Fortunatus Buyobe
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 463
- 1,127
- Thread starter
- #221
Nitaimaliza hii riwaya humu. Amini nawaambiaThe banker kuna watu wengine wapo kwaajili ya kuchafua tu, mpige chini tuangalie wadau wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaimaliza hii riwaya humu. Amini nawaambiaThe banker kuna watu wengine wapo kwaajili ya kuchafua tu, mpige chini tuangalie wadau wako.
Asante na nimepata moyo wa kuimaliza humu nimegundua kuna misdirection flani kuna mtu anaitakaHatumbembelezi ? Mpo wangapi? Just unsubscribe na waache wenye subra wasubiri
Funga mkuu tutanunua vitabu
Kwa nunua vitabu lengo la mtunzi linakuwa limetimia 100% na hata mie atanipa credit kwa kuiboost kazi yake sokoni
Popote ulipo kitabu ukiagizia kinakufikia. Wasiliana na mtunzi kupitia namba za post #1 alizoweka the banker. I believe kitabu kitakufikiaLaiti ningekua eneo ambalo naweza pata acces. Ya kununua sidhan kama ningesumbuka..
Pamoja MkuuAsante na nimepata moyo wa kuimaliza humu nimegundua kuna misdirection flani kuna mtu anaitaka
Wadau kama nilivyoahidi leo naanza kuishusha riwaya ya tai kwenye mzoga mpaka mtunzi atakavyonielekeza tofauti. Mtunzi wa riwaya hii ni yule yule KELVIN e. MPONDA. Wasiliana naye kwa namba 0688058669Laiti ningekua eneo ambalo naweza pata acces. Ya kununua sidhan kama ningesumbuka..
Kaka hii riwaya inaongelea wakati ambao tulikuwa nyuma ya hizo tekinolojia unazosema especially africa.Hii ishu ya Kutuma zile nyaraka kwa kutumia huduma ya posta tena kwenda Tanzania haijakaa vizuri. Labda kwa kuwa ni riwaya. Lakini kiuhalisia wanajeshi wa Rwanda lazima wange anticipate such a move na wangekaba maeneo yote ambayo Luteni kanali angeweza kupeleka parcel kuituma Tz. Option nzuri ilikuwa jamaa a scan vielelezo vyote na kuvirusha through e mail to Tz na Uholanzi kwenye head quarter ya mahakama ya jinai ya uhalifu wa kivita. Then hatd copy angeiihifadhi sehemu ambayo ingekuwa rahisi kuwa retrived baada ya kumalizana na kina generali.
Kaka hii riwaya inaongelea wakati ambao tulikuwa nyuma ya hizo tekinolojia unazosema especially africa.
Mtunzi hapokei simu yake. Nimepiga siku ya jumamosi zaidi ya mara mbili lakini hakuna majibu.Wadau kama nilivyoahidi leo naanza kuishusha riwaya ya tai kwenye mzoga mpaka mtunzi atakavyonielekeza tofauti. Mtunzi wa riwaya hii ni yule yule KELVIN e. MPONDA. Wasiliana naye kwa namba 0688058669
VITABU vya TAI KWENYE MZOGA, MIFUPA 206 na UFUKWE WA MADAGASCAR sasa
vinapatikana sehemu zifuatazo hapa nchini.
DAR ES SALAAM
-Posta pembeni ya Mnara wa Askari, nje ya duka la madawa la JB Pharmacy.
-Namba za wakala; 0713454152
; 0755454152
Stendi Kuu ya Mabasi ya mkoani UBUNGO.
-Namba ya Wakala; 0715546000
Duka la Kona ya Riwaya, Kinondoni,
-Namba ya wakala; 0655428085
MOSHI TOWN
-Namba za Wakala; 0754963999
; 0654241700
ARUSHA
Chini ya Mti karibu ya Idara ya Maji
-Namba ya wakala : 0755366822
: 0655366822
Opposite/ Mkabala na Benki ya Stanbic
-Namba ya wakala ; 0715413369
; 0762413369
-Duka la Vitabu la Case Book Store, Naaz
-Duka la Vitabu la Y2K Booshop Ilipo stendi ya mabasi ya Dar Express
IRINGA
-Duka la Vitabu la LUTENGANO
Namba ya muuzaji; 0767361984
-Mnara wa saa kwa wauza magazeti
Namba za mawakala; 0755860480
; 0752518911
:0763500396
MWANZA
-Duka la Vitabu la Victoria Education Centre, Eneo la Kemondo;
-Namba za wakala : 0754057315
-Pembeni ya jengo la NSSF, Mtaa wa Kauma
Namba za wakala ;0755950328
;0685182331
Wakala Tobias Edwin: 0746101949
-Mtaa wa Liberty, pembeni ya jengo la SEMIRA
Namba ya wakala ;0762002992
KWA MAELEZO ZAIDI:
Tembelea Ukurasa wa facebook wa mwandishi; Riwaya za Mwandishi Kevin Mponda.
Namba za simu za mwandishi; 0688058669/0713419558/0753382210.
Ana namba mbili tofauti.pia ni mzito sana wa kupokea simu. Hata mimi anaweza asinipokelee simu sijui ni kwa nini.Mtunzi hapokei simu yake. Nimepiga siku ya jumamosi zaidi ya mara mbili lakini hakuna majibu.
Ndo maana Huna adabu kwenye kundi la watuMkuu tatizo sio kila mtu yupo Tanzania..
Nipo Nyanza Burundi..
Though nsishi zanz
Big up bro[emoji122][emoji122][emoji122]Nitaimaliza hii riwaya humu. Amini nawaambia
Ndo maana Huna adabu kwenye kundi la watu
mkuu usisahau ni mwaka 94 hio ohooHii ishu ya Kutuma zile nyaraka kwa kutumia huduma ya posta tena kwenda Tanzania haijakaa vizuri. Labda kwa kuwa ni riwaya. Lakini kiuhalisia wanajeshi wa Rwanda lazima wange anticipate such a move na wangekaba maeneo yote ambayo Luteni kanali angeweza kupeleka parcel kuituma Tz. Option nzuri ilikuwa jamaa a scan vielelezo vyote na kuvirusha through e mail to Tz na Uholanzi kwenye head quarter ya mahakama ya jinai ya uhalifu wa kivita. Then hatd copy angeiihifadhi sehemu ambayo ingekuwa rahisi kuwa retrived baada ya kumalizana na kina generali.
Cwez bishana na mrundi tahira weweAsubuhi ulipoenda choni kunya akili uliziflash na maji pamoja na mavi
Cwez bishana na mrundi tahira wewe
mkuu usisahau ni mwaka 94 hio ohoo