Kama Maghayo hato pata itakuwa ni utapeli maana haiwezi kuwa siriaz hizo couples bila Mongo Barbarian na yeye kuopoa.........mpaka ifike hiyo 14/2 nadhani memba wote humu watakuwa couples, ma'ke wiki hii ni mwendo wa kuanzishiana nyuzi tu, ni kupendana na kuwishiana tu, no way out.......
ππ usimfokee mwenzioWe ni kuwadi? Kipikipiki posta?
Leejay49 ,Kuna thread, umechorewa kule, imeipitia Kweli ππNgoja nikusaidie Kuwaita Donatila Robert Heriel Mtibeli