Robert Kidando, Wakili Msomi wa Serikali ambaye hupewa kazi ya kusimamia kesi nzito nzito na hajawahi kushindwa, na hii kesi ya Mbowe lazima ashinde

Robert Kidando, Wakili Msomi wa Serikali ambaye hupewa kazi ya kusimamia kesi nzito nzito na hajawahi kushindwa, na hii kesi ya Mbowe lazima ashinde

https://lejournaldelafrique.com › tan...
Tanzania: Freeman Mbowe and his three co-defendants released

4 hours ago — Martin Maranja Masese (@IAMartin_) March 4, 2022 ... Arrested on July 20, 2021, the prosecutor accused Freeman Mbowe of having conspired to ...
1646482467297.pngafrique.tv5monde.com
Freeman Mbowe, 'homme libre' et voix forte de l'opposition en Tanzanie

20 hours ago — Freeman Mbowe, libéré de prison vendredi après l'abandon d'accusations controversées de terrorisme à son encontre, ... 4 March 2022 à 17:00.


 
Haya sasa wamerusha taulo wenyewe na hiyo bila shaka ni baada ya kuona wasingeweza kustahimili mapigo ya upande wa utetezi kwenye kesi feki.

Halafu huyo jamaa unayemfagilia hana lolote baada ya kukubali kuwa mwendesha mashtaka kwenye kesi feki ambayo wameamua kuifuta wenyewe kwa aibu.

Kama hawa akina Kidando ndio candidates wa ujaji basi ndio maana judiciary ya Tanzania imekufa jumla. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom