya rangi nyeupe. Badala ya kuvaa aproni shingoni magauni yao yalishonewa kola nyeupe zilioinuliwa kuzungusha shingo zikifia pande za masikio. Ukiwaangalia kutoka nyuma hukuweza kuona shingo zao, bali kichoko na nywele zao tu.

Wote walikuwa wamefunga nywele zao nyuma au walikuwa na nywele fupi zilizokatwa vizuri. Mabinti wale walivaa vikofia vya rangi nyekundu kichwani vikishikizwa na pini na kuonekana kama za manesi. Maumbile ya mabinti wote wale yalikuwa ni ya wembamba kiasi na warefu wa wastani. Vifua vyao vilikuwa vimejaliwa na makalio yao yalibarikiwa na kujaa neema za kushikwa na kushikika kama yanakaribia kumwagika. Hayakufichika. Yalikuwa kama yale ambayo mhubiri maarufu wa Kiislamu Sheikh Kipozeo aliwahi kuyasifia kwenye video iliyosambaa sana miaka kadhaa nyuma. Shehe Kipozeo alidai kuwa maumbile ya namna ile yalikuwa ya Kibantu hasa yaliyojaa “neema za Allah”. Mabinti wale wangepewa nafasi ya Umiss fulani kwa hakika wangetoka na tuzo fulani.

“Mhashamu Baba Askofu” mabinti wote sita kwa mpigo walimsalimia huku wakiinamisha vichwa vyao alipoingia ndani tu na kupiga goti kwa wakati mmoja kama wanavyosalimia mabinti wa Kisukuma. Hakuna aliyeinua kichwa chake hadi Askofu alipowasalimia kwa kuwashika mikono. Moyo ulikuwa unamdunda kama kufuata mapigo ya ngoma ya Wanyasa ya Mganda. Macho yake yalihama hama na kuwapekua mabinti wale toka juu hadi chini. Na chini yalifika na kupitiliza.

Hawa walikuwa ni wale aliowachagua kutoka miongoni mwa mabinti wengi waliopo pale na walikuwa ni wazoefu wa mambo yake. Mara zote alipofika Mloganzila alitaka kuwaona wale waliomzoea na yeye kuwazoea kabla hajawaona wageni na wapya wapya.

“Warembo wangu, hamjambo jamani” aliwasalimia mmoja mmoja kwa kuwashika mikono akiwapita kuelekea sebuleni. Nyuma yake alifuatiwa na Mama Jericho. Wasichana wale waliwafuata nyuma wakiwa wamejipanga na wakitembea taratibu na walipofika sebuleni wasichana walisimama pembeni huku Askofu Damien akienda kwenye kochi lake kubwa la kifahari lililokuwa limewekwa mahali ambapo alipata nafasi ya kuona sehemu kubwa ya ndani ya nyumba yake. Ilikuwa ni sebule kubwa iliyokuwa na nafasi kuliko hata ya nyumba yake ya kawaida ya kule Kanisa la Mavuno.

Hapa hata hivyo palijengwa hivyo kwa makusudi maalumu. Wasichana wale sita wakiongozwa na Jestina Zebroni walikuwa wamesimama wanasubiri maelekezo kutoka kwa Mama Jericho. Hawakutakiwa wala kuruhusiwa kusema lolote hadi watakaposemeshwa na Askofu.

Askofu alipoketi tu Mama Jericho alimsogelea na Askofu alimnong’oneza kitu. Mama Jericho alipoitikia tu aliinuka na kuwageukia wale mabinti, aliwaruhusu wengine kuelekea kwenye vyumba vyao isipokuwa Jestina. Wengine walikuwa tayari kuitwa na Askofu mwenyewe wakati wowote na wakati mwingine hakuhitaji hata kuwaita; aliingia tu kwenye vyumba vyao. Mabinti wale hawakutakiwa kufunga milango ya vyumba vyao. Walikuwa kama kuku bandani, wakisubiri jogoo. Mabinti wote sita walikuwepo kwenye vyumba vilivyokuwa karibu na cha Askofu na ndio walikuwa na jukumu la kumpa huduma zote na kusimamia mahitaji yake yote atakapokuwa pale kwa siku zile.

Hawa walikuwa ni wadada wakubwa katika nyumba ile wakiwaongoza mabinti wengine katika namna, na mambo ya kuweza kumhudumia Askofu katika mambo yote ya chumbani. Kila mmoja alikuwa na historia yake ya jinsi gani alifika kuwepo pale, na hakuna aliyekuwa na historia nzuri ya kusimulia. Mabinti wote walikuwa wanajihisi kama wafungwa kwani hawakuweza kutoka ndani ya eneo lile bila kusindikizwa na mmoja au wawili kati ya walinzi waliopo pale, na hawakwenda popote ambapo hawakutakiwa kwenda katika eneo lile. Na mahali popote walipotaka kwenda walienda kwa ruhusa ya Mama Jericho au Mzee Suku na mara zote walienda na mpambe au wapambe.

Jestina alijua anatakiwa kufanya nini; alienda moja kwa moja kwenye chumba cha Askofu na kujiandaa. Aliweka pembeni nguo zile ambazo zilionekana kama za kitawa na kuchukua nguo ambazo zilishaandaliwa mle ndani ya chumba kile kikubwa, nguo ambazo huvaliwa wakati wa kulala kwa mtu apendwaye ili kuamsha hisia zake za mapenzi. Alitakiwa kuvaa nguo ambazo zitampendezesha mbele ya Askofu Ndondo.

Mama Jericho aliondoka kuelekea chumba cha Mama Mkuu ambapo alikuwa anaenda kupumzika kwani asubuhi ana majukumu ya kuanza kuwaandaa wale mabinti wageni kwa shughuli kama ya kina Jestina. Lakini pamoja na hao alikuwa anatakiwa kuwasimamia mabinti wengine wanne ambao walikuwa wana ujauzito ambao wanatarajia kuangaliwa na mmoja wa madaktari ambaye yuko pia kwenye malipo ya Askofu. Daktari huyo alikuwa ni mstaafu na alikuwa anatoa huduma pembeni baada ya kusaidiwa na Askofu kimaisha. Wakati wa utumishi wake alikuwa mmoja wa madaktari mabingwa wa magonjwa ya kina mama kwenye hospitali ya Bombo mkoani Tanga lakini alifukuzwa baada kuwa na tatizo la muda mrefu la ulevi.

Askofu Ndondo alikuwa pia na manesi watu wazima ambao walitoa huduma ya uzazi pale pale nyumbani wakati wowote ilipokuwa inahitajika na watu walikuwa wanatunza siri sana kwani maisha na mafanikio yao yalimtegemea Askofu yule. Na walioanza kuhoji hoji kilichokuwa kinaendelea hawakupewa nafasi ya kuungana na familia zao tena. Miili ilikuwa inaokotwa mara kwa mara kwenye fukwe za bahari au karibu na mito ikiwa kwenye mifuko ya salfeti na hakuna aliyejua inatoka wapi. Watu walikuwa wanashambuliwa na mapanga na risasi na lawama walipewa “watu wasiojulikana”. Laiti wangejua.

Mama Jericho alipotoka tu, Askofu naye alipanda kuelekea chumbani kwake. Alipoingia tu alikuwa kama mbwa aliyeachiwa nje baada ya kufungwa ndani kwa muda. Macho yake yalipomuona Jestina alivyolala pale kitandani akijifanya kapitiwa na usingizi akili yake yote ilimpagawa, alivua nguo zake kwa haraka na mwili wake ukitangaza akili na damu ya mwili wake ilikuwa imeelekezwa wapi.

Askofu aliamini ilikuwa ni halali yake. Na alijihalalishia.

Jestina alitakiwa kuonesha anafurahia mambo yote hayo yote ambayo alikuwa atendewe na Askofu yule, na alifanya hivyo. Hakuwa na jinsi, hakuwa na njia. Askofu alimparamia bila hodi wala karibu. Na Usiku ule haukuwa wa Jestina peke yake. Kabla ya asubuhi kufika baada ya ndege kuanza kuimba tu Askofu alikuwa amesheenda kwa binti mwingine kule ghorofani na kuendelea na matendo yake yale.

Kwa siku zote tatu alizokuwa pale aliwapitia mabinti wote sita kwa jinsi alivyotaka mahali popote alipotaka ndani ya jumba lile. Na wakati mwingine alitaka kuwa nao wawili kwa wakati mmoja na alikuwa nao. Mabinti wale walishangazwa na nguvu zake na kiu yake, ingekuwa mtu mwingine wa kawaida angeonesha kuchoka lakini Askofu yule aliongeza nguvu zake pia kwa dawa za Viagra na mabinti wale walichoshwa kama na kijana wa miaka ya ishirini hivi tena mbeba vyuma.

Siku ya mwisho kabla ya kuondoka pale na kurudi nyumbani kwake akiwa anatarajia mke wake wa ndoa naye kurudi siku inayofuatia alipata nafasi ya kuwaona wale mabinti wadogo ambao walikuwa wameanza kuandaliwa kwa ajili yake. Walikuja tu kutambulishwa kwake pale nyumbani. Wale mabinti wakubwa walianza kuwafundisha wale watoto mambo ya kiutuuzima kwa geresha za kila aina na kuwasisitizia kuwa ndio kukomaa kwenyewe huko. Wote wanne walikuwa bado hawajaguswa na mwanamme japo walishayasikia mambo hayo kwa marafiki kama katika utani na stori za watoto wa kike. Hawakuwa na uhakika wa nini kinawangojea, waliambiwa tu mwanzoni wataenda kumuona Askofu aliyewadhamini ambaye jina lake walikuwa wamelisikia sana.

Askofu alpowaona moyo ulimpasuka, hakuamini wangekuwa makinda namna ile na wazuri wa kupendeza kwa macho, wazo la kuwa nao hata kwa dakika chache lilimchemsha damu yake tena. Lakini alijua hawakuwa tayari lakini alijua kwa wiki mbili zijazo watakuwa tayari awaonje. Alimpongeza Mama Jericho kwa kazi nzuri. Aliondoka pale kwa furaha kabisa akiwa na hamu na kiu ya kurudi pale mapema iwezekanavyo.

Akitoka Mwanza alijiapia kuwa atawahalalisha wale mabinti. Wazo hilo lilimpa joto kuanzia utosini hadi unyayoni.
 
SURA YA KUMI
MAMIA YA WAUMINI waliohudhuria ibada walijisikia kubarikiwa na walisifia kuwa Jumapili ile ilikuwa na upako wa kipekee kabisa. Shuhuda mbalimbali zilizotolewa wakati wa ibada ziliwafanya wenyeji washangilie na wageni wapigwe na butwaa. Watu walimsifu Mungu na kushangilia jinsi anavyomtumia mtumishi wake kwa matendo yake makuu ya ishara, uweza na miujiza. Askofu Damien Ndondo alisimama kwenye lango kuu la kuingilia kanisani akisalimiana na watu na kupokea mikono ya pongezi kutoka kwa waumini wake na wageni mbalimbali waliohudhuria ibada ya tatu katika Kanisa la Mavuno. Ibada iliyoanza saa nne na nusu iliisha karibu majira ya saa saba na nusu hivi huku wengine wakitamani ingeedelea japo kidogo. Utani mkubwa wa waumini ulikuwa ni wengi hawakutaka kutoka pale kanisani wakidai ni bora wajenge vibanda kama Petro alivyopendekeza kwenye ule Mlima wa Mageuzo alipowaona Eliya na Musa wakizungumza na Yesu.

Mabasi ya rangi ya bluu na nyeupe yaliyoleta watu pale kanisani kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji yalikuwa yamejipanga kuanza kuchukua abiria wake upande mwingine wa kanisa ambapo kulikuwa na eneo la kuegeshea mabasi. Kanisa la Mavuno lilikuwa na mabasi makubwa ishirini ambayo yalikuwa yanachukua watu kila Jumapili na kuwaleta kanisani na kuwarudisha hadi maeneo ambayo yana vituo vikubwa vya mabasi. Hii ilikuwa rahisi kwa watu wasio na usafiri wowote kuweza kufika pale kanisani.

Wale waliokuwa na usafiri wao mbalimbali walikuwa wameegesha magari na pikipiki zao katika eneo kubwa la simenti la kuegeshea magari lililozunguka kanisa. Kanisa Kuu la Askofu Mkuu Ndondo kwa ndani lilikuwa linafanana kabisa na lile kanisa kubwa la Second Baptist la Houston, jimbo la Texas nchini Marekani. Kanisa la Mavuno lilikuwa kubwa zaidi zaidi kwa upana wake na paa lake lilikuwa limeinuliwa juu kabisa ambapo msalaba mkubwa ulikuwa umesimama ukionekana kutoka sehemu mbalimbali za karibu.

Kanisa lilikuwa na sehemu kuu tatu za watu kukaa wakati wa ibada. Sehemu ya kwanza ya chini iliyozunguka madhabahu katika mtindo wa duara iligawanywa katika sehemu saba zilizokuwa zimekaa kwenye maumbo kama mstatiri hivi yakiwa na viti vilivyopangwa vizuri katika safu kumi zenye vita kumi kumi. Nyuma ya sehemu ya kwanza zilifuata safu nyingine nazo zikiwa katika makundi makundi; na sehemu hizo zote zilifanya kanisa liwe kama na miduara mitano ya vita ikizunguka madhabahu. Safu zile saba zilichukua watu elfu tano na kufanya kwa kukaa tu eneo la chini, kanisa lilichukua watu elfu thelathini na tano.

Sehemu saba za juu ambazo zilikuwa ni majukwaa zilizunguka kanisa kutoka kona moja hadi kona nyingine zikitengeneza nusu mviringo na zenyewe. Kila sehemu ilikuwa na uwezo wa kuchukua watu mia nne. Sehemu zile za juu zilijengwa kwa mtindo kama wa ngazi za majukwaa ya viwanja vya mpira ambapo watu walikaa wanaangalia chini kama vile wako uwanjani.

Baada ya kusalimiana na waumini mbalimbali baada ya ile baada Askofu Ndondo na wasaidizi wake walikuwa walikutana kwenye ofisi yake ya pale kanisani na kupeana taarifa chache na kufanya maombi mafupi ya kumshukuru Mungu kwa ibada. Baada ya watu wengine wote kuondoka alibakia Mzee Suku na Mama Jericho. Kama kawaida mambo yao hawakutaka kuyazungumzia pale. Waliamua kutoka na kutembea kuelekea kwenye jengo la ofisi za huduma nzima kwenye jengo la pembeni. Wakati wakiwa wanatembea kutoka kanisani Suku na Mama Jericho walimpa taarifa chache za ugeni uliokuwa unamsubiri.

Suku na Mama Jericho hawakutaka kwenda ofisini kwa Askofu kwani walikuwa na shughuli zao nyingine Jumapili ile. Walimuaga na kama ilivyokuwa kawaida yake unapokuja ugeni wake aupendao basi walijua usiku ule angeenda pale kwenye makazi yake yale mengine, maskani ambayo yalikuwa yanajulikana kwa watu wachache sana kwani wengi walifikiria ni majengo ya taasisi ya serikali.

Askofu Damien alijisikia moyo ukimuenda mbio na kijasho kikianza kumtoka akiwazia kukutana na wageni wake wale. Zilikuwa zimepita siku kadhaa tangu wawasili na alikuwa hajapata nafasi ya kwenda kule lakini Jumapili ile ilikuwa ni siku muafaka. Grace mke wake alikuwa amesafiri kwenda China kufanya manunuzi mbalimbali ya vitu vya nyumbani. Askofu Ndondo alisubiri kwa hamu jionie iingie aende kule kwingine; kule ambako wengi walikuwa hawajui kwamba kupo.


SAA NNE za usiku Askofu Damien alifika Mloganzila kwenye makazi yake mengine ya siri. Eneo lile liliandikishwa kama sekondari ya Seminari ya Mabinti wa Sifa - Daughters of Praise Girls Seminary. Makazi yake ya siri na ile shule yalikuwa kwenye eneo la kiwanja kikubwa cha karibu hekta mia tatu za mraba. Eneo lenyewe liligawanywa sehemu mbili kubwa. Hakuna aliyejua kwa uhakika alipataje eneo kubwa namna ile sehemu ile. Upande mmoja ambao ulikuwa unatazamana na upande kilipo Chuo Kikuu a Kitabibu cha Mloganzila ulikuwa ni shule mpya ambayo ujenzi wake ulikuwa unaelekea kukamilika ukiwa na majengo ya kisasa yakianza kuinuka taratibu. Shule ile ilikuwa inatarajiwa kuchukua wanafunzi wa kidato cha tano na cha sita tu.

Ujenzi wa shule ulichukua muda mrefu sana kuliko ilivyodhaniwa hasa kwa mtu mwenye ukwasi kama Askofu Ndondo. Hilo halikuwa kwa bahati mbaya kwani wakati ujenzi wa shule unaendelea Askofu alikuwa anatumia kujenga nyuma ya shule ile makazi yake maalum, mahali alipopaita yeye mwenyewe kuwa ni Paradiso yake duniani. Kulikuwa na ukuta mkubwa uliotenganisha eneo la shule na eneo la makazi. Barabara moja inayotokea barabara kuu iligawanyika ilipofika tu eneo la shule; moja iliingia kwenye geti la shule, na nyingine ilizunguka nyuma ya jengo lile. Kulikuwa na ubao mkubwa uliokataza watu au magari kwenda kuzunguka upande huo na kulikuwa na geti lenye walinzi masaa ishirini na nne.

Ili kuingia upande wa makazi mtu ilimpasa azunguke ukuta mkubwa uliozunguka eneo zima lile ambalo kwenye ramani za google lilionekana kama ngome fulani hivi kwa ukubwa wake. Ilikuwa ni vigumu kujua kama sehemu zile mbili zinahusiana kiutawala kwani nyuma ilionekana ni majengo ya majumba na ule ukuta haukukwa na lango kati yake kati ya sehemu zile mbili.

Askofu alipofika pale Mloganzila alipokelewa na Mama Jericho. Mzee Suku hakuwepo na kwa kawaida hakuwa pale wakati wowote Askofu alipokuwa pale isipokuwa tu kama Askofu amemuagiza ili wapate kuzungumza mambo fulani. Muda wote ambao Askofu alikuwa pale alikuwa akihudumiwa na wanawake peke yao. Kulikuwa na bustani kubwa ukiingia kutoka lile geti la nyuma. Upande wa kushoto nyuma ya jengo la makazi kulikuwa na bwawa kubwa la kuogelea lililozungukwa na miti midogo ya maua iliyopandwa kimkakati kulificha kutoka jengo ya walinzi. Kulikuwa na majengo makubwa matatu ya kuishi watu; lile la walinzi na majengo mawili yaliyoungana. Kulikuwepo pia na jengo jingine kubwa zaidi ambalo lilikuwa la kuegeshea magari upande wa kushoto wa jengo la walinzi. Katikati ya kiwanja kulikuwa na bustani nzuri ya maua iliyokuwa imezunguka chemchemi inayorusha maji angani, na wakati usiku kama wakati Askofu alipofika siku ile taa za rangi rangi rangi zilipamba kuzunguka chemchemi hiyo.

Kwenye jumba aliloingia Askofu Mkuu ilikuwa ni kama kuingia kwenye konventi ya watawa wa Kikatoliki. Watu pekee waliokuwa kwenye jengo lile walikuwa ni wanawake na mabinti; hakuna mwanaume aliyeruhusiwa kuingia zaidi zaidi ya sebuleni na kwa sababu maalum. Viongozi pale walijulikana kwa majina ya kitawa kama Mama Mkuu, Mama Kiongozi, Mama Mkuu Msaidizi na vitu kama hivyo. Mama Jericho ndiye alikuwa Mama Mkuu wa nyumba ya Mabinti wa Sifa.

Mama Jericho alikuwa amebadilisha mavazi yake kutoka aliyokuwa nayo kanisani na kuvaa yale ya pale nyumbani yenye kuonesha hadhi na cheo chake kama Mama Mkuu. Alikuwa amevaa vazi refu la gauni la rangi ya bluu iliyoiva huku akiwa amejifunga aproni nyekundu kiunoni kama ya wapishi. Haikuwa aproni ya kipishi bali alama ya hadhi yake. Aproni yake ilikuwa na picha ya samba ya kudarizi ya rangi ya dhahabu. Shingoni mwake alikuwa amevaa skafu ya mraba ya rangi nyeupe iliyoangukia pembe za mabega yake ikifanana na zile zinazovaliwa na watumishi wa misa.

Mama Jericho alikuwa amesimama na mabinti sita warefu waliosimama pande mbili karibu na mlango. Mabinti wote sita walikuwa wamechaguliwa kwa makusudi kabisa kwa siku zile ambazo Askofu atakuwa pale. Mabinti wale wao walikuwa wamevaa pia sare ya mavazi kama ya Mama Jericho lakini ya kwao yakiwa bila aproni bali mikanda ya rangi nyeupe. Badala ya kuvaa aproni shingoni magauni yao yalishonewa kola nyeupe zilioinuliwa kuzungusha shingo zikifia pande za masikio. Ukiwaangalia kutoka nyuma hukuweza kuona shingo zao, bali kichoko na nywele zao tu.

Wote walikuwa wamefunga nywele zao nyuma au walikuwa na nywele fupi zilizokatwa vizuri. Mabinti wale walivaa vikofia vya rangi nyekundu kichwani vikishikizwa na pini na kuonekana kama za manesi. Maumbile ya mabinti wote wale yalikuwa ni ya wembamba kiasi na warefu wa wastani. Vifua vyao vilikuwa vimejaliwa na makalio yao yalibarikiwa na kujaa neema za kushikwa na kushikika kama yanakaribia kumwagika. Hayakufichika. Yalikuwa kama yale ambayo mhubiri maarufu wa Kiislamu Sheikh Kipozeo aliwahi kuyasifia kwenye video iliyosambaa sana miaka kadhaa nyuma. Shehe Kipozeo alidai kuwa maumbile ya namna ile yalikuwa ya Kibantu hasa yaliyojaa “neema za Allah”. Mabinti wale wangepewa nafasi ya Umiss fulani kwa hakika wangetoka na tuzo fulani.

“Mhashamu Baba Askofu” mabinti wote sita kwa mpigo walimsalimia huku wakiinamisha vichwa vyao alipoingia ndani tu na kupiga goti kwa wakati mmoja kama wanavyosalimia mabinti wa Kisukuma. Hakuna aliyeinua kichwa chake hadi Askofu alipowasalimia kwa kuwashika mikono. Moyo ulikuwa unamdunda kama kufuata mapigo ya ngoma ya Wanyasa ya Mganda. Macho yake yalihama hama na kuwapekua mabinti wale toka juu hadi chini. Na chini yalifika na kupitiliza.

Hawa walikuwa ni wale aliowachagua kutoka miongoni mwa mabinti wengi waliopo pale na walikuwa ni wazoefu wa mambo yake. Mara zote alipofika Mloganzila alitaka kuwaona wale waliomzoea na yeye kuwazoea kabla hajawaona wageni na wapya wapya.

“Warembo wangu, hamjambo jamani” aliwasalimia mmoja mmoja kwa kuwashika mikono akiwapita kuelekea sebuleni. Nyuma yake alifuatiwa na Mama Jericho. Wasichana wale waliwafuata nyuma wakiwa wamejipanga na wakitembea taratibu na walipofika sebuleni wasichana walisimama pembeni huku Askofu Damien akienda kwenye kochi lake kubwa la kifahari lililokuwa limewekwa mahali ambapo alipata nafasi ya kuona sehemu kubwa ya ndani ya nyumba yake. Ilikuwa ni sebule kubwa iliyokuwa na nafasi kuliko hata ya nyumba yake ya kawaida ya kule Kanisa la Mavuno.

Hapa hata hivyo palijengwa hivyo kwa makusudi maalumu. Wasichana wale sita wakiongozwa na Jestina Zebroni walikuwa wamesimama wanasubiri maelekezo kutoka kwa Mama Jericho. Hawakutakiwa wala kuruhusiwa kusema lolote hadi watakaposemeshwa na Askofu.

Askofu alipoketi tu Mama Jericho alimsogelea na Askofu alimnong’oneza kitu. Mama Jericho alipoitikia tu aliinuka na kuwageukia wale mabinti, aliwaruhusu wengine kuelekea kwenye vyumba vyao isipokuwa Jestina. Wengine walikuwa tayari kuitwa na Askofu mwenyewe wakati wowote na wakati mwingine hakuhitaji hata kuwaita; aliingia tu kwenye vyumba vyao. Mabinti wale hawakutakiwa kufunga milango ya vyumba vyao. Walikuwa kama kuku bandani, wakisubiri jogoo. Mabinti wote sita walikuwepo kwenye vyumba vilivyokuwa karibu na cha Askofu na ndio walikuwa na jukumu la kumpa huduma zote na kusimamia mahitaji yake yote atakapokuwa pale kwa siku zile.

Hawa walikuwa ni wadada wakubwa katika nyumba ile wakiwaongoza mabinti wengine katika namna, na mambo ya kuweza kumhudumia Askofu katika mambo yote ya chumbani. Kila mmoja alikuwa na historia yake ya jinsi gani alifika kuwepo pale, na hakuna aliyekuwa na historia nzuri ya kusimulia. Mabinti wote walikuwa wanajihisi kama wafungwa kwani hawakuweza kutoka ndani ya eneo lile bila kusindikizwa na mmoja au wawili kati ya walinzi waliopo pale, na hawakwenda popote ambapo hawakutakiwa kwenda katika eneo lile. Na mahali popote walipotaka kwenda walienda kwa ruhusa ya Mama Jericho au Mzee Suku na mara zote walienda na mpambe au wapambe.

Jestina alijua anatakiwa kufanya nini; alienda moja kwa moja kwenye chumba cha Askofu na kujiandaa. Aliweka pembeni nguo zile ambazo zilionekana kama za kitawa na kuchukua nguo ambazo zilishaandaliwa mle ndani ya chumba kile kikubwa, nguo ambazo huvaliwa wakati wa kulala kwa mtu apendwaye ili kuamsha hisia zake za mapenzi. Alitakiwa kuvaa nguo ambazo zitampendezesha mbele ya Askofu Ndondo.

Mama Jericho aliondoka kuelekea chumba cha Mama Mkuu ambapo alikuwa anaenda kupumzika kwani asubuhi ana majukumu ya kuanza kuwaandaa wale mabinti wageni kwa shughuli kama ya kina Jestina. Lakini pamoja na hao alikuwa anatakiwa kuwasimamia mabinti wengine wanne ambao walikuwa wana ujauzito ambao wanatarajia kuangaliwa na mmoja wa madaktari ambaye yuko pia kwenye malipo ya Askofu. Daktari huyo alikuwa ni mstaafu na alikuwa anatoa huduma pembeni baada ya kusaidiwa na Askofu kimaisha. Wakati wa utumishi wake alikuwa mmoja wa madaktari mabingwa wa magonjwa ya kina mama kwenye hospitali ya Bombo mkoani Tanga lakini alifukuzwa baada kuwa na tatizo la muda mrefu la ulevi.

Askofu Ndondo alikuwa pia na manesi watu wazima ambao walitoa huduma ya uzazi pale pale nyumbani wakati wowote ilipokuwa inahitajika na watu walikuwa wanatunza siri sana kwani maisha na mafanikio yao yalimtegemea Askofu yule. Na walioanza kuhoji hoji kilichokuwa kinaendelea hawakupewa nafasi ya kuungana na familia zao tena. Miili ilikuwa inaokotwa mara kwa mara kwenye fukwe za bahari au karibu na mito ikiwa kwenye mifuko ya salfeti na hakuna aliyejua inatoka wapi. Watu walikuwa wanashambuliwa na mapanga na risasi na lawama walipewa “watu wasiojulikana”. Laiti wangejua.

Mama Jericho alipotoka tu, Askofu naye alipanda kuelekea chumbani kwake. Alipoingia tu alikuwa kama mbwa aliyeachiwa nje baada ya kufungwa ndani kwa muda. Macho yake yalipomuona Jestina alivyolala pale kitandani akijifanya kapitiwa na usingizi akili yake yote ilimpagawa, alivua nguo zake kwa haraka na mwili wake ukitangaza akili na damu ya mwili wake ilikuwa imeelekezwa wapi.

Askofu aliamini ilikuwa ni halali yake. Na alijihalalishia.

Jestina alitakiwa kuonesha anafurahia mambo yote hayo yote ambayo alikuwa atendewe na Askofu yule, na alifanya hivyo. Hakuwa na jinsi, hakuwa na njia. Askofu alimparamia bila hodi wala karibu. Na Usiku ule haukuwa wa Jestina peke yake. Kabla ya asubuhi kufika baada ya ndege kuanza kuimba tu Askofu alikuwa amesheenda kwa binti mwingine kule ghorofani na kuendelea na matendo yake yale.

Kwa siku zote tatu alizokuwa pale aliwapitia mabinti wote sita kwa jinsi alivyotaka mahali popote alipotaka ndani ya jumba lile. Na wakati mwingine alitaka kuwa nao wawili kwa wakati mmoja na alikuwa nao. Mabinti wale walishangazwa na nguvu zake na kiu yake, ingekuwa mtu mwingine wa kawaida angeonesha kuchoka lakini Askofu yule aliongeza nguvu zake pia kwa dawa za Viagra na mabinti wale walichoshwa kama na kijana wa miaka ya ishirini hivi tena mbeba vyuma.

Siku ya mwisho kabla ya kuondoka pale na kurudi nyumbani kwake akiwa anatarajia mke wake wa ndoa naye kurudi siku inayofuatia alipata nafasi ya kuwaona wale mabinti wadogo ambao walikuwa wameanza kuandaliwa kwa ajili yake. Walikuja tu kutambulishwa kwake pale nyumbani. Wale mabinti wakubwa walianza kuwafundisha wale watoto mambo ya kiutuuzima kwa geresha za kila aina na kuwasisitizia kuwa ndio kukomaa kwenyewe huko. Wote wanne walikuwa bado hawajaguswa na mwanamme japo walishayasikia mambo hayo kwa marafiki kama katika utani na stori za watoto wa kike. Hawakuwa na uhakika wa nini kinawangojea, waliambiwa tu mwanzoni wataenda kumuona Askofu aliyewadhamini ambaye jina lake walikuwa wamelisikia sana.

Askofu alpowaona moyo ulimpasuka, hakuamini wangekuwa makinda namna ile na wazuri wa kupendeza kwa macho, wazo la kuwa nao hata kwa dakika chache lilimchemsha damu yake tena. Lakini alijua hawakuwa tayari lakini alijua kwa wiki mbili zijazo watakuwa tayari awaonje. Alimpongeza Mama Jericho kwa kazi nzuri. Aliondoka pale kwa furaha kabisa akiwa na hamu na kiu ya kurudi pale mapema iwezekanavyo.

Akitoka Mwanza alijiapia kuwa atawahalalisha wale mabinti. Wazo hilo lilimpa joto kuanzia utosini hadi unyayoni.

Mzee kumbe bado unaiendeleza fani?

Hivi zile za zamani zinapatikana wapi? Kama ile ya Chiku na Mwanakijiji....au ile ya Mwanakijiji alipoenda Marietta, GA....
 
Mzee kumbe bado unaiendeleza fani?

Hivi zile za zamani zinapatikana wapi? Kama ile ya Chiku na Mwanakijiji....au ile ya Mwanakijiji alipoenda Marietta, GA....


Duh.. unakumbukumbu eh.. long live TZ ATL... nyingi zipo ukigoogle unaweza kupata.. nyingine hata kwangu zilishapotea inabidi nipate muda kukusanya zile za zamani
 
Back
Top Bottom