Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,302
- 2,473
"Wazungu wazuri sana katika kuanzisha tatizo na ku-offer solution wanapokuwa na jambo lao!" Kuufyata muhimu ikiwa "hujui chanzo... Uta-offer vipi hitimisho?"Usiwe na hasira ndivo walivo wazungu,unakumbuka Mkapa na Basili Mramba waliponunuwa Rada? Ni wao waingereza waliandamana kuishinikiza serikali yao,iturudishie pesa zetu.
Mifano mi mingi tu rafiki angalia milipuko ya Ebora wao hujitolea kwenda na sisi tukiufyata na kuangalia kwenye vyombo vya habari ambovo pia ni vya. Sio kila jambo Lao ni haya ccm mwenzangu.
Mmh! Amuache kwani ni ndoa ya lazima?Labda ameona lisu 'hafanyi kazi yake' sawa sawa kwa hiyo anatafuta njia ya kutokea
Umeinama unataka msaada kwa Beberu doh.Anatusaidia watanzania kumtia adabu dikteta jiwe
Mtu anakwambia tuendelee kuonba Corona itaishaSijajua anatakiwa aathirike nani na Korona ndipo serikali iamini kuwa hali ni mbaya country-wise na ianze kusimamia kwa kitendo utekelezaji wa hatua mbalimbali za tahadhari dhidi ya Korona
Sidhani kama waliandamana kuishinikiza serikali yao iturudishie pesa wanahusika na uuzaji wa hiyo rada."Wazungu wazuri sana katika kuanzisha tatizo na ku-offer solution wanapokuwa na jambo lao!" Kuufyata muhimu ikiwa "hujui chanzo... Uta-offer vipi hitimisho?"
hiyo misimamo ni yenu sio watanzania wote,Huu ni upumbafu mkubwaaaa ndo kusema huyo Amstarderm ana huruma sana na wananchi wa Tanzania, aende zake awaonee huruma nchi yake ambao janga hili pia limeua maelfu ya watu. Tanzania ni nchi huru ina misimmamo yake na wala haiwezi ingiliwa
Unauhakika gani kwamba hawahusiki..njoo na fact sio assumption. Construction of false evidence was started before Juses born 2500years agoSidhani kama waliandamana kuishinikiza serikali yao iturudishie pesa wanahusika na uuzaji wa hiyo rada.
Oh really you need fact,listen to you're president,mask za nnje zina magonjwa badala yake tutumie za kanga sindio?Unauhakika gani kwamba hawahusiki..njoo na fact sio assumption. Construction of false evidence was started before Juses born 2500years ago
Huyu shoga anapiga hela kilaini toka mabeberu wenye kuichukia tanzania. Wala hua hafanikishi kitu ila kuwafurahisha roho kwa muda mfupi wenye kuichukia tanzania.''Wiki hii kampuni yetu imewasilisha barua ya nyongeza kwa malalamiko yetu mbele ya jumuia ya madola. Kukataa kwa uzembe kwa Magufuli juu ya janga la COVID-19 inawakilisha ukiukaji wa haki za binadamu chini ya Azimio la Harare. ''View attachment 1707444View attachment 1707448View attachment 1707446
View attachment 1707449
Akili changa kwelikweli weweAmemchoka Lissu Sasa kila siku anahangaika na Magufuli
Kwa kuropoka uko vizuriSafi Jiwe aje abebwe kama jenerali Noriega , hafai kabisaaa .
So which word was tough for you to understand him... We ukiona unazo N95 vaa, ukiweza kunyunyiza dawa fanya, ukiweza kuongeza immunite ongeza.... Kula vitamin C, zink na ukiweza kuchanjwa chanjo ishafika Kigali na Nairobi..Oh really you need fact,listen to you're president,mask za nnje zina magonjwa badala yake tutumie za kanga sindio?
Hao waliofanya yote hayo hayajawasaidia na ndio wanaongoza kwa maafa, utakuwa mtu wa ajabu sana ukidhani kuwa sisi yangetusaidia. Hata hivyo Kama mtu binafsi haujakatazwa kuyafanya yote hayo!!Kuna siku Tanzania itashitakiwa kusambaza virus vya Coron Duniani..
Chanjo mmegoma
Barakoa hamvai
Kuweka umbali kati yenu mmegoma
Kupima mmegoma
Kutoa record za Corona mmegoma
Yaani sisi ji kama kuishi na jirani mkorofi.
Understanding him you need to be a sick person buddy!!! Sitegemei wala sinta..,So which word was tough for you to understand him... We ukiona unazo N95 vaa, ukiweza kunyunyiza dawa fanya, ukiweza kuongeza immunite ongeza.... Kula vitamin C, zink na ukiweza kuchanjwa chanjo ishafika Kigali na Nairobi..
There is a deference btn understand and agree I think u do understand him but you don't agree with him. Huwezi mkosoa usiye mwelewa... Tunaomwelewa tunaenda nae bila jazba tunabaki kumuombea...!Understanding him you need to be a sick person buddy!!! Sitegemei wala sinta..,
Mtamkimbia woote soon,time will tell.kama walivomkimbia Mugabe,There is a deference btn understand and agree I think u do understand him but you don't agree with him. Huwezi mkosoa usiye mwelewa... Tunaomwelewa tunaenda nae bila jazba tunabaki kumuombea...!
Huyu jamaa na wale wanaomtuma ni wapenda majanga (sadists), naona ame capitalise kwenye vifo''Wiki hii kampuni yetu imewasilisha barua ya nyongeza kwa malalamiko yetu mbele ya jumuia ya madola. Kukataa kwa uzembe kwa Magufuli juu ya janga la COVID-19 inawakilisha ukiukaji wa haki za binadamu chini ya Azimio la Harare. ''
View attachment 1707444View attachment 1707448View attachment 1707446
View attachment 1707449