Sisi tunampenda na kumshangilia na viongozi wa Yanga watamtumia ticket pamoja na kumlipia malazi na ticket ya uwanjani siku ya Derby aje ashuhudie mkono wa Nyani mwingine. Masandawane a.k.a Mayele FC oyeeeeeeeNimeshamzarau huyu,alitegemea atafanya kazi msimbazi maisha yake yote kama alipewa stahiki zake si apige kimya mdomo wa nini..
Tanzania Nchi NzuriMbona naye anataka kuwa kama mayele
Mayele anaongelea ushirikina ambao kuuthibitisha ni kazi sana ni kama story za kinjekitile Ngwale na mtama huyu anaongelea factKwamba za mayele ni pumba[emoji23]