Hahahaha Temper Yangu iko chini sana hata ishu iwe siriaz vipi huwa sipanic kihivoIla sijui kwa nini Uto wote wamepanic baada ya kusikia mpinzani wao ni Mamelodi.
Heri yako wewe ambaye hujapanic π
Yeah! Hii si mtoano tuHivi bado sheria ni ile ile ya kuangalia head to head goals? Nani alikuchabanga nyingi?.
Mbwa usiye na mkia, popote unapoona jezi ya yanga piga magoti na sujuduAnza kuombea timu yako usije kulia na kuzima kama msemaji wako wa amber rose fc...
Unaongelea marehemu aliye hao au yule πΈ?Marehem anamcheka marehem mwenzie this is crazy π π
Na hapo ndio utajua ukali wa mnyama Simba ukikutana nae mbuganiNatabiri Yanga na Simba watacheza fainali! Kwa hiyo kombe ni mali ya Tanzania safari hii!
Aahh namuona Mokoena mtu Mbad mzee wa freekick Mpaka golini [emoji2][emoji2]
Good! Na hapo Yanga ni mabingwa tayari, mkono unawahusu makolo!Natabiri Yanga na Simba watacheza fainali! Kwa hiyo kombe ni mali ya Tanzania safari hii!
Unadhani yanga tunawaogopa mamelodi?? Sasa wewe huelewe kati ya Simba na al ahly utashabikia ipi siku hiyo kmmkππUnaongelea marehemu aliye hao au yule πΈ?
Aamin aamin aamin! All the bests YangaππYanga anapita mbele ya Mamelodi vizuri tu. Dawa ni moja tu: tutawatandika 3 -1 za haraka haraka nyumbani Lupaso kabla hawajaamka. Halafu tutawabana droo ya 1-1 kwao. Walisema hivyo hivyo kuwa Group D Yanga hatoboi, lakini akatoboa.
Naunga mkono hojaYanga anapita mbele ya Mamelodi vizuri tu. Dawa ni moja tu: tutawatandika 3 -1 za haraka haraka nyumbani Lupaso kabla hawajaamka. Halafu tutawabana droo ya 1-1 kwao. Walisema hivyo hivyo kuwa Group D Yanga hatoboi, lakini akatoboa.
Inafaa uwe mwenyekiti wa KAMATI YA HAMASA SAIDIA πΈ WASIPANIC mbele ya Mamelodi πHahahaha Temper Yangu iko chini sana hata ishu iwe siriaz vipi huwa sipanic kihivo
Umenikumbusha tukio fulani kazini siku hio tumewekwa Chini ya ulinzi usalama kama wote π€
Usalama Mmoja ananiuliza mbona wewe unachukulia simpo sana hata huogopi huku wengine wameshatetemeka wanasweat balaa π
Cc Smart911
wewe ni mimi kabisa, kuna upotevu flani ulitokea nikiwa mmoja wa wahusika wakaletwa wachunguzi mikwara balaaHahahaha Temper Yangu iko chini sana hata ishu iwe siriaz vipi huwa sipanic kihivo
Umenikumbusha tukio fulani kazini siku hio tumewekwa Chini ya ulinzi usalama kama wote π€
Usalama Mmoja ananiuliza mbona wewe unachukulia simpo sana hata huogopi huku wengine wameshatetemeka wanasweat balaa π
Cc Smart911
Siku ukikua utaacha ujinga.kmmk
Hahaha wacha kumfananisha Dada wa watu na vitu vya ajabu, hawa ni akina amber rutty, maana kama ni bleach hata naye anapakaga [emoji1787][emoji1787]Tukuulize ww amber rose fc