Karibu Sana
JF-Expert Member
- Mar 14, 2020
- 991
- 1,765
Another comedy from saccos [emoji16] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka Mwaka 2005 mlikua mkihubiri hii kauli lakini mpaka leo Ccm inazidi kuimarika tu.. Tatizo wapinzani hawapo commited katika kuiondoa Ccm. Wao wapo kwa maslahi na fursa tu.Magu ataondoka na CCM yake. Hakika chenye mwanzo kina mwisho.
Labda anataka kuonja ladha ya nya ya mzunguUnatoa 017? Wanawake tupo acha ujinga
Na siku polisi wakija kugeuza mitutu yao dhidi ya CCM?Unajidanganya, siku chadema wasipo transfer hela kwenye akaunti ya huyo Muzungu ndiyo mwisho wa hizi drama zote, ila angalieni tu deni lisiwazidi akawageuka, huyo ni Myahudi, ...
Hadi 2025 itafika mkiwa mnahangaika na ujingaJamaa wanabana kila upande, huku EU, Pompeo, Bunge la Ulaya, Amnesty, kazi wanayo.
Na siku polisi wakija kugeuza mitutu yao dhidi ya CCM?
Utaujua tuMwisho wetu upi? Unaozungumzia wewe keyboard worrior wa JF?
It's a trade off.CCM ni nini/nani hadi waigeuzie mtutu ?
Kuwaelewa bavicha inahitaji uwe zuzuMkuu G Sam kama mlivyojifariji na nyomi za kutengenezwa mitandaoni kuwa NiYeyeee, ndivyo hivyo hivyo kesi ya kusafikika mnaipamba mitandaoni. Au mnadmsahau mauji ya kutisha Kenya na vionhozi wakafunguliwa kesi hukohuko isiyo na miguu wala kichwa!
Mtasubiri sana hao viongozi wenu, wanasiasa uchwara, wenye ulafi wa madaraka, kuiongoza Tanzania.
It's a trade off.
CCM waache kutumia polisi na sisi wananchi tutaacha kuwatumia wazungu.
As simple as freaking that!
Mapimbi wa mhutu , viherehere na vibaraka wa mhutu waimba mapambio ya kusifu na kuabudu wanahaha balaa wiki ngumu sana kwao hii .Jamaa wanabana kila upande, huku EU, Pompeo, Bunge la Ulaya, Amnesty, kazi wanayo.
Mwanasheria wa Lissu huyo na ni kampuni hio sio Mtu Binafsi, Yupo kazini hapo yani kalipwa na Sijui Lissu hela katoa wapi
Lissu Mtu wa ajabu sana
Unajidanganya, siku chadema wasipo transfer hela kwenye akaunti ya huyo Muzungu ndiyo mwisho wa hizi drama zote, ila angalieni tu deni lisiwazidi akawageuka, huyo ni Myahudi, ...
Toka Mwaka 2005 mlikua mkihubiri hii kauli lakini mpaka leo Ccm inazidi kuimarika tu.. Tatizo wapinzani hawapo commited katika kuiondoa Ccm. Wao wapo kwa maslahi na fursa tu.
Another comedy from saccos [emoji16] [emoji23]
Labda anataka kuonja ladha ya nya ya mzungu
Makamanda uchwara mnatia kichefuchefu.
Naona mnazidi kukimbizana na wakati!! Poleni sana jiandaeni tu, ICC ndo iyo. Yaaani mjadiliwe vile na kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU alafu ICC wawaache????? Safari hii lazima muite Maji mmaaaaaa!!!!Hadi 2025 itafika mkiwa mnahangaika na ujinga
Hamna kitu hapo.Unasema???? Unadhani ICC ni mahakama zenu za gachacha kama Kisutu eeeh???? Subirini sasa