OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yanga tunaomba uchawi mnaotumia tumalize kazi kwa Mkapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe. Wanadhani Kuwa na Ahly na Mamelod kutawapa hela nyingi.WARABU WANACHEZA NA AKILI ZETU HAKUNA KITU APO HUU NI UHUNI WAMETUFANYIA
Hawa wapuuzi tunatakiwa tumalizane nao kwa Mkapa. Hakuna namna nyingine.Sundowns hawatoamini macho yao 💚💛
MmempeweSisi Kma Yanga tunamuomba Mamelody
Safi sana, tunataka kuionyesha Dunia kuwa hatubahatishi.Young Africans SC vs Mamelodi Sundowns
Ukweli unaufahamu sina muda wa kubishana kapambane na Mamelodi Sundowns F.C.Kwa timu gani uliyonayo
Wanajifariji tu hao watapigwa kipigo kikali wazee wa robota.Al haly hawawezi kuwa wabovu robo fainali.
Labda goti la mbuzi...Ndio ili tuionyeshe Dunia kuwa hatubahatishi,kwa Yanga hii kila goti litapigwa.
Na kwao tunawagonga hawa,hawa na namnaHawa wapuuzi tunatakiwa tumalizane nao kwa Mkapa. Hakuna namna nyingine.
Hii ya kusema Simba ana afadhali ndiyo inatucost mara zote.🤣🤣🤣🤣 Hapo Simba ana uafadhari ila Yanga habari yake imefikia mwisho 🤣🤣
Huyo kapagawa...Ukweli unaufahamu sina muda wa kubishana kapambane na Mamelodi Sundowns F.C.
Tunza hiiLabda goti la mbuzi...
Ngumu kumezaSafi sana,tunataka kuionyesha Dunia kuwa hatubahatishi.
Tumefurahi sanaKwani wao Yanga wanasemaje???