Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
ROBERTINHO: 5IMBA ILIYOPIGWA 5 NA YANGA HAINA TOFAUTI NA HII.
"Sielewi kilichofanya wakanifukuza sababu Kila nikitazama 5imba wanacheza vile vile hakuna kilichoongezeka"
"....kama walishinda 6_0 dhidi ya galaxy... Mimi mbina nilishinda 7...0 dhidi ya horoya???"
Aliyekuwa head coach wa 5imba
#FutbalPlanetUpdates
"Sielewi kilichofanya wakanifukuza sababu Kila nikitazama 5imba wanacheza vile vile hakuna kilichoongezeka"
"....kama walishinda 6_0 dhidi ya galaxy... Mimi mbina nilishinda 7...0 dhidi ya horoya???"
Aliyekuwa head coach wa 5imba
#FutbalPlanetUpdates