Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,585
- 1,771
- Thread starter
- #461
SIN 209
Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)
Age ……………………………………………………18+
Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188
Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com
ILIPOISHIA
“Mmmm ila hii mada ni nzito jamani”
Evans alizungumza huku akishusha pumzi.
“Ndio mume wangu. Ila tuna kuomba utusamehe tuna imani wewe ni mfanya biashara hivyo mambo ya kisiasa hususani ya nchini kwetu”
“No usijali mke wangu, mimi pia ni Mtanzania na ninapo ona nchi yangu ina teketea kwa vitu au kwa watu kama hawa ni lazima nijisikie vibaya.”
“Hembu shemeji toa maoni yako. Nifanye jambo gani kwa maana hadi una ona hii nchi ipo hivi ina tulia ni kutokana na uwezo wa maono yangu aliyo nipa Mungu.”
Evans akajifikiria kwa sekunde kadhaa, akamfirikia nabii Sanga na matatizo yake, akapiga mahesabu ya haraka haraka na akapata jibu kichwani mwake ambalo ana amiini kwamba atakapo muambia Josephine na Magreth basi wata fwata kile alicho washauri.
ENDELEA
“Musimtoe raisi madakarani”
Kauli ya Evans ikawashangaza Magreth na Josephine.
“Kwa nini shemeji?”
“Hadi kuwa raisi ina maana kwamba aliweza kuchaguliwa na watu pamoja na Mungu pia. Tumuache katika nafasi yake n a isitoshe hilo linalo endelea hivi sasa ni matatizo yao ya kifamilia ambayo endpo nyinyi muta yaingilia na siku wakija kupatana baba na mwanaye. Nyinyi ndio muta aibika”
Evans alizungumza huku akiamini kwamba Jery na baba yake wakigombana basi ita kuwa ni rahisi sana kwake kulipiza kisasi kwa Jery.
“Ila anacho kisema George ni kweli. Unajua wale ni mtu na mwanaye, tukiingilia sisi, siku wakipata itakuwa shida kwetu”
“Kwa hiyo Magreth una hitaji sisi tumuache yule binti wa watu afe pasipo kuwa na kosa lolote?”
“Sija maanisha hivyo Jose, ila hii ni vita ya kifamilia. Sisi kama ni kumsaidia, tumsaidie tu yule msichana, ila swala hilo la raisi kutoka madarakani tuachane nalo rafiki yangu. Wewe nenda kazini kama kawaida na wala usimunyeshe kwamba ume weza kufahamu mambo yake. Fanya kazi kama kawaida”
“Akiniuliza kwamba nimeweza kufahamu yule msichana yupo wapi?”
“Wewe muambie bado Mungu haja kujibu na hato weza kukulzamihsha kwa manaa hicho ulicho nacho wewe ni kipawa na Mungu ana kujibu pale anapo hitaji yeye na sio tunavyo taka sisi binadamu”
“Ni kweli shemeji, fanya hivyo kama alivyo kushauri Mage”
“Poa nitafanya hivyo. Jamani ngoja niwaache, usiku mwema”
“Nawe pia”
Josephine akaingia chumbani kwake na akabaki Evans na Magreth sebleni. Taratibu Magreth akamkalia Evans mapajani mwake na kuanza kumnyonya lipsi.
“Hei Mage nikuamini?”
Evans alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Yes baby, kwa nini usiniamini”
“Nina maana yangu ya kuzungumza hivyo”
“Niamini mpenzi wangu”
“Twende chumbani”
Wakanyanyuka na kuingia chumbani huku Evans akiwa ameshika faili hilo mikononi mwake. Magreth akafunga mlango kwa ndani na wakaka kitandani.
“Una hisi nabii Sanga ni mtu wa aina gani?”
Swali la Evans likamfanya Magreth kukaa kimya kidogo.
“Kwa nini ume niuliza mume wangu?”
“Kwa sababu, ulinieleza juu ya maisha yako na nabii Sanga. Nina hisi kwamba nina weza kufahamu japo mambo machache juu yake”
“Nabii Sanga sio mtu mwema”
“Una maanisha nini?”
“Ni mwanaume ambaye ana tumia muamvuli wake wa kinabii kufanya mambo yaliyo machafu sana kwenye hii jamii. Nina jaribu kuyatafuya mambo yake ili niweze kulipa kisasi cha kuniharibia maisha yangu, kunitoa usichana wangu na kumfukuza mwanaume niliye mpenda kwenye maisha yangu. Ila samahani kwa kuweza kuzungumzia swala la mwanaume wangu niliye mpenda”
Magreth alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa unyonge mwingi.
“Usijali Mage nina elewa. So ukipewa nafasi ya kulipiza kisasi kwa nabii Sanga uta mfanyia nini ili nafsi yako iweze kuridhika?”
“Nahitaji kumuacha uchi kabla hajakufa kifo cha mateso na aibu kubwa yeye na familia yake”
“Kivipi?”
“Endapo nita fahamu udhaufu wa familia yake kwa ujumla na nikawa na ushahidi kamili. Nita kwenda kuyatangaza hadharani ili wale watu wanao msujudia kila siku na kumiamini waweze kuwa wa kwanza kumpinga na ikiwezekana wampige mithili ya kibaka aliye kwapua pochi ya mwana mama. Ila George kwa nini una niuliza hayo yote?”
Evans akaka kimya kisha akaliweka faili hili pembeni na kuvishika viganja vya Magreth.
“Mage”
“Bee”
“Nina kupenda sana”
Evans alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Magreth akajawa na furaha sana, kwani neno hilo la Evans lime usisimua mwili wake wote.
“Asante mume wangu. Haki ya Mungu ume lete furaha kubwa sana kwenye maisha yangu”
“Uta zidi kupata furaha. Muda na wakati ukifika nita kueleza kila kitu”
“Kitu gani?”
“Usijali nita kueleza kila aina ya jambo. Kwa sasa muda bado haujafika”
“Sawa, je nina weza kuona kilichomo ndani ya hilo faili?”
“Hapana”
“Kwa nini?”
“Muda wake haujafika. Ukifika uta ona kila kitu”
“Sawa mume wangu, je nina weza kukujua wewe vizuri kwa maana siku ile tulipo pambana na wale vibaka nime ona una mapigo ambayo ni ya mtu aliye pata mafunzo makali”
“Yaa, katika kipindi changu cha mapumziko baada ya kufanya biashara kwa kipindi kirefu, huwa nina jiunga na mafunzo ya kujilinda binafsi. Kama unavyo tambua ukiwa tajiri hususani kwa nchi kama Marekani, ina bidi uwe una uwezo wa kujilinda mwenyewe. Ndio maana nipo hapa nchini Tanzania na sina hata mlinzi wangu mmoja kwa maana nina jiamini sana”
“Ila ni hatari, kama maadui zako wakifahamu kama upo Tanzania wana weza kuja kukuuliza huku huku”
“Hakuna amabye ata weza kufanya hivyo”
Magreth akaanza uchokozi wa kumpapasa Evans mwili wake, Evans akafungua moja ya droo iliyopo pembeni ya kitanda. Akaingiaza faili hilo na taratibu wakaanza kuchezeana viongo vya miili yao na ndani ya muda mchache wakajikuta wakizama katika dimbwi zima la mapenzi.
***
Sauti ya mlango kugongwa ikamfanya Julieth kufumbua macho yake taratibu huku akiwa amejawa na uchovu mwingi sana.
“Bado ume lala?”
Mrs Sanga alizungumza huku akiingia ndani hapo.
“Nimechoka sana mama kwani sasa hivi ni saa ngapi?”
“Saa nne kasoro”
“Ohoo!!”
Julieth aligamami kidogo huku akiitafuta simu yake, akaiona pembeni ya mto wake, akaichukua na kutazama kama kuna mtu aliye mpigia ila hakukuta missed call hata moja.
“Nime chelewa kurudi ikulu”
“Usijali kwani si uliaga na upo kwenu”
“Ndio, ehee vipi baba amefanikiwa?”
“Baba yako ame rudi asubihi hii. Ana hitaji lile faili”
“Lipo hapo mezani”
Julieth alizungumza huku alipiga miyayo ya uchovu wa usingizi.
“Mezani wapi?”
Mrs Sanga alizungumza huku akitazama katika meza ya kioo iliyopo ndani hapo na hakuona kitu chochote.
“Si hap…..”
Julith macho yakamtoka mara baada ya kuona faili hilo alipo. Akashuka kitandani kwake akiwa uchi, akainama na kuangalia chini ya meza na hakuweza kuona chochote.
“Faili nililiweka hapa”
Julieth alizungumza huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi sana.
“Sasa mbona halipo?”
“Hata sijui mama, ime kuwaje kwani?”
“Ime kuwaje maana yake nini?”
“Mama faili jana usiku nililiweka hapa juu ya meza. Nikapanda kitandani na nika lala, sasa ime kuwaje asubuhi lisionekane”
“Weee mtoto acha masihara”
“Sio masihara mama, nililiweka hapa”
“Ohoo Mungu wangu. Sasa una taka kusema lime potea?”
“Hata sijui mama”
Wakaanza kusaidiana kukitafuta ndani ya chumba kizima ila halikuwepo kabisa jambo lililo sababisha wajawe na hofu kubwa sana.
“Vaa uje sebleni”
Mrs Sanga alizungumza kwa unyonge huku akitoka ndani hapo. Mwili mzima wa Julieth ume jawa na jasho litokanalo kwa woga, japo ndani ya chumba chake kuna AC ila ukweli ni kwamba ana jihisi vibaya sana. Kila akijaribu kuvuta kumbukumbu zake ana kumbuka eneo la mwisho alipo weka faili hilo ni juu ya meza hiyo.
“Lipo wapi?”
Nabii Sanga alimuuliza mke wake mara baada ya kumuona akiwa mikono mitupu.
“Baba Julieth hata sijui niseme nini?”
“Useme nini nini?”
“Mwanao ana dai kwamba faili aliliweka mezani chumbani kwake, ila hatulioni”
Nabii Sanga akastuka sana huku macho yake akimtazama mke wake.
“Tumejaribu kutafuta kila sehemu, ila kwa bahati mbaya hatujaweza kuliona”
Nabii Sanga akamtazama Julieth anaye shuka kwenye ngazi taratibu huku akionekana kujawa na wasiwasi. Akakaa pembeni ya mama yake.
“Shikamoo baba”
Nabii Sanga wala hakuitikia salamu hiyo kwa maana tayari kichwa chake kimesha vurugika. Akasimama huku akiwa amevimba kwa jazba, kitu ambacho kina mzui kumzaba makofi Julieth ni kwamba ana mpenda sana mwanaye huyo wa kike.
“Baba haki ya Mungu vile nililiweka juu ya meza lile faili, ila sijaliona na sijui lime kwenda wapi”
Julieth alizungumza kwa sauti ya woga huku machozi yakimwagika usoni mwake. Ukweli ni kwamba ana muogopa sana baba yake akiwa katika hali hiyo ya kukasirika.
“Muna taka kuniambia jana usiku muliingiza mtu humu ndani?”
“Mtu kivipi baba Julieth”
“Kivipi nini, ina maana nyinyi kwa nyinyi muna weza kuibiana au?”
Nabii Sanga alifoka hadi Julieth na mama yake wakaanza kutetemeka.
“Muna jua ni jinsi gani tuna weza kuanguka kama lile faili likiingia mikononi mwa watu wengine eheee?”
Nabii Sanga alizidi kufoka hadi mishipa ya shingoni mwake ikajitokeza vizuri.
“Ila baba Julieth, unavyo tufokea sio vizuri. Sisi hatujaingiza mtu humu ndani. Kama huamini angalia hizo cctv Kamera si zina rekodi kila kitu”
Mrs Sanga alijikaza kuzugumza kwa maana hakuna jinsi nyingine zaidi ya kufanya hivyo. Nabii Sanga akachukua rimoti ya Tv na kuwasha tv kubwa iliyopo sebleni hapo. Akaingia upande wa kamera za ulinzi na kuanza kurudisha matukio nyuma kuanzia muda alio toka yeye kuelekea Serena hotelini. Kila mtu macho yake yakwa katika tv hiyo huku kila mmoja wao mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi sana. Wakstuka sana mara baada ya kuona kamera ya siri iliyopo hapo sebleni ikionyesha mtu aliye valia nguo nyeusi pamoja na bushori jeusi akiingia ndani hapo na kuelekea gorofani. Wakatazamana huku wakiendelea kufwatilia jinsi mtu huyo alivyo rekodiwa na kamera nyingine za siri zilizopo katika ngazi na kordo ya gorofani.
“Huyu ni mtu maalumu aliye tumwa”
Nabii Sanga alizungumza kwa maana kama ni mwizi basi angeiba vitu vya thamani vilivyopo sebleni hapo kama baadhi ya mapambo yaliyo tengenezwa na dhahabu tupu.
“Sasa ame tumwa na nani?”
Mrs Sanga aliuliza kwa mshangao.
“Sifahamu, ila anaonekana ni mtu ambaye ana mafunzo ya kijasusi kwa maana ameweza kuzikwepa kamera za nje ila kamera za hapa ndani zime weza kumnasa. Wakamuona mtu huyo akiingia chumba cha kwanza kisha akatoka na kuingia chumba cha pili ambacho ni cha Julieth. Wakamuona akitoka na faili hilo na nabii Sanga akaisimamisha video hiyo hapo na akajishika mdomo wake kwa mshangao mkubwa sana.
“Mume wangu tume kwisha”
Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Hapana, hatuwezi kwisha kirahisi. Kama ni Wamarekani ndio waliye mtuma huyu panya wao. Haki ya Mungu nita shuka nao jumla jumla”
Nabii Sanga alizungumza huku akihema kwa hasira. Moyo wake una hisi kama una chanwa chanwa kwa viwembe kwani hasira yake ime pitiliza kiwango sasa. Akaiingiza video hiyo kwenye simu yake na kuwatumia vijana wake walipo kwenye meli kisha akampigia mkuu wao.
“Kuna video hiyo mume iona?”
“Ndio mkuu”
“Nina hitaji kufahamu ni nani aliyopo nyuma ya hilo hushori kwa maana ameingia ndani kwangu na kuiba kitu kilicho muhimu sana kwangu”
“Sawa mkuu, dakika kadhaa kila kitu kitakuwa tayari”
Nabii Sanga akakata simu huku akizunguka zunguka sebleni hapo.
“Baba?”
“Nini?”
Nabii Sanga aliitikia kwa jabza badi Julieth akastuka.
“Ehee niambie”
Nabii Sanga ikabidi ajishushe na kuzungumza kwa sauti ya kawaida kwa maana ana tambua kwamba ame mtisha sana mwanaye.
“Jana kikao chako kime kwendaje?”
“Nime wapa machaguzi wale wajinga. Walihisi na mimi nita kwenda kinyonge. Wana fahamu siri zangu nami nina fahamu siri zao hivyo ngoma droo. Nime waambia nina hitaji raisi wao aje hapa Tanzania na tuzungumze biashara la sivyo nina kwenda kutoa siri za raisi wao. Tuone kama mimi na yeye ni nania mbaye ata pata hasara kubwa”
“Kwa hiyo wame kubaliana na wewe?”
“Ni machaguzi yao, kama wata kubali sawa, kama wata kataa tuta pamanana nao uso kwa uso.”
Nabii Sang alizungumza kwa kujiamini na kurudisha amani iliyo weza kutokea nyumbani kwa nabii Sanga. Simu ya nabii Sanga ikaita na kwa haraka akipokea na kuiweka sikoni mwake.
“Muheshimiwa kila kitu tayari nakutumia sasa hivi”
“Sawa na hakikisheni muna kuwa macho na hili eneo”
“Hakuna shaka mkuu”
Nabii Sanga akakata simu huku mayo waka, macho yake vikiwa na hamu kubwa sana ya kuona ni nani aliye ingia nyumbani kwake usiku huo. Nabii Sanga taratibu akaifungua picha hivyo ilivyo weza kufanyiwa scanig na vijana wake.
“WHAT’S FUC**”
Nabii Sanga alijikuta akitoa tusi zito huku macho yakimtoka kwani sura ya mtu anaye onekana hapo ameifahamu vizuri sana na si mwengine bali ni George Sanga aliye jitambulisha kama mfanya biashara mkubwa na mtu aliye hitaji kufanya uwekezaji wa pesa nyingi sana ndani ya nchi ya Tanzania.
****************************************************************************************************************
****
ITAENDELEA
Haya sasa, nabii Sanga ameweza kutambua mtu aliye iba faili lenye sira zake na familia yake ni George Sanga kama anavyo mfanyamu je ni nini atakacho kifanya juu ya mtu huyo ambaye ana amini tayari ata kuwa amesha zifahamu siri zake zote? Usikose sehemu ya 210.
Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)
Age ……………………………………………………18+
Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188
Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com
ILIPOISHIA
“Mmmm ila hii mada ni nzito jamani”
Evans alizungumza huku akishusha pumzi.
“Ndio mume wangu. Ila tuna kuomba utusamehe tuna imani wewe ni mfanya biashara hivyo mambo ya kisiasa hususani ya nchini kwetu”
“No usijali mke wangu, mimi pia ni Mtanzania na ninapo ona nchi yangu ina teketea kwa vitu au kwa watu kama hawa ni lazima nijisikie vibaya.”
“Hembu shemeji toa maoni yako. Nifanye jambo gani kwa maana hadi una ona hii nchi ipo hivi ina tulia ni kutokana na uwezo wa maono yangu aliyo nipa Mungu.”
Evans akajifikiria kwa sekunde kadhaa, akamfirikia nabii Sanga na matatizo yake, akapiga mahesabu ya haraka haraka na akapata jibu kichwani mwake ambalo ana amiini kwamba atakapo muambia Josephine na Magreth basi wata fwata kile alicho washauri.
ENDELEA
“Musimtoe raisi madakarani”
Kauli ya Evans ikawashangaza Magreth na Josephine.
“Kwa nini shemeji?”
“Hadi kuwa raisi ina maana kwamba aliweza kuchaguliwa na watu pamoja na Mungu pia. Tumuache katika nafasi yake n a isitoshe hilo linalo endelea hivi sasa ni matatizo yao ya kifamilia ambayo endpo nyinyi muta yaingilia na siku wakija kupatana baba na mwanaye. Nyinyi ndio muta aibika”
Evans alizungumza huku akiamini kwamba Jery na baba yake wakigombana basi ita kuwa ni rahisi sana kwake kulipiza kisasi kwa Jery.
“Ila anacho kisema George ni kweli. Unajua wale ni mtu na mwanaye, tukiingilia sisi, siku wakipata itakuwa shida kwetu”
“Kwa hiyo Magreth una hitaji sisi tumuache yule binti wa watu afe pasipo kuwa na kosa lolote?”
“Sija maanisha hivyo Jose, ila hii ni vita ya kifamilia. Sisi kama ni kumsaidia, tumsaidie tu yule msichana, ila swala hilo la raisi kutoka madarakani tuachane nalo rafiki yangu. Wewe nenda kazini kama kawaida na wala usimunyeshe kwamba ume weza kufahamu mambo yake. Fanya kazi kama kawaida”
“Akiniuliza kwamba nimeweza kufahamu yule msichana yupo wapi?”
“Wewe muambie bado Mungu haja kujibu na hato weza kukulzamihsha kwa manaa hicho ulicho nacho wewe ni kipawa na Mungu ana kujibu pale anapo hitaji yeye na sio tunavyo taka sisi binadamu”
“Ni kweli shemeji, fanya hivyo kama alivyo kushauri Mage”
“Poa nitafanya hivyo. Jamani ngoja niwaache, usiku mwema”
“Nawe pia”
Josephine akaingia chumbani kwake na akabaki Evans na Magreth sebleni. Taratibu Magreth akamkalia Evans mapajani mwake na kuanza kumnyonya lipsi.
“Hei Mage nikuamini?”
Evans alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Yes baby, kwa nini usiniamini”
“Nina maana yangu ya kuzungumza hivyo”
“Niamini mpenzi wangu”
“Twende chumbani”
Wakanyanyuka na kuingia chumbani huku Evans akiwa ameshika faili hilo mikononi mwake. Magreth akafunga mlango kwa ndani na wakaka kitandani.
“Una hisi nabii Sanga ni mtu wa aina gani?”
Swali la Evans likamfanya Magreth kukaa kimya kidogo.
“Kwa nini ume niuliza mume wangu?”
“Kwa sababu, ulinieleza juu ya maisha yako na nabii Sanga. Nina hisi kwamba nina weza kufahamu japo mambo machache juu yake”
“Nabii Sanga sio mtu mwema”
“Una maanisha nini?”
“Ni mwanaume ambaye ana tumia muamvuli wake wa kinabii kufanya mambo yaliyo machafu sana kwenye hii jamii. Nina jaribu kuyatafuya mambo yake ili niweze kulipa kisasi cha kuniharibia maisha yangu, kunitoa usichana wangu na kumfukuza mwanaume niliye mpenda kwenye maisha yangu. Ila samahani kwa kuweza kuzungumzia swala la mwanaume wangu niliye mpenda”
Magreth alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa unyonge mwingi.
“Usijali Mage nina elewa. So ukipewa nafasi ya kulipiza kisasi kwa nabii Sanga uta mfanyia nini ili nafsi yako iweze kuridhika?”
“Nahitaji kumuacha uchi kabla hajakufa kifo cha mateso na aibu kubwa yeye na familia yake”
“Kivipi?”
“Endapo nita fahamu udhaufu wa familia yake kwa ujumla na nikawa na ushahidi kamili. Nita kwenda kuyatangaza hadharani ili wale watu wanao msujudia kila siku na kumiamini waweze kuwa wa kwanza kumpinga na ikiwezekana wampige mithili ya kibaka aliye kwapua pochi ya mwana mama. Ila George kwa nini una niuliza hayo yote?”
Evans akaka kimya kisha akaliweka faili hili pembeni na kuvishika viganja vya Magreth.
“Mage”
“Bee”
“Nina kupenda sana”
Evans alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Magreth akajawa na furaha sana, kwani neno hilo la Evans lime usisimua mwili wake wote.
“Asante mume wangu. Haki ya Mungu ume lete furaha kubwa sana kwenye maisha yangu”
“Uta zidi kupata furaha. Muda na wakati ukifika nita kueleza kila kitu”
“Kitu gani?”
“Usijali nita kueleza kila aina ya jambo. Kwa sasa muda bado haujafika”
“Sawa, je nina weza kuona kilichomo ndani ya hilo faili?”
“Hapana”
“Kwa nini?”
“Muda wake haujafika. Ukifika uta ona kila kitu”
“Sawa mume wangu, je nina weza kukujua wewe vizuri kwa maana siku ile tulipo pambana na wale vibaka nime ona una mapigo ambayo ni ya mtu aliye pata mafunzo makali”
“Yaa, katika kipindi changu cha mapumziko baada ya kufanya biashara kwa kipindi kirefu, huwa nina jiunga na mafunzo ya kujilinda binafsi. Kama unavyo tambua ukiwa tajiri hususani kwa nchi kama Marekani, ina bidi uwe una uwezo wa kujilinda mwenyewe. Ndio maana nipo hapa nchini Tanzania na sina hata mlinzi wangu mmoja kwa maana nina jiamini sana”
“Ila ni hatari, kama maadui zako wakifahamu kama upo Tanzania wana weza kuja kukuuliza huku huku”
“Hakuna amabye ata weza kufanya hivyo”
Magreth akaanza uchokozi wa kumpapasa Evans mwili wake, Evans akafungua moja ya droo iliyopo pembeni ya kitanda. Akaingiaza faili hilo na taratibu wakaanza kuchezeana viongo vya miili yao na ndani ya muda mchache wakajikuta wakizama katika dimbwi zima la mapenzi.
***
Sauti ya mlango kugongwa ikamfanya Julieth kufumbua macho yake taratibu huku akiwa amejawa na uchovu mwingi sana.
“Bado ume lala?”
Mrs Sanga alizungumza huku akiingia ndani hapo.
“Nimechoka sana mama kwani sasa hivi ni saa ngapi?”
“Saa nne kasoro”
“Ohoo!!”
Julieth aligamami kidogo huku akiitafuta simu yake, akaiona pembeni ya mto wake, akaichukua na kutazama kama kuna mtu aliye mpigia ila hakukuta missed call hata moja.
“Nime chelewa kurudi ikulu”
“Usijali kwani si uliaga na upo kwenu”
“Ndio, ehee vipi baba amefanikiwa?”
“Baba yako ame rudi asubihi hii. Ana hitaji lile faili”
“Lipo hapo mezani”
Julieth alizungumza huku alipiga miyayo ya uchovu wa usingizi.
“Mezani wapi?”
Mrs Sanga alizungumza huku akitazama katika meza ya kioo iliyopo ndani hapo na hakuona kitu chochote.
“Si hap…..”
Julith macho yakamtoka mara baada ya kuona faili hilo alipo. Akashuka kitandani kwake akiwa uchi, akainama na kuangalia chini ya meza na hakuweza kuona chochote.
“Faili nililiweka hapa”
Julieth alizungumza huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi sana.
“Sasa mbona halipo?”
“Hata sijui mama, ime kuwaje kwani?”
“Ime kuwaje maana yake nini?”
“Mama faili jana usiku nililiweka hapa juu ya meza. Nikapanda kitandani na nika lala, sasa ime kuwaje asubuhi lisionekane”
“Weee mtoto acha masihara”
“Sio masihara mama, nililiweka hapa”
“Ohoo Mungu wangu. Sasa una taka kusema lime potea?”
“Hata sijui mama”
Wakaanza kusaidiana kukitafuta ndani ya chumba kizima ila halikuwepo kabisa jambo lililo sababisha wajawe na hofu kubwa sana.
“Vaa uje sebleni”
Mrs Sanga alizungumza kwa unyonge huku akitoka ndani hapo. Mwili mzima wa Julieth ume jawa na jasho litokanalo kwa woga, japo ndani ya chumba chake kuna AC ila ukweli ni kwamba ana jihisi vibaya sana. Kila akijaribu kuvuta kumbukumbu zake ana kumbuka eneo la mwisho alipo weka faili hilo ni juu ya meza hiyo.
“Lipo wapi?”
Nabii Sanga alimuuliza mke wake mara baada ya kumuona akiwa mikono mitupu.
“Baba Julieth hata sijui niseme nini?”
“Useme nini nini?”
“Mwanao ana dai kwamba faili aliliweka mezani chumbani kwake, ila hatulioni”
Nabii Sanga akastuka sana huku macho yake akimtazama mke wake.
“Tumejaribu kutafuta kila sehemu, ila kwa bahati mbaya hatujaweza kuliona”
Nabii Sanga akamtazama Julieth anaye shuka kwenye ngazi taratibu huku akionekana kujawa na wasiwasi. Akakaa pembeni ya mama yake.
“Shikamoo baba”
Nabii Sanga wala hakuitikia salamu hiyo kwa maana tayari kichwa chake kimesha vurugika. Akasimama huku akiwa amevimba kwa jazba, kitu ambacho kina mzui kumzaba makofi Julieth ni kwamba ana mpenda sana mwanaye huyo wa kike.
“Baba haki ya Mungu vile nililiweka juu ya meza lile faili, ila sijaliona na sijui lime kwenda wapi”
Julieth alizungumza kwa sauti ya woga huku machozi yakimwagika usoni mwake. Ukweli ni kwamba ana muogopa sana baba yake akiwa katika hali hiyo ya kukasirika.
“Muna taka kuniambia jana usiku muliingiza mtu humu ndani?”
“Mtu kivipi baba Julieth”
“Kivipi nini, ina maana nyinyi kwa nyinyi muna weza kuibiana au?”
Nabii Sanga alifoka hadi Julieth na mama yake wakaanza kutetemeka.
“Muna jua ni jinsi gani tuna weza kuanguka kama lile faili likiingia mikononi mwa watu wengine eheee?”
Nabii Sanga alizidi kufoka hadi mishipa ya shingoni mwake ikajitokeza vizuri.
“Ila baba Julieth, unavyo tufokea sio vizuri. Sisi hatujaingiza mtu humu ndani. Kama huamini angalia hizo cctv Kamera si zina rekodi kila kitu”
Mrs Sanga alijikaza kuzugumza kwa maana hakuna jinsi nyingine zaidi ya kufanya hivyo. Nabii Sanga akachukua rimoti ya Tv na kuwasha tv kubwa iliyopo sebleni hapo. Akaingia upande wa kamera za ulinzi na kuanza kurudisha matukio nyuma kuanzia muda alio toka yeye kuelekea Serena hotelini. Kila mtu macho yake yakwa katika tv hiyo huku kila mmoja wao mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi sana. Wakstuka sana mara baada ya kuona kamera ya siri iliyopo hapo sebleni ikionyesha mtu aliye valia nguo nyeusi pamoja na bushori jeusi akiingia ndani hapo na kuelekea gorofani. Wakatazamana huku wakiendelea kufwatilia jinsi mtu huyo alivyo rekodiwa na kamera nyingine za siri zilizopo katika ngazi na kordo ya gorofani.
“Huyu ni mtu maalumu aliye tumwa”
Nabii Sanga alizungumza kwa maana kama ni mwizi basi angeiba vitu vya thamani vilivyopo sebleni hapo kama baadhi ya mapambo yaliyo tengenezwa na dhahabu tupu.
“Sasa ame tumwa na nani?”
Mrs Sanga aliuliza kwa mshangao.
“Sifahamu, ila anaonekana ni mtu ambaye ana mafunzo ya kijasusi kwa maana ameweza kuzikwepa kamera za nje ila kamera za hapa ndani zime weza kumnasa. Wakamuona mtu huyo akiingia chumba cha kwanza kisha akatoka na kuingia chumba cha pili ambacho ni cha Julieth. Wakamuona akitoka na faili hilo na nabii Sanga akaisimamisha video hiyo hapo na akajishika mdomo wake kwa mshangao mkubwa sana.
“Mume wangu tume kwisha”
Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Hapana, hatuwezi kwisha kirahisi. Kama ni Wamarekani ndio waliye mtuma huyu panya wao. Haki ya Mungu nita shuka nao jumla jumla”
Nabii Sanga alizungumza huku akihema kwa hasira. Moyo wake una hisi kama una chanwa chanwa kwa viwembe kwani hasira yake ime pitiliza kiwango sasa. Akaiingiza video hiyo kwenye simu yake na kuwatumia vijana wake walipo kwenye meli kisha akampigia mkuu wao.
“Kuna video hiyo mume iona?”
“Ndio mkuu”
“Nina hitaji kufahamu ni nani aliyopo nyuma ya hilo hushori kwa maana ameingia ndani kwangu na kuiba kitu kilicho muhimu sana kwangu”
“Sawa mkuu, dakika kadhaa kila kitu kitakuwa tayari”
Nabii Sanga akakata simu huku akizunguka zunguka sebleni hapo.
“Baba?”
“Nini?”
Nabii Sanga aliitikia kwa jabza badi Julieth akastuka.
“Ehee niambie”
Nabii Sanga ikabidi ajishushe na kuzungumza kwa sauti ya kawaida kwa maana ana tambua kwamba ame mtisha sana mwanaye.
“Jana kikao chako kime kwendaje?”
“Nime wapa machaguzi wale wajinga. Walihisi na mimi nita kwenda kinyonge. Wana fahamu siri zangu nami nina fahamu siri zao hivyo ngoma droo. Nime waambia nina hitaji raisi wao aje hapa Tanzania na tuzungumze biashara la sivyo nina kwenda kutoa siri za raisi wao. Tuone kama mimi na yeye ni nania mbaye ata pata hasara kubwa”
“Kwa hiyo wame kubaliana na wewe?”
“Ni machaguzi yao, kama wata kubali sawa, kama wata kataa tuta pamanana nao uso kwa uso.”
Nabii Sang alizungumza kwa kujiamini na kurudisha amani iliyo weza kutokea nyumbani kwa nabii Sanga. Simu ya nabii Sanga ikaita na kwa haraka akipokea na kuiweka sikoni mwake.
“Muheshimiwa kila kitu tayari nakutumia sasa hivi”
“Sawa na hakikisheni muna kuwa macho na hili eneo”
“Hakuna shaka mkuu”
Nabii Sanga akakata simu huku mayo waka, macho yake vikiwa na hamu kubwa sana ya kuona ni nani aliye ingia nyumbani kwake usiku huo. Nabii Sanga taratibu akaifungua picha hivyo ilivyo weza kufanyiwa scanig na vijana wake.
“WHAT’S FUC**”
Nabii Sanga alijikuta akitoa tusi zito huku macho yakimtoka kwani sura ya mtu anaye onekana hapo ameifahamu vizuri sana na si mwengine bali ni George Sanga aliye jitambulisha kama mfanya biashara mkubwa na mtu aliye hitaji kufanya uwekezaji wa pesa nyingi sana ndani ya nchi ya Tanzania.
****************************************************************************************************************
****
ITAENDELEA
Haya sasa, nabii Sanga ameweza kutambua mtu aliye iba faili lenye sira zake na familia yake ni George Sanga kama anavyo mfanyamu je ni nini atakacho kifanya juu ya mtu huyo ambaye ana amini tayari ata kuwa amesha zifahamu siri zake zote? Usikose sehemu ya 210.