Fortunatus Buyobe
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 463
- 1,127
- Thread starter
-
- #201
Wadau kutokana na mawazo aliyoyatoa mdau mmoja humu kuwa niufunge uzi basi nimeamua kuheshimu mawazo yake. Kwa hiyo hii kazi mtaimalizia kwenye sehemu zilizoelekezwa.
We endelea kuweka mkuu but uwe unatoa taarifaWadau kutokana na mawazo aliyoyatoa mdau mmoja humu kuwa niufunge uzi basi nimeamua kuheshimu mawazo yake. Kwa hiyo hii kazi mtaimalizia kwenye sehemu zilizoelekezwa.
achana nae tupe vitu mkuuBahati nzuri sina nilichopoteza.
Maombi yanaweza kuwa ya wengi invisible lakini insults zinaweza kutoka kwa mmoja visibly. Where are you to address someone's wrong?Labda uwe muwazi tu kuwa ulishapanga kusitisha tokea zamani. Coz mimi sidhani kama mtu mmoja anaweza kukuamlisha kuwa uache then ukamsikiliza yeye tu bila kuzingatia Maombi ya walio wengi.
The banker kuna watu wengine wapo kwaajili ya kuchafua tu, mpige chini tuangalie wadau wako.Maombi yanaweza kuwa ya wengi invisible lakini insults zinaweza kutoka kwa mmoja visibly. Where are you to address someone's wrong?
Mkuu, kuwa na staha na busara. Haukuwa nae wakati anaanza ku post hii riwaya na wala haumjui na haujui ratiba zake. Hata akichukua mwezi mzima ku post it's nothing compared na burudani ya hii riwaya aliyoamua kutupa.Funga mkuu hatuwezi abudu mtu mmoja wa kuabudiwa ni Mungu pekee
Ni kweli, anayetaka thread ifungwe aji unsubscribe tu na hatoona notification yoyote kwake. Kwanza ni Admin pekee mwenye uwezo wa kuifunga thread.Yeye kasema funga na mimi nasema usifunge!!asifikiri wote maboya ka yeye!!endeleza makitu chaliiangu,achana na huyo boya
Maombi yanaweza kuwa ya wengi invisible lakini insults zinaweza kutoka kwa mmoja visibly. Where are you to address someone's wrong?
Mkuu, kuwa na staha na busara. Haukuwa nae wakati anaanza ku post hii riwaya na wala haumjui na haujui ratiba zake. Hata akichukua mwezi mzima ku post it's nothing compared na burudani ya hii riwaya aliyoamua kutupa.
Kuna option mbili, ununue kitabu hard copy au uendelee na uvumilivu wa kusubiria lini the banker ata post muendelezo.
Lastly, jizungumzie kwa nafsi yako na usiwe inclusive ukidhani una represent mawazo ya wengi.
Hatumbembelezi ? Mpo wangapi? Just unsubscribe na waache wenye subra wasubiriAfunge tu hatumbembelezi..