Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
14-15 MayHizo mechi zinachezwa lini first leg?
Kwani Kati ya Wydad na Esperance, kwa maoni yako ipi ni team hatari zaidi?
Mamelod anatolewa na Al Ahly hafiki fainali.Fainali Simba Vs Sundown, watatutoa kwa tabu sana
Mkuu hatua hii unaweza angushwa/angusha na yoyote yule
Simba alidoji risasiAl Ahly na Mamelodi Sundown acha wafu wazikane
Tabiri-Al Ahly SC vs Mamelod Sundowns
-Mc Alger vs Waydad Casablanca
-CR Belouizdad vs Esparance
-Kaizer Chiefs vs Simba SC
Game ya kufa na kupona ni ya Mamelodi na Ahly, hizi nyingine zinatabilika
Mkuu amka, hii ndoto za asubuhi siyo nzuri.Simba nusu fainali vs Wydad
Simba fainali vs Esperance
Esperance bingwa
Chiefs kwa msimu huu mpaka sasa hawapo vizuri sana,ila juzi Kati hapa kampiga Sundowns 2-1 kwenye league yao,kwa hiyo Simba wanapaswa kuwa na mipango sahihi jinsi ya kuwamaliza hawa jamaa kuanzia kwenye first Leg!!
Nusu fainali (Ahly vs Esperance) & (Simba vs Wydad).Tabiri
Wameanza na #CCC
Orlando Pirates Vs Raja Casablanca
Cs Sfaxien Vs Js Kabylie
Pyramids vs Enyimba
Coton Sports vs Asc Jaaraf
Nusu fainali (Ahly vs Esperance) & (Simba vs Wydad).
Fainali = Simba vs Ahly
Kaizer Chiefs wanaiona Simba ni pisi kaliKule Kama billiat Huku Loui's miquissonne Moto utawaka fans wa keizer chiefs wanasema walikuwa wanatutamani Sana sisi ngoja tuone Nani atamtuliza mwenzie hapa
Wale waarabu ilikuwa tunapita rahis sanaLakini baba ee, imekua ahuweni tumepangwa na kaizer, tutapita kiulaini sana ukilinganisha na yale maaAlgeria mapande ya mtu, mbona yangetupiga. ..
[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji91][emoji91]
CAF wanatarajia kuuchagua uwanja wa Mkapa kwa ajili ya fainali. Hivyo kwa uwanja huo Simba hajawahi kufungwa na mwarabu, hivyo tayari Bingwa anajulikana.Bingwa!!!