Yeth lottah
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 1,405
- 2,229
Jibu hoja kwa hoja mkuu hapo umeshindwa kumtetea jamaa yako pole sanaAkili za chooni hizi.
Mbona gaucho alienda Ac Milan?Barca isingeweza kumwachia mchezaji muhimu hata siku moja, ni Wa kawaida ndo maana wakamwacha aende PSG.
Nakusoma sana na nashukuru unapo like counter zangu against nyie die hard wa Messi.😀😀😀😀😀😀 eti hata kina Messi hawaoni ndani.
Neymar games 26 PSG goals 26
Gaucho games 98 goals 25
Who is the best?
Au mnapenda anavyokenua?
Kawaida ya Brazil ikikosa mcheza Samba na Goal getter mzuri basi isahau kabisa labda itokee bahati mbaya. Kumbukeni 1994 mtaalam wa samba alikuwa Bebeto na mfumo wao ulikuwa 4-4-2 huku wakitumaini Romario De Souza kupeleka mipira kambani. 1998 Samba boy alikuwa Rivaldo Ferreira na kocha Mario Zagallo; kimsingi mnakubuka hawakufanya vizuri. 2002, wali reinforce samba yao huku Gaucho na kule Rivaldo na goal getter akiwa R9. Tafuteni mechi ya Belgium vs Brazil back 2002 mjifunze kitu tunaposema Gaucho ni habari nyingine.Acha kufananisha Gaucho na ujinga huo
Neyamar alipata majeraha hakucheza nusu fainaliKawaida ya Brazil ikikosa mcheza Samba na Goal getter mzuri basi isahau kabisa labda itokee bahati mbaya. Kumbukeni 1994 mtaalam wa samba alikuwa Bebeto na mfumo wao ulikuwa 4-4-2 huku wakitumaini Romario De Souza kupeleka mipira kambani. 1998 Samba boy alikuwa Rivaldo Ferreira na kocha Mario Zagallo; kimsingi mnakubuka hawakufanya vizuri. 2002, wali reinforce samba yao huku Gaucho na kule Rivaldo na goal getter akiwa R9. Tafuteni mechi ya Belgium vs Brazil back 2002 mjifunze kitu tunaposema Gaucho ni habari nyingine.
Neymar is a new Samba boy, amejaribiwa 2014 na Brazil haikufanya vizuri. This is 2018 na yuko kwenye peak kama Samba Boy. Twendeni Russia.
Jamaa ni fundi. Anawafunga na mnamshangilia!
Hapana mkuu mm ndo nimekosea...upo sahihiNimekusoma vibaya ama ndiyo ukweli wenyewe? Dinho kachukua UCL 2? Siyo moja kweli (2006) maana ile ya mwaka 2009 alikuwa ameshaenda AC Milani.
Cc: Canavaro wa ItaliaAfu linguistics kipindi hichi hakuna wachezaji wenye talent za kutosha ndiyo maana unaona watu kama Messi na Ronaldo wanaishia kubadilishana tuzo kila mwaka. Kipindi cha kina Dinho hata beki unaweza kushangaa kabeba tuzo ya mchezaji bora. Sio saa hvi unakuta Messi anajua kabisa hasiposhinda yeye basi lazima Ronaldo achukue
niliipenda ufaransa ya 1998 ya wc kwa kuwa na mastaa weusi, niliwafata arsenal baada ya wc,Hahaha duh umempanikia, hata mi Ni shabiki wa arsenal na Ufaransa ,Lakin Kwa Brazil ya kina dinho naiheshimu Sana, si hii ya wanyoa viduku
Huyo jamaa ni mtihani asee... Hajui hata anayetoa assist nae huwa anapasiwa kama kawaida.Wewe mpira hujui kabisa
HakikaHicho kichwa hatari sana. Kiacheni tu
Mpaka Real Madrid walimpigia makofi.
Neymar huwezi mfananisha na Gaucho utakuwa hukumuona huyo mtu,huyuNeymar kajaa ubinafsi sana dg yule pia japo soka analijua, but huwez mfananisha na Dinho
Messi anamtaka Neymar arudi Barca..Na Barca wako tiyari kuwauza kina Coutinho ili wamrudishe jamaa...Inaonekana ile MSN Messi kaimisi sana.Eti anacheza kibinafsi, kamuulize Messi kapewa assist ngapi na Neymar
Mkuu umemuona vizuri Gaucho[emoji15] [emoji15] ? Gaucho anakupa kila kitu unachotaka, kwangu mimi nashukuru kuwa hai kumuona Gaucho, jamaa alikuwa kwenye zone yake peke yake kiuchaji. JAMAA ANAJUA BALAAAWatu wanamuoverrate sana Dinho, wanachoshindwa kujua he was just a balldancer ila sio deliver mzuri wa matokeo kama kina Messi, Ronaldo, Neymar.
SureHicho kichwa hatari sana. Kiacheni tu