Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Ningekuwa mimi ningeona aibu kuliko kuinesha huu ujinga wako hapaKuna tofauti kubwa sana.
Trump katumia vibaka wa mtaani siyo mapolisi na majeshi ya walipa kodi kama huku kwetu wanavofanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekuwa mimi ningeona aibu kuliko kuinesha huu ujinga wako hapaKuna tofauti kubwa sana.
Trump katumia vibaka wa mtaani siyo mapolisi na majeshi ya walipa kodi kama huku kwetu wanavofanya.
Thubutu hakuna nchi ya Afrika inaweza toa neno loloteBalozi wa Tanzania nchini Marekani hajatoa tamko lolote?
Aisee!!Balozi wa Tanzania nchini Marekani hajatoa tamko lolote?
Kile kitendo cha trump kulialia kaibiwa kura, na kitendo cha jana cha wafuasi wake kuvamia ukumbi wa bunge la marekani, zimetia doa sana kuke kujinasibu kama mababa wa demokrasia. Usishangae mike pompeo anaibuka na kukemea chaguzi za nchi zingine, huku kwako hata kukemea hiyo hali hakuna. udouble standard wakijinga sana huo. Better watu wasiwe wanaingilia mambo ya ndani ya nchi husika PERIODNashauri Lisu arudi tu maana jamaa zake ndio hao nao wanaharibu
Hao vibaka wa trump sio watu ila vibaka wa tanzania ndo watu?Kuna tofauti kubwa sana.
Trump katumia vibaka wa mtaani siyo mapolisi na majeshi ya walipa kodi kama huku kwetu wanavofanya.
Tena hakuna nchi ya jijinga kana ile USA!Kile kitendo cha trump kulialia kaibiwa kura, na kitendo cha jana cha wafuasi wake kuvamia ukumbi wa bunge la marekani, zimetia doa sana kuke kujinasibu kama mababa wa demokrasia. Usishangae mike pompeo anaibuka na kukemea chaguzi za nchi zingine, huku kwako hata kukemea hiyo hali hakuna. udouble standard wakijinga sana huo. Better watu wasiwe wanaingilia mambo ya ndani ya nchi husika PERIOD
STUPID STATEMENT FROM A RUBBISH MIND!ambapo uchaguzi ulikuwa huru na haki and there was a peaceful transfer of power.
Kumbe wakitwaji mpo wengi!!Kama wamarekani watafungua mashtaka kwanini yasifuatiliwe hayo ni yao na sisi tuna yetu? Tanzania, Robati hakuja mwenyewe ,wahusika waliohisi wamedhulumiwa wamepeleka malalamiko na ushahidi wa kideo.
halafu naona mnafananisha tembo na panya.
Kweli kabisa.Marekani wananyooshwa na nguvu ya uimara wa taasisi zao tofauti na hapo Trump asingeachia madaraka
Duniani hakuna haki, wanaopigania haki duniani huishia kuumia wao wenyewe na uzuri Mungu alishaliweka wazi, tatizo watu tuna vichwa vigumu, alishasema Kama unataka haki fight kwenda mbinguni, duniani huku ni sarakasi mwanzo mwisho na hyo ipo approved na mbingu
Taasisi ya kule itamwondoa tu si kama huku unaweza ukapingana na rais na ukatumia vyombo vya ulinzi na usalama kupambana na wapambe na wakereketwa wa Rais?Yaliyotokea Capitol Hill, sehemu ambayo nimefika, yanasikitisha.
Tukifikiri Wamarekani ni Superpower wa Demokrasia lakini hili tukio nimewadharau sana .
Now they have less and less moral right to point fingers at other countries.
Trump ni kama a Banana Republic Dictator anayetaka kubaki madarakani at all cost!
Donald Trump si dikteta bali ni jambazi la kisiasa, off course is a businessman that sums up all.Yaliyotokea Capitol Hill, sehemu ambayo nimefika, yanasikitisha.
Tukifikiri Wamarekani ni Superpower wa Demokrasia lakini hili tukio nimewadharau sana .
Now they have less and less moral right to point fingers at other countries.
Trump ni kama a Banana Republic Dictator anayetaka kubaki madarakani at all cost!
It's a complete a disgrace for a country, which it position itself as role model for democratic leadership around the global. it failed to upheld democratic transition of power, that had led to the claim of 4 lives of people.Yaliyotokea Capitol Hill, sehemu ambayo nimefika, yanasikitisha.
Tukifikiri Wamarekani ni Superpower wa Demokrasia lakini hili tukio nimewadharau sana .
Now they have less and less moral right to point fingers at other countries.
Trump ni kama a Banana Republic Dictator anayetaka kubaki madarakani at all cost!