Riwaya: Msako wa Hayawani


Samahani mkuu nitaimaliazia kwa usahihi ndani siku mbili hizihizi tuwiane radhi.
 
Hii nayo ni kama safari ambayo mtu hujui unaenda wapi wala utafika lini
 
Samahani mkuu nitaimaliazia kwa usahihi ndani siku mbili hizihizi tuwiane radhi.

Sasa mkuu hizo siku mbili bado??? Mana kuna mtu nae alisema umekufa basi tafranii.. Sasa fanya uimalizie ili tuthibitishe kuwa ule ilikuwa uzushi we uko hai
 
Mkuu kwa heshima ya wadau wote nitajitaidi nimalizie ,japo ni kipande kidogo kilichosalia!

Tutashukuru kuitendea haki MIOYO yetu,na AMANI YA MWENYEZI MUNGU iwe juu yako.
 
Mkuu nakihitaji hiki kitabu cha Eddi Ganzel, nitumie PM tufanye biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…