RIWAYA: Tai kwenye mzoga


Safi sana...

Chapter Closed...


Cc: mahondaw
 
Ni moja ya riwaya bora kuwahi kusoma. Hongera kaka. vipi kitabu
 
Ahsante sana,stori ilikuwa tamu lkn bado haijaisha,ongea na mtunzi aiendeleze,yaani dhumuni lá huyu mcongo mke wa luteni awe bado anaitumikia serikali ya Congo na amfundishe upelelezi kisiri Diane bila luteni kujua,waweze kumuibia siri Luteni na kuzipelekwa kwao kwa msaada wa Diane,wawili hao wafanikiwe kurudi kwao na luteni arudi tena Rwanda akamuue Diane,halafu aende Congo kumuua Drel Fille,nadhani itanoga zaidi,nachoamini mimi Drel Fille alikuwa na ajenda yake ya siri kuipeleleza Tz
Nalog off
 
Hii kitu nikichelewa kuinyaka ila nahisi ni kama kuna vipande vya HOTEL RWANDA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…