Robert Alai: Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night

Robert Alai: Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night

Valar morghulis(wanadamu wote lazima wafikwe na mauti)

Valar dohaeris(wanadamu wote lazima watumikie),(GOT)

Wapumzike pema wote waliotangulia.
Mauti ni njia ambayo kila mmoja wetu hana budi kuipitia.
 
Lini na wapi serikali ilitangaza kuwa kwa kipindi hiki ni serikali ndiyo itakuwa inazika misiba bila kujali mtu amekufa kwa ugonjwa upi?!

Unataka kusema hivi sasa ndugu akifa hata kwa kugongwa gari watu tunatakiwa kwenda kuripoti serikalini ili wafuate maiti na wakaizike wao?

Ikiwa PM akizungumzia suala la misongamano; kwa issue ya kwenye mabaa amesema "watu wawe makini".

Hivi ikiwa hata Walevi wanaruhusiwa waendelee kula maji ya dhahabu but "wawe makini" hivi unaamini kabisa serikali imejitwisha jukumu la kuzika maiti, na wala sio wanazozika ni special cases?!

Acheni fix bhana
Nmesikiliza BBC pia Kenya ni hivyo hivyo mtu akifariki anazikwa na watu wachache na selikali inasimamia haijalishi kafa kwa ugonjwa gani.

Hiyo ni moja ya mikakati ya selikali kuzuia maambukizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitumia takwimu za chadema unaweza kudhani kuna watu laki 5 wanafariki kila siku, tumia commonsense hapo mtaani kwako kama kuna watu 10 wamefariki wiki hii jua hali ni mbaya lkn kama misiba ipo kawaida kama miaka 10 iliyopita basi na wewe jiongeze. Tokea Januari misiba imetokea mitano hapa mtaani ambayo ni hali ya kawaida kwa mtaani kwangu
Tokea januari msiba umetokea mmoja mtaani kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani chadema wametoa takwimu? Mbona press conference yao ilizuiwa sasa wametoa lini na ziko wapi hizo takwimu?
Ukitumia takwimu za chadema unaweza kudhani kuna watu laki 5 wanafariki kila siku, tumia commonsense hapo mtaani kwako kama kuna watu 10 wamefariki wiki hii jua hali ni mbaya lkn kama misiba ipo kawaida kama miaka 10 iliyopita basi na wewe jiongeze. Tokea Januari misiba imetokea mitano hapa mtaani ambayo ni hali ya kawaida kwa mtaani kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmesikiliza BBC pia Kenya ni hivyo hivyo mtu akifariki anazikwa na watu wachache na selikali inasimamia haijalishi kafa kwa ugonjwa gani.

Hiyo ni moja ya mikakati ya selikali kuzuia maambukizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaleta habari za Kenya wakati mimi nazungumzia Tanzania!!

Kenya hawana kificho, na ndio maana daily wanatoa updates!

Sio tu kila cku wanatoa updates, bali wanatoa hata idadi ya testing ambao kwa sasa ni zaidi ya 15K.

Kinyume chake, Tanzania ni full kuficha ficha!!

Kutokana na hilo ndio maana nimehoji ni lini serikali ilitangaza kuanza kuzika maiti ZOTE bila kujali marehemu amekufa kwa ugonjwa gani ili tuamini hao iliowazika wapo waliotokana na ajali, matatizo ya uzazi, malaria, moyo n.k lakini hakuna wa coronavirus cuz' for days now, namba bado imeganda kwenye vifo 10 kama ambavyo huwa zinaganda Views za Ali Kiba YouTube!!!
 
Unaleta habari za Kenya wakati mimi nazungumzia Tanzania!!

Kenya hawana kificho, na ndio maana daily wanatoa updates!

Sio tu kila cku wanatoa updates, bali wanatoa hata idadi ya testing ambao kwa sasa ni zaidi ya 15K.

Kinyume chake, Tanzania ni full kuficha ficha!!

Kutokana na hilo ndio maana nimehoji ni lini serikali ilitangaza kuanza kuzika maiti ZOTE bila kujali marehemu amekufa kwa ugonjwa gani ili tuamini hao iliowazika wapo waliotokana na ajali, matatizo ya uzazi, malaria, moyo n.k lakini hakuna wa coronavirus cuz' for days now, namba bado imeganda kwenye vifo 10 kama ambavyo huwa zinaganda Views za Ali Kiba YouTube!!!

Nmekwambia selikali kuzika watu kama hao ni moja ya mikakati ya kupunguza maambukizi si hapa tu hata Kenya wanafanya hivyo.

Huku mtaani hata mtu akifa kwa ajali selikali ya mtaa inasimamia ili watu wasirundikane msibani na mazikoni wanaenda watu wachache.

NI MOJA YA MKAKATI WA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmekwambia selikali kuzika watu kama hao ni moja ya mikakati ya kupunguza maambukizi si hapa tu hata Kenya wanafanya hivyo.
Huku mtaani hata mtu akifa kwa ajali selikali ya mtaa inasimamia ili watu wasirundikane msibani na mazikoni wanaenda watu wachache.
NI MOJA YA MKAKATI WA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli
 
Lini na wapi serikali ilitangaza kuwa kwa kipindi hiki ni serikali ndiyo itakuwa inazika misiba bila kujali mtu amekufa kwa ugonjwa upi?!

Unataka kusema hivi sasa ndugu akifa hata kwa kugongwa gari watu tunatakiwa kwenda kuripoti serikalini ili wafuate maiti na wakaizike wao?

Ikiwa PM akizungumzia suala la misongamano; kwa issue ya kwenye mabaa amesema "watu wawe makini".

Hivi ikiwa hata Walevi wanaruhusiwa waendelee kula maji ya dhahabu but "wawe makini" hivi unaamini kabisa serikali imejitwisha jukumu la kuzika maiti, na wala sio wanazozika ni special cases?!

Acheni fix bhana
Mkuu, kuna watu wengi wanakufa na magonjwa yao ya zamani, ni vigumu kuendelea na utaratibu wa zamani wa mazishi kabla corona haijaingia TZ.

Mazishi ya zamani hayakujali mikusanyiko siju hizi mkikaribiana tu basi mmeshaambukizana maradhi ya mchina.
 
Back
Top Bottom