Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
2018-2019 mkuu.Ni mechi moja tu mara ya mwisho kua match mbili ilikua kati ya Wydad na Esperance 1st league Esperance alibebwa sana kiasi kwamba Wydad alishindwa kuvumilia hakumaliza mechi na kutoka uwanjani.
CAF wakampa ubingwa Esperance na Fainali ikaanza kua moja nakumbuka ni kama miaka minne kutokea hili tukio