Robert Heriel anafanana mno na Michael Scofield

I couldn't expect a grown man who still lives with his mamma to understand the machinations of love.
 
litutumbwe akiwa anaandika nyuzi kama hizi akili yake huwa inatetemeka, mikono inakosa balance anakua na michapio kibao maana sio mambo yake, akirudi kwenye zile nyuzi zake za kuingia kwenye mwili wa mkewe huwa hakosei kabisa.
 

Wiki hii upepo umenipitia walahi.
Nashukuru Sana Mkûu.

Kutajwa tajwa hasa na Watu usiowajua kwamba wanapenda Kile unachokifanya inafurahisha Sana walahi. Siô Siri kupongezwa inaraha Sana😀😀

Umenifurahisha Hapo uliposema napenda Wanawake Wazuri. Mkûu Wanawake Wazuri ni tulizo la Moyo na Àkili. Waliumbwa kwaajili yetu hivyo huo siô udhaifu😊😊

Mwisho, narudia tenà Ahsante sana
 
Mimi Naamini hata ninyi mnaweza kuandika haya ninayoandika semà siô Hobby Yenu.
Hapana binafsi siwezi kuandika jambo nina vitu vingi navijua napenda kila mtu ajue hasa humu, ila nakosa fursa hii kwa sababu ya kushindwa kuandika tu🤔
 
Unasemaaaa!!!
 

Attachments

  • IMG_3145.jpeg
    503.1 KB · Views: 3
Acha weee…
 

Attachments

  • IMG_3145.jpeg
    503.1 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…