Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam na Sheikh Ponda ndio watakaomuangusha Lissu

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam na Sheikh Ponda ndio watakaomuangusha Lissu

Heri mzungu kuliko mkoloni mweusi.
Mnajishusha thamani sana... anyway baada ya wiki moja kupita tutarudi humu kuongelea sherehe ya kuapishwa JPM baada ya hapo mtarudi kuongelea flani na flani hawafai kwenye baraza la mawaziri
 
Tundu lisu hamjui ponda, ponda hatalidhika na uongozi wa Lisu hata siku moja, na baada ya kuitoa CCM ponda ataanza kumtoa Lisu na ndio atajuta kumjua ponda na ajenda zake.
Mbona fresh tu, sisi wengine tunaipenda Tanganyika kuliko tunavyompenda mtu, be it, Magu or Lissu. Ndio maana tunatamani Lissu ashinde na akishinda atupe katiba mpya itakayotusaidia kuwagonga nyundo wote akiwemo na yeye. Sisi wengine tumeolewa na Tanganyika kazi kwenu mlioolewa na Magu.
 
Mnajishusha thamani sana... anyway baada ya wiki moja kupita tutarudi humu kuongelea sherehe ya kuapishwa JPM baada ya hapo mtarudi kuongelea flani na flani hawafai kwenye baraza la mawaziri
Ndio hivo mzungu utajua kweli huyu nimkolon, kuliko hawa pimbi tunaowazid maarifa na wanalazimisha wabaki madarakni kwa nguvu ya dola tutapambana nao awamu hii.
 
Ndio hivo mzungu utajua kweli huyu nimkolon, kuliko hawa pimbi tunaowazid maarifa na wanalazimisha wabaki madarakni kwa nguvu ya dola tutapambana nao awamu hii.
Kwa kura zipi, kaskizini ngome imewatema, yani labda singida nyumbani kwa Lissu na Mkoa wa Mara kidogo ila kwingine mna kaI kweli kweli
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.
Wewe kumbe ni CCM ?
 
CCM tayari ni magaidi kitendo cha kwenda Dodoma kumpiga risasi ni ugaidi huo
Waliangusha kadi za CCM pale alipopigwa risasi?

Maajabu ya CCM risasi zinapigwa kutolea upande wa kushoto zinaenda kuingilia kutokea upande wa kulia...
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.

Mmeishiwa hoja mmekamatika,Kama tumeshindwa kujiongoza hata kwa kufuata tu katiba tulizojiwekea kwann tusiombe msaada kwa jirani.

Matendo yenu mabaya dhidi ya watz 5 yrs ndio kitanzi chenu, wakati mnampiga Ponda na TL risasi mliwahi waza ya leo? Vuneni mlichopanda. Robert apigi kura.
 
Mbona fresh tu, sisi wengine tunaipenda Tanganyika kuliko tunavyompenda mtu, be it, Magu or Lissu. Ndio maana tunatamani Lissu ashinde na akishinda atupe katiba mpya itakayotusaidia kuwagonga nyundo wote akiwemo na yeye. Sisi wengine tumeolewa na Tanganyika kazi kwenu mlioolewa na Magu.
Atanyongwa kama yule wa misri aliyefanya maandamano kisha alipoingia madalakani akabadili katiba ambayo ilikiwa msumali kwa wananchi, mwaka mmoja tu wakamtoa kwa maandamano na kunyongwa.
Sasa wewe mbinua kiuno unayetaka katiba mpya unajua ina maudhui gani au ndo yale ya ushoga ili muwe mnabinua viuno kwa uhuru na haki?
Tanzania bila ushoga inawezekana.
 
Hoja zote hizi ni mufulisi. Kuzijadili ni kupoteza muda.
Lakini jibu umelipata kutoka hizo hoja ulizoziita mufilisi. Jamaa kaambulia 12%, tena ana bahati sana, ilibidi apate 3.5% tu.
 
Ponda hujui nguvu aliyonayo kwa waislamu, sisi waislam ndio tunajua kwa nini Ponda anasema tumpigie kura Lissu. Maadam Shekhe Ponda kasema nanikiongozi wetu basi tutatekeleza.

Kama huamini subiri uone maeneo yenye waislam wengi kama Magufuli atachomoka, nasababu nikuwa tunamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda. Hata wanaccm lilia kama Pohamba watampigia kura Lissu, kwa maana watamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda.
Vipi mkuu Ponda ana nguvu?
 
Ponda hujui nguvu aliyonayo kwa waislamu, sisi waislam ndio tunajua kwa nini Ponda anasema tumpigie kura Lissu. Maadam Shekhe Ponda kasema nanikiongozi wetu basi tutatekeleza.

Kama huamini subiri uone maeneo yenye waislam wengi kama Magufuli atachomoka, nasababu nikuwa tunamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda. Hata wanaccm lilia kama Pohamba watampigia kura Lissu, kwa maana watamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda.
Vipi umejariu kulipitia hili andiko lako baada ya matokeo, kisha ukawaza nini ulimaanisha?
 
Back
Top Bottom