Robertinho hamtaki Ngoma

Kifupi pale hakuna kocha
Mkuu, ingawa mm sio mtaalam wa mpira ila kocha wasimba ni mzuri sana.maana anauwezo wa kupambana na yanga uso kwa uso na yanga akaona aibu.
Ila kutakua na shida kwenye uongozi wa simba.itakua kuna watu wanamtegesheategeshea mbele ili ajikwae.
 
Simba impe huyo chiba mkono wa kwa heri, akafie mbele. Kocha mwenye uefa pro max anashindwaje kumtumia Ngoma? Timu apewe gadiola mnene.
 
PUNGUZA UONGO MKUU SISI NI WATU WAZIMA.

YUNA HADI CLIPS ZA ROBERTINHO AKIFURAHIA UWEPO WA NGOMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…