mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Alikuwa anajimwambafy tu, saa hii anajiharishia!Kaizer Chiefs ametutaka sana Sasa ametupata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anajimwambafy tu, saa hii anajiharishia!Kaizer Chiefs ametutaka sana Sasa ametupata
Bayern ya tandahimba auCAF wanatarajia kuuchagua uwanja wa Mkapa kwa ajili ya fainali. Hivyo kwa uwanja huo Simba hajawahi kufungwa na mwarabu, hivyo tayari Bingwa anajulikana.
Mnyama ajiandae tu kucheza na Bayern club bingwa ya Dunia.
Umeokota maneno kule kwenye page ya facebook, ukaona uyalete huku sio? Jiandae Simba Sc lazima avuke robo fainali.Noise makers derby
Utopolo utawajua tu! Kwa kuwa hawaiamini timu yao wanadhani hata simba haiaminiki!Bayern ya tandahimba au
Kana Ikitokea Simba Sc akacheza fainali, basi uwanja wa Mkapa hauwezi kutumika.Mamelod anatolewa na Al Ahly hafiki fainali.
Kombe linabaki Tanzania tena fainali inachezwa kwa Mkapa. Kuna rekord inawekwa mwaka huu
Hivi fainali ya caf huwa ni mechi moja kama uefa au ni mechi mbili? Mwenye jibu la uhakika tafadhali atujuze.
Kizer chiefs kuwapiga Sundowns, haiwezi kutumika moja kwa moja kama ishara ya uimara wao. Kumbuka hata Ruvu shooting waliifunga Simba Sc lakini hawawezi kuwa bora kama simba.Chiefs kwa msimu huu mpaka sasa hawapo vizuri sana,ila juzi Kati hapa kampiga Sundowns 2-1 kwenye league yao,kwa hiyo Simba wanapaswa kuwa na mipango sahihi jinsi ya kuwamaliza hawa jamaa kuanzia kwenye first Leg!!
Naona unajaribu kunga'ata na kupuliza, ila wajanja tumeshajua kuwa wewe ni Uto[emoji2957].Lakini baba ee, imekua ahuweni tumepangwa na kaizer, tutapita kiulaini sana ukilinganisha na yale maaAlgeria mapande ya mtu, mbona yangetupiga. ..
[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji91][emoji91]
Two gamesHivi fainali ya caf huwa ni mechi moja kama uefa au ni mechi mbili? Mwenye jibu la uhakika tafadhali atujuze.
Ya mwaka huu itakuwa ni mechi moja, itakayochezwa kwenye Neutral stadium kama UEFA tu.Hivi fainali ya caf huwa ni mechi moja kama uefa au ni mechi mbili? Mwenye jibu la uhakika tafadhali atujuze.
Tangu lini ?Mechi moja tu kama uefa
Hebu jaribu kufatilia mkuu, kuna mabadiliko.Two games
Fatilia, kuna changes mkuu.Tangu lini ?
Walikuwa kwenye mpango huo lakini sina hakika wameshafikiaHebu jaribu kufatilia mkuu, kuna mabadiliko.
Mpira hauko hivyo mkuu hizo team ulizozitaja hazichezi possession football ya short passes kama hao Kaizer chiefsAl Ahl na AS Vita wana speed lakini walikaa kwa kutulia
Tangu lini ?
Hiyo mechi moja itachezewa wapi?Mechi moja tu kama uefa
Hii hatua huhitaji kuchagua timu ya kucheza nayoNaomba sana tusikutane na kaizer chief