Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi aweeeena weeeWARABU WANACHEZA NA AKILI ZETU HAKUNA KITU APO HUU NI UHUNI WAMETUFANYIA
Mamamameee sasa hivi mnaomba msaada wa Yanga ili kuvuka robo fainali, pambaneni na hali yenuYanga tunaomba uchawi mnaotumia tumalize kazi kwa Mkapa
Al haly hawawezi kuwa wabovu robo fainali.Hakunà kitu nilikuwa naomba kama tukutane Simba na al ahly tena.
Hapa ndio tun chance ya kuvuka.
Aweeeena weee ajigi jigi jii Shisha mi nataka shisha🤣🤣Kwa timu gani uliyonayo
Simba v al ahly yanga v mamelodi hapa sasa ndo tulitangaze soka letu sasa kikamilifu, naiona simba ikibeba hili kombe.Mlete Makaburu tumpelekee moto wa GSM
Ndio ili tuionyeshe Dunia kuwa hatubahatishi, kwa Yanga hii kila goti litapigwa.Ila vyura waliwataka Mamelodeee Mungu amewapa...
Tunataka tuskie kauli zenu kabla hatujamuadhibu mamelody 😄Mmeanza eeh!
Hahahahahhahahahahhahahaahhaha
FactTUACHE MASIHARA TIMU ZA KARIAKOO HAKUNA ANAYEMTAKA MAMELODI 😁