Riwaya: SIN

Riwaya: SIN

SIN 199


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Mkataba upi?”
“Wa boko haramu pamoja na nchi ya Marekani?”
“Ndio upo, vipi?”
Julieth akaweka glasi mbili za maji mezani kisha akaka kwenye sofa alilo kuwa ame keti.
“Nime weza kuonyeshwa. Wamarekani wana utafuta mkataba ule na wapo tayari kutoa kiasi kikubwa sana cha pesa katika kuupata. Mmoja wa watu wako wa karibu sana ndani ya hii ikulu ndio ata pokea dili hilo kwa siri na mtu huyo kabla ya kuuchukua mkataba huo basi ata kupiga risasi ya kichwa na atauchukua na kutokomea pasipo julikana”
Raisi Mtenzi akastuka snaa huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi. Hata Julieth na Magreth nao wakajawa na mstuko sana kwa maana habari hiyo ni ya kutisha sana na isitoshe anaye tekeleza agizo hilo ni mtu wa karibu sana na raisi Mtenzi.





ENDELEA


“What? Ni nani huyo ata tekeleza?”
Julieth alihoji akiwa na mshangao mkubwa sana.
“Sijaonyeshwa ni nani ambaye ata tekeleza hilo jambo. Ila kuanzia hivi sasa muheshimiwa raisi ina kupasa uwe makini kuliko siku zote ambazo ume wahi kuwa makini kwenye uongozi wako”
Josephine alizungumza kwa msisitizo.


“Mmmmm”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akisimama kwa maana habari hiyo ina mufanya hadi ahisi utumbo wake ukimcheza kwa ndani.


‘Yaani mtu wangu wa karibu ata niua, tena ndani ya ikulu. Sasa ni wapi salama ehee Mungu wangu, ni wapi kwa kukimbilia? Nani nimu amini?”
Raisi Mtenzi aliwaza akilini mwake huku akijaribu kuwawazia mzee Mbogo pamoja na mr the Brain kwa mana ahao ndio watu wake wa karibu sana kulipa watu wote ndni ya ikulu na ndio watu wake wanao fahamu mambo mengi sana yanayo muhusu yeye kuliko watu wengine wote.


‘Kama wenge kuwa wana hitaji kunia wangesha niua. Kwa nini sass?’


Raisi Mtenzi aliendelea kuwaza.


“Josephine huyo mtu ni mwanamke au mwanaume?”
“Sifahamu muheshimiwa”
“Baba mtu wako wa karibu ni nani?”
Julieth aliuliza huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake.
“Ehee?”
“Watu wako wa karibu ni nani na nani?”
“Ni….ni Brain na Mbogo?”
“Hao tu wawili?”
“Ndio”
“Ina bidi macho yao sasa tuyaweke kwao au muna semaje jamani”
Julieth aliuliza huku akiwatazama Josephine na Magreth.
“Hapana ni watu wangu wa karibu sana, ambao nime fanya nao mambo mengi sana n anime weza kuwakosea mambo mengi sana. Kama ingekua ni jambo la kuniua basi wange niua muda mrefu sana”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo, Magreth akamkodolea macho Josephine ambaye ameyafumba macho yake, na kuwafanya watu wote kumtazama Josephine. Baada ya dakika mbili akayafumbua macho yake.
“Nime weza kuonyeshwa huyo mtu ambaye ata husika na jambo hilo”
Kwa haraka raisi Mtenzi akaka kwneye sofa huku akiwa makini san akuweza kumsikiliza Josephine.
“Nime pewa sifa zake. Moja ni mtu ambaye ana miliki kundi kubwa la majasusi ambao waliniteka mimi. Kikundi cha mtu huyo kina husiana na uuzaji wa madawa ya kulevya, mtu huyo ndio alite husika na kuichonganisha serikali pamoja na Al-Shabab na mwisho mambo yakawa kama yalivyo tokea”
Mapigo ya moyo ya Julieth yakaanz akumuenda kasi sana kwa maana sifa zinazo tajwa zina endana kabisa na sifa zake, ila akajikaza ili kuto onekana kwamba anaye zungumziwa hapo ndio yeye.


“Mtu mwenyewe sio mwanaume ni mwanamke?”
“Mwanamke?”
Raisi Mtenzi aliuliza kwa mshangao mkubwa sana huku kwa upande wa Julieth akihisi akishikwa na tumbo la gafla la haja kubwa.


“Ndio muheshimiwa”
“Sasa ni nani jamani?”
Raisi Mtenzi alihoji huku akihisi kuchanganyikiwa.


“Sija pewa sura yake halisi. Ila hizo sifa zake ndio hizo nilizo pewa. Ina bidi kuhakikisha muheshimiwa una kuwa makini sana na wana wake wa hapa ikulu”
“Nashukuru sana kwa taarifa yako Josephine. Nina imani Mungu ni mkubwa na ata tusaidia katika hili”
“Sawa muheshimia. Nina omba tuweze kuwaacha”
“Mbona mapema”
“Hakuna muheshimiwa. Kesho ni siku ya kurudi kazini hivyo tuta zungumza mambo mengi sana tukiwa ofisini”
“Sawa nina shukuru kwa taarifa hiyo”
Magreth na Josephine wakaondoka eneo hilo na akabaki raisi Mtenzi pamoja na Julieth.
“Baba hili jambo ni hatari sana”
“Ni kweli ni jambo la hatari ila ina bidi tuwe makini sana. Alafu kuna kitu nina hitaji unisaidie”
“Kitu gani baba?”
“Nina kuomba uanze kujenga urafiki na wasichana wenye wathifa wathifa hapa ikulu na uwe nao karibu sana kwa maana nina hitaji kufahamu huyo mwanamke mwenye hizo sifa ni nani”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa sauti ya chini pasipo kufahamu kwamba bucha lake ame mkabidhi chui aliye jivisha ngozi ya kondoo.
***


Asubuhi na mampema Leila akaelekea kazini kwake huku Evans akarudi hotelini. Akabadilisha nguo kisha akampigia dereva taksi aliye mpatia namba ya simu akitokea uwanja wa ndege. Baada ya nysu saa dereva akafika hotelini hapo.
“Habari za toka majuzi bosi”


Dereva alizungumza kwa kuchangamka sana.
“Salama habari ya wewe?”
“Salama aisee, vipi Tanzania ume ionaje?”
“Joto kali aisee. Ila nina mshukuru Mungu”
Evans alizungumza huku akiwa amekaa siti ya nyuma ya taksi hiyo.


“Wapi kaka?”
“Leo nina hitaji uweke mafuta mengi sana kwa maana kuna sehemu nyingi nyingi nina hitaji unipeleke”
“Sawa sawa, wapi una hitaji twende”
“Tuanzie kigamboni.”
“Sawa”
Wakaondoka hotelini hapo na kupita kwenye moja ya sheli, dereva akajaza tanki nzima ya mafuta na kuelekea Kigamboni. Wakafika katika eneo ambalo Evans alinunua kwa ajili ya kutengeneza kanisa kubwa. Akashuka kwenye taksi na kuanza kulikagua eneo hilo huku dereva akiwa amekabaki ndani ya gari.


“Kazi yangu ikiisha nita jenga jumba kubwa hapa. Kikubwa ni kuipata hiyo hadhina”
Evans alizungumza kimoyo moyo huku akitazama eneo hilo jinsi lilivyo kubwa. Akatoa simu yake na kupiga baadhi ya picha, kabla hajairudisha simu mfukoni, akaitafuta namba ya Magreth na akampigia.
“Haloo Geogre”
Magreth alizungumza kwa furaha sana kwa maana hakutarajia kupigiwa simu.
“Upo wapi?”
“Nipo kwangu?”
“Kwako ni wapi?”
Evans alijifanya kama hafahamu chochote.
“Kwangu ni Kigamboni.”
“Ohoo na mimi nipo Kigamboni kwa sasa. Una weza kuni elekeza niweze kufika kwako?”
“Yes waoo karibu sana”
Magreth akaanza kumuelekeza Evans ni wapi anapo ishi pasipo kufahamu Frank ni mwenyeji kabisa wa nyumba yake.


“Nita fika hapo baada ya lisaa moja na nusu hivi”
“Sawa sawa basi acha nikuandalie chakula”
“Nina shukuru”
“Usijali mpenzi wangu”
Evans akakata simu na kurudi ilipo taksi na akaingia ndani.
“Kaka hili eneo lako nini?”
“Yes so una jua kuwekeza kwenye ardhi ni jambo zuri”
“Ni kweli kaka. Hongera sana”
“Nashukuru”
“Wapi tuelekee”
“Nahitaji uni peleke kwenye moja ya hoteli hapo tukapate kinywaji kabla ya kuendelea na ratiba nyingine pia kuna kazi nita hitaji nikupatie”
“Sawa sawa kaka”
Wakafika kwenye moja ya hoteli na kutafuta sehemu iliyo tulivu na kuketi.
“Kaka una jua hii hoteli ni ya nabii Sanga”
“Wee!!”
“Haki ya Mungu vile ni nyumba ya nabii wetu, yaani ana pesa nyingi sana yule mzee”
“Aisee kajitahidi kwa kweli”
Wakahudumia vinywaji na kuanza mazungumzo.


“Nina hitaji kuwa karibu na huyu nabii Sanga una weza kunisaidia katika hilo?”
“Mmmm kwa mimi sina ukaribu sana na yule mtumishi. Ila mke wangu ni mmoja wa wahudumu katika lile kanisa na nina imani ana weza kuwa karibu sana na nabii Sanga.”
“Ahaa sasa nita hitaji jambo moja”
“Jambo gani?”
“Kuna sehemu nita pitia, sifahamu nita kaa kwa muda gani ila leo hii nita hitaji niweze kuonanana mke wako aweze kunitambulisha kwa nabii Sanga”
“Sawa kaka nita fanya hivyo ila nina hitaji kufahamu ni sababu gani haswa ina kufanya uwe karibu kuwa na nabii Sanga.”
“Biashara kama nilivyo kueleza hapo awali. Kwa msaada huo nita kupatia milioni moja”
“Hivyo tu kwa milioni moja?”
“Ndio”
“Basi sawa, hakuna saka kaka nita mueleza mke wangu kisha ata nipa ratiba kama leo nabii Sanga yupo kanisani basi nita kujulisha”
“Sawa”
Wakakaa hapo hotelini kwa nusu saa kisha wakaelekea nyumbani kwa Magreth. Evans akamlipa dereva huyo laki mbili na kumuahidi ata mpigia simu akimaliza kuzungumza na mwenyeji anaye kwenda kumuona ndani ya hiyo nyumba.


“Shukrani sana kaka”
Dereva huyo aliye jitambulisho kwa jina la John alizungumza kwa furaha sana kwa maana mizunguko hiyo michache ime weza kumpatia pesa nyingi tena kwa asubuhi hiyo. Isitoshe akilini mwake ana iwazia milioni moja atakayo pewa na Evans kama ata ikamilisha kazi hiyo. Evana akaminya kengele huku akitazama kamera iliyopo hapo geti. Hakika mazingira na nyumba hiyo hayaja badilika sana. Geti likafunguliwa na Magreth akakumbatia Evans kwa furaha sana huku akimpiga mabusu mfululizo ya mdomoni.


“Karibu sana kwangu mume wangu”
Magreth alijikuta akiropoka pasipo kuja kama jibu lale kwa kijana huyo ni ndio au hapa.


“Nina shukuru sana”
Wakaingia ndani na Magreth akamkaribisha kwa furaha, Evans akaendelea kutazama eneo la nyumba hiyo, akakumbuka kipindi alipo kuwa ana fukuzwa na nabii Sanga.


“Rafiki yako yupo wapi?”
“Ame kwenda kazini.”
“Oohoo kwa hiyo upo peke yako?”
“Yes baby, nina imani una njaa. Nime kuandalia chakula kitamu sana, karibu sana mezani”
“Nina shukuru”


Wakakaa kwenye viti vilivyo izunguka meza hiyo. Magreth akaanda chakula hicho ambacho ni ndizi na nyama. Wakaanza kula taratibu huku Evans akisikilizia utamu wa chakula hicho.
“Aisee una chakula kitamu sana”
“Nashukuru baby”
“Ehee hembu niambie maisha yako ya nyuma ya mahusiano ilikuwaje kuwaje, hadi ukatengana na boyfriend wako?”


Evans alizungumza kwa suti ya upole huku akimtazama Magreth usoni mwake aliye jikuta akiaha kula kabisa na kukaa kimya kwa sende kadhaa.
“Sitaki kukudanganya kitu, naogopa nikikudanganya na baadae uka fahamu nina imani kwamba nita kuw akwneye hali mbaya.”
“Yes niambie tu ukweli?”
Magreth akamimina maji kwenye glasi na kuyanywa nusu glasi ilikulainisha koo lake kwani anayo kwenda kuyazungumza kuna mambo mengne ni magumu na mazito na mengine ni mepensi hivyo ni lazima ahakikishe ana liweka sawa koo lake.


“Kipindi nipo masikini, sina hizi mali au haya mafanikiioo nilikuwa nina uza maandazi ya kutembeza kwenye mitaani kwenye deli. Hiyo biashara niliweza kuachiwa urithi na mama yangu na nilijitahidi kuifanya huku nikiamini kwamba ipo siki Mungu ana weza kunifanikisha na kunitoa katika biashara hiyo.”
Magreth alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimtazama Evans anaye anaye mjua kwa jina la Gorge usoni mwake.
“Basi siku moja alfajiri na mapema sana nilikuwa kwenye vichochoro vyetu kule Mazense. Basi nilikutana na vibaka ambao mmoja wa wale vibaka, mkuu wao alikuwa ana nitongozaga kipindi cha nyuma ila mimi nilikuwa nina mkataa kwa maana nilikuwa ni msichana mwenye msimamo na hofo ya Mungu kwa maana nili jiapiza moyoni mwangu kwamba usichana wangu ata kuja kuutoa mwanaume ambaye nita mpenda na ita kuwa ndio zawadi yangu kwake.”
“Mambo yalikuja kuvurugika asubuhi moja nilipo kutana na vibaka hao. Walianza kunigasi huku wengine wakianza kunishika shika. Japo nina uwezo mkubwa sana wa kupigana ila nilijikuta nikiwa mstahimilivu ili kuangalia wata ishia wapi. Nikiwa nina jiandaa kupambana nao, akatokea kijana mmoja ambaye huyo ndio aliye uteka moyo wangu”
Magreth akakaa kimya huku akitoa tabasamu la kiunyonge.


“Yule kijana alianza kupambana na wale vibaka ili kuniokoa mimi. Nikiwa nimeshikwa na bumbuwazi mmoja wa vibaka ali mchoma kisu yule kijana na wakakaimbia”
“Huyo kijana ana itwa nani?”
“Evans, Evans Shika”
Mwili mzima wa Evans uka sisimka kwa maana Magreth ana lifahamu hadi jina lake la ukoo na hajalisahau kabisa.
“Ilinibidi nimkimbize hospitalini. Madaktari wakaniambie nifwatilie kibali polisi, nikafanya hivyo na nikapewa RB ya kuwasaka wale vijana. Nika rudi hospitalini na kukuta kijana yule akiwa ameingizwa ndani ya chumba cha upasuaji. Niliogopa sana na niliumia sana. Nilitoa akiba yangu ndani yote ila haikuweza kutosha kwa maana ilikuwa ni ndogo.”
“Sikuweza kuwafahamu ndugu wa Evans hivyo ilinilazimu kuanza kutafuta pesa kwa watu ninao wamudu, ila kila mmoja aliweza kunipa sababu zake. Kila mmoja hakuweza kuniamini kwa maana wana amini fika sina uwezo wa kulipa hicho kiasi. Ndipo nilipo mkumbuka aliye kuwa baba yangu wa kiroho nabii Sanga”
Magreth akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akimtazama Evans usoni mwake.
“Nilivyo dhani ndivyo, kumbe sivyo. Yule mzee hakuwa ni mtu wa Mungu kama wengu tunavyo muona kwenye macho ya watu. Kwani alitumia ushawishi wake wa pesa kunihadaa na akatumia kigezo cha kumsaidia Evans kama njia ya kuhitaji kitu kwangu kwani ilikuwa ni kama nipe, nikupe”
“Una maanisha nini?”
“Yule mzee alinieleza ili kumsaidia mwanaume huyo ilibidi nimpatie penzi. Sikuwa na jinsi na namna wala pesa ya kumsaidia Evans wa watu hivyo nilijikuta nikiuza usichana wangu kwa ajili ya kupona kwake. Japo niliumia sana tena sana ila sikuwa na jinsi zaidi ya kuhakikisha nina fanya maamuzi magumu kwa ajili ya Evans ambaye kuanzi ile siku nilitokea kumpenda sana. Nilichelewa kumueleza ukweli wa mambo ndio maana ilifikia hatua ya yeye kuniacha na kuondoka mbali na mimi na siku hiyo ndio siku ambayo nilipata ajali nikiwa na huyu rafiki yangu katika harakati za kumuokoa Evans mkoani Morogoro alipo kuwa ame tekwa na watu wasio julikana.


Evans akajikuta akistuka kidogo kwa maana hakutambua kwamba siku ambayo alitekwa na watu wa Jerykumbe Magreth na Jospephine walikuwa wana mfwatilia.


****************************************************************************************************************


****


ITAENDELEA


Haya sasa, haya sasa Evans taratibu ana anza kufahamu ukweli wa mamabo yaliyo tokea nyuma kwenye upande ambao yeye hakuweza kuufahamu hapo awali. Vipi ata endelea na mipango yake iliyo mfanya arudi nchini Tanzania? Usikose sehemu ya 200.
 
SIN 200


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Una maanisha nini?”
“Yule mzee alinieleza ili kumsaidia mwanaume huyo ilibidi nimpatie penzi. Sikuwa na jinsi na namna wala pesa ya kumsaidia Evans wa watu hivyo nilijikuta nikiuza usichana wangu kwa ajili ya kupona kwake. Japo niliumia sana tena sana ila sikuwa na jinsi zaidi ya kuhakikisha nina fanya maamuzi magumu kwa ajili ya Evans ambaye kuanzi ile siku nilitokea kumpenda sana. Nilichelewa kumueleza ukweli wa mambo ndio maana ilifikia hatua ya yeye kuniacha na kuondoka mbali na mimi na siku hiyo ndio siku ambayo nilipata ajali nikiwa na huyu rafiki yangu katika harakati za kumuokoa Evans mkoani Morogoro alipo kuwa ame tekwa na watu wasio julikana.


Evans akajikuta akistuka kidogo kwa maana hakutambua kwamba siku ambayo alitekwa na watu wa Jery kumbe Magreth na Jospephine walikuwa wana mfwatilia.





ENDELEA


“Aisse kwa hiyo mara baada ya kupata ajali ilikuwaje?”
Evans aliuliza hukua kihitaji kujua zaidi juu ya jambo hilo.
“Hatukuwa na uwezo wa kuendelea kwa maana rafiki yangu alivunjika mguu na gari ilipinduka hivyo kilicho kuwa kime baki ni kuhakikisha nina mpatia huduma rafiki yangu. Kuanzia siku hiyo sikuweza kupata nafasi ya kumuona Evans. Nilijikuja kuonana naye siku za mlipuko wa mabomu hapa Dar es Salaam. Na nilimuona akiwa na msichana mwengine. Hakika moyo wangu uliumia sana na mbaya zaidi rafiki yangu aliniambia kwamba yule msichaa ni jini ambaye ana msaidia Evans”
Evans akastuka kidogo ila akaficha mstuko wake huo kwa maana haitaji Magreth agundua chochote.


“Aisee”
“Yaa basi penzi letu liliishia hewani kama hivyo. Ila mtu pekee ninaye mlaani kwenye hili ni nabii Sanga kwa maana alipoteza ndoto za mwanaume ninaye mpenda”
“Pole sana”
“Nashukuru”
“So kwa hiyoEvans bado ana ishi moyoni mwako?”
Swali la Evans likamfanya Magreth kushusha pumzi nyingi huku akitafakari namna ya kujibu swali hilo.
“George”
“Naam”
“Kusema kweli upendo wa Evans bado upo moyoni mwangu. Ila nilipo kuona wewe nilihisi hisia kama zile nilizo wahi kuzipata kwa Evans. Nilishindwa kujizuia na kuuzuia moyo wangu kukupenda, sijui ni kitu gani kilicho tokea hapa katikati, ila ukweli ndio huo. Kusema ukweli ume weza kuuchukua upendo wa Evans moyoni mwangu”
“Ngoja kwanza Magreth ina maana kama akitokea Evans sasa hivi na akatokea kukusamehe, uta mpenda?”
“Mimia ni mwanamek mwenye msimamo hususani kwenye mapenzi. Kama nitakuwa nipo na wewe hakika ita bidi kuheshimu mapenzi yangu haya mapya na kuachana naye. Ndio maana toka kipindi niachane naye na kumtoa nabii Sanga kwenye maisha yangu hakika sikuhitaji kuwa na mwanaume tena kwenye maisha yangu”
“Kweli?”
“Haki ya Mungu vile, sikuwahi kuwa na mwanaume mwengine na nilijiapiza sinto kuwa na mwanaume hadi pale moyo wangu utakapo pata mtu nitakaye mpenda kama nilivyo mpenda Evans. Mtu mwenyewe ni wewe, hakika nina kupenda sana George”
Magreth alizungumza kwa sauti laini iliyo jaa mahaba ndani yake. Taratibu akasimama na kumsogelea Evans kwneye kiti alicho kaa na kumshika mkono wa kulia na kumnyanyua kwenye kiti.


“George, mimi sio malaya. Kukupenda kwangu kume toka moyoni na wala usichangae kuona nime fungua hizia zangu kwako. Kusema ukweli ni kwamba nina kupenda sana”
Magreth taratibu akajisogeza kwa Evans na kumkumbatia. Chuchu za Magreth zilizo zimama vizuri zikaanza kumsisimua Evans kwa maana zina mchoma choma kifuani mwake. Taratibu Evans akashusha mkono wake kwenye kiuno cha Magreth na kuanza kukitomasa. Ulaini wa mwili wa Magreth hakika haujabadilika toka kipindi cha mwisho walipo achana. Wakaanza kupeana denda huku kila mmoja akizama kwenye hisia kali za kimapenzi. Evans akajikuta akishangaa kupata msisimko mkali sana kuliko na vile alivyo taratjia. Akambeba Magreth huku wakiendelea kunyonyana deda. Evans akafungua mlango wa chumba cha Magreth na moja kwa moja akamlaza Magreth kitandani mwake na wakaanza kuvua nguo. Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba makovu yate ya mwilini mwake yame muisha na hata kovo la kuchomwa kisu lime muisha, laiti kama angekuwa nalo basi inge kuwa ni rahisi sana kwa Magreth kuweza kuliona.


‘Mtoto bado ni mzuri aisee’


Evans alizugumza huku akitazama mwili wa Magreth aliye mlaza chini. Chuchu zake hakika zilizidi kumpagawisha Evans, akatazama kiuno chembemba kiasi kililicho beba hispi nene pamoja na makalio makubwa kiasi. Kwa jisni Magreth alivyo jawa na uhitaji wa mwanaume wala hakuhitaji kuandaliwa sana kwa maan tayari kitumbua chake kilisha lowana. Evans bila hiyana akanza kumshuhulikia Magreth mwaamke wake wa kwanza kuwahi kufanya naye tendo la ndoa kwenye maisha yake yote. Utamu wa Magreth hakika ume weza kuwapita wasichana wote alio wahi kuwashuhulikia.


“Aiis…a…iia..ah..u…a”
Magteh alilalama huku miguu yake akiwa ameibana kwa pamoja na ameiweka mabegani mwa Evans ambaye yupo kasi ya spidi mia na ishirini, mithili ya gari Ferrari. Hadi wana maliza mzungungo wa kwanza Magreth akaanza kuisi kitu na kwa maana mikao yote aliyo wekwa ndio mikao ambayo Evans alikuwa akimuweka kitandani, ila akshindwa kuzungumza kwa maana hakujua ni jinsi gani mpenzi wake huyo mpya atajisikia kufanaishwa na mwanaume aliye pita katika maisha ya Magreth. Hawakupumzika hata dakika kumi, Magreth akaanza uchokozi ulio mpelekea Evans kurudi mzigoni na kuanzisha mzunguko wa pili ambao huu sana ilikuwa ni babu kubwa kwani Magreth alilia vilio vya aina vyote vya raha. Chuki na sumu aliyo itengeneza ndani ya moyo wake juu ya kumuua Magreth akajikuta ikianza kuyayuka mithili ya barafu juani. Hadi wana maliza mtanange huo kila nia mbaya aliyo kuwa ameipanga moyoni mwake ikatoweka.
“Ume jisikiaje baby”
Evans aliuliza huku akiwa amejilaza pembeni ya Magreth anaye hema kwa kuchoka.
“Aisee raha sana”
“Kweli?”
“Haki ya Mungu yaani, ume nipa raha sana mpenzi wangu. Geogre nina kuomba uachane na yule binti”
Kauli ya Magreth ikamfanya Evans kukaa kitako kitandani na kumuangalia.
“Msichana gani?”
“Yule muhudumu pale wa Samaki Samaki. George mimi nina wivu na wewe na sinto kubali kukuona una endelea kuwa na yule msichana. Haki ya Mungu nita mfanya jambo baya”
Magreth alizungumza kwa msisitizo kwa maana hatamani kuona hata siku moja Evans ana kuwa na msichana mwengine.
“Nipe muda”
Evans alizungumza kwa kifupi huku akishuka kitandani.


“Ina maana”
“Maana ya kwamba nipe muda wa kumuacha. Tambua yule ni mwanamke kama wewe na ana moyo kama wewe na yule ndio wa kwanza kuwa nami hivyo nipe muda wa kumuacha”
“Geogre kwa nini lakini una nifanyia hivyo?”
“Sio nina kufanyia hivyo. Mimi ni mtu muwazi na mkweli, sipendi kumuumiza mtu na hisia zake. Kama hutoajali nipatie muda ila endapo utajaribu kumdhuru au kuzungumza naye au kufanya jambo lolote la kijinga kwake. Nita kuacha”
Evans alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Magreth kuwa mnyonge kwa maana neno kuachwa lime mkata maini na wala hatamani kuachana na mwanaume anaye mpenda na uzuri ni kwamba ana weza kumuhimili kitandani na kumkata haja zake zote za kimapenzi.
“Sawa baby sasa uta muacha baada ya muda gani?”
“Nita kuambia”
Evans alijibu kwa kifupi huku akiendelea kuangaza angaza nda ya chumba hichi. Akapiga hatua hadi kwenye moja ya droo ya kabati na kufungua. Akakuta baadhi ya nguo zake zikiwa zime kunjwa vizuri na kuweka humo. Magreth akastuka kwani hakuamini kama Evans angeweza kufungua kabati hilo kwani humo amezificha nguo za Evans ili nabii Sanga asizione.


“Ahaa George…”
Magreth hakumalizia kauli yake kwani tayari Evans alisha toa shati ambalo ana kumbuka vizuri. Shati hili lenye madoa ya damu ndio shati alilo kuwa amelizaa siku alipo chomwa kisu. Akalitazama kwa sekunde kadhaa shati hilo huku machozi yakimlenga lenga. Kabla Magreth hajamsogela akajikuta akijifuta machozi kisha akageuka huku akiwa amejawa na tabasamu.
“Hili shati vipi mbona lina damu?”
“Ahaa….ah…a…George”


Magreth alijikuta akijawa na kigugumizi.
“Usijali nime weza kufungua kabati bila ruhusa yako”
“Hapana hakuna shida. Hapa ni kwako na una haki ya kufanya chochote”
“Kweli”
“Ndio”
“Ehee hili shati vipi mbona lina damu?”
“Kama nilivyo kueleza sikuya kwanza kukutana na Evans ndio nilikuta na hili shati na alichomwa kisu na wale vibaka”
“Una zikumbuka sura zao?”
“Mmoja ndio nina mkumbuka”
“Nahitaji tuwatafute”
“Ehee!!?”
Magreth alishangaa kidogo kwa maana hakutarajia kama Geogre ana weza kumuambia jambo kama hilo.
“Kwa nini?”
“Nahitaji kulipiza kisasi kwa ajili ya X wako”
“Ila George mimi nilisha sahau na kuwapoteza. Jambo la kumshukuru Mungu Evans hakufa”
“Nime kuambia nina hitaji tuwatafute”
Evans alizungumza huku macho yake yakiwa yamejawa na hasira. Aina hiyo ya mikunjo ya macho yaliyo jaa hasira, ika zidi kumpa maswali mengi Magreth kwa maana hata Evans huwa akikasirika ana kuwa hivyo hivyo. Magreth akashusha macho yake taratibu hadi kwenye upande ambao Evans alichomwa kisu na kukuta hana kovu lolote.


“Why”
Magreth aliuliza kwa sauti ya upole ila yenye udadisi ndani yake kwa maana tayari machale yamesha anza kumcheza japo hana uhakika sana.


“Au basi”
Evans alizungumza huku akilirudisha shati hilo ndani ya droo hiyo.
“Hapana George. Nahitaji ufurahi na tuna weza kufanya kama ulivyo hitaji. Twende kwenye mtaa nilio kuwa nina ishi”
Evans akatazama saa ya ukutani chumbani hapo na kuona muda bado una ruhusu. Wakakubaliana na wakaingia bafuni kwa pamoja na kuanza kuoga. Magreth akajitahidi kuuchunguza mwili wa Geogre ili aufananishe na mwili wa Evans ila akashindwa kwa maana mwiliw a Geogre ume jengeka vizuri kwa mazoezi na mwili wa Evans haukuwa na misuli kwani alikuwa ni mwembamba. Wakarudi chumabani na kuvaa nguo zao.


“Kuna foleni nyingi mchana huu. Tutumie pikipiku au gari?”
“Pikikipi”
Magreth akabeba kofia mbili ngumu za pikipiki hiyo na wakatoka nje.


“Nita endesha”
Evans alizungumza na Magreth akambidhi funguo. Wakaondoka nyumbani hapo na Magreth akaanza kumuelekeza wapi waelekee. Japo mitaa hiyo Evans ana ifahamu vizuri sana ila akajifanya kana kwamba hajui ni wapi wanapo kwenda. Wakafika katika mtaa ambao hapo zamani alikuwa ana ishi Magreth. Jambo la kumshukuru Mungu, mtaa huo haukuweza kukumbwa na dhahama ya milipuko ya mabomu.
“Alikabiwa wapi?”
“Maeneo ya huku ila eneo hilo lina vichochoro ambavyo pikipiki haiwezi kupita. Labda tuiache pikipiki katika ile nyumba pale”
Magreth alizungumza huku akimuonyesha Evans nyumba aliyo kuwa ana ishi. Wakasimama katika nyumba hiyo na wakashuka.


“Dakika mbili”
Magreth alizungumza huku akipandisha ngazi za kibarazani na kuingia ndani ya nyumba hiyo na kuanza kuwasalimia wapangaji wezake ambao hakika walipo muona wakajawa na furaha nyingi sana. Hata mama mwenye nyumba naye furaha ilimtawala japo aliweza kukosana na mwana mama huyo kwenye kipindi alicho kuwa ana ishi hapo na mara ya mwisho kufika kwenye mgahawa wake.


“Jamani nina pita tu, nina acha pikipi yangu hapo nje nita kuja baadae kupiga stori na nyinyi”
Magreth alizungumza na wakatoka nje huku akiwa ameongozana na wapangaji wezake. Akamtambulisha Evans kwa wana mama hao na kueleza kwamba ni mume wake. Baada ya stori za hapa na pale wakaondoka na kuanza kupita kwenye vichochoro vya mtaa huo. Wakafanikiwa kufika kwenye kichochoro ambacho Evans alichomwa kisu.
“Eneo hili ndipo tukio lilitokea”
Evans akasimama eneo ambalo ana kumbuka alilala chini huku akiwa wana vunjwa na damu. Akachuchumaa huku akitazama eneo hilo kwa umakini sana. Akafumba macho yake na kuanza kuvuta kumbukumbu za sura za vijana ambao walimshambulia na kumuharibia mstakabali wake wa masomo kwani walikimbia na geni ambalo lilikuwa na viyambulisho vyake vya kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu.


“Hembu sogea hatua mbili nyuma”
Evans alizungumza hukua kimueleza Magreth na akafanya hivyo. Magreth akasimama eneo ambali alikuwa ana letewa ghasia na vijana hao. Magreth akafumba tena macho yake na kuaza kuliona tukio zima kwenye ufahamu wake wa akili. Japo ni siku nyingi zimepita ila akafanikiwa kukumbuka sura za vijana hao. Akasiamama na kumsogelea Magreth.
“Kuna maskani ngapi katika huu mtaa unazo zijua zina kaa vibaka?”
“Mbili, moja wana jiita Turboni na nyingine wana jiita Panya Road. Ila sijajua wale jamaa walikuwa ni wa maskani gani”
“Twende kwenye hizo maskani”
“Ngoja kwanza mume wangu”
Magretha alizungumza huku akimsogelea Evans.
“Hizo maskani tunazo kwenda ni za watu walio data na maisha. Ni watu ambao wao kumuua mtu kwa kumkata kata kwa mapanga ni jambo rahisi sana”
“Ila wewe si una weza kupiga?”
“Ndio mume wangu”
“Basi uta nilinda”
Evans alizungumza huku akitabasamu na kumfanya Magreth kukaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha wakakubaliana. Wakafika kwenye maskani ya kwanza na kukuta kundi kubwa la wavuta bangi na watumiaji wa madawa ya kulevya. Waka wahesabu kwa haraka vijana hao wa mariki tofauti tofauti huku wakiwa wame valia nguo za ajabu ajabu, na kukuta wapo ishirini na mbili. Vijana hao wakanyama mazungumzo yao huku wakiwatazama Evans na Magreth walio simama mbele yao. Wakaanza kuwatathimini mavazi yao waliyo vaa na wakatambua kabisa kwamba watu hao wana pesa.


“Hei mume potea njia au mume kuja kutuletea mavumba”
Mkuu wa maskani hiyo alizungumza huku si Evans wala Magreth aliye weza kujibu swali hilo. Kazi ya Evans ikawa ni kuhakikisha ana zitafuta sura za vijana hao wali mchoma kisu.


“Mume wangu hapa hawapo. Tuondoke zetu hawa ndio Panya road”
Magreth alizungumza mara baada ya kuwatazama vijana wote kwa umakini.


“Oya wewe choko, una kuja kuturingishia manzi wako au una taka tuwatie madol** ya ** ili mujue kwamba mumeingia sehemu siyo”
“Una semaje dogo?”
Evans alizungumza huku akimtazama kijana huyo aliye chomoa kisu kiunoni mwake na kukishika kwa umakini.
“Hei baby achana nao bwana tuondoke”
“Hapana hawawezi kutuzalilisha. Rudia tena una sema”
Evans alizungumza kwa msisitizo huku akimkazia macho kijana huyo.
“** la mama yako, nani dogo?”
Tusi hilo likawa lime mtia wendawazimu Evans ambaye toka ametoka mafunzoni hajawahi kuchangamsha viongo vyake kwa kupigana. Gafla Evans akaruka juu na kuashia teke ziti lililo tua kifuani mwa kijaan huyo na kumfanya arushwe nyuma na kuwaangukia wezake jambo lililo wafanya vijana hao wote kusimama kwa haraka na kushika mapanga, wengine visu huku wengine wakiwa na marungu tayari kwa kumshambulia Evans na Magreth.


****************************************************************************************************************


**


ITAENDELEA


Haya sasa, Evans amewachokoza vijana wa Panya road, je wata weza kuwamudu vijana hao ikiwa wana silaha za mapanga, visu na Marungu? Usikose sehemu ya 201.
 
SIN 201


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Una semaje dogo?”
Evans alizungumza huku akimtazama kijana huyo aliye chomoa kisu kiunoni mwake na kukishika kwa umakini.
“Hei baby achana nao bwana tuondoke”
“Hapana hawawezi kutuzalilisha. Rudia tena una sema”
Evans alizungumza kwa msisitizo huku akimkazia macho kijana huyo.
“Kum** la mama yako, nani dogo?”
Tusi hilo likawa lime mtia wendawazimu Evans ambaye toka ametoka mafunzoni hajawahi kuchangamsha viongo vyake kwa kupigana. Gafla Evans akaruka juu na kuashia teke ziti lililo tua kifuani mwa kijaan huyo na kumfanya arushwe nyuma na kuwaangukia wezake jambo lililo wafanya vijana hao wote kusimama kwa haraka na kushika mapanga, wengine visu huku wengine wakiwa na marungu tayari kwa kumshambulia Evans na Magreth.





ENDELEA


“Jamani hatujafwata ugomvi. Tuna ondoka”
Magreth alizungumza huku akiwatazama vijana hao.
“Waueniiiiiiiii”
Mkuu wa kundi hilo la Panya road aliwaamuru wezae kwa sauti ya kujikaza huku damu zikimchuruzika mdomoni kwa maaana teke alilo pigwa lime vuruga mfumo mzima wa kifua chake. Vijana hao kama nyuki walio furumushwa kutoa kwenye mzinga wao wa asali ndivyo jinsi walivyo anza kuwashambulia Evans na Magreth. Ila kusema kweli ikawa ni siku yao mbaya tofauti na walivyo zoea kuwavamia watu wanyonge na wasio jiweza. Mapigo ya Evans yakamuacha hoi Magreth kwa maana kila aliye pigwa hakudhubutu kusimama tena. Wapo walio vunjwa miguu wengine mikono, huku wengine walivunjwa mbavu kazaa katika miili yao. Ndani ya dakika tano, vilio vya maumivu vikatawala katika maskani ya Panya road.


“Nyau road leo nime kuja wajinga nyinyi”
Evans alizungumza huku akihema kwa maana shuhuli aliyo ifanya ni kubwa kuliko Magreth ambaye yeye ame wapiga wawili tu ambao walimvamia kwa ajili ya kumdhuru.


‘Hapa nime pata mwanaume, haki ya Mungu, mwanaume ana jimudu kwa kila kitu. Huyu sio Evans.’


Magreth alizungumza kimoyo moyo huku akiwatazama vijana hao wanao ugulia maumivi.
“Baby ngoja niwapige simu polisi”
“Hapana, tuna hitaji kwenda kwenye huyo maskani nyingine”
“Sawa basi ngoja niwarekodi, ili kama tukiwa tume toka kwenye hiyo maskani nyingine tuwape askari habari”
“Poa ila ngoja kwanza”
Evans alizungumza kisha akaanza kuwavunja miguu bila ya huruma wale wote walio bahatika kuvunjwa mikono na mbavu. Zoezi hilo likamfanya Magreth kumshangaa sana George(Evans) kwa maana ni mtu anaye onekena hana huruma hata theluthi.
“Niangalieni hii sura na ile pale. Endapo siku nyingi zita pita haya maeneo hakikisheni kwamba hamtufwati. Tumeelewana?”
“Ndi…io”
Ni mmoja tu wa vijana hao alijibu huku damu zikimtika mdomoni na puani mwake. Magreth na Evans wakaondoka eneo hilo. Wakiwa katika moja ya uchochoro wakakuta kundi jengine la vijana sita wakicheza kamari. Wanne kati ya vijana hao sita Evans aliweza kuwakumbuka ni miongoni mwa vijana walio washambulia siku ile.
“Baby wale vijana wanne nina wakumbuka”


Magreth alizungumza kwa sauti ya kunong’oneza. Vijana hao wakaanza kuwatazama Magreth na Evans wanao wakaribia.


“Oii dili hilo”
Mmoja wa vijana hao aliwaambia wezake huku wakiweza visu vyao tayari kwa kuwashambulia Magreth na Evans.
“Tuwabananishe, wewe kaa hapa”
Evans alizungumza na kumfanya Magreth asimame. Kwa kasi ya ajabu Evans akawaruka kwa sarakasi kadhaa hewani vijana hao na kutua upande wa pili wa kichochoro na kuwaweka kati vijana hao. Vijana wavili waliweza kumkumbuka Magreth kwa maana wana mfahamu vizuri.
“Aissee huyu ni yule muuza maandazi bwana”
Walizungumza kwa kejeli huku wakiwatazamaa Magreth na Evance


“Ohoo naona leo ume leta chakula cha bosi ehee. Yule bwege wako vipi alikufa?”
Waliendelea kumkejeli Magreth. Kitendo cha kumshambulia Evans ikaw ani kosa kubwa sana,wani wakaanza kupokea kichapo ambacho hakuna aliye kutarajia. Magreth naye hakutaka kuficha uwezo wake kwa vijana hao ambao siku zote wana mfahamu kama muuza maandazi. Kipondo cha mbwa koko walicho kipokea kilwafanya wote wasalimu amri huku wakilia. Hapakuwa na aliye na uwezo wa kurusha ngumi wala teke kwa maana wame vunjwa kisawa sawa.
“Mkubwa wenu yupo wapi?”
Magreth alimuuliza mmoja wao huku huku akiwa amevibenua vidole vya mkono wa kushoto.


“Yu…upo maskani”
“Wapi?”
“Hapo kati”
Kijana huyo alizungumza kwa kulia huku mkono wake kulia ukiwa ume vunjwa mara mbili.
“Mnyanyue atupeleke”
Evans alizungumza na Magreth akafanya hivyo. Wakaanza kukatizana naye vichochoroni hadi wakatokea uwani wa nyuma moja iliyo chakaa chakaa. Kijana huyo akasimama hadi kwenye moja ya chumba cha uwani katika nyumba hiyo ambapo mziki mkubwa sana una toka ndani ya nyumba hiyo. Kijana huyo akagonga kwa nguvu na sauti ya redio ikapunguzwa.
“Nani?”
Ilisikika sauti ya kiume ikiuliza kwa ukali.
“Mimi hapa mkuu”
“Dosi”
“Ndio ni mimi”
Mlango ukafunguliwa na akachungulia kijana ambaye Magreth na Evans walimfahamu vizuri. Kijaa huyo ndio aliye mchoma kisu Evans. Evans akamsukumia ndani kijana huyo na akaangukia kwenye meza iliyo jaa vibunda vya mirungi. Kwenye kitanda amekaa mkuu wao ambaye ameshikilia kipisi cha bangi. Magreth akamzimisha kijana wa nje na yeye akaingia ndani.
“Suprize”
Magreth alizungumza huku akitabasamu. Mkuu wao huyo akastuka sana kumuona Magreth.
“Ume fwata nini wewe demu muuza maandazi?”
“Nime kuja kukubalia ombi lako”
Kijana aliye angukia akajaribu kunyanyuka ila Evans akawahi kumpiga teke la sehemu za siri na kumfanya atoa ukelele. Magreth akasogelea redio na kuongeza sauti ili kinacho endelea ndani kisiweze kusikiwa na walio nje.
“Baby huyu ndio alimchoma Evans kisu na huyu ndio mkuu wao”
Magreth alizungumza huku akisimama mlangoni. Evans hakuw ana huruma, akaanza kutembeza kipigo kitakatifu na mbaya zaidi tisheti aliyo ivaa huyu mkuu wao ni miongoni mwa nguo zake walio ondoka nazo sikue ile. Evans akachukua moja ya kisu na kuanza kuwachana chana vibaja vijana hao na kusababisha damu nyingi kusambaa ndani ya chumba hicho. Sura za vijana hao zilijaa michano hiyo ya visu na kuwafanya walie sana. Evans akaona begi lake la mgongoni likiwa lime simamishwa pembezoni mwa kitanda. Akalichukua kwa haraka na kulifungua ndani. Akashusha pumzi nyingi mara baada ya kukuta vyeti vyake vikiwa havijaguswa kabisa, hapo ime pita muda mrefu sana toka akumbane na matatizo ila wame weza kumtunzia.
“Hivyo ni vyeti vya Evans”
Magreth alizungumza huku akivitazama vyeti hivyo.
“Uta mtunzia”
Evans alizungumza huku akifungua zipu nyingine za begi hilo na kukuta likiwa na vipisi vya bangi na mabunda ya mirungi. Akavitoa vitu hivyo kisha wakaondoka eneo hilo pasipo watu kuwaona na wala kugundua ni kitu gani likilicho endelea ndani hapo. Wakarudi ilipo pikipiki. Magreth akaaga kwa majirani zake na wakaondoka eneo hilo.


***


“Waooo Caro una ume pendeza sana”
Josephine alizungumza huku wakikumbatiana na Caro waliye panga kuonana kwneye mhahawa huo ulio karibu kabisa na ikulu.
“Hata wewe upo vizuri sana mpenzi. Tazama sasa una lindwa ume kuwa mtu mkubwa sana ehee?”
Caro alizungumza huku akitazama walinzi wawili walio simama eneo la karibu kabisa na alipo Josephine.
“Haha usiogope ni kawaida”
“Mmmm Josephine kawaida gani rafiki yangu. Yaani kweli Mungu akiamua kukunyanyua ana kunyanyua tu. Nakumbuka kipindi kile mimi, wewe na Magreth tukiimba kwanya kanisani kwa Sanga, yaani tukitoka hapa ni full kutembea kwa miguu”
“Hahaa umeona ehee. Ila maisha yame badilika na wewe nina kuona una ng’ara mtoto wa kike”
“Kidogo. Nashukuru kwa kukutana na mimi”
“Usijali ehee niambie kwa maana sikua amini kama wewe ndio ulinipigia. Yaani nika sema lazima leo tuonane. Hivi ulipotelea wapi?”
“Biashara rafiki yangu, kipindi kili niliamua kujikita kwenye biashara. Nina mshukuru Mungu huko ndipo nilipo weza kuyabadilisha maisha yangu”
“Mungu ni mwema”
“Ehee niambie na wewe ulifikaje fikaje ikulu”
“Haahaa ni stori ndefu sana ila jambo la kumshukuru Mungu kwa sasa nipo vizuri”
“Magreth kwa sasa naye yupo wapi?”
“Kwa sasa ata kuwepo nyumbani ila nina mshukuru Mungu na yeye ana endelea vizuri”
“Kuna kipindi niliona ame fungua mgahawa wake, nilikuwa nchini Afrika kusini hivyo nilishindwa kuja kumuunga mkono”
“Ahaa sawa sawa. Ila Caro nakuona ume kuwa mdada mkubwa mkubwa”
“Hahaa hapana bwana. Hata wewe ume kua”
“Yaani kipindi kile tuna imba kwaya ulikuwa bado kadogo dogo”
“Ndio miaka ina sogea mbele ndugu yangu na isitoshe mavyakula haya tunayo kula ndio balaa tupu”
“Ni kweli, ina bidi uanze kufanya mazoezi ili usiendelee kunenepa tena zaidi ya hapo”
“Hivi Jose ume nenepa ehe?”
“Yaa ume nenepa”
“Kama wewe ume niambia basi nita pungua. Ehee hembu niambie umesha olewa?”
“Aha…mimi bado vipi wewe?”
“Hata mimi bado. Mage je?”
“Naye bado, una jua ni miaka mitatu hatujaonana”
“Yaa ni miaka mitatu, nika hisi wezangu muta kuwa mumesha nitangulia kwenye maisha ya ndoa”
“Ahaa bado aisee. Ila Mugu ni mwema ata tusaidia”
Caro na Josephine wakaendelea kuzungumza mambo mengi sana waliyo yafanya kwenye urafiki wao. Josephine akamuelekeza ni wapi wanapo ishi yeye na Magreth na kuahidi kwamba siku itakayo fwata ata watembelea. Baada ya lisaa wakaagana na Josephine akawa wa kwanza kuondoka kwenye mgahawa huo akiongozana na walinzi huku Caro naye akiingia kwenye gari lake. Kabla ya kuwasha gari akamitafuta namba ya nabii Sanga na kumpigia.
“Haloo”
“Ndio”
“Nime onana na Josephine na mambo yana kwenda vizuri.”
“Safi sasa sasa hakikisha una zidisha ukaribu nao na kufahamu kila kinacho endelea”
“Sawa mume”
“Poa nita kupigia”
“Sawa”
Caro akakata simu na kuondoka eneo hilo huku akiwa amejawa na furaha kwa maana pesa alizo ahidiwa na nabii Sanga hakika ni nyingi sana kama akifanikiwa kuifanya kazi aliyo pewa vizuri sana.


***


Magreth na Evans wakafika nyumbani na wakaoga kwa pamoja.
“Kuna mahali nina hitaji kwenda kuna mtu nina hitaji kukutana naye”
Evans alizungumza huku akiwa ana vaa nguo zake.
“Ila mpenzi hizo nguo si chafu”
“Yaa nita kwenda kubalisha”
Magreth akatamani kumuomba avae nguo za Evans ila akasita.
“Sawa, ila usije ukaenda kuonana na huyo mtu ukiwa ume vaa hivyo”
“Usijali”
“Ehee uta rudi leo nikuandalie chakula?”
“Tuta zungumza kwenye simu”
“Sawa sawa”
Evns akampigia dereva taski na akafika nyumbani hapo kwa Magreth na wakaondoka kuelekea Hotelini alipo fikizia Evans.
“Kaka wife nimesha mpanga nilikuwa nina subiria simu yako tu”
“Basi twende unipishe hotelini, nibadili nguo kisha baada ya hapo nikaonane na mke wako”
“Sawa kaka”
Evans akafika hotelini na akabadilisha nguo huku akivalia suti ya rangi nyeusi ambayo ime mkaa vizuri mwilini mwake. Kwa muonekano huo ana imani kwa asilimia kubwa ana mshawishi nabii Sanga kuona ni mtu na biashara zake. Akatoka hotelini na kuingia kwenye gari na moja kwa moja wakaelekea hadi nyumbani kwa dereva taski na kumkuta mke wake akiwa amesha jianda kwa ajili ya kuelekea kanisani. Dereva taksi akamtambulia Evans kwa mkewe na kumueleza jinsi anavyo paswa kufanya na kuzungumza pale atakapo mkutanisha na nabii Sanga.
“Akisema ni ndugu yangu kivipi nita mjibuje?”
“Mke wangu kwani nabii Sanga ana fahamu ndugu zako wote. Wewe muambie ni mtoto wa mama mdogo alikuwa nje ya nchi ndio ame rudi na ana mpango wa kufanya biashara hapa Tanzania. Au una semaje kaka”
“Yaa ni kweli”
“Simple tuna kuwa tumesha maliza mchezo”
“Ila yule ni mtu wa Mungu akidanganywa ana fahamu?”
“Ila huu sio uongo mbaya ni uongo mzuri mke wangu. Kaka hapa yeye ana hitaji kufanya biashara hapa Tanzania, kama unavyo jua mtumishi wetu ana miradi mingi sana hapa nchini. Hivyo nina imani kwamba ana weza kumkubali sana kaka hapa na wakafanya biashara pamoja”
“Ni kweli, shemeji usiwe na shaka katika hili”
Evans naye aliendelea kumshawishi mke wa dereva taksi huyo ambaye naye kidogo ana onyesha kujawa na wasiwasi.
“Ume sema una itwa George nani?”
“Geogre Sanga”
“Una ona tena wameendana na majina yao ya ukoo. Muna weza kuwa ndugu aise?”
Dereva taksi alizungumza kwa furaha.
“Hapana, ila nina imani ni koo tu zina fanana”
Wakakubaliana na wakaondoka nyumbani hapo na moja kwa moja wakaeleka kanisani na dereva taksi huyo. Wakakuta ibada ikiwa imeanza. Evans akaka benchi la nyuma kabisa kwa maana sio mpenzi sana na mambo ya kanisa. Ibada ikamalizika majira ya saa moja na robo usiku na mke wa dereva taksi akamfwata nabii Sanga na kumuomba aweze kumkutanisha na ndugu yake ambaye ana hitaji muongozo wa kufanya biashara.


“Mlete ofisini”
“Asanye nabii wa bwana”
Mke wa dereva taksi akamfwata mume wake na Evans walipo simama na kumueleza jambo hilo.
“Muta nisubiri hadi nitakapo toka tuondoke wote”
“Usijali kaka”
Mke wa dereva taksi na Evans wakaingia ofisini kwa nabii Sanga na kumkuta akiwa na mke wake. Wakakaribishwa vizuri na kukaa kwenye masofa mazuri yaliyopo ndani hapo. Evans kila anapo mtazama nabii Sanga ana likumbuka tulio la kupunyuka punyuka kumuua siku aliyo mkuta akiwa na Magreth.


‘Ni muda wa kuwa karibu na maadui zangu’


Evans alizungumza kimoyo moyo huku usoni mwake akiwa ameweka tabasamu pana sana usoni mwake.


“Ehee Rose niambie sasa”
“Huyu ni ndugu yangu. Mtoto wa mama mdogo, ni mtanzania kama sisi ila alikaa nje ya nchi kwa kipindi kirefu sana. Hivyo alikuwa ana omba kupata muongozo wa kibiashara. Nikaona sio mbaya kukukutanisha naye mtumishi wa Mungu, nina imani una fahamu mambo kadhaa kwenye biashara”
“Yaa nina fahamu na ume mleta kwa mtu sahihi”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama kwa umakini sana Evans. Mrs Sanga naye aliye kaa pembezoni mwa mume wake ana mtazama Evans kwa macho yaliyo jaa matamanio kwani katika vijana wazuri wa sura alio wahi kuwaona basi huyu ana ongoza.
“Ehee kijana labda tuanzie kwenye jina lako. Una itwa nani?”
“Nina itwa Geogre.”
“George nani?”
“George Sanga”
“Waoo una jina langu la ukoo. Au sisi ni ukoo mmoja?”
“Hapana mzee wangu. Nina imani majina ya ukoo yame ingiliana”
“Sawa sawa, ehee niambie ni biashara gani ambayo wewe ulipanga kuja kuifungua hapa nchini Tanzania na ulipanga kuwekeza kiasi gani cha fedha katika hiyo biashara?”
“Ahaa kwanza nina hitaji kuwekeza kama dola bilioni mbili na nusu hivi. Hivyo nina hitaji kufahamu ni biashara gania mbayo nikiweka hiyo pesa ina weza kurudi kwa uharaka.”
Nabii Sanga na mke wake wakastuka sana kwa maana kiasi cha pesa alicho kitaja Geogre ni kiasi kikubwa sana cha pesa ambacho kwa kijana mdogo kama yeye ni nadra sana kukimiliki. Mstuko huo wa nabii Sanga na mke wake hakika ukawa ni pointi ya Evans kutambua kwamba wazee hao wana penda sana pesa na kupitia nafasi hiyo watakayo mpatia ndio uta kuwa ni muda way eye kuwafilisi pesa zao zote kabla hajawaua.


****************************************************************************************************************


****


ITAENDELEA


Haya sasa, je ushawishi huo wa nabii Evans juu ya kuhitaji kuwekeza bilioni mbili na nusu za kimarekani uta washawishi nabii Sanga na mke wake kumuweka karibu yao ikiwa tayari mrs Sanga amesha anaza kumtamani kimapenzi? Usikose sehemu ya 202.
 
SIN 202


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Hapana mzee wangu. Nina imani majina ya ukoo yame ingiliana”
“Sawa sawa, ehee niambie ni biashara gani ambayo wewe ulipanga kuja kuifungua hapa nchini Tanzania na ulipanga kuwekeza kiasi gani cha fedha katika hiyo biashara?”
“Ahaa kwanza nina hitaji kuwekeza kama dola bilioni mbili na nusu hivi. Hivyo nina hitaji kufahamu ni biashara gania mbayo nikiweka hiyo pesa ina weza kurudi kwa uharaka.”
Nabii Sanga na mke wake wakastuka sana kwa maana kiasi cha pesa alicho kitaja Geogre ni kiasi kikubwa sana cha pesa ambacho kwa kijana mdogo kama yeye ni nadra sana kukimiliki. Mstuko huo wa nabii Sanga na mke wake hakika ukawa ni pointi ya Evans kutambua kwamba wazee hao wana penda sana pesa na kupitia nafasi hiyo watakayo mpatia ndio uta kuwa ni muda wa yeye kuwafilisi pesa zao zote kabla hajawaua.





ENDELEA


“Waoo ni pesa nyingi sana hizo kijana. Kabla hatuja endelea tunge penda kufahamu back groud yako ya kimaisha pamoja na kibiashara”


Evans akakaa kimya kwa sekunde kadhaa huku akijaribu kutafakari uongoa ambao uta endana na ukweli.


“Dada una weza kutupisha”
Evans alimuambia mke wa dereva taksi na akanyanyuka na kutoka ofisini hapo.


“Mara baada ya baba yangu kuaga dunia nikiwa nina miaka mitano. Mama yangu aliweza kuolewa na tajiri mmoja nchini Marekani, ambaye aliweza kumzaa mdogo wangu wa kike. Nilipo kuwa na miaka kumi na mbili, baba yangu mlezi alianza kuniingiza kwenye biashara zake, moja wapo ikiwemo ni ya software na maswala ya elacronics. Baba yangu aliweza kuingia ubia na kampuni ya South Korea na ndipo walipo anza kutengeneza simu ziitwazo Samsung”
“Wooo kumbe hizi Samsung ni za kwenu?”
“Yes baba ana hisa za asilimia sitini na moja kwenye kampuni hiyo, inayo sambaza simu zake kwenye mabara yote duniani.”
Uongo wa Evans uka mfanya nabii Sanga kutingisha kichwa huku akikubaliana na changa la macho hilo analo pigwa.
“Pia kampuni ya baba yangu miaka ya hivi karibuni ilizidi kujitanua katika kutengeneza vifaa vya majumbani kama AC, Tv, Laptop na bidhaa nyingine zenye brand ya Samsung.”
“Nilipo fikisha miaka ishirini na nne nikawa C.E.O wa makampuni yote ya baba, ikiwemo visima vyake vya mafuta vilivyopo nchi mbalimbali hapa duniani. Miaka miwili nyuma baba yangu alifariki na nikawa ndio mrithi wa kila kitu huku mdogo wangu akiwa ni msaidizi wangu katika baadhi ya makampuni. Nime kuja Tanzania kisiri siri ili kuhakikisha kwamba nina pata mtu ambaye nina weza kushirikiana naye katika kuwekeza miradi mikubwa.”
“Ume pata kijana. Ondoa shaka kabisa”
Nabii Sanga alizungumza kwa furaha sana.
“Kweli!?”
Evans alijikuta akiuliza kwa mshangao.


“Ndio, tuta kupa full support ikiwemo serikalini na uzuri ni kwamba watu wote wa serikalini sisi tuna wamuda.”
“Nashukuru sana”
“Usijali kijana, wewe tuambie ni nini una hitaji kufanya nchini Tanzania”
“Kutokana sifahamu fursa zilizopo nchini hapa. Ninge penda muweze kuniambia ni maeneo gani ambayo nikiweka pesa ita weza kurudi kwa asilimia mia moja”
“Kijana wangu George, ninge penda sana utupatia nafasi mimi na mke wangua. Tukajadili hili swala kisha kesho majira ya saa tano uta nipigia simu na kunieleza ni hoteli gani ambayo upo ili dereva wangu aweze kukufwata na kukuleta nyumbani kwetu. Nina imani kesho tuta itenga kwa ajili yako na kufanikiwa katika hilo jambo”
“Asanteni sana na Mungu awabariki”
“Amen nawe pia Mungu akutangulie”
“Ame”


Wakasimama na nabii Sanga akamkabidhi Evans kadi yenye namba zake za simu kisha, wakaagana na Ethana akatoka nje, akaingia kwenye gari ya dereva taksi na kuondoka eneo hilo.


“Nina washukuru sana ndugu zangu”
“Mambo yame kwenda vizuri shemeji?”
“Sana, ni watu wakarimu”
“Basi pale upo sehemu sahihi shemeji. Uta fanya nao biashara vizuri sana”
“Nashukuru”
Evans akatoa milioni moja na nusu kwenye koti leke iliyo fungwa vizuri na kumkabidhi dereva taksi. Akamkabidhi mke wake na kuihesabu na wote nyuso zao zikatawaliwa na furaha kubwa sana.


“Kaka sasa hivi una elekea wapi?”
“Nipitisheni Samaki Samaki hapo Mlimani City”
“Hakuna shaka”
Wakafika mlimani City na Evans akashuka ndani ya gari na dereva taksi na mke wake wakaondoka.
“Vipi upo ofisini?”
Evans alimuuliza Leila kwa kupitia njia ya simu.


“Yes baby ndio nina nina chukua kamisheni yangu ya siku kisha nina toka”
“Sawa nina kusubiria hapa nje”
“Hakuna shaka”
Evans mara baada ya kukata simu akampigia video call mpenzi wake aliye muacha nchini Russia. Akamuadithia mpango wake wote wa kuwa karibu sana na nabii Sanga na akamuomba aweze kutengeneza profile inayo onyesha uongo wake wote alio muambia nabii Sanga.


“Usijali lime kishwa hilo mume wangu”
“Jambo jengine nahitaji hicho kiwango cha pesa kiwe tayari”
“Ume pata mume wangu. Kitu kingine?”
“Hakuna mama yangu. Nina taka nika hakikishe nina wafanya wana kuwa ni masikini kupindukia”
“Una akili sana Evans wangu ndio maana nina kuaminia. Nita kuunga mkono kwa kila kitu”
“Nakupenda sana mke wangu”
“Nina kupenda pia mume wangu.”
“Tuta wasiliana”


Evans alizungumza huku akimtazama Leila anaye kuja eneo hilo
“Hakuna shaka”


Evans akakata simu kabla ya Leila kumfikia. Alipo mfikia wakakumbatiana kisha wakatoondoka eneo hilo kwa usafiri wa bajaji hadi nyumbani kwa Leila. Evans akamueleza Leila kila jambo alilo zumgumza na nabii Sanga ila hakumueleza kwamba alicho kizungumza ni uongo na kumfanya Leila naye kujawa na furaha kwa maana ana amini kwamba George(Evans) ana pesa nyinngi sana.


“Kesho nita hitaji twende nyumbani kwa nabii Sanga. Ila nita kutambulisha kama mke wangu wa ndoa”
“Waoo asante sana mume wangu”
“Usijali. Ila jambo la msingi ni wewe kuwa karibu sana na nabii Sanga na mpango wetu nina hitaji uweze kwenda kama vile tulivyo panga. Ume nisoma mke wangu”
“Asilimia mia mia moja nime kuelelewa”


Ili kuondoa usumbufu wa kupigiwa simu na Magreth. Evans akazima simu yake na usiku huo akautenga kwa ajili ya kumshuhulikia Leila ambaye hadi sasa hivi amesha kufa na kuoza mbele ya macho yake.
***


“Usiniambie muli fanya mapenzi!!?”
Josephine alimuuliza Magreth huku akimtazama usoni mwake.
“Kwa nini nikufiche sasa, yaani G amenipa kitu ambacho ni Evans pekee ndio alikuwa ana nipatia. Yaani haki ya Mungu ni mtamu sana yule mwanaume”
“Kuwa makini sana rafiki yangu. Asije akakuumiza moyo wako”
“Usijali nipo makini. Ila kuna jambo moja ame lifanya leo hadi nime shangaa”
“Jambo gani?”
“Tulikuwa tuna zungumzia maswala ya Evans pia tukawa tuna zungumzia jinsi na namna ambayo nilivyo kutana naye hadi kuachana naye. Huwezi amini tuikwenda kwenye ule mtaa nilio kuwa nina ishi, tukatafuta vibaja wote kisha akaanza kuwatembezea kichapo”
“Weee”
“Haki ya Mungu, yaani aliwavunja vunja vibaya hadi akafanikiwa kupata vyeti vya Evans”
Magreth akamuonyesha Josephine video ya vijana wa panya Road walio pigwa na Evans.


“So kwa nini alikwenda kulipiza kisasi kwa ajili ya mwanaume mwenzake?”
“Hata mimi sielewi, labda alimuonea huruma”
“Kwani Evans alikuwa ana jua kupigana?”
“Kidogo sana, si una jua ngumi za mtaani. Ila huyu ana pigana ki professional kabisa”
“Mmm kweli?”
“Ndio”
“Je alama ya kisu tumboni mwake anayo?”
Josephine aliendelea kuhoji huku akianza kujawa na mashaka mengi juu ya Geogre ambaye ndio Evans.
“Hana alama yoyote na huyu George mwili wake uma jengeka na misuli tofauti na Evans”
“Hiyo mwanaume yoyote awe bonge au mwemamba ana weza kutengeneza misuli mwilini mwake. Hana kitu kingine ambacho ana fanana na Evans?”
Magreth akaka kimya huku akijaribu kuvuta kumbukumbu za matukio aliyo yafanya na Evans kwa sili ya leo.
“Macho yake akikasirika ni sawa na macho ya Evans kabisa.”
“Nina hisi jamho”
“Jambo gani?”
“Asije akawa ni Evans huyu?”
“Mmmm haiwezekani akawa Evans”
“Ngoja picha yake yoyote unayo?”
“Ndio, nakumbuka tulipiga picha kadhaa tulivyo rudi kutoka kule kwa Tumbo”
“Ngoja mara moja. Tusije tukawa tume karibisha adui kwenye maisha yetu alafu baade akatudhuru”
Josephine alizungumza huku akiichukua simu yake mezani. Akamtafuta Samson na kumpigia simu.
“Dogo vipi ume lala?”
“Hapana vipi sister?”
“Salama, upo wapi?”
“Nipo nyumbani”
“Tuna kuja sasa hivi”
“Vipo kwema?”
“Kwema, ila kuna jambo nahitaji utupatie uvumbuzi”
“Sawa”
Josephine akakata simu na kumtazama Magreth ambaye muda wote amekaa kimya akimtazama.
“Kwa hiyo una taka kudhibitisha jambo gani?”
Magreth alihoji.
“Mage wewe ni rafiki yangu. Endapo uta kuwa na mtu mgeni ambaye hatumjui na wala kujua chimboko lake ni wapi ni lazima tufanye jambo na pia angalia nafasi tulizo kuwa nazo hapa serikali. Mimi ni chief staff. Siri zote za raisi zipo mikononi mwangu hata wewe una zijua. Ana weza akawa ni adui ambaye ana tumia udhaifu wa kimapenzi kuhakikisha ana jiweka karibu na kujua mambo mengi kupitia siis pasipo sisi kustuka”
“Hivyo ndivyo Mungu alivyo kuonyesha au?”
“Hapana sio Mungu ila nikiwa kama binadamu ni lazima kuhakikisha kwamba nina weza kuingeza akili yangu kwenye mambo mengine mengine. Najua una mpenda Geogre na una mthamini sana, nakuomba sana twende kwa Samson tuka jiridhishe kwamba upo na mtu wa aina gani. Tafadhali mpenzi wangu nina kuomba uni kubalie”
Josephine alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa unyenyekevu. Magreth akashusha pumzi nyingi kisha akakubaliana na rafiki yake. Wakaingia kwenye gari na kuondoka nyumbani hapo. Wakafika nyumbani kwa Samsoni majira ya saa tano usiku na akawakaribisa ndani.
“Vipi mbona mupo juu juu, kama kuna tatizo?”
“Samson una mkumbuka yule kijana uliye muomba namba ya simu?”
“Yes namkumbuka vizuri”
“Tuna kuomba ututafutia background yake kabla hatuja mdhibitisha kuwa shemeji yetu”
Josepehine alizungumza huku akimkazia macho Samson.


“Mmmm sawa, kwani dada Mage mumesha kubaliana na jamaa?”
“Ndio”
“Ana itwa nani?”
“George Sanga”
“Una picha yake”
“Ndio”
Magreth akamkabidhi Samson picha inayo waonyesha wakikwa na George Shika. Evans akaingia chumbani kwake na baada ya dakika akatoka akiwa na laptop yake. Akachomeka waya wa USB kutoka kwenye simu ya Magreth na kuingia kwenye laptop hiyo.


“Una mtafuta kipivipi?”
Magreth alihoji.


“Nina scan sura yake nina imani ina weza kutupatia full details zake”
“Sawa”
“Ila kabla hatuja endelea kwani kuna kitu gani ambacho mume kihisi kwake hadi muna hitaji niweze kufanya mambo haya yote?”
“Hakuna tulicho kihisi ila wewe ifanye tu kazi yako”
Josephine alijibu na Samsoni akawatazama kwa sekunde kadha ana kuhisi kuna jambo ambalo ana fichwa na dada zake hao. Samson akaanza kuifanya kazi hiyo ya kutafita historia ya Samson. Hazikupita dakika hata tano akawa amesha pata taarifa nzima ya George Sanga. Macho yakamtoka huku akiwa amejawa na mstuko mkubwa sana.


“Ohoo Mungu wangu!!”
Samson alihamaki huku macho yakiwa yame mtoka.
“Nini?”
Magreth aliuliza kwa mstuko na kumfanya Samson kuwageuzia laptop yake.
“Jamaa ni tajiri wa dola bilioni arobaini na tano za Kimarekani na ndio tajiri mwenye umri mdogo duniani”
Samson alizungumza na kumfanya Magreth na Josephine kunaza kuitazama habari hiyo ambayo hata Josephine na Magreth walibaki midomo wazi kwa maana kwa jinsi anavyo ishi George(Evans) ni tofauti kabisa na utajiri wake.


“Haya mama ume dhibitisha. Hata hiyo Samsung yako unayo itumia ime toka kwenye kampuni yake. Una jengine”
Magreth alimuuliza Josephine aliye baki mdomo wazi na kushindwa kujibu swali hilo kwani ina onyesha Evans ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa ila ana urai wa Marekani kwani ndipo sehemu aliyo kulia na kuishi na wazazi wako.
“Samahani rafiki yangu nilifanya hivi ili kuweza kumjua shemeji yangu ni mtu wa aina gani?”
Josephine alizungumza kwa unyonge huku akimtazama Magreth usoni mwake kwa aibu kubwa aliyo ipata. Pasipo kujua kwamba hicho wanacho kisoma hapo ni uongo mtupu.
***
“Mke wangu njoouone”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amekaa kitandani huku ameipaka laptop mapajani mwake. Mrs Sanga akafunga kabati la nguo na kumsogelea mume wake.
“Huyu George Sanga ana utajiri wa dola bilioni arobaini na tano”
“Mmm alafu bado ni mdogo sana”
“Yaani, wee acha”
“Mume wangu kama ame tufwata wenyewe hii ni golden chance ambayo haito jirudia mara mbili”
“Una taka kusema nini?”
“Ina tupasa kuhakikisha kwamba katika hayo mabilioni yake ya dola tuna mfilisi kiakili hadi yana ingia kwenye akauti zetu na kwa kuanza tuta anza na hizo bilioni mbili zake na nusu anazo taka kuzitoa kwa ajili ya miradi hapa nchini. Nina amini mume wangu una akili ya kumfanya atoa pesa pasipo yeye mwenyewe kujua kama ana liwa au una semaje mume wangu”
Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya ushawishi iliyo mfanya nabiiS anga kufkiria kwa sekunde kadhaa kisha akatabasamu,


“Ndio maana nilikuoa mke wangu. Una akili ya kufikiria nje ya boksi. George Sanga ata kuwa ni mnofu mdogo mdogo kwetu kabla ya kwenda kwenye mnofu mkubwa wa hadhina ambayo nikilala, nikifumba macho nina iyona hiyo. Nina hitaji hao matajiri wakubwa duniani, waje kunisujudia siku moja. Hahaaa”
Nabii Sanga alizugumza kwa kujiamini huku akicheka kwa kicheko cha kebehi pasipo kufikiria wanayo yafikiria wao, Evans naye ana yafikiria hayo hayo.


****************************************************************************************************************


****


ITAENDELEA


Haya sasa, muwinda naye ana windwa. Kwenye hii game ya kufilisiana ni nani ambaye ata shinda. Evans Shika au nabii Sanga na mke wake ambao kiuhalisia wao ndio wana pesa halisi kuliko pesa za maandishi alizo nazo Evans nini kitatokea? Usikose sehemu ya 203.
 
SIN 203


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Mume wangu kama ame tufwata wenyewe hii ni golden chance ambayo haito jirudia mara mbili”
“Una taka kusema nini?”
“Ina tupasa kuhakikisha kwamba katika hayo mabilioni yake ya dola tuna mfilisi kiakili hadi yana ingia kwenye akauti zetu na kwa kuanza tuta anza na hizo bilioni mbili zake na nusu anazo taka kuzitoa kwa ajili ya miradi hapa nchini. Nina amini mume wangu una akili ya kumfanya atoa pesa pasipo yeye mwenyewe kujua kama ana liwa au una semaje mume wangu”
Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya ushawishi iliyo mfanya nabiiS anga kufkiria kwa sekunde kadhaa kisha akatabasamu,


“Ndio maana nilikuoa mke wangu. Una akili ya kufikiria nje ya boksi. George Sanga ata kuwa ni mnofu mdogo mdogo kwetu kabla ya kwenda kwenye mnofu mkubwa wa hadhina ambayo nikilala, nikifumba macho nina iyona hiyo. Nina hitaji hao matajiri wakubwa duniani, waje kunisujudia siku moja. Hahaaa”
Nabii Sanga alizugumza kwa kujiamini huku akicheka kwa kicheko cha kebehi pasipo kufikiria wanayo yafikiria wao, Evans naye ana yafikiria hayo hayo.





ENDELEA


“Na tukimfilisi, ata potea kwenye macho ya watu na kwenda sehemu kusipo julikana”
Mrs Sanga alizungumza huku akiishika laptop ya mume wake na kuiweka mezani. Akalifunua shuka na taratibu akaanza kumchezea jogoo wa mume wake, mrs Sanga akaongeza utundu na kuanza kumnyonya na kumfanya nabii Sanga kuanza kutoa miguno ya kimahaba. Nabii Sanga naye akaanza kumuandaa mke wake kwa kumnyona kila mahala ya mwili wake ambayo ana fahamu ina leta hisia za kimahaba na baada ya muda wakaanza mtanange wa kukatana shoka.


***


Asubuhi na mapema Evans na Leila wakaelekea hotelini alipo panga Evans.


“Bee hili gauni lita nifaa kweli kwenda kuonana na nabii Sanga pamoja na mkewe?”
Leila aliuliza huku akiwa amesimama mbele ya Evans aliye anza kumtazama kuanzia juu hadi chini.
“Maduka asubuhi hii yatakuwa wazi?”
“Mmmm mengi yana funguliwa kuanzi saa mbili asubihi”
“Sawa, tuta kwenda uka nunue gauni zuri. By saa tano ina bidi nimpigie nabii Sanga”
“Sawa mume wangu”
Ilipo timu saa mbili na nusu wakaelekea maduka yaliyopo eneo la karibu na hoteli hiyo. Kila mtu aka nunua nguo alizo amini kwamba zita mfaa kwa kikao hicho ambacho wana amini kwa asilimia mia moja ni cha ushindi. Wakarudi hotelini na majira ya saa tano kamili Evan akawasha simu yake na kumpigia nabii Sanga na kumueleza hoteli aliyopo.


“Dereva wangu ata fika hapo hotelini na ata kupigia”
“Nashukuru. Ila nipo na mke wangu nita fika naye”
“Hakuna shaka kijana”
Nabii Sanga akakata simu. Baada ya dakika arobaini, simu ya Evans ikaita na akaingia namba ngeni.
“Nimesha fika”
Sauti ya kiume ilisikika.
“Sawa nina shuka”
Evans akakata simu na kumsogelea Leila aliye simama kwenye dreasing table akijiweka vizuri nywele zake.


“Ume penda sana mke wangu”
“Kweli?”
“Haki ya Mungu upo vizuri.”
“Twende sasa tuka pange mipango yetu”
“Sawa”
Wakashuka gorofani na kutoka nje ya hoteli. Wakamkuta dereva akiwa amesimama nje ya gari aya ya Range Rover. Wakasalimiana naye na kuingia ndani ya gari kisha wakaelekea nyumbani kwa nabii Sanga. Wakakaribishwa kwa heshima zote na nabii Sanga pamoja na mke wake. Uzuri wa Leila ukampumbaza sana nabi Sanga na kujikuta akiwa akimtamani sana Leila.


“Karibuni sana”
Mrs Sanga alizungumza huku usoni mwake akiwa amejawa na furaha kubwa sana. Naye moyoni mwake ametawaliwa na matamanio ya kimapenzi juu ya Evans.


“Tuna shukuru. Kuta neni na mke wangu ana itwa Leila Sanga. Leila hawa ni watumishi wa Mungu, huyu ana itwa nabii Sanga na huyu ni mke wake”
“Nina shukuru sana kwa kuwafahamu”
“Karibuni sana Tanzania”
Nabii Sanga alizungumza kwa kuchachawa pasipo kuelewa kwamba Leila ndio silaha ya maangamizi kwake kwa maana Evans alisha weza kusoma saikolojia ya nabii Sanga na mke wake kwamba ni watu ambao wana penda sana mapenzi.
“Tuna shukuru sana. Wazee wangu au nipende kuwaita wazazi wangu.”
“Tunge penda uwe mtoto wetu wa hiyari”
Nabii Sanga alizungumza huku uso wake ukiwa ume tawaliwa na furaha.


‘Aisee dogo ana kula demu mkali sana’


Nabii Sang alizungumza kimoyo moyo huku akimtazama Leila kwa macho ya kuiba iba.
“Tuna shukuru kwa hilo. Nime kuja rasmi sasa ili niweze kufahamu ni namna gani ambavyo tuna weza kuanzisha biashara Tanzania”
“Jana tuli kaa na mama yenu hapa. Tukaona kwamba biashara ya mtandao wa simu ita kuwa ni nzuri sana kwa maana wewe una kampuni yako ya simu za mikononi so endapo uta fungua mtandao wako wa mawasiliano nina imani ita kuwa ni biashara nzuri na ita kuingizia pesa nyingi sana. Watanzania wengi huwa wana penda sana ofa za vifurushi. Endapo uta wawekea vifurushi vizuri vya kupiga na kuingia kwenye internet nina imani uta pata soko kubwa sana”


Nabii Sang alizungumza alizungumza kwa sauti ya upole kiasi.


“Ahaa ila kwa Tanzania kuna ushindani mkubwa sana na isitoshe kuna makampuni mengi kutoka nje yana fanya biashara hiyo na yapo hapa nchini kwa miaka mingi sana na ina wateja wengi”
“Ni kweli unacho zungumza mwanangu. Ila jambo la msingi ni kuhakikisha kwamba una kuwa mbunifuu kwenye hiyo biashara. Nina kuapia mwanangu, katika mwaka wa pili wabiashara yako uta kuwa mbali sana kichumi na hata hiyo pesa unayo amua kuwekeza nina uhakika wa asilimia kubwa sana ita kuwa imesha rudi”
“Mke wangu hapo una semaje?”
Evans alimuuliza Leila huku akiwa amemshika mkono wake.
“Mmmm hivi hiyo biashara haina process nyingi za kufwata. Kuanzia usajili, kufunga mitambo na mambo mengine?”
“Kila jambo lina hatua binti yangu na katika biashara hivyo vitu ni vya kawaida gani. Ila uzuri ni kwamba serikali nzimma ipo mikononi mwetu. Kuanzia raisi ambaye kijana wake wa kiume ame muoa binti yangu na uzuri ni kwamba binti yangu hivi sasa ni mmoja wa washauri wa raisi”
“Ahaa hongereni sana”
“Tuna shukuru. Hivyo hayo mambo ya kupata eneo la kufungulia biashara na usajli nina weza kuyashuhulikia”
Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini. Simu ya Evana ikaita, akaitoa mfukoni na kuona ni namba ya Magreth.


“Samahani jamani dakik kadhaa”
Evans alizungumza huku akinyanyuka na kutoka nje. Akaipoke simu na kuiweka sikioni.
“Hei baby mambo vipi?”
Magreth alisalimia kwa furaha sana.
“Salama mke wangu. Nipo kwenye kikao kama huto jali nina kuomba tuzungumze mara baada ya kumaliza”
“Sawa mume wangu. Ila nina swali kama huto jali?”
“Uliza tu”
“Mbona jna usiku siku yako ilikuwa haipatikani?”
“Ilikwisha chaji na nilisahau kuiweka chaji”
“Aha…pole mume wangu”
“Nina shukuru. Nita kutafuta niki toka kwenye kikao”
“Sawa. Mwaaa”
Magreth akambusu Evans.


“Nina shukuru baby”
Evans akakata simu na kurudi ndani na kuwakuta wakicheka kwa furaha sana.


“Aisee mke wangu ni mchehi sana”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama jinsi Evans anavyo kaa.


“Kweli ehe?”
“Yaa yaani dakika mbili hizi tume mzoea sana kana kwamba tume kutana kwa kipindi kirefu”
“Wazee wangu nina shukuru sana kwa ushauri wenu. Kuna simu muhimu sana ime ingia na kuna mahali nina hitajika kama hamuto jali niende kisha nita rudi kumpitia mke wangu”
“Ahaa kama ina wezekana uka enda na gari yetu”
Nabii Sang alizungumza
“Nita shukuru sana muta kuwa mume nisaidia”
“Sawa”
“Baby nina kuomba mara moja”
Evans alizungumza na wakatoka nje na Leila.
“Ndio mume wangu”
“Una lisaa moja la kuhakikisha una mtesa nabii Sanga kihisia. Hakikisha hatoki mikononi mwako”
“Usijali mume wangu nina elewa nini cha kufanya”
Wakarudi ndani na nabii Sanga akamkabidhi funguo ya gari jengine aina ya Toyota V8.


“Ipo full tank hivyo una weza kuzunguka mjini bila wasiwasi”
“Nashukuru”
Evans akaondoka nyumbani hapo kwa nabii Sanga huku akiwa amejawa na furaha kwa maana kama wame weza kutoa gari la garama kiasi hicho hivyo ni rahisi sana kwa yeye kuendelea kuwa karibu na nabii Sanga.
***


Simu ya Julieth ikaanza kuita taratibu. Akaitazama namba hiyo ngeni inayo ingia katika simu yake. Akajifikiria kwa sekunde kadhaa huku akijiuliza ni nani ambaye ana mpigia kwenye namba hiyo ambayo ni watu wachache sana ambao wana mpigia. Akanyanyuka na kufunga mlango wa ofisini kwake na kuipokea namba hiyo.
“Habari yako Mrs Jery Mtenzi”


Sauti ya kike ilisikika vizuri katika simu yake.
“Salama nani wewe?”
“Mimi nina itwa Ms Tramp ni balozi mpya wa Marekani hapa nchini Tanzania”
“Ahaa okay. Una hitaji nini?”
“Nina omba mchana wa leo kama ita wezekana tuweze kukutana Serena hoteli tuweze kuzungumza mambo mawili matatu?”
“Kiofisi au binafsi”
“Ni binafsi kama hutojali”
“Kwanza una fahamu una zungumza na nani?”
“Yes nina zungumza na Julieth Sanga mmiliki wa kundi la majasusi ukisaidiana na baba yako. Muna dili na biashara haramu na moja wapo ikiwa ni kuhusika na kifo cha mmoja wa wapelelezi wa ngazi za juu sana kwa kutegewa bomu ndani ya gari”
Maneno hayo yaka mstua sana Julieth hadi akahisi mikono yake ikimuishia nguvu.
“Nina hisi ume wrong number?”
Julieth alijikaza kuzungumza maneno hayo.
“Hapana miss Julieth, nina full details zako, baba yako pamoja na mama yako. Na familia yako ina husika kwa asilimia mia moja kwa kuchonganisha Tanzania na kundi la Al-Shabab lililo lipiza kwa kulipua jiji la Dar es Salaama. Kama una nibishia hizi data zote uta zikuta ofisini kwa baba yako mkwe. Saa nane kamili uwe peke yako nina kuhitaji Serena Hoteli ukifika hapo nipigie simu nami nita kuelekeza ni wapi nilipo”
Simu ikakata na kumfanya Julieth kuiangusha chini simu yake huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi. Akajaribu kutafakari ni nani ambaye ame toa siri hizo ila akakosa jibu sahihi. Kwa haraka akaikoka simu yake na kuitafuta namba ya baba yake na kumpigia simu.


“Baba mbona una chelewa kupokea simu?”
Julieth alizungumza kwa wasiwasi mkubwa sana huku akitetemeka kwa woga.
“Vipi kwema?”
“Sio kwema baba?”
“Kwa nini?”
“Kila kitu tulicho kifanya kime kaa wazi”
“Kime kaa wazi kivipi?”
“Kipo wazi baba nielewe basi”
“Upo wapi?”
“Nipo ofisini”
“Njoo nyumbani”
“Hapana muda wangu hauniruhusu kuja nyumbani, Tukutane njiani tuzungumze”
“Mmmm”
“Ndio baba fanya hivyo”
“Sawa”
Julieth akakata simu, akachukua pochi yake na kueleka ofisini kwa raisi Mtenzi.
“Muheshimiwa nina omba ruhusa ya kwenda kuonana na baba”
Julieth alizungumza kwa wasiwasi hadi raisi Mtenzi akagundua wasiwasi huo.
“Vipi mwanangu, kwema huko?”
“Ndio baba ni kwema, ila kuna jambo muhimu sana nina bidi kwenda kuzungumza naye”
“Sawa, uta kwenda na walinzi”
“Kama ina wezekana muheshimiwa nina kuomba niende peke yangu muheshimiwa”
“Ila una tambua sio salama kutembea peke yako?”
“Ndio baba ila nina kuomba san asana niweze kwenda peke yangu”
Raisi Mtenzi akajifikiria kwa sekunde kadhaa kisha akamkaruhusu. Julieth akatoka ofisini hapo na kuelekea lilipogari analo litumia kwa safari zake binafsi. Akaingia ndani ya gari na kuondoka ikulu. Akampigia baba yake na kumuomba waweze kukutana sehemu ambayo ni karibu sana na hoteli ya Serena. Julieth akawa wa kwanza kufika eneo hilo. Baada ya dakika kumi nabii Sanga akasimamisha gari lake pembeni ya gari la Julieth. Juliethakashuka kwenye gari na kuingia katika gari la baba yake.


“Ume nistua Julieth kuna nini?”
“Baba hapa nilipo sielewi nime changanyikiwa sana”
“Kwa nini?”
“Kuna hii namba ime nipiga. Huyu aliye piga ana jiita ms sijui Trump gani. Ana sema kwamba yeye ni balozi mpya wa Marekani hapa nchini Tanzania. Ameweza kuzungumza siri za kikosi chetu tunacho kimiliki, biashara za madawa ya kulevya tunazo ziendesha. Mfarakano kati ya nchi yetu na Al-Shabab yaani kiufupi wana jua kila kitu kuhusiana na mimi, wewe mama na familia yote kwa ujumla”
“Nabii Sanga akashusha pumzi nyingi sana huku akihisi moyo una kwenda kumchomoka kwa wasiwasi.
“Kwa hiyo ana taka nini?”
“Ameniambia saa nane kamili juu ya alame niwe pale Serena. Nikileta mchezo ana weza kumueleza baba mkwe siri zote. Hembu piga picha kama akimueleza baba mkwe ita kuwaje?”
Nabii Sanga akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akijaribu kutafakari ni nani ame vujisha siri.


“Huku wahi kumuambia mtu yoyote juu ya siri hizi?”
“Hapana baba. Mimi sio mjinga hata mume wangu mwenyewe sija mueleza chochote kuhusiana na hii hali”
“Duuu sasa fanya hivi.Nenda kamsikilize na udhibitishe kabisa ni balozi wa nchini Marekani hapa Tanzania. Kama akiwa ni mjinga mjinga, siku ya leo hato imaliza”
“Baba na ana jua kwamba wewe ulimua yule mpelelezi kwa kutuma vijana na kumuwekea bomu ndani ya gari lake”
“Nabii Sanga akayatumbua macho yake huku akiwa haamini anacho kisikia kwa mwanaye huyo”
“Una sema kweli?”
“Ndio maana nika kuambia kwamba ana full details zangu, zako, za mama na familia yetu kwa ujumla”
“Ohoo Mungu wangu. Kamsikilize na atakacho kihitaji sisi tuta fanya ila kwa sharti moja”
“Sharti gani”
“Ahakikishe ana zika kila kitu anacho kijua endapo hato fanya hivyo haijalishi yeye ni balozi au hizi data zipo ndani ya nchi yao, tuta hakikisha kwamba tuna rudisha mapambano kadri ya uwezo wetu. Ume nielewa?”
“Ndio nime kuelewa baba”
Maneno ya nabii Sanga yakampa ujasiri mkubwa sana Julieth na kujikuta akijiwa na nguvu mpya huku wasiwasi na mashaka ambayo yalimtawala yakimuisha moyoni mwake na yupo tayari kukutana na balozi huyo wa nchi ya Marekani.


****************************************************************************************************************


****


ITAENDELEA


Haya sasa, siri za familia ya nabii Sanga sasa zipo mikononi mwa serikali ya Marekani, walizijuaje na wata fanya nini kuhusiana na Julieth na familia yake kwa ujumla.? Usikose sehemu ya 204.
 
SIN 204


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Baba na ana jua kwamba wewe ulimua yule mpelelezi kwa kutuma vijana na kumuwekea bomu ndani ya gari lake”
“Nabii Sanga akayatumbua macho yake huku akiwa haamini anacho kisikia kwa mwanaye huyo”
“Una sema kweli?”
“Ndio maana nika kuambia kwamba ana full details zangu, zako, za mama na familia yetu kwa ujumla”
“Ohoo Mungu wangu. Kamsikilize na atakacho kihitaji sisi tuta fanya ila kwa sharti moja”
“Sharti gani”
“Ahakikishe ana zika kila kitu anacho kijua endapo hato fanya hivyo haijalishi yeye ni balozi au hizi data zipo ndani ya nchi yao, tuta hakikisha kwamba tuna rudisha mapambano kadri ya uwezo wetu. Ume nielewa?”
“Ndio nime kuelewa baba”
Maneno ya nabii Sanga yakampa ujasiri mkubwa sana Julieth na kujikuta akijiwa na nguvu mpya huku wasiwasi na mashaka ambayo yalimtawala yakimuisha moyoni mwake na yupo tayari kukutana na balozi huyo wa nchi ya Marekani.





ENDELEA


“Uta nijulisha ukitoka huko”
“Sawa baba”
Nabii Sanga akamshika Julieth kiganja cha mkono wake wa kulia na kukiminya kidogo ikiwa ni ishara ya kumpa ujasiri wa kwenda kuonana na balozi huyo. Julieth akashuka kwenye gari lake. Akaelekea moja kwa moja katika hoteli ya Serena. Akaelekezwa na mlinzi ni wapi asimamishe gari lake na akafanya hivyo. Akatazama saa yake ya mkononi na ina onyesha zime salia sakika kumi na nne kabla ya kufika saa nane kamili mchana. Akaa ndani ya gari hadi ilipo timu saa nane kamili akashuka na kuelekea mapokezi. Akapiga namba iliyo mpigia na ika pokelewa.


“Nime fika”
“Waoo ni jambo zuri. Ata kuja mwanaume mweupe ana upara kichwani mwake na amevalia suti nyeusi na katika upande wa kushoto wa koti lake la suti kuna kibendera kidogo. Ata kuleta sehemu nilipo”
“Sawa”
Julieth akakata simu na baada ya dakika tatu akamuona mwanaume huyo ambaye akampa ishara ya kuongozana naye kueleka alipo balozi huyo. Wakaingia kwenye lifti na kupandisha hadi gorofa ya saba. Wakatembea kwenye kordo hiyo yenye walinzi sita walio valia suti nyeusi. Mwanaume huyo akamnyooshea Julieth mkono wa kulia kamaishara ana omba kitu.


“Nini?”
Julieth aliuliza huku akimkazia macho.
“Simu yako”
Julieth akamkabidhi mwanaume huyo simu yake. Mlango uka gongwa wa chumba kilichopo mbele yao uka gongwa mara mbili na akatoka mlinzi wa kike.


“Nyoosha mikono”
Julieth akatii hivyo na akanyosha mikono yake upande wa kulia na kushoto. Akakaguliwa na msichana huyo alipo onekana hana silaha ya kumdhuru kiongozi huyo akaingia ndani ya chumba hicho kikubwa sana.
“Kaa hapo”
Mlinzi huyo wa kike alizungumza huku akimuonyesha Julieth sofa zilizopo eneo hilo. Julieth akaketi kwenye moja ya sofa na balozi huyo akatoka chooni huku akiwa ana jifuta futa mikono yake na kitaulo cheupe.
“Karibu sana Julieth Sanga”
“Nashukuru”
Julieth alijibu huku akimtazama mwana mama huyo aliye jawa na tabasamu pana usoni mwake. Mwana mama huyo akaka kwenye sofa linalo tazamana na Julieth. Akampa ishara mlinzi wake huyo wa kike na akaleta faili lenye rangi nyeusi na kumkabidhi balozi Trump.


“Nchi yangu ime weza kujitosheleza kwenye kila aina ya nyanja, ukianzia kiuchumi, kisiasa, kipesa na kijasusi pia. Ume weza kuchukua nafasi katika white house ya Tanzania ila mikono yako na familia yako ikiwa ni michafu sana tena sana.”


Balozi huyo alizungumza huku akiwa ame lifunua faili hilo.


“Ila nina imani kwamba tuna uwezo wa kuwachukulia hatua za kisheria wewe, mama yako na baba yako na kila aina ya pesa haramu muliyo ipata basi tuna weza kuzizuia katika mabeki yote duniani mulipo zificha.”
Balozi Trump aliendela kuzungumza kwa vitisho ila kwa sauti ya upole sana na kana kwamba maneno anayo yazungumza hapo ni mazuri kwa Julieth.
“Nime jaribu kushangaa ni kwa nini nchi ya Tanzania hadi sasa hivi haijui upande wa giza wa baba yako pamoja na familia yake. Isitoshe nina shangaa raisi wa nchi hajui chochote kuhusiana na nyinyi. Una kula naye una shinda naye ila hajui”
“Tukiachana na baba yako. Mama yako pia ni muuaji, alimuua kimada wake baada kwa sumu kali, ila nchi yenu haijui, ila sisi tuliopo mbali kwa maelfu ya miles tuna jua. Hii inaonyesha dhahiri nchi yenu ina ongozwa kwa maono pasipo kufanya upelelezi wa kina”
Julieth akaendelea kukaa kimya huku akimkazia macho mwana mama huyo. Balozi Tramp akamkabidhi faili hilo na akaanza kulipitia taratibu na kuona picha zake, za familia yake. Akastuka sana kuiona meli ambayo ndipo kilipo kikosi chao. Akaona biashara zote haramu, wanazo zifanya huku picha zake kwa baadhi ya mikutano anayo ifanya na kikundi chake nacho ikiwemo hapo.
“Tuna kujua vizuri sana. Baba yako ni mtenda dhambi mkubwa anaye tumia jina la Mungu kuficha dhambi zake.”
“Muna hitaji nini kwetu”
Julieth aliona ni heri ajue nia na lengo la nchi hiyo.
“Muna vitu viwili tunavyo hitaji kutoka kwenu”
“Vitu gani?”
“Mkataba wa makubaliano ya nchi yetu na kundi la Bokoharamu na endapo mkataba huo tukiupata ni lazima uhakikishe kwamba una mua baba yako mkwe, raisi Mtenzi”
“Jambo la pili tuna hitaji uhakikishe kwamba tuna ipata hadhina ya dhahabu kupitia watu wako. Ukikamilisha hayo, kila unacho kiona hapo na tunacho kijua sisi tuta kwenda kukisahau.”
Julieth akaka kimya kwa dakika mbili huku akimkazia macho mwana mama huyo.
“Ni hivyo tu?”
“Yes Julieth ni hivyo tu ndio tunavyo vihitaji”
Taratibu Julieth akasimama, mlinzi akatoka kusogea karibu ila balozi Trump akampa ishara ya kumzuia.


“Nisikilize vizuri sana na uni elewe. Mume kosea mtu wa kublack mail. Labda nikupe siri moja ambayo wewe na watu wako hamuijui. Nipo tayari kufa kwa ajili ya nchi yangu na si familia yangu na sinto kuwa kibaraka wa nchi yako kwa sasabu hata nikifa mimi basi hadhina iliyopo katika nchi yangu ita kwenda kuupita uchumi wa nchi yako na muta kuwa chini ya nyayo zetu na nina iona Tanzania yenye nguvu mara mbili ya Marekani.”
Julieth alizungumza kwa ujasiri hadi balozi Trump akastuka kidogo kwa maana aliamini kwa kutumia vielelezo alivyo kuwa navyo basi wana weza kumtumia Julieth kutekeleza mipango yao.


“Waoo ume jiamini vizuri sana Julieth”
“Mimi ni mtoto wa Simba, kamwe siwezi kuja kuwa fisi au paka”
Julueth mara baada ya kuzungumza hivyo akaanza kutembea kuelekea mlangoni.
“Ume sahau jambo moja Julieth”
Kauli hiyo ikamfanya Julieth kusimama, akashusha pumzi kisha akamgeukia balozi Trump.


“Una weza kwenda na hili faili uka muonyeshe baba yako. Nina imani kwamba wewe bado una akili za kitoto na wala hujui mambo yana kwenda vipi. Ila baba yako na mama yako wakiona hivi basi wata elewa nini tuna maanisha. Mchana mwema”
Balozi Trump akamkabidhi Julieth faili hilo lenye rangi nyeusi huku juu likiwa limeandikwa kwa maandishi mekundu TOP SECRETY. Julieth akalitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatoka ndani hapo. Akakabidhiwa simu yake na moja kwa moja akaelekea kwenye gari lake. Machozi yakaanza kumtoka huku woga mwingi ukiwa ume mtawala. Hakika masharti aliyo pewa ni magumu sana, hapo ndipo akaanza kuyakumbuka maono ya Josephine alipo muambia raisi Mtenzi kwamba ana paswa kuwa makini sana kwani Wamarekani wana uwinda mkataba ambao waliingia na kundi la Bokoharamu na endapo mkataba huo uta toka au kufichuliwa na nchi ya Tanzania, basi una weza kusababisha nchi ya Marekani kuongeza maadui ambao hajui wata kuwa ni nani na nani. Julieth akampigia baba yake.
“Baba upo wapi?”
“Nipo nyumbani mwanangu, vipi mbona una lia”
“Nina kja baba”
“Kwa hali hiyo una weza kuendesha gari?”
“Ndio”
“Sawa nakusubiria”
Julieth akakta simu na kuwasha gari na kuondoka hotelini hapo kwa mwendo wa taratibu.


***


“Baba Julieth vipi?”
Mrs Sanga aliuliza huku akiwa na wasiwasi mwingi.
“Mtoto ana kuja”
“Ehee Mungu huyo balozi ata kuwa ame mueleza nini?”
Mrs Sanga aliuliza huku akiwa na wasiwasi mwingi sana. Chumbani hapo hakukulika hata mgeni waliye muacha sebleni hakika wame msahau kwani tukio hilo liliweza kuvuruga amani yao.


‘Baby njoo unichukue bwana, watu wenyewe wame niacha sebleni, sijui kuna tatizo gani lime wapata’


Leila alituma meseji hiyo kwa Evans.


‘Ume shindwa kumpagawisha huyo mzee?’


‘Hawaeleweki kwa kweli, sijui wame kumbwa na nini. Njoo bwana tuondoke zetu’


‘Poa nina kuja’


Macho ya Leila yakatazamana na Juieth anaye ingia mlangoni hapo. Kwa kumtazama tu una weza kugundua kwamba hayupo sawa kwani macho yake yame tawaliwa na uwekundu mithili ya mvuta bangi anaye jifunza.


“Habari yako”
Leila alimsalimia Julieth ila hakujibu chochote zaidi ya kuendelea kuanza kupandisha ngazi kuelekea gorofani huku mkono wake wa kulia akiwa ameshika faili lenye rangi nyeusi.


‘Mmmm ana nini huyu?’


Leila alijiuliza na wala hakushangaa sana kwa maana sura ya Julieth sio ngeni kwake kwani alisha wahi kuiona kwenye tv kwa mara kadhaa. Julieth akagonga mlango wa chumba cha wazazi wake na nabii Sanga akafungua mlango. Julieth akapitiliza hadi ndani pasipo kuzungumza chochote, akajitupa kitandani huku akiwa na mawazo mengi sana.
“Julieth kime tokea nini?”
Mrs Sanga aliuliza huku akimtazama mwanaye.
“Yaani sijio ita kuwaje baba”
“Ita kuwaje nini?”
Taratibu Julieth akakaa kitako na kumkabidhi baba yake faili hilo. Nabii Sanga kaanza kulifungua na kuanza kutazama kilicho ndani. Mwili mzima ukaanza kumtetemeka kwa woga mwingi sana. Mrs Sanga akamsogela mume wake naye macho yakamtoka.
“Wamejuaje?”
Nabii Sanga aliuliza huku akiwa ametawaliwa na woga mkubwa sana.
“Hata sijui baba”
Julieth alijibu kwa sauti ya unyonge mkubwa sana. Katika siku ambazo familia ya nabii Sanga ime tawaliwa na hofu kubwa ni siku hii. Kila mmoja akahisi kama mwisho wao ume wadia. Mlio wa gari ukamfanya nabaii Sanga kutembea kwa kasi hadi dirishani na kuchungulia na kuona gari lake likiingia na George(Evans) akashuka kwenye gari.
“Amerudi”
Nabii Sanga alizungumza huku akifunika dirisha hilo.


“Nani?”
Julieth aliuliza huku akimkazia macho baba yake.
“Kuna kijana mmoja ni bilionea wa kimarekani. Ametufwata na kutuomba tuweze kumpatia idea ya biashara hapa Tanzania kwa maana ana hitaji kuwekeza dola bilioni mbili na nusu za Kimarekani katika mradi wowote hapa nchini”
“Mmmmm!!”
Julieth akaguna tu kwa maana akili yake kwa sasa haiwazii kabisa maswala ya biashara.


“Mume wangu ngoja kwanza. Hili swala tuna limaliza vipi?”
“Hilo sio jambo la kuzungumza juu juu. Tutulize kwanza vichwa, kwa sasa twende tuka zungumze na wageni”
Nabii Sanga na mke wake wakatoka ndani hapo na kuelekea sebleni.


“Nime rudi jamani, nina shukuru sana kwa kila jambo”
“Usijali kijana wetu, nina imani tuta zidi kuwasiliana. Ukiwa tayari wewe nipigie tu simu tuta panga”
“Usijali mzee wangu. Ila mbona kama sura zenu zina wasiwasi?”
“Aha….hakuna kitu George kila jambo lipo vizuri”
Macho ya Evans yakaanza kumtazama Julieth anaye shuka kwenye ngazi huku akionekana kuchoka sana.
“Ahaa Julieth njoo ukutane na George Sanga”
Nabii Sanga alizungumza huku akijitahidi kutengeneza furaha usoni mwake. Julieth akatembea kwa hatua za kinyonge hadi sehemu walipo kaa wazazi wake na kujibwaga kwenye sofa. Kitendo cha Julieth kumtazama Evans usoni mwake akajikuta akistuka sana hadi kila mtu akagundua kwamba ame stusha na jambo hilo lika mfanya Evans kuanza kuhisi kwamba Julieth atakuwa amemgundua.
***


“Baba una muda tuzungumze?”
Jery alizungumza huku akiwa amekaa kwenye kiti kilichopo mbele ya meza ya baba yake.
“Kuna nini tena kwa maana mke wako ameondoka hapa masaa mawili yaliyo pita na ana onekana ana wasiwasi mwingi sana. Vipi tayari umesha muudhi?”
“Hapana, sija gombana naye. Ame kwenda wapi?”
“Ameniambia ana kwenda kuonana na baba yake. Sasa kama kuna jambo ambalo ume muudhi mtoto wa watu ni heri ukazungumza mapema Jery.
“Hapana baba, sija mkera. Ila nina hitaji tuzungumze kama watu wazima”
Raisi Mtenzi akatabasamu kwa maana hakuwahi kumsikia mwanaye huyo akizungumza kauli kama hiyo.


“Watu wazima?”
“Ndio baba nina hitaji tuzungumze kikubwa”
“Ehee nina kusikiliza mtu mzima”
Jery akaka kimya kwa sekunde kadhaa kisha akashusha pumzi nyingi.
“Baba una jua sisi ni wanaume”
“Ndio nina litambua hilo”
“Hivyo tukiwa kama wanaume, kuna mambo mambo huwa tuna yafanya ili mradi kukidhi haja za miili yetu”
“Usitake kuniambia kwamba bado una mahusiano na yule mfagiaji?”
“Baba najua hichi kitu ninacho kizungumza ni kwa ajili ya mstakabali wa familia yetu.”
“Nenda kwenye pointi yako acha kuzunguka sana”
“Baba Shani ni mjaumzito na ana mimba yangu”
Raisi Mtenzi macho yakamtoka na uso wake ukajaa ndiza zilizo mfanya Jery atambua kabisa amesha likoroga kwa baba yake. Ukimya wa dakika mbili uka pita huku raisi Mtenzi akiwa katika hali hiyo ya kukasirika.
“Hichi ndio ulicho kuwa una kitafuta si ndio?”
“Hapana baba, ime tokea tu akapata ujauzito”
“Kwani huwezi kutumia Condomu wewe?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa kufoka huku akimtazama Jery.
“Baba nime fanya hivi kwa ajili ya mke wangu wa ndani hataki kuzaa kwa kipindi hichi ambacho mimi nina hitaji mtoto. Nilimvumilia sana tena sana kiasi kwamba nikashindwa kwa maana jukumu la mwanamke ndani ya familia yake ni kuzaa na kulea familia. Yeye anakazi ya kuhangaika huku ofisini akidhani kwamba hii ofisi ndio ime muoa. Nime angali what best for my future famili. Sina kaka, sina dada sina ndugu ambaye hata siku wewe ukifa ata weza kuwa karibu yangu. Ila mtoto aliyopo tumboni mwa Shani ndio rafiki yangu mimi”
Jery naye alizungumza kwa kufoka huku akimkazia macho baba yake. Raisi Jery akasimama huku macho ya hasira yakimtawala.


“Nime ishi na mama yako na wala sikuwahi kumleta mtoto wa haramu. So na wewe usiniletee wajukuu haramu ndani ya ukoo wangu wa Mtenzi. Umenielewa wewe?”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akipiga piga ngumi mezani na kuwafanya walinzi wake wawili walio simama nje ya mlango wake kuingia ndani, ila akawanyooshea ishara ya mkono kuwaomba watoke ndani hapo na wakatii agizo hilo.


“Ohoo kwa hiyo mwanangu atakapo zaliwa ata kuwa ni haramu?”
“Ndio ni mjukuu haramu na unazaaje na wafagiaji wa ikulu wewe. Tume kuoezesha kwa binti ambaye wazazi wake ni wacha Mungu na yeye ni mcha Mungu, ana heshima ana pesa ana kila aina ya sifa ya uzuri isitoshe alikutunzia bikra hadi ukampata. Alafu wewe una una kwenda kutembea na wafagiaji kweli Jery?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa kufoka.


“Mapenzi sio pesa sio uzuri na kama umemuoana mkwe wako ni mzuri sana kuliko wanawake wote nenda kamuoea wewe”
“Una semaje wewe”
Raisi Mtenzi kwa haraka akapanda juu ya meza yake na kumrukia Jery, akamuanguka chini na kuanza kumtandika ngumi mvululizo ambazo zilizo mfanya Jery kukikinga na mikono yake ili asiumizwe moyo wake.
“Nita kuua wewe, sijawahi kuzaa mtoto haramu na mpumbavu kama weweee”
Raisi Mtenzi alizunguma kwa hasira huku akiendelea kumshushia kipigo Jery. Uvumilivu ukawashinda walinzi wake na wakaingia ndani, hali hiyo ikawaogopesha sana na kuwalazimu kuamua ugomvi huo.


“Niacheni niweze kumuaa mwana haramu mkubwa huyu”
“Hapana muheshimiwa upo ofisini na tena ni ikulu hapa. Hupaswi kufanya hivyo”
Mlinzi wake mkuu alizungumza kwa sauti ya ustarabu huku akimzuia raisi Mtenzi kumendelea na mapambano hayo. Jery akanyanyuka huku chini ya jicho la kushoto akiwa ana mwagikwa na damu kwa maana kuna ngumi ilimpata eneo hilo.
“Nina uwezo wa kukupiga wewe mzee ila siwezi kunyanyua mkono wangu na kukupiga kwa maana wewe ni baba yangu. Ila nilioa mwanamke mwenye bikra feki hakuwa na bikra halisi na ndio maana niliamua kwenda kuzaa nje ya ndoa yangu na kama amenidanganya kuhusiana na bikra yake. Je kuna mambo mangapi ambayo ana nidanganya. So nina mchukua mfagiaji wangu na kutoweka naye pasipo julikana na usijaribu kunitafuta na kuanzia hivi sasa nina hesabia sina baba wala mama”
Jery mara baada ya kuzungumza maneno hayo akajitoa mikononi mwa mlinzi aliye mshika na kutoka ofisini hapo na kumfanya sekretari kushangaa kwa maana Jery aliingiaa kiwa na tabasamu pasana usoni mwake, ila ana toka ofisini humo akiwa ana mwagikwa na damu kwenye shavu lake na inavyo onyesha ndani ya ofisi ya baba yake hakna usalama kabisa.


****************************************************************************************************************


u


ITAENDELEA


Haya sasa, raisi Mtenzi amemtembezea kipondo mtoto wake, Jery kuanzia hivi sasa ana hesabu raisi Mtenzi sio baba yake tena kisa ame kataa mimba ya Shani. Familia ya nabii Sanga nayo kwa sasa ipo kwenye kipindi kigumu cha hofu ya siri zao kujulikana na serikali ya nchi ya Marekani je nini kitatokea.? Usikose sehemu ya 205.
 
SIN 205


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Nina uwezo wa kukupiga wewe mzee ila siwezi kunyanyua mkono wangu na kukupiga kwa maana wewe ni baba yangu. Ila nilioa mwanamke mwenye bikra feki hakuwa na bikra halisi na ndio maana niliamua kwenda kuzaa nje ya ndoa yangu na kama amenidanganya kuhusiana na bikra yake. Je kuna mambo mangapi ambayo ana nidanganya. So nina mchukua mfagiaji wangu na kutoweka naye pasipo julikana na usijaribu kunitafuta na kuanzia hivi sasa nina hesabia sina baba wala mama”
Jery mara baada ya kuzungumza maneno hayo akajitoa mikononi mwa mlinzi aliye mshika na kutoka ofisini hapo na kumfanya sekretari kushangaa kwa maana Jery aliingiaa kiwa na tabasamu pasana usoni mwake, ila ana toka ofisini humo akiwa ana mwagikwa na damu kwenye shavu lake na inavyo onyesha ndani ya ofisi ya baba yake hakna usalama kabisa.





ENDELEA


“Hakikisheni hatoki hapa ikulu. Mume nielewa?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa hasira huku akiwatazama walinzi wake.
“Sawa mkuu”
Mlinzi mkuu wa ikulu alijibu na kuanza kutoa taarifa kwa walinzi wote wa ikulu, kuhakikisha kwamba Jery hatoki eneo la ikulu.
“Niitieni Dev mlinzi wa Jery”
“Sawa mkuu”
Raisi Mtenzi akavua koti lake na kulitupia juu ya sofa. Akavua tai yake na kuitupia lilipo koti lake na akaanza kukunja mikono ya shati lake huku akizunguka zunguka ndani ya ofisi yake kubwa. Hakuamini kama kijana wake tena wa mwisho ana weza kudiriki kumtuka kwa tusi la kulala na mke wake wa ndoa. Devi akaingia ofisini hapo huku akiwa na wasiwasi kwa maana mlinzi aliye kwenda kumuita tayari alisha mgusia ni nini kimetokea ndani ya ofisi hiyo.


“Wewe ndio una msindikiza huyo mshenzi kwenda kufanya mambo yake ya kipumbavu si ndio?”
“Sija kuelewa muheshimiwa”
Devi alizungumz ahuku akiwa amesimama wima.
“Una semaje?”
“Sija kuelewa una zungumza nini muheshimiwa”
“Nina hitaji unipelekea anapo ishi Shani, hawara wa Jery na usipo fanya hivyo cha moto uta kiona”
Raisi Mtenzi aliendelea kufoka na umfanya Dev kusimama kwa muda huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake, akatambua kabisa kwamba kwa ukali huo wa raisi Mtenzi basi Shani ana weza kwenda kuuwawa kikatili sana.
“Samahani muheshimiwa raisi siwezi kukupeleka”
Walinzi wote wakashangaa hadi raisi Mtenzi mwenyewe akamshangaa Devi kwa maana hakutaraji kama ana weza kumjibu kitu kama hicho. Raisi Mtenzi akamsogelea Devi na kumkunja shati lake eneo la kifuani mwake humsogeza karibu yake.
“Una hamu ya kufa”
“Nipo tayari kufa muda wowote kwenye maisha yangu. Moja ya kanunu na sheria ya kazi yangu ni kuhakikisha kwamba nina linda siri ya bosi wangu ninaye mlinda. Haijalishi ni kuutoa uhai wangu au laa, ila nita linda siri hiyo samahani muheshimiwa raisi sinto weza kukupeleka”
“Kuanzia hivi sasa nina kuvua mamlaka yote na kamuweke chini ya kizui hadi pale nitakapo amua mimi atoke”
“Sawa mkuu”
Devi akanyosha mikono yake mbele na akafungwa pingu ya kamba ngumu iliyo tengenezwa kwa plastiki na akatolewa ofisini hapo huku kitambulisho chake na bastola yake vikichukuliwa. Akawekwa kwenye mahabusu iliyopo chichi ya ardhi eneo la ikuku.


“Nina hitaji kuanzia hivi sasa mumtafute yule binti anaye itwa Shani na mukimpata muniambie ni wapi alipo Sawa”
“Hakuna shaka muheshimiwa”
Walinzi hao wakatoka ndani hapo, raisi Mtenzi akaminya kitufe mimoja katika simu yake ya mezani na mawasiliano yakaenda moja kwa moja kwa sekretari wake.


“Niletee wisky yangu”
“Sawa mkuu”
Sekretari akaingia ofisini akiwa ameshika chupa ya wisky aina ya Hennessy pamoja na glasi ngumu na kumuwekea mezani.
“Nikumiminie?”
“Hapana, sihitaji mgeni wa aina yoyote sasa hivi. Sawa”
“Sawa mkuu”
Sekretari taratibu akachuchumaa na kuoko baadhi ya mafaili yaliyo anguka eneo hilo na kuyaweka vizuri mezani hapo na kutoka ofisini. Raisi Mtenzi akamimina wisky hiyo na kuanza kupiga mafumba mfululizo huku akijaribu kusikilizia hasira yake jinsi inavyo uchemsha moyo wake.


Kitu cha kwanza Jery kufanya mara baada ya kuingia ndani kwake, akampigia simu Shani.


“Upo wapi?”
“Nipo nyumbani”
“Nisikilize kwa umakini sana. Vaa baibui lake na uondoke hapo nyumbani kwako na nenda sehemu ambayo haito kuwa rahisi kwa wewe kuonekana”
“Ngoja kwanza Jery, kwa nini nifanye hivyo?”
“Huu sio muda wa kuniuliza maswali ni muda wa wewe kufanya nilivyo kueleza. Nina kuingizia milioni mbili kwenye simu yako hapo nina kuhitaji uondoke sawa?”
“Sawa mume wangu”
“Hakikisha mwanangu ana kuwa salama”
“Ila mume wangu sija kuelewa kwa nini una fanya hivyo”
“Nime mueleza mzee na amekasiri fanya kama nilivyo kueleza”
“Sawa nina fanya hivyo”
Jery akakata simu na kumuingizia Shani milioni mbili na nusu kwenye simu yake.


“Ume ipata?”
Jery alizungumza mara baada ya kumpigia.
“Ndio mume wangu na nimesha jiandaa.”
“Poa ondoka sasa hivi hapo nyumbani”
“Sawa”
Jery akakata simu, akasimama mbele ya kioo kilichopo chumbani hapo na kuangalia jeraha hilo na halikuwa kubwa sana. Akajifuta damu, akafungua kiboksi cha huduma ya kwanza ambacho ndani kina kila aina ya dawa ambayo ina weza kutumika katika kutoa huduma ya kwanza. Akajitibu jeraha hilo kisha akajibandika bandeji. Akabadilisha nguo zake na kuitafuta namba ya Devi ila kabla haja mpigia machale yakamcheza. Akatoka chumbani hapo ila akakutana na walinzi wanne sebleni. Hakuta kuwasemesha chochote zaidi ya kutembea kuelekea mlangoni ila walinzi wawili wakamzui.


“Nini?”
“Huwezi kutoka humu ndani na muheshimiwa raisi ameagiza hivyo”


Mlinzi mmoja alizungumza huku akimkazia macho Jery.
“Ndivyo alivyo waagiza?”
“Ndio”
Jery akarudi chumbani kwake na kujitupa kitandani huku akisubiria majibu kutokwa kwa Shani mwanamke anaye ingia matatizoni kutokana na mimba yake.


***
Shani akajifunga kitambaa cheusi cha baibui hilo na kuyaacha macho yake tu. Akajifunika kitambaa kingine chepesi kinacho muwezesha kuona mbele. Akachukua pochi yake kubwa aliyo weka nguo chache pamoja na vipodiozi pamoja n apes kiasi alizo nazo ndani hapo. Akafunga nyumba yake na kuondoka akasimamisha bajaji moja na kupanda. Kabla bajaji hiyo haijaondoka, gari nne nyeusi ambazo anazitambua vizuri ni gari za ikulu, zikapita pembeni ya bajaji hiyo na kusimama mbele ya geti lake. Hapo ndipo Shani akatambua kwamba mambo yameharibika na walinzi hao wa raisi wamekuja nyumbani kwake kumsaka yeye.
“Kaka tuondoke”
Shani alimuhimiza dereva bajaji huyo na wakaondoka eneo hilo.
“Dada wapi?”
“Wewe twende nita kuambia twende wapi?”
Wakatokemea kwenye mtaa huo pasipo walinzi hao wa raisi kutambua chochote.


“Nyumba yenyewe ndio hii”
Mmoja wao alizungumza huku wakiingia ndani. Kwa bahati mbaya wakakutana na kufuli mlangoni mwa chumba cha Shati.
“Shiti hayupo”
“Nina imani hato kuwa ame toka ndani ya jiji la Dar es Salaam. Tuhakikishe kwamba ana patika mume nielewa”
Mkuu wa kikosi hicho alizungumza kwa msisitizo.
“Sawa mkuu”
Wakaingia kwenye magari yao na kuondoka eneo hilo na kuwaacha baadhi ya majirani wakiwa wana shangaa shangaa pasipo kujua ni kitu gani kinacho endelea.


Shani akaitoa simu yake inayo ita ndani ya pochi na kuitazama na kukuta ni Jery ndio anaye mpigia.
“Vipi?”
“Mume wangu nina ogopa, gari nne za secrety service zime kuja nyumbani kana kwamba sijui wana kuja kumakata muhalifu gani. Hembu niambie mume wangu ni kitu gani kinacho endelea?”
Shani alizungumza kwa wasiwasi mkubwa sana.
“Baba hataki kuuona huo ujauzito wako, hapa alipo amenipiga vibaya sana na hapa nilipo nipo kifungo cha chumbani kwangu. Sasa hakikisha kwamba una kuwa salama wewe na mwanangu. Ume nielewa”
Shani machozi yakaanza kumwagika usoni mwake, kwani jambo kama hili alisha wahi kuliwazia akilini mwake kabla hata hajamkubalia Jery kuzaa naye.


“Kwa hiyo baba ana taka kuniua kisa mimba yangu jamani?”
Shani alizungumza huku akiangua kilio, dereva bajaji akashindwa kuelewa kabisa.
“Ndio, ila nita hakikisha hawezi kufanya hivyo”
“Hawezi kufanya hivyo vipi Jery ikiwa wewe mwenyewe upo mbali na mimi upo kifungoni alafu una niambia kwamba hawezi seriously Jery”
“Nisikilize mimi, hawezi kufanya hivyo. Nina kutumia namba ya mama yangu mmoja hivi ni mama yangu wa hiyari ata kutunza”
“No Jery siwezi kwenda kwa ndugu yangu. Una taka nije nikamatwe na kutolewa mimba yangu si ndio?”
“Sio hivyo”
“Ila?”
Shani aliuliza kwa ukali kidogo kwa maana tayari hofu ya kifo imesha mtawala.


“Nisikilize ukileta ujinga una kufa. Nina mjua baba yangu vizuri sana kama aliweza kumuua kaka yangu wa kwanza una hisi wewe ata kufanya nini?”
Jery alizungumza kwa ukali hadi Shani akaanza kutetemeka kwa maana hakuwahi kuisikia sauti ya ukali ya Jery na ikambidi awe mpole tu kwa maana akifanya ujinga ana kufa kweli.
“Nina kutumia namba ya mama yangu mlenzi. Ata kulea yupo Masaki na nina mpigia hivi sasa sawa”
“Sawa”
Jery akakata simu na meseji ikaingia katika simu ya Shani. Baada ya dakika tano Jery akapiga simu na Shani akapokea.
“Nime zungumza naye na ata kupigia sasa hivi”
“Sawa”
Kitendo cha Jery kukata simu, ikaingia namba ngeni katika simu ya Shani.
“Haloo”
“Nina imani nina zungumza na Shani?”


Sauti ya mwana mama mtu mzima ilisikika.
“Ndio mama”
“Okay upo na usafiri gani mkwe wangu?”
“Bajaji mama”
“Basi mpatie simu”
Shani akampatia dereva bajaji simu na akaanza kuelekezwa ni wapi anapo paswa kumpeleka Shani. Dereva bajaji akamrudishia simu Shani na kuiweka sikioni mwake.
“Nimesha muelekeza, usiwe na hofu ata kuleta hadi kwangu sawa mkwe?”
“Sawa mama, asante sana”
“Usijali”
Kwa ujanja wa dereva huyo wa kupenya penya kwenye foleni. Wakafanikiwa kufika Masaki katika jumba moja kubwa la kifahari. Shani akapiga simu na mwana mama huyo akatoka nje na kumpokea, mwana mama huyo akamlipa dereva bajaji huyo na kabla hajaondoka akampa onyo kali sana la kuto kufungua kinywa chake kwa mtu yoyote kama ame mleta msichana huyo nyumbani kwake na endapo ata fanya hivyo basi ata hakikisha ana msaka na kumuua kwa mikono yake mwenyewe. Dereva bajajai akaondoka huku akiwa na woga mwingi sana kwa maana katika kipindi cha miaka yake mitano ya kazi hiyo hajawahi kukutana na onyo kali kama hilo. Wakaingia ndani na Shani akavua kitambaa cha usoni na kumfanya mwana mama huyo kutabasamu.
“Haki ya Mungu mwanangu amechagua chuma kuliko hata yule mlokole”
Mwana mama huyo alimsimia sana Shani kwa maana ni mzuri wa hasili.


“Hapa nina ishi mimi peke yangu. Nina watoto wawili wa kike, wote wapo nchini Marekani wame olewa huko na Jery alikuwa ni mdogo wao kipindi ana soma Marekani”
“Nashukuru sana mama yangu”
“Nina shanga kwa nini baba yake ana hitaji kukuua ikiwa mjukuu ni kitu cha baraka”
“Sijui ni kwa nini mama”
Shani alijibu huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Pole sana, hapa upo salama, hakuna cha nani wala nani ambaye ana weza kuingia humu ndani. Umenielewa mwanangu”
“Sawa mama”
“Twende nikakuonyeshe chumba chako. Alafu nime sahau kukuambia jina langu. Mimi nina itwa madam Mbwambo au mama Mbwambo”
“Urewedi”(Habari yako)
Shani alisalimia kwa kipare na kumfanya madam Mbwambo kustuka kidogo.
“Sirewedi kaicha we?”(Salama, hujambo?)
“Nchedi”(Sijambo)
“Kumbe na wewe ni mpare”
“Ndio mama”
“Waoo mwanangu ame pata bahati nzuri sana. Wapere sisi ni wazuri wa kila kitu”
Madam Mbwambo alizungumza kwa furaha. Akafungua moja ya chumba kikubwa na kizuri na kumkaribisha Shani ndani.
“Uta kaa hapa hadi pale mume wako atakapo toa maamuzi mengine. Sawa mwanangu”
“Nashukuru sana mama”
Shani akamkumbatia madam Mbwambo na matumaini yake mapya ya kuishi yaka mtawala moyoni mwake na wasiwasi ulio changanyika na woga wote uka muondoka.


***


“Ahaa Julieth mbona ume stuka?”
Nabii Sanga alimuuliza mwanaye huku akimtazama usoni mwake.


“Hakuna kitu baba”
“Au ulisha wahi kumuona huyu kijana?”
“Hapana”
Julieth alijibu kwa kinyonge sana huku akimtazama baba yake.
“George huyu ni binti yangu wa mwisho ana itwa Julieth Sanga. Julieth huyu ni George Sanga na yule ni mke wake ana itwa Leila Sanga”
“Nashukuru kuwafahamu”
Julieth alizungumza huku akijaribu kutengeneza tabasamu usoni mwake, moyo wa Julieth uka jikuta ukijawa na maumivu ya gafla na wivu ambao hakujua hata umesababishwa na nini.
“Hata sisi tuna shukuru kukufahamu. Nina omba tuweze kuondoka kuna sehemu tuna kwenda ila ndani ya siku mbili hizi tuta wasiliana kwa maana nina hitaji kuwasiliana na injinia wangu walipo nchini Marekani, waweze kuunda ramani ya mfumo mzima wa kampuni inavyo paswa kuwa na baada ya hapo nita kuja na mfumo huo kisha tuta jua ni wapi ambapo tuna weza kwenda kuweka makao makuu yetu”
“Sawa sawa George sisi ni wako. Piga simu muda wowote nasi tta kuwa tayari kukupatia msaada”
“Hakuna shaka baba. Acha sisi tuondoke.”
“Dereva wangu ata warudisha hotelini”
“Nashukuru sana”
Nabii Sanga na mke wake wakawasindikiza Evans na Leila nje huku nabii Sanga kwa macho ya kuiba akiangalia msambwanda wa Leila.


‘Haki ya Mungu huyu binti lazima nimle’


Nabii Sanga alijipiza kimoyo moyo. Mrs Sanga naye macho yake ya kuiba iba yapo kwa Evance anaye mtamani hata leo aweze kumpata. Evans na Leila wakaingia ndani ya gari na wakaondoka nyumbani hapo kwa nabii Sanga.


“Baba na mama”
Julieth aliita mara baada ya baba yake na mama yake kuingia ndani sebleni.
“Bee”
Mrs Sanga aliitikia.
“Yule kijana ni mzuri sana, yaani hadi nime stuka”
Nabii Sanga na mke wake wakatazamana huku wakiwa wamejawa na mshangao.


“Yaa pia ni tajiri na ndio ni mmiliki wa kampuni ya Samsung ulimwenguni mwote”
“Weeee?”
“Ndio maana yake.”
“Muna onaje nika vunja ndoa yangu na Jery nika olewa na yeye kwa maana moyo wangu ume tokea kumpenda sana.”
Kauli ya Julieth ika mchukiza sana mrs Sanga kwa maana hata yeye mwenyewe moyo wake umesha kufa na kuoza kwa George(Evans) na hataki kumpoteza na hapo alipo kichwani mwake ana panga mikakati kuhakikisha kwamba ana muondola Leila kwenye nafasi yake na kushika uskani yeye na yupo tayari kumtelekeza nabii Sanga kwa ajili ya furaha ya moyo wake.


****************************************************************************************************************


**


ITAENDELEA


Haya sasa, moyo wa Julieth umesha jikuta una angukia kwa George huku moyo wa mama yake nao na mipango yake yote ikiwa ni kuhakikisha ana mpata George, ita kuwaje pale mvurugiko huo ukiingia kwenye familia ya nabii Sanga ambayo kwa sasa ina balaa lililopo mbele yao? Usikose sehemu ya 206.
 
SIN 206


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Yule kijana ni mzuri sana, yaani hadi nime stuka”
Nabii Sanga na mke wake wakatazamana huku wakiwa wamejawa na mshangao.


“Yaa pia ni tajiri na ndio ni mmiliki wa kampuni ya Samsung ulimwenguni mwote”
“Weeee?”
“Ndio maana yake.”
“Muna onaje nika vunja ndoa yangu na Jery nika olewa na yeye kwa maana moyo wangu ume tokea kumpenda sana.”
Kauli ya Julieth ika mchukiza sana mrs Sanga kwa maana hata yeye mwenyewe moyo wake umesha kufa na kuoza kwa George(Evans) na hataki kumpoteza na hapo alipo kichwani mwake ana panga mikakati kuhakikisha kwamba ana muondola Leila kwenye nafasi yake na kushika uskani yeye na yupo tayari kumtelekeza nabii Sanga kwa ajili ya furaha ya moyo wake.





ENDELEA


“Una wendawazimu nini kichwani mwako wewe?”
Mrs Sanga aliuliza kwa hasira huku akimkazia macho Julieth.
“Nimetania bwana mama. Yaani hadi ume kasirika.”
“Hata kama una tania. Tupo kwenye kipindi kigumu na tuna hitaji kujinasua na wewe una lete masihara”
“Hei mama Jilieth yame kwisha. Hivi sasa ina tubidi kuangalia ni nini tuna fanya, wapi tuna ingia ili kuhakikisha kwamba hili sekeseke lina tupita”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mke wake pamoja na mwenaye. Ukimya wa dakika mbili ukatawala ndani ya seble, huku kila mmoja wao akionekana akitafakari ni kitu gani ana weza kuzungumza.


“Hembu mke wangu kalilete lile faili”
Mrs Sanga akanyanyuka na kuelekea gorofani, baada ya dakika akarudi akiwa na faili alilo kuja nalo Julieth. Nabii Sang akaanza kulisoma taratibu. Ilipo fika kwenye kesi ya mke wake kumuua Tom, akamtazama mkewe kisha akakohoa kidogo.


“Hili swala la Tom mbona hukuniambia?”
Mrs Sanga akastuka kidogo ila akajizuia kuonyesha mstuko wake mbele ya Julieth.
“Yamesha pita hayo mume wangu”
Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya unyonge kwa maana sekeseke la Toms katika nyumba hiyo ilileta mgogoro mkubwa sana.
“Ime kuwaje wajue kila kutu chetu. Ina maana wana tufwatilia kwa kipindi kirefu?”
Nabii Sanga alihoji ila hapakuwa na aliye weza kujibu swali hilo.
“Hili jambo ni gumu sana.”
“Mume wangu muna onaje tukafanya kama wanavyo hitaji wao ili tuepukane na jambo hili”
“Mama, yaani mimi nika muue baba yangu mkwe?”
“Ndio, kwa maana hatuna jinsi”
“Hapana mama, siwezi kufanya hivyo”
“Nina hitaji kukutana na huyo balozi nipatie namba yake”
Julieth kwa haraka akatajia baba yake namba ya balozi huyo na na nabii Sanga akampigia.
“Habari yako Sanga”
Balozi Trump alizungumza kwa sauti ya furaha na kuufanya moyo wa nabii Sanga kuanza kudunda kwa kasi sana.
“Namba yangu ume itoa wapi?”
“Sanga hilo sio swali la kuniuliza mtu mzima kama wewe. Nina imani ume weza kupata ujumbe wangu”
“Ndio, nina hitaji kuonana na wewe”
“Waooo ni maamuzi mazuri. Usiku wa saa nne njoo Serena Hotel. Uta nikuta”
“Nitafanya hivyo”
“Kwa kukumbusha tu. Njoo peke yako kwa maana binti yako niliweza kumpatia nafasi ya kukutana na mimi ila akanijibu majibu ya kejeli”
“Nina kuomba msamehe binti yangu nina imani kwamba alikasiridhwa na jambo kama hilo”
“Nina elewa”
“Nina shukuru sana kwa muda wako”
“Asante Sanga”
Nabii Sanga akakata simu huku akishusha pumzi taratibu.
“Amesemaje?”
Mrs Sanga aliuliza kwa shahuku kubwa sana.
“Ana hitaji kuonana na mimi saa nne usiku. Serena”
“Ila hao watu kwa nini wana cheza na akili zetu?”


Mrs Sanga aliuliza kwa hasira.
“Usijali mke wangu, nita dilia na hili jambo. Julieth mpigie simu mume wako muambie leo utalala hapa nyumbani. Ukirudi ikulu na hiyo hali yako nina uhakika wa asilimia mia moja wata kustukia”
“Sawa baba”
Nabii Sanga akanyanyuka na kuondoka sebleni hapo na kuelekea chumbani kwake. Mke wake naye akamfwata kwa nyuma. Julieth akaitafuta namba ya Jery na akampigia simu.
“Nini”
Sauti ya Jery na jinsi alivyo anza mazungumzo hayo ikamtisha sana Julieth na akahisi labla tayari mambo yamesha julikana.
“Baby mbona una zungumza kwa hasira hivyo?”
Julieth akasikia jinsi mume wake anavyo hema kwa nguvu na dhahiri ana onekana hayupo sawa.
“Sipo poa niache tuzungumze baadae”
“Sawa mume wangu. Ila nina omba nilale kwa baba”
“Hakuna shaka lala”
“Asante”
Julieth akakata simu huku akitafakari majubu ya Jery yaliyo jaa hasira ndani yake. Moyo wake hakuweza kupata amani kabisa. Akatafakari ni mtu gani amabaye ame zoeana na Jery. Akampigia mlinzi wa Jery simu yake ila kwa bahati mbaya akakuta simu hiyo haipatikani hewani.
“Mmmmm!!”


Julieth aliguna huku akiwa na mshangao. Akapiga tena kwa mara mbili za mwisho ila mlinzi huyo hakuweza kupatikana hewani. Hapo ndipo machale yakaanza kumcheza kichwani mwake. Akaitafuta namba ya baba yake mkwe, akaitazama kwa sekunde ishirini kisha akaipiga. Simu ya raisi Mtenzi ikaanza kuita kisha ikapokelewa.
“Sekretari wa raisi hapa nina zungumza”
“Mzee yupo wapi. Mimi ni Julieth”
“Ohoo samahani madam, kuna matatizo kidogo yame tokea hapa ikulu”
“Matatizo!!?”
Julieth aliuliza kwa mshangao huku kasi ya mapigo yake ya moyo ikizidi kumuenda kasi.


“Ndio, muheshimiwa na mume wako waliweza kugombana ofisini”
“Wa….wa…me…gomb…ana?”


Magreth alishikwa na kigugumizi kilicho mshinda kabisa kuzungumza vizuri.
“Ndio”


“Chanzo cha ugomvi ni nini?”
“Sifahamu ila kwa sasa muheshimiwa ana hasira sana na haitaji kuzungumza na mtu yoyote”
Julieth akashusha pumzi nyingi sana huku akiamini kwamba ugomvi huo hausihani kabisa na maswala ya usaliti wa familia yake.
“Sawa nita wasiliana nao baadae”
“Hakuna shaka”
Julieth akata simu, taratibu akajilaza kwenye sofa hilo huku akilini mwake akijaribu kutafakari ni kwa namna gani yeye na familia yake wana weza kutoka kwenye janga lililopo mbele yao.


“Uta kwenda kuzungumza nao nini mume wangu?”
Mrs Sanga aliuliza kwa sauti ya upole huku akimtazama mume wake aliye kaa kwenye moja ya sofa huku amejiinamia chini.
“Hata sijui mke wangu.”


“Una onaje hili jambo uka zungumza na mkuu wako na akakusaidia katika hili”
“Una jua nini mke wangu”
“Ehee?”
“Mkuu wangu aliniambai kwamba endapo nina hitaji hadhina yote ile. Ita nibidi kumuua baba Jery. Huku napo hawa Wamarekani nao wana hitaji baba Jery auliwe. Yaani nashindwa hata kuelewa kwa nini haya mambo yana ingiliana. Huyu mzee ana kitu gani ambacho kina wafanya watu watamani kuona uhai wake una toweka”
“Mmmm hapo kuna mtihani mume wangu”
“Yaani ndio hivyo. Kuna mtihani mkubwa sana na laiti hawa Wamarekani wangekuwa hawajui chochote haki ya Mungu tunge hama hii nchi ila ubaya ni kwamba, popote tutakapo kwenda, wao ni lazima wata fahamu tu kwa maana nina imani sasa hivi macho yao na nguvu kazi yao yote juu ya haya mambo wameiweka kwetu”
“EheeMungu atusaidie kwa maana hizi siri zikivuja tu. Basi kila kitu kina kwenda chini”
“Ndio hivyo mke wangu”
Nabii Sanga alizungumza kwa unyonge sana, kwani hadi sasa hajui nini afanye.


***


“Baby kuna jambo lina endelea katika ile familia”
Leila alizungumza mara baada ya kufika hotelini anapo ishi Evans.
“Jambo gani?”
“Sijajua ila inaonyesha kuna siria mbayo ina watafuna sana wale watu. Unajua katika ule muda ambao nilikuwa nime kaa pale ndani, nabii Sanga alipigiwa simu na sijui yule mbinti wake na akatimua mbioo. Baada ya muda nabii Sanga akarudi huku akionekana kuwa na wasiwasi mwingi sana. Yaani furaha ilimuisha kabisa usoni mwake yeye na mke wake.”
Leila alizungumza na kumfanya Evans kukaa kimya na kumsikiliza Leila kwa umakini mkubwa sana.


“Kitu kilicho nifanya nijuwe kuna hali ya utofauti pale ndani.Ni vile binti yao alivyo kuja akiwa mnyonge na mkoni mwake alikuwa ameshika faili jeusi na lina maandishi yaliyo andikwa TOP SECRETY. Alikuwa ana onekana kama mtu aliyekata tamaa ya jambo fulani ambalo sifahamu ni jambo gani”
“Ngoja kwanza ume sem ni faili jeusi na lime andikwa Top secret?”
“Ndio baby”
“Ina bidi hilo faili nilipate na itabidi usiku wa leo niweze kurudi nyumbani kwa nabii Sanga ila kwa njia ya wizi na sio njia yakuheshimika kama hii”
“Mume wangu endapo ita kamatwa ita kuaje?”
“Siwezi kukamatwa kwa maana endapo nita lipata faili hilo basi tuta weza kupata kile tunacho kihitaji kwa nabii Sanga kwa njia rahisi kulipo hii plan tuliyo ipanga. Ume nielewa mke wangu”
Leila akatabasamu kwa maana akili yake kwa sasa ni kuwa tajiri na kuwa na maisha bora kuliko rafiki yake Caro ambaye kumpata nabii Sanga kumempandisha sana kimaisha kiasi cha kumuonea wivu.


***


“Muite Josephine”
Raisi Mtenzi alimuambia mlinzi wake mmoja na akatoka ofisini hapo. Baada ya dakika tano akarudi akiwa ameongozana na Josephine. Uso wa hasira alio nao raisi Mtenzi kwa namna moja ama nyingine una ashiria kwamba hali ya hewa sio nzuri ndani hapo.
“Tupisheni”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo na walinzi wake hao wawili wakatoka ndani hapo kwa maana waa muamini Josephine.
“Muheshimiwa vipi mbona una hasira kiasi hicho?”
“Kuna binti mmoja amechafua familia yangu. Ana hitaji kuvunja ndoa ya mwanangu. Mimi kama baba sitaki kuingia na aibu za kujinga namba hiyo. Ndoa haina hata mwaka alafu ina vunjika kwa mjinga mmoja tena alikuwa ni mfagiaji hapa ikulu”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa hasira huku akipiga piga mezani na kumfanya Josephine kujawa na wasiwasi kwani toka aanze kumfahamu raisi Mtenzi hajawahi kumuona akiwa katika hali kama hiyo.
“Ahaa samahani muheshimiwa. Huyu binti ana hitaji kuvunja ndoa ya nani?”
“Ndoa ya Jery na isitoshe ame mbebea mimba. Sasa ninacho kihitaji sasa hivi, Sali na utambue ni location gani ambayo huyo msichana yupo kwa maana nime tuma vijana kwenda kumtafuta wana nipa ripoti za kijinga kwamba hawajamuona”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa kufoka sana kiasi cha kumfanya Josephine kuanza kutetemeka mwili mzima.


“Sasa hivi sali”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa ukali na kumfanya Josephine kufumba macho yake pasipo kupenda. Josephien akaanza kusali na kuonyesha eneo alipo msichana huyo, akaonyeshwa jinsi na namna binti huyo atakavyo chomwa visu vingi vya tumbo na raisi Mtenzi na kabla ya kufa kwake ana pigwa na mijeledi akiwa uchi kabisa.
‘Ehee Mungu ni kwa nini raisi ana kuwa katili kiasi hicho na ana muua msichana asiye na hatia?’


Josephine aliumuuliza Mungu kimoyo moyo huku machozi yakimwagika usoni mwake. Josephine akaanza kuonyeshwa jinsi raisi Mtenzi alivyo kuwa akimtongoza Shani ambaye alionyesha kuwa na msimamo wake. Akaonyeshwa jinsi raisi Mtenzi alivyo muua mpenzi wa Shani kisa wivu wa mapenzi. Kifo cha kijana huyo kilikuwa ni cha ajali ya kugongwa na lori huku akiwa yeye ndio bodaboda.


‘Ehee Mungu kwa nini una nionyesha haya yote sasa hivi. Kumbe huyu mtu ni mbaya kiasi hichi’


Josephine aliendelea kuzungumza kimoyo moyo huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi sana. Mtukio ya raisi Mtenzi kwa Shani yakaendelea kupita kwenye macho ya Josephine mithili ya mkanda wa tv. Akaonyeshwa siku moja ambayo mke wa raisi Mtenzi alipo kuwa ame safiri nje ya mkoa wa Dar es Salaama. Akaonyeshwa jinsi raisi Mtenzi alivyo fanya jaribio la kumbaka Shani kwa nguvu, ila jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba Shani aliweza kumzidi nguvu.


‘Ukitoa siri hii nita kuua sasa ole wako ujaribu kutoka nje ya hii ikulu’


Raisi Mtenzi alilalama mara baada ya kupigwa teke la siri na Shani na akakimbilia chumbani kwake na kujifungia kwa ndani. Moyo wa Josephine ukazidi kuumia kuona matukio ya kiongozi huyo ambaye hapo awali alimuamini kupita maelezo. Tukio lililo mfanya Josephine atamani kuzimia ni pale alipo onyeshwa jinsi raisi Mtenzi alivyo mshikia bastola Shani na kumlazimisha kumnyosha uume wake hadi aka mkolea binti wa watu mdomoni na kumfanya atapike sana na kulia kilio cha uchungu sana huku hofu ya kufa ikiwa ime mtawala sana Shani.


Taratibu Josephine akayafumbua macho yake huku machozi yakimbubujika. Akamtazama raisi Mtenzi aliye kunja sura yake huku akisubiria kujua ni wapi alipo Shani.


“Umeonyeshwa yupo wapi?”
“Sija onyeshwa muheshimiwa”
Josephine alijibu kwa kujikaza.
“Nini?”
“Sijaonyeshwa muheshimiwa. Mungu amenionyesha mambo mengine tofauti na hayo”
“Mambo gani na kwa nini un alia?”
“Amenionyesha chanzo cha ajali ya wazazi wangu. Nina kuomba sana muheshimiwa unipatie muda nitakapo fahamu ni wapi alipo tu nita kuambia”
“Sawa fanya hivyo. Umenenielewa?”
“Ndio”


Josephine akasimama huku akitazama glasi yenye wisky iliyopo pembeni mwa raisi Mtenzi. Josephine akatoka ofisini hapo huku akijipangusa machozi yake na kumfanya sekretari kumshangaa huku akitamani kumsemesha ila akachelewa kwani tayari Josephine alisha funga mlango wa ofisi ya sekretari na kutoka. Josephine akatoa simu yake katika mfuko wa koti la suti alilo vaa na akampigia Magreth.
“Mage upo wapi?”
“Ahaa nipo nyumbani nina pika”
“Nina kuja”
“Upo sawa?”
“Sipo sawa nina kuja”
“Sawa”


Josephine moja kwa moja akatoka nje. Dereva wake akamfungulia mlango akaingia na mlinzi mwengine na wakaondoka eneo la ikulu.
“Madam wapi tuna kwenda”
“Nyumbani”
“Sawa”
Josephine njia nzima machozi yakazidi kumwagika. Kila akijaribu kuikumbuka sura ya raisi Mtenzi alivyo kuwa ana shirikiana naye bega kwa bega katika kumsaidia katika kumshauri mambo mazuri ya kuiongoza nchi, kumbe ni chui tena mkali na mwenye hasira kali sana. Wakafika getini na Josespine akashuka.
“Madam tukusubirie”
“Hapana muna weza kurudi ikulu”
“Sawa”
Magreth akafungua geti na Josephine akaingia ndani. Akapitiliza moja kwa moja hadi sebleni na kujibwaga kwenye moja ya sofa huku machozi yakimwagika. Magreth akaingia huku akimshangaa rafiki yake.
“Jose kwa nini una lia?”
“Huyu raisi haki ya Mungu ni mnyama ni katili na hafai kabisa kuwa kiongozi wa nchi kama hii. Ndio maana nchi ina shambuliwa na watu wa kujinga jinga na watu wana kufa kwa ajili ya ushetani wake”
Magreth macho yakamtoka huku akimtazama Josephine ambaye ana onekana kuvurugwa.
“Sikuelewi rafiki yangu. Hembu niambie ni nini ambacho kime kupata na kwa nini una mshutumu raisi kwa nana hiyo?”
Josephine akaanza kumuhadithia Magreth kuanzia mwanzo aliyo onyeshwa hadi mwisho. Magreth akajikuta akishika mdomo wake kwa mshangao sana, kwani hayo anayo yasikia haamini kama kweli raisi Mtenzi ambaye walimpigania maisha yake asiuwawe hadi akawa hai ndio ana weza kufanya mambo mabaya kama hayo.
****************************************************************************************************************


****


ITAENDELEA


Haya sasa, Josephine ameweza kujua siri ya raisi Mtenzi ambayo hakuna mtu aliye weza kuifahamu zaidi ya Shani peke yake. Josephine amekasirishwa na vitendo vya raisi Mtenzi je nini atafanya, je ata msaidia Shani ambaye ana endelea kutafutwa na ame onyeshwa kwamba ata uwawa kwa kukitwa visu tumboni na raisi Mtenzi? Usikose sehemu ya 207.
 
SIN 207


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Jose kwa nini una lia?”
“Huyu raisi haki ya Mungu ni mnyama ni katili na hafai kabisa kuwa kiongozi wa nchi kama hii. Ndio maana nchi ina shambuliwa na watu wa kujinga jinga na watu wana kufa kwa ajili ya ushetani wake”
Magreth macho yakamtoka huku akimtazama Josephine ambaye ana onekana kuvurugwa.
“Sikuelewi rafiki yangu. Hembu niambie ni nini ambacho kime kupata na kwa nini una mshutumu raisi kwa nana hiyo?”
Josephine akaanza kumuhadithia Magreth kuanzia mwanzo aliyo onyeshwa hadi mwisho. Magreth akajikuta akishika mdomo wake kwa mshangao sana, kwani hayo anayo yasikia haamini kama kweli raisi Mtenzi ambaye walimpigania maisha yake asiuwawe hadi akawa hai ndio ana weza kufanya mambo mabaya kama hayo.


ENDELEA


“Ohooo Mungu wangu. Hayo ndio uliyo kweli Josephine?”
Magreth aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.
“Sijawahi kukosea kwenye maono yangu Mage na kila nilicho kuambia ni kitu cha kweli. Huyu mzee ana roho mbaya ni katili.”
Josephine alizungumza huku akiwa amejawa na huzuni kubwa sana.
“Sasa una shauri tufanye nini?”
“Sijui Mage ila binti wa watu ana kwenda kufa kifo kibaya sana. Ohoo Mungu msaidiwe katika hili kwa maana hana makosa”
Josephine alizungumza kwa unyonge hadi Magreth akamuonea huruma sana.


“Una hitaji tumsaidie kwa kumuokoa?”
“Ikiwezekana Mage”
“Okay una namba ya Jery?”
“Hapana”
“Ngoja”
Magreth akampigia simu Samnson.
“Dogo ni mimi, una namba ya Jery?”
“Jery gani sister?”
“Kwani hapo ikulu una kuna Jery wangapi?”
“Wapo watatu, wawili ni walinzi wa raisi na mmoja ni mtoto wa raisi”
“Okaya nahitaji namba ya Jery Mtenzi”
“Mmmm okay dakika moja”
“Poa”
Magreth akakata simu, haikuisha dakika moja ujumbe wa meseji kutoka kwa Samson ukaingia kwenye simu yake. Akaifungua na kuikremisha kichwani namba hiyo.
“Nina namba ya Jery je tuta anza vipi kumshawishi juu ya jambo hili?”
Josephine akaka kimya kwa dakika mbili kisha akamtazama Magreth.
“Mpigie alafu nizungumze naye mimi”
Magreth akafanya hivyo. Simu ya Jery ikapokelewa na Magreth akampatia Josephine simu hiyo.
“Jery ni mimi”
“Wewe nani?”
“Josephine”
“Kama ni huyo jini ndio amekutuma basi achana na mimi”
“Hapana Jery nisikilize kwa umakini. Nina amini kwamba una fahamu kuwa nina maono ya kuweza kuoa mambo yajayo si ndio?”
“Nisikilize. Mimi siamini katika upuuzi kama huo. Sipo vizuri niache”
Jery alizungumza kwa ukali na dhaihiri ana hasira kali sana ambayo ime mjaa moyoni mwake.
“Jery Shani ana kwenda kuuwawa”
Ilimbidi Josephine kuwahi kuzungumza kabla ya Jery hajakata simu.
“Nini?”
“Shani ana kwenda kuuwawa kwa kuchomwa visu tumboni mwake. Yote ni kutokana na mimba yako. Hivyo kama una hitaji kumuokoa Shani na akuzalie mwanao ina kubidi unisikilize kwa umakini sana”
Jery akashusha pumzi nyingi hadi zikasikika upande wa pili wa simu. Josephine akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku macho yake akiwa ameyafumba. Akaanza kuonyeshwa jinsi raisi Mtenzi anavyo toa maagizo kwa mmoja wa vijana wa IT. Kudukua mazungumzo kila aina ya simu na jumbe za meseji zinazo ingia katika simu ya Jery.


“Nitakupigia Jery.”
Magreth akakata simu na kwa haraka akaifunga(block) namba ya Jery katika simu ya Magreth.
“Vipi mbona una katisha mazungumzo”
“Mungu wangu wana hack simu ya Jery. Hivyo hatuto weza kuzungumza naye kwa sasa”
“Ohoo sasa inakuwaje?”
“Ngoja”


Josephine akampigia simu Samson.
“Sam ni mimi”
“Niambie dada ake”
“Sikia upo sehemu nzuri ambayo tuna weza kuzungumza?”
“Ahaa ngoja dakika moja usikate”
“Sawa”
Baada ya dakika moja Sauti ya Samson ika sikika.
“Niambie”
“Simu ya Jery kuna mtu ana hack kila kitu kinacho ingia. Yupo hapo ndani ya ikulu na amepatiwa maagizo na raisi Mtenzi. Je una wezza kulizuia hilo lisifanyike”
“Duuu sister una juaa kama ni ishu ya mkulu, ina kuwa ni jambo jengine hilo au una hitaji niwe kibarua changu kiote nyasi nini?”
“Hapana Samson ila msaada wako huo uta saidia kuokoa maisha ya mama na mtoto ambao hawana hatia”
“Ngoja kwanza. Umesema nita okoa maisha ya mama na mtoto?”
“Ndio”
“Yupi?”
Magreth akaka kimya kwa sekudne kumi kisha akendelea kuzungumza.


“Sam. Jery amempachika dada mmoja mimba hapo ikuku ana itwa Shani, una mfahamu?”
“Yes yes kipindi nilipo kuwa nina ishi Kimara alikuwa ni jirani yangu”
“Okay sasa kama alikuwa ni jirani yako, basi tambua ana ujauzito wa Jery na hadi sasa hivi ana tafutwa na muheshimiwa na akipatikana basi ata uwawa kwa kuchomwa visu. Hayo ndio maono yangu niliyo yaona. Hivyo sisi watu watatu tuna weza kusaidia binti wa watu akawa hai pamoja na mwanaye tumboni”
”Duu ndio maana nsielewi elewi ndani ya ikulu, nina ona magari yana toka, mlinzi wa Jery amekamatwa. Kumbe sababu ndio hiyo?”
“Yes hembu nina kuomba sana mdogo wangu unisaidie. Tafadhali”
“Mmm nime bakisha nusu saa kabla ya kutoka hapa ikulu. So hii kazi nita kuja kuifanyia kwenu. Endapo nita ifanya humu ndani, ita kuwa ni rahisi sana kukamatwa. Umenielewa dada yangu”
“Nime kuelewa, nita shukuru sana”
“Poa badae”
“Poa”
Josephine akakata simu huku akijaribu kutafakari.
“Hapa ina bidi huyo msichana asiweze kutuma meseji kwa Jery kw amaana akituma tu kila kitu kitakuwa kime kwisha”
Magreth alizungumza kwa sauti ya upole huku akimuwazia Shani binti ambaye hajawahi kumuona ila endapo Shani ata fanya kosa tu la kutuma meseji kwenye namba ya Jery basi itakuwa ni rahisi kwa kijana wa IT kuweza kufahamu ni wapi meseji hiyo imetokea na itakuwa ni jambo rahisi sana kwa wao kumkamata Shani.


***


“Muheshimiwa raisi, kazi tayari”
Kijana aliye pewa jukumu la kuhack simu ya Jery alizungumza huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake.


“Una weza kuangalia rekodi za simu zilizo ingia na meseji za nyuma?”
“Hapanamuheshimiwa. Ila tunacho weza kukipata ni kuanzia sasa hivi, simu na meseji zote zitakazo ingia kwenye simu yake tuta zipata”
“Sasa uta kaa hapa ofisini, kila aina ya simu itakapo pigwa, kuingia hakikisha una nifahamisha”
“Sawa mkuu”
Raisi Mtenzi akanyanyua simu na kumpigia mlinzi wake mkuu.
“Ndio muheshimiwa”
“Hamjampata huyo msichana?”
“Ndio mkuu”
“Hakikisha hii siku haiishi uwe ume mpata huyo binti. Tume elewana?”
“Ndio mkuu”
Raisi Mtenzi akakata simu na kumpigia Josephine. Simu ya Josephine ikapokelewa.
“Njoo ofisni sasa hivi”
“Ahaa….samahani muheshimiwa. Ili nibidi niweze kurudi nyumbani ili kusali sana kwa ajili ya kujua ni wapi msichana huyo ni wapi alipo”
“Ehee Mungu wako amekuonyesha nini?”
Josephine akastuka sana kusikia kauli ya kuambiwa Mungu wako kwa maana Mungu ni wa watu wote.


“Bado nina endelea kumuomba muheshimiwa raisi na kila nitakacho kipata nita kuambia”
“Hakikisha hii siku haiishi huyo Mungu wako awe amesha kujibu?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa hasira kiasi.
“Sawa muheshimiwa”
Raisi Mtenzi akakata simu huku macho yakimtoka.


‘Jery nime kuzaa mwenyewe, alafu una chukua utamu wangu, utamu ambao nime uleta mimi mwenyewe hapa ikulu’


Raisi Jery alijisema kimoyo moyo huku akihisi maumivu makali sana ya moyo wake kwa maana kila anapo kumbuka ni wapi alipo mtoa Shani moyo wake una zidi kujawa na chuki na hasira ya kutamani kuua


Jery akaitazama simu yake, akatamani kumpigia Shani, ila roho yake ikasita. Akafungua begi lake la kusafiria na kutoa simu yake ambayo haitumii na katika simu hiyo kuna laini ambayo ina uwezo wa kutimika dunia nzima kwa kupiga simu na kupokea simu na uzuri wa laini hiyo ina someka kwa namba za Kimarekenia. Laini kama hizo ni watu wachache sana duniani ambao wanazo. Sifa nyingine ya laini hiyo ni kwamba hakuna mtu ambaye ana weza kurekodi au kuyanasa mazungumzo yanayo fanywa na laini hiyo. Jery akaiwasha simu hiyo, akajifikiria kwa sekunde kadhaa kisha akaandika namba iliyo mpigia.
“Haloo”
“Josephine si ndio”
“Hapana mimi ni Mage ila zungumza na Josephine”
“Nipatie simu niongee naye”
Magreth akampatia simu Josphine.


“Haaloo Jose nina zungumza”
“Okay musishangae nimewapigia kwa nambaya Marekani ingali nipo nchini Tanzania.”
“Usijali hii laini ipo salama kwa ajili ya Mazungumzo?”
“Ndio”
“Ila kabla ya kufanya kuendelea kuzungumza nina kuomba umpigie kwanza Shani kisha umueleze asikutumie meseji kwenye ile namba yako ya kawaida kwa maana hadi nianvyo zungumza sasa hivi imesha kuwa hacked na endapo ata kupigia meseji au kukupigia basi tambua baba yako atafahamu ni wapi alipo”
“Sawa”
Jery akakata simu na kumpigia Shani na kumueleza kwamba asimpige wala kustuma meseji kwenye namba yake kisiha akakata simu na kumpigia Magreth.
“Ehee niambie ume onyeshwa nini?”
“Baba yako ana hitaji kumua Shani na ana mtafuta si ndio?”
“Ndio”
“Sasa tuna hitaji kumsaidia mwanamke wako. Hapo alipo la sivyo baba yako ata mkamata kabla ya hii siku kuisha na endapo ata mkamata basi ata muua kwa kumchoma choma visu. Hivyo uta mpoteza yeye na mwanao”
Jery akastuka kiasi,
“So muambie yule mama wa Kipare amabaye uma mkabidhi mkeo wako aweze kutukabidhi ili sisi tumlinde hadi atakapo jifungua”
“Josephine hayo yote ume yajuaje kama nime mkabidhi kwa mama wa kipare?”
“Nime jua kwa sababu nime kuambia nina uwezo wa kuona maono ya mambo yajayo na hapa ninavyo zungumza ni kwamba baba yako ana subiria niweze kumpatia haya maono ambayo wew enina kuambia sasa hivi. Ila nimeshindwa kumuambia kwa maana mimi ni mwanamke ambaye kesho na kesho kuta nita pata ujauzito na nikiwa kama mama nita hakikisha kwamba nina mlinda mwanangu kwa kila aina ya uwezo kuhakikisha kwamba ana kuwa salama.”
“Sawa kabla sijakupatia hayo yote niambie ni kwa nini baba yangu ana mchukia sana Shani na kufikia hatua ya kutumia madaraka yake vibaya kwa kuhitaji kumdhuru?”
Josephine akashusha pumzi nyingi na kuanza kuzifikiria dhambi alizo zitenda raisi Mtenzi kwa Shani.
“Haloo”
“Nina kusikiliza, niambie ni kwa nini baba ana hitaji kumuua Shani ikiwa ame baba damu ya hii familia yangu”
“Jery”
“Naam”
“Ninacho kwenda kukuambia ni kitu cha kweli na kama utakuwa hukiamini muulize Shani ata kudhibitishia kila jambo”
“Niambie”
Josephine akaanza kumsimulia Jery kuanzi siku ya kwanza ambayo Shani alikutana na raisi Mtenzi, akamuelezea jinsi raisi Mtenzi alivyo panga ajali ya kumdhuru mpenzi wa Shani hadi akafariki, Shani akamueleza kila kitu Jery na hakumficha kitu hata kimoja. Hadi anamaliza kuzungumza mashavu ya Jery yamejawa na machozi ya uchungu pamoja na hasira kali sana.


“Kama huniamini, muulize Shani hayo mambo”
“Poa”
Jery akakata simu, akampigia Shani simu na kuanza kumuhoji jambo moja baada ya jengine hadi Shani akajukuta akishangaa kwani baadhi ya mambo yalitokea wakiwa yeye na raisi Mtenzi. Kila alicho ulizwa Shani akakiri kwmaba ni ukweli kitendo kilicho mfanya Jery kujawa na nguvu za ajabu. Ujasiri ukamuingia ndani yake. Akatoka chumabi kwake na walinzi walipo.


“Samahani muheshimiwa hupaswi kutoka”
Mlinzi mmoja alizungumza huku akimshika Jery mkono wa kushoto. Macho makali ya Jery yakamfanya mlinzi huyo kuutoa mkono wake.


“Kama kuna mtu ana hitaji damu yake kumwagika humu ndani, athubutu kunishika huu mkono. Nina kwenda ofisini kwa baba yangu kama hamuamini ongozaneni nami, ila kama hamuamini, nita mvunja mmoja baada ya mwengine viongo vyenu. Tumeelewana”
Walinzi wakatazamana kwa maana Jery amezungumza kwa sauti nzito na iliyo jaa kumaanisha. Walinzi wakampisha na kutoka naye ndani hapo. Wakafika ofisi ya raisi mtenzi na walinzi wawili walio simama mlangoni wakafunguamlango na wakaingia ndani hapo na Jery. Raisi Mtenzi akasimama huku akimtazama Jery kwa macho yaliyo jaa hasira. Jery akamtazama kijana aliyopo ndani hapo, kisha akawatazama walinzi hao waliomo ndani hapo.


“Mpango wako wa kumuua Shani sinto ushangaa kwa maana ulimuua kaka yangu wa tumbo moja kisa ni jambazi. Mikono yako iliyo jaa damu na laaana sidhani ni kwa nini hadi leo hii una endelea kukalia hicho kiti cha uraisi.”
Jery alizungumza kwa kujiamini huku akiwa amejianda akwa kila jambo. Raisi Mtenzi akamtazama kijana wa IT pamoja na walinzi wawili kwa maana kuna baadhi ya siri hususani za kumuua mwanaye hapendi watu kuzifahamu. Akatoa ishara kwa kijana huyo kutoka na wakabaki walinzi.
“Haitoshi uliamua kumuua mpenzi wa Shani ili kukizi matamanio yako ya kingono, alafu unakuja kuniambia kwamba ohoo sijui sijawahi kutoka nje ya ndoa. Yaani nyinyi ndio wazazi wapumbavu ambao muna waambia watoto wenu kwamba mulikuwa muna faulu darasani kumbe vichwani ni mabuyu. Ulimshikia Shani bastola ili akunyonye mbo** yako kwani mama yangu alikuwa akutoshelezi eheee?”
Jery alizidi kuzungumza kwa hasiri na kumfanya raisi Mtenzi ahisi kifua chake kina banjika kwa hasira kali. Macho ya walinzi ikawa ni kutazama jinsi vita hiyo ya baba na mwana inavyo kwenda. Raisi akaingiza mkono wake chini ya meza na kuchoma bastola yake ya dharura, kitendo cha kuikoki tu, Jery akakunjua teke moja kali liliyo ipiga mikono ya baba yake na bastola hiyo ikaangukia pembeni. Walinzi wakamsogelea Jery ili wamzuie wasimshambulie raisi kwa maana jukumu lao ni kumlinda raisi. Ila kwa kasi ya ajabu Jery akawashambulia walinzi wote wawili na ndani ya dakika moja walinzi wote wakazimia jambo lililo mfanya raisi Mtenzi kutokwa na macho ya mshangao kwa maana siku zote anatambua kwamba Jery hajimudu kwenye maswala ya kupigana na alimchukulia ni mtoto wa mama.


**


ITAENDELEA


Haya sasa, Jery ameanza kumuonyesha baba yake uwezo wake, ame mueleza siri za ndani ambazo raisi Mtenzi aliamini kwamba hakuna hata mmoja ambaye ana weza kuzisiia. Je ni nini kita endelea kati ya baba na mtoto? Usikose sehemu ya 208.
 
SIN 208


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Haitoshi uliamua kumuua mpenzi wa Shani ili kukizi matamanio yako ya kingono, alafu unakuja kuniambia kwamba ohoo sijui sijawahi kutoka nje ya ndoa. Yaani nyinyi ndio wazazi wapumbavu ambao muna waambia watoto wenu kwamba mulikuwa muna faulu darasani kumbe vichwani ni mabuyu. Ulimshikia Shani bastola ili akunyonye mbo** yako kwani mama yangu alikuwa akutoshelezi eheee?”
Jery alizidi kuzungumza kwa hasiri na kumfanya raisi Mtenzi ahisi kifua chake kina banjika kwa hasira kali. Macho ya walinzi ikawa ni kutazama jinsi vita hiyo ya baba na mwana inavyo kwenda. Raisi Jery akaingiza mkono wake chini ya meza na kuchoma bastola yake ya dharura, kitendo cha kuikoki tu, Jery akakunjua teke moja kali liliyo ipiga mikono ya baba yake na bastola hiyo ikaangukia pembeni. Walinzi wakamsogelea Jery ili wamzuie wasimshambulie raisi kwa maana jukumu lao ni kumlinda raisi. Ila kwa kasi ya ajabu Jery akawashambulia walinzi wote wawili na ndani ya dakika moja walinzi wote wakazimia jambo lililo mfanya raisi Mtenzi kutokwa na macho ya mshangao kwa maana siku zote anatambua kwamba Jery hajimudu kwenye maswala ya kupigana na alimchukulia ni mtoto wa mama.





ENDELEA


“Usinifikishe sehemu ambayo sihitaji kufika mzee. Endapo uta dhubutu kumgusa Shani na kuirudhu mimba yake iliyopo tumboni mwake. Nina kuapia kwa Mungu wangu, nita toa siri zako zote kwa waandishi wa habari alafu uta ona kama wale walio kuwa wana kuamini na kukusudia kama wata endelea kufanya hivyo”
Jeru alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama raisi Mtenzi ambaye bado yupo na mshangao mkubwa kwani hadi sasa haamini kama huyo anaye ongea mbele yake ni Jery. Jery akatoka ndani hapo na moja kw amoja akaeleka chumbani kwake huku akiongozana na walinzi wake. Taratibu raisi Mtenzi akaka kwenye kiti chake huku akiwatazama walinzi wake wanao nyanyuka taratibu.


“Muheshimiwa upo salama”
Mlinzi mmoja alizungumza huku akiwa na maumivu makali sana.
“Kapumzikeni niacheni peke yangu”
“Muheshimiwa”
“Nimesema kapumzikeni”
Raisi Mtenzi ikambidi kuzungumza kwa ukali na walinzi wake hao wakaondoka huku kila mmoja akiwa na wasiwasi wa kazi yake kwa maana wameshindwa kumzuia Jery.


‘Ameyajulia wapi huyu chizi?’


Raisi Mtenzi aliwaza akilini mwake na kushindwa kupata jibu la moja kwa moja kwa moja kwamba ni nani ambaye amatoa siri ya yeye kumua kijana ambaye alikuwa ni mpenzi wa Shani.


***


Majira ya nne usiku nabii Sanga akafika katika hoteli ya Serena. Akashuka kwenye gari lake na kutembea hadia mapokezi. Kabla hajaitoa simu yake mfukoni kumpigia balozi Trump simu yake ikaanza kuita, akaitoa kwa haraka mfukoni na kukuta ni namba ya balozi Trump.


“Nakuona umefika”
Sauti ya kike ilisikika vizuri katika sikio la nabii Sanga. Akatazama moja ya kamera iliyopo eneo hilo la mapokezi.
“Ndio”
“Walinzi wangu wata kuja kukufwata hapo. Wamevaa suti nyeusi”
“Sawa”
Simu ikakatwa, hazikuisha hata dakika mbili walinzi wawili wakafika mbele ya nabii Sanga. Wakampa ishara ya kumfwata. Kabla ya kuingia kwenye lifti waka mkagua na kumkuta hana silaha yoyote. Wakaingia ndani ya lifti na kuelekea juu. Mlango ukafunguna na wakatoka katika lifti hiyo. Nabii Sanga akawatazama walinzi walipo katika kordo hiyo. Wakaingia katika chumba cha balozi Trump.
“Karibu nabii Sanga ni furaha yangu sana kukutana na wewe”
Balozi Trump alizungumza huku usoni mwake akiwa amejawa na tabasamu pana sana.


“Nina shukuru”
“Una weza kukaa”
Taratibu nabii Sanga akaka kwenye moja ya kiti huku macho yake yakimtazama mwana mama huyo ambaye ana urembo fulani ambao una mvutia kila mwanaume. Balozi Trump akawapa ishara walinzi wake kutoka ndani happ na akabaki na nabii Sanga peke yake.
“Leo nilikuwa na binti yako ila nina ona hatukuelewana”
“Nime ona ulicho mtuma kukileta kwangu. Ila kwa namna moja ama nyingine nina hitaji kukuuliza swali, kwa nini familia yangu”
“Una maanisha nini unapo sema kwa nini familia yako?”
“Kwa nini mufwatilie familia yangu”
“Nabii Sanga, tambua kwamba sisi tume iweka dunia nzima mikononi mwetu. Hilo usilisahau kabisa, ndio maana una weza kujiuliza kwa nini tulikwenda kumsaka Osama Bin Laden”
“Mulimsaka yeye kwa manaa aliwaua raisi wenu. Ila mimi sijafanya jambo lolote katika nchi yenu. Kwa nini muitwatikea familia yangu na kuipa vitisho”
Naibii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimkazia macho mwana mama huyo.
“Sanga sio vitisho. Jukumu letu sisi ni kuhakikisha kwamba dunia ina ishi salama na ina kuwa salama. Ila wewe ni chui uliye jivisha ngozi ya kondoo. Una tumia dini kuficha dhambi zako, una miliki kundi la majasusi na wauza madawa ya kulevya. Una waua vijana wangapi kwa madawa ya kulevya yanayo ingizwa ndani ya Afrika, America na Asia”
Balozi Trump alizungumza kwa ukali sana huku akimkazia macho nabii Sanga.


“Mbaya ume mrithisha mwanao. Do you think kama nchi yako imeshindwa kukujua unahisi sisi wengine wa nje ambao tuna nguvu na uwezo wa kuingia mahala popote tuna shindwa. Tena shukuru Mungu tume kufanyia wema kukupa faili lako lenye siri zako. Ila serikali yangu ilikuwa ime panga kuleta vikosi vya FBI hapa kukukamata kwa maana kama ni ushahidi wote tunao”
Balozi Trump alizungumza kwa ukali huku macho yakimtoka. Nabii Sanga hakuingiwa na hofu yoyote kwani anacho kihitaji yeye kwa wakati huo ni kufahamu udhaifu wa mwana mama huyo na nchi yake.
“lla kwa nini hamkuwatuma kunikamata kama kweli mulikuwa muna nihitaji”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mwana mama huyo.
“Ohoo”
“Yaa muna jua ni nini. Muna makosa mengi sana ambayo mume yafanya katika nchi yangu. Moja ya kosa kubwa ni kufanya jaribio la kumuu raisi wa hii nchi, na walio fanya hivyo wapo mikonini mwa nchi hii. Muliwaajiri Boko Haramu ili kumteka chief secretary wa nchi hii na ushahidi wa mkataba upo na nina imani kwamba mkataba huo ukitoka hadharani raisi wako ana kwenda kunyongwa. Una lifahamu hilo?”
Balozi Trump akashusha pumzi nyingi huku akimtazama nabii Sanga.


“Isitoshe nami nina hizi”
Nabii Sanga akaweka moja ya video kwenye simu yake na kuiweka mezani. Balozi Trump taratibu akaichukua simi hiyo na kuanza kutazama video za wanajeshi wa Marekani ambao wana fanya mauaji ya kikatili ya watoto wadogo huku wengine wakiwabaki wasichana wadogo.
“Hayo ni matukio yaliyo tokea Siria, Somalia, Pakistani, na Iraq. Ukipeleka mbele una weza kuona tukio la raisi wako kipindi ni mkuu wa jeshi la Navy alivyo fanya shambulizi la bomu la gesi na kuua thousand of people Kashimir. Nina siri za nchi yako nyingi sana hususani na serikali iliyopo hapa madarakani. So kama muliweza kunijua mimi basi hata mimi nina wajua nyinyi”
Balozi Trump akaishiwa na pozi na kujikuta akikaa kimya huku akitazama video hiyo. Hadi ana maliza kutazama video hiyo akamtazama nabii Sanga.
“Una weza kumtumia raisi wako alafu uka muambia kwamba endapo akijaribu kumake any step katika familia yangu nami nita hakikisha kwamba nina distory nchi yake na ata poteza kila kitu alicho nacho. Una nielewa”
Nabii Sanga akazungumza kwa msisitizo.
“Isitoshe nina watu wangu hadi ndani ya ikulu yenu ya Marekani, kama nilivyo na watu wangu katika ikulu ya Tanzania hivyo endapo mukifanya chochote basi raisi wako naye……”
Nabii Sanga akaonyesha ishara ya kupitisha kiganja chake shingoni mwake ikiwa ni ishara ya kwamba raisi huyo ata uwawa.


Ukimya ukatawala ndani ya chumba hicho huku balozi Trump akionekana kutafakari ni kitu gani afanye.
“Hei madam ume nielewa?”
“Ndio Sanga nime kuelewa. Ila lengo letu halikuwa baya”
"Ila likukuwa ni kunitisha mukihisi kwamba munaye mtisha ni mjinga. Nipo very smart kwenye maisha yangu ndio maana nime kuwa bilionea mkubwa ila nisiye julikana kama ni bilioea.”
Balozi Trump alasimama, akatemba hadi katika friji. Akafungua na kuchukua wyne pamoja glasi mbili na kurudi nazo sehemu alipo nabii Sanga.


“Wyne?”
Balozi Trump alizungumza huku akimtazama nabii Sanga.
“Weka”
Akamina katika glasi hizo mbili kisha akamkabidhi nabii Sanga glasi moja.
“Tuzungumze sasa biashara”
Balozi Trump alizngumza huku akiwa na tabasamu.
“Hatuwezi kuzungumza biashara hadi tuwe na raisi wako kwa pamoja ndio tuta zungumza biashara”
“Raisi wangu?”
“Ndio una masa sabini na mbili nina muhitaji raisi wako ndani ya nchi yangu. Kama ata kuja kwa njia ya siri aje kama ata kuja kwa njia ya kujulikana aje. Ila nikiwa naye ndio tuta zungumza biashara. Nina imani mimi ni mtu mmoja tu ndani ya hii nchi ambaye sitegemewi kwa mambo makubwa. Ila raisi wako ana tegemewa na watu wake hivyo kuwa makini sanaa kwenye huu mchezo kwa maana tusipo kuwa makini tuna poteza wote”
Balozi Trump akashusha pumzi nyingi sana huku akimtazama nabii Sanga kwa maana kile alicho kuwa ana kitarajia sicho alicho kutana nacho. Nabii Sanga akapiga mafumba mawili ya wyne hiyo na ikaisha kwenye glasi hiyo kisha akasimama.
“I hope kwamba tumeelewana”
“Ndio Sanga nime kuelewa. Ila kuna kitu kimoja ume sahau?”
“Kitu gani?”
Balozi Trump akaweka glasi yake mezani kisha akasimama, akaanza kufungua vifungo vya hsti lake jeupe, akalivua na kulitupa pembeni na akabakiwa na siridia. Akamsogelea nabii Sanga na kumshika kidevu chake kwa vidole laini. Akazisogeza lipsi zake karibu na nabii Sanga, ambaye kwa sekunde kadhaa akamtazama kisha akaanza kumnyonya. Hisia za kimapenzi zikapanda kati yao na kila mmoja akamvua mwenzake nguo. Nabii Sanga akambeba mwana mama huyo na kumlaza kitandani na taratibu wakaanza kupeana burudani huku balozi Trump akiamini kwamba kutoa penzi kwa naabii Sanga ita kuwa ni njia rahisi ya kumpata nabii Sanga ili kuitekeleza kazi ambayo serikali yake ina ihitaji, huku akilini mwake nabii Sanga akiamini kwamba penzi la mwanamke huyo ni kama penzi la wanawake wengine halina thamani yoyote kwake.


***


Evans akiwa amevalia nguo nyeusi, gloves nyeusi na mkononi mwake huku usoni mwake akiwa amevalia bushori yeusi lililo funika kichwa chake kizima na ni sehemu ndogo tu ya macho ndio ime salia. Evans akaitazama saa yake ya mkononi na ina muonyesha ni saa sita kasoro usiku. Akatembea kwa umamini kwenye ukuta wa jumba la nabii Sanga kisha akauparamia kwa umakini sana huku akiitazama kamera iliyo mpa mgongo. Haikuwa tabu sana kwa Evans kuruka nyanya za umeme zilizo fungwa juu ya ukuta huo na kuingia ndani. Akanyata kwa umakini huku akizikwepa kamera hizo hadi kwenye dirisha la sebleni. Akachungulia ndani na kuona hakuna kitu chochote. Akaendelea kunyata kwa ukakini hadi kwenye mlango wa kuingilia ndani hapo.


‘Litakuwa wapi?’


Evans alizungumza kimoyo moyo huku akitazama eneo la sebleni na hakuweza kuliona faili hilo. Akapandisha ngazi za gorofani kwa kunyata. Katika eneo la juu kuna vyumba zaidi ya sita jambo lililo mfanya Evans kufikiria kwa dakika kadhaa. Kisha akaanza kufungua chumba kimoja baada ya kingine. Kwa bahati chumba cha pili kufungua akamshuhudia Julieth akiwa amelala kitandani huku akiwa kama amezaliwa Katika kuangaza katika chumba hicho akaona faili alilo ambiwa na Leila likiwa katika meza. Taratibu akaingia chumbani hapo kwa mwendo wa kunyata. Julieth aliye jichokea kwa uchovu wa majanga ya siku hiyo hakuweza kisikia chochote kabisa. Evans akachukua faili hilo na kulifungua ndani, kilicho andikwa kikamduwaza sana. Akatoka ndani hapo na faili hilo na kutoka katika njia aliyo ingilia pasipo walinzi getini kuweza kufahamu chochote. Evans akavua kofia hilo, akafika eneo la waendesha pikipiki. Akapanda moja ya pikipiki na kurudi hotelini.


Akaanza kulipitia taratibu na kila ukurasa ana ufungua na kusoma matukio yaliyo andikwa ndani ya faili hilo akajikuta mdogo wake ukiwa wazi.


“What the fuc**?”
Evans alishangaa ila moyoni mwake akaanza kujawa na furaha kwa maana ana amini kwamba sasa ni wakati wake kujipatia pesa nyingi kutoka kwa nabii Sanga kwani sasa ana zifahamu siri zake zote. Akaichukua simu yake na kuitafuta namba ya Magreth na kumpigia.


“Haloo”
Sauti iliyo jaa usingizi ilisikika masikioni mwa Evans.


“Vipi ume lala mke wangu”
“Yaaa nilipitiwa na usingizi. Vipi upo wapi?”
“Nahitaji kuja kwako usiku huu”
“Sawa baby wewe njoo”
Evans akaoga na kuvaa nguo nyingine. Akalitazmaa faili hilo la nabii Sanga na familia yake.


‘Sijui nimpelekee?’


Evans alijiuliza maswali yasiyo na jibu.


‘Kuliacha hapa hotelini sio jambo zuri wapi niliweke?’


Evans aliendelea kuwaza kwa maana hamuamini mtu yoyote. Akalibebe faili hilo na kuondoka hotelini hapo kwa usafiri wa taksi. Akafika nyumbani kwa Magreth na kukaribishwa hadi ndani na Magreth na kumkuta Josephine akiwa sebleni.
“Karibu sana shemeji”
“Nashukuru, vipi nimewasumbua?”
“Hapana huja tusumbua karibu sana.”
Josephine alizungumza huku akilitazama faili lililopo mkononi mwa Evans.


“Leo mpenzi wangu ulikuwa bize nini?”
“Yaa kuna mambo ya kibiashara nilikwua nina yaweka sawa”
“Vipi nikuandalie chakula?”
“Hapana nipo vizuri”
“Hilo faili ni la nini, kwanza ni jeusi pili lime andikwa top secret. Kuna siri gani ndani ya hilo faili”
“Hakuna cha maana mke wangu. Nina imani kwamba nyinyi muna fanya kazi nzuri sana na raisi Mtenzi”
Josephine na Magreth waka tazamana.
“Ahaa hatuna imani naye tena”
Josephine alijibu kwa sauti ya unyonge
“Muna maanisha nini?”
“Leo nime onyeshwa kwenye maono yangu ni mtu mbaya sana ambaye ame ua watu wasio na hatia kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Hapa alipo yupo katika mpango wa kumua mke wa mwanaye”
“Mke wa mwanaye ambaye ni Julieth”
“Sio mke ni kimada wa Jery”
Magreth alimsahihisha Josephine sentensi yake.


“Kwa nini sasa ana taka kumuua”
“Yule binti ana ujauzito wa Jery ambaye yupo kwenye ndoa. Ila sababu kuu ya kumuua ni kwamba mzee ana muhitaji kimapenzi yule binti. Kiufupi ana mpenda, yaani toka nifahamu hayo mambo hapa nina fikiria jinsi na namna ya kuweza kumtoa raisi Mtenzi madarakani kwa maana ana igarimu nchi. Ile milipuko ya mabomu iliyo tokea yote ni kwa sababu yake.”
Josephine alizungumza kwa msisitozo na dhahiri ana onyesha kwamba ameuchoka utawala wa raisi Mtenzi.
“Ila si una jua kumtoa raisi madarakani kwa njia za kinyemela ni moja ya makosa ambayo ukijulikana una hitaji kufanya hivyo una uwawa kwa kunyongwa au kuchomwa sindano ya sumu?”
“Shemeji nina lifahamu hilo. Ila ni heri kufa kuliko kuacha akatumia madaraka yake mabaya”
“Mmmm ila hii mada ni nzito jamani”
Evans alizungumza huku akishusha pumzi.
“Ndio mume wangu. Ila tuna kuomba utusamehe tuna imani wewe ni mfanya biashara hivyo mambo ya kisiasa hususani ya nchini kwetu”
“No usijali mke wangu, mimi pia ni Mtanzania na ninapo ona nchi yangu ina teketea kwa vitu au kwa watu kama hawa ni lazima nijisikie vibaya.”
“Hembu shemeji toa maoni yako. Nifanye jambo gani kwa maana hadi una ona hii nchi ipo hivi ina tulia ni kutokana na uwezo wa maono yangu aliyo nipa Mungu.”
Evans akajifikiria kwa sekunde kadhaa, akamfirikia nabii Sanga na matatizo yake, akapiga mahesabu ya haraka haraka na akapata jibu kichwani mwake ambalo ana amiini kwamba atakapo muambia Josephine na Magreth basi wata fwata kile alicho washauri.


****************************************************************************************************************


****


ITAENDELEA


Haya sasa Evans ni jambo gani ambalo ana lifikiria. Je atawapatia faili hilo Magreth na Josephine nao waweze kufahamu siri hizo za nabii Sanga ambazo siku zote Josephine alikuwa ni mtu kutamani kufahamu ni nani ambaye ana amehusika katika milipuko iliyo pangwa na Al-Shabab,? Usikose sehemu ya 209.
 
Back
Top Bottom