Robert Heriel na Donatila hawa members mnaonaje wakawa couple bora?

Robert Heriel na Donatila hawa members mnaonaje wakawa couple bora?

Itakuwa jambo la busara Maghayo The Mongo Barbarian akatafutiwa na yeye Couple apumzike matumizi ya bange..
Huyo apewe cocastic au BICHWA KOMWE - ila kuhusu Donatila Kusema aolewe na huyo tapeli mtunzi wa hadithi za uongo unamuonea Dada yetu. Dada yetu ni mstaarabu sana na hatakiwi wala hatakubali kuolewa use wenza kwani huyo Robert Heriel Mtibeli ana mke Binti yetu kimoso japo kama mwazee wa ukoo wa Kimoso tunamwambia afunge ndoa na binti yetu anatupiga chenga. 😀😃😄😁😆😅
 
Huyo apewe cocastic au BICHWA KOMWE - ila kuhusu Donatila Kusema aolewe na huyo tapeli mtunzi wa hadithi za uongo unamuonea Dada yetu. Dada yetu ni mstaarabu sana na hatakiwi wala hatakubali kuolewa use wenza kwani huyo Robert Heriel Mtibeli ana mke Binti yetu kimoso japo kama mwazee wa ukoo wa Kimoso tunamwambia afunge ndoa na binti yetu anatupiga chenga. 😀😃😄😁😆😅

Ninakipaji cha kukemea Mapepo ndio maana nimependekezwa nimchukue mama mtumishi.

Tokaaa! Pepo
Nakemea na kuvunja madhabahu ya juu! Rababababab! Sinonimu alfabetikalelee.
 
Huyo apewe cocastic au BICHWA KOMWE - ila kuhusu Donatila Kusema aolewe na huyo tapeli mtunzi wa hadithi za uongo unamuonea Dada yetu. Dada yetu ni mstaarabu sana na hatakiwi wala hatakubali kuolewa use wenza kwani huyo Robert Heriel Mtibeli ana mke Binti yetu kimoso japo kama mwazee wa ukoo wa Kimoso tunamwambia afunge ndoa na binti yetu anatupiga chenga. 😀😃😄😁😆😅
Kumbe BICHWA KOMWE - ni pisi Kali ? nilidhani dume , basi combination yake na Maghayo itanoga sana..
 
Back
Top Bottom