Robert Kidando, Wakili Msomi wa Serikali ambaye hupewa kazi ya kusimamia kesi nzito nzito na hajawahi kushindwa, na hii kesi ya Mbowe lazima ashinde

Robert Kidando, Wakili Msomi wa Serikali ambaye hupewa kazi ya kusimamia kesi nzito nzito na hajawahi kushindwa, na hii kesi ya Mbowe lazima ashinde

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Robert Kidando Wakili Msomi mtoto wa Daktari Mstaafu Mzee Kidando ni Wakili mtata msomi mwenye kipaji huwa hashindwi kwa kesi zozote

Ni mwadilifu sana namtabiria baada ya kesi hii atapewa Ujaji.

kidando.jpg
 
Robert kidando wakili Msomi mtoto wa Dr mstaafu Mzee kidando ni wakili mtata msomi mwenye kipaji huwa hashindwi kwa kesi zoote ni mwadilifu Sana namtabiria baada ya kesi hii atapewa ujaji
Atashinda siku akibananishwa kwa ushiriki ubambikiaji wa kesi hii mchongo na utakubali ameshindwa bila kuuliza ama kuambiwa🏋️.
 
Hakuna mtawala kandamizi aliyewah kuishi maisha salama! Mungu ana maana yake kuleta yote haya! ilikuwepo dola ya warumi (Roman Empire) na ikaanguka!

Bahati mbaya tuna viongozi ambao kula kuku la broiler ni sifa kuliko kula kuku wa kienyeji! ipo siku
 
Robert Kidando Wakili Msomi mtoto wa Daktari Mstaafu Mzee Kidando ni Wakili mtata msomi mwenye kipaji huwa hashindwi kwa kesi zozote

Ni mwadilifu sana namtabiria baada ya kesi hii atapewa Ujaji.

sikuhizi mnafnya kampeni hadi kwenye kuteuliwa kuwa Majaji?!!
unamuharibia mwenzio, wacha achape kazi aliyo ajiriwa nayo, hayo mengine ni Mpango ya Mungu akipenda.
 
Robert Kidando Wakili Msomi mtoto wa Daktari Mstaafu Mzee Kidando ni Wakili mtata msomi mwenye kipaji huwa hashindwi kwa kesi zozote

Ni mwadilifu sana namtabiria baada ya kesi hii atapewa Ujaji.

USHAHIDID UKO WAZI MBOWE ANAFUNGWA MKIAMBIWA CHUTAMENI MNATAKA KESI MPAKA IISHE MWISHONI NDIYO LISSU ANAANZA KUBEMBELEZA KESI IFUTWE MBONA MWANZO MLIKUWA MNASEMA MPAKA MWISHO ?
 
HUyu wakili wa serikali kama ni kupanga list basi hata namba 6 hapati katika lile jopo la mawakili wa utetezi.
Kesi imebebwa na mihemko ya maelekezo ya kisiasa yaani ni full "upangaji bin michongo."
Ila Mkono wa Mwenyezi Mungu ni mrefu na unafanya kazi haraka sana udhulumati huu utajibiwa na Mola inshAllah
 
Robert Kidando Wakili Msomi mtoto wa Daktari Mstaafu Mzee Kidando ni Wakili mtata msomi mwenye kipaji huwa hashindwi kwa kesi zozote

Ni mwadilifu sana namtabiria baada ya kesi hii atapewa Ujaji.

Hata mlipo mfunga babu Seya ma CCM mlishamgilia Chadema walipo kuja na hoja ya kumtoa babu Seya na ma ccm mkashangilia. CCM imekusanya wajinga tupu kichwani.
Nyerere aliwahi waambia CCM sio mama yake anaweza kuhama hamkuelewa tuu.
 

AVOID EMOTIONS IN CASES, MAGISTRATES TOLD​

07-04-2021 | 17:11



AfricaPress-Tanzania: THE Court of Appeal has warned magistrates to avoid mixing facts and personal biases, attitudes or emotions when conducting cases presented before the court.
Justices Rehema Mkuye, Barkey Sahel and Ignas Kitusi issued the warning when determining an appeal lodged by Said Salum w source : AVOID EMOTIONS IN CASES, MAGISTRATES TOLD
 
18 February 2022
Dar es Salaam, Tanzania

Freeman Mbowe has a case to answer, court rules



The High Court of Tanzania (Corruption and Economic Crimes Division) ruled here on Friday that CHADEMA national chairperson Mr Freeman Mbowe and his three other co-accused have a case to answer in the terrorism and money laundering charges they face.

In an unprecedented development of case No. 16/2021 today, the presiding judge Joachim Charles Tiganga ruled that the general evidence brought against Mr Mbowe together with Halfan Hassan, Adam Kasekwa and Mohamed Lingwenya was sufficient enough to let the case proceed.

“The court, therefore, informs the accused that they can bring forward their defence and even witnesses or they can choose to stay quiet,” Judge Tingatinga told the courtroom that was packed to the brim. “If they [choose to] defend themselves under oath, the prosecution will cross-examine them. If they keep quiet, the court will rule.”

Mr Mbowe was brought before the Kisutu Resident Magistrate Court for the first time on July 26, 2021, accused of taking part in conspiracies to blow up fueling stations and other public gatherings as well as funding terrorist acts before his case was transferred to the High Court. Both Mr Mbowe and the three other accused have denied all charges.

Today’s ruling comes hardly a day after CHADEMA deputy national chairperson Mr Tundu Lissu pleaded with President Samia Suluhu Hassan to instruct the Director of Public Prosecution (DPP) to withdraw the case, calling it an important step towards reconciling with the country’s political actors.

Mr Lissu made the request when he was meeting with the Head of State in Belgium where the Tanzanian leader has been touring for an official visit. Asked by the German broadcaster DW if she would pursue that path, Samia said the matter was in the court and the law interpreting body would rule over it accordingly.

Given Friday’s ruling, it now means that Mr Mbowe and his fellow co-accused will be defending themselves, guided by their legal team, a process that starts immediately

Source : Mbowe has a case to answer, court rules - The Chanzo Initiative

The Chanzo Initiative exists at the interface between advocacy and journalism. It is founded to uplift the voices of the underreported, vulnerable, and marginalized communities in Tanzania with the goal to make Tanzania the best place to live for everyone regardless of class, creed, sexual orientation and nationality
 
Robert Kidando Wakili Msomi mtoto wa Daktari Mstaafu Mzee Kidando ni Wakili mtata msomi mwenye kipaji huwa hashindwi kwa kesi zozote

Ni mwadilifu sana namtabiria baada ya kesi hii atapewa Ujaji.

Huyu fala sio ndio alisema wao mawakili wa serikali ni sehemu ya mahakama watu wapende wasipende ukweli ndio huo?!

Kuna siku atajutia kiburi chake cha kiuwendawazimu
 
Back
Top Bottom