Hii ni changamoto ya wengi wetu, hata pale unapojitutumua unaboronga vibaya.Hapana binafsi siwezi kuandika jambo nina vitu vingi navijua napenda kila mtu ajue hasa humu, ila nakosa fursa hii kwa sababu ya kushindwa kuandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni changamoto ya wengi wetu, hata pale unapojitutumua unaboronga vibaya.Hapana binafsi siwezi kuandika jambo nina vitu vingi navijua napenda kila mtu ajue hasa humu, ila nakosa fursa hii kwa sababu ya kushindwa kuandika
you gotta learn to boost your audience 😀 😀 😀Litutumbwe na mtebeli ni mtu mmoja kaamua kujipigia promo,
litutumbwe huyu jamaa si ana tabia za ki-pdidy au nimemfananisha si ndio anasema eti anapenda ku au basiRobert Heriel Mtibeli ni kijana smart sana katikati ya kundi kubwa la sisi vijana tunaowaza ngono na kubeti muda wote, hongera kwake.
Hapana binafsi siwezi kuandika jambo nina vitu vingi navijua napenda kila mtu ajue hasa humu, ila nakosa fursa hii kwa sababu ya kushindwa kuandika tu🤔
Binafsi sijawahi hata kujitutumua ila huwa naona nina vingi vya kuandika humu ila now kwa viwango vya huku naona sina uwezo 🤔Hii ni changamoto ya wengi wetu, hata pale unapojitutumua unaboronga vibaya.
Huyu na yulee kibongee hawa ndo wamezamia mazima, ilianza km masikharaaa vilee.Hii stori nilisikia kwa rapa lily nax sijui kama ni kwel
Mkuu nitakutumia audio uchambue halafu uandike watu tu wajue nitalipa🤣🤣Pole Sana Mkûu.
Siô Hobby yako.
Mimi Kwa mfano ukiniambia unipe Pesa ili niandike Huwezi Amini Akili inalog off
Ndiye nani ?Hiki ndicho kipande chako baada ya kurekebisha alama za uandishi:
Kwa muda sasa, najaribu kumchunguza kijana huyu anaye fahamika kama Robert Herieli almaarufu Mtibeli.
Kupitia maneno yake na tabia zake humu mtandaoni (sijajua offline), anafanana wazi kabisa na Michael Scofield. Kwa nini? Binafsi naona kijana ana uwezo mkubwa mno wa kiakili (kupitia maneno yake).
Michael Scofield, halikadhalika, hasa katika uhusika wa movie ya Prison Break, ana akili nyingi sana. Namfananisha na huyu kijana copyright.
Halikadhalika, namlinganisha na Michael Dudikoff, yule mwigizaji wa American Ninja, kwa ujasiri na kutopendelea. Kupitia maandiko yake, nimeona kijana huyu ni upanga ukatao kuwili—hana upendeleo. Sijajua offline yupo vipi.
Namlinganisha na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kwa ubabe wake na misimamo yake humu ndani.
Sijajua offline yupoje, ila itapendeza sana ikiwa offline pia atakuwa hivi.
LAKINI,
Huyu kijana kupitia maandiko yake, anaonekana ana udhaifu sehemu moja, eneo ambalo ni muhimu mno... Ana udhaifu mkubwa sana kwa wanawake wazuri. Hii si nzuri sana kwake; anaweza kurekebisha akiona inafaa.
Kijana anaonekana hana kauli kwa wanawake wazuri, ingawa akiwa jukwaani huonekana ana kauli na strict mno, ila anaonesha akishaongeleshwa tu basi akili inaruka kabisa. Udhaifu mkubwa mno...
All in all, tuna vijana wachache wa mfano huu, na wish siku moja apewe tuzo/udaktari wa heshima. Hii ni tunu, tuitunze.
😅 ila ngoma za lily nax ni kali kinyamaHuyu na yulee kibongee hawa ndo wamezamia mazima, ilianza km masikharaaa vilee.
Woiiiiiiih
Sijui mkuu wangu😁litutumbwe huyu jamaa si ana tabia za ki-pdidy au nimemfananisha si ndio anasema eti anapenda ku au basi
Mkuu nitakutumia audio uchambue halafu uandike watu tu wajue nitalipa🤣🤣
Kwanini bro?Mkûu nasubiri.
Umenichekesha Sana😃
Sikiliza ngomaa zake, usiangalie mengineee eti.[emoji28] ila ngoma za lily nax ni kali kinyama
Na mimi huwa ndivyo nilivyo huwa naangalia au kusikiliza busara za mtu na sio mambo yake ya binafsiSikiliza ngomaa zake, usiangalie mengineee eti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini bro?
🤣🤣🤣 nina audio zangu nitakutumia pm , ila kuandika mtihani😅😅Unasikia uvivu kuandika 😃
Hilo ni robotHawezi kumzidi raraa reree
🤣🤣🤣 nina audio zangu nitakutumia pm , ila kuandika mtihani😅😅