RIWAYA: Tai kwenye mzoga

This is a million dollars question hapa nauangalia upeo wa mtunzi kwa jicho la tatu. Jamaa anastahili pongezi. Lazima mtunzi awe ni msomi wa fani flani tusiyoijua
 
Kwa sisi mabingwa wa uchambuzi wa kazi za fasihi tumeshagundua kuwa hapa ndipo jina la kitabu limepatikana
“Kuwa mwangalifu sana Luteni kwani Jaji Makesa sasa ni kama mzoga
unaokimbiliwa na Tai wengi na kila Tai anavutika kwa harufu yake hivyo un-
afahamu ni nini hutokea pale Tai wanapokuwa wengi kwenye mzoga mmoja”
 
The banker shukran sn,be patient simulizi iendelee hphp mtunzi ama no zp zirushiwe kias gan cha pesa?mi najitolea
 
Duh nikikutwa imeshushwa nafurahia kama nimeona mchesho Wa Kuku kienyeji kwa ndizi limao chumvi na pilipili kidogo stori imesimamia mahali merci the banker na Mwandish tushushie mambo mkuu...
 
Wasiliana na mtunzi kuimaliza. Kitabu kimeshatoka. Yaani hata leo ukitaka kuimaliza hadithi hii unaweza. Mie natuma humu baada ya kuwa nimepata ridhaa ya mwenye kazi husika.
story tamu kwei kwei yan najiona kama patrick zambi vile!naomba nikuulize the banker,mbona nikisoma hii story nikifika katikati nasinzia?tofaut na story za mjukuu wa chifu kama ya cheni na eddy huwa silali kabsa kabisa!
 
Tatizo unapenda ngono sana mm hayo machombezo huwa sisomi yanapelekea kupiga Punyenye.. 😀😀😀😀
story tamu kwei kwei yan najiona kama patrick zambi vile!naomba nikuulize the banker,mbona nikisoma hii story nikifika katikati nasinzia?tofaut na story za mjukuu wa chifu kama ya cheni na eddy huwa silali kabsa kabisa!
 
Huyu jamaa angesema muwa anauza atoe maelezo watu wanunue kuliko hivi
 
Uzi ufungwe hauna maana tena..
Kaka kuna mtu kakutuma kwenye threads zangu? Naona kwenye kila uzi wangu lazima uje na kiherehere. Unahisi wewe ndio mfatiliaji wa riwaya peke yako au ni wewe tu mwenye arosto? Mbona wengine wastaarabu? Unahisi kazi yangu ni kukufurahisha wewe? Tena kwa vitu vya dezo inabidi uwe mpole. Ungekuwa unalipia hii huduma ingekuwaje? If i wanted to make everyone happy i wouldn't be doing what I am doing but i would sell ice cream
 
Funga thread hatutaki tena kukopi tu mpaka mlambwe miguu Hauna tofauti na wabunge wa Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…