Robert Heriel Mtibeli, kwanini hujatoa tamko lolote kuhusu mashambulizi yaliyofanya na Israel?

Robert Heriel Mtibeli, kwanini hujatoa tamko lolote kuhusu mashambulizi yaliyofanya na Israel?

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Hali gani?

Sifahamu Watibeli mnasalimiana vipi, hivyo naomba nitumie salamu ya kawaida ya kitanzania. Habari!

Nimeshawishika kuja na swali kufuatia vita na migogoro inayoendelea kati ya Israel na Iran.

Kwa kawaida, Wakristo wengi wapo upande wa Israel, na Waislam wengi wapo upande wa Iran.

Sasa, kufuatia kifo cha Haniyeh pamoja na Raisi, nilitegemea ungetoa tamko lolote Mtibeli, ukizingatia ni wazi kabisa kuwa wewe ni Mkristo na moja kwa moja upo upande wa Israel.

Niende kwenye swali sasa:

Kwa nini hukuandika uzi au mchango wowote kwenye nyuzi yoyote, wa kufurahishwa na vifo vya hawa watu wawili, yaani Raisi na Haniyeh? Je, wewe si Mkristo?
Humu ndani wengi wa Wakristo walifurahishwa sana, wakiipongeza Israel kwa sifa tele. Kulikoni wewe?

Haya, niachie ujumbe hapo mlangoni. Nilikuwepo.
Robert Heriel Mtibeli
 
Wewe uliandika na ulihuzunishwa na vifo vilivyotokea tarehe 7/10/2023 vinavyowahusu Wayahudi, Watanzania n.k huko Israel?


mimiamadiwenani
 
Hali gani?
Sifahamu Watibeli mnasalimiana vipi, hivyo naomba nitumie salamu ya kawaida ya kitanzania. Habari!

Nimeshawishika kuja na swali kufuatia vita na migogoro inayoendelea kati ya Israel na Iran...
Si Wakristo wote wanafurahia anachokifanya Israel. Na wala si Waislamu wote wanaobariki ufedhuli wa HAMAS na Hezibollah!.

Na mgogoro huu hauna faida yeyote kwa Mtanzania. Basi ni ushabiki maandazi tu..

Tunafurahi tunasonga mbele. Hivyo, hashurutiki kuyatolea maelezo.

Wewe ni Adinani. Mimi ni Dr Restart.
 
Hali gani?
Nipo salama Mkuu
Sifahamu Watibeli mnasalimiana vipi, hivyo naomba nitumie salamu ya kawaida ya kitanzania. Habari!
😀 Hatuna Salamu Moja na hatutakuja kuwa nayo. Tunatumia salamu yoyote yenye Kulinda heshima ya Mtu na Amani.
Salama Kabisa
Nimeshawishika kuja na swali kufuatia vita na migogoro inayoendelea kati ya Israel na Iran.
Kwa kawaida, Wakristo wengi wapo upande wa Israel, na Waislam wengi wapo upande wa Iran.

Ndîo maana Watibeli Hawana Dini. Mtibeli ni Mtibeli Siku zote. Hamilikiwi na Dini Wala haitumikii Dini Wala hawi mtumwa au shabiki wa Dini. Sisi tunaongozwa na HAKI, KWELI, UPENDO NA AKILI.
Katika hayo tunaishi na Watu wôte Bila kujali wàpo tofauti na Sisi au Laa.
Hakuna Mtibeli atakayekaa upande wa dhulma, uongo, ûjinga, na chuki
Sasa, kufuatia kifo cha Haniyeh pamoja na Raisi, nilitegemea ungetoa tamko lolote Mtibeli, ukizingatia ni wazi kabisa kuwa wewe ni Mkristo na moja kwa moja upo upande wa Israel.
Sipo upande wa Israel Mkûu.

Niende kwenye swali sasa:

Kwa nini hukuandika uzi au mchango wowote kwenye nyuzi yoyote, wa kufurahishwa na vifo vya hawa watu wawili, yaani Raisi na Haniyeh? Je, wewe si Mkristo?
Humu ndani wengi wa Wakristo walifurahishwa sana, wakiipongeza Israel kwa sifa tele. Kulikoni wewe?

Haya, niachie ujumbe hapo mlangoni. Nilikuwepo.
Robert Heriel Mtibeli

Watibeli Msimamo wetu NI kuwa mwenye Haki apewe Haki yake.

Ikiwa njia yoyote itatumika lakini mwenye Haki sharti apewe na apate Haki yake.

Hiyo nchi niya Wapalestina hivyo muisrael ndiye mchokozi.
Ingekuwa Haki Kwa Waisrael kuomba kuishi Hapo Palestina pasipo kutaka kuwa taifa ndàni ya Taífa jingine àmbalo siô Mali Yao.

Ibrahim, Isaka na Yakobo wanaowataja wènyewe waliishi nchi hiyo kama Wageni na Wala siô Wamiliki au weñye Nchi ingawaje mpango wao wa mud mrefu ilikuwa kuipora hiyo nchi na kuifanya Yao.

Kimsingi, kinachoendelea hapo Mashariki ya kati Baina ya Israel na Palestina na dhulma na uonevu.
 
Hali gani?

Sifahamu Watibeli mnasalimiana vipi, hivyo naomba nitumie salamu ya kawaida ya kitanzania. Habari!

Nimeshawishika kuja na swali kufuatia vita na migogoro inayoendelea kati ya Israel na Iran.

Kwa kawaida, Wakristo wengi wapo upande wa Israel, na Waislam wengi wapo upande wa Iran.

Sasa, kufuatia kifo cha Haniyeh pamoja na Raisi, nilitegemea ungetoa tamko lolote Mtibeli, ukizingatia ni wazi kabisa kuwa wewe ni Mkristo na moja kwa moja upo upande wa Israel.

Niende kwenye swali sasa:

Kwa nini hukuandika uzi au mchango wowote kwenye nyuzi yoyote, wa kufurahishwa na vifo vya hawa watu wawili, yaani Raisi na Haniyeh? Je, wewe si Mkristo?
Humu ndani wengi wa Wakristo walifurahishwa sana, wakiipongeza Israel kwa sifa tele. Kulikoni wewe?

Haya, niachie ujumbe hapo mlangoni. Nilikuwepo.
Robert Heriel Mtibeli

Wakristo wanaoshabikia Israeli watakuwa ni mashoga


View: https://x.com/sneako/status/1819119203301183580
 
Israel toa roho za hao mahayawani yaende haraka kwenye madangulo Yao waliyoandaliwa ya wanawake bikra 72
 
Back
Top Bottom