Riwaya ya kipelelezi: Wakala wa Siri

hii riwaya imeisha bado?? kama imeisha nianze kama bado bye bye baba jeni.
 
Samahani kwa usumbufu hIi riwaya ilikua ni kionjo tu kitabu full kina kuja kwa Bei ya 15000/= tu hapatakua na ongezeka la episodes zingine kwa apa JF nicheki Pm kwa maelezo zaid
 
Samahani kwa usumbufu hIi riwaya ilikua ni kionjo tu kitabu full kina kuja kwa Bei ya 15000/= tu hapatakua na ongezeka la episodes zingine kwa apa JF nicheki Pm kwa maelezo zaid
Acha uongo
 
Robert tunaomba utuambie ukweli kama hii Tamthilia inaendelea au La! Maana mara ya Mwisho umepost OCTOBER 12. Ni mwezi umepita kimyaaaaa
 
Hatimae nmeikuta foleni
Basi sawa ngoja tuendelee kusubiri
 
Kaa kwa kutulia kabisa maana watu huku hawana kelele hata ukiwaudhi wanakwa kimya!!![emoji1787][emoji1787]
Nimetandika na mkeka kabisa nikichoka nalala
Kwani Huyo ndugu mwandishi hajaja kututakia heri ya mwaka mpya
 
Kweli kabisa! Boring
 
Hapa ndo unapokera Kama nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…