Robert Amsterdam awalalamikia Jumuia ya Madola kuhusu Rais Magufuli kukataa Corona ipo

Robert Amsterdam awalalamikia Jumuia ya Madola kuhusu Rais Magufuli kukataa Corona ipo

Usiwe na hasira ndivo walivo wazungu,unakumbuka Mkapa na Basili Mramba waliponunuwa Rada? Ni wao waingereza waliandamana kuishinikiza serikali yao,iturudishie pesa zetu.
Mifano mi mingi tu rafiki angalia milipuko ya Ebora wao hujitolea kwenda na sisi tukiufyata na kuangalia kwenye vyombo vya habari ambovo pia ni vya. Sio kila jambo Lao ni haya ccm mwenzangu.
"Wazungu wazuri sana katika kuanzisha tatizo na ku-offer solution wanapokuwa na jambo lao!" Kuufyata muhimu ikiwa "hujui chanzo... Uta-offer vipi hitimisho?"
 
Sijajua anatakiwa aathirike nani na Korona ndipo serikali iamini kuwa hali ni mbaya country-wise na ianze kusimamia kwa kitendo utekelezaji wa hatua mbalimbali za tahadhari dhidi ya Korona
Mtu anakwambia tuendelee kuonba Corona itaisha
Sasa si bora na hospital ziache kufanya kazi tufanye maombi na kwa magonjwa mengine

Upumbavu mtupu na kukubali akili zetu zishikwe na mtu mmoja
 
"Wazungu wazuri sana katika kuanzisha tatizo na ku-offer solution wanapokuwa na jambo lao!" Kuufyata muhimu ikiwa "hujui chanzo... Uta-offer vipi hitimisho?"
Sidhani kama waliandamana kuishinikiza serikali yao iturudishie pesa wanahusika na uuzaji wa hiyo rada.
 
Kesi yake na Lisu ya The Haugue kuhusu TZ na uchaguzi imeishia wapi?
Yeye na Lisu wanatuchezea akili zenu sisi Bavicha?
 
Huu ni upumbafu mkubwaaaa ndo kusema huyo Amstarderm ana huruma sana na wananchi wa Tanzania, aende zake awaonee huruma nchi yake ambao janga hili pia limeua maelfu ya watu. Tanzania ni nchi huru ina misimmamo yake na wala haiwezi ingiliwa
hiyo misimamo ni yenu sio watanzania wote,
 
Sidhani kama waliandamana kuishinikiza serikali yao iturudishie pesa wanahusika na uuzaji wa hiyo rada.
Unauhakika gani kwamba hawahusiki..njoo na fact sio assumption. Construction of false evidence was started before Juses born 2500years ago
 
Unauhakika gani kwamba hawahusiki..njoo na fact sio assumption. Construction of false evidence was started before Juses born 2500years ago
Oh really you need fact,listen to you're president,mask za nnje zina magonjwa badala yake tutumie za kanga sindio?
 
''Wiki hii kampuni yetu imewasilisha barua ya nyongeza kwa malalamiko yetu mbele ya jumuia ya madola. Kukataa kwa uzembe kwa Magufuli juu ya janga la COVID-19 inawakilisha ukiukaji wa haki za binadamu chini ya Azimio la Harare. ''View attachment 1707444View attachment 1707448View attachment 1707446
View attachment 1707449
Huyu shoga anapiga hela kilaini toka mabeberu wenye kuichukia tanzania. Wala hua hafanikishi kitu ila kuwafurahisha roho kwa muda mfupi wenye kuichukia tanzania.
 
Kule libya aliposhiriki kumuondoa Ghaddafi mbona hatuwasikii akiwahurumia maelfu kwa mamilioni wanaokufa na kuteseka!
 
Mwishowe atakuja kuzungumzia hadi udaku wa mastar wa bongo.
 
Oh really you need fact,listen to you're president,mask za nnje zina magonjwa badala yake tutumie za kanga sindio?
So which word was tough for you to understand him... We ukiona unazo N95 vaa, ukiweza kunyunyiza dawa fanya, ukiweza kuongeza immunite ongeza.... Kula vitamin C, zink na ukiweza kuchanjwa chanjo ishafika Kigali na Nairobi..
 
Kuna siku Tanzania itashitakiwa kusambaza virus vya Coron Duniani..

Chanjo mmegoma
Barakoa hamvai
Kuweka umbali kati yenu mmegoma
Kupima mmegoma
Kutoa record za Corona mmegoma

Yaani sisi ji kama kuishi na jirani mkorofi.
Hao waliofanya yote hayo hayajawasaidia na ndio wanaongoza kwa maafa, utakuwa mtu wa ajabu sana ukidhani kuwa sisi yangetusaidia. Hata hivyo Kama mtu binafsi haujakatazwa kuyafanya yote hayo!!
 
So which word was tough for you to understand him... We ukiona unazo N95 vaa, ukiweza kunyunyiza dawa fanya, ukiweza kuongeza immunite ongeza.... Kula vitamin C, zink na ukiweza kuchanjwa chanjo ishafika Kigali na Nairobi..
Understanding him you need to be a sick person buddy!!! Sitegemei wala sinta..,
 
Understanding him you need to be a sick person buddy!!! Sitegemei wala sinta..,
There is a deference btn understand and agree I think u do understand him but you don't agree with him. Huwezi mkosoa usiye mwelewa... Tunaomwelewa tunaenda nae bila jazba tunabaki kumuombea...!
 
There is a deference btn understand and agree I think u do understand him but you don't agree with him. Huwezi mkosoa usiye mwelewa... Tunaomwelewa tunaenda nae bila jazba tunabaki kumuombea...!
Mtamkimbia woote soon,time will tell.kama walivomkimbia Mugabe,
 
Back
Top Bottom