Isayalussy11
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 695
- 1,058
Utatia huruma sana ! Yaani umekaa kabisa kwa akili zako Unadhani Rais atapelekwa ICC ! Utasubiri sana! .Unasema???? Unadhani ICC ni mahakama zenu za gachacha kama Kisutu eeeh???? Subirini sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utatia huruma sana ! Yaani umekaa kabisa kwa akili zako Unadhani Rais atapelekwa ICC ! Utasubiri sana! .Unasema???? Unadhani ICC ni mahakama zenu za gachacha kama Kisutu eeeh???? Subirini sasa
La Amsterdam kaweka hadi mauaji ya Ben Saanane, Azory Gwanda, watu 400 mkuranga na kupigwa risasi Tundu LissuMaria Sarungi si alishatushtaki kama Taifa? Au mashtaka mawili tofauti?
Sasa nakushauri ndugu. Jiandae tu. Sasa ni mwisho wenu kuishi kwa mazoea ya kuonea wengineUtatia huruma sana ! Yaani umekaa kabisa kwa akili zako Unadhani Rais atapelekwa ICC ! Utasubiri sana! .
CCM wana polisi, sisi wananchi tuna wazungu.Mmeshindwa kupambania freedom hapa Tanzania kwa maandamano aliyoitisha Lissu wenu ,mkamsaliti !.Leo hii mnaona wazungu wakombozi wenu! Mpo kama Nyumbu hivi! Mnashindwa kujisaidia Alafu mnataka msaidiwe,!.
Kwahiyo tuna kesi mbili tofauti? Au Maria Alipuuzwa na ICC? Kwani hawakushirikiana kufungua kesi?La Amsterdam kaweka hadi mauaji ya Ben Saanane, Azory Gwanda, watu 400 mkuranga na kupigwa risasi Tundu Lissu
For a change, wazungu sasa ndiyo freedom fighters kwa niaba yetu Watanzania.
Kwa kifupi Kuna maombi 3 yamepelekwa na watu tofauti. Hii ya Robert Amsterdam ndo ya kufa mtu maana ameunganisha hadi mauaji ya kina Ben Saanane. Azory Gwandwa na wengineoKwahiyo tuna kesi mbili tofauti? Au Maria Alipuuzwa na ICC? Kwani hawakushirikiana kufungua kesi?
Tuachieni mzungu wetu. Tumempenda wenyewe!Unatoa 017? Wanawake tupo acha ujinga
keyboard worrior! Endelea kupambana ndugu mpaka 2025 !.Myafikiriayo Hayatafanikiwa kamwe !.Mzee ICC sio Kisutu. Jiandaeni tu
Huyu Mzungu yeye ananufaika vipi na hizi kesi? Ni kwamba anatuonea huruma Watanzania!? Au ana Agenda yake ya siri?Kwa kifupi Kuna maombi 3 yamepelekwa na watu tofauti. Hii ya Robert Amsterdam ndo ya kufa mtu maana ameunganisha hadi mauaji ya kina Ben Saanane. Azory Gwandwa na wengineo
Ni pro bono tuHuyu Mzungu yeye ananufaika vipi na hizi kesi? Ni kwamba anatuonea huruma Watanzania!? Au ana Agenda yake ya siri?
Time will tell.Hakuna kitu kama hicho, huyu Muzungu Amsterdam is just doing his job, amelipwa kufanya anavyofanya, ...
Endelea kuishi kwa mazoea. This is a new era.keyboard worrior! Endelea kupambana ndugu mpaka 2025 !.Myafikiriayo Hayatafanikiwa kamwe !.
Pro bono ni nini mkuu?Ni pro bono tu
Pro bono ni nini mkuu?
Mwanasheria wa Lissu huyo na ni kampuni hio sio Mtu Binafsi, Yupo kazini hapo yani kalipwa na Sijui Lissu hela katoa wapiHuyu Mzungu yeye ananufaika vipi na hizi kesi? Ni kwamba anatuonea huruma Watanzania!? Au ana Agenda yake ya siri?
Time will tell.
As long as CCM wanatumia polisi, sisi wananchi nasi tutawatumia wazungu.
Ngoma droo, huh?
Mwisho wetu upi? Unaozungumzia wewe keyboard worrior wa JF?Sasa nakushauri ndugu. Jiandae tu. Sasa ni mwisho wenu kuishi kwa mazoea ya kuonea wengine