CarlesSerra
Senior Member
- Aug 21, 2012
- 105
- 38
wadau nina kacorola kangu E100 kameisha hii kitu inaitwa Road licence tangu tar 24 May 2013 nataka kwenda kulipia upya je kwa uchelewaji huo mdogo nitapigwa penalty? au? na kwa sasa gharama kwa gari kama hiyo ni kiasi gani? nimesikia tena sasa hivi ukilipia road licence kuna mambo ya fire tena huko huku hii ni kiasi gani?
Nawakilisha
Nawakilisha